Ihefu SC 0-1 Yanga SC | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Federation CUP 19/05/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 05. 2024
  • Goli pekee la Stephane Aziz ki limeipeleka Yanga fainali yake ya tano ya michuano ya #CRDBBankFederationCup ikishinda 1-0 dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa nusu fainali uliopigwa Sheikh Amri Abeid Arusha.
    Yanga sasa itakutana na Azam FC katika mchezo wa fainali, Juni 02, 2024.
  • Sport

Komentáře • 172

  • @RashidiNasibu
    @RashidiNasibu Před 14 dny +9

    Kama unaamini yanga bingwa like hapa pls❤

  • @user-nl3ld3vs8u
    @user-nl3ld3vs8u Před 14 dny +7

    Yanga kwa sasa ndo furaha ya nnchi yetu❤❤❤

  • @NURUJUMA-sk5fz
    @NURUJUMA-sk5fz Před 14 dny +42

    Naomben likes zenu wananchi💚

  • @user-ic8oj1fy7q
    @user-ic8oj1fy7q Před 14 dny +7

    Diara hongera sana, unapambana mno golini❤❤

  • @user-hj6er2kt4j
    @user-hj6er2kt4j Před 14 dny +6

    Mashalla kwa diara na mfungaj azizi k kwan yanga tunavijana wt wanacheza mungu awalinde

  • @covertv8081
    @covertv8081 Před 14 dny +7

    Kiukwel kbs ihefu leo wamecheza mpira mzuri san

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana650 Před 14 dny +5

    Hongera sana yanga💛💚💚💛

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 14 dny +3

    Diara kipa of the year.yanga 👏🏽💚💚

  • @AzizaSwedi-vx9tv
    @AzizaSwedi-vx9tv Před 14 dny +3

    Alhamdulilah kwa Wananchi Alhamdulilah kwa Pacha wa mie Aziz Ki Alhamdulilah.

  • @AzizaSwedi-vx9tv
    @AzizaSwedi-vx9tv Před 14 dny +2

    Mashaa Allah Leo hi Diara Ulikuwa uko Vzr Alhamdulilah.

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d Před 14 dny

      Hivi wanamlazimisha kuingia uwanjani kama hayuko sawa

  • @sayunimollel3781
    @sayunimollel3781 Před 14 dny +2

    Hongereni Sana chama langu, yangaaaaa rahaaa💚💚💛💛💛💛💚💚💚💚

  • @user-ck1vr4iu7p
    @user-ck1vr4iu7p Před 14 dny +6

    Yanga bingwa ligi na fa

  • @safinaramadhani-ix8wz
    @safinaramadhani-ix8wz Před 14 dny +2

    Hongereni Sana wananchi mmepambana Sana Hadi mnafikia mwisho mchukue makompe yote wachezaji poleni

  • @sudisoloma9293
    @sudisoloma9293 Před 14 dny +5

    Watch from Mombasa Kenya

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 14 dny +2

    Asante Yesu Kwa ushindi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před 14 dny +3

    Yanga mbele kwa mbele 💛💛💚💚 yanga bingwa 💪💪💪 yanga tamu yanga rahaa wee makolo hamuogopi 😂😂😂😂

  • @nasryiddy9855
    @nasryiddy9855 Před 14 dny +5

    GSM❤

  • @user-dn5mq3fw5s
    @user-dn5mq3fw5s Před 14 dny +2

    kikubwa dua tuiyo mbee timu yetu 💛💛💛💚

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Před 14 dny +3

    Hivi kwa nini man of the match sio Dr?. Ama ni kwa wazawa tu?

