ASKOFU BILA WOGA AMVAA RAIS SAMIA, "RAIS SAMIA AMEKATALIWA NA MUNGU, USALAMA WA TAIFA HAWANA AMANI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • #TANZANIA: Askofu Mwanamapinduzi amvaa Rais Samia, "wafanyakazi hawana amani, usalama wa Taifa pia hawana amani, ndani ya miaka mitatu wamebadilishwa Wakurugenzi wanne, kwa hiyo hata aliyepo hana amani, maana muda wowote hana kazi, mnatumika tu kama kalai"
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 194

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya Před měsícem +10

    Amina kubwaaaaa acha kujipendekeza kwa watu , Mungu akubariki mchungaji, ulisema kweli

  • @emanuelmpamila6155
    @emanuelmpamila6155 Před 2 dny

    ooh hallelujah kwa Mungu
    ukwel unauma sana baba

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +9

    UMENENA VEMA ASKOFU MPENZI WA MUNGU NI MSEMA KWELI ❤

  • @erickrichard1843
    @erickrichard1843 Před 8 hodinami

    Hongera kwakusaidia wsta

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Před 9 dny +2

    Ni kweli mtu wa MUNGU

  • @evangelicalmiraclesfellowship

    Mungu akubariki

  • @theogeorge3773
    @theogeorge3773 Před měsícem +5

    hata hapa wapo Tulieni Aiseeee

  • @mpologomaChristopher

    Upo sawa samia ni mtumishi wa ibilisi na na ndiyo mana anawaumiza Watanzania kwa manyanyaso mkubwa sana, bei ya vitu ipo juu, kuuzwa kwa bandari, ameuza bunga za wanyama, ananyanyasa wachimbaji wa wadogo madini , wakulima wamebanwa tozo kila kona, amepandisha umeme, kufungiwa ni bei ya juu hakika ni kama tupo jehanamu Mungu atuokoe na nyoka huyu

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp Před 9 dny +1

    sema mtumishi wa Mungu,tumechoka baba na maonevu

  • @dorisselembo1225
    @dorisselembo1225 Před 3 dny

    Kweli kabisa 🙏🙏🙏

  • @ramadhansuluhu772
    @ramadhansuluhu772 Před 7 dny +1

    Hivi Askofu wewe ndio Mungu unajua Ardhi na Mbingu zimembwa vipi?

  • @protasdismas516
    @protasdismas516 Před 2 dny

    Hakuna rais aliyekamilika, hakuna rais aliyetenda mema pekee, marais wote wameshawahi kukosea katika uongozi wao, ukiwepo ukweli usemwe.

  • @emanuelmpamila6155
    @emanuelmpamila6155 Před 2 dny

    Amina kuuubwaaàaaa
    baba unalenga palepale penye mshono sema na Mungu akuongoze
    Ni kwl watu wengi hawana Aman kabsa hasa wafanyakz unakuta mtu anada fedha za likiz/uhamisho miaka 3 na wao wakiwa wanasafar wanajilipa mamilio ya fedha lkn wafanyakz wa chini wanaambiwa hakuna hela

  • @vickytango5591
    @vickytango5591 Před 16 dny +2

    Kama unakubaliana na andiko hili..... Watakatifu walioko duniani hao ndio waliobora like hapa

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l Před měsícem +1

    Fact indeed pastor

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Před měsícem +3

    Kumekucha siku zote Mungu ni mwema

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Před 21 dnem +2

    Jamani Mama mbona powa! Nawachukia wote wasiompenda Mama.

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli Před 14 dny +1

    Aminaaa.

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 Před dnem

    Kanisa ni sehemu ya kutafuta amani, faraja na matumaini mema sio sehemu ya kuchochea migogoro na hofu ndani ya wauminj na watu wengine. Haya sio mahubiri yaletayo amani ndani ya nchi.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 6 dny +1

    Wameshiba pesa itapiga kura

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 19 dny +4

    Hiyo bibilia ndiyo imekwambia hivyo au. Siasa kanisani yani mtihanikweri hamchahui pakuongelea chukiimekujaa. Kwa Raisi wetu kipenzi ❤mama Samia Allah akulinde na maadui wakilakona anaekuzamiliaubaya umludie mwenyewe

    • @hamismabula9934
      @hamismabula9934 Před 7 dny

      Kwan wanapoapa huwa wanashika na kuinua juu kitabu cha siasa!?

