MTOTO ASIMULIA BABA YAKE AMBAYE NI MWENYEKITI WA MTAA ALIVYOUAWA KWA KUKATWA MAPANGA GEITA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024

Komentáře • 56

  • @barakapjuno9744
    @barakapjuno9744 Před měsícem +8

    Kwani umelazimishwa kufuatilia ayo tv,Hawa ndiyo ayo mungu awabariki sana kwa kutupatia taarifa kila leo safi sana❤❤❤❤❤

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před měsícem +6

    Ila wanatanzania ukipiga kelele zafumanizi utaona watu ila lamauji uoni mtu aiseeeeeeee

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 Před měsícem +4

    ila jaman watoto wanapiga kelele majiran hamtoki hata mmoja..hebu tujifunze katika hili inaumiza sana jmn

  • @EstherleonardMassay
    @EstherleonardMassay Před měsícem +5

    Poleni sana ndugu zangu,mungu awatie nguvu,ombi langu tubadilike jamani,maswala ya kiofisi yafanyike ofisini kwa kuzingatia masaa ya kazi za serikali,baada ya hapo hakuna huduma tena,mpaka kesho yake,tutapunguza watoto wetu kuona matukio ya kinyama,tunajenga Taifa la mafia wa badae.

  • @goodluckkimbi3895
    @goodluckkimbi3895 Před měsícem +1

    Poleni sana ndugu wafiwa pia niwashauri tu kua tarifa ni lazima ziwekwe adharani kwani tutajuaje kuna hiki na kile kama tutakua tunaficha kwaiyo mnaosema ayo tv inatoa taarifa za kutisha kila siku mnakosea me zani kwenye mnaosema mnatishwa kuna wenye tabia hizi ni vema mkaacha ili msiendelee kuona taarifa za kutisha poleni wote mloguswa na hili.

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před měsícem +4

    Watu hawatoki Hadi kupoe ila kwenye wali wa msibani kupika n wakwanza" inauma Sana inamana wangetoka watu hao wangekimbia tu

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 Před měsícem

      Ndo Dunia yetu ilipofikia

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 Před měsícem

      Wangesikia Kuna fumaniz wangetok

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 Před 29 dny

      Hapana jmn,jirani alifungua geti kutaka kutoka,alipigwa tochi kali,akaambiwa ole wake asogeè,na huenda hana silaha yoyote angefanyaje?

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Před měsícem +2

    Pore sana mtoto MUNGU akutie nguvu❤

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 Před měsícem +4

    Dunia hii, hata kama alikuwa na shida jamani mnamuua mwenzenu? Binadamu tumekuwa zaidi ya wanyama kwakweli. Mungu tusamehe

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo Před měsícem +3

    Past paper????
    Poleni sana geita Mungu yu pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu

  • @user-ts5bu7os5d
    @user-ts5bu7os5d Před 25 dny

    Uchaguzi huu wataondoka wengi sana,kwan mbaka muuane siumpe hata uchizi tuu😢😢😢

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 Před 29 dny

    Mi nilijua ni usiku wa manane watu wanapiga makelele mnakosa kuja aiseeee hapo uchunguzi ufanyike simu ya marehemu ifanyiwe uchunguzi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 14 dny

    Huu ukatili wa nini jaman 😢

  • @user-kh8pg6we4e
    @user-kh8pg6we4e Před měsícem

    Pole sana Mungu awatie nguvu

  • @elivilavenanti7742
    @elivilavenanti7742 Před měsícem

    Daa uyu baba aliwahi nigongea muhur kwenye barua yangu jaman uwiii, polen wana mwatlole

  • @ericasimon9631
    @ericasimon9631 Před měsícem

    Hiv muda wote huo marehem kaomba msaada sana lakin hakuna jiran

  • @konemelau9068
    @konemelau9068 Před měsícem

    Inaumiza sana😭, MUNGU akawe mfariji wenu wote

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před měsícem

    Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake😢😢😢😢

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před měsícem +1

    MUNGU atunusur jamani atujui siku walasahaaaa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před měsícem +1