  • @emmanuelhugo554
    @emmanuelhugo554 Před 14 dny +3

    Duuuuh master ki

  • @OctaJohn-ov9gc
    @OctaJohn-ov9gc Před 14 dny +2

    YANGA bingwa 💚💛🙏

  • @MustaphaThabithi
    @MustaphaThabithi Před 14 dny +2

    Hongereni yanga

  • @ArodiaIsdory
    @ArodiaIsdory Před 14 dny +3

    Mechi ya jasho na nguvu kweli kweli, yanga wapewe maua yao

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu Před 14 dny +6

    Wkwanza jmn😂😂😂😂❤

  • @user-gr6xq8je5p
    @user-gr6xq8je5p Před 14 dny +5

    Yanga bimgwa

  • @ConfusedFrog-lc9db
    @ConfusedFrog-lc9db Před 13 dny

    But ihefu waliwafunga Yanga mapema sana💪💪mchezo wa ihefu uko bomba sana

  • @RahmaMfinanga-yg1yb
    @RahmaMfinanga-yg1yb Před 14 dny +3

    Hiindio mana yakua nakipa Bora diara akiondk Yang nitaumia sanaa viongz wayanga naomben sanaaa diara awepo atamiaka minne mbele😢

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Před 14 dny +2

    Mungu atusaidie tuu hawa AZamu wauwajitu

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 Před 14 dny +1

    Mzinga 👏👏👏👏👏👏

  • @seciliamchalo5627
    @seciliamchalo5627 Před 14 dny +1

    Asante Mungu

  • @user-vz7cj4zk3h
    @user-vz7cj4zk3h Před 14 dny +4

    Pacome bado hayuko saw kbs yaan

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Před 14 dny +2

    Mungu simama na kibabange aponepewepesi baba

  • @MuuhKadele
    @MuuhKadele Před 14 dny +2

    ❤❤❤

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani Před 14 dny +3

    Duwa za wanachuwoni zimetusaidiya leyo ukitowa nawewe utapewa tu

  • @majotaclassic
    @majotaclassic Před 14 dny +4

    Aucho apewe maua yake

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Před 14 dny +2

    Wananchi hivi mnajua Yanga haichoshi machoni kuitizama, Wala redioni kuisikiliza yaani ni raha 2pu,wananchiiiiii eeee! Kweli si kweli haya? Nikwambieni AZAM watakariri ya ligiiiiii hicho ndio kifo chao😂😂😂😂

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c Před 14 dny +2

    Jamani Pakome bado kunani

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 14 dny +1

    Halafu anatokea shabiki wa manzoki FC anasema tunanunua mechi kwa mpira huo dume ,chama FC wajipange bila hivyo msimu ujao 10 zinawahusu.i love u yanga.

  • @thomasjulius3849
    @thomasjulius3849 Před 14 dny +1

    Hongereni wapambanaji wa JANGWANI ila kuna jambo la kujifunza.
    Lazima tukubali kuwa mechi ijayo ni zaidi ya FAINALI maana azam na simba ni familia moja.

  • @bushili
    @bushili Před 14 dny +1

    Master kii🎉

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly Před 14 dny +2

    Yanga bingwa

  • @user-hr8gi6kg1y
    @user-hr8gi6kg1y Před 14 dny +1

    My dream is to meet aziz kii face to face items of soccer in this 2024

  • @PauloSulle-pg1wb
    @PauloSulle-pg1wb Před 14 dny +2

    Tunaomba mechi ya kirafki na bacelona yanga day

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Před 14 dny +2

    Mechi yenye hadhi ya fainali

  • @Taimujr23
    @Taimujr23 Před 14 dny

    Leo ilikua ni on🔥🔥. 🎉 kw yanga

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid Před 14 dny +2

    @ crdb mmeshindwa hata kuweka mazingira safi bya uwanja ni aibu kwa jiji nia ibu fa ni aibu kwa tff ni aubu kwa waziri wa michezo ni aibu njia ya kutoea vyumbani hata kuweka kokoto za elfu sita?

