NYOKA AZUA TAHARUKI KWENYE MAKAZI YA WATU, ANADAIWA KUWEPO ZAIDI YA MIAKA 40
Vložit
- čas přidán 29. 12. 2021
- Taharuki iliyoibuka na kujenga hofu kwa wakazi wa eneo la Mliman City mtaa wa Kizigo kata ya Ng’ambo baada ya kusikika sauti ya Nyoka aina ya Koboko anayekisiwa kuwa na urefu wa zaidi ya futi 10 akipiga kelele juu ya mti wa mwembe katika eneo la makazi ya watu
Mungu wetu ni muumbaji yaani Mungu wetu fundii sifa na utukufu tumrudishie Muumba
Mburaaa. Huyo mtaalam wa jadi mwenyew muoga namna hyo. Kasema hatokaa arudi tena.
Kama nyoka huyo hana shida mnamchokoza wa nini jamn hivyo ni vyombo vya ulinzi na usalama tuliachiwa na mababu zetu . Ulinzi konk
🤣🤣🤣
Uyo nyoka ni hatali Sana ndugu yangu ni halali kukimbia
😂😂
😂😂😂😂
Millard Ayo usikose kutupa muendelezo wa hii habari maana inaonyesha Tz tuna maliasili nyingi tafadhali tujulishane kitakaco endelea
Asante sana Millard ayo kwa Taarifa daaahr hadi naogopa hatari sana
Usiogobe Sabi Mamii ,njoo nikukumbatie!!
@@reubenkissinga5802 😅😅😅😂🤣wewe chizikweli
Hao maliasili ni waoga walishaiona hatari hapo hao hawarudi tena
Dah mwenye nyumba kazi anayo
Hapajengeki aongee nae amwambie tu kuwa ee mzimu wa mababu mm ni kijana wako nataka kujenga hapa nakuomba usinidhuru mm pamoja na wajenzi wangu aone km kweli ni wa mzimu hatowadhuru we imagen toka walipoanza kujenga mok hapo ilipofikia mbona hakuwazuru ila Sasa hivi wanamchokoza ndio mana wamuache tu hana madhara na mtu
Mlimani city hakuendeki tna😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅mlimani City Hakuendeki tena
Daaahhh hatarr sana ila kwasisi tulio kulia huo mkoa wa tabora kukutana na nyoka ni kawaida maana ni lazima twende kuangua maembe, ukwaju Sungwi,ila kama ninyoka wa kawida tuu hua hadhuru bila.kummchoka unaweza.fanya mambo yako mpaka uka maliza na yeye ana kwangalia tuu na asifanye kitu ila huyu sio wa kawaida kwakwer
Mmh pole kwahil mung awafanyie wepis aondoke
Shikamoo bibi kazi iendelee
Mnamchokoza wananchi mnapenda kuvamia vamia.
Bibi nimekuelewa Sana Sana!
