ASKOFU MPEMBA: SAMIA HUWEZI JIFANYA MWEMA WAKATI NI MBAYA.ASKOFU KAKIWASHA SAKATA LA KUTEKWA SATIVA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024

Komentáře • 64

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi Před 18 dny +10

    Twende kazi 🔥🔥🔥 Mzee Fumbua Macho, Submarine, Agayaaa bakwigwa duhu bawilage namhala 💪💪💪, hatuna viongozi wa katika serikali Tanzania,

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Před 18 dny +8

    Asante baba mchungaji.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 18 dny +14

    Ccm waondoke tumewachoka jamaniii Mungu baba tuhurumie tuokoe na watesaji hawa . Safari wataondoka.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před 18 dny +2

      Mhh wataondoka!. Wakati sasa watu wengi ndiyo kwanza wanahamia CCM?

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Před 18 dny +1

      ​@@edsonnelson4464yaani msigwa kuhamia ndiyo wanahamia wanaohamia wamepotea

    • @Vickypaulo-kr8kj
      @Vickypaulo-kr8kj Před 18 dny +1

      Tuombe tuu mungu atawatengua 🤕🤕🤕

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 18 dny +2

      Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?

    • @healingclinic698
      @healingclinic698 Před 17 dny

      ​@@edsonnelson4464kuhamia kwa watu haibadilisha unyama ushenzi na ubaya wa CCM hata malaika wakihamia CCM haitabadilisha ukweli

  • @Master-ww7ur
    @Master-ww7ur Před 8 dny

    Message sent and delivered, wajitathmini

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 14 dny

    Watanzania tuachane na vyema vya siiasa tuungane kuonyesha hisia zetu maumivu makubwa maisha magumu

  • @kirimbakisalum1950
    @kirimbakisalum1950 Před 18 dny

    Rev. I understand your motion.

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 Před 13 dny

    Wewe sio askofu wewe ni mbaya sana nanyie mnao jifanya maaskofu ndo mlio wamaliza watu rwanda

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Před 16 dny +1

    Unakosea unaposema wa Tanzania ni waoga badala ya kuhijumlisha naww.
    Sema Mimi ndo muoga namba moja.

    • @salumuledi7143
      @salumuledi7143 Před 16 dny

      Mwenyezi mungu akulani kwa kuvuruga amani acha uaskofu uende kweye siasa acha kutupotosha sisi sio wajinga kamawewe

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Před 14 dny

    Upo mtumishi

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 14 dny

    Viongozi wa nchii hii hawataki wenye akili

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Před 16 dny

    Sisi waafrika watawala wanapenda kutumia nguvu badala ya hekima namba moja hekima

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před 16 dny +1

    Mbona wanaosema ni wakristo huo ni udini Tu umewajaa tuambieni bas huo ubaya wa mama hamsemi mama Mbaa mama upumbavu huo

  • @victorrobert7797
    @victorrobert7797 Před 17 dny

    Tungekuwa na watumishi 10 kama huyu hapa Tz tungefika mbali

  • @MbarakaHamza-op9dx
    @MbarakaHamza-op9dx Před 16 dny +1

    Kwani miaka ya 90 ww ulikuwa wapi?na ulifanya nn?acha porojo.

  • @kashiririrkaasongwisye9487

    Mzee fumbua macho sikuizi wanaweka mtandao ila meter kumi tu kutoka office kuu ukitoka hapo hamna ni bando tu!

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Před 18 dny +2

    Wewe ndomchungaji wakweli wengine machawa tu uko sawa sana ujinga umezidi chii kitwima padri nawewe nimewaelewa sana

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 Před 18 dny +3

    Wewe tunakujua sana mshenzi tu wa tabia ww unawambia waache woga wakati mwenyewe huko marekani mpumbavu mmoja tu.

