Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?
Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja
Hivi vya kusifiwa havijaanza kwake vimeanza kwa aliyepita na hao wanasifia ni wanafiki duniani hakuna. Kila kitu utasikia mama amefanya mama ametupa mama hili mama lile sasa hapo Mungu huwa hakai kimya lazima aingilie kati kwa hili
Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being
Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo
Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.
Tanzania ujinga umepandikizwa na ccm, kwasababu inatengeneza mazingira ya kutukuzwa ili kila mtu awe chini yao yani watu wawe wanajikosha kwao tu kwa kila jambo hali inayotengeneza hongo umaskini na kutokujiamini. Hiki chama kimeingilia karibia taasisi zote hata zile nyeti..na zenyewe ziko kimya hazijitetei. Akitokea wa kujisimamia na kufuata misingi ya sheria na taratibu za nchi, huyo mtu anaonekana mbaya kwa7bu anakuwa anaharibu maslahi ya wanaojiita wenye nchi. Kazi kununua magari & pikipiki za kuhonga vijana.
Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!
Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee
Twende kazi 🔥🔥🔥 Mzee Fumbua Macho, Submarine, Agayaaa bakwigwa duhu bawilage namhala 💪💪💪, hatuna viongozi wa katika serikali Tanzania,
Asante baba mchungaji.
Ccm waondoke tumewachoka jamaniii Mungu baba tuhurumie tuokoe na watesaji hawa . Safari wataondoka.
Mhh wataondoka!. Wakati sasa watu wengi ndiyo kwanza wanahamia CCM?
@@edsonnelson4464yaani msigwa kuhamia ndiyo wanahamia wanaohamia wamepotea
Tuombe tuu mungu atawatengua 🤕🤕🤕
Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?
@@edsonnelson4464kuhamia kwa watu haibadilisha unyama ushenzi na ubaya wa CCM hata malaika wakihamia CCM haitabadilisha ukweli
Message sent and delivered, wajitathmini
Watanzania tuachane na vyema vya siiasa tuungane kuonyesha hisia zetu maumivu makubwa maisha magumu
Rev. I understand your motion.
Wewe sio askofu wewe ni mbaya sana nanyie mnao jifanya maaskofu ndo mlio wamaliza watu rwanda
Unakosea unaposema wa Tanzania ni waoga badala ya kuhijumlisha naww.
Sema Mimi ndo muoga namba moja.
Mwenyezi mungu akulani kwa kuvuruga amani acha uaskofu uende kweye siasa acha kutupotosha sisi sio wajinga kamawewe
Upo mtumishi
Viongozi wa nchii hii hawataki wenye akili
Sisi waafrika watawala wanapenda kutumia nguvu badala ya hekima namba moja hekima
Mbona wanaosema ni wakristo huo ni udini Tu umewajaa tuambieni bas huo ubaya wa mama hamsemi mama Mbaa mama upumbavu huo
Huyu mchungaji wa Mbuzi labda hakuna kitu hapo ni ziro
Hakuna udini wowote hapo
Tungekuwa na watumishi 10 kama huyu hapa Tz tungefika mbali
Kwani miaka ya 90 ww ulikuwa wapi?na ulifanya nn?acha porojo.
Wewe nawe bwana kha
Mzee fumbua macho sikuizi wanaweka mtandao ila meter kumi tu kutoka office kuu ukitoka hapo hamna ni bando tu!
Wewe ndomchungaji wakweli wengine machawa tu uko sawa sana ujinga umezidi chii kitwima padri nawewe nimewaelewa sana
Wewe tunakujua sana mshenzi tu wa tabia ww unawambia waache woga wakati mwenyewe huko marekani mpumbavu mmoja tu.
Utakuwa ccm
Wewe hujitambui kama humuelewi Askofu Mpemba
Alitoroka kama roketi akikwepa kifo. Hoja ya kifo naye ni muoga
Ndio maana hii nchi haiendelei kwa watu kama Hawa INZI,wa kijani karibu sisi kizazi cha sasa tutaingia barabarani kama KENYA
Mbona unamtukana amefanya nini
😂
Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja
Hivi vya kusifiwa havijaanza kwake vimeanza kwa aliyepita na hao wanasifia ni wanafiki duniani hakuna. Kila kitu utasikia mama amefanya mama ametupa mama hili mama lile sasa hapo Mungu huwa hakai kimya lazima aingilie kati kwa hili
Wewe huwezi nyie nyoote naona udini umewajaa kutekwa hata nyie huenda mh huenda
Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being
Baba ni kweli, wew endelea kuwaelewesha watu,
Lete vitu tiririka Mtumishi
Ha ha ha atiririke kabisa
MBONA WEWE ASKOFU UNAPANDISHA KIDOLE JUU HUKO SAWA MIMI NAJIULIZA SANA
😮ukiuwa kwa upanga naweutauawa kwa upanga
Haha hahahaha tulia 😂😂 Bangaladesh, nyosha miguu, kaza mkanda, kunywa uji. Agayaaa bakwigwa duhu!
Watu wanatekwa ovyo ovyo tu, tumepuzwa na mama Abul wa Kizimkazi Zanzibari anatukanyaga tumechoka.
😅😅😅😅😅Eti pafumu 😂😂😂Nacheka kama mazuri vilee 😂😢😢😢😢
Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo
Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.
Tanzania ujinga umepandikizwa na ccm, kwasababu inatengeneza mazingira ya kutukuzwa ili kila mtu awe chini yao yani watu wawe wanajikosha kwao tu kwa kila jambo hali inayotengeneza hongo umaskini na kutokujiamini.
Hiki chama kimeingilia karibia taasisi zote hata zile nyeti..na zenyewe ziko kimya hazijitetei.
Akitokea wa kujisimamia na kufuata misingi ya sheria na taratibu za nchi, huyo mtu anaonekana mbaya kwa7bu anakuwa anaharibu maslahi ya wanaojiita wenye nchi.
Kazi kununua magari & pikipiki za kuhonga vijana.
Ccm ni watu wabaya miaka yote
Acha hizo mbona ww ulikimbia si urudi tuandamane sote
Hata kama alikimbia ana haki ya kusema maovu ya nchi hii ,hata wewe ungekubali kuuwawa ,alifanya uamuzi mzuri kuamia USA.
Abaķ mmàlize kama wengine mliowaua
Ngojeni.kije.chama.kingine.mtajuta
Una maana gani? Ungekuwepo wakati Nyerere anadai uhuru ungeungana na wazungu.
Mbwa nyie Magufuli hakuuwa mtu yeyote hawa wanao teka watu ndio walio kuwa wanauwa watu ili kumchafuwa JPM.
Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!
Mbwa ni ww na familia yako yote ni mijibwa
ASK MPEMBA NI TAPERII MAMA TENA 2225
Iyo 2225 nadhani mtamchagua 🚮🚮🚮 chawa wa mama 😝
Hata kuandika hujui unakazana na mama tena! Kilema wa hakili
We msenge hanisiiii
Anamfila mama ako na baba ako
Bamako na wewe. Toa hoja
Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee
Mwema kwako nani kila Rais unamchamba wewe utakufa nacho kijiba cha roho
Wambie baba wameongeza Kodi tena