Bibi bibii
Bibi mchawi uyu
Subhanaallah
Inatosha nyoka huyo sio sawa kama anamiaka kazaa ana wenyewe
Kbs anawenyew
Suh hanallah mtihan wallah polen sn wakaz wahapo
Huyo bibi huyo wakae naye vizuri, maongezi yake tuu yanaonesha anamjua vizuri huyo nyoka kuliko mtu mwingine yeyote.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣
Umeona ee😁😁😁
🤔🤔🤔🤔🤔
Koboko jmn kwa mkoa wa tabora wamezidi ila huyo koboko ni wa maajabu make koboko ni mkorofi san
Nilipoona Mlimanicity nikajua ya dar na nyoka huyo vp
Hata mm nikafikiri mlimani city ya dar kumbe kijijini duh🤣🤣🤣🤣🤣
Waseme Vizuri na uyu Bibi,Bibi anaonekana mchongo anaujua,Taratibu wamwombe atoe mchongo wake,Bibi anakwambia mdudu ajachokoza mtu,mbuzi Wala kuku na Mwaka huu ndo wamemuchokoza😂
🤣🤣🤣 Bib hapn chezea
Bibi anajuwa history lakini hausiki
Yeah Bibi anajua mchongo mzima 🤣🤣🤣🤣
😃😄😃😃
😂😂😂
Mmmmmmh huyu bibi siyo mtamu kwa kweli au ndy utajiri wake
Mmmmmh Bibi mbona anajiamin saaaana kuna nini ama
Subhannallaah
Nyoka wa mizimu,ni maombi tu
Karibuni mlin city nikivutio chautalii
Mliman City hakuendeki tena
Duuuh Mungu awasaidie sana
Atali sana
Mmh Tanzania yangu hii😂😂
Mliman city, 😉🥰
Bibi kamaliza nyie jifanye wa digitali mtakufa sanaaaaah
digital
tena kamaliza mazimaaa
Jamani nihatari sanaaaaa
Bahati yako amekusamehe huyo nyoka🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Bib fanya mpang nyoka aondk kwa aman Jins unavyoongea km wamjuw hivi
Hee😂😂😂
Hi hi
🤣🤣🤣🤣
Bibi upo vizuri
Bb hajui bana ila mwulizen vzuri
Kama hasumbui mwachen nyoka wa watu afanye maisha yake
Mbona huyu bibi kama anahusika na huyo nyoka😢😢...Yan anaongea kirahisi eti wamuacheee
SubhanAllah 😳😳😳🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️,Naomba Muendelezo Plz.
Mhuu nashaka nahuyu bibi anajua kila kitu🎉🎉🎉🎉🎉4😂😂😂😂
Subhannallah huo ni mzim siyo joke hiloo jitahadhalini hapojamani kamawatoto ndio muwemachoò naoo
Ingekua mlimani City ya kwetu dar sasa hivi nyoka kashagongwa na gari tu🤣
basi awe ni nyoka lakini sio nyoka yule
Asiuawe....
Waletwe wataalamu wa nyoka atolewe akafugwe na kutunzwa kwa utalii... Ni kiumbe kipolee sana....éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Una balaaa ww achana na huyo nyoka kbsa ni hatar kbsa black mamba we ni hatar sana
@@vivianvivian8585 hakuna kiumbe asiye fugika kwa Mwanadamu... .. Ni uoga wetu tu... Mwenyezi Mungu katupa mamlaka kamili....
Haumjui Koboko ww,hata hao wa maliasili hawawezi Kwnda kichwa kichwa..
Etiii kiumbe kipole nenda bs kamchukue uishi naye nyumbn kwako....!!!
@@johnmalembo6464 We unafuga kiumbe ganii usije ukawa unafuga njiwa halafu unajimwambafy
Karibuni kwa elimu zaidi kuhusu nyoka aina zote
Mh nimahajabu lakin tufanye maombi ndg zang
Atar sana
Nyoka hao kuna wakati wanatema mate kisha uyoga unaota tunapata chakula
Heeeee kumbee
Siri tena uyoga
@@Mazoeambona asali unakula wkt nyuki hutumbua hata mizoga kutengeneza asali?
Kule siwezi kuludu angekuwa wa kawida ningeenda 🤑😳😂😂😂🏃🏃🏃🏃
Duh poleni wakazi wa hapo mtihani nyoka wa uchawi uyo
Yn mhmhmh, huyu ni htrii nyok
Hap nd utajua story za koboko au black mamba ni kweli
Huyo Bibi huyo nyoka pengine wa Baba Ake na anamjuwa vizuri huwenda hata anamfanyia mambo ya jadi.
