PART 4: DEREVA CATHERINE Asimulia ALIVYOSHUSHWA KWENYE SIMBA MIKUMI, USIKU HUKU MVUA IKINYESHA!..
Vložit
- čas přidán 21. 04. 2022
- PART 4: DEREVA CATHERINE Asimulia ALIVYOSHUSHWA KWENYE SIMBA MIKUMI, USIKU HUKU MVUA IKINYESHA!..
Hii ni sehemu ya nne ya simulizi ya Dereva Catherine Sanga, ambaye ni Dereva wa wizara Ya Elimu kwa sasa, ametusimulia mambo Magumu aliyoyapitia hadi ndoto yake kutimia ya kuwa Dereva mahiri nchini.....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Pole sana mwanangu na hongera sana kwa msimamo imara hakika ulilelewa katika maadili mema kama mzazi nimefurahishwa na nimehuzunishwa na kitendo cha kinyama alichokufanyia dereva pale mikumi hakika lisilopangwa na Mungu shetani hana nafasi
mbona story iko clear hamna alichotunga,
Aiseee, Pole sana Dadaangu na hongera sana kwa Mafanikio yako.
Duuu Mungu atusaidie ... Pole Sana
Pole sana!
Very touching story. Catherine you are focused and determined to that work you hve so much passion. Indeed God protects n He works in miracleuos ways.
Yeah brave raddy
Mashaalh
Daaaah kiukweli mwanazo sikukuelewa 😢 daah pole na hongeraa sana kwa ushindi
Duu! Hiyo ni aibu kubwa Sana.hongo ya mwili kwakiasi hicho pole sana sister Catherine nashindwa hata kukupa hongera ya mafanikio uliyonayo leo.ila umetoa funzo
Amen 🙏🙏 Kwa huyo dereva
Hongeraaa kwa huyo mzee au hao baba wawili
III nimeamini no store sio kweli
Hakuna kitu rahisi katika maisha
Sijawahi kusikia stori ya kuhuzunisha kama hii pole sana Catherine
Asante nilikua naisubiri Kwa hamu part four
Hongera dada maisha safari ndefu
Nimependa story ongera sanaa dada umepambana
daa kumbe kuna watu waungwana kiasi hicho dunia ya sasa, ningekuwa Rais sasa hivi ningemuita huyo dereva Mwalimu kumpa pongezi na kazi maalum
Ndiyo wana kuwa wengi sana.pole dada..
Pole
Sehemu ya 5 please
Pole san
Waiting for next chapter
Asante kwa huyo dereva
Hii story sioni umuhimu wa kuweka Episode
Wanatafuta views
Ni muhimu. Inaonyesha wanaume walivyoweka ngono mbele badala ya utu.
Du!!Du!!Pole Sana dada!!Jamaa ana roho mbaya Sana huyo
Pole xan sisite
Pole wanaume ni nyangau dada, finally mungu alikusaidia, mungu mbele pia usisahau fungu la Kuni mungu mkubwa
Oyeeee
Sehem ya 5
Pole kwa mitihani uliopitia mungu ni mwema umetimiza malengo yako
Pole sana dear. Huyo dereva ni muuaji. Unamwacha binadamu mwenzio kwenye himaya ya simba! Kweli Mungu yupo. Alifunga hao simba wasimfuate uko kwenye calvert!!!!!
Good sana dada yangu
Mh uu polesana dada
Part 5 mbona siioni
Pole sana dada katherin da juzi alhamic nilikuona shekilangu una draivu gali yako da kumbe ni ww pole dada
Nilimuona chuo kihonda huyu dada,kiukweli anajitambua sana,hongera kwake..
Vitambi wezangu oyeee
Daaah hakika Inasikitisha Sana
Duh!una mungu
Pole sana,ni story nzuri na ya kusikitisha
Ila uongo kazid majaribu yote yapite salama hhhhhh
Mtangazaji mpe muda msimuliaji acha kumjaza maneno yako!!UNAMPRE EMPTY MZUNGUMZAJI
Ktk kila jambo jema changamoto hazikosekani but all in all God is good
Vita ya msituni imejipiga na umefanikiwa,hakika ktk maisha usikate tamaa na uwe na msimamo thabiti.
Ila huyu dada hakuwa muoga kabisa khaaa kila dereva akikwambia twende unaenda jmn Ila hongera
Ni jasiri hatari mm namfaham
Aise sister we ni mpambanaji kwili kweli
Asannte brooo
Mnaweka vipande vifupi sana sijui kwann
Mnazingua sana. Vijipandepande mnaboa kishenzi
So sad😢😢so sad😢😢evil men 😳😳
Duh kwl asiye na mtu ana Mungu
Muongo uyo anatunga anajua
Halafu hakukuwa na sababu ya kuweka vi episode kwenye story clear kama hii, mnatuchosha bure
Ukiwa na CZcams Channel ndio utajua sababu yake vizurii..