  • @CHABUWILLY
    @CHABUWILLY Před 14 dny +2

    2namtaka azam Tena waungane na Simba

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před 14 dny +2

    Golikipa wa ihefu alijifunga nini kwenye mkono

  • @AdilyAgustine
    @AdilyAgustine Před 14 dny +2

    Ilikuwa mechi ngumu sana hii

  • @JacobMumwi-vf8oz
    @JacobMumwi-vf8oz Před 13 dny +1

    Azam sis so milima tunakutana nao again tuwaonesh

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 Před 14 dny +2

    Kwa nini wanapenda kusukuma kuvuta shat kupiga miguu yaan mushikila

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o Před 14 dny +1

    AUCHO
    The man himself

  • @methodmuhagachi4254
    @methodmuhagachi4254 Před 14 dny +1

    ❤❤❤❤

  • @MaimunaMamisu-rv5iv
    @MaimunaMamisu-rv5iv Před 10 dny +1

    Yan sisi ndo yanga piga hao mpak waseme bd hawajasem

  • @bushili
    @bushili Před 14 dny +2

    Master kii

  • @barakajulius759
    @barakajulius759 Před 14 dny +3

    Azam sisi cy milima tumekutana

  • @geetv3890
    @geetv3890 Před 14 dny +2

    azam tv league mnashoot local sana baadhi ya games asee mpaka aibu jitahidini kuboresha standards na quality ya shooting zenu even cameras sio baadhi ya games mnashoot vizuri zingine mnashoot local nyie ni media kubwa maintain quality

  • @frank.maricusNgicho
    @frank.maricusNgicho Před 13 dny

    Hongera sana chama langu

  • @chakupewamasemo3024
    @chakupewamasemo3024 Před 14 dny

    Yanga ❤❤❤❤❤❤

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 14 dny +2

    Musonda inabidi ajitahidi kuwa na kasi zaidi na kuwa mahali sahihi.

  • @upendomaro3307
    @upendomaro3307 Před 14 dny

    Asante diara❤️❤️❤️😊

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 Před 14 dny +1

    Yanga sijuwi nipe ninimie🎉🎉🎉🎉

  • @zubedamagambo8139
    @zubedamagambo8139 Před 13 dny +1

    Woyoooooo

  • @VitalisTumain-do1tv
    @VitalisTumain-do1tv Před 14 dny +2

    Kipa we2 Yuko saw kabsa

  • @VitalisTumain-do1tv
    @VitalisTumain-do1tv Před 14 dny +2

    Diara ni kipa bora

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce Před 13 dny

    Litakufa jitu apo revenge is claim to be right 💛💚💛💚

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles Před 14 dny +2

    Kinachonifurahishaga kwa aziz ki ni kwamba hana tamaa ya kufunga peke ake lakini akipata nafasi anaweka kambani, sio kama saidoo ntibazonkiza ambaye ili awe mgungaji bora anakuwa mchoyo hatoi pasi kwa walio kwenye nafasi nzuri.

    • @nemeskimbe376
      @nemeskimbe376 Před 14 dny

      Fuatilia vizuri,aliicost timu dhidi ya Mamelody,haya leo anazunguka kulazimisha kupita ilihali mwenzie yupo pembeni kafungua

  • @EmmanuelMswaga
    @EmmanuelMswaga Před 12 dny +1

    azizi k

  • @cleophaskauga8706
    @cleophaskauga8706 Před 14 dny +1

    Lomalisa abaki jamani tutaipoteza Mali Sana hii

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 13 dny

    Ihef rafu sana na kuvutana mashati.

  • @RoseKalmela
    @RoseKalmela Před 14 dny

    Wananchi nawakubali sana

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před 14 dny +1

    Ihefu wamecheza mpira mzuri sana kipindi cha kwanza

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign Před 13 dny +1

    Ihefu walikuwa kama mimba tu, muda wowote walikuwa wanazaa😂

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před 14 dny +1

    Inabidi .marahii wasiwachiwe azam kutuvunjia wachezaji wetu na wao wavunjwe miguu wasiachiwe kabisaaa

  • @crouchjrmakusi6301
    @crouchjrmakusi6301 Před 14 dny +1

    Tumefany mistake 2 kmmke makosa ayoo

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 Před 14 dny +1

    Leo sauti inakata kata sana

  • @HamzaGaudence
    @HamzaGaudence Před 14 dny

    💚💛💛💚💛💛👏👏💪

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před 14 dny

    Rupia ni mchezaji mzuri,japokuwa anacheza timu ndogo.

