Poleni sana ndugu zangu,mungu awatie nguvu,ombi langu tubadilike jamani,maswala ya kiofisi yafanyike ofisini kwa kuzingatia masaa ya kazi za serikali,baada ya hapo hakuna huduma tena,mpaka kesho yake,tutapunguza watoto wetu kuona matukio ya kinyama,tunajenga Taifa la mafia wa badae.
Poleni sana ndugu wafiwa pia niwashauri tu kua tarifa ni lazima ziwekwe adharani kwani tutajuaje kuna hiki na kile kama tutakua tunaficha kwaiyo mnaosema ayo tv inatoa taarifa za kutisha kila siku mnakosea me zani kwenye mnaosema mnatishwa kuna wenye tabia hizi ni vema mkaacha ili msiendelee kuona taarifa za kutisha poleni wote mloguswa na hili.
Ila ss binadamu MUNGU atusamehe bure sijui no kitu ngani kinatufanya tuwe wakatili kiasi iki hii ni dunia tu inapita chochote unachokifanya kumbuk kwamba tunapita
Huku Tanzania ukiingiza mwanaume au mwanamke ndani majirani wote watamuona na asubuhi ukiamka kila mtu atakuwa na story ila mwizi akivunja na kukuibia hakuna atayesikia na asubuhi ukiuliza kila mtu atadai hajui. Kweli sa moja mtu akatwe hd kuuliwa na ana majirani
Mwaka mmoja uliopita Ayo TV na Global TV mlilipoti mauaji ya kutisha ya Mfanyakazi wa mgodi wa Geita ambapo nilimuona huyo mwenyekiti akielezea kuwa mauajia hayo yametokea katika mtaa wake. Leo Tena mauajia kama hayo yametokea katika mtaa huohuo. Geita Kuna Nini huko jamani?
Kwani umelazimishwa kufuatilia ayo tv,Hawa ndiyo ayo mungu awabariki sana kwa kutupatia taarifa kila leo safi sana❤❤❤❤❤
Ila wanatanzania ukipiga kelele zafumanizi utaona watu ila lamauji uoni mtu aiseeeeeeee
ila jaman watoto wanapiga kelele majiran hamtoki hata mmoja..hebu tujifunze katika hili inaumiza sana jmn
Poleni sana ndugu zangu,mungu awatie nguvu,ombi langu tubadilike jamani,maswala ya kiofisi yafanyike ofisini kwa kuzingatia masaa ya kazi za serikali,baada ya hapo hakuna huduma tena,mpaka kesho yake,tutapunguza watoto wetu kuona matukio ya kinyama,tunajenga Taifa la mafia wa badae.
Kweli kabisa 😢😢
Poleni sana ndugu wafiwa pia niwashauri tu kua tarifa ni lazima ziwekwe adharani kwani tutajuaje kuna hiki na kile kama tutakua tunaficha kwaiyo mnaosema ayo tv inatoa taarifa za kutisha kila siku mnakosea me zani kwenye mnaosema mnatishwa kuna wenye tabia hizi ni vema mkaacha ili msiendelee kuona taarifa za kutisha poleni wote mloguswa na hili.
Watu hawatoki Hadi kupoe ila kwenye wali wa msibani kupika n wakwanza" inauma Sana inamana wangetoka watu hao wangekimbia tu
Ndo Dunia yetu ilipofikia
Wangesikia Kuna fumaniz wangetok
Hapana jmn,jirani alifungua geti kutaka kutoka,alipigwa tochi kali,akaambiwa ole wake asogeè,na huenda hana silaha yoyote angefanyaje?
Pore sana mtoto MUNGU akutie nguvu❤
Dunia hii, hata kama alikuwa na shida jamani mnamuua mwenzenu? Binadamu tumekuwa zaidi ya wanyama kwakweli. Mungu tusamehe
Acha tu huu ni unyama mkubwa sana😢😢😢
Past paper????
