Ihefu SC 0-1 Yanga SC | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Federation CUP 19/05/2024
Vložit
- čas přidán 18. 05. 2024
- Goli pekee la Stephane Aziz ki limeipeleka Yanga fainali yake ya tano ya michuano ya #CRDBBankFederationCup ikishinda 1-0 dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa nusu fainali uliopigwa Sheikh Amri Abeid Arusha.
Yanga sasa itakutana na Azam FC katika mchezo wa fainali, Juni 02, 2024. - Sport
Kama unaamini yanga bingwa like hapa pls❤
Yanga kwa sasa ndo furaha ya nnchi yetu❤❤❤
Naomben likes zenu wananchi💚
Diara hongera sana, unapambana mno golini❤❤
Mashalla kwa diara na mfungaj azizi k kwan yanga tunavijana wt wanacheza mungu awalinde
Kiukwel kbs ihefu leo wamecheza mpira mzuri san
Hongera sana yanga💛💚💚💛
Diara kipa of the year.yanga 👏🏽💚💚
Alhamdulilah kwa Wananchi Alhamdulilah kwa Pacha wa mie Aziz Ki Alhamdulilah.
Mashaa Allah Leo hi Diara Ulikuwa uko Vzr Alhamdulilah.
Hivi wanamlazimisha kuingia uwanjani kama hayuko sawa
Hongereni Sana chama langu, yangaaaaa rahaaa💚💚💛💛💛💛💚💚💚💚
Yanga bingwa ligi na fa
Hongereni Sana wananchi mmepambana Sana Hadi mnafikia mwisho mchukue makompe yote wachezaji poleni
Watch from Mombasa Kenya
Asante Yesu Kwa ushindi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga mbele kwa mbele 💛💛💚💚 yanga bingwa 💪💪💪 yanga tamu yanga rahaa wee makolo hamuogopi 😂😂😂😂
GSM❤
kikubwa dua tuiyo mbee timu yetu 💛💛💛💚
Hivi kwa nini man of the match sio Dr?. Ama ni kwa wazawa tu?
Duuuuh master ki
YANGA bingwa 💚💛🙏
Hongereni yanga
Mechi ya jasho na nguvu kweli kweli, yanga wapewe maua yao
Wkwanza jmn😂😂😂😂❤
Yanga bimgwa
But ihefu waliwafunga Yanga mapema sana💪💪mchezo wa ihefu uko bomba sana
Hiindio mana yakua nakipa Bora diara akiondk Yang nitaumia sanaa viongz wayanga naomben sanaaa diara awepo atamiaka minne mbele😢
Mungu atusaidie tuu hawa AZamu wauwajitu
Mzinga 👏👏👏👏👏👏
Asante Mungu
Pacome bado hayuko saw kbs yaan
Mungu simama na kibabange aponepewepesi baba
❤❤❤
Duwa za wanachuwoni zimetusaidiya leyo ukitowa nawewe utapewa tu
Aucho apewe maua yake
Wananchi hivi mnajua Yanga haichoshi machoni kuitizama, Wala redioni kuisikiliza yaani ni raha 2pu,wananchiiiiii eeee! Kweli si kweli haya? Nikwambieni AZAM watakariri ya ligiiiiii hicho ndio kifo chao😂😂😂😂
Jamani Pakome bado kunani
Halafu anatokea shabiki wa manzoki FC anasema tunanunua mechi kwa mpira huo dume ,chama FC wajipange bila hivyo msimu ujao 10 zinawahusu.i love u yanga.
Hongereni wapambanaji wa JANGWANI ila kuna jambo la kujifunza.
Lazima tukubali kuwa mechi ijayo ni zaidi ya FAINALI maana azam na simba ni familia moja.
Master kii🎉
Yanga bingwa
My dream is to meet aziz kii face to face items of soccer in this 2024
U will fulfill ur need
Tunaomba mechi ya kirafki na bacelona yanga day
Mechi yenye hadhi ya fainali
Leo ilikua ni on🔥🔥. 🎉 kw yanga
@ crdb mmeshindwa hata kuweka mazingira safi bya uwanja ni aibu kwa jiji nia ibu fa ni aibu kwa tff ni aubu kwa waziri wa michezo ni aibu njia ya kutoea vyumbani hata kuweka kokoto za elfu sita?
