...kazi nzuri makonda...ila ni vizuri walioshinda kesi(walipwa fidia) na walioshindwa kesi (wallpa fidia) wafanyiwe uchunguzi...isije ikawa organised crime...katika maana wote wanafaidika na fidia, halafu anayeumizwa ni mlipa kodi....jicho la 3 muhimu sana hapo...all in all God bless you for great job
Hivi kweli makonda angelikuwa hana elimu haya yote angelijua jamani ? Huyu jamaa alitakiwa awe chadema kutetea wanyonge maana huku kwa ccm hawata mpenda hata kidogo
Watanzania mjifunze kuanzia leo haya yote ni kutokuwa na wabunge wa upinzani bungeni ndo shida pia huyo makonda anafanya maigizo tuu make yupo chini ya ccm hawezi kuamua jambo kwa kutekeleza chchte kwa wananchi bila mama yao kulizia hivyo ni mazingira tuu ya mazingaombwe tuu kuweni makini sana wananchi mkijaa tuu kwenye mfumo wa ccm mmekwisha tena miaka 5 mpaka 10
MAKONDA OYEE. MUNGU AKUPE UMRI MREFU MAKONDA NA IKO SIKU UTAKUWA LKN CHUKUA TAHADHARI YA KUJILINDA EPUKA KULA OVYO OVYO KWENYE MIALIKO NA UNAPOKWENDA KUHUTUBIA KUWA NA KIPAZA SAUTI CHAKO USIJE UKAFANYIWA HUJUMA KWANI HUO MCHAKA MCHAKA UNAOWAPELEKESHA SI MCHEZO UNAWATOA NISHAI. SASA NDIO NIMEBAINI KWA NINI KUNA WATU HAWAKUPENDI MUNGU AKULINDE WEWE NI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
...kazi nzuri makonda...ila ni vizuri walioshinda kesi(walipwa fidia) na walioshindwa kesi (wallpa fidia) wafanyiwe uchunguzi...isije ikawa organised crime...katika maana wote wanafaidika na fidia, halafu anayeumizwa ni mlipa kodi....jicho la 3 muhimu sana hapo...all in all God bless you for great job
Pigaaaa keleeeleee kwa makondaaaaa,weeeeeeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤,iiimeeeeendaaaaaaaaa
Makonda Mungu akupe miaka 1000 uweze kuwatumikia wananchi
Makonda mungu akubaliki jamn unatusaidia Sana baba angu
Hii imendaaaa aisee,makonda noma sana,mama apa aliona
Hii Ni nzuri sama
Ipocku utakua raisi wemtangulize mungu
Huyu dada leo akifika home awezi kula
Makonda Mungu tu akubariki kwa kuwasaidia watu
Bless sana Paul,I proud u bro
Yan makondo unanikumbusha JPM Yan duh we ni jembe big up
Kea halo hi I mafisadi lazima wakuchukie, ma sisi wananchi tunakuombea kwa Mungu azidi kukulinda uendelee kuwapa za uso.
Mungu akupe miaka mingi kakaangu makonda tunakupendasana kaka uishi milele
Kosa la makonda liko wapi maana niliona Wana mzonga kwamba haiwezi Arusha
Makonda jembe kweli kweli uyu alikula kiapo na magufiri kutetea nchi.