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e Před 18 dny +4

      Utakuwa ccm

    • @aaronswai3092
      @aaronswai3092 Před 18 dny +4

      Wewe hujitambui kama humuelewi Askofu Mpemba

    • @komangohill5957
      @komangohill5957 Před 16 dny

      Alitoroka kama roketi akikwepa kifo. Hoja ya kifo naye ni muoga

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Před 15 dny

      Ndio maana hii nchi haiendelei kwa watu kama Hawa INZI,wa kijani karibu sisi kizazi cha sasa tutaingia barabarani kama KENYA

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m Před 10 dny

      Mbona unamtukana amefanya nini

  • @knight6757
    @knight6757 Před 18 dny

    😂

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873

    Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja

    • @maureenlilykiwia1515
      @maureenlilykiwia1515 Před 15 dny

      Hivi vya kusifiwa havijaanza kwake vimeanza kwa aliyepita na hao wanasifia ni wanafiki duniani hakuna. Kila kitu utasikia mama amefanya mama ametupa mama hili mama lile sasa hapo Mungu huwa hakai kimya lazima aingilie kati kwa hili

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 Před 13 dny

    Wewe huwezi nyie nyoote naona udini umewajaa kutekwa hata nyie huenda mh huenda

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873

    Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 18 dny

    Baba ni kweli, wew endelea kuwaelewesha watu,

  • @deogratiusmaila676
    @deogratiusmaila676 Před 18 dny +2

    Lete vitu tiririka Mtumishi

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před 18 dny

    MBONA WEWE ASKOFU UNAPANDISHA KIDOLE JUU HUKO SAWA MIMI NAJIULIZA SANA

  • @PaulSanga-m3p
    @PaulSanga-m3p Před 17 dny

    😮ukiuwa kwa upanga naweutauawa kwa upanga

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi Před 18 dny

    Haha hahahaha tulia 😂😂 Bangaladesh, nyosha miguu, kaza mkanda, kunywa uji. Agayaaa bakwigwa duhu!
    Watu wanatekwa ovyo ovyo tu, tumepuzwa na mama Abul wa Kizimkazi Zanzibari anatukanyaga tumechoka.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 17 dny

    😅😅😅😅😅Eti pafumu 😂😂😂Nacheka kama mazuri vilee 😂😢😢😢😢

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 18 dny

    Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 18 dny

    Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před 16 dny

    Tanzania ujinga umepandikizwa na ccm, kwasababu inatengeneza mazingira ya kutukuzwa ili kila mtu awe chini yao yani watu wawe wanajikosha kwao tu kwa kila jambo hali inayotengeneza hongo umaskini na kutokujiamini.
    Hiki chama kimeingilia karibia taasisi zote hata zile nyeti..na zenyewe ziko kimya hazijitetei.
    Akitokea wa kujisimamia na kufuata misingi ya sheria na taratibu za nchi, huyo mtu anaonekana mbaya kwa7bu anakuwa anaharibu maslahi ya wanaojiita wenye nchi.
    Kazi kununua magari & pikipiki za kuhonga vijana.

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is Před 18 dny

    Ccm ni watu wabaya miaka yote

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před 18 dny

    Acha hizo mbona ww ulikimbia si urudi tuandamane sote

    • @victorrobert7797
      @victorrobert7797 Před 17 dny

      Hata kama alikimbia ana haki ya kusema maovu ya nchi hii ,hata wewe ungekubali kuuwawa ,alifanya uamuzi mzuri kuamia USA.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 16 dny

      Abaķ mmàlize kama wengine mliowaua

  • @shabanikimpinga6769
    @shabanikimpinga6769 Před 18 dny

    Ngojeni.kije.chama.kingine.mtajuta

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před 17 dny +1

      Una maana gani? Ungekuwepo wakati Nyerere anadai uhuru ungeungana na wazungu.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 18 dny

    Mbwa nyie Magufuli hakuuwa mtu yeyote hawa wanao teka watu ndio walio kuwa wanauwa watu ili kumchafuwa JPM.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 18 dny +4

      Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo Před 18 dny

      Mbwa ni ww na familia yako yote ni mijibwa

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Před 18 dny +1

    ASK MPEMBA NI TAPERII MAMA TENA 2225

  • @ShuwarMdudu
    @ShuwarMdudu Před 18 dny +1

    We msenge hanisiiii

  • @saidisaidi4502
    @saidisaidi4502 Před 18 dny

    Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee

  • @MwanakomboNassor-bw3by

    Mwema kwako nani kila Rais unamchamba wewe utakufa nacho kijiba cha roho

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Wambie baba wameongeza Kodi tena