PART 5: DEREVA CATHERINE Asimulia ALIVYOWAAMBIA WANAUME ANA JINSIA 2 NA ZOTE ZINAFANYA KAZI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2022
  • PART 5: DEREVA CATHERINE Asimulia ALIVYOWAAMBIA WANAUME ANA JINSIA 2 NA ZOTE ZINAFANYA KAZI..
    Hii ni sehemu ya tano ya muendelezo wa simulizi ya deveva Catherine..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 246

  • @nivancewali8192
    @nivancewali8192 Před 2 lety +7

    Mashallah lslamu good Muslim mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @naomibildad509
    @naomibildad509 Před 2 lety +1

    Hii imenigusa salute kwako dada na kwa huyu dereva. Nyie ni mfano wa kuigwa.

  • @CarlOleubaiga
    @CarlOleubaiga Před 9 hodinami +1

    Hivi niko nili tamani trailer but marafiki madriver wako na ugumu wa kumwachia mtu gari. Nina endesha mguu kumi ingawa niko na ujuzi wa trailor but nina hitaji mtu wa ku ni vusha kwa trailor. Niko kenya mombasa. But inshallah niko na imani nita fanya kazi ya trailer

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před 2 lety +16

    Islam Mungu akutunze na UZAO WAKO MILELE

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 Před 2 lety +3

    Safi Sana Dada kwa kuthubutu,wengine wako mitaani bila kazi ksa uoga tu,eti hoo mi gari siwezi kujifunza,wanabaki kutaka maisha mazuri bila kujibiidisha

  • @allychamnganda8401
    @allychamnganda8401 Před 28 dny

    Duh.....hii kweli ni Unique story, hongera sana Bi Catherine Sanga big up sana🖐️

  • @kibabysaid6692
    @kibabysaid6692 Před 2 lety +7

    Nimeipenda bureee hii story yake kwa kweli...hongeraa dada Catherine...na subiri muendelezo....hongera pia Kaka lslam kwa Kumuezesha dada cath kutimiza malengo yake💞

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před 13 dny

    mashaallh 👏👏👏👏

  • @ayshasulaiman5026
    @ayshasulaiman5026 Před 2 lety +2

    Mashallah Islam Mungu akulipe Kheri

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety +1

    Hongera Dada Katherine Sanga. Mwanamke anaweza.

  • @alexdaniel3188
    @alexdaniel3188 Před rokem +1

    Dah! Story nimeipenda sana

  • @thomasondonga1752
    @thomasondonga1752 Před 2 lety +1

    Poleni Sana sister Catherine Kwa changamoto uliopitia hasa kutupua changa lasimba wanyama wapolini I feel so sorry for you dear sister I'm watching you from Nairobi

  • @alexdaniel3188
    @alexdaniel3188 Před rokem +1

    Catherine hongera sana dada wa jina la mwanangu

  • @nipautago8574
    @nipautago8574 Před 2 lety +10

    Islam mungu ambariki sana! Uzao wake ukawe na mafanikio

  • @benjaminmuhaya3193
    @benjaminmuhaya3193 Před rokem +4

    I have never cried before, but this one has made me cry,, but I say congratulations my sister Cathy wewe ni shujaa kweli.

  • @user-wg5so4sd1e
    @user-wg5so4sd1e Před měsícem

    Hongera sanaa catharine pia hongera isilam

  • @kamusindegetai6342
    @kamusindegetai6342 Před 2 lety +1

    Sema mtangazaji una maswali mengi katikati ya story hadi unaharibu utamu wa show yako... Hebu fanyia kazi ushauri wangu

  • @zaitunilema5342
    @zaitunilema5342 Před 2 lety +1

    Nimekupenda sana dada. Mungu akulinde zaidi

  • @latefalatefa2664
    @latefalatefa2664 Před 2 lety +2

    Duuh kweli umepitia mengi dadaangu kwanza hongera sana

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před 2 lety +1

    Asante dada kwakutokata tamaa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 2 lety +1

