Wacheni kucomment ufala wa kushaout wanavurugu hawa ndo manguli wa sanaa nawanajuana wanafanya utani mzr wa upendo na kusopotiana lkn uwezi amini wasanii wa sasa hawanaga utani kama huu ila hawa wako very happy with them lov u guys
Nmepitia. Comment robo 3 watu wanacomment Juu ya TID ILA MKAE MJUE NIWAZI WASANII WA ZAMANI WANAPENDANA wasasahivi Uwez kuwaweka wakafanya Matani kihvyo Zaman raha sana
TID ana mkwala eti ' kuanzia sasa naomba tuongee English ' hafu ye ndo akamuuliza baba levo ' when was the first time when you and me meet ' ... ye mwenyewe English inamsumbua hafu analeta mashauzi kujifanya anaielewa sana ng'eli
Bongo siku hizi kuna baridi tuambieni na sisi tulio kuwa kabulu tujiandae na majaketi tukiludi nyumbani .Home sweet home i love so much my home tanzania 👍
Kwa bidhaa maridadi na uhakika, karibu Asma cosmetics, Kwa matatizo ya ngozi, uzazi,michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape,hips,n.k Dawa zipo, karibu ofisini,sms,/whatsap 0693_330284
Teh teh teh teh teh Baba Levo anajielewa sana TID nadhani bangi bado iko kwa kichwa sio bureee
Ukweli usemwe *BABA LEVO-HIGH & LOW* umeua kinyamaaaaaaaa
Umetisha sana kwa hilo goma
Wabongo washamba sasa hiyo mikoti ya winta ya nini
@@pettywilliam4492 wewe mnini sasa nyumbu wewe unataka wavae unavyopenda wewe
Wacheni kucomment ufala wa kushaout wanavurugu hawa ndo manguli wa sanaa nawanajuana wanafanya utani mzr wa upendo na kusopotiana lkn uwezi amini wasanii wa sasa hawanaga utani kama huu ila hawa wako very happy with them lov u guys
Sanaa
Nkweli wasasa nwachawi na wana chukiana Sana
One of very interesting Video Clip to watch.....
Mimi nafurahi sana kuona wasanii wetu mnafuraha na amani
Ila interview za baba levo zina furahisha sana
Mungu akutangulie diwan mwenzangu baba levo komaa one dey yes my bradher
Hakuna mgogo mjanja Nani ambae hapendi tabia za tid him ndani weka like
Kigogo yuko smart sana
Baba levo
Yuko poa mcheshi sana
Stay blessed brothers
Nmepitia. Comment robo 3 watu wanacomment Juu ya TID ILA MKAE MJUE NIWAZI WASANII WA ZAMANI WANAPENDANA wasasahivi Uwez kuwaweka wakafanya Matani kihvyo Zaman raha sana
Kabisa aisee wasaiv hawaivi u team umewajaa
@@piterasifa3757 yan wasasa nivjana pia warogaji
Kabisa aiseee 🤝🤝🤝
Si kweli. Hawakupendana back in the days, ndio maana kiucjumi wengi wao wamefail
Si kweli. Hawakupendana back in the days, ndio maana kiucjumi wengi wao wamefail
Sema T-TOUCH unafanana sana na ZIMWI DOMO LA MAMBA bila shaka mtakuwa ndugu sema hamjuani
Ndugu hawa bila shaka
Hahahaha kabisa yan
ahh ahh we kiboko
Nakubal san
😅😅😅😅Nimecheka kifala saana mkubwaaa
Tuachane na miguu ya babalevo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂tuzingtie interview ❤️🙈😂
Nimependa Baba level anajishusha haoneshi makuu
:
Mr T pia amejieleza vzr
Kweli wasani wa Zaman walikuwa wanapendana Sana hawana mabifu ya kijinga km wasanii wa Sasa big Up Sana Kwao.
