Rapper SAIGON afunguka sababu ya KUACHA muziki na kuzama zaidi kwenye DINI ‘Nilifiwa na Mama, mke’

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024
  • Basaga Mp4 Ft One Six & Saigon - Kabla Sijafa (Official Video Lyrics)
    • Basaga Mp4 Ft One Six ...
  • Auta a dopravní prostředky

Komentáře • 111

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 Před 26 dny +2

    Mtu wangu mshikaji wangu sana, saleh saigon, tulikuwa pamoja almuntazir sekondari upanda na akina eliamani seushi, kwame ndulute, Hamis kika na imam Shafi
    Mimi ni mtu wako na nimefurahi kukuona ukiwa na afya na furaha pamoja na mitihani mingi uliopita
    Ukipenda nikontakt ndugu yangu. Mimi ni Nassor almaarufu donnas.
    Nimefurahi sana kukuona na furaha MashaAllah

  • @FrankMbuna
    @FrankMbuna Před 28 dny +4

    Deplowmatz 'Dpt Crew' Founder's..shout out saigon,Dola Soul,Stiggo,Storm "Amour Shamte" rip to CrissMansa...

  • @contempo_builders
    @contempo_builders Před měsícem +7

    Ooooooi oooooiiiii................ Basaga ana nidhamu sana.

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 Před měsícem +2

    Namna Saigon anavyosimulia, najifunza vingi hapo.. 🏆🏆

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 Před měsícem +1

    Nilikua natamani sana muone huyu jamaa 😢... Nilijua atakua umezeeka na amechoka mbaya kweli... Kumbe Ndo kwanza kijana... Hongera sana broo Saigon🎉

  • @craftmediatz
    @craftmediatz Před měsícem +3

    Saigon my brother you need to make your own platform, you have a very strong background i can say rich background and one of the realest hip hop mc so make it happen youtube is one thumb away

  • @Chelar_haule
    @Chelar_haule Před měsícem +3

    Umenikumbusha enzi za hip hope base kipindi icho! Watoto wa 2000 hawawez elewa ilo pindi oyaaa sio powaa kabsa! Ni real hip hop segment kibao za kinyama

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před měsícem +2

    Jamaa ndo waanzilishi wa hiphop bongo miaka ya tisini saigon na Ana slang kali sana

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Před měsícem +4

    Thanks For the Looove❤

  • @ahmeddola4648
    @ahmeddola4648 Před měsícem +3

    Ujumbe umefika ma kamanda Basaga + Saigon ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi. Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola

  • @robertmalale9097
    @robertmalale9097 Před měsícem +1

    Bring back Saigon tenaaa tunakuombaa sanaa kaka SKY
    yanii interview inaishaa na unaonaa kabisaaa bado ile kiuu ya kupata madiniii bado ipo

  • @almaxmovies
    @almaxmovies Před měsícem +6

    DAMN! WE NEED ANOTHER EPISODE FOR SAIGON

  • @EmbassyofTheStateofPalestinein

    maandalizi yanahitaji kwa hakika tujiandae, katika kila mtu ambaye ajuae yupo mwenye anayejua juu zaidi yake yupo ambaye ajuaye

  • @DavidMwakilembe
    @DavidMwakilembe Před 28 dny +1

    dah huyu jamaa yuko humble sana

  • @josephjohn8363
    @josephjohn8363 Před měsícem +15

    Tbway360 role model wake atakua ni huyu jamaa aisee yaani nikimsikiliza Broo Saigon na sauti ya Tbway naona zinafanana sana.

  • @ksonrap
    @ksonrap Před měsícem +2

    Oiiiioii Legendary Fikra Pana 🫡💎🧠

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 Před měsícem +1

    Sky,Saigon and Basaga good interview

  • @saidimwishehekienda933

    Great to see Saigon looks health and comfortable💪

  • @brightvatta284
    @brightvatta284 Před měsícem +2

    Saigon respect brother

  • @samwelmasssawe1767
    @samwelmasssawe1767 Před měsícem

    Ebhana Basaga nina tracks zako kibao, ikiwemo wanaume wa dar ila sijawahi kujua ndio wewe. keep goin bruh unajua sana oii

  • @Kiggy22
    @Kiggy22 Před měsícem

    Duh asante sana kumleta Saigon, is the best rapper mate

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Před 29 dny +1

    Huyu jamaa ni mwamba kabisa yan ooi

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 Před 26 dny +1

    Nimefurahi sana kusikia amepiga msamba

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před měsícem +2

    Jamaaa alikuja msikitini kwetu mbezi beach na mashekhe katoa mawaidha ni balaa utafikir idhaa ya kiswahili ya DW