    Aisee, pole Sana dada

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 Před 2 lety +3

    Story ya huyu dada imenifundisha Sana,ukiwa unahitaji ki2 usikatishwe tamaa

    • @mmn7480
      @mmn7480 Před 2 lety

      Nikweli kbsa mm pia nilikatishwa tamaa na wtu wengi ktka kzi yngu nshukuru mpka ss npo kwenye kzi yngu sijasikiriza mtu

  • @anethpino1321
    @anethpino1321 Před 2 lety

    Kaka mungu akujaalie maisha marefu utalipwa namwenyezi mungu

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 Před hodinou

    Islam Mungu akubariki na uzao wako

  • @seifwashule274
    @seifwashule274 Před rokem

    Masha Allah, Mr Islam big up bro, God bless you like your name.

  • @mligogodfrey8882
    @mligogodfrey8882 Před 2 lety +6

    Dada mzuri sana huyu,lazima vijana wajiongeze.

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před 2 lety +1

    Mwandishi msomi Big up Sana Brother, Columbus le Babaziiiii

  • @mussakamando2678
    @mussakamando2678 Před 2 lety +2

    Huyu mtangazaji aliharibu sana mazungumzo ya yule rubani wa ndege ya air Tanzania iliyotekwa.

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 2 lety +3

    Shukrani dada kwa maelezo lakini yalinipata lakini tofauti kabisa. Nilimwambia Dereva anayeitwa Juma akiendesha Fiat Tipper yenye ridota. Nilikuwa kijana wa miaka 20 na nalikua najua mambo ya magari kwa theory na nilikuwa nahakikisha najua kinachotendwa na maderva. Nikamwambia Juma, kwa nini huwa haunipi gari niliendeshe? Akanijibu hujawahi kuniambia unajua kuendesha. Basi alinipatia gari na ilikuwa jioni lakini nilipokuwa nabadilisha gear alisikia siachilii eccelarater vyema akasema ondokea accelarater. Kwa hivyo, sauti aliisikia nilipotoka gear No 2 kuingia No 3. Aliposema hivyo niliondokea accelarater vyema na nikawa nafanya h8vuo kwa gear zote pamoja na redota na nikawa naendesha kwa spidi ya 30 mph. Usiku ukaingia nikawasha mataa vyema na akaona napiishana na magari vyema. Kwa hivyo akatulia. Lakini nilifika kwa T Junction nikabadilisha gear vyema lakini kabla sijasimama ili kupisha gari lililokuwa linakuja Fiat ilizimika. Nikajaribu kukanyaga break nikaona bado halisimami. Nikamwambia juma mbona halisimami? Akjibu break yake ni hydronic. Na nilkuwa najua hili gari halina self start.
    Likizimika itakuwa shida.Basi kwa kuwa hapo mbele palikuwa ni mtaro wa culvert nikaamua kukata stearing ili niende kushoto kabla ile gari inayokuja haija nifikia nikiwa katika hali hiyo ya ukosefu wa control kwa break. Nilipojaribu kukata stearing ikawa ngumu kama mawe. Nikamwambia juma. Mbona stearing imekuwa kama mawe? Akajibu hata nayo ni hydronic. Basi niliiweka gear No 3 na kuachilia clutch haraka huku nimefinnyilia kijiko. Lo....lilinguruma kama Simba. Na kwa kuwa nilikuwa nakata kushoto stearing ilibadilika na kuwa kama nyepesi sana. Basi lilielekea ukingoni na kikalisimamisha na kuliweka free na kuweka handbrake. Juma akaniuliza. Swaleh ni nini? Nikamjibu njoo uendeshe hili gari. Wakati ule nimepatwa na uoga mkubwa. Basi alirudisha reverse na tukaendelea akaniteremsha kwetu nae akarudi kwao kule tulikotoka.
    Baada ya wiki nilimkuta Juma anapakia kokoto akaniambia njoo. Nikapanda gari tukawa tunaongea kwa cabin. Akaniuliza, ulifanya nini siku ile? Nikawambia, acha nikueleze. Akasema, ehe... nikamwambia sijawahi kuenendesha gari. Hiyo ndio mara yangu ya kwanza. Akaona ajabu. Akanuambia, ulionekana kama ambaye umeendesha mwezi mzima hivi. Nikamjibu hiyo ndio mara yangu ya kwanza. Kisha gari lilijaa kokoto na akaondoka nikiwa ndani. Na hapo palikuwa ni mteremko wa kilomita kama 3 hivi. Na barabara ni ya mchanga. Basi gari lilikuwa linayumba yumba kwa uzito wa mzigo.
    Akasema, njoo hapa nyuma. Nikaja. Sijakaa vyema akaachilia usukani staili,, uendeshe gari au uliache lielekee mwituni.
    Nilishika usukani na kukaa vyema. Basi tuluenda kama km 10 huku akisema, achilia mafuta, ninaachilia. Akusema punguza mwendo ninapunguza. Akisema badilisha gear nabadilisha. Siku ya tatu aliniambia, chukua gari ukalete mchanga. Nikaenda peke yangu na nikaleta mchanga na kuumwaga unapofaa kwa kuinua Tipper. Tangu hapo aliniambia nenda ukachukue license

