NYOKA AZUA TAHARUKI KWENYE MAKAZI YA WATU, ANADAIWA KUWEPO ZAIDI YA MIAKA 40

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 12. 2021
  • Taharuki iliyoibuka na kujenga hofu kwa wakazi wa eneo la Mliman City mtaa wa Kizigo kata ya Ng’ambo baada ya kusikika sauti ya Nyoka aina ya Koboko anayekisiwa kuwa na urefu wa zaidi ya futi 10 akipiga kelele juu ya mti wa mwembe katika eneo la makazi ya watu

Komentáře • 522

  • @vailethkinabo7961
    @vailethkinabo7961 Před 2 lety +21

    Mungu wetu ni muumbaji yaani Mungu wetu fundii sifa na utukufu tumrudishie Muumba

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před 2 lety +35

    Mburaaa. Huyo mtaalam wa jadi mwenyew muoga namna hyo. Kasema hatokaa arudi tena.
    Kama nyoka huyo hana shida mnamchokoza wa nini jamn hivyo ni vyombo vya ulinzi na usalama tuliachiwa na mababu zetu . Ulinzi konk

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Před 2 lety +19

    Millard Ayo usikose kutupa muendelezo wa hii habari maana inaonyesha Tz tuna maliasili nyingi tafadhali tujulishane kitakaco endelea

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před 2 lety +11

    Asante sana Millard ayo kwa Taarifa daaahr hadi naogopa hatari sana

  • @ramadhanzengwe3876
    @ramadhanzengwe3876 Před 2 lety +29

    Hao maliasili ni waoga walishaiona hatari hapo hao hawarudi tena

  • @mtelewalindi84
    @mtelewalindi84 Před 2 lety +12

    Dah mwenye nyumba kazi anayo

    • @lulually5209
      @lulually5209 Před rokem

      Hapajengeki aongee nae amwambie tu kuwa ee mzimu wa mababu mm ni kijana wako nataka kujenga hapa nakuomba usinidhuru mm pamoja na wajenzi wangu aone km kweli ni wa mzimu hatowadhuru we imagen toka walipoanza kujenga mok hapo ilipofikia mbona hakuwazuru ila Sasa hivi wanamchokoza ndio mana wamuache tu hana madhara na mtu

  • @khamisfarouk9493
    @khamisfarouk9493 Před 2 lety +22

    Mlimani city hakuendeki tna😂😂😂😂

  • @leilafsadickfsadick5471
    @leilafsadickfsadick5471 Před 2 lety +13

    Daaahhh hatarr sana ila kwasisi tulio kulia huo mkoa wa tabora kukutana na nyoka ni kawaida maana ni lazima twende kuangua maembe, ukwaju Sungwi,ila kama ninyoka wa kawida tuu hua hadhuru bila.kummchoka unaweza.fanya mambo yako mpaka uka maliza na yeye ana kwangalia tuu na asifanye kitu ila huyu sio wa kawaida kwakwer

  • @FatmaFatmaAbubar
    @FatmaFatmaAbubar Před 28 dny

    Mmh pole kwahil mung awafanyie wepis aondoke

  • @ZuberiNahoche
    @ZuberiNahoche Před 2 měsíci +1

    Shikamoo bibi kazi iendelee

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 2 lety +10

    Mnamchokoza wananchi mnapenda kuvamia vamia.

  • @newahomwashiuya8858
    @newahomwashiuya8858 Před 2 lety +16

    Bibi nimekuelewa Sana Sana!

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety +1

    Subhanaallah

  • @user-xs7bw2im8h
    @user-xs7bw2im8h Před 2 měsíci +4

    Inatosha nyoka huyo sio sawa kama anamiaka kazaa ana wenyewe

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před 2 lety +1

    Suh hanallah mtihan wallah polen sn wakaz wahapo

  • @GameOnMobile_
    @GameOnMobile_ Před 2 lety +23

    Huyo bibi huyo wakae naye vizuri, maongezi yake tuu yanaonesha anamjua vizuri huyo nyoka kuliko mtu mwingine yeyote.