  • @gnmbi
    @gnmbi Před měsícem

    Oii oii kalinye kalinye episode

  • @nurdinkarata7985
    @nurdinkarata7985 Před měsícem

    Huyo bro ni 🔥 tumemiss kazi zake

  • @SuddyElite-pq5ur
    @SuddyElite-pq5ur Před měsícem +4

    We saigon si ulisema umeacha mziki na umahamia kwenye dini mpaka ukawa tunakuona tv imaan ukitoa da'awa maeneo mbalimbali nchini kama bukoba na kwingineko?. KIMEKUKUTA KITU GANI TENA???!!!!!

    • @fauzishabani2622
      @fauzishabani2622 Před 27 dny

      😂😂😂😂😂😂

    • @ayk20
      @ayk20 Před 26 dny

      Umemsikiliza vizuri?ana rap nn?kwan kwenye dini hakuna kuimba?inategemea unaimba nn

  • @SululuZungu
    @SululuZungu Před měsícem

    Bg time my g saigon

  • @mossesmungure8982
    @mossesmungure8982 Před 26 dny

    Oooi.... Ajiiib

  • @justcruize
    @justcruize Před měsícem

    noma sana kkmk this is real hip hop

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Před 28 dny

    Saigon kichwaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥

  • @saidimwishehekienda933

    My dream collabo/Saigon ft. Brian Simba, Imam Abbas......

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto1752 Před měsícem

    Oi oi Saigon namkubali sana huyu mwana

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Před 29 dny

    Ebhana daaah kalinya kali

  • @Vichuda_Tz
    @Vichuda_Tz Před 28 dny

    Kabsa Yani, Malejendi Tukutane hapa

  • @aligomatumla2930
    @aligomatumla2930 Před 25 dny

    Oioiooooi shikamo bro

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 Před měsícem

    Ooiii ooiii

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před měsícem +1

    Sijui Saigon nini kilimuangusha alitakiwa awe mbali sana kama mwenzie balozi dola soul

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před měsícem

    Hujumaaa noma hanashobo na kiswakinge

  • @SipeKato
    @SipeKato Před 22 dny

    Saigon Karne Karne dooh ulikuwaa mkali kipindi Cha nyumaa uliendaa wapi uonekanagii

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před 26 dny

    Arudi Saigon kwa ajiri ya historia ya kundi lao, itapendeza

  • @GREATESTHITSREPLAY
    @GREATESTHITSREPLAY Před měsícem +1

    mi sio mzee asee lakini kusema ukweli leo ndo napata picha kwamba SAIGON na BALOZI walikuwa kundi moja DIPLOWMATS dah asee jamaa hawa wameanza rap mi sijazaliwa

  • @augustinojohn9481
    @augustinojohn9481 Před měsícem

    👊👊👊

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g Před měsícem +1

    Huyu kuna kipindi nilisikia kwenye kuitumikia dini vp..

  • @Mawe156
    @Mawe156 Před měsícem

    Namkubal sana ungemuuliz Jin lake Lina maana gan. Jamaa namkubal sana

  • @nicholouspaschal3586
    @nicholouspaschal3586 Před 27 dny

    Oooooooi...... oooooooi

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 Před měsícem

    Oiiiiii

  • @alisaid5392
    @alisaid5392 Před 23 dny

    Huyu ndio msanii.

  • @Selemanian
    @Selemanian Před 25 dny

    Mi nilijua labda ana miaka 60 something kumbe bado kijana tuu

  • @mlamytz
    @mlamytz Před měsícem +1

    Ooi kuna ile rudia ile ngoma noma sana

  • @AdamCharles-cc8vr
    @AdamCharles-cc8vr Před měsícem +3

    Diplomats.... Ana slaing imenyoooka sanaaaa

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Před měsícem

    Lakini angekuwa mwenzangu namimi yes no you no zakutoshaaa

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Před 27 dny

    saigon

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 Před měsícem

    Simulizi na Sauti zimepata msimuliaji yaani burudani na maarifa mengi....Kunta...Kinte.

