PART 5: DEREVA CATHERINE Asimulia ALIVYOWAAMBIA WANAUME ANA JINSIA 2 NA ZOTE ZINAFANYA KAZI..
Vložit
- čas přidán 22. 04. 2022
- PART 5: DEREVA CATHERINE Asimulia ALIVYOWAAMBIA WANAUME ANA JINSIA 2 NA ZOTE ZINAFANYA KAZI..
Hii ni sehemu ya tano ya muendelezo wa simulizi ya deveva Catherine..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mashallah lslamu good Muslim mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Hii imenigusa salute kwako dada na kwa huyu dereva. Nyie ni mfano wa kuigwa.
Hivi niko nili tamani trailer but marafiki madriver wako na ugumu wa kumwachia mtu gari. Nina endesha mguu kumi ingawa niko na ujuzi wa trailor but nina hitaji mtu wa ku ni vusha kwa trailor. Niko kenya mombasa. But inshallah niko na imani nita fanya kazi ya trailer
Islam Mungu akutunze na UZAO WAKO MILELE
Amen
Safi Sana Dada kwa kuthubutu,wengine wako mitaani bila kazi ksa uoga tu,eti hoo mi gari siwezi kujifunza,wanabaki kutaka maisha mazuri bila kujibiidisha
Duh.....hii kweli ni Unique story, hongera sana Bi Catherine Sanga big up sana🖐️
Nimeipenda bureee hii story yake kwa kweli...hongeraa dada Catherine...na subiri muendelezo....hongera pia Kaka lslam kwa Kumuezesha dada cath kutimiza malengo yake💞
mashaallh 👏👏👏👏
Mashallah Islam Mungu akulipe Kheri
Hongera Dada Katherine Sanga. Mwanamke anaweza.
Dah! Story nimeipenda sana
Poleni Sana sister Catherine Kwa changamoto uliopitia hasa kutupua changa lasimba wanyama wapolini I feel so sorry for you dear sister I'm watching you from Nairobi
Catherine hongera sana dada wa jina la mwanangu
Islam mungu ambariki sana! Uzao wake ukawe na mafanikio
yes man
I have never cried before, but this one has made me cry,, but I say congratulations my sister Cathy wewe ni shujaa kweli.
Hongera sanaa catharine pia hongera isilam
Sema mtangazaji una maswali mengi katikati ya story hadi unaharibu utamu wa show yako... Hebu fanyia kazi ushauri wangu
Nimekupenda sana dada. Mungu akulinde zaidi
Duuh kweli umepitia mengi dadaangu kwanza hongera sana
Asante dada kwakutokata tamaa
Aisee, pole Sana dada
Story ya huyu dada imenifundisha Sana,ukiwa unahitaji ki2 usikatishwe tamaa
Nikweli kbsa mm pia nilikatishwa tamaa na wtu wengi ktka kzi yngu nshukuru mpka ss npo kwenye kzi yngu sijasikiriza mtu
Kaka mungu akujaalie maisha marefu utalipwa namwenyezi mungu
Islam Mungu akubariki na uzao wako
Masha Allah, Mr Islam big up bro, God bless you like your name.
Dada mzuri sana huyu,lazima vijana wajiongeze.
Mwandishi msomi Big up Sana Brother, Columbus le Babaziiiii
Huyu mtangazaji aliharibu sana mazungumzo ya yule rubani wa ndege ya air Tanzania iliyotekwa.
Shukrani dada kwa maelezo lakini yalinipata lakini tofauti kabisa. Nilimwambia Dereva anayeitwa Juma akiendesha Fiat Tipper yenye ridota. Nilikuwa kijana wa miaka 20 na nalikua najua mambo ya magari kwa theory na nilikuwa nahakikisha najua kinachotendwa na maderva. Nikamwambia Juma, kwa nini huwa haunipi gari niliendeshe? Akanijibu hujawahi kuniambia unajua kuendesha. Basi alinipatia gari na ilikuwa jioni lakini nilipokuwa nabadilisha gear alisikia siachilii eccelarater vyema akasema ondokea accelarater. Kwa hivyo, sauti aliisikia nilipotoka gear No 2 kuingia No 3. Aliposema hivyo niliondokea accelarater vyema na nikawa nafanya h8vuo kwa gear zote pamoja na redota na nikawa naendesha kwa spidi ya 30 mph. Usiku ukaingia nikawasha mataa vyema na akaona napiishana na magari vyema. Kwa hivyo akatulia. Lakini nilifika kwa T Junction nikabadilisha gear vyema lakini kabla sijasimama ili kupisha gari lililokuwa linakuja Fiat ilizimika. Nikajaribu kukanyaga break nikaona bado halisimami. Nikamwambia juma mbona halisimami? Akjibu break yake ni hydronic. Na nilkuwa najua hili gari halina self start.