    Tanzania 🇹🇿 tumekuwa wanyama

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa Před 27 dny +1

    😢😢😢😢😢

  • @melch3097
    @melch3097 Před měsícem

    Tanzania yangu

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg Před měsícem

    This is so heartbreaking 🥹huyu mtoto sasa atafutiwe mwanasaikolojia 😢she need therapy

  • @HainessTz
    @HainessTz Před měsícem

    Ila ss binadamu MUNGU atusamehe bure sijui no kitu ngani kinatufanya tuwe wakatili kiasi iki hii ni dunia tu inapita chochote unachokifanya kumbuk kwamba tunapita

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 Před měsícem

    Mungu wasaidie wanaGeita hali inatisha

  • @AtuganileAsubisye
    @AtuganileAsubisye Před měsícem

    😢hii Dunia aisee

  • @gidofond5119
    @gidofond5119 Před měsícem

    Itakuwa kuna kitu na hao watu wametumwa kumuua mwenyekiti.

  • @papamongelwa-rb3ne
    @papamongelwa-rb3ne Před měsícem

    Kusema kweli mchii ya Tanzanian imezindi kwa matukio ya mauwaji

  • @annagesura8375
    @annagesura8375 Před měsícem

    watu hawa wanajiamini kiasi ganj jamani unaenda kumuulia mtu kwake

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před měsícem

    Ndio kufa ni kufa ila kufa kwakukatwa na mapanga hapana kifo kibaya sana kifo chamaumivu kweli,ivi kwanini walimfanyiya ivo bin adam mwenzao.

  • @azizambise
    @azizambise Před 29 dny

    Huku Tanzania ukiingiza mwanaume au mwanamke ndani majirani wote watamuona na asubuhi ukiamka kila mtu atakuwa na story ila mwizi akivunja na kukuibia hakuna atayesikia na asubuhi ukiuliza kila mtu atadai hajui. Kweli sa moja mtu akatwe hd kuuliwa na ana majirani

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 Před měsícem

    picha ndio tv????

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 Před měsícem +1

    Binadam tumekuwa wakatili sana

  • @righitkileo
    @righitkileo Před měsícem +3

    Umelazimishwa kuanqalia? Jifunqie wewe mwenyewe.pyuuu

    • @emmysfitnessandforex9403
      @emmysfitnessandforex9403 Před měsícem +1

      Ajifungie yeye asiangalie...unataka habari gani wakati huu ndo uhalisia wa maisha

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba Před 29 dny

    Jamanii watu wanaroho ngumuu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem

    Acha watangazie watu wapate elimu au wewe ndio muhusika

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před měsícem

    R.I.P poleni sana wafiwa

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před měsícem

    Poleni sana ndugu. Halafu Sio Past paper ni carbon paper inayotumika kuandikia barua ili kubaki na copy.😊

  • @stephanothebig6940
    @stephanothebig6940 Před měsícem +1

    Mwaka mmoja uliopita Ayo TV na Global TV mlilipoti mauaji ya kutisha ya Mfanyakazi wa mgodi wa Geita ambapo nilimuona huyo mwenyekiti akielezea kuwa mauajia hayo yametokea katika mtaa wake. Leo Tena mauajia kama hayo yametokea katika mtaa huohuo. Geita Kuna Nini huko jamani?

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 Před měsícem

      Kumekuwa kama Alusha mungu awanusulu

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 Před 29 dny

      Na mm naona nihame tu humu Geità sipawezi uchawi sasa ndo usiseme.

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před měsícem +1

    Mweeeee! Jamaniiii😢😢😢

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před měsícem

    Sasa wacpotoa habari xa ukweli,yatajulikanaje matukio hayo ya kinyama? Au na wewe ni mmojawapo?

  • @mwanas2
    @mwanas2 Před měsícem

    Dunia hatari yani sasa mwenyekiti mwingine ataekuja si atakatwa mapanga tena jmni😢

  • @elivilavenanti7742
    @elivilavenanti7742 Před měsícem

    Daa uyu baba aliwahi nigongea muhur kwenye barua yangu jaman uwiii, polen wana mwatlole

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před měsícem

    Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake😢😢😢😢