😂😂😂😂chizi ww nareal unadharau kwo tukikutaman tuje kwenye show tuje stage utubambie😂😂😂😂😂ila mnapendana jmn ivi imekuaje mbaka mmedumu kiasi cha miaka 11 jmn mbn cc ata miez 6 hatufiki😭😭
Aaliyah alishaOea kusimama kweny vi interview vingi yaan maisha yke ni ya juju kama mtoto wa kambo simple tu yaan napenda lifestyle yako japo sikuelew kiundani zaid
Nimefurahi kukusikia Leo ukiwa unatiririka peke Yako kiundan zaid maana angekuwapo shemela unge'MUTE but your simple man and AIKA is the delicious one.
This guy he is very humble
Kama kuna aliegundua ujamaa ni mtajiri gonga like apa😂
Haika na Navy kenzo ni couple ya kuigwa toka nimewajua hawajawah kuachana big up kwenuu
Sema aika na nahreel. ..nasio aika na navykenzo😂😂😂😃navykenzo NI wakiungana
Maybe washawai kuachana lkn kitu naona hawana pride na umbea wa kutoa vitu vya ndani kwa media.
Yaan hawa wanajitambua sio hapo vilaza wabongo God bless them
I love this couple ❤️ Aika&Narle
😅
Magical I love you bro, dah much lov to u
mwenyeji kakaa kabla ya kumpa mgeni kiti hahaaa mr low key guy(nahreel)
Nawapenda sana hamna skendo Kama vile hampo Mungu aendelee kuwalinda
Wana wcb nipeni like zenu Leo nimekuwa mtu wa kwanzaaaaa
Iya hap sasa nenda ukanye urare
This guy it's so cool yuko really kabisa na generous safi sana
This guy is so cool.👍
Thankfully kwa gud
Interview Nahreel mkono
True love I like this cople
Mungu awatangulie kwenye mausiano yenu 💋💋💋💋💖 mnapendeza sana
Siyo vizuri kushikashika ukuta na mikono na kuegemea ukuta not acceptable paintings cost a lot
Hizi nyumba nyingine zinatuaibisha sana tuliyosoma,kha!
Nice interview
Nice keep going like
Couple yao naipenda sana😘😍
Hongereni sana nyie ni mfano Wa kuigwa
Nahreel mkono.....nakubali kazi yako bro.....👊🏽
im in love with u wity these us are looking like us be strong lets focus
I like your couple
Tuna angalia lkn tunarudi nyumbani😁😁🤣🤣
Mjengo
Lovely couples (nahrel n aika)
This guy is so frank! That’s supeeer cool👏🏽👏🏽 you’re a great presenter Aaliyah 👏🏽👏🏽 go gurl!
Safi sana nimefurahi sana
Nahreel na Aika 😍🔥
Kutoka Florida USA 🇺🇸 .....namkubali sana jamaa
What 11 years. MashaaAllah 🙏
11yrs akat wenzenuu mwk moj ya ndoa ni nomah God blss u nevycazooooo
Real I llyk this couple
Bless you
Nice house Baba gold
Wanaushi vizuri mashallah
My fav couple
Dope... But sound kama echo fulani hivi.
Huwa najiuliza sana huyu Aaliyah na Jonijoo wakiwa peke yao kwenye interviews wanatisha sana ila kule block 89 ni tofauti
Yani iyo ni kweli kabisa
Shaban Mohammed wakiwa pamoja kila mmoja anataka ku skika kuliko mwenzake mwisho wasiku tunaona utofauti
@@shammylove1525 callipso ni bonge la presenter mama... otherwise haujui nini maana ya real presenter...
@@shammylove1525 issue hapo ni utaratbu wa maswali useme..ila kuhusu uwezo,callipso ni bonge la presenter hapa mjini...she gat everything
Nafikili hawajaunganish chemist zao vzr
Mkwanja upo
Nawakubali sana nyie wawili
😂😂😂😂chizi ww nareal unadharau kwo tukikutaman tuje kwenye show tuje stage utubambie😂😂😂😂😂ila mnapendana jmn ivi imekuaje mbaka mmedumu kiasi cha miaka 11 jmn mbn cc ata miez 6 hatufiki😭😭
😆😆😆
Mzd kupendana
🎉🎉❤❤
Alipo v upooo
Plan zao ni insane crazzzzzzzzzy
wow
Bro uko vizuri sana kwa ku jb couple yenu😍😍😘😘
kama ulisikia kila mmoja anaubavu wake bas hawa ni mtu na ubavu wake
Wengine tunaforce Yan unaganda kama ruba hahahah
nimependa interview nice
Maisha ni nyumba imekaaa vzr
Aaliyah alishaOea kusimama kweny vi interview vingi yaan maisha yke ni ya juju kama mtoto wa kambo simple tu yaan napenda lifestyle yako japo sikuelew kiundani zaid
Sunum güzel
Camera 2. Increase vibrance.