@@aronatv47 Wewe kama huna content usifukiri kila mtu hana content
@@bigjizee4130 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Columbus le Babaziiiii nakufatilia sana mwandishi msomi !
Hio story ni miingi ungepeana tu hio dio maisha ya leo nipe nikupe
Heko hongeraaa kwa shujaa wa sita
History nzuri ila hao jamaa wanao tiya fujo hapo kwanini msiwafukuze wanafanya interv isifatiliwe vizuri.
Huyu dada wajina wa mamangu najaribu kumsikiliza tena na tena story zake, Mambo mengi tunafanani, Mimi nilikuwa mfanyakazi wa nyumbani boss katana kunivamia usiku wa manane nikamtoroka nikaend kulala kwenye mwembe polini kwenye Giza Totoro. Naikasa mingi yakutisha na kushangaza. Namshukuru Mungu. Mwanamke ukisimama imara unaweza, hatua niliyo nayo Mimi mwenyewe siamini. Hongera sana dada wajina wa mama Azidi kukuinua✊
Amen God is able
Wewe ni mwanamke wa nguvu mungu akupe miaka mingi ya kuishi
Una Mungu
Unatuzingua
Huyu nae fix
Stor nzr ila mtangazaji unaboa unakata2 sn
Wanaume tunamatamanio ya tamaa sana dah
Pole sana dada mungu wa maskini halali shame on that evil driver
Dah kweli wewe ni mwanamke na nusu umenipafunzo sana
Naamin huyu dada alitumiwatu sema hawez sema ukwl kwan tial yupo kwnye intevew hvo hyu walimutumia Yani ushushwe kwny Poli hafu usliwe pia Kam nikwli bas story niyauingo hii
Wazo lako ni kama mimi,
Acheni mawazo ya kipuuz
hongera dada Catherine wewe ni mwanamke jasiri ili upate unachokipata lazima upitie changamoto ili ufikie malengo.
Wanawake wote wamaloli washatobwa Sana huyu dada muongo Sana
God is good unfortunately alimaliza
Mafanikio yana changamoto yake ,daaah dada ana msimamo sana💪🙏🏼🙏🏼
Apo kwa vitambi nimecheka sana
😁😁
Dereva cathern
Huyu columba ajifunze kufanya interview na watu, bado hajui, ana wa interrupt sana watu kwenye interview nyingi, yaaani ana wa pre empty kiasi ambacho anaye hojiwa anashindwa kufunguka vizuri, kama mnasomaga comment basi someni hizi na huyu mwandishi wenu mpeni shule ya kufanya interview
Huyu dada alukua na bahati sana, uwachwe mikumi pekeyako na uwepo , simba wa pale hawangoji mtu apate chance ya kukimbia, yaani walikua wameshiba au walimpenda tu. Is this true?
Hapa kuna kitu tumefichwa
Muongo huyu,hapa ndo ameanza kuharibu story,huezi kubali uliwe nasimba eti unabana papuchi,uongo mwingine sio poa hata mtangazaji anajifanya eti hastuki,upuuzi huu
Huu ni uongo mtupu
Dakika kumi kumi zinatuudhi mnoooo
Na madereva wa malori tunawajua tabia zenu🙌
Mdada noma huyo,hakika ni king'ang'anizi.
Muongo huyo story zinapandiliana
pole sana ila tambua hakuna urafiki kati ya simba na chui
Aki niya uzunisana, sipendi vile alifanyiwa.
Poa cn ,kw kweli aweza nifunza kuendesha gari kubwa, tafadhari
Aise Sasa tutajuwaje Kama ueimuvuria Siri ni yenu wawili
Unakimbia kuliwa na dereva unaliwa na Simba😂😂
hahaaa aa unay vituko
Pana Nia Pana njia
Uwe unamwacha mtu amalize kuongea
Dada uligongwa ila uwez sema
CASE BANAA NIMEMPENDA BUREEEE SAAAANA ANAJUWA SAAANA ETY BABA ANAKITAAAMBI DAAHHH
Naisi urimuvuria
Nimchaga uyo huwa wanajua kutunga story
Mkinga
Sanga sio mchaga na wachagga hawaweki L kwenye R
Vingine ni vya uongo yani wanyama wakali wakuzunguke wakuache duh
Kuna kauongo kidogo lkn
Vipande vidogo mno,
Kwani wanaume wa Tanzania wako na tamaa aje
Huyo atafutwe akajibu kesi
Maisha ni kupambana najifunza
Kipande hichi kinaukakasi kina mashaka kidogo
Yes...kipade hiki hakiko sawa..
Siangempa tu
Unaota we mudada we mdada! Kutaka usaidiwe na mwanaume bila kutoa kitumbua! Labda awe baba yako!
Hata mm pia natafuta hata utingo lesen ninayo il ni ndogo naomben musaad
Wenye vitambi changamoto kwenye hiyo michezo
Huyo shujaa ndo kaupiga mwingi