  • @user-hj6er2kt4j
    @user-hj6er2kt4j Před 14 dny +1

    Kweli tunakipa

  • @sivamusic2234
    @sivamusic2234 Před 13 dny

    #unyama #makolo mtapata tabu sana na ili tunabeba 🤣🤣🤣 #yanga laha saan wewe shabiki wa kweri semaneno moja mwaka huu makolo wataisoma namba #sivamusic #mamaamini #mama #nakupenda #hadhija #unyama

  • @shimateledayani6729
    @shimateledayani6729 Před 14 dny

    Yanga motooo

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 14 dny +2

    TATU FC ZENU CHUKI MPIRA MUACHIENI YABGA

  • @ShamsFundi
    @ShamsFundi Před 14 dny +1

    nabado azam u2 uzima sio dawa2 na bol lmo wanaichiiiiiiii

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Před 14 dny

    Watched from DODOMA TZ.

  • @joycethomas3183
    @joycethomas3183 Před 14 dny +1

    Nanyie chongeni hiyo mipango

  • @StanleyWaya
    @StanleyWaya Před 14 dny

    Yanga lahaa

  • @user-qg7gc1sd6h
    @user-qg7gc1sd6h Před 13 dny

    Achii achiii aziziii chipololo

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 Před 14 dny

    Ihefu leo mlikuwa mmepania kuwavunja miguu Waridi mbona uchezaji wenu umekuwa mbovu sana

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 14 dny

    Sasa mliwarusu vipi goli 5 kwenye ligi wakati mnawapota kabisa ki mpira!!

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 14 dny +1

    Ihf wamekosa magoli piya

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Před 14 dny +1

    Kwetu AZamu siyo wafu niwachawituu wanatakiwa kadi nyekundu tuuu azamu

  • @user-le6pv7ge8b
    @user-le6pv7ge8b Před 13 dny

    Hawa Ihefu wanacheza shoulder challenges au hand pushing?

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 Před 14 dny

    Hii yanga saa hii imekua hovyo,hawa watafungwa na Azam mapema sana

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Před 14 dny +1

      Utakuw kolo wew wana yanga tuna imani na timu yetu Azam hachomoki kisasi ni haki subir siku ifike.

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 14 dny

      @@seciliamchalo5627 Huyo kolo!! Hata tusipochomoka sisi mabingwa tayari yeye ana nini??!! hata nafasi ya 2 hati hati kuipata😂😂

    • @omaraonasir4361
      @omaraonasir4361 Před 14 dny

      @@seciliamchalo5627 tusubiri tarehe mbili,Azam ni wazuri Sana saa hii

    • @jamaldinjuma7361
      @jamaldinjuma7361 Před 14 dny

      Sasa hao azam wazuri si alichapika na simba mbovu hawakuamini walichofanywa sasa kitu gani kipya

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Před 14 dny

    Yangabingwa tena

  • @nestorymlembule3282
    @nestorymlembule3282 Před 14 dny

    Mnanunua sana mechi

    • @ashamkesa979
      @ashamkesa979 Před 13 dny +1

      Kusoma hujui hata picha huoni game hili la kinunuliwa kweli? unataka sifa

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před 14 dny

    Yaani sisi ndio yanga wakamiwaji f c

  • @user-zo7fy4mo6j
    @user-zo7fy4mo6j Před 14 dny +1

    Azam ata mlamba .... Chap

  • @KulthumAlly
    @KulthumAlly Před 11 dny

    Wakubwa 2

  • @hashimumiho4741
    @hashimumiho4741 Před 12 dny

    Wanaume 24 wanakujaje

  • @cityboysrecords6902
    @cityboysrecords6902 Před 13 dny

    Wananchiiiiiiii