  • @user-eu3sv3wr1w
    @user-eu3sv3wr1w Před měsícem

    Iklam chukua maua yako ❤❤❤❤❤❤❤❤ love u so murch nakuombea sana kwa huo moyo ulokuwa nao

  • @stevenmsigwa9404
    @stevenmsigwa9404 Před 2 lety +4

    Mwanafunzi ulisoma elimu ngumu, hongera hujawahi kata tamaa

    • @kilapilo.kilapilo5292
      @kilapilo.kilapilo5292 Před rokem +1

      Ili dhahabu ipate thamani halisi/kubwa, ni lazima ipite kwenye moto.
      👉Huku duniani, watu wenye uthubutu wa dhati na wanaoongozwa na Mungu, ndiyo wanaofanikiwa na kuvuka(kutoboa) kwenye maisha.

  • @mkundanjidaniel6818
    @mkundanjidaniel6818 Před 2 lety +3

    Noma sana

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 2 lety +4

    super woman 👍 be blessed Islam for wonderful women empowerment.

  • @edwadymwakisuru1622
    @edwadymwakisuru1622 Před rokem +1

    Interview yako imependeza sana na unastahili kufika ulipo maana mwalimu wa tano mr Mathew alichokufundisha na ukazingatia hiyo ndio iliyokuwa dawa yakukubarika nakuvumiriwa na wengine..

  • @user-eu3sv3wr1w
    @user-eu3sv3wr1w Před měsícem

    Hongeraaa my dear M/ MUNGU na akutangulie katika yote

  • @miruhongin
    @miruhongin Před měsícem

    Kweli mungu amubari Islamu kwaku ku saidia dada na yule baba

  • @joshuajosephat2711
    @joshuajosephat2711 Před rokem

    Pole sana kuifikia ndoto ni changamoto sana hii ndo maana halisi ya mwanamke ongera sana 🙏 mungu akubariki

  • @sulemanhassan6130
    @sulemanhassan6130 Před 2 lety +1

    Waaaa hii kali sana

  • @edsonmlashan3472
    @edsonmlashan3472 Před 2 lety +7

    Sister kwanza pole sana kwa changamoto ulizopitia
    na pia ongela sana kwa kushinda mitiani na sikuzote shetani hajagi na pembe ilitu muogope bali anakuja
    kwaajili ya kuhalibu kazi ya MUNGU .
    Lakini mshulu MUNGU kwa yote ila yakupasa kujishusha na kuludi katika familia yako kuomba msamaa kwa kilicho tokea japokua wao ndio wana makosa na pia ndoa ya ki Kristu haivunjiki mpaka mmoja apumzike ndipo utakua hulu
    Naomba uludi kwa mmeo msameane mjenge maisha
    ita pendeza sana
    Pongezi kwako kwa kujisimamia ubalikiwe sana Sister

  • @happypius5897
    @happypius5897 Před rokem

    Pole Sana kwa changamoto izo

  • @stellangowa1893
    @stellangowa1893 Před 2 lety +1

    Amen .Mtumishi wa Mungu naendelea kujielewa.

