Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.
Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌
Moja ya kipenzi changu Tanzania ❤❤❤❤❤❤ Heche wewe ni mwamba
🎉🎉 Akili kubwa Heche , Kweli ushindii ni wakoo ,
Heche noma nakukubali saaaaana❤
Mimi nipo Moro,lakini Heche nampenda sana.Anafaa sana mwamba.
Heche nimwafirika muzalendo
Heche Mungu akubariki sana una uwezo na unakubalika
Dah! Heche si subiri tena mwakani, huko mbali sana ngoja nivunje katiba nachukua fursa ya kukutangaza kuwa mbunge wa sirali kwa nyomi hiyo! Waitara basi bana.
MashaAllah watu wameitika
Waitara kayakanyaga, must go
Tumbo tumbo alishalijua hili kitambo sana kuwa hili jimbo sio lake kbs sema plesha inampanda na kushuka anaogopa kulikosa jimbo asubuhi kweupeeee anajua mwanzo alipitishwa bila kupingwa sasaivi hofu imemtanda shubaamiti chezea Tarime wewe Heche ndo wanamuelewa li Waitawara hoi😂😂😂😂🙌
Hatari kwa ccm
Heche kichwa cha Sirari nakuelewaga kaka Heche
Asante Heche kamanda mwaminifu 💪💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Weitara arienda kusaini barua komarera wanaichi wakabomolewa miji ety anasema nitegesha hatumtaki waitara tarime hatabure aende kurima usukumani mupanga
Mtaukamata uraisi natabiri hii. Twendeni pamoja
Huyu jamaa kichwa sana huwa nafurahiaga sana uwepo wake
Safi sana Heche chuma
SEMA HUWA NAKUELEWA SANA MWAMBA
Mtu makini sana Defense minister wetu 2024-25 John Heche rafi pendwa wangu mtu mvumiluvu sana si msigwa.
Ningeweza ccm wote unadumbukiza kwenye shimo tunaanza upwyaaaaa wanachosha aseeew