  • @alicemwalimu8791
    @alicemwalimu8791 Před 2 lety +4

    Koboko jmn kwa mkoa wa tabora wamezidi ila huyo koboko ni wa maajabu make koboko ni mkorofi san

  • @khatibali195
    @khatibali195 Před 2 lety +10

    Nilipoona Mlimanicity nikajua ya dar na nyoka huyo vp

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Před rokem

      Hata mm nikafikiri mlimani city ya dar kumbe kijijini duh🤣🤣🤣🤣🤣

  • @janguboitz4316
    @janguboitz4316 Před 2 lety +39

    Waseme Vizuri na uyu Bibi,Bibi anaonekana mchongo anaujua,Taratibu wamwombe atoe mchongo wake,Bibi anakwambia mdudu ajachokoza mtu,mbuzi Wala kuku na Mwaka huu ndo wamemuchokoza😂

  • @MariamBenedicto-tz3yj
    @MariamBenedicto-tz3yj Před 10 dny

    Mmmmmmh huyu bibi siyo mtamu kwa kweli au ndy utajiri wake

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa2503 Před 2 lety +2

    Mmmmmh Bibi mbona anajiamin saaaana kuna nini ama

  • @aisharamadan3620
    @aisharamadan3620 Před 2 lety

    Subhannallaah

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Před 2 lety +14

    Nyoka wa mizimu,ni maombi tu

  • @rashidiasantemwalimngandil4890

    Karibuni mlin city nikivutio chautalii

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau2527 Před 2 lety +2

    Mliman City hakuendeki tena

  • @magrethopundo9460
    @magrethopundo9460 Před 2 lety

    Duuuh Mungu awasaidie sana

  • @RehemaMohamed-ky9xh
    @RehemaMohamed-ky9xh Před 2 měsíci

    Atali sana

  • @tanzaniatravellers1718
    @tanzaniatravellers1718 Před 2 lety +5

    Mmh Tanzania yangu hii😂😂

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 Před 2 lety +6

    Mliman city, 😉🥰

  • @chynizboy7520
    @chynizboy7520 Před 2 lety +5

    Bibi kamaliza nyie jifanye wa digitali mtakufa sanaaaaah

  • @christopherngunwa9522
    @christopherngunwa9522 Před 2 lety +2

    Jamani nihatari sanaaaaa

  • @zawadisaidi4723
    @zawadisaidi4723 Před 2 lety +2

    Bahati yako amekusamehe huyo nyoka🤣🤣🤣

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety +17

    🤣🤣🤣 Bib fanya mpang nyoka aondk kwa aman Jins unavyoongea km wamjuw hivi

  • @rajabuSwaleh
    @rajabuSwaleh Před měsícem

    Bibi upo vizuri

  • @ShitantaRashidy
    @ShitantaRashidy Před 2 měsíci

    Bb hajui bana ila mwulizen vzuri

  • @marrymenas
    @marrymenas Před 2 lety +12

    Kama hasumbui mwachen nyoka wa watu afanye maisha yake

  • @DotoJuma-m3g
    @DotoJuma-m3g Před 17 dny

    Mbona huyu bibi kama anahusika na huyo nyoka😢😢...Yan anaongea kirahisi eti wamuacheee

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 2 lety +4

    SubhanAllah 😳😳😳🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️,Naomba Muendelezo Plz.

  • @KulwaNgasa-uo4fd
    @KulwaNgasa-uo4fd Před 3 dny

    Mhuu nashaka nahuyu bibi anajua kila kitu🎉🎉🎉🎉🎉4😂😂😂😂

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Před 2 lety +1

    Subhannallah huo ni mzim siyo joke hiloo jitahadhalini hapojamani kamawatoto ndio muwemachoò naoo

  • @marcelpaulbiste5268
    @marcelpaulbiste5268 Před 2 lety +14

    Ingekua mlimani City ya kwetu dar sasa hivi nyoka kashagongwa na gari tu🤣

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 2 lety +6

    Asiuawe....
    Waletwe wataalamu wa nyoka atolewe akafugwe na kutunzwa kwa utalii... Ni kiumbe kipolee sana....éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

    • @vivianvivian8585
      @vivianvivian8585 Před 2 lety

      Una balaaa ww achana na huyo nyoka kbsa ni hatar kbsa black mamba we ni hatar sana

    • @johnmalembo6464
      @johnmalembo6464 Před 2 lety

      @@vivianvivian8585 hakuna kiumbe asiye fugika kwa Mwanadamu... .. Ni uoga wetu tu... Mwenyezi Mungu katupa mamlaka kamili....