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Před 3 dny

      Bibilia ni kitabu cha haki hukemea maovu yote haina uchawa ndani yake yesu alikemea waovu bila kujali cheo chao

  • @ericlondonmuwazijimmy1221
    @ericlondonmuwazijimmy1221 Před měsícem +2

    Kama kweli amekataliwa tutaona ishara zote, mbele

  • @josephmallya5525
    @josephmallya5525 Před měsícem +3

    Aminaababa❤❤❤msituletee mambo ya kibojo ya wachawi apa tule taka taka

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j Před 11 dny +1

    Hatupigani kwa mwili bali kwa roho pastor

  • @matatizonkwera8607
    @matatizonkwera8607 Před 6 dny +1

    Ubiri watu waendee mbinguni,siasa na dini huwezi: na kwa taarifa yako Mama samia ni chagua la mungu kwani uliumpa urais wewe? Samia Suruhu Hassan is our destiny" mitano mingine 2025,utake usitake mitano mingine kwa mam🎉

  • @user-eh2fi9ds5h
    @user-eh2fi9ds5h Před měsícem +1

    Sema mtumishi wa mungu

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před měsícem +4

    Mmmmhh aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Daima Apendae fedha hatashiba fedha. Mungu utuhurumie.

  • @elizabethawuor5402
    @elizabethawuor5402 Před 28 dny +1

    Amen

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 10 dny +1

    Shetani ni shetani tuu Baba

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před 4 dny

    Ukimaliza kuongea apo unaonekana utatoka na sadaka nyingi sana, maana wafuasi wako wanapiga makofi si mchezo.

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 8 dny +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @evangelicalmiraclesfellowship

    Huyu mama hafai

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas Před 27 dny +1

    Mchungaji anakosea😢😢😢😢

  • @AmusedAstrolabe-fh8ox
    @AmusedAstrolabe-fh8ox Před 11 dny +1

    Sema baba apone aache unafiki

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w Před 13 dny

    Amina

  • @RashidiDaudy-ez6zt
    @RashidiDaudy-ez6zt Před měsícem +4

    amin mtumishi

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před 4 dny

    Anaruhusu shoga unaendelea tanzania

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 10 dny +1

    Asante sanaa Baba Mungu akubariki

  • @seifhemed2972
    @seifhemed2972 Před 15 hodinami

    Huyu mchungaji wa kondoo wa porini. Hovyo unahubiri upumbavu

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před 26 dny

    Yaani kosa moja linavunja mwema Mia moja

  • @monicamwita7865
    @monicamwita7865 Před 4 dny

    Ulitaka2 sasa ifanyike wapi? Ameongea vizuri wewe unatakà akasemèe wapi?

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 Před měsícem +1

    Hubiri vitu vya kiroho pastor mbona uhubiri kukemea ushoga na usagaji .Wasiojituma ndio wanaotema mate

  • @JaneChissawilo-dr7nn
    @JaneChissawilo-dr7nn Před 20 dny

    Ameen!

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b Před 3 dny

    We ongea habari ya mashoga na wasagaji ,, waumini wako wako uchi kama wauza bar na wazinifu hili ndo la kusema ,acha siasa ni mchezo mchafu.

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI Před 23 dny

    Mimi sina mwanasheria. Mwanasheria wangu ndo kwanza Yuko form 1 C 😅😅😅😅🙌🙌🙌

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw Před 13 dny +1

    Majeshi majeshi, majeshi ya BWANA ameeeeeeeeeeen

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před 26 dny +3

    Serikali ingeliwasikiliza hawa jamaa Mbarikiwa Mwakipesile na Askofu Mwanamapinduzi nchi hii ingelikuwa nusu paradise , Mungu ibariki Tz.

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před měsícem +1

    kazinzuri sana! Mungu atawaripa.

