RC MAKONDA AMTOLEA UVIVU MWANASHERIA WA HALMASHAURI KWA MASWALI MAGUMU YA MAMILIONI"CHUO UMESOMA WAP

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 05. 2024
  • #trending RC MAKONDA AMTOLEA UVIVU MWANASHERIA WA HALMASHAURI KWA MASWALI MAGUMU YA MAMILIONI"CHUO UMESOMA WAP

Komentáře • 71

  • @RehemqMwanja
    @RehemqMwanja Před 3 minutami +1

    Pigaaaa keleeeleee kwa makondaaaaa,weeeeeeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤,iiimeeeeendaaaaaaaaa

  • @dorcasmruma9001
    @dorcasmruma9001 Před 20 dny +5

    Makonda Mungu akupe miaka 1000 uweze kuwatumikia wananchi

  • @AyeshaAyesha-xr8fc
    @AyeshaAyesha-xr8fc Před 19 dny +7

    Makonda mungu akubaliki jamn unatusaidia Sana baba angu

  • @josephkomba1767
    @josephkomba1767 Před 4 dny

    Hii imendaaaa aisee,makonda noma sana,mama apa aliona

  • @benjaminmollel6224
    @benjaminmollel6224 Před 6 dny

    Hii Ni nzuri sama

  • @BakariJiliwa
    @BakariJiliwa Před 14 dny +2

    Ipocku utakua raisi wemtangulize mungu

  • @annashaoo-cs3wg
    @annashaoo-cs3wg Před 18 dny +2

    Huyu dada leo akifika home awezi kula

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před 20 dny +2

    Makonda Mungu tu akubariki kwa kuwasaidia watu

  • @josephkomba1767
    @josephkomba1767 Před 4 dny

    Bless sana Paul,I proud u bro

  • @ArcadiusMukimara-fr4wx

    Yan makondo unanikumbusha JPM Yan duh we ni jembe big up

  • @ProductionWinderBulyanhulu

    Kea halo hi I mafisadi lazima wakuchukie, ma sisi wananchi tunakuombea kwa Mungu azidi kukulinda uendelee kuwapa za uso.

  • @BarakaMerere
    @BarakaMerere Před 9 dny

    Mungu akupe miaka mingi kakaangu makonda tunakupendasana kaka uishi milele

  • @kakarasmuuzages7490
    @kakarasmuuzages7490 Před 20 dny +2

    Kosa la makonda liko wapi maana niliona Wana mzonga kwamba haiwezi Arusha

  • @AliyabdelekhemaniMme

    Makonda jembe kweli kweli uyu alikula kiapo na magufiri kutetea nchi.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před 19 dny +2

    Makonda waliosema hujasoma kwakweli ulitakiwa kuwafungulia kesi ya kukudhalilisha upo vizuri kwenye kila kona unagonga

    • @josephkomba1767
      @josephkomba1767 Před 4 dny

      Hahahahaha,kabisa aiseee,watu wakiamua kukuaribilia bana

  • @jozeeshirima9231
    @jozeeshirima9231 Před 20 dny +3

    Makonda love❤❤❤❤❤

  • @florinehezron4593
    @florinehezron4593 Před 8 dny

    Kuna wanasheria wanatutesa sana ila basi tu

  • @venantmligo4962
    @venantmligo4962 Před 18 dny +1

    ...kazi nzuri makonda...ila ni vizuri walioshinda kesi(walipwa fidia) na walioshindwa kesi (wallpa fidia) wafanyiwe uchunguzi...isije ikawa organised crime...katika maana wote wanafaidika na fidia, halafu anayeumizwa ni mlipa kodi....jicho la 3 muhimu sana hapo...all in all God bless you for great job

  • @evodiusndibalema4364
    @evodiusndibalema4364 Před 9 dny

    Dada anataka kulia

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před 15 dny

    Kupitia makonda utqngundua watendaji wengi wa serikali ninshida na hawajuwi wajibu wao

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 Před 19 dny +1

    Kesi ya ndugu na ndugu

  • @user-hh9vh2bu2n
    @user-hh9vh2bu2n Před 14 dny

    Fanya kazi makonda wanafiki achananao watanzania tupo nyuma yako

  • @benjaminmollel6224
    @benjaminmollel6224 Před 6 dny

    Safisana

  • @abdallahhassan3840
    @abdallahhassan3840 Před 13 dny

    Safi sana brother unaupiga mwingi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    MIJIZI UNAGONGANA😂😂😂

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před 14 dny +1

    Rais ajaye

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Před 19 dny +3

    Mzeee wanyesheeee viongozi wapuzi hakika wezi watakuchukia ila wazelendo tunaomba mungu akupe maisha marefuuuuu

  • @abdallahhassan3840
    @abdallahhassan3840 Před 13 dny

    Hivi kweli makonda angelikuwa hana elimu haya yote angelijua jamani ? Huyu jamaa alitakiwa awe chadema kutetea wanyonge maana huku kwa ccm hawata mpenda hata kidogo