True
Baba la baba mtoto wa k town king mazoba full one hainaga kugwaya nomaaaaaaa
NMEPENDA INTERVW YENU MMEKUWA PC MNATANIANA N LOVE LIFE NMEPENDA SIO MACHUKICHUKI KUTAMBIANA ETI MM ZAID NAISHI VZR INGEKUWA KSHAMBA
KWELI T I D MNYAMA KAUWAAAA KINOMAAAAAA UPENDO ANAO BADO KAWAPIGA NYEKUNDU MASELA 🙌🙌🙌
Tuache unafiki ngoma ya #high and low ya baba levo ni kali sana
TID ana mkwala eti ' kuanzia sasa naomba tuongee English ' hafu ye ndo akamuuliza baba levo ' when was the first time when you and me meet ' ... ye mwenyewe English inamsumbua hafu analeta mashauzi kujifanya anaielewa sana ng'eli
Tid mnyama kwa upande wangu your'e my best ever broo
TID the way he reacting daaaah😰😰😧😧 he react like someone who smoke nyaupe
Kinachonifurahisha T bway amekaa alafu babalevo na Tid wanafanyiana interview
Hahahahaha hahahahaha
Hahahaaa
Huyo TID ipo siku atavunja vitu kwenye interview au labda kashavunja sehemu fulani wakaficha maana hatulii hata kidogo
Lupande Simukindje Hahahahah T. I.D fala sanaaa 😂
😂😂😂
😛😝😛😝
😂😂😂😂😂
Namkubaly mnyama TID
Anajiachia ana confidence
He kill it
Mnafuta wote weed
Baba levo na mkubali sana kama tuko wegi GONGA like
nice interview ....TID mnyama
Nawapenda saana haswa Baba Levo nishidaa saana
Nakubali baba levo na voic yako
I like the english of TID MNYAMA.
Hahaha.....I like it too.
He is a crazy guy.
Ongea kiswahili wew fara t I d...nyoko wew
T I d acha mwenzako aongee bhana
'Lets not talk about gerezani here" I love T.I.D,s flow in English.
And me too I like TID swags
TID UNAZENGUA you want to speak English while you can’t make a complete sentence🤣🤣🤣
Hahaha
This was fire! Very interesting to watch these two niggas! Beautful. 🎻💪💪
Ma dude wakale safi sn so kama makileo nipeni like👊🔥
Baba Lebo salut zote
Baba level lafudhi ya kigoma.kweli mtu wa kigoma
Kigoma kabisa
Ahahahahhaaaaaa kgm nom
Baba levo nakukubal sana
T.id wenge kam vile amevuta bangi duh
Iv kwann wabongo mnapenda kuwakataa na kucoment ujinga mtandaon kwan mnalazimishwa kutuma jumbe zenu au ni ushamba tu na wivu usio wa kimaendeleo
Simsikii babalevo akimtaja jamaa kwenye interview zake #greybakuza
Bongo Forever.Much love from Kampala.
Some one tell me the title of the song playing in the background.Its hot fire.
Safi nimependa niupendo tu ... Sio majungu t.i.d na baba levo wameiteka show
Ni yeyeeee 🔥🔥🔥
Huyu bangeee arikuwa zamani 97'98,99 mwishoo 20000 mpaka reo tejaaaa sijui wanaraana gan Hawa wasani wazamani banger tupuuuu
Yani hiii show T I D angetulia ungekuwa Kali Sana kwanza kapendeza lakn wenge
Bongo siku hizi kuna baridi tuambieni na sisi tulio kuwa kabulu tujiandae na majaketi tukiludi nyumbani .Home sweet home i love so much my home tanzania 👍
Baba levo mbavu 💪🏿💪🏿
Mtangazajii mbona uwalaza upo na kadii sana halafu na umeweka Dread........aki karibu kenye kwetu dawa ipooo
Very good interview
Mbona kama TID anamapepe🤣
Producer bora Touch
Mzee kgogo solar power hyo kchwan
Hahahahahaha
😂😂😂 bado nyaya na taa tuwashe umeme.
