THE CLASSIC DAZ BABA: KUPANDA NA KUSHUKA / DAZ NUNDAZ KUNA BEEF/ NAHITAJI WIFE/ UMBO NAMBA NANE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 12. 2023
  • Daz Baba ,moja ya legends wa Bongo Fleva ambae alikua ni miongoni mwa waliofanya aina hii ya muziki kupendwa zaidi nmyumbani kutokana n style yake ya kipekee lakini tungo zake zenye ujumbe makini kabisa,Nae amefika kwenye THE CLASSIC na kutupa hadithi nyingi ambazo hatukuzifahamu hapo kabla

Komentáře • 45

  • @NdamilaSalada-st8rl
    @NdamilaSalada-st8rl Před 7 měsíci +10

    Hawa ndio watu wakuwafanyia interview nimefurai sana

  • @RamadhanMatula-vg1wx
    @RamadhanMatula-vg1wx Před 7 měsíci +8

    Daaah nimefrai sana kumwona daz baba

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 Před 7 měsíci +6

    Daz Baba ni Great Thinker anaakili nyinyi sana anawaza na kuona mbali, nilimsikiliza kwenye album ya Daznundaz , Album yake Elimu dunia kuna ujumbe wa kutosha na ladha kali sana ya sauti.......

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic Před 7 měsíci +6

    Legend ipo kiafya zaidi
    Nime pendaa sana ❤

  • @MulababazOG
    @MulababazOG Před 7 měsíci +4

    Good work bro
    Keep it up for good work 👏

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 Před 7 měsíci +6

    Shout out sana Kuvi kwa kutengeneza hii platform ya kipekee.

  • @michaelbuoro3015
    @michaelbuoro3015 Před 4 měsíci +1

    Nipe tano, hands down had the best beat out of Tanzania. The vocalists also never disappointed. One of my best jams.

  • @ishengomarugemarila908
    @ishengomarugemarila908 Před 7 měsíci +4

    Toa ngoma tuko kwakukusapoti

  • @user-th4fv9ro2v
    @user-th4fv9ro2v Před 6 měsíci +1

    Shuari mwamba daz baba ni mwamba

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 Před 3 měsíci

    Shout out kwako mzazi kwa kutuletea awa watu

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 7 měsíci +2

    Nipe 5👊👊my song forever

  • @koroboi0069
    @koroboi0069 Před 7 měsíci +2

    Ebwana mbna Kali kutoka kwa Daz baba huyo mwana Ni mkali Sana from 254 voi

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 7 měsíci +2

    The legend 🔥🔥🔥🔥

  • @BarakaJuma-jw5rt
    @BarakaJuma-jw5rt Před měsícem

    Nakubali sana kaka

  • @user-rr6dv4fb6x
    @user-rr6dv4fb6x Před 6 měsíci +2

    Wife and namba 8 respect p.funk

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 7 měsíci +2

    Have long life ❤❤❤

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 7 měsíci +2

    Mtangazaji unamaelezo mengi kinoma

  • @user-kt3ke4sr2e
    @user-kt3ke4sr2e Před 6 měsíci +1

    huyu mwamba namkubali sana

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 Před 7 měsíci +5

    Ukweli ni kwamba brothers wetu walikua very talented hata vocals zao ni pure sana hata bila autotune unamsikia yeye kabisaa kama aongeavyo...kudos kwao

    • @salaita2829
      @salaita2829 Před 6 měsíci +1

      Na pia producers walikuwa hawarecord tuu walikuwa wanahakikisha upo fit ndio wanakupa record deal hata kama unaenda na hela yako,walikuwa wanatafuta cream.

  • @Official_adasco
    @Official_adasco Před 6 měsíci +1

    Jamaa anaakili sana aiseee

    • @salaita2829
      @salaita2829 Před 6 měsíci

      Wasanii wote wa kitambo walikuwa na akili,pia ikumbukwe muziki zamani ulikuwa unaanzia mashuleni.

  • @benjaminlukumay1024
    @benjaminlukumay1024 Před 7 měsíci +1

    Moja ya msanii niliyenunua albamu yake

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 Před 7 měsíci +2

    Missing you broda😢😢😢😢😢

  • @H-moneybags
    @H-moneybags Před 5 měsíci

    Daz intelligent kabisa tatizo uraibu kweli ni mmbaya umeharibu msanii mzuri

  • @BENHAMADUwesuhamad
    @BENHAMADUwesuhamad Před měsícem

    picha zinakaa dk nyingi mpzina boa zanini broo acha video ipyei boss

  • @BENHAMADUwesuhamad
    @BENHAMADUwesuhamad Před měsícem

    picha zinakaa dk nyingi mpzina boa zanini broo acha video ipyei boss😢😢😢😢😊😊😊😊

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 Před 7 měsíci +1

    Best writer ever

  • @sirbaraka
    @sirbaraka Před 7 měsíci +4

    Mtafute Roho Saba please 🥺

  • @nassorhamadi5738
    @nassorhamadi5738 Před 7 měsíci +1

    Nimefurai kumuona na kumsikia Daz Baba

  • @salaita2829
    @salaita2829 Před 6 měsíci

    Ila p funk anastahili heshima kubwa sana,maana kila anayekuja hapa lazima ampe heshima yake.

  • @user-rr6dv4fb6x
    @user-rr6dv4fb6x Před 6 měsíci

    Good work bro.legend must respected

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Před 7 měsíci

    Daz look like a bob marley,,respect to your broh

  • @richardjuma4940
    @richardjuma4940 Před 7 měsíci +2

    Daz baba is a legend and top tier but he ain't fun interviewing, Majibu yake yapo straight, si tunataka details baba

  • @BENHAMADUwesuhamad
    @BENHAMADUwesuhamad Před měsícem

    atupendi mapicha picha unayo ambatanisha katika video

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 7 měsíci

    Mziki wetu vipi tena na bongo tayali inamiziki yake sema ninyi watangazaji amui appreciate mfano singeri ni mziki pure wakibongo kwasababu ni uzao wa mnanda sasa hapo unaitaji nini tena na hapo zaidi ni muendelezo tu

  • @hamisilukanda4353
    @hamisilukanda4353 Před 6 měsíci

    Hawa jamaa ni hazina ya uandishi...

  • @mikatejunior1362
    @mikatejunior1362 Před 7 měsíci

    Wapi dark master

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 Před 7 měsíci

    Fid Q hio verse aliua !

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 Před 7 měsíci

    1998 MAJI YA SHINGO DAZ NUNDAZ NDO MCHEZO ULIPOANZA MIKAMWAMBA

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla Před 7 měsíci

    DazBaba & Fid
    Unaitwa nani? Fid Q
    Kazi yako nin? Mziik
    Unaishii wapii? Ghetto
    Hii namba 8 ilikua🔥🔥🔥

  • @LoFi_120
    @LoFi_120 Před 7 měsíci +5

    Mwaka 2006, nili chana class kwetu ngoma ya 'wife' 😂 niliamsha mbaya😁 fulu shangwe vigelegele kwa sana, nilikuwa darasa la 6.
    Nilikuwa na ndoto za kuwa msanini wa mziki sijui ziliishia wap🤣.

  • @BENHAMADUwesuhamad
    @BENHAMADUwesuhamad Před měsícem

    picha zinakaa dk nyingi mpzina boa zanini broo acha video ipyei boss😢😢😢😢😊😊😊😊