Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 05. 2024
  • Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
    Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.
  • Sport

Komentáře • 103

  • @GodfreyTaudos
    @GodfreyTaudos Před 28 dny +6

    Kama na wewe n mwananchi like hapa ❤

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před 29 dny +7

    Wow 💛💛💛💚💚💪 yanga mbele kwa mbele 🎉🎉🎉🎉

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles Před 29 dny +41

    Goli la tatu nimependa sana sprint ya Mzize, mtu wa maana kabisa huyu.

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před 29 dny +15

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mtangazaji una misemo ww chukua mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @stefanohonory7974
    @stefanohonory7974 Před 29 dny +11

    aziz hakuwa makini angefunga nyingi tyu

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 Před 28 dny +1

      Yaan ni kweli kabisa maana mech zilizobakia watu wanabana sana magoli

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 Před 29 dny +10

    Unaamka asubuh unamuuliza mlinzi umeamkaje😅😅

  • @EmpireDRAGON-hk9ic
    @EmpireDRAGON-hk9ic Před 28 dny +7

    Azizi ki huwaga anashangilia hata kama ajafunga yeye namkubali sana huyu mwamba

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před 29 dny +2

    Tunamshukuru Allah kwamafanikio nakusema Alhamndulilah Allah tuzidishie zaidi Inshaallah

  • @ibrahimirakoze3312
    @ibrahimirakoze3312 Před 28 dny +5

    Goli la tatu limeonesha ni kiasi gani safu ya ushambuliaji ya Yanga ina upendo usioelezeka✌️

  • @timcee2670
    @timcee2670 Před 29 dny +7

    Azam mtuwekee video maalum ya Gwaride la Heshima (Guard of Honor) - Kabla ya mchezo kulikuwa na tukio maalum la wachezaji wa Dodoma Jiji kuwapongeza Yanga kwa kuwa Mabingwa wa ligi kuu

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 Před 28 dny +5

    Hahah eti chunga sana uwazi mr matobo yupo kazini😂😂

  • @roi2554
    @roi2554 Před 28 dny +3

    Man of the match is msheri

  • @kaonekakaoneka9815
    @kaonekakaoneka9815 Před 28 dny +6

    Goli la tatu clement kafanya upendo mkubwa sana Kwa ki Azizi na hicho ndicho ambacho wachezaji wa yanga wanatakiwa kuwa nacho ili kumfanya Azizi kupata kiatu maana Kuna Faisal nae Anaandaliwa Kwa hiyo wachezaji wa Yanga lazima waicheze hii game

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 Před 26 dny +3

    Vipo vikaukavyo lakini si kinywa kukauka mate 😅😅😅😅

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 28 dny +4

    Goal keeper wa yanga tunae jamani, chukua maua yako abul 🌺🌺💐💐🌻🌻🌻

  • @dianasabu6156
    @dianasabu6156 Před 29 dny +5

    Huyu mtangazaji ni nan😂😂😂 kanichekesha sana😂😂

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 Před 28 dny

      Vibe kama la Wananchi kabisa analo hyu Mtangazaji😂😂😂

  • @user-gw2nm1if1h
    @user-gw2nm1if1h Před 28 dny +1

    Yanga inacheza kama inatafuta ubingwa 💛💚💚💚💚

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 29 dny +6

    😂😂😂😂😂Mtangazaji misemo yako tuu 😂😂 yanga bingwaa 😂😂😂

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert Před 28 dny +4

    No pacome, aucho,musonda, Mudathiri,yao, mwamnyeto na matata hakuna wamewekwa kwa ajili ya azam😂😂😂

  • @fredysolly8051
    @fredysolly8051 Před 28 dny +3

    Naomba mzize aongezewe sharara nzito kwahii asist

  • @DaudiMathias-nq6zs
    @DaudiMathias-nq6zs Před 28 dny +1

    Yanga ndo Kila kitu❤❤❤❤

  • @ZeyanaAbdi
    @ZeyanaAbdi Před 28 dny +1

    Mzize yaan ni zaidi ya uoendo raha sana

  • @ShebyKiango-bj9mq
    @ShebyKiango-bj9mq Před 29 dny +4

    Et operation bila ganzi😂😂

  • @EliasSirocha
    @EliasSirocha Před 28 dny +3

    Pongeziii sana kwakooo mzize

  • @BabuGga-td3mg
    @BabuGga-td3mg Před 28 dny +1

    Pongezi kwa kipa wanayanga, Msheli anautulivu mzuri sana gorini, na hili nahisi linatokana na uwepo wa Diara, #MSHELI

  • @valencemwarabu7611
    @valencemwarabu7611 Před 28 dny +1

    Mzize aiseee

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 Před 28 dny +2

    Vipo vikaukavyo lakin si kinywa kukauka mate- hii nmeikubali fro al watan ramadhan ngoda

  • @DativaValerian
    @DativaValerian Před 28 dny +1

    Jamani ni wakati wa makolo kujua sisi tunafunga kwa clean sheet afu haturuki kwacha kama wanavyofanya daima mbele!

  • @Kijavaa_jr
    @Kijavaa_jr Před 28 dny +2

    Yangaaaaaa ubingwa aaaaah

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas8876 Před 29 dny +9

    Mtupe kiatu chetu mapema

  • @mwajumampokileomckapela7541

    Chama langu pendwa 💚💛💚🔰

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard2336 Před 28 dny +1

    Raha sana yan Bingwa tayari imebaki battle ya mfungaji bora😂😂😂 kama mcm uliopita

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 28 dny

      Mfungaji bora ameshajulikana, hivi sasa Feisal anadawa goli moja.
      Mechi ijayo Yanga na Tabora Azizi anabiga hatric.Kwahiyo Ki anaongeza magoli matatu zaidi.
      Azam na Kagera Feisal hana uwezo wakufunga magoli mengi Kagera.
      Kiujumla Feisal hamuwezi Aziz.