Bibi ameshamaliza mchezo kasema kama yupo anayeweza kumtoa nyoka huyo bila kumzuru amtoe lkni kama hayupo wamwache
wasimuue ila wampeleke hifadhi za taifa awe kivutio kwa watalii, kama anawika ataleta watalii wengi sana sana.......
nawazungu wanawapenda sana hao black mamba
Mbona mmekaa apo kwenye mwembe tena jaman uyo nyoka ayupo apo siniatali sana jaman
Mhhhhhh hizi imani zetu zitakuja kusiha lini huyo nyoka yuko wapi mimi nikamchukue?Kazi yake ndogo sana..
Sijajuwa kiundani zaidi Ila huyu bibi ni hatari Kwa maelezo yake.
Nyoka Wa Ivo Morogoro Kuna Mahali Alikuapo Yuko Na Upanga Kama Wa Jogoo 🐓 Anawika Watu Tulibadili Njia Alikua Anaishi Kwenye Kichuguu Au Vichuguu Vyenye Mashimo Marefu Sana
😳😳😳
Mpk leo yupo
Mm sio mkaz wa Moro lkn niliwah kuskia hii story cjui n kwel
huyo jamaa namjua vizuli toka nikiwa mdogo na sijawahi kuona anakamata nyoka ni mjanja wa town tu
😂😂😂
Wangapi wanamsikiliza bibi 2024😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Apoumeongea koboko mngekufa kijiji kizima
Tupe muendelezo wa hii taarifa kwa kweli
Huyo Bibi Kuna kitu anajua
Ni hivi kwa wale tuliopitia maisha ya kuchunga ng'ombe,koboko ni nyoka mstaarabu,mpole na hapendi kelele. Watu wanadaganya kuwa ana miaka 40 hapana isipokuwa hufa na kuacha watoto. Siku ya kumtoa ndipo mtamjua vizuri
Unawatisha wenzio😂😂😂😂
@@magrethopundo9460 🤣
Mmmm 🙄 koboko mpole kobo huyuhuyu ninaemjua mm
@@lulually5209 trust me. Nyoka wa ovyo ni Kobra yule anayevibisha kichwa
Wampe bibi maokoto awatolee
Duuh kwajins nlivoskiliza huyu sio nyoka
Mimi naweza kumamisha bila shida kwani anawatisha kuingiza kichwa kwenye uji mmi naingiza kichwa kwenye moto wa petroli
😂😂😂😂
Ummmh! Huyo bibi kuna kitu anakijua ndani yake wamuulize vizuri tu
😂😂😂😂 duuh polen sana wa tabola
Duuu kweli mambo nimengi
😢Mmmh?
Mbona nyoka atujamuona sasa😂😂
Kuna video moja wametuma watu wengine ana onekana milard haja ipata iyo
Hawa Nyoka huwa ni Mizimu, yaani ukithubutu kumuua Asilimia kubwa Mito ya Maji hukauka na Baadhi ya Mambo kutokea Vijijini. Asilimia kubwa ya Vijiji wapo wengi.
😃😃😃😃sio nyoka wa kawaida uyoo..... Jamaa kashasema harudi tena
Nmecheka walah
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Fanya kazi tafuta hela acha hizo imani za ajabu denis
🐍 Nyoka Ni Adui Wa Mwanadamu Wacheni Kukulupuka
Nikweli kabisa mungu alitoa mamlaka kukanyaga nyoka na mnge kulikoni uyo nyoka kuishi miaka yote iyo
❤
Sasa kama hadhuru mtu yanini kumsumbua nyoka wa watu.
Mlimani city hapafai tena😂😂😂😂😂😂
Sasa mnasema kuna nyoka hapo kwenye mwembe Sasa mbona mmekaa hapo hapo?Sasa mtuletee mrejesho tunausubili kama wamemuondoa au la
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hawa wanamjuwa vizuri haswa huyo bi mkubwa inaonekana nyoka wake
Hata Chatu Pia Yuko Na Tabia Za Kuwika Ukijichanganya Itakula Kwako
Koboko hawezi ishi miaka zaidi ya arobaini. Akiishi mingi ni 20. Ungebeba chungu cha mafuta ya moto .Na kweli Black Mamba akikugonga huponi na ikitoke ukapona basi utapata kilema cha maisha kwenye mfumo wa fahamu maana sumu yake inaatack neurons.
