MZEE YUSUPH asitisha INTERVIEW baada ya Mkewe kuulizwa SWALI la Uke WENZA ''Mke sio kama NAZI''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Zábava

Komentáře • 37

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 3 měsíci +2

    Leyla Ana dam ya nguo mashalah anachovaa👌♥️♥️♥️♥️

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 Před 3 měsíci +8

    Kavumilia mengi sana huyu dada Acha tu..wazeeke kwa neema

  • @user-dx6dm6lh1i
    @user-dx6dm6lh1i Před 3 měsíci +8

    Wanawake wamekosa hya na kujishusha thamani subhanallah Allah awaongoze.

  • @sadikjuma5519
    @sadikjuma5519 Před 3 měsíci +3

    Much love from 254🇰🇪❤️✨... Ila mwaka wa 2004 hadi sasa ni miaka 20 not 24.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 3 měsíci +6

    Ibilis akitaka kuangamiza mji au familia hupitia kwa Mwanamke, waeza kataza jambo kwa Mkeo lakini akawa analirudia kila mara masikioni mwako mwisho unamkubalia, huwezi acha kuimba taarafu alafu Mkeo bado mwimbaji ngumu

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Před 3 měsíci

    😂😂😂😂❤❤❤ asant dazai nakuona kijiwenongwa

  • @user-pw2sw1sk1b
    @user-pw2sw1sk1b Před 3 měsíci +3

    Reila mvumilivu ndio.maan uwez kumuacha 😅😅😅wanakuja wanamuacha 😅😅hongera madam reila 😅😅pambana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 2 měsíci +1

    Mie huyu mwimbaji yusuph kaniudhi kumkataa mtoto wake ambaye anafanana naye. Sitaki hata kumwona

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo Před 3 měsíci +1

    Mhhh mzee yusuf hata kucha umechonga bado nn kwako ushanga na kipini tu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 3 měsíci +7

    Nampenda sana raila hana mambo mengi maashaallah

    • @salimsoyo8118
      @salimsoyo8118 Před 3 měsíci

      Raila tena ??ilo jina la mwanasiasa kenya

    • @salimsoyo8118
      @salimsoyo8118 Před 3 měsíci

      Ni leila

    • @Fondo0
      @Fondo0 Před 3 měsíci

      Raila ni mtu wetu wa maana uku Kenya

    • @AllyhHassani
      @AllyhHassani Před 3 měsíci

      Mmechoka sana hamna jipya tena bora muurudie muumba wenu tu

    • @user-bc3lh5ss6c
      @user-bc3lh5ss6c Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂​@@salimsoyo8118

  • @ZainaFatma
    @ZainaFatma Před 3 měsíci

    Mmesaulika sana bora mungee kaa kimyaa tu watu wazima hovyo😂😂😂

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 3 měsíci

    😂😂😂😂❤🎉

  • @GreysonMdee-wm8tn
    @GreysonMdee-wm8tn Před 3 měsíci

    Yaani ndo wamekuja kuangalia hiki nilichokiona mwisho wa interview au, kesho utasikia wanawake wanalia hawathaminiwi

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 3 měsíci

    huyu nae kuhoji hajui

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 3 měsíci

    Hawa wote Wanawake wa Kiislamu, Masheikh hapo kimyaa!

    • @mussamgonola3983
      @mussamgonola3983 Před 3 měsíci

      Masheikh unawaonea hawana pepo ya kumpa wala Moto hivo hayo ni maisha yao , mwenyezi Mungu mwenyewe ndo anaehukumu ! Dunia tamu ndugu yangu we Acha Tu hasa ukiifuata sema tuombe mwisho mwema

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 3 měsíci

      Wakati wa ule mwezi wa Ramadan panakuwa kimya,bar zimetulia,kumbi za starehe kama makanisa..hata kitimoto haina wateja

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b Před 3 měsíci

    Eeh !wee mzee ayo mapete mapaka madole gumba..umejua km C muislam !? Duh!?

  • @babajay3445
    @babajay3445 Před 3 měsíci

    Karudi mjini

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv Před 3 měsíci +1

    Inaonekana mzee Yusuphu anapenda nazi sana 😂😂😂😂 kila kitu nazi

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk Před 3 měsíci +1

    Mapete ya nn mwnamme

    • @muhammadjuma8457
      @muhammadjuma8457 Před 3 měsíci

      Mwanamme kuvaa pete sio kosa ila kwa ayo mengine siyaungi mkono

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 Před 3 měsíci

    Mbona umemkimbiza mwandishi jamni swali zr tu

    • @muhammadjuma8457
      @muhammadjuma8457 Před 3 měsíci

      MZEE KAMPA CHATI ZAIDI MKEWE NDO AKAKATISHA MAHOJIANO

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Před 2 měsíci

    Muendelee kulaaniwa. Wa Zanzibar mpaka uchi hovyoo{o

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 3 měsíci

    Layla mbona uliposema mafanikio ya sauti Yako NIKWASABABU hutumii vitu vikali ,umechakaaaaaaaa mhhhhhh 😂😂😂😂