Likizimika itakuwa shida.Basi kwa kuwa hapo mbele palikuwa ni mtaro wa culvert nikaamua kukata stearing ili niende kushoto kabla ile gari inayokuja haija nifikia nikiwa katika hali hiyo ya ukosefu wa control kwa break. Nilipojaribu kukata stearing ikawa ngumu kama mawe. Nikamwambia juma. Mbona stearing imekuwa kama mawe? Akajibu hata nayo ni hydronic. Basi niliiweka gear No 3 na kuachilia clutch haraka huku nimefinnyilia kijiko. Lo....lilinguruma kama Simba. Na kwa kuwa nilikuwa nakata kushoto stearing ilibadilika na kuwa kama nyepesi sana. Basi lilielekea ukingoni na kikalisimamisha na kuliweka free na kuweka handbrake. Juma akaniuliza. Swaleh ni nini? Nikamjibu njoo uendeshe hili gari. Wakati ule nimepatwa na uoga mkubwa. Basi alirudisha reverse na tukaendelea akaniteremsha kwetu nae akarudi kwao kule tulikotoka.
Baada ya wiki nilimkuta Juma anapakia kokoto akaniambia njoo. Nikapanda gari tukawa tunaongea kwa cabin. Akaniuliza, ulifanya nini siku ile? Nikawambia, acha nikueleze. Akasema, ehe... nikamwambia sijawahi kuenendesha gari. Hiyo ndio mara yangu ya kwanza. Akaona ajabu. Akanuambia, ulionekana kama ambaye umeendesha mwezi mzima hivi. Nikamjibu hiyo ndio mara yangu ya kwanza. Kisha gari lilijaa kokoto na akaondoka nikiwa ndani. Na hapo palikuwa ni mteremko wa kilomita kama 3 hivi. Na barabara ni ya mchanga. Basi gari lilikuwa linayumba yumba kwa uzito wa mzigo.
Akasema, njoo hapa nyuma. Nikaja. Sijakaa vyema akaachilia usukani staili,, uendeshe gari au uliache lielekee mwituni.
Nilishika usukani na kukaa vyema. Basi tuluenda kama km 10 huku akisema, achilia mafuta, ninaachilia. Akusema punguza mwendo ninapunguza. Akisema badilisha gear nabadilisha. Siku ya tatu aliniambia, chukua gari ukalete mchanga. Nikaenda peke yangu na nikaleta mchanga na kuumwaga unapofaa kwa kuinua Tipper. Tangu hapo aliniambia nenda ukachukue license
Iklam chukua maua yako ❤❤❤❤❤❤❤❤ love u so murch nakuombea sana kwa huo moyo ulokuwa nao
Mwanafunzi ulisoma elimu ngumu, hongera hujawahi kata tamaa
Ili dhahabu ipate thamani halisi/kubwa, ni lazima ipite kwenye moto.
👉Huku duniani, watu wenye uthubutu wa dhati na wanaoongozwa na Mungu, ndiyo wanaofanikiwa na kuvuka(kutoboa) kwenye maisha.
Noma sana
super woman 👍 be blessed Islam for wonderful women empowerment.
Interview yako imependeza sana na unastahili kufika ulipo maana mwalimu wa tano mr Mathew alichokufundisha na ukazingatia hiyo ndio iliyokuwa dawa yakukubarika nakuvumiriwa na wengine..
Hongeraaa my dear M/ MUNGU na akutangulie katika yote
Kweli mungu amubari Islamu kwaku ku saidia dada na yule baba
Pole sana kuifikia ndoto ni changamoto sana hii ndo maana halisi ya mwanamke ongera sana 🙏 mungu akubariki
Waaaa hii kali sana
Sister kwanza pole sana kwa changamoto ulizopitia
na pia ongela sana kwa kushinda mitiani na sikuzote shetani hajagi na pembe ilitu muogope bali anakuja
kwaajili ya kuhalibu kazi ya MUNGU .
Lakini mshulu MUNGU kwa yote ila yakupasa kujishusha na kuludi katika familia yako kuomba msamaa kwa kilicho tokea japokua wao ndio wana makosa na pia ndoa ya ki Kristu haivunjiki mpaka mmoja apumzike ndipo utakua hulu
Naomba uludi kwa mmeo msameane mjenge maisha
ita pendeza sana
Pongezi kwako kwa kujisimamia ubalikiwe sana Sister
7777iullolm
Pole Sana kwa changamoto izo
Amen .Mtumishi wa Mungu naendelea kujielewa.