Sure ndio mashangaaa eti kapona na anasimulia
@@flova7022 🤣🤣🤣
Ule mzimu tu sio nyoka wa kawaida na angetaka kumdhuru angemdhuru kwa sababu hayupo hapo kwa ajili ya kudhuru wanaadamu ndio mana kapona na uji haukumuunguza hao viumbe ni wabaya lkn kwa sababu yy hayupo hapo kwa ubaya ndio mana watu wanaishi eneo Hilo mpk leo ila Sasa wanachotaka kukifanya Sasa hivi kitawakost si wameamua kumchokoza atawamaliza
Ohh
Kaeni na bibi vizuri🤣🤣🤣bibi anakwambia sasa yuko pale ,ndo wananchi wamepata woga ",sisi wote tumepata woga" 😂😂hapana bibi yu ajua kitu apo ,bibi anajua something behind the scene,bibi anajua muulizen tuu vzr
Yaani hata mimi nina shaka na bibi bibi anajua kumtoa ongeeni nae vizuri 😂😂😂
Kama hajathuru mtu yoyote miqka yote hiyo mwacheni tu.
Huyo nyoka mwenye anamiliki ni huyo kikongwe kama utabisha msikilize vizuri maelezo yake hata andolewe anasema kama kuna mtu anaweza kumuondoa akamuondoe
Jaman we Acha tu
duha huyo nyoka hatar sana
muwendelezo uko wapi Millard ayo wa hi stor pleass twahitaji muendeo ilishia wapi
Yani uyo nyoka Kama anawika ni wakupazwa coz kashakuwa mkubwa ila kama mpaka sasa ajapazwa bs kusemeya uyo baba siyo nyoka wa kawaida
Uyo sio nyoka wa kawaida fanye mila nyoka aende zake sasa muuweni muone baraha lake
Mtafute washungaji waombe ndio wamuue
Huyo bibi aseme ukweli
Bibi kasema mwenye uwezo akamuondoe kama hawawezi wamuache😂
Wabongo bwana 😁😁waiteni wazungu waje wamuondoe,ujinga kitu mbaya sana 😁😁
kweli nashangaa watanzania wanasema awen huyo black mamba hana dawa wakat wazungu wanaumwa na wanajitibu nakesho wanarudi katka eneo hilo na kuhakikisha wanamshika tena akiwa hai sema watanzania wanapenda kutiyana khofu
Nilipo kua na umri wa miaka 8 nilitumwa kuchota maji uko Kijiji Cha kisangata sinikasikia saut ya jogooo akiwika bila kujua kumbe alikua ni nyoka nikajiuliza uyu jogoo kapotea mpaka kufika uku ? Kila nilipo piga atua kwenda mbele alinitolea saut ya ukali uku nikiona majan malefu yakilala nikahis atar nikakimbia
Hizo ni story za vijiji tu hakuna ukweli ni uvuni kaboko ni nyoka hatari sana kwa jina marufu ni black Mamba hana ukweli hapo
Uyo nyoka sio wa kawaida mawili Mizimu au kuna zahabu hapo chini sema wazee ndio washapotea tumebaki vijana wazungu
@@AishaAisha-rh1fc kweli kabisa
Alafu koboko hana kichwa kama cha jogoo sijui anawika.. yaan kuna uongo
@@treyvissy9854 huwajui nyoka wew kama hujaishi kijijini huwezi kujua nyoka kama hao wapo na hawanashida mpaka usogee karibu na mazingira anapoishi ndio utamuona mkorofi
Haujui unachokisema.....