TlD bange sana nandomana anazinguwa lakin baba levo uko pow sana🔥🔥🔥
Super Sunday naona nimeamka nayo super kabisa yaaani kwa kucheka saaana tuuu...mmeifunika Interview mwanzo mwisho 💥💥💥
Hi na low ngoma la taifa
Babu kubwa 🔥🔥
Lovely
Baba Levo baba lao ebwana eee
Baba levo yuko real sana
TID anamawenge sana bhna😂
Munira Ahmed Hello munira pls upowap my best
SANA ana mwenge mno
Mambo munira!!
Bangi iko kichwani bado
Sana
Baba Levo uponachizi tid ajierewi
TID madawa sana yanamsumbua hatulii kabisa
Tid wenge sanaaa ndomaana muziki chaliii
Baba levo good music
Hawa jamaa quality ya Picha yao mbaya vibaya wapo karne gani hawa
Alloy alharthi alafu ni wa kongwe hadi aibu
Wanatumia Annalogy cameras
Mi naona uwe unapelekwa gerezani mara kwa Mara mana uandishi wa ngoma za jela ni hataliiiii baba levo nicheki niko jela kuna mistar nikupe kaka
Baba levo bado unayo tu swaga ya kimua mzee
Kwani tid vp mbona anaongea sana kuliko wengine anaharibu interview bhana anaboa sometime mxiuuuuuuuuuuuuuuuu 😏😏 😏😏 😏😏 😏😏 😏😏 😏
Mi nahisi tid ni mbembe maana wabembe kwakuongea du km mashineb
He talks too much
Pale namba mbovu zinapokutana aise🤣🤣🤣
Ila TID kipa katoka
TID nidhamu hana
Enjoyable
Namkubali kinoma Tid yaani
Jamani wasanii wetu kizungu sio fani yetu
Iko poa sana
Good luck. ..
TID anachekesha sana😂😂😂
CORONA UNAWEZA PATA KUPITIA PUA,MDOMO NA KUSHIKANA MIKONO...WABONGO WANAITAJI ELIMU ZAIDI COS WANAOSHA MIKONO TU
😹😹😹😹😹😹 bongo bahat mbayaa
Nakubal sana baba levo
Noma sana
Good
TID NAMKUBAL SANA YAN WOTE WAKALII
Embhaana eee
Duh hairline ya tid ina recede 🤣
TID is too extra. Anakera anarukia sana maneno dah.
Alafu alipo nichukiza zaidi anamwbia babalevo tuongee kingereza tu huyo anafikiri kujua kingereza kwa mtanzania anaeishi Tanzania ni big deal
Yukopoa sana
Hiyo nilugha tuu wala hamnyimimtu heshima alikuwakwenyeutanj
I have been sanitizing since I was born😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Haha halafu tokea hii show ashile tway ni maugomv tu mara chid benz na chuchu mara TID dah tutaona mengi
Eti linasema ''Tuongee kingereza'' ndo nini sasa.
Mbwembwe tu
Aaah watu wakigoma wana ubishi mpaka kesho
Ila TID Du!
Studio imevamiwa leo
Kwa bidhaa maridadi na uhakika, karibu Asma cosmetics,
Kwa matatizo ya ngozi, uzazi,michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape,hips,n.k
Dawa zipo, karibu ofisini,sms,/whatsap 0693_330284
T I d unamawenge sana
Wengeee saan jamaa
uyo T Touch au undugu na Zimwi au❓🤣🤣
Wametisha ni wao ☝
Hilo beat la Tongwe record hapo Kwa nyuma lenyewe sanaaa
Janga what's the name of the song.Its a bomb
Tid mbwembwe zinazid mpk anakela kweli
Me huwa napenda utan wa TID MNYAMA
Nakibali te touch
Daaah
Hawa jamaa nimependa Sana'a story zao wapo joke sanaaaaaaa