Makonda waliosema hujasoma kwakweli ulitakiwa kuwafungulia kesi ya kukudhalilisha upo vizuri kwenye kila kona unagonga
Hahahahaha,kabisa aiseee,watu wakiamua kukuaribilia bana
Makonda love❤❤❤❤❤
Kuna wanasheria wanatutesa sana ila basi tu
...kazi nzuri makonda...ila ni vizuri walioshinda kesi(walipwa fidia) na walioshindwa kesi (wallpa fidia) wafanyiwe uchunguzi...isije ikawa organised crime...katika maana wote wanafaidika na fidia, halafu anayeumizwa ni mlipa kodi....jicho la 3 muhimu sana hapo...all in all God bless you for great job
Dada anataka kulia
Kupitia makonda utqngundua watendaji wengi wa serikali ninshida na hawajuwi wajibu wao
Kesi ya ndugu na ndugu
Fanya kazi makonda wanafiki achananao watanzania tupo nyuma yako
Safisana
Safi sana brother unaupiga mwingi
Sure kaka
Makonda anajua tena na tena
MIJIZI UNAGONGANA😂😂😂
Rais ajaye
Mzeee wanyesheeee viongozi wapuzi hakika wezi watakuchukia ila wazelendo tunaomba mungu akupe maisha marefuuuuu
Hivi kweli makonda angelikuwa hana elimu haya yote angelijua jamani ? Huyu jamaa alitakiwa awe chadema kutetea wanyonge maana huku kwa ccm hawata mpenda hata kidogo
Magufulification part 2
Njia zile zile za magu
Aibu kubwa kwa mwanasheria wa serikali
Makonda njo klm
If na but 😂😂😂😂😂😂 makonda awaoshea wamasai
😅😅😅😅😅😅 0:23 0:26 0:28
Makonda mwache mtoto was watu,,sikilze huyo mtoto,afu Sheria mnatunga wenyewe na libunge lenu
Hahahahaha,Yaani mwenyewe gafla nimeanza kumwonea huruma huyu dada
Hivi hawa watu wa serikal mbona wote waongo
Makonda uko viizuri
Wanasheria walioiba majibu vyuon nakupata ajir kiundugu wanasababsha tu migogoro kwa wananch
Hahahahahaha 4 sure
Isha mashauzi mdomowako binge labwana
Mzee yuko makini hatar hhhh
Makonda utakuw Rais
Duuuuuu
Watumishi wengi wa serikali mliosemea ni wadanganyifu.
Hapo unaweza sema makonda anamuonea kumbe dada anajichanganya sana kueleza
Im
😂kwel hiyo aibu kubwa Sana
Hakika.makonda.ni.MAGUFULI.ALIE.FUFUKA.UBALIKIWE
Huyu mwanasheria anajiabisha
Mwanasheria wa mchongo sana
Watanzania mjifunze kuanzia leo haya yote ni kutokuwa na wabunge wa upinzani bungeni ndo shida pia huyo makonda anafanya maigizo tuu make yupo chini ya ccm hawezi kuamua jambo kwa kutekeleza chchte kwa wananchi bila mama yao kulizia hivyo ni mazingira tuu ya mazingaombwe tuu kuweni makini sana wananchi mkijaa tuu kwenye mfumo wa ccm mmekwisha tena miaka 5 mpaka 10
Upinzani usitafute Tena Arisha imekwisha
Mhe. RC mpe nafasi Mwanasheria wa Halmashauri unamnyima uhuru.
Apewe nafasi ipi?
Kabisa wanamkata kata hamaliza sentensi
Huyu dada ni jasiri na ameonewa na makonda amekuwa bias,
Wewe mwanamke auna adabu kweli unaongea na mueshmiwa ukiwa umevaa suluali?
Magufuli mtupu🔰💪💪💪💪💪
Kwani hapo anaongea na mdomo au suluali?
Watambue maaskari wa kike wakavae sketi
Waambie
MAKONDA OYEE.
MUNGU AKUPE UMRI MREFU MAKONDA
NA IKO SIKU UTAKUWA LKN CHUKUA TAHADHARI YA KUJILINDA EPUKA KULA OVYO OVYO KWENYE MIALIKO NA UNAPOKWENDA KUHUTUBIA KUWA NA KIPAZA SAUTI CHAKO USIJE UKAFANYIWA HUJUMA KWANI HUO MCHAKA MCHAKA UNAOWAPELEKESHA SI MCHEZO UNAWATOA NISHAI.
SASA NDIO NIMEBAINI KWA NINI KUNA WATU HAWAKUPENDI
MUNGU AKULINDE
WEWE NI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Makonda
Jerry Slaa
Majaliwa
Ally Hapi
Aweso
Bashe
Endeleza list...
Hawa watu ni real sana
Hakika
Hawa jamaa ccm ni watu wa ajabu sana hawaeleweki ona huyu mama anavyobebeshwa msalaba na kuonekana hafai watu hatar sana hawa!!
...kazi nzuri makonda...ila ni vizuri walioshinda kesi(walipwa fidia) na walioshindwa kesi (wallpa fidia) wafanyiwe uchunguzi...isije ikawa organised crime...katika maana wote wanafaidika na fidia, halafu anayeumizwa ni mlipa kodi....jicho la 3 muhimu sana hapo...all in all God bless you for great job