👍
Jaman leo wa ttu kwa kwel haijawahi kutokezea kutizama kit niwe wa tatu ninefurahi san
Weye jobwanamuzuri hautaki mazoeya nawana wake
Good
Wwe nae Kama umeamua kufany interview na mtu siuamue kutumia lugha moja. Zamarad&millad wako perfect sana
Hii channel imelenga Sana vijana so kAma lugha kwako haipandi mzee hatuna msaada na wewe
Nareeh kawah sofa kabla ya mgen
Mkaribishe mgeni
Mko vizuri
Thanksgiving
Ni mfano wa kuigwa xn tz elimu muhimu na kujitambua pia
Nwpnd sana ila huyo mgeni cjapenda alivyokalia meza
Hindu Kassim tatz mwenyeji kakaa bila kumkaribisha mgen lkn nadhan walipanga pakukaaa ndio maana nareel alikaa kiti special
Hiyo mezaa ya kwako sasa
Kama umegundua jamaa anaongea sauti kama ya marehemu Ruge Mutahaba gonga like;
😃
Mko vizuri 👍
Utakalishaje matako yako kwenye meza ya chakula n kiti kilikua kipo pemben hapo
Nimeshangaa pia mimi! Soooo disgusting and disrespectful!
Kosa mwenyezi ndio katangulia kukaa angempisha mgeni akae kwani hawezi jikalia kabla yakuambiwa ndiposa kaona apoz hapo....
Kumbe hata nyinyi mmeona wenzangu na viti vipo hapo Ila kaona meza ya chakula ndo akalie sio kiti
Uzungu gani jamani Wa kuweka tako kwenye meza ya chakula????
Ushamba huo
Yaani.
Show ingekua ya kingereza tu bac maana uyu dada anatupoteza tusiojua
Inakuaje mgeni anasimama afu mwenyeji anakaa hii inashangaza sana.
Hizo swagz tu acha ushamba
Shangaa
Acha ushamba na kuhukumu watu bila sababu...angalia htamwanzo amekaribishwa vizuri
tell me about it
Viti vyote hajaona pa kukaa
Tisha
Nimefurahi kukusikia Leo ukiwa unatiririka peke Yako kiundan zaid maana angekuwapo shemela unge'MUTE but your simple man and AIKA is the delicious one.
black boy utaniua mie sema dm ndo hujib dooh
ucjali aika atamjibia
Editor wenu awe mbunifu kwenye kujadili mistar ya nyimbo apray ivyo vipande ili kuweka laza zaidi,
Annastazia Ramadhani Nitarekebisha ila na wew uandike vizur sio kupray ni kuplay pamoja sana
@@damianjeremia3821 😂😂😂😂😂😂nimekoma
Annastazia Ramadhani yaaaap
Kizungu sasa 😴🤣
Niceee
Kwanini humkaribishi mgeni vizuri lakin🤦🏾♀️
Mwandishi wa habari haruhusiwa kukaa anaokuwa kwenye Exclusive Kama Askari tu asivoruhusiwa kukaa akiwa na mtuhumiwa
Kwani nyie akikaa au akusimama hata akiuliza maswali akiwa amelala nyie inawahusu nini?pumbavu nyie mwacheni mke wangu
Bad manners kukaa juu ya meza
Mkaribish mgeni akae jaman
bro unazingua, unapotea sana sana
Uko poa
Wcb for life
Unamkumbatia dada kwa hisia...kuliko Aika
Pumbu zako rike iyo pokea na wewe
Dooh mbona kila kitu mnachukulia serious sana
Kama umeona navy kenzo ameanza kujichubua twende sawa 🤣🤣
Itabidi ukacheck macho
Hajaanz
Kama we ni mweusi siku ukipata hela naww zitakuchubua
@@maumnazareti3954 🤣🤣🤣🤣
Good