Bango Kubwa 🔥BABA AKOO! Tunaliendeleza Season 03 Kwenye #TheBarTender #Jonijooo Akipiga Story Kibao na #TID. TOP IN DAR . Cc : @grillhouse_daressalaam #TheBarTender #WTVTheBarTender
Unajua watu wanamchukia TID eti kwa sababu ya confidence yake, swaggs zake, the guy is lively. Common, stop hatin' , personally me namkubali, msanii anatakiwa awe hivyo.
Yan ukichek interview za tid lazma uenjoy sometime tuende iv tuu ila ukwel unauma😆 mnyamaaa nakubal sana mzee baba tukae humu kwel bango ni kubwa🙌🏽🙌🏽🙌🏽
TID kuna pesa yako katika Uigizaji na katika utangazaji, U comedian pia, you the best bro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Yaani huyu mtu ni comedian.
There are three types of
Unajua watu wanamchukia TID eti kwa sababu ya confidence yake, swaggs zake, the guy is lively. Common, stop hatin' , personally me namkubali, msanii anatakiwa awe hivyo.
Yan nikisikiliza interview za TID na enjoy sana Yan Yuko smart kujibu maswali
"ALCOHOL "😅 Bacause no great story ever started with someone eating SALAD. 🤣🤣👌This is totally true. Nili enjoy the interview. ✌👍
tid is a man of many talents... nakubali
Nimechelewa kidogo..... kama unamkubali TID ndio mkali wa mainterview gonga like twende sawa
Ila huyu msenge mnyamwezi sana hahahaha. TID saluteeeeee sanaaaa
Eti gari kama kiberiti if u step in the space is done u can't even move the shoulder 🤣😂😂🤣😂daah we jamaa una maneno ya kukera na kuchekesha sana 🙌🙌
TID Rwanda loves you,uko na mangoma Kali ,pia vibes zako ziko juu
Ila Jonijoo hii interview ulipata shida Sana 😁😁 Sema TID Anajua Kujibu maswal halaf yuko Funny
Tid mnyama
Wema ni kiki tosha kwa iki kipindi maana mnapenda kumtaja wallah khaa
Nakukubali sana tid na uko vzr na nyimbo zako mpk Leo ziko vzr mnoooo
T.I.D haongei kama legendary, anafungwa na UTIMU, hafikirii kujiajiri anafurahi kuwa chini ya DIAMOND badala yakufikiria kujinyanyua mwenyw
Yan ukichek interview za tid lazma uenjoy sometime tuende iv tuu ila ukwel unauma😆 mnyamaaa nakubal sana mzee baba tukae humu kwel bango ni kubwa🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Tid nakupenda bure from kenya
Yaani Ukifanya Interview Na TID Unaweza Ukakojoa kwa Kichekooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa akiacha unga ni bonge la superstar