WAKILI KIBATALA ATOA TAMKO KALI SAKATA LA WAKILI MWABUKUSI, "NI AIBU KWA NCHI, TUNAONEKANA WAJINGA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 43

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 17 dny +11

    Mpeni mwambukusi urais wa TLS yule ni mtetezi wa wanyonge

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 Před 17 dny +11

    Atakayempigia kura mwabukusi atabarikiwa mpaka ashangae

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před 17 dny +7

    Safi saaana wakili msomi kwa darasa huru 😊😊 Asante sana

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 17 dny +5

    Safi sana kibatala umeonyesha ukomavu na hakika ww ni wakili bora tanzania lisaidieni taifa nyie mnao jua sheria

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x Před 17 dny +7

    Mabukusi oyeeeeee

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před 17 dny +4

    Safi sana wakili msomi.❤❤❤

  • @user-fx3xj3on5j
    @user-fx3xj3on5j Před 17 dny +4

    Mawakili hebu mpeni huyo mwamba hiyo nafasi , naamini watawala watajifinza kusimamia sheria. Sio kuzitunga kisha kuzivunja.

  • @mlangotv8465
    @mlangotv8465 Před 17 dny +4

    Safi sana Wakili, nyie ndio wa kuokoa hili taifa, tunawategemea sana, nyie ni watu muhimu

  • @user-fx3xj3on5j
    @user-fx3xj3on5j Před 17 dny +3

    Yaani Kibatala , nakupa big up , msikubali kuwekewa kiongozi asiyetokana na maamuzi ya mawakili wote.

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 17 dny +2

    Safi sana this our country 😢 😞

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Před 15 dny +1

    Msikubali kuwa mandondocha na idara za chama like kama chama cha cwt wafanyakazi and allies

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d Před 17 dny +3

    Hii ni ushahidi tosha kuwa mifumo yote inayounda serikali haiaminiki!

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před 16 dny +1

    Kibatala❤❤❤❤❤❤

  • @user-cz4pu9py5s
    @user-cz4pu9py5s Před 17 dny +2

    Super kibatala.myonge mnyongeni kwa haki sio kwa kumwonea

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 17 dny +3

    Kama mtu anasifa mwacheni ashindwe Kwa kura siyo kumuwekea vikwazo mwabukusi tuko vizuri

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 16 dny

    Safi sana

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Před 16 dny +1

    Mhe Wakili Kibatala Kwa.sisi watu chini tulio wengi Nyie ndiyo jicho letu kwenye kutafsiri ya Haki kwa kuwa ni Wataalamu kisheria na ndiyo mhimili wa haki kisheria kwa Umma Kinachotokea kumwengua Mhe Wakili Mwabukusi kinaweka doa na mnatuacha njia panda

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 17 dny +2

    Safi sana kibatala umeongea point

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 17 dny +3

    Akili kubwa sana

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před 16 dny +1

    As a very important institution, Your reputation and integrity is at stake. All eyes are on you now. Tumieni busara zetu zote kupunguza au kuondoa tofauti zenu. Ninyi ni nuru na taa ktk taifa. Twawaombea heri

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 16 dny +1

    Safi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 16 dny +1

    ✌️👍👊.

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 16 dny

    Hongera wakili msomi, taasisi nyigi nchi hii zimelezwa kwa ruzuku ya serikali ,hata mawkili hawajapona pengine wakili
    Mwambukusi na Fattuma Karume.

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 Před 16 dny +1

    Kibatala hongera kwa kulitambua hili

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 Před 17 dny +1

    Hvi kwa hali hyo kweli kama una haki na huna pesa unaweza kusinda kesho mahakamani

  • @froma3732
    @froma3732 Před 8 dny

    Anasema wao ndio Muhimu halafu hao hao ndio wanapindisha Sheria kwa Masilahi yao Fatuma Karume Alifungiwa na kufanyiwa kila na kuvamiwa Mulikuwa Kimya BORE KABISA

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před 16 dny

    Safi sana umeongea kisomi

  • @midventmax
    @midventmax Před 16 dny +1

    Kunywa soda kwa mangi baba nitalipa

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Před 5 dny

    Piter kibatala, piter madereka, mwabukusi, nani mkali kwenye kesi akisimamia kesi huchomoki ??

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 17 dny +1

    Tunawaachia nyinyi ,tulippembeni sio mawakili tunsmuona Mwambukusi.

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 Před 17 dny +3

    Ss kama srkl inapindua huu uchaguzi mdogo hivi wamawakili sembuse huu unaokuja wa nchi nzimaaa hahaahahha shem sana.

    • @user-ii7yw9ng5d
      @user-ii7yw9ng5d Před 17 dny +3

      Nadhani Dola inapenyeza watu wa kuulinda udhaifu Kila "field of aspect",tutayaona mengi muda ukifika!

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn Před 17 dny

      Sio shem sana bali ni kilio na kusaga meno sana.

  • @JumaYusuph-o4h
    @JumaYusuph-o4h Před 14 dny

    Kama Kibadala kasema mi nani nipinge

  • @WigesaNyerere
    @WigesaNyerere Před 17 dny

    Achukue tu,ili tujue mbichi na mbivu za bandari na wamasai sheria inasemaje,maana nanukuu mijitu ina kengeuka tu.

  • @samsonsimon3138
    @samsonsimon3138 Před 16 dny

    Hii sio taarifa kamili ni ujinga tu

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s Před 17 dny

    Ipo siku msiomkubali mwabukusi ipo siku mtakuja kumuona akiwa mkubwa kwenye hili Taifa, Hata kama mtadanganywa lakini usipompigia wewe Watanzania wasiofaidi keki ya Taifa hili tutajiunga nae. Na ipo siku Mwabukusi tutamfanya kuwa mkubwa ndani ya Taifa hili.

  • @sagandamalechampullo659

    YAANI TLS IMEHARIBIWA SANA NA WATALA WA SERIKALI HII. TLS SASA HAINA RAIS

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 Před 17 dny +1

    Mbona unamtetea huku unampigia mtu kampeni?

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk Před 15 dny

    Safi sana

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 Před 17 dny +3

    Kama usingempgia kura 😂😂 mh mwabukusi ni jembe bhn tutakufa nae.