  • @peterkibiriti5601
    @peterkibiriti5601 Před měsícem +1

    Alliyekataliwa na mungu ameshaondolewa duniani

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před 8 dny

    Amuongelei fedha za waumini wenu..watu huwa wanaamishwa nchi NZIMA na huwa wanalipya acheni uchochezi

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 Před měsícem +1

    Hapo umeweka bendera ya Israel taifa la Wauaji wa wapalestina huna lolote danganya haohao mbumbu.

    • @jebace
      @jebace Před měsícem

      umeitwa hapa au ulikuja mwenyewe,na wapalestina waliyataka wenyewe, mwanakulitafuta mwanakulipata😂

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Před 7 dny +1

    Chuki yako ni mbaya sana mtumishi

  • @AtugonzaRutaselwa
    @AtugonzaRutaselwa Před 6 dny +1

    Ameen sema baba wapasue

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 25 dny

    Ongea kuhusu biblia na siyo siasa.😢

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před 4 dny

    Yani we mchungaji mwenyewe ni mfuasi wa shetani, maana naiona bendera ya shetani ikipepea kushoto kwako...ukiunga mkono mauaji ya wanawake na watoto ghaza..

    • @mwamrasahamaro8473
      @mwamrasahamaro8473 Před 3 dny

      Hivi mbona ninyi wa mama mdogo mnaopenda sana matukano?kwani ni lzm umsikilize huyu mchungaji?hebu pendeni amani basi vurugu mbaya!mambo ya alshababu,is ,Boko Haram ni mabaya

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 10 dny +1

    Utashinda kwa jina la Yesu

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas Před 27 dny

    Mwanasheria wangu kasafiri😢😢😢😢😢

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI Před 23 dny

      Mimi wangu ndo kwanza Yuko form 1 C 😅😅😅😅

  • @meshackwilliam8238
    @meshackwilliam8238 Před 13 dny

    🙆🏽‍♀️Ni baraaa2

  • @user-yg8bv6de9v
    @user-yg8bv6de9v Před 11 dny +1

    Mtumishi bwana akuzidishe kwa uweza wake zaidi

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před 10 dny

    Disaster Disasters men of God

  • @leoteryezekiel9745
    @leoteryezekiel9745 Před 27 dny

    Mamlaka yoote Duniani yamewekwa na Mungu. Unyenyekevu kwa kiongozi wa nchi ni hekima hata kama anakosea, wewe mtumishi wa Mungu unapaswa kuwa mnyenyekevu kwa kadri ulivyo ongozwa kuufikisha ujumbe wako na si kuropoka madhabahuni.

  • @EdsonMbuza
    @EdsonMbuza Před 16 dny

    Kama huna Cha. Kukomenti nimuhimu kukaa kimya kuliko kumtukana askofu unamwambia pumbavu kuwa na kiasi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 25 dny

    Usiwe chagadema au CCM😮

  • @kandoyamitoyababeliministr9745

    Mbona unabii ,umekuwa mwingi kwa Tanzania hasa kwa muhula huu wa Rais Samia S. A.hivi ni kweli ni kwa sababu hakubaliwi na Mungu ao ni kwa sababu ni mwanamke

    • @jesaminzo
      @jesaminzo Před měsícem

      Kwani mwanamke si binadamu?

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před měsícem +4

    Sio kweli mama samia hajakaliwa na mungu ndio kamuweka na Kama mungu angemkataa angemuondoa mama samia Hana Nguvu ya kushindana na mungu agome kuondoka madarakani wewe mtumishi wa shetani ndio unahamasisha upumbavu mtupu chuki binafs ya udini imekujaa mjinga wewe kwasababu ya kukatiwa maslahi yako bandalini na Mtu mzima ovyo

    • @annekiwori9504
      @annekiwori9504 Před měsícem +1

      Pole naona mtumishi kapiga kwenye mshono,siyo maneno yake ni ya Mungu.

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před 26 dny

    Pastor umeongea ukwer tunakulinda ole wao tusikie huonekani tunaandamana Safar hii

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před měsícem +1

    Kweli baba semaa

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip Před 27 dny

    Acha utumishi,ufanye siasa!

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 Před 17 dny

    Toka lini askofu akawa mzalendo katika nchi hii? Hopeless

  • @johnboscomasumbuko1073
    @johnboscomasumbuko1073 Před měsícem

    Amenyooka

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před měsícem +1

    Mungu yupi yesu?