Webibi nitakupa baaabu🎉
😀😀 jmn nliwah kutana na chatu uso kwa uso nliliona kaburi nlikimbia na sjui nguvu ya kukimbia sjui nliitoa wapi hata nlovoruka kwenye jiwe sjatambua nlivoumia sjuu nilipofika nyumbn ninamaalama kila sehem za miguu
Duuh kweli huyo ni nyoka konki
Tafadhari msimtoe huyo Nyoka
Au uyu nyanya yuamfahamu nyoka wa nani
Unatokea Mombasa sehemu gani?
Hhhhhh
Wanadam mnanyodo sana MWENYEZIMUNGU ANAWAONYESHA KUNA VIUMBE WENGINE ALHAMDULILLAH NAMPENDA HUYO NYOKA TOKENI HAPO VUNJA NYUMBA ZENU
Aly.ismail.kasida
@@anuarikikoti1782 nice one
Huyo nyoka kwetu tanga mwaka 2000 kulinyesha mvua kukajaa maji akaletwa kutoka juuya milima ya wasambaa mana wa napendaga kukaa kwenye mapango basi akawa anakaa juu yamti. Mana ule mto ulipitakwenyekambi ya jeshi basi usiku jeshi wakitoka ulaiyani kuzurura usiku anawakimbiza usiku sauti anagonga miti basi jeshi walimuwinda mpaka wakamuuwa tena walimuua usiku mtialiokuwa. Anakaa niilemitimilefu mweupe nilimshuhudia. Akiwa hai anamkatiza mjini nimlefuu kweli sijawahi ona nyoka kqmq Huyo tena alivyouliwa hakuwepo tena wanakuwaga adimu NA mchana hawaonekani hovyo
@@user-po8hz7xw9j huyo sasa ni nyoka kweli, hata mimi ni watanga mwenzio na niliwaji kukaa lindi huyo nyoka ana uwezo wa kigonga hata zaiya mara arobaini na anaegongwa na huyo kiumbe hana maisha na bahati mbaya nyengine ukimchokoza au ukijaribu kumuua halafu ukamshindwa ujue lazima akuue wewe hata ukiwahi kuingia ndani ya gari atajifunga popote pale ukisimama tu unajua umemkimbia tayari ukifungua tu mlango wa gari hata kabla ya kushuka anaweza akakugonga zaidi ya mara tatu na bado haondoki mpaka ufe hadi ahakikishe mapigo ya moyo yamesimama ni nyoka mwenyechuki na hasira sana ispokuwa huyu wa tabora ni kiumbe mwengine kabisa anaeonekana kwa umbo la nyoka huyu mtu wa nyoka kugongwa zaidi ya mara mbili asingeweza hata kunyanyua mguu kupiga hatua maana unapogongwa na nyoka koboko unapa short mwilini na mwili kuanza kifanya kazi vice versus kwa dakika tatu baada ya hapo maji ya mwilini hukauka na kupelekea damu kuganda, wakati nyoka wa kawaida sumu yake haina uwezo wa kukausha maji mwilini.
@@davidcurtis8556 😃
Rabda anawalinda jaman! Na kwakua miaka yote yupo na hajamdhuru mtu na nyie ndo mnaanza kumtibua aanze kutafuna one after one
nyoka halindi ndugu
Anaelinda ni Mungu tu...
😂😂😂 nyoka anamlinda nani, akiamua kutafuna one after another atatafuna tu.
@@kaizamandike8771 huez jua labda joka la mizimu
mmh toka lini nyote akawa urafiki na mwanadamu, wala haitawi tokea hii ni ahadi ya mungu binadamu kua adui wa nyoka na nyoka kua adui mwana ADAM
Kila nyoka bongo wanamuita koboko🤣🤣🤣🤣 hamuwajui nyoka nyie
Koboko wanapatikana uko mwanza Kwaiyo kote ndio uko uko
Ahahahah
@@moonaamli6835 kwel wako mwanza
Ni nyokaa mmoja hatati Sana na anapatokana porini mara nyingi
TATU RAJABU KHALFANI black mamba hawiki hawa jamaa waongo sana