    • @liliankessy1255
      @liliankessy1255 Před 2 lety

      Haumjui Koboko ww,hata hao wa maliasili hawawezi Kwnda kichwa kichwa..

    • @neemazee1864
      @neemazee1864 Před 2 lety

      Etiii kiumbe kipole nenda bs kamchukue uishi naye nyumbn kwako....!!!

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Před 2 lety

      @@johnmalembo6464 We unafuga kiumbe ganii usije ukawa unafuga njiwa halafu unajimwambafy

  • @TanzaniaHerpetologicalSociety

    Karibuni kwa elimu zaidi kuhusu nyoka aina zote

  • @InvocavityNdossi
    @InvocavityNdossi Před 16 dny

    Mh nimahajabu lakin tufanye maombi ndg zang

  • @ayeshiiddi302
    @ayeshiiddi302 Před 2 lety

    Atar sana

  • @manilabonalumanula1014
    @manilabonalumanula1014 Před 2 lety +8

    Nyoka hao kuna wakati wanatema mate kisha uyoga unaota tunapata chakula

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Před 2 lety +2

    Kule siwezi kuludu angekuwa wa kawida ningeenda 🤑😳😂😂😂🏃🏃🏃🏃

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 Před 2 lety

    Duh poleni wakazi wa hapo mtihani nyoka wa uchawi uyo

  • @user-pj4jw7jd6e
    @user-pj4jw7jd6e Před měsícem

    Yn mhmhmh, huyu ni htrii nyok

  • @arafatharoub6215
    @arafatharoub6215 Před 2 lety +1

    Hap nd utajua story za koboko au black mamba ni kweli

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +1

    Huyo Bibi huyo nyoka pengine wa Baba Ake na anamjuwa vizuri huwenda hata anamfanyia mambo ya jadi.

  • @SelfaaManyasi
    @SelfaaManyasi Před 3 dny

    Bibi ameshamaliza mchezo kasema kama yupo anayeweza kumtoa nyoka huyo bila kumzuru amtoe lkni kama hayupo wamwache

  • @RUFUS_97
    @RUFUS_97 Před 2 lety +5

    wasimuue ila wampeleke hifadhi za taifa awe kivutio kwa watalii, kama anawika ataleta watalii wengi sana sana.......

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Před 2 měsíci

    Mbona mmekaa apo kwenye mwembe tena jaman uyo nyoka ayupo apo siniatali sana jaman

  • @meherdadkarambeck2110
    @meherdadkarambeck2110 Před 2 lety

    Mhhhhhh hizi imani zetu zitakuja kusiha lini huyo nyoka yuko wapi mimi nikamchukue?Kazi yake ndogo sana..

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana1271 Před 2 lety +14

    Sijajuwa kiundani zaidi Ila huyu bibi ni hatari Kwa maelezo yake.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 lety +5

    Nyoka Wa Ivo Morogoro Kuna Mahali Alikuapo Yuko Na Upanga Kama Wa Jogoo 🐓 Anawika Watu Tulibadili Njia Alikua Anaishi Kwenye Kichuguu Au Vichuguu Vyenye Mashimo Marefu Sana

  • @jumakasim8784
    @jumakasim8784 Před 2 lety +3

    huyo jamaa namjua vizuli toka nikiwa mdogo na sijawahi kuona anakamata nyoka ni mjanja wa town tu

  • @user-iw7gy9dt1c
    @user-iw7gy9dt1c Před měsícem

    Wangapi wanamsikiliza bibi 2024😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RahmaaMsekwa
    @RahmaaMsekwa Před měsícem

    Apoumeongea koboko mngekufa kijiji kizima

  • @singinggirl6554
    @singinggirl6554 Před 2 lety +1

    Tupe muendelezo wa hii taarifa kwa kweli

  • @janethvictor1386
    @janethvictor1386 Před 2 lety +2

    Huyo Bibi Kuna kitu anajua

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 Před 2 lety +7

    Ni hivi kwa wale tuliopitia maisha ya kuchunga ng'ombe,koboko ni nyoka mstaarabu,mpole na hapendi kelele. Watu wanadaganya kuwa ana miaka 40 hapana isipokuwa hufa na kuacha watoto. Siku ya kumtoa ndipo mtamjua vizuri

