Tid ndo msanii ninaeweza kumskiliza all day ana energy na vibe za kutosha And the guy anastahili kipindi chake binasfi atapata audience wa kutosha And tid ameongea point kubwa sana kuliko uyo salama sk jamaa anaupeo mdogo sana leo ndo nimemjua duh🤣
Naangalia nikiwa Qatar 🇶🇦 big up sana TID TOP IN DAR nakuelewa sana kaka nikiwa Mombasa kenya 🇰🇪 001 songs zako nikisikiliza Songs zakitambo ndio songs old is gold
Alafu nyinyi kila mtu mara naangalia nikiwa Qatar mara nikiwa London mara nikiwa Nairobi mara nikiwa Joburg, sasa nakuambieni Mimi naangalia nikiwa Tandahimba nyambafu zenu
Mumeanzaaaaa nyie na mabrokeni yenu hayo ndo nchi maana nchi haitoboi Kwa kukalilii lugha za watu Kwa Nini msichati lugha zenu? A mitanzania banana keroooookerooooooo kingereza Tanzania nimetoka engrandy juzi sijasikia kiswahili popoteee makenge nyie lugha yetu ndo mpango mzimaaaa
Bongo fleva is not even identified 🤔 by sound, at least ben pol pia anaimba bongo fleva ila singeli haiwezi toboa international afu tid wimbo wako ni zeze tu? Huna wimbo wingine?
Salam kachekecha kaona hapa tid ata mmaliza ki aina msanii wake wacha aingie mwenyewe by the way Salam anajua ila kuhusu bongo fleva msanii wake ndio alio uwa bongo fleva saa kaja na wimbo siulewi ila watu wameupenda lakini kama angeimba wimbo huo huo underground hamna ambae angeuskiza
Salam mmpe hiko kipindi tid awe na sigment yake ya bongo flavor industry awe anaizubgumzia bongo fleva from deep
Tid ndo msanii ninaeweza kumskiliza all day ana energy na vibe za kutosha
And the guy anastahili kipindi chake binasfi atapata audience wa kutosha
And tid ameongea point kubwa sana kuliko uyo salama sk jamaa anaupeo mdogo sana leo ndo nimemjua duh🤣
Listening to this guy is like enriching
Napenda sana kumsikia Tidi jamani.he knows how to talk!
Bonge la interview salim ur genius umekuja kumtuliza😂
Wakina diamond wame haribu music wa bongo Flavor
Watching TID always makes me unstressed.
Tiddy is sooo intertaining dude😂
TID's absolutely right 💥💥
Dah!rest in peace ma men fara I did....
Dah ma men Dingo way back maeneo ya Mpewani hiyo 💛💚❤
Jamaa anaakili sana sio uongo
😂😂😂😂😂💋Nakupenda TID
Naangalia Nikiwa London uingereza love you TID bro since last year we met and party together the whole night 😅😅
True ama kenyan tid siamini sikuizi kama tuko wote tumepoteza mziki wetu
Money is not all! Our culture is important!
Naangalia nikiwa Qatar 🇶🇦 big up sana TID TOP IN DAR nakuelewa sana kaka nikiwa Mombasa kenya 🇰🇪 001 songs zako nikisikiliza
Songs zakitambo ndio songs old is gold
Kwakwel
Kigogoooo🤣🤣🤣
Niependa salam sk
😂😂😂😂bwana zima radio yako staki tena
We miss the old days 😪 😢
Just watching this from Leeds shout out to you TID
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kigogoooooooo
Alafu nyinyi kila mtu mara naangalia nikiwa Qatar mara nikiwa London mara nikiwa Nairobi mara nikiwa Joburg, sasa nakuambieni Mimi naangalia nikiwa Tandahimba nyambafu zenu
Chifu manyika
Tid the best
TID Nigeria and South Africans are trending world wide not in tz only, losing our culture?? What culture??
Tid💯
Hii media inatisha iko poa sana
Vigogo Mendez na Top In Dar
all the way from Russia 😂😂😂😅😅#mtoto mdogo#ni yeyeee
Vipi ma risasi uko
leo jembe fm nimependa kumleta TID kiukweli oja yaleo ninzuri mno vimeongelewa vitu vya msingi sana
Co jembe ni mjini FM
Kweli
Muziki wa zamani upo ila hao hao presenter wanataka a mapiano sasa inabidi tufanye wanachotaka wap Wenye media
Hahahahahaha
What about Darassa..?
Mnyama TID aiseee ningeomba upewe uongozi wa kuongoza huu mziki wetu maana tumepotea saana
No to corruption
Hujazaliwa 2003 td upo makin Sana
🤣🤣🤣
Mumeanzaaaaa nyie na mabrokeni yenu hayo ndo nchi maana nchi haitoboi Kwa kukalilii lugha za watu Kwa Nini msichati lugha zenu? A mitanzania banana keroooookerooooooo kingereza Tanzania nimetoka engrandy juzi sijasikia kiswahili popoteee makenge nyie lugha yetu ndo mpango mzimaaaa
Katika wasani wa Bongo those Legend's how knows English ni TID , CHIDI AND Q Chilla
Chid gan🙄
💯💯‼️ yup
@@zickmalik4901 beze
Chid Hakuna kitu
Mwanzo rekebisha your english mkuu coz ni who knows not how knows
😂😂😂😂😅
Mumtafutie kipindi ti d bonge la talker
Nmekuja apa kuangalia sijda usoni
Yn nani tena 😂😂😂
@@missmwayway4704 ya tid
@@saidhamad9723 😂😂😂😂😂 kwani anayo mbona mm sijawahi iyona
@@missmwayway4704 hahaha mim kwenye picha ya mwanzo ile ya kwenye video nimeiyona lkn kwenye interview sjaona kitu
@@saidhamad9723 😂😂😂😂😂😂😂 Uuuuwiii Usikute hiyo Sidja yakigogo ni ya Mchongo
Bongo fleva is not even identified 🤔 by sound, at least ben pol pia anaimba bongo fleva ila singeli haiwezi toboa international afu tid wimbo wako ni zeze tu? Huna wimbo wingine?
Ati TID Ana wimbo mmoja tu??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahyo amapiano ipo recognized internationally??
Salam kachekecha kaona hapa tid ata mmaliza ki aina msanii wake wacha aingie mwenyewe by the way Salam anajua ila kuhusu bongo fleva msanii wake ndio alio uwa bongo fleva saa kaja na wimbo siulewi ila watu wameupenda lakini kama angeimba wimbo huo huo underground hamna ambae angeuskiza