  • @saidulaya7308
    @saidulaya7308 Před měsícem +1

    EBWANA DAAAH OIIIII😂😂

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 Před měsícem

    Jamaa pekee kuhusu Saigon sijawahi kumuona kichwa wazi lazima ukute kafaa kofia,kitambaa n.k kichwani mwake....Kunta...Kinte.

  • @aaronjohn416
    @aaronjohn416 Před měsícem

    Brother sky kama itakupendeza mpe ajira Saigon kwenye SNS awe na session yake arudishe kipindi cha hip hop Base

    • @mohamedhamisi9766
      @mohamedhamisi9766 Před měsícem +1

      Daah umeongea kikubwa sana kweli tunamiss sana hip hop base itafanya hata hip hop iwe still

  • @SalimSalim-ls9lg
    @SalimSalim-ls9lg Před měsícem

    Ajeeb sana

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 Před měsícem

    Huyu ndoaliyekuwaga anasemaga eee bwanaa daah

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +3

    kwani uyo saigon azeekagi??

    • @timothymikola2317
      @timothymikola2317 Před měsícem +1

      Sasa hivi ana miaka 48

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 Před 28 dny

      Hehehe hii comment ndo nilokua naitafuta kweli huyo mchizi toka mm niko dogo yy yuko hivyo hivyo hadi saiv niko na 33 yy bado yuko hivyo hivyo

  • @makukamakaveli6581
    @makukamakaveli6581 Před měsícem

    Bro mtafutie session huyo jamaa ana madini mengi sana ya kutupa...Diplomat and Kwanza Unit natamani sana kusikia story zao na wapo wapi kwa sasa...very interesting to hear abt them

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 Před měsícem

    Saigon akutanishwe na zombie , kuna kitu nakiona.

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 29 dny

    Mtu akifa anaweza akazikwa na amapiano pia 😅

  • @khalidibero
    @khalidibero Před měsícem

    Saigoni anatakiwa awe na account za mitandao ya kijamii ili angalau mashabiki zake wawe karibu nae.

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 24 dny

    Hahahaha Saigon ukiongea tu naona kama unarap tu

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 Před měsícem +1

    watt wa buku mbili hawawezi kusikiliza hii interview

    • @kingtoldipset7050
      @kingtoldipset7050 Před 25 dny

      😂😂😂😂😁😁😁 kabisaa hawaelewi na hawataelewa hadi waeleweshwe

  • @trex6661
    @trex6661 Před měsícem

    Huyo msanii mwengine ni motivational speaker 😂😂😂😂

  • @josephdonald6199
    @josephdonald6199 Před měsícem

    Rudia...😂😂

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 Před měsícem

    Huyo jamaa wa kikofia cha yanga linasifa 😂😂😂

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 Před měsícem +4

      Watoto WA 2000 hamumjui Saigon

    • @mutaji5454
      @mutaji5454 Před měsícem

      Saigon uyo ebwana dah ebwana oi oi😂

    • @emmanuelmchomvu2676
      @emmanuelmchomvu2676 Před měsícem +3

      Huwez kumjua kma umezaliwa buku 2

    • @FrankMbuna
      @FrankMbuna Před měsícem +2

      Uyo ndo miongoni mwa walioweka msingi wa hii industry..so pay some respect..soigon yupo so knowledgeable sio sifa mdogo wangu..soma,jifunze..ktk maisha yako..

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 Před 28 dny

      Huyo ni miongoni mwa waanzilishi wa hip hop miaka ya 90

  • @bakarikilangilo5197
    @bakarikilangilo5197 Před měsícem +2

    Huyu dogo mbona Kama miyeyusho flan hivi. Yupo very slow Hana michakato ya ki Hip Hop, Hana zile swags Kama bro ake

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 Před měsícem +1

      Na ukweli uyo si ndugu yake wanafamiana tu

    • @abuubaqr5808
      @abuubaqr5808 Před měsícem +3

      Michakato ya kihiphop ni ipi?? 😂😂msela anaheshima na nidhamu unataka afanye fujo?

    • @trex6661
      @trex6661 Před měsícem +3

      Jamaa Jamaa ni motivational speaker speaker kuna kitu hakiko sawa kichwan😂😂😂

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 Před měsícem +1

      ​@@trex6661una matatizo sana wew Huyu mpole tuna Ana eshima sana

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 Před 26 dny

    Hiyo finishing na freestyle ndio nimekukumbuka sana saleh Mzee.
    Nitafute mimi ni don Nas tulikuwa wote almis..Enzi hizo kila hatua ulikuwa ukipiga mistari kinoma