  • @mageuzijumanne1894
    @mageuzijumanne1894 Před 10 dny

    Magufulification part 2

  • @musashenye9168
    @musashenye9168 Před 13 dny

    Njia zile zile za magu

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před 15 dny

    Aibu kubwa kwa mwanasheria wa serikali

  • @johnmboya7313
    @johnmboya7313 Před 20 dny +2

    Makonda njo klm

  • @BuchaMan-em7qj
    @BuchaMan-em7qj Před 20 dny +1

    If na but 😂😂😂😂😂😂 makonda awaoshea wamasai

  • @elvislyimo6752
    @elvislyimo6752 Před 5 dny

    😅😅😅😅😅😅 0:23 0:26 0:28

  • @emmanuelbayi4640
    @emmanuelbayi4640 Před 19 dny +1

    Makonda mwache mtoto was watu,,sikilze huyo mtoto,afu Sheria mnatunga wenyewe na libunge lenu

    • @josephkomba1767
      @josephkomba1767 Před 4 dny

      Hahahahaha,Yaani mwenyewe gafla nimeanza kumwonea huruma huyu dada

  • @inyasimrefu
    @inyasimrefu Před 20 dny +1

    Hivi hawa watu wa serikal mbona wote waongo

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp Před 18 dny +1

    Wanasheria walioiba majibu vyuon nakupata ajir kiundugu wanasababsha tu migogoro kwa wananch

  • @KhadijaJuma-pi1ji
    @KhadijaJuma-pi1ji Před 14 dny

    Isha mashauzi mdomowako binge labwana

  • @annashaoo-cs3wg
    @annashaoo-cs3wg Před 18 dny

    Mzee yuko makini hatar hhhh

  • @Official_Sunday_Mjeda
    @Official_Sunday_Mjeda Před 11 dny

    Makonda utakuw Rais

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Před 14 dny +1

    Duuuuuu
    Watumishi wengi wa serikali mliosemea ni wadanganyifu.
    Hapo unaweza sema makonda anamuonea kumbe dada anajichanganya sana kueleza

  • @flavianmnganya4197
    @flavianmnganya4197 Před 3 dny

    Im

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Před 15 dny

    😂kwel hiyo aibu kubwa Sana

  • @user-zj8uh2xr8b
    @user-zj8uh2xr8b Před 16 dny +2

    Hakika.makonda.ni.MAGUFULI.ALIE.FUFUKA.UBALIKIWE

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 19 dny +1

    Huyu mwanasheria anajiabisha

  • @shijageorge5995
    @shijageorge5995 Před 9 dny

    Watanzania mjifunze kuanzia leo haya yote ni kutokuwa na wabunge wa upinzani bungeni ndo shida pia huyo makonda anafanya maigizo tuu make yupo chini ya ccm hawezi kuamua jambo kwa kutekeleza chchte kwa wananchi bila mama yao kulizia hivyo ni mazingira tuu ya mazingaombwe tuu kuweni makini sana wananchi mkijaa tuu kwenye mfumo wa ccm mmekwisha tena miaka 5 mpaka 10

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 16 dny

    Mhe. RC mpe nafasi Mwanasheria wa Halmashauri unamnyima uhuru.

  • @imanwilliam4073
    @imanwilliam4073 Před 17 dny +1

    Huyu dada ni jasiri na ameonewa na makonda amekuwa bias,

  • @jozeeshirima9231
    @jozeeshirima9231 Před 20 dny +3

    Wewe mwanamke auna adabu kweli unaongea na mueshmiwa ukiwa umevaa suluali?

    • @manasecharles894
      @manasecharles894 Před 20 dny +1

      Magufuli mtupu🔰💪💪💪💪💪

    • @mathewmillanzi1700
      @mathewmillanzi1700 Před 20 dny +1

      Kwani hapo anaongea na mdomo au suluali?

    • @mathewmillanzi1700
      @mathewmillanzi1700 Před 20 dny +1

      Watambue maaskari wa kike wakavae sketi

    • @mathewmillanzi1700
      @mathewmillanzi1700 Před 20 dny +1

      Waambie

    • @MakameAbdallah-wn3hc
      @MakameAbdallah-wn3hc Před 19 dny

      MAKONDA OYEE.
      MUNGU AKUPE UMRI MREFU MAKONDA
      NA IKO SIKU UTAKUWA LKN CHUKUA TAHADHARI YA KUJILINDA EPUKA KULA OVYO OVYO KWENYE MIALIKO NA UNAPOKWENDA KUHUTUBIA KUWA NA KIPAZA SAUTI CHAKO USIJE UKAFANYIWA HUJUMA KWANI HUO MCHAKA MCHAKA UNAOWAPELEKESHA SI MCHEZO UNAWATOA NISHAI.
      SASA NDIO NIMEBAINI KWA NINI KUNA WATU HAWAKUPENDI
      MUNGU AKULINDE
      WEWE NI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @alluminiumexperttz.12mview13

    Makonda
    Jerry Slaa
    Majaliwa
    Ally Hapi
    Aweso
    Bashe
    Endeleza list...
    Hawa watu ni real sana

  • @mbaralekutarasa7504
    @mbaralekutarasa7504 Před 13 dny

    Hawa jamaa ccm ni watu wa ajabu sana hawaeleweki ona huyu mama anavyobebeshwa msalaba na kuonekana hafai watu hatar sana hawa!!

  • @venantmligo4962
    @venantmligo4962 Před 18 dny

    ...kazi nzuri makonda...ila ni vizuri walioshinda kesi(walipwa fidia) na walioshindwa kesi (wallpa fidia) wafanyiwe uchunguzi...isije ikawa organised crime...katika maana wote wanafaidika na fidia, halafu anayeumizwa ni mlipa kodi....jicho la 3 muhimu sana hapo...all in all God bless you for great job