Mungu akusaidie sana ili udumu katika kuendelea kujielewa.(Keep it up)!
Ni story nzuri, napenda ningeongea na Catherine Sanga
Congratulations super hero
Hongera dada
Mtangazaji punguza mdomo tusikilize
Hongera sana sister
hv huyo mtangazaj asomag comment km akisoma ajue tu anazingua sana
Story ni nzuri lkn ungeiunganisha ikawa moja halafu ukawa una muacha asimulie vizur bila kumkatisha,,,raha ya story inatakiwa uwe msikilizaji mzuri...big up mwandishi msomi
Hongera kupambana
Hongera sana dada
Pore sana dda
Mungu hufanya njia pasipo na njia, na anakupitisha katika mapito fulani, ili uwe somo na kwa wengine
Mtangazaji unaharibu story unadandia kwa mbele mno
Mungu amekutunza Sana hongera sana
God bless Islam for helping this soul (Islam ) means peace ana match kabisa
Daa islam is from heaven....
ISLUM BIG UP
Waaaaah
Really woman stronger
Mtangazaji anaharibu story...!!!???
Good
Never give up
Dada jasili hy kongore kwake
Habari kaka naminandoto iyo naomba unisaidiye ilasijuwi pakuanzia naomba uniunganishe nauyo Dada
Wow I like that I like to be driver bt one dy i believe
Mungu ni mwaminifu mnoooo,akiamua kukunyanyua hata itokeee nini lazima itokeee tu
“Mungu ni mwaminifu mnooo”,😊nimependa ulivoweka msisitizo huo
Wow
Jaman Da Catherine nifundishe na mm kuendesha gari
Story yake nzuri sanaaa
Leta 6
Huyu si mwanamke kamili hana jinsia mbili ila hana hisia kama mwanamke kamili ndiyo maana aliachana na mume wake na akutembea na madereva bali ana jisikia vizuri akiwa na wanaume kutia story tu 😢🤔
Tomboy sio
Tumeni sehem ya 6
Akimzungumzia islam kuna haiba flan hivi Islam alikula mzigo kwa sababu alimpenda wengine hakuwapenda mwanamke akipenda hutumiii nguvu
Nakubaliana na wwe jamaa kalamzigo
Wandishi msomi, tunasubiri sehemu ya sita. Mbona haiji?
Mtangazaji unanifurahisha maneno yako
Sehemu ya 6 mnitag
Dada mimi ni Islam nakukumbuka sana dada yangu ubarikiwe
ahaha Islam wa Mchongo
Stori imechachuka bwana na msimuliaji nimotoo
Tan 200 tumepigwa nakitu kizto hakuna gar inayobeba tan 200😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Kwa kweli hakuna kitu Kama hii
Volvo inabeba tani 750. Sema Sheria haziruhusu kubeba tani hizo kwa Tanzania
Wadau kwenye sehemu ya nne, pale kwenye kalvati, kuna kitu hakijawa sawa wale watu wa mali asili walijuaje kama kuna mtu chini ya kalvati? Na ilikuwa ni saa ngapi? Au mwandishi ameeditid vibaya?
Naomba pia namba yake
Ok
🤣🤣🤣😁😁😁 jinsia mbili
Mashallah, hatariiii wewe ni super women Dadaangu.
Islamu alikula hapo hakuna namna
Mama pambana sisi tunakuombea
mbona sehemu ya sita hauitoi na katika simulizi unamfanya Catherine aongee kwa muda mfupi wew ndo unatawala simulizi alafu inakua muda mfupi sana
Taarifa tutamfikishia
Mtangazaji anazingua maswali yakijinga acha m2 aelezee mwenyewe
😂 😂 😂
Ww mtangazaji una maswali ya kumkatiza katiza story
Afu na nyie wanaume hizi tabia zenu, Mnaachana na mwanamke afu mkiona kafanikiwa mnamrudia! Mwache sawa! Jiamini kama mwanaume!
Ule mzigo wa tani 200 ya mchele sijasikia mlishusha wapi
Tani mia mbili mhuuu
Islam 🕺🕺🕺🕺🕺🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwaiyo hajaliwa
Catherine hapa funguka tu Islaam nyota iliendana
She says no coment!!!!
Jamaaa anazingua huyu maswali
Kila sec 10
😀😍🤔
mtangazaji unazidisha maswali
hata huyo mtangazaji ni kama yule dereva wa pili kaa nae mbali
Hahahahaha...nimecheka sana mkuu
Jamaa kama ameulewa mzigo hivi