KWANINI WALEVI HAWAKALIWI/KULOGWA NA WACHAWI? | MUNGU ANAWALINDA WALE KWASABABU HII | ASKOFU GWAJIMA
Vložit
- čas přidán 2. 06. 2024
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Yaaaan mtumish..mafundisho yako waga nabarikiwa sana👏👏👏👏👏👏🤝🙏
Hekima yako yanijenga kila wakati. God bless you Jasusi la mbinguni.
Your wisdom is Spirit-filled
Ameeen
Thanks my lecture for good reason
Nimekusikia mtumishi ktk kristo yesu
Point sana mtumishi Emeni
Amen❤
Fundisho kubwa sana, tunza mafuta
Amen 🙏🤲📖 amen amen
Ameen Baba
Ameni
Jamani,link.
Naona imeandikwa kulogwa badala ya kurogwa ipi neno sawa
Nikweli kabisa hatauombaje wanakujatu nimejifunza
Kwa hiyo tuwo walevi au
Pointi muhimu
Historia na hadithi ya wanawali kumi haipatani na maelezo. Fundisho linaeleza kitu muhimu lakini ufafanuzi wa hadithi ya wanawali kumi na ujio wa bwana harusi havipatani.
Tatizo ni haujaelewa haukua darasani
Walevi hoyeeeeeeh mnalindwa na Mungu adi wachawi wanawaogopa
Mzee wa upako akiacha konyagi anakua mtu wa maana kabisa
Askof Gwajima tumemiss zile nondo zako😂 ungekua ushatuambia katiba mbovu ya nchii lkn saivi Mzee umefunikwa na koti la CCM nakuomba uludi ktk nafasi yko ulisaidie taifa letu lina teketea na watu wake😢😢😢
Kama ulisikia kipindi kile unataka kusikia nini kwa sasa.