  • @swaumuomary1843
    @swaumuomary1843 Před 28 dny +1

    ❤❤❤❤

  • @giant1779
    @giant1779 Před 29 dny +5

    Nimeamia Young African club rasmi leo hii. 😁
    I'm just kidding guys✌🏼. #simba_nguvu_moja❤️🇺🇸.

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 Před 28 dny +1

    Maneno Yako mtangazaji yananipa raha sana

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 Před 28 dny +1

    pia ana mapenz sana timu yske ifanikiwe hili goli angeweza kufunga lakin akamjali sana Aziz asogee mbele na magoli

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 28 dny +2

    Gol la Mzinze makolo watasema siyo gol sahihi halikuvuka mstari🤣🤣🤣🤣

  • @SuleimanAbdalla-cn5ne
    @SuleimanAbdalla-cn5ne Před 28 dny

    Kibwana shomar moto❤

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf Před 29 dny +5

    Nimegundua ndo maana skuiz milio ya kitandani ya binti Fran imebadilika Mara hoooooh yangaaa yangaaaa yangaaa Tam tam yaangaaa . Kumbe sas nimeelewa hamna haja yakumraumu

    • @ukuvukiland2387
      @ukuvukiland2387 Před 29 dny +1

      Ebwanae hii comment yako imefurahisha kweli swahiba😀😀😀😀

    • @BennyJumah-hd8yf
      @BennyJumah-hd8yf Před 29 dny

      @@ukuvukiland2387 😅😅😅😅😅nilijua yanga mchepuko wake kumbe ni litimu likubwa Kias hik hata simlaumu mwanamke wangu

  • @ayk20
    @ayk20 Před 28 dny +2

    Dodoma hawakuwa makini tuu wangepata hata goli 3

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Před 29 dny +1

    Anthony versus mavunde. Dooooh

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi Před 28 dny +2

    Mtangazaji mmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kikotse-tung
    @kikotse-tung Před 28 dny +1

    mtangazaji anavitu na vionjo, ila haunogesh mchezo kabisa, hasemi mpira upo maeneo gani, mpira ukiwa maeneo ya hatari na yasiyo hatari hatofautishi, unasikia tu kiiii, skuduuu, mzizeeee, gazaaaa, sasa kafanya nini, azam watuzingatie, mechi ya yanga ijayo jmosi wamuweke MPENJA bas

  • @user-pi8vf2vp3i
    @user-pi8vf2vp3i Před 28 dny

    Kipa tunae💚💛

  • @naomysalumu1858
    @naomysalumu1858 Před 27 dny +2

    Mnaangalia goli la3 tu ivi amjaon mbio za azizi na fard baad ya mzize kumpta yule beki fa masiala nin nakiatu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 28 dny

    Nimemuona hapo Mwana FA anakodoa kodoa macho

  • @paulinevedastus7621
    @paulinevedastus7621 Před 28 dny

    Mungu akupe chawa ujikune au akupe kidonda ufukuze nzi🤣🤣🤣

  • @MussaKulamakwene
    @MussaKulamakwene Před 29 dny

    😂😂😂 Skudu wamemrushia nini hizo anajimwagia

  • @graysondavid5200
    @graysondavid5200 Před 28 dny +3

    Mshery kafanya save nyingi😂😂😂😂 leo kuliko diara msimu mzima😂😂😂 tumeona keeper leo nae akihangaika mno!😂😂

  • @ecostats51
    @ecostats51 Před 28 dny

    Hivi baada ya hii mechi, battle ya Ki na Feisal imekaaje? Nani yuko juu ya mwenzake katika ufungaji? Anayejua tafadhali 🤔🤔

  • @kaderbakshamin2345
    @kaderbakshamin2345 Před 28 dny

    Munaona makosa wanayofanya mabeki wa kati wa yanga ni kila mara katika mechi nyingi, kinachowasaidia yanga mafowadi wao ni tishio kwa wapinzani so timu pinzani kushambulia hawafanyi wanabaki nyuma zaidi kulinda goli lao lakini ikipatikana timu inashambulia ndo utaona mabeki madhaifu ya mabeki wa yanga ni maono yangu

  • @AsiaHarouna
    @AsiaHarouna Před 28 dny +1

    Ila clementinyo nai mtu wa maana sana huyuu mauwa yake jmn💞💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid Před 29 dny +3

    tff are sirious uwanja huo vip

  • @StessOg-un5hy
    @StessOg-un5hy Před 29 dny +2

    kwer mzize nimtu wamana San ten mtu wamhimu San

  • @user-qe5lo6gz9y
    @user-qe5lo6gz9y Před 28 dny +1

    Kwahiyo jana familia ya msheri waliangalia kwa pamoja

  • @BaricheneSelestine
    @BaricheneSelestine Před 27 dny +2

    Poa tukutane final

  • @ZulfaCharlz
    @ZulfaCharlz Před 26 dny +1

    Mtangazaji unashobo kama mwanamkeeee

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB Před 28 dny

    Umemuona yule shabiki anaejiita simba anashangilia. Wanamuitaje vile. Mchome sijiu chomwe. Jamaa anadhihirisha wazi yy ni shabiki wa timu gani

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 28 dny +3

      Alishasema kua yy n shabiki wa simba na hawezi kuihama timu, ila yy penye raha na burudani ndipo alipo maana ukiikosa furaha nyumbani waitafuta kw jirani 😂

    • @herrysonk.edward609
      @herrysonk.edward609 Před 27 dny

      Mchome yupo sahihi hata mm huwa napenda kuingalia yanga ikiwa inacheza wanajua sana