2namtaka azam Tena waungane na Simba
Golikipa wa ihefu alijifunga nini kwenye mkono
Ilikuwa mechi ngumu sana hii
Azam sis so milima tunakutana nao again tuwaonesh
Kwa nini wanapenda kusukuma kuvuta shat kupiga miguu yaan mushikila
AUCHO
The man himself
❤❤❤❤
Yan sisi ndo yanga piga hao mpak waseme bd hawajasem
Master kii
Azam sisi cy milima tumekutana
azam tv league mnashoot local sana baadhi ya games asee mpaka aibu jitahidini kuboresha standards na quality ya shooting zenu even cameras sio baadhi ya games mnashoot vizuri zingine mnashoot local nyie ni media kubwa maintain quality
Hongera sana chama langu
Yanga ❤❤❤❤❤❤
Musonda inabidi ajitahidi kuwa na kasi zaidi na kuwa mahali sahihi.
Asante diara❤️❤️❤️😊
Yanga sijuwi nipe ninimie🎉🎉🎉🎉
Woyoooooo
Kipa we2 Yuko saw kabsa
Diara ni kipa bora
Litakufa jitu apo revenge is claim to be right 💛💚💛💚
Kinachonifurahishaga kwa aziz ki ni kwamba hana tamaa ya kufunga peke ake lakini akipata nafasi anaweka kambani, sio kama saidoo ntibazonkiza ambaye ili awe mgungaji bora anakuwa mchoyo hatoi pasi kwa walio kwenye nafasi nzuri.
Fuatilia vizuri,aliicost timu dhidi ya Mamelody,haya leo anazunguka kulazimisha kupita ilihali mwenzie yupo pembeni kafungua
azizi k
Lomalisa abaki jamani tutaipoteza Mali Sana hii
Ihef rafu sana na kuvutana mashati.
Wananchi nawakubali sana
Ihefu wamecheza mpira mzuri sana kipindi cha kwanza
Ihefu walikuwa kama mimba tu, muda wowote walikuwa wanazaa😂
Inabidi .marahii wasiwachiwe azam kutuvunjia wachezaji wetu na wao wavunjwe miguu wasiachiwe kabisaaa
Tumefany mistake 2 kmmke makosa ayoo
Leo sauti inakata kata sana
💚💛💛💚💛💛👏👏💪
Rupia ni mchezaji mzuri,japokuwa anacheza timu ndogo.
Kweli tunakipa
#unyama #makolo mtapata tabu sana na ili tunabeba 🤣🤣🤣 #yanga laha saan wewe shabiki wa kweri semaneno moja mwaka huu makolo wataisoma namba #sivamusic #mamaamini #mama #nakupenda #hadhija #unyama
Yanga motooo
TATU FC ZENU CHUKI MPIRA MUACHIENI YABGA
nabado azam u2 uzima sio dawa2 na bol lmo wanaichiiiiiiii
Watched from DODOMA TZ.
Nanyie chongeni hiyo mipango
Yanga lahaa
Achii achiii aziziii chipololo
Ihefu leo mlikuwa mmepania kuwavunja miguu Waridi mbona uchezaji wenu umekuwa mbovu sana
Sasa mliwarusu vipi goli 5 kwenye ligi wakati mnawapota kabisa ki mpira!!
Ihf wamekosa magoli piya
Kwetu AZamu siyo wafu niwachawituu wanatakiwa kadi nyekundu tuuu azamu
Hawa Ihefu wanacheza shoulder challenges au hand pushing?
Hii yanga saa hii imekua hovyo,hawa watafungwa na Azam mapema sana
Utakuw kolo wew wana yanga tuna imani na timu yetu Azam hachomoki kisasi ni haki subir siku ifike.
@@seciliamchalo5627 Huyo kolo!! Hata tusipochomoka sisi mabingwa tayari yeye ana nini??!! hata nafasi ya 2 hati hati kuipata😂😂
@@seciliamchalo5627 tusubiri tarehe mbili,Azam ni wazuri Sana saa hii
Sasa hao azam wazuri si alichapika na simba mbovu hawakuamini walichofanywa sasa kitu gani kipya
Yangabingwa tena
Mnanunua sana mechi
Kusoma hujui hata picha huoni game hili la kinunuliwa kweli? unataka sifa
Yaani sisi ndio yanga wakamiwaji f c
Azam ata mlamba .... Chap
Wakubwa 2
Wanaume 24 wanakujaje
Wananchiiiiiiii