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op Před měsícem

    Duuh kwajins nlivoskiliza huyu sio nyoka

  • @franckjumanne6626
    @franckjumanne6626 Před 2 lety +5

    Mimi naweza kumamisha bila shida kwani anawatisha kuingiza kichwa kwenye uji mmi naingiza kichwa kwenye moto wa petroli

  • @user-jb1fi5iq8g
    @user-jb1fi5iq8g Před 2 měsíci +2

    Ummmh! Huyo bibi kuna kitu anakijua ndani yake wamuulize vizuri tu

    • @JerdaInnocent
      @JerdaInnocent Před 13 dny

      😂😂😂😂 duuh polen sana wa tabola

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 2 lety

    Duuu kweli mambo nimengi

  • @EmsonFilemon
    @EmsonFilemon Před 2 měsíci

    😢Mmmh?

  • @basilmswahili3685
    @basilmswahili3685 Před 2 lety +5

    Mbona nyoka atujamuona sasa😂😂

    • @mudighurayra
      @mudighurayra Před 2 lety

      Kuna video moja wametuma watu wengine ana onekana milard haja ipata iyo

  • @swahiliinspirations7953
    @swahiliinspirations7953 Před 2 lety +10

    Hawa Nyoka huwa ni Mizimu, yaani ukithubutu kumuua Asilimia kubwa Mito ya Maji hukauka na Baadhi ya Mambo kutokea Vijijini. Asilimia kubwa ya Vijiji wapo wengi.

  • @denissilas9379
    @denissilas9379 Před 2 lety +13

    😃😃😃😃sio nyoka wa kawaida uyoo..... Jamaa kashasema harudi tena

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 lety +5

    🐍 Nyoka Ni Adui Wa Mwanadamu Wacheni Kukulupuka

    • @JerdaInnocent
      @JerdaInnocent Před 13 dny

      Nikweli kabisa mungu alitoa mamlaka kukanyaga nyoka na mnge kulikoni uyo nyoka kuishi miaka yote iyo

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv Před 2 měsíci

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 Před měsícem

    Sasa kama hadhuru mtu yanini kumsumbua nyoka wa watu.

  • @nandopapihno143
    @nandopapihno143 Před 2 lety +11

    Mlimani city hapafai tena😂😂😂😂😂😂

  • @moonaamli6835
    @moonaamli6835 Před 2 lety +8

    Sasa mnasema kuna nyoka hapo kwenye mwembe Sasa mbona mmekaa hapo hapo?Sasa mtuletee mrejesho tunausubili kama wamemuondoa au la

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hawa wanamjuwa vizuri haswa huyo bi mkubwa inaonekana nyoka wake

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 lety +1

    Hata Chatu Pia Yuko Na Tabia Za Kuwika Ukijichanganya Itakula Kwako

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Před 2 lety +4

    Koboko hawezi ishi miaka zaidi ya arobaini. Akiishi mingi ni 20. Ungebeba chungu cha mafuta ya moto .Na kweli Black Mamba akikugonga huponi na ikitoke ukapona basi utapata kilema cha maisha kwenye mfumo wa fahamu maana sumu yake inaatack neurons.

    • @flova7022
      @flova7022 Před 2 lety +1

      Sure ndio mashangaaa eti kapona na anasimulia

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Před 2 lety

      @@flova7022 🤣🤣🤣

    • @lulually5209
      @lulually5209 Před rokem

      Ule mzimu tu sio nyoka wa kawaida na angetaka kumdhuru angemdhuru kwa sababu hayupo hapo kwa ajili ya kudhuru wanaadamu ndio mana kapona na uji haukumuunguza hao viumbe ni wabaya lkn kwa sababu yy hayupo hapo kwa ubaya ndio mana watu wanaishi eneo Hilo mpk leo ila Sasa wanachotaka kukifanya Sasa hivi kitawakost si wameamua kumchokoza atawamaliza

  • @swalehkataga8352
    @swalehkataga8352 Před 2 lety

    Ohh

  • @justinethobias374
    @justinethobias374 Před 2 lety +6

    Kaeni na bibi vizuri🤣🤣🤣bibi anakwambia sasa yuko pale ,ndo wananchi wamepata woga ",sisi wote tumepata woga" 😂😂hapana bibi yu ajua kitu apo ,bibi anajua something behind the scene,bibi anajua muulizen tuu vzr

    • @aishashomali2716
      @aishashomali2716 Před 2 lety

      Yaani hata mimi nina shaka na bibi bibi anajua kumtoa ongeeni nae vizuri 😂😂😂

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před 2 lety +2

    Kama hajathuru mtu yoyote miqka yote hiyo mwacheni tu.

