PART 3: DEREVA CATHERINE ASIMULIA ALIVYOLALA KITANDA KIMOJA NA MWANAUME, USIKU KILICHOTOKEA...
Vložit
- čas přidán 20. 04. 2022
- PART 3: DEREVA CATHERINE ASIMULIA ALIVYOLALA KITANDA KIMOJA NA MWANAUME, USIKU KILICHOTOKEA...
Hii ni sehemu ya tatu ya Dereva Catherine Sanga, ambaye ni Dereva wa wizara Ya Elimu kwa sasa, ametusimulia mambo Magumu aliyoyapitia hadi ndoto yake kutimia ya kuwa Dereva mahiri nchini.....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Hongela Sana kwa kuyashinda majalibu Sana dada angu. Ujasili ulionao nimeupenda.
Dada nimeipenda Sana iyo stori
Mamangu kipenz
Sio kila mwanamke ana pepo la uzinzi
Daaaah pambana Dada katika Maisha changamoto zipo
Napenda sana it's an interesting story na inainua sana, Naomba kama inawezekana kuwasiliana na Catherine sanga
Leta habari .namba 4 pls
Duuh..!! Ukiona maharage yameiva basi Ujue mkaa umeteketea 🙌🙌🙌🙌
Waswahili bana if u know u know my friend
Huna baya na mtu mwalimu wangu hapa nilipo ni kwajuhudi zako natembea na mafunzo yako mungu akupe ukalimu huo huo uje uwasaidie na wenzangu wanaoanza nyuma yangu nakupenda na nakukumbuka sana♥️
Shahidi
Hongera sana dada yangu
Amaizing story broo
Hii ni stori masikio kazi yake kusikia .hakuna kielelezo chochote kinachoonyesha kama hawa watu hawafahamini. Kinachonishangaza kulala kitanda kimoja je vyumba vilikuwa vimejaa vyote
Mungu akulinde dada
Hongera dada Ang japo umetukimbia kwenye maroli
Haiwezekani mwanaume na mwanamke mlalekitandakimoja usiku ukuche,ulipoambiwa uchague ungechagua kulala vyumba tofauti.
Juuu kila mtu ako na damuu 😂😂😂
Mpe terial dereva wako akufundishe vizuri mdogomdogo mpk ujue
Hongera Sana dada cat umeongea ukwel kabisa kwa sisi madereva wakike tumepitia magumu Sana ila tunawaomba wadogo zetu muwe Makin hivyo vitu vipo
Nakuomba in box
Hapana urafiki WA mshumaa na moto,mwanamke na mwanaume rijali kulala kitanda kimoja NO!
Broo kwa hii stori big up saaaan mwananguu
Nimekubali
Safiii sana dada
Pole sana
Baadhi ya watanzania wana roho mbaya sana, dah! Unastahili tuzo kwakweli Dadaangu 😘
Tuzo ya nn wewe?huyo kaliwa vzr sema ndo wanatafuta story na views wawe wengi ili wao wapige pesa haaaa haaaaaaaaaa
@@majaliwakamala8216 mh ukweli utabaki kuwaukweli unafkir niwote wanawaza kuliwa mh pole kaka wengine hatahisia hatuna
Kiukweli hongera kwaujasili Wachache wanaweza ku
@@mmasymerry1233kabisa umeswma ukweli
Mimi naendesha roli za trailers 4 huku Australia 🇦🇺 mbona nafanya na mwanamke sijalala naye kati ya miaka 6
Wanaume wazuri tupo kabisa
Naingojea part 4 bhana
Iwezekane isiweze Kane ndiyo kashakua dereva :hongera sana women drive
Tatizo la watangazaji wa aina hii ni tatizo hawana communication skills hawasikilizi wanaingilia mazungumzo
Pole sana Sister
Jamaniii 😭
Hongela dada
Ongela.sana ssta.kwa.msimamo.wako
Mmm hapo dada yangu hiyo shemeji bwana
Mpaka amemea ndevu jamani😭😭😭
Usikate tamaa dadangu.