    • @joshuajohn2668
      @joshuajohn2668 Před měsícem +1

      MUNGU NI MMOJA Na YESU NI MWANA WA MUNGU

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r Před 15 dny

    Huna AKILI. Hubiri. Dini
    Sio. Siyass
    Usi change. Dini. Na. Siyasa

    • @MkatorikiOg
      @MkatorikiOg Před 7 dny

      Wewe mpumbavu ujitambui, ina maana kama ni paster aiche nchi yake iangamie kisa dini lazima aseme ukwelii

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 25 dny

    Mwamposa ni mpotoshaji😮😮

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem

    Wew lifisiemu tuache tusikilize nondo tulia bana sindano. Iwaingie. Tumewakataa. Mnatulazimisha tu ila mungu. Siyo mwanadamu atatuokoa tu

  • @DavidJosia
    @DavidJosia Před měsícem

    Mhuu Mimi napita tu

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před měsícem +2

    Wewe unajipendekeza kwa chadema acha ujinga na upumbavu yani wewe uaacha kuhubilidini unahibili siasa umeshakataliwa na mungu wewe ndio maana unahubili siasa Kanisani udini umekujaa tuuu

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 Před měsícem +1

      Vitu anavyoonge askofu kuhusu watu kufukuzwa katika ardhi zao na kupewa waarabu vina maana kuliko wewe usie jitambua msaka tonge tu

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Před měsícem

      Kwa hio ukiwatetea watu wanaofukizwa kwenye aldhi yao umekuwa chawa wa chadema? Ahaa niambie wewe chawa wa ccm unamtetea nani ?

    • @ayubungende5341
      @ayubungende5341 Před 5 dny

      kufukuzwa kwa masai umefurai ety

  • @workmantiktok
    @workmantiktok Před měsícem +1

    huyu mchungaji kuma lamama yake kaabisa linaangamia kwa ushoga haongei anaongelea ambayo hayamuhusu

  • @emanuelmwakasungula3052
    @emanuelmwakasungula3052 Před měsícem

    Unatimiza andiko katika chuo Cha isaya 1:17

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před měsícem

    Siasa na Mungu wapi na wapi

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 Před měsícem

    Mhubiri wanaotema mate ni wale wasiojituma .watu wanatoka nje wanasema fursa zipo nyingi Tanzania ila uvivu wa kufikiri na kufanya kazi ndio umekithiri.Nakushauri mhubiri kemea mapepo ya ushoga na usagaji.

  • @muridundhikri
    @muridundhikri Před měsícem

    Haya tena kipindi cha uchaguzi kila alotomwa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před měsícem

    wahubilie watu Neno acha siasa kama unapenda siasa funga kanisa bx uchaguzi unakalibia uende ukaropoke jukwaaani sio kanisani hapo

    • @jesaminzo
      @jesaminzo Před měsícem

      Kama huna ugomvi na biblia soma, Ezekiel 33:1-20

  • @Debestsoul
    @Debestsoul Před 19 dny

    Hello

  • @AnnaBituro
    @AnnaBituro Před 29 dny +2

    Mungu akuzidishie ujasiri katika
    Roho mtakatifu mtumishi wa
    Mungu .
    Sema sema sema!!!. Mungu yuko nawe .jamani tukisikia hivyo tuombe rehema zaidi yatulivyokuwa tunaomba.
    Taifa lipo kwenye mambo magumu.

  • @geey7893
    @geey7893 Před měsícem +2

    Sure, mama wa watu ngoma imemkataa lakini hajiongezi anataka tena kiti😮

    • @knight6757
      @knight6757 Před měsícem

      🐸

    • @oklahommy9838
      @oklahommy9838 Před měsícem

      Na atakipata ....asipokuwa rais tena niite mbwa nimekaa pale😅😅😅

    • @user-jt3gl9fo5e
      @user-jt3gl9fo5e Před měsícem

      Hujiongozi ww mwenye macho lkn huoni

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Před měsícem +2

    Mwanamapinduzi mbona anafahamika ni shoga, hata matako yake yamelegea 😂

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale Před měsícem

      huo ushoga mnashiriki nae?!