  • @ibrahimkalume5235
    @ibrahimkalume5235 Před rokem

    Ni story nzuri, napenda ningeongea na Catherine Sanga

  • @nivancewali8192
    @nivancewali8192 Před 2 lety

    Congratulations super hero

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před 2 lety +1

    Hongera dada

  • @wiliammaswi7345
    @wiliammaswi7345 Před 2 lety +5

    Mtangazaji punguza mdomo tusikilize

  • @tripleh2003
    @tripleh2003 Před 2 lety

    Hongera sana sister

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Před 2 lety +3

    hv huyo mtangazaj asomag comment km akisoma ajue tu anazingua sana

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 Před 2 lety +1

    Story ni nzuri lkn ungeiunganisha ikawa moja halafu ukawa una muacha asimulie vizur bila kumkatisha,,,raha ya story inatakiwa uwe msikilizaji mzuri...big up mwandishi msomi

  • @livingstonephilimon639

    Hongera kupambana

  • @florianmalle6038
    @florianmalle6038 Před 2 lety

    Hongera sana dada

  • @oswadjosefu3049
    @oswadjosefu3049 Před rokem

    Pore sana dda

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 Před 2 lety

    Mungu hufanya njia pasipo na njia, na anakupitisha katika mapito fulani, ili uwe somo na kwa wengine

  • @bmajesky63
    @bmajesky63 Před měsícem

    Mtangazaji unaharibu story unadandia kwa mbele mno

  • @erastojackson8427
    @erastojackson8427 Před rokem

    Mungu amekutunza Sana hongera sana

  • @abdullahifarahofficial5716

    God bless Islam for helping this soul (Islam ) means peace ana match kabisa

  • @user-ic2pn8qs8n
    @user-ic2pn8qs8n Před 16 dny

    Daa islam is from heaven....

  • @bentez911
    @bentez911 Před 2 lety

    ISLUM BIG UP

  • @estertiffathomas5651
    @estertiffathomas5651 Před 2 lety +1

    Waaaaah

  • @shaffisumaida8800
    @shaffisumaida8800 Před 2 lety

    Really woman stronger

  • @alexmaglan3730
    @alexmaglan3730 Před 20 hodinami

    Mtangazaji anaharibu story...!!!???

  • @daimakafugugu4464
    @daimakafugugu4464 Před rokem

    Good

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 Před 2 lety

    Never give up

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 Před 2 lety

    Dada jasili hy kongore kwake

  • @aisharamadhani3380
    @aisharamadhani3380 Před 2 lety

    Habari kaka naminandoto iyo naomba unisaidiye ilasijuwi pakuanzia naomba uniunganishe nauyo Dada

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Před rokem

    Wow I like that I like to be driver bt one dy i believe

  • @princessdiana5350
    @princessdiana5350 Před 2 lety

    Mungu ni mwaminifu mnoooo,akiamua kukunyanyua hata itokeee nini lazima itokeee tu

    • @adamdaudi6191
      @adamdaudi6191 Před 2 lety

      “Mungu ni mwaminifu mnooo”,😊nimependa ulivoweka msisitizo huo

  • @teresiawanjiku6890
    @teresiawanjiku6890 Před 2 lety

    Wow

  • @ajenthateti1738
    @ajenthateti1738 Před rokem

    Jaman Da Catherine nifundishe na mm kuendesha gari

  • @alickomsyani3900
    @alickomsyani3900 Před 2 lety +1

    Story yake nzuri sanaaa

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 Před 2 lety

    Leta 6

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 Před rokem +1

    Huyu si mwanamke kamili hana jinsia mbili ila hana hisia kama mwanamke kamili ndiyo maana aliachana na mume wake na akutembea na madereva bali ana jisikia vizuri akiwa na wanaume kutia story tu 😢🤔

  • @rajaisimai9843
    @rajaisimai9843 Před 2 lety

    Tumeni sehem ya 6

  • @bobleeswagger7416
    @bobleeswagger7416 Před 2 lety +2

    Akimzungumzia islam kuna haiba flan hivi Islam alikula mzigo kwa sababu alimpenda wengine hakuwapenda mwanamke akipenda hutumiii nguvu

    • @philej
      @philej Před 2 lety

      Nakubaliana na wwe jamaa kalamzigo

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga364 Před 2 lety

    Wandishi msomi, tunasubiri sehemu ya sita. Mbona haiji?