sawa lakini siri yako
Kweli penenia Pana njia pole dd kwa kutokata Tamaa na mungu amekulipia
Kweli nimeamini kuna wadada majasili ndio mfano bola nimesikiliza kwa makini yaani Mungu aendelee kukuwezesha ktk yote uliyopitia hakika haukuwa wewe peke yako Mungu alikuwa nawe barikiwa kwa kututia moyo
Awo madada madereva wanafunzwa magari na wanaume wanatombwaaaaa awooo wanacoka mapenzi
The KKK o
Pole Sana dada
Pole Sana dada mitihani hiyo
Pole wazazi walikuwa wa nakupa maneno machafu Sana yaan umeniliza mm😭😭😭
Umelia nini sasa?
Sehemu ya 4
Waaa majaribu haya
Dah wanaume wengine bana hakiri zetu tunazijua sisi wenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣
Dah bonge la story big up dada japo nahisi kuna sehem unadanganya inamaana wote hakuna aliyefanikiwa
🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄 acha tusubiri part 4, tuskiye kama amekubali kusota mikumi ao amekubali kutowa mzigo
Hapo tumepigwa na kitu kizito haiwezekani kwani yeye hakuwa na hamu.
@@barakakusa7606 umeona eeh🤪
Utam
Safi san mdad
Pole my dear ndio changamoto tunazokutana nazo izo
Wanaume wengne Mungu anawaona😭😭
Ukwl upogo moyoni
Naomba namba ya huyu dada
Akili za Wanaume kupenda Papuchii ni shiida sanaaa
Papuchi in jamiiforum voice
Acha ww Kuna tumeumbwa tofauti
Sisi ni wanadamu aliewaona mmelala kitanda kimoja ni mungu .na maelezo haya tumeyasikia ila hakimu wa yote haya ni mungu.ila mbona maeelezo yako yote hayaonyeshi ukakamavu kwa mwanaume?
Baba mzazi ndie mwanaume pekee ambae anamsaidia mtoto wake wa kike bila malipo
Baadhi tu
Umeliwaaaa
Am Catherine naomba kuwasiliana na wajina Wangu 😢natama dada unishauri napitia magumu pia honestly namanisha plz naomba mawaslisno yako da Cathy 😢
HUYO DEREVA NDIYO AMEKUWEKA ALAMA KWENYE SHINGO YAKO AU NI NDEVU,???, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Congratulation to you.Endelea hivyo hivyo mwanangu. Kila la heri.UBARIKIWE!
Mimi siamini kama ameweza kukwepa vizingiti vyote hivyo, kuna dreva lazma Kala tu 😁
😂😂ndo hivyo
Sio wote
Wanaume mlio wengi mnawazaga pumba tu.
Mimi kama dereva mpaka tule 2
Kweli kabisa
Hatukuwepo kwahyo hatuwezi kujua,,,me naamini hakuna mwanaume mnyonge hapo.
Dah Kuna mtu umemtaja ni dada yangu anaitwa Anastasia daudi nilipotezana nae muda mlefu sana naomba mawasiliano yake please
Mm nishawai lala kitanda kimoja na Binti usiku kucha na ckuthubutu hata kumgusa mguu
Ukweli wake ajua mungu,mi siujui🤗
Sio kila mwanaume ana pepo la uzinzi.nililala na mwanamke bila ya kufanya chochote mpaka asubuhi
Global tv
Namfahamu uyo mama
Ndiyo ukubali kulala chumba kimoja? Ilikuwa hujui nini kitatokea?
Mungu wasaidie waume kwani hakuna wa roho Safi kusaidiana Masada zetu, wafrica tupendane tutumikiane bila kuletea mwezako shida. Aliye juu binguni wabariki alioyo na roho Safi.
Huyonimnafiki ufundishwe galibure mshindewote kwemyegali Bure ulemichemsho unaulizwa tunalalaje unamwambia achague yeye ulifikili hanith yule uliyataka nahuenda mlimalizana unajifagiliatu
iseee sio nzuri hata kidogo kwa wanaume
Ataungeliwa usingesema bn
Napenda maongezi ya Dada
Kat ya Binti na bwana bila ndowa kati yao shetani ni watatu Kwa kuendesha umoja miongoni mwenu kutenda Kwa kutenda dhambi ,Kwa hivo watu tujitahadhari sana.
