Rapper SAIGON afunguka sababu ya KUACHA muziki na kuzama zaidi kwenye DINI ‘Nilifiwa na Mama, mke’
Vložit
- čas přidán 2. 06. 2024
- Basaga Mp4 Ft One Six & Saigon - Kabla Sijafa (Official Video Lyrics)
• Basaga Mp4 Ft One Six ... - Auta a dopravní prostředky
Mtu wangu mshikaji wangu sana, saleh saigon, tulikuwa pamoja almuntazir sekondari upanda na akina eliamani seushi, kwame ndulute, Hamis kika na imam Shafi
Mimi ni mtu wako na nimefurahi kukuona ukiwa na afya na furaha pamoja na mitihani mingi uliopita
Ukipenda nikontakt ndugu yangu. Mimi ni Nassor almaarufu donnas.
Nimefurahi sana kukuona na furaha MashaAllah
Deplowmatz 'Dpt Crew' Founder's..shout out saigon,Dola Soul,Stiggo,Storm "Amour Shamte" rip to CrissMansa...
Ooooooi oooooiiiii................ Basaga ana nidhamu sana.
Namna Saigon anavyosimulia, najifunza vingi hapo.. 🏆🏆
Nilikua natamani sana muone huyu jamaa 😢... Nilijua atakua umezeeka na amechoka mbaya kweli... Kumbe Ndo kwanza kijana... Hongera sana broo Saigon🎉
Saigon my brother you need to make your own platform, you have a very strong background i can say rich background and one of the realest hip hop mc so make it happen youtube is one thumb away
in support
Umenikumbusha enzi za hip hope base kipindi icho! Watoto wa 2000 hawawez elewa ilo pindi oyaaa sio powaa kabsa! Ni real hip hop segment kibao za kinyama
Jamaa ndo waanzilishi wa hiphop bongo miaka ya tisini saigon na Ana slang kali sana
Thanks For the Looove❤
Ujumbe umefika ma kamanda Basaga + Saigon ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi. Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola
Pamoja sana Balozi
#Balozi🎉
Bring back Saigon tenaaa tunakuombaa sanaa kaka SKY
yanii interview inaishaa na unaonaa kabisaaa bado ile kiuu ya kupata madiniii bado ipo
DAMN! WE NEED ANOTHER EPISODE FOR SAIGON
maandalizi yanahitaji kwa hakika tujiandae, katika kila mtu ambaye ajuae yupo mwenye anayejua juu zaidi yake yupo ambaye ajuaye
Mama rudia
Mama rudia
dah huyu jamaa yuko humble sana
Tbway360 role model wake atakua ni huyu jamaa aisee yaani nikimsikiliza Broo Saigon na sauti ya Tbway naona zinafanana sana.
Kuna kipindi walifanya kipind kimoja, ilikuwa kutafuta vipaji vya makundi kwahyo upo sawa kabsa
Yeah uko sahihi
Dance miamia hy oiii ebwana daah
Basaga anaongeaje huyu
Dance mia mia alianza Saigon alikua anakichafua mbayaa
Oiiiioii Legendary Fikra Pana 🫡💎🧠
Sky,Saigon and Basaga good interview
Great to see Saigon looks health and comfortable💪
Saigon respect brother
Ebhana Basaga nina tracks zako kibao, ikiwemo wanaume wa dar ila sijawahi kujua ndio wewe. keep goin bruh unajua sana oii
Duh asante sana kumleta Saigon, is the best rapper mate
Huyu jamaa ni mwamba kabisa yan ooi
Nimefurahi sana kusikia amepiga msamba
Jamaaa alikuja msikitini kwetu mbezi beach na mashekhe katoa mawaidha ni balaa utafikir idhaa ya kiswahili ya DW
Oii oii kalinye kalinye episode
Huyo bro ni 🔥 tumemiss kazi zake
We saigon si ulisema umeacha mziki na umahamia kwenye dini mpaka ukawa tunakuona tv imaan ukitoa da'awa maeneo mbalimbali nchini kama bukoba na kwingineko?. KIMEKUKUTA KITU GANI TENA???!!!!!
😂😂😂😂😂😂
Umemsikiliza vizuri?ana rap nn?kwan kwenye dini hakuna kuimba?inategemea unaimba nn
Bg time my g saigon
Oooi.... Ajiiib
noma sana kkmk this is real hip hop
Saigon kichwaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥
My dream collabo/Saigon ft. Brian Simba, Imam Abbas......