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před 2 lety

    Mtangazaji unanifurahisha maneno yako

  • @mhebhoamoskisimple2095

    Sehemu ya 6 mnitag

  • @Kaankaraz
    @Kaankaraz Před 2 lety +1

    Dada mimi ni Islam nakukumbuka sana dada yangu ubarikiwe

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 Před 2 lety +2

    Stori imechachuka bwana na msimuliaji nimotoo

  • @yohanajackson4160
    @yohanajackson4160 Před 2 lety +5

    Tan 200 tumepigwa nakitu kizto hakuna gar inayobeba tan 200😅😅😅

    • @yudzchaz6636
      @yudzchaz6636 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @petrombwelwa451
      @petrombwelwa451 Před 2 lety

      Kwa kweli hakuna kitu Kama hii

    • @johnmondi2864
      @johnmondi2864 Před 2 lety

      Volvo inabeba tani 750. Sema Sheria haziruhusu kubeba tani hizo kwa Tanzania

  • @hatari9591
    @hatari9591 Před 2 lety

    Wadau kwenye sehemu ya nne, pale kwenye kalvati, kuna kitu hakijawa sawa wale watu wa mali asili walijuaje kama kuna mtu chini ya kalvati? Na ilikuwa ni saa ngapi? Au mwandishi ameeditid vibaya?

  • @enockkilumile621
    @enockkilumile621 Před rokem

    Naomba pia namba yake

  • @user-oz6zp8fr1c
    @user-oz6zp8fr1c Před měsícem

    Ok

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před 2 lety +2

    🤣🤣🤣😁😁😁 jinsia mbili

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +3

    Mashallah, hatariiii wewe ni super women Dadaangu.

  • @sumaboymusic
    @sumaboymusic Před 2 lety +4

    Mama pambana sisi tunakuombea

  • @halidimsonga9397
    @halidimsonga9397 Před 2 lety +1

    mbona sehemu ya sita hauitoi na katika simulizi unamfanya Catherine aongee kwa muda mfupi wew ndo unatawala simulizi alafu inakua muda mfupi sana

  • @ochutz9959
    @ochutz9959 Před 2 lety

    Taarifa tutamfikishia

  • @ashirafuhaji172
    @ashirafuhaji172 Před 2 lety +2

    Mtangazaji anazingua maswali yakijinga acha m2 aelezee mwenyewe

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni Před 2 lety

    Ww mtangazaji una maswali ya kumkatiza katiza story

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 2 lety

    Afu na nyie wanaume hizi tabia zenu, Mnaachana na mwanamke afu mkiona kafanikiwa mnamrudia! Mwache sawa! Jiamini kama mwanaume!

  • @user-wg5so4sd1e
    @user-wg5so4sd1e Před měsícem

    Ule mzigo wa tani 200 ya mchele sijasikia mlishusha wapi

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 Před 2 lety

    Tani mia mbili mhuuu

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před měsícem

    Islam 🕺🕺🕺🕺🕺🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @alfavahaye4102
    @alfavahaye4102 Před 2 lety

    Kwaiyo hajaliwa

  • @sadikimkumbi2954
    @sadikimkumbi2954 Před 14 dny

    Catherine hapa funguka tu Islaam nyota iliendana

  • @enocksilungwepondajr9707

    She says no coment!!!!

  • @bentez911
    @bentez911 Před 2 lety

    Jamaaa anazingua huyu maswali
    Kila sec 10

  • @ticasitegeta5809
    @ticasitegeta5809 Před 2 lety

    😀😍🤔

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela Před 11 dny

    mtangazaji unazidisha maswali

  • @Dantaata
    @Dantaata Před 2 lety +4

    hata huyo mtangazaji ni kama yule dereva wa pili kaa nae mbali

    • @paulmaghembe143
      @paulmaghembe143 Před 2 lety +1

      Hahahahaha...nimecheka sana mkuu
      Jamaa kama ameulewa mzigo hivi