Dada amekuwa mkweli sana... ila kutaja jina la rafiki yake wakike na mumewe jinsi alivyofanya nadhani sio sahihi, angemtaja mume wa rafik tu.
Nahisi hapo ni kujisahau tuu
Kosa siyo yeye kosa ni mhariri alitakiwa kumute jina
YAP, ILIBIDI WA EDIT HAPO....HAIJAKAA VIZURI KABISA
Mtangazaji hujui kum-interview mtu coz unadakia Simulizi ya Mdada badala kuacha asimulie anavyotaka yeye mwenyewe na sio kumsemea Maneno!
Huyo inaweza kweli ukawah ulifaulu je mbelen
7:55 mwanaume anakasirika anachukua begi kwa hasira anaondoka then ww unaombewa kwenda kulala kwa wahudumu Ina maana chumba mkakiacha wazi hakina mtu au???
Utu ni kazi kuupata sk hz
Ulikwa umekaa tew love
Yaani uwongo dhambi sintashuka ila akianza tu nakinyonga kidudu mshenzi kabs
Hahaha huwezi
Atakuwamba makofi ukinyonga kitendea kazi
Unakinyonga kinini vile?.
Yaani naona kabs akiniambukiza VVU 😂😂😂Dahhh nohhhh
@@laurentraphael5470 😁😁😁😁
😭😭 jamani hayo maneno walokwambia wazazi siyo pow
Story nzuri, inspirational! Ila kwenye kutaja jina la yule rafiki yake ambaye mme wake ni driver kama yupo nae mpaka leo itakuwaje!?🙂🙂 Confidentiality??
Mwandishi msomi Columbus Le Baba's nakubali xana
Mbona dereva wa simera ujamtaja
Pongezi kwa huyu mama umepitia kweli mungu nimwema shukuru🙏🙏
Wadada wenye ndevu na bahati za maisha
Tuko hapaaaa 😂😂😂
Da Catherine kafanana na mpoto jamani
Mama inaonekana wewe ndiyo ulikuwa unapenda ngono
Sikubali unachosema...Yani ulipoanza kujifunza hukujua Kama Kuna kugongwa?
Tena unalala na nguo za kulalia mpaka ikachanika...
We
Mmmmmmh
Akili ndio inayoendesha mwilli wako kama unawaza uzinzi utazini
🤣 🤣 Kwanza ncheke
Nisafiri na huyu dada kutoka Dar had arusha Yuko poa saan
WANAWAKE HUWA N WAONGO MNO..WE UNATAKA KAZI KWA MTU BURE BURE TUU JMN
Mi siamini😂😂....Mungu anajua 😂
kweli kabisaaa
maandalizi yotee yanafanyiakaa alafu mpira hauchezezwi...!!!
lakini sawa wanaume tusio penda kulazimisha sanaa kama mimi
{ukininyima wewe mwenzio atanipaa}
Uongooo huo umeenda kwa hiari yako nisiri yk hiyo
Wewe Dada umeliwa Sana acha uongo tabia za madereva zinajúliksna Sana kwa nini wasiwachukue Dada zao wakawafundisha kazi Kama walivyokufundusha wewe acha uongo shepu yako imekufikusha hapo ulipo
We Una uhakika gani we
Wanaume,hatuna nguvu mbele ya wanawake
Kama nikweli dada umejitahidi kukaza pongezi kwako na mungu akubariki
Inavutia sana pia inatisha
Mwanamume
Kamili
Huwa
Ivo
Ninauliza tu. Huyu mama [ dereva ] ana ndevu ama namna gani? Whichever the case, hana tabia ya umalaya.
Nimeona hivo pia
Mmmh sema TU we ni mbaya ndyo maana ungekuwa mrembo asingekuacha
Mtangazaji acha kiherehere fanya mahojiano kitaaluma unaharibu ladha ya interview