  • @user-rl1fj9tn3q
    @user-rl1fj9tn3q Před 2 měsíci +1

    Huyo nyoka mwenye anamiliki ni huyo kikongwe kama utabisha msikilize vizuri maelezo yake hata andolewe anasema kama kuna mtu anaweza kumuondoa akamuondoe

  • @moplaizomnyamaoficial3530

    duha huyo nyoka hatar sana

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    muwendelezo uko wapi Millard ayo wa hi stor pleass twahitaji muendeo ilishia wapi

  • @saudaally4109
    @saudaally4109 Před 2 lety +1

    Yani uyo nyoka Kama anawika ni wakupazwa coz kashakuwa mkubwa ila kama mpaka sasa ajapazwa bs kusemeya uyo baba siyo nyoka wa kawaida

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc Před 2 lety +2

    Uyo sio nyoka wa kawaida fanye mila nyoka aende zake sasa muuweni muone baraha lake

  • @gracew7460
    @gracew7460 Před měsícem

    Mtafute washungaji waombe ndio wamuue

  • @EsterLameck-fc1re
    @EsterLameck-fc1re Před 2 měsíci

    Huyo bibi aseme ukweli

  • @IsayaShauri-kn6ef
    @IsayaShauri-kn6ef Před měsícem

    Bibi kasema mwenye uwezo akamuondoe kama hawawezi wamuache😂

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 Před 2 lety +1

    Wabongo bwana 😁😁waiteni wazungu waje wamuondoe,ujinga kitu mbaya sana 😁😁

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před 2 lety

      kweli nashangaa watanzania wanasema awen huyo black mamba hana dawa wakat wazungu wanaumwa na wanajitibu nakesho wanarudi katka eneo hilo na kuhakikisha wanamshika tena akiwa hai sema watanzania wanapenda kutiyana khofu

  • @Miasa-rz8le
    @Miasa-rz8le Před 2 měsíci

    Nilipo kua na umri wa miaka 8 nilitumwa kuchota maji uko Kijiji Cha kisangata sinikasikia saut ya jogooo akiwika bila kujua kumbe alikua ni nyoka nikajiuliza uyu jogoo kapotea mpaka kufika uku ? Kila nilipo piga atua kwenda mbele alinitolea saut ya ukali uku nikiona majan malefu yakilala nikahis atar nikakimbia

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Před 2 lety +14

    Hizo ni story za vijiji tu hakuna ukweli ni uvuni kaboko ni nyoka hatari sana kwa jina marufu ni black Mamba hana ukweli hapo

    • @AishaAisha-rh1fc
      @AishaAisha-rh1fc Před 2 lety +9

      Uyo nyoka sio wa kawaida mawili Mizimu au kuna zahabu hapo chini sema wazee ndio washapotea tumebaki vijana wazungu

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 Před 2 lety +3

      @@AishaAisha-rh1fc kweli kabisa

    • @treyvissy9854
      @treyvissy9854 Před 2 lety +5

      Alafu koboko hana kichwa kama cha jogoo sijui anawika.. yaan kuna uongo

    • @kivujrking7492
      @kivujrking7492 Před 2 lety +5

      @@treyvissy9854 huwajui nyoka wew kama hujaishi kijijini huwezi kujua nyoka kama hao wapo na hawanashida mpaka usogee karibu na mazingira anapoishi ndio utamuona mkorofi

    • @anthonykamkolwe5766
      @anthonykamkolwe5766 Před 2 lety +1

      Haujui unachokisema.....