    • @atupegemwakahesya
      @atupegemwakahesya Před měsícem

      Hivi vinywa! Uwe makini. Kumtukana mtumishi wa Mungu bila hofu yo yote, badaye utajilaumu.

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Před měsícem

      @@atupegemwakahesya huyu sio mtumishi wa Mungu ni mwanasiasa uchwara

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Před měsícem

    Hivi aliyekataliwa na Mungu wewe UNAMJUA? Sasa wewe mtumishi wa Mungu au Mtumishi wa Siasa? Kutwa Majukwaani, pale Madhabahuni kanisani anakaa nani? Bora uvae Gwanda ufuatane na Mbowe, Tundulisu MKATUKANE vizuri, maana MATUSI ndio sera yao, wakichukua nchi basi kutakuwa na somo MAALUMU la MATUSI, kutakua na degree za MATUSI.

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 Před měsícem +1

    Wewe mwenyewe umekataliwa ndio ukaukumu, wakukataliwa unamjua wewe?

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Před měsícem

      Acha uislamu. Pumbavu sana. Unamtetea kwa sababu nyote mmefunga vichwa.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před měsícem

      @@gosbertrwezahura3645 acha udude unaitwa ukiristo mkunduo, unajitoa fahamu kwakua mnatembea uchi uko makanisani kwenu, shetani wewe

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před měsícem

      @@gosbertrwezahura3645 ibilisi wewe,kwani kufunga kichwa kuna ubaya ! Anajistiri na nyinyi hamjalizimishwa kufunga kichwa acha ushenzi na udini mbwa wewe, muislam kila atakachofanya mnawashwa!!!!! Amefunga kichwa na ni raisi, zageni pilipili muweke kwenye maji muoshe nayo uso, myuuuuuuuuuu, kufunga kichwa ni amri kutoka kwa MUNGU, na huyo mpuuzi mwenzio apo aliekosa la kuongea mwambie akuonye maandiko kwenye bibilia zenu mwanamke 👉 MWANAMKE ASIPOFUNIKA KICHWA CHAKE ANAJIAIBISHA, 👈 upo wewe mshenzi uliyekurupuka kutusi watu?

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem

    Wewe umeongea na Mungu lini. Mungu hawezi kuongea na wewe kwamambo ya uzushi labda umeongea na Shetani simungu .Dini na siasa haviendi pamoja hata sekunde moja

    • @allymohamed2724
      @allymohamed2724 Před 29 dny

      Na akimaloza hapo ni toa bwana toa ulichonacho. Skeleton Church London, Kibwetere, na Kuna wale walofunga bila kula wafe wakutane na Yesu.

  • @husseinjuma4575
    @husseinjuma4575 Před 19 dny

    Tusaidieni kupaza sauti

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Před měsícem +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 25 dny

    Tanzanian govt please this man is the most dangerous now.Take him seriously he is Hitler who killed millions during the second world war.Serikali imuchukulie hatua kali.Ni hatari sana kwa nchi yetu.Propaganda yake ni mbaya sana katika jina la Yesu.😢😢

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před měsícem

    😂😂😂😂 huyu mchubgajee sio poaa

  • @SaidiiMlokaa
    @SaidiiMlokaa Před měsícem +1

    Pumbavu wewe udini umekujaa paka wewe.

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Před měsícem

    PUMBAVU WEWE HÙNA UNACHOJUA UTAWALA UNATOKA KWA MUNGU ACHA KELELE

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 Před měsícem

    Hata sasa ni mbwa

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 Před 16 dny +1

    ASKOFU, KUMBUKENI SANA BENDERA YA TANZANIA ILIVYOKATIKATI YA WAARABU WAKITOA LAANA ZAO. Hiyo msiisahau, tafadhali ifanyieni kazi jamani.

  • @user-iz4te4gs5s
    @user-iz4te4gs5s Před měsícem

    Public coments

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 19 dny

    Kwasababu.mkiristo nikuachetu maana hata Munguwako humjui. Hukiiulizwa Munguwako nani utasema.Yesu. 😂 ngojanikuachetu uwexikubishana na mtu hajuikitu

  • @LomnyakiSapunyu
    @LomnyakiSapunyu Před 22 dny

    11:47 Seema tupone