Oi oi Saigon namkubali sana huyu mwana
Ebhana daaah kalinya kali
Kabsa Yani, Malejendi Tukutane hapa
Oioiooooi shikamo bro
Ooiii ooiii
Sijui Saigon nini kilimuangusha alitakiwa awe mbali sana kama mwenzie balozi dola soul
#ahmeddola4648
Sahv ni amekuwa mtu wa ibada
Skiza Tena pale alipoongelea familia utapata picha flan
Kwani Balozi yuko wapi?
@@HaikaFredrick marekani kitambo sana
Hujumaaa noma hanashobo na kiswakinge
Saigon Karne Karne dooh ulikuwaa mkali kipindi Cha nyumaa uliendaa wapi uonekanagii
Arudi Saigon kwa ajiri ya historia ya kundi lao, itapendeza
mi sio mzee asee lakini kusema ukweli leo ndo napata picha kwamba SAIGON na BALOZI walikuwa kundi moja DIPLOWMATS dah asee jamaa hawa wameanza rap mi sijazaliwa
👊👊👊
Huyu kuna kipindi nilisikia kwenye kuitumikia dini vp..
Namkubal sana ungemuuliz Jin lake Lina maana gan. Jamaa namkubal sana
Oooooooi...... oooooooi
Oiiiiii
Huyu ndio msanii.
Mi nilijua labda ana miaka 60 something kumbe bado kijana tuu
Ooi kuna ile rudia ile ngoma noma sana
Diplomats.... Ana slaing imenyoooka sanaaaa
Childhood yake aliishi nigeria huyu
Kaishi UK
Shule anayo halafu mhuni freestyle zinakuja tuu
Hatari sana huyo mtuu
Lakini angekuwa mwenzangu namimi yes no you no zakutoshaaa
saigon
Simulizi na Sauti zimepata msimuliaji yaani burudani na maarifa mengi....Kunta...Kinte.
EBWANA DAAAH OIIIII😂😂
Jamaa pekee kuhusu Saigon sijawahi kumuona kichwa wazi lazima ukute kafaa kofia,kitambaa n.k kichwani mwake....Kunta...Kinte.
Brother sky kama itakupendeza mpe ajira Saigon kwenye SNS awe na session yake arudishe kipindi cha hip hop Base
Daah umeongea kikubwa sana kweli tunamiss sana hip hop base itafanya hata hip hop iwe still
Ajeeb sana
Huyu ndoaliyekuwaga anasemaga eee bwanaa daah
Yeah ni yeye
kwani uyo saigon azeekagi??
Sasa hivi ana miaka 48
Hehehe hii comment ndo nilokua naitafuta kweli huyo mchizi toka mm niko dogo yy yuko hivyo hivyo hadi saiv niko na 33 yy bado yuko hivyo hivyo
Bro mtafutie session huyo jamaa ana madini mengi sana ya kutupa...Diplomat and Kwanza Unit natamani sana kusikia story zao na wapo wapi kwa sasa...very interesting to hear abt them
Saigon akutanishwe na zombie , kuna kitu nakiona.
Mtu akifa anaweza akazikwa na amapiano pia 😅
Saigoni anatakiwa awe na account za mitandao ya kijamii ili angalau mashabiki zake wawe karibu nae.
Ningumu sana ila Tuombe mungu
Hahahaha Saigon ukiongea tu naona kama unarap tu
watt wa buku mbili hawawezi kusikiliza hii interview
😂😂😂😂😁😁😁 kabisaa hawaelewi na hawataelewa hadi waeleweshwe
Huyo msanii mwengine ni motivational speaker 😂😂😂😂
Rudia...😂😂
Huyo jamaa wa kikofia cha yanga linasifa 😂😂😂
Watoto WA 2000 hamumjui Saigon
Saigon uyo ebwana dah ebwana oi oi😂
Huwez kumjua kma umezaliwa buku 2
Uyo ndo miongoni mwa walioweka msingi wa hii industry..so pay some respect..soigon yupo so knowledgeable sio sifa mdogo wangu..soma,jifunze..ktk maisha yako..
Huyo ni miongoni mwa waanzilishi wa hip hop miaka ya 90
Huyu dogo mbona Kama miyeyusho flan hivi. Yupo very slow Hana michakato ya ki Hip Hop, Hana zile swags Kama bro ake
Na ukweli uyo si ndugu yake wanafamiana tu
Michakato ya kihiphop ni ipi?? 😂😂msela anaheshima na nidhamu unataka afanye fujo?
Jamaa Jamaa ni motivational speaker speaker kuna kitu hakiko sawa kichwan😂😂😂
@@trex6661una matatizo sana wew Huyu mpole tuna Ana eshima sana
Hiyo finishing na freestyle ndio nimekukumbuka sana saleh Mzee.
Nitafute mimi ni don Nas tulikuwa wote almis..Enzi hizo kila hatua ulikuwa ukipiga mistari kinoma