  • @NeryNerymakenza
    @NeryNerymakenza Před měsícem

    Webibi nitakupa baaabu🎉

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op Před měsícem

    😀😀 jmn nliwah kutana na chatu uso kwa uso nliliona kaburi nlikimbia na sjui nguvu ya kukimbia sjui nliitoa wapi hata nlovoruka kwenye jiwe sjatambua nlivoumia sjuu nilipofika nyumbn ninamaalama kila sehem za miguu

  • @festopaul7549
    @festopaul7549 Před 2 lety +1

    Duuh kweli huyo ni nyoka konki

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 Před 2 lety +2

    Tafadhari msimtoe huyo Nyoka

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 Před 2 lety +8

    Au uyu nyanya yuamfahamu nyoka wa nani

  • @abdihq4228
    @abdihq4228 Před 2 lety +10

    Wanadam mnanyodo sana MWENYEZIMUNGU ANAWAONYESHA KUNA VIUMBE WENGINE ALHAMDULILLAH NAMPENDA HUYO NYOKA TOKENI HAPO VUNJA NYUMBA ZENU

    • @anuarikikoti1782
      @anuarikikoti1782 Před 2 lety +2

      Aly.ismail.kasida

    • @patrickobat8258
      @patrickobat8258 Před 2 lety

      @@anuarikikoti1782 nice one

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety +2

      Huyo nyoka kwetu tanga mwaka 2000 kulinyesha mvua kukajaa maji akaletwa kutoka juuya milima ya wasambaa mana wa napendaga kukaa kwenye mapango basi akawa anakaa juu yamti. Mana ule mto ulipitakwenyekambi ya jeshi basi usiku jeshi wakitoka ulaiyani kuzurura usiku anawakimbiza usiku sauti anagonga miti basi jeshi walimuwinda mpaka wakamuuwa tena walimuua usiku mtialiokuwa. Anakaa niilemitimilefu mweupe nilimshuhudia. Akiwa hai anamkatiza mjini nimlefuu kweli sijawahi ona nyoka kqmq Huyo tena alivyouliwa hakuwepo tena wanakuwaga adimu NA mchana hawaonekani hovyo

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 Před 2 lety +1

      @@user-po8hz7xw9j huyo sasa ni nyoka kweli, hata mimi ni watanga mwenzio na niliwaji kukaa lindi huyo nyoka ana uwezo wa kigonga hata zaiya mara arobaini na anaegongwa na huyo kiumbe hana maisha na bahati mbaya nyengine ukimchokoza au ukijaribu kumuua halafu ukamshindwa ujue lazima akuue wewe hata ukiwahi kuingia ndani ya gari atajifunga popote pale ukisimama tu unajua umemkimbia tayari ukifungua tu mlango wa gari hata kabla ya kushuka anaweza akakugonga zaidi ya mara tatu na bado haondoki mpaka ufe hadi ahakikishe mapigo ya moyo yamesimama ni nyoka mwenyechuki na hasira sana ispokuwa huyu wa tabora ni kiumbe mwengine kabisa anaeonekana kwa umbo la nyoka huyu mtu wa nyoka kugongwa zaidi ya mara mbili asingeweza hata kunyanyua mguu kupiga hatua maana unapogongwa na nyoka koboko unapa short mwilini na mwili kuanza kifanya kazi vice versus kwa dakika tatu baada ya hapo maji ya mwilini hukauka na kupelekea damu kuganda, wakati nyoka wa kawaida sumu yake haina uwezo wa kukausha maji mwilini.

    • @horacemnyasa5400
      @horacemnyasa5400 Před 2 lety

      @@davidcurtis8556 😃

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 2 lety +9

    Rabda anawalinda jaman! Na kwakua miaka yote yupo na hajamdhuru mtu na nyie ndo mnaanza kumtibua aanze kutafuna one after one

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 Před 2 lety +4

      nyoka halindi ndugu

    • @yussufritzy7684
      @yussufritzy7684 Před 2 lety +4

      Anaelinda ni Mungu tu...

    • @kaizamandike8771
      @kaizamandike8771 Před 2 lety

      😂😂😂 nyoka anamlinda nani, akiamua kutafuna one after another atatafuna tu.

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety

      @@kaizamandike8771 huez jua labda joka la mizimu

    • @ROSEROBERTROBART
      @ROSEROBERTROBART Před 2 lety

      mmh toka lini nyote akawa urafiki na mwanadamu, wala haitawi tokea hii ni ahadi ya mungu binadamu kua adui wa nyoka na nyoka kua adui mwana ADAM

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před 2 lety +8

    Kila nyoka bongo wanamuita koboko🤣🤣🤣🤣 hamuwajui nyoka nyie