Poleni sana geita Mungu yu pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu
Nahisi ni Cabon paper
😂
😂😂
Uchaguzi huu wataondoka wengi sana,kwan mbaka muuane siumpe hata uchizi tuu😢😢😢
Mi nilijua ni usiku wa manane watu wanapiga makelele mnakosa kuja aiseeee hapo uchunguzi ufanyike simu ya marehemu ifanyiwe uchunguzi
Huu ukatili wa nini jaman 😢
Pole sana Mungu awatie nguvu
Daa uyu baba aliwahi nigongea muhur kwenye barua yangu jaman uwiii, polen wana mwatlole
Hiv muda wote huo marehem kaomba msaada sana lakin hakuna jiran
Inaumiza sana😭, MUNGU akawe mfariji wenu wote
Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake😢😢😢😢
MUNGU atunusur jamani atujui siku walasahaaaa
Tanzania 🇹🇿 tumekuwa wanyama
😢😢😢😢😢
Tanzania yangu
This is so heartbreaking 🥹huyu mtoto sasa atafutiwe mwanasaikolojia 😢she need therapy
Ila ss binadamu MUNGU atusamehe bure sijui no kitu ngani kinatufanya tuwe wakatili kiasi iki hii ni dunia tu inapita chochote unachokifanya kumbuk kwamba tunapita
Mungu wasaidie wanaGeita hali inatisha
😢hii Dunia aisee
Itakuwa kuna kitu na hao watu wametumwa kumuua mwenyekiti.
Kusema kweli mchii ya Tanzanian imezindi kwa matukio ya mauwaji
watu hawa wanajiamini kiasi ganj jamani unaenda kumuulia mtu kwake
Ndio kufa ni kufa ila kufa kwakukatwa na mapanga hapana kifo kibaya sana kifo chamaumivu kweli,ivi kwanini walimfanyiya ivo bin adam mwenzao.
Huku Tanzania ukiingiza mwanaume au mwanamke ndani majirani wote watamuona na asubuhi ukiamka kila mtu atakuwa na story ila mwizi akivunja na kukuibia hakuna atayesikia na asubuhi ukiuliza kila mtu atadai hajui. Kweli sa moja mtu akatwe hd kuuliwa na ana majirani
picha ndio tv????
Binadam tumekuwa wakatili sana
Sana watu wabaya wanyama
Umelazimishwa kuanqalia? Jifunqie wewe mwenyewe.pyuuu
Ajifungie yeye asiangalie...unataka habari gani wakati huu ndo uhalisia wa maisha
Jamanii watu wanaroho ngumuu
Acha watangazie watu wapate elimu au wewe ndio muhusika
R.I.P poleni sana wafiwa
Poleni sana ndugu. Halafu Sio Past paper ni carbon paper inayotumika kuandikia barua ili kubaki na copy.😊
Asante Kwa kuelewesha dear
Mwaka mmoja uliopita Ayo TV na Global TV mlilipoti mauaji ya kutisha ya Mfanyakazi wa mgodi wa Geita ambapo nilimuona huyo mwenyekiti akielezea kuwa mauajia hayo yametokea katika mtaa wake. Leo Tena mauajia kama hayo yametokea katika mtaa huohuo. Geita Kuna Nini huko jamani?
Kumekuwa kama Alusha mungu awanusulu
Na mm naona nihame tu humu Geità sipawezi uchawi sasa ndo usiseme.
Mweeeee! Jamaniiii😢😢😢
Sasa wacpotoa habari xa ukweli,yatajulikanaje matukio hayo ya kinyama? Au na wewe ni mmojawapo?
Dunia hatari yani sasa mwenyekiti mwingine ataekuja si atakatwa mapanga tena jmni😢
Daa uyu baba aliwahi nigongea muhur kwenye barua yangu jaman uwiii, polen wana mwatlole
Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake😢😢😢😢