TID : WEMA SEPETU / ANANUKA MDOMO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 11. 2019
  • Bango Kubwa 🔥BABA AKOO!
    Tunaliendeleza Season 03 Kwenye #TheBarTender #Jonijooo Akipiga Story Kibao na #TID.
    TOP IN DAR
    .
    Cc : @grillhouse_daressalaam
    #TheBarTender #WTVTheBarTender

Komentáře • 736

  • @sontrillthereal8186
    @sontrillthereal8186 Před 4 lety +24

    TID kuna pesa yako katika Uigizaji na katika utangazaji, U comedian pia, you the best bro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 4 lety +13

    Yaani huyu mtu ni comedian.

  • @chibudonscott5807
    @chibudonscott5807 Před 4 lety +180

    There are three types of

  • @henrypatrick7312
    @henrypatrick7312 Před 4 lety +96

    Unajua watu wanamchukia TID eti kwa sababu ya confidence yake, swaggs zake, the guy is lively. Common, stop hatin' , personally me namkubali, msanii anatakiwa awe hivyo.

  • @wcb4life377
    @wcb4life377 Před 4 lety +29

    Yan nikisikiliza interview za TID na enjoy sana Yan Yuko smart kujibu maswali

  • @aby21111
    @aby21111 Před 4 lety +11

    "ALCOHOL "😅 Bacause no great story ever started with someone eating SALAD. 🤣🤣👌This is totally true. Nili enjoy the interview. ✌👍

  • @levismaximillian2176
    @levismaximillian2176 Před 4 lety +23

    tid is a man of many talents... nakubali

  • @budahman2908
    @budahman2908 Před 4 lety +64

    Nimechelewa kidogo..... kama unamkubali TID ndio mkali wa mainterview gonga like twende sawa

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Před 4 lety +5

    Ila huyu msenge mnyamwezi sana hahahaha. TID saluteeeeee sanaaaa

  • @mussajoseph3949
    @mussajoseph3949 Před 4 lety +93

    Eti gari kama kiberiti if u step in the space is done u can't even move the shoulder 🤣😂😂🤣😂daah we jamaa una maneno ya kukera na kuchekesha sana 🙌🙌

  • @djdimeja

    TID Rwanda loves you,uko na mangoma Kali ,pia vibes zako ziko juu

  • @eddovanny2554
    @eddovanny2554 Před 4 lety +57

    Ila Jonijoo hii interview ulipata shida Sana 😁😁 Sema TID Anajua Kujibu maswal halaf yuko Funny

  • @lydiaakimana7988
    @lydiaakimana7988 Před 4 lety +56

    Tid mnyama

  • @yasintaswahasni4747
    @yasintaswahasni4747 Před 4 lety +18

    Wema ni kiki tosha kwa iki kipindi maana mnapenda kumtaja wallah khaa

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před 4 lety +1

    Nakukubali sana tid na uko vzr na nyimbo zako mpk Leo ziko vzr mnoooo

  • @neymarsuleyman8602
    @neymarsuleyman8602 Před 4 lety +18

    T.I.D haongei kama legendary, anafungwa na UTIMU, hafikirii kujiajiri anafurahi kuwa chini ya DIAMOND badala yakufikiria kujinyanyua mwenyw

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 Před 4 lety +19

    Yan ukichek interview za tid lazma uenjoy sometime tuende iv tuu ila ukwel unauma😆 mnyamaaa nakubal sana mzee baba tukae humu kwel bango ni kubwa🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @nancyruoruo1025
    @nancyruoruo1025 Před 4 lety +6

    Tid nakupenda bure from kenya

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne255 Před 4 lety +7

    Yaani Ukifanya Interview Na TID Unaweza Ukakojoa kwa Kichekooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 Před 4 lety +54

    Huyu jamaa akiacha unga ni bonge la superstar