THE CLASSIC DAZ BABA: KUPANDA NA KUSHUKA / DAZ NUNDAZ KUNA BEEF/ NAHITAJI WIFE/ UMBO NAMBA NANE
Vložit
- čas přidán 29. 12. 2023
- Daz Baba ,moja ya legends wa Bongo Fleva ambae alikua ni miongoni mwa waliofanya aina hii ya muziki kupendwa zaidi nmyumbani kutokana n style yake ya kipekee lakini tungo zake zenye ujumbe makini kabisa,Nae amefika kwenye THE CLASSIC na kutupa hadithi nyingi ambazo hatukuzifahamu hapo kabla
Hawa ndio watu wakuwafanyia interview nimefurai sana
Daaah nimefrai sana kumwona daz baba
Daz Baba ni Great Thinker anaakili nyinyi sana anawaza na kuona mbali, nilimsikiliza kwenye album ya Daznundaz , Album yake Elimu dunia kuna ujumbe wa kutosha na ladha kali sana ya sauti.......
Legend ipo kiafya zaidi
Nime pendaa sana ❤
Yuko poa sasa
Good work bro
Keep it up for good work 👏
Shout out sana Kuvi kwa kutengeneza hii platform ya kipekee.
Nipe tano, hands down had the best beat out of Tanzania. The vocalists also never disappointed. One of my best jams.
Toa ngoma tuko kwakukusapoti
Shuari mwamba daz baba ni mwamba
Shout out kwako mzazi kwa kutuletea awa watu
Nipe 5👊👊my song forever
Ebwana mbna Kali kutoka kwa Daz baba huyo mwana Ni mkali Sana from 254 voi
The legend 🔥🔥🔥🔥
Nakubali sana kaka
Wife and namba 8 respect p.funk
Have long life ❤❤❤
Mtangazaji unamaelezo mengi kinoma
huyu mwamba namkubali sana
Ukweli ni kwamba brothers wetu walikua very talented hata vocals zao ni pure sana hata bila autotune unamsikia yeye kabisaa kama aongeavyo...kudos kwao
Na pia producers walikuwa hawarecord tuu walikuwa wanahakikisha upo fit ndio wanakupa record deal hata kama unaenda na hela yako,walikuwa wanatafuta cream.
Jamaa anaakili sana aiseee
Wasanii wote wa kitambo walikuwa na akili,pia ikumbukwe muziki zamani ulikuwa unaanzia mashuleni.
Moja ya msanii niliyenunua albamu yake
Missing you broda😢😢😢😢😢
Daz intelligent kabisa tatizo uraibu kweli ni mmbaya umeharibu msanii mzuri
picha zinakaa dk nyingi mpzina boa zanini broo acha video ipyei boss
picha zinakaa dk nyingi mpzina boa zanini broo acha video ipyei boss😢😢😢😢😊😊😊😊
Best writer ever
Mtafute Roho Saba please 🥺
Kweli jamaa alituojesha hiphop alaf akatoweka
Nimefurai kumuona na kumsikia Daz Baba
Ila p funk anastahili heshima kubwa sana,maana kila anayekuja hapa lazima ampe heshima yake.
Good work bro.legend must respected
Daz look like a bob marley,,respect to your broh
Daz baba is a legend and top tier but he ain't fun interviewing, Majibu yake yapo straight, si tunataka details baba
atupendi mapicha picha unayo ambatanisha katika video
Mziki wetu vipi tena na bongo tayali inamiziki yake sema ninyi watangazaji amui appreciate mfano singeri ni mziki pure wakibongo kwasababu ni uzao wa mnanda sasa hapo unaitaji nini tena na hapo zaidi ni muendelezo tu
Hawa jamaa ni hazina ya uandishi...
Wapi dark master
Fid Q hio verse aliua !
1998 MAJI YA SHINGO DAZ NUNDAZ NDO MCHEZO ULIPOANZA MIKAMWAMBA
DazBaba & Fid
Unaitwa nani? Fid Q
Kazi yako nin? Mziik
Unaishii wapii? Ghetto
Hii namba 8 ilikua🔥🔥🔥
Mwaka 2006, nili chana class kwetu ngoma ya 'wife' 😂 niliamsha mbaya😁 fulu shangwe vigelegele kwa sana, nilikuwa darasa la 6.
Nilikuwa na ndoto za kuwa msanini wa mziki sijui ziliishia wap🤣.
picha zinakaa dk nyingi mpzina boa zanini broo acha video ipyei boss😢😢😢😢😊😊😊😊