Ibilis akitaka kuangamiza mji au familia hupitia kwa Mwanamke, waeza kataza jambo kwa Mkeo lakini akawa analirudia kila mara masikioni mwako mwisho unamkubalia, huwezi acha kuimba taarafu alafu Mkeo bado mwimbaji ngumu
Masheikh unawaonea hawana pepo ya kumpa wala Moto hivo hayo ni maisha yao , mwenyezi Mungu mwenyewe ndo anaehukumu ! Dunia tamu ndugu yangu we Acha Tu hasa ukiifuata sema tuombe mwisho mwema
Leyla Ana dam ya nguo mashalah anachovaa👌♥️♥️♥️♥️
Kavumilia mengi sana huyu dada Acha tu..wazeeke kwa neema
Wanawake wamekosa hya na kujishusha thamani subhanallah Allah awaongoze.
Ameen!
Much love from 254🇰🇪❤️✨... Ila mwaka wa 2004 hadi sasa ni miaka 20 not 24.
Ibilis akitaka kuangamiza mji au familia hupitia kwa Mwanamke, waeza kataza jambo kwa Mkeo lakini akawa analirudia kila mara masikioni mwako mwisho unamkubalia, huwezi acha kuimba taarafu alafu Mkeo bado mwimbaji ngumu
😂😂😂😂❤❤❤ asant dazai nakuona kijiwenongwa
Reila mvumilivu ndio.maan uwez kumuacha 😅😅😅wanakuja wanamuacha 😅😅hongera madam reila 😅😅pambana
Mie huyu mwimbaji yusuph kaniudhi kumkataa mtoto wake ambaye anafanana naye. Sitaki hata kumwona
Mhhh mzee yusuf hata kucha umechonga bado nn kwako ushanga na kipini tu
Nampenda sana raila hana mambo mengi maashaallah
Raila tena ??ilo jina la mwanasiasa kenya
Ni leila
Raila ni mtu wetu wa maana uku Kenya
Mmechoka sana hamna jipya tena bora muurudie muumba wenu tu
😂😂😂😂😂😂@@salimsoyo8118
Mmesaulika sana bora mungee kaa kimyaa tu watu wazima hovyo😂😂😂
😂😂😂😂❤🎉
Yaani ndo wamekuja kuangalia hiki nilichokiona mwisho wa interview au, kesho utasikia wanawake wanalia hawathaminiwi
huyu nae kuhoji hajui
Hawa wote Wanawake wa Kiislamu, Masheikh hapo kimyaa!
Masheikh unawaonea hawana pepo ya kumpa wala Moto hivo hayo ni maisha yao , mwenyezi Mungu mwenyewe ndo anaehukumu ! Dunia tamu ndugu yangu we Acha Tu hasa ukiifuata sema tuombe mwisho mwema
Wakati wa ule mwezi wa Ramadan panakuwa kimya,bar zimetulia,kumbi za starehe kama makanisa..hata kitimoto haina wateja
Eeh !wee mzee ayo mapete mapaka madole gumba..umejua km C muislam !? Duh!?
Karudi mjini
Inaonekana mzee Yusuphu anapenda nazi sana 😂😂😂😂 kila kitu nazi
😁😁😁😁😁
Mapete ya nn mwnamme
Mwanamme kuvaa pete sio kosa ila kwa ayo mengine siyaungi mkono
Mbona umemkimbiza mwandishi jamni swali zr tu
MZEE KAMPA CHATI ZAIDI MKEWE NDO AKAKATISHA MAHOJIANO
Muendelee kulaaniwa. Wa Zanzibar mpaka uchi hovyoo{o
Layla mbona uliposema mafanikio ya sauti Yako NIKWASABABU hutumii vitu vikali ,umechakaaaaaaaa mhhhhhh 😂😂😂😂
Kwani yeye chuma hazeeeki?
Ndo binaadamu anakonda