THE CLASSIC BAMBO EP 2 :SABABU YA LAFUDHI YA KINGONI/BIBI NA UCHAWI/NILIWAFUNDISHA WAIGIZAJI WENGI
Vložit
- čas přidán 10. 05. 2024
- Sehemu ya pili ya maongezi na Muigizaji/mchekeshaji Bambo ambapo hapa anaeleza namna alivyopambana katika kujijengea heshima yake,maisha magumu ya kijijini na changamoto zake,kuingia kwenye muziki na kadhalka
Ongea ya Bambo kama ya Juma nature
Najua Huwezi kuniangusha. Ila Naomba Umlete Stara Thomas. Yule Mama ni Noma
Bambo akafanye dude kwa chizen brain asichelewe
Dahh marehem max kitambo sana halafu huyu bambo nimeanza kumuona kwnye matangazo ya sabun ya OMO walizunguka tz nzima kbl hata ya itv
Ulialite😂..u-reality… mpaka mtangazaji kapotea
Huyu mtoto mpododu sanuu
Mwanadamu ni kitabu
Big up bamboo
Bambo shemeji yangu unatisha
Namkubar sana bambo
😂😂 eti we bambo yan mzee anajisahau jina lake mda mwngn
Nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Bambo we ni mwamba
🔥 🔥 🔥
Bro Kuvichaka I see Damme mkubwa
Mimi jina langu Mali ya Shetani nahitaji uwezo wako KABLA hujazeeka
Mtango chukui heli zako
😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂
Bambo we ni mwamba