THE CLASSIC MR NICE PT 1 : NILISHIKA HELA KABLA YA WATOTO/NLITAKA HELA SIO SIFA/ZAID MIAKA27 YA GAME

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 01. 2024
  • Mr Nice ni jina lililotikisa anga za muziki katika ukanda wa Afrika ya Mashariki na kati ,ni msanii ambaye sifa zake na mapato yake yameweka rekodi hadi sasa katika historia ya Bongo fleva licha ya muziki wake kuzngukwa na migogoro ya hapa na pale wakati huu,hii ni sehemu ya kwanza ya mazungumzo yetu ndani ya The Classic akiwa na Jabir Saleh

Komentáře • 81

  • @user-hx2if3ep2m

    Nmefurahi sana kumskia nice akisema hata mtoto wa darasa la pili awe anaweza akaskia na akaelewa, kipindi Cha kikulacho ndio nilikuwa darasa la pili na nyimbo ya kikulacho ilikuwa favourite yangu, Kila ikipigwa kwenye redio mamangu, mashangazi zangu na wajomba zangu lazima waniite ata nikiwa mbali nacheza na watoto wenzangu, "Njooo nyimbo yako inachezwa huku" mi ndio nanyanyuka mbio kuisikiliza Kwa furaha sana. Inanikumbusha mbali kiasi, enzi izo nikiwa darasa la pili sai nishapiga Diploma yangu nataka kuenda degree, Mr Nice Salute....

  • @strong8534

    Eti kuku wako walikuwa wakipanda baskeli???

  • @ndesafanamfala5800

    1994 tukiwa Kisangiro Moshi Marangu Kilema wakati Mwanamzi Ghato kutoka Congo anatamba na Ngoma yake ya Azalaki awa Mr Nice ntamwita hivyo Sema Kuna jina lake la skonga huyu Ndugu akiwa na zile Double deck Panasonic radio alikuwa anapiga show zakwenda Mgombani Babu kubwa ukatoboa kweli Sema Kipaji chako Cha uchoraji Mzee mwenyewe Nakupa salute zako ubora wa Obi na Linda...yum yum king Man hapa East London

  • @rahimchardluck

    TAKEU - TANZANIA , KENYA , UGANDA STYLE.Aloo ndio leo nmeelewa maana yake

  • @mohammedmhina3973

    Nakumbuk 2005/2006 alikuj nangwanda stadium alichelewa akaingia saa11 kwenda saa12 alipigwa mawe sisahau

  • @nmasare9364

    Kiukwel Mr nice ni msanii ambae kwanza ni mkweli kutoka namfaham pili ni mtu asiyefeki maisha na kbsa ni mtu mwenye kipaji kile Cha asili shida ya watu wanapenda mpaka ufe ndo wakusifie huyu jamaa anastahili sifa za taifa

  • @kelvinkebby6843

    natamani Mr nice hafanye remix Ile nyimbo ya mama na harmonize itakaa poa Sana

  • @mvungigaming

    Nice mkenda kikulacho

  • @abednego229

    leo ndio nimejua the meaning of TAKEU style ,TANZANIA, KENYA AND UGANDA

  • @IsacRobath

    Nimeaza kuimba kisa Mr Nice toka 2003🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mosse1466

    16:23

  • @michaeljeremiah5364

    Kwa sasa akuna kipindi Bora Cha weekend kama hiki Cha the classic.... congratulations kuvi chaka !!!...salute kwa efm Kwa kukupa platform hii jizzo blessings kwakee🏁🏁🏁🏁🙏💪

  • @tidesmwakinyuke8633

    Kwa kweli nyimbo za Mr. Nice zilikiwa zinaweza aikilizwa na watu wote nikimaanisha ht watoto pasipo kupotosha watoto. Congrat's Mr. Nice

  • @furahakanzao

    N memiss nyimbo zake jamani mr nice❤🎉

  • @jonathan3325

    Mr nice from no where amepasua East africa.

  • @Summerbtz

    Interview nzuri sana,natamani sana siku moja na Mimi NIFANYE interview hapo EFM

  • @user-ti7nf4jc8g

    Kiwengwa Beach napajua vizuri sana

  • @mikatejunior1362

    Friday night naipenda Sana iyo nyimbo

  • @dikamboy9513

    nafurahi sana mrnice kukusikiatena

  • @user-mh9qg1bo2y

    Brother yani we travel in the time through kipindi hikii ..keep going and God bless you for keeping legends alive...big up sana ..love from Rwanda..