Mtoto asipolelewa na baba mzazi atalelewa na baba mwingine tu kwa hiyo hakuna single mother dunian kuna vidume vinavyowasaidia kulea Mi mwenyewe mwenzangu nilimkuta na watoto nikaoa tu wala hamna niko na wanangu wa kufikia
Ni kweli Silva lkn kuna watu wanaishi km Havana mioyo ni kuvua nguo kwa wanawake kila cku n.a. wanawake kuvua nguo kwa kila anayemgusa mpaka aibu hawatulii n.a. wengine wana familia aisee lakini yupo tayari kumuhudumia hawara mkewe anateseka n.a. familia nyumbani
Wewe gigi ni king'ang'anizi .. na ulishaambiwa.. hao vichecki bob hawawezi kukusaidia na alisha kupiga chini.. ukasema utamzalia watoto hata kumi eti zilikuwa ni hasira..! Sasa leo walia..? Si unyamaze tu uendelee kumnyonya mzizi kwa siri licha ya kuwajua wenzio..? Gigi nilifikiri una akili timamu..!
Single mother naomba tujuane apa kwa like zenu tu ili tuendelee kujituma zaidi kuwalea watto wetu bila kutegemea msaada wa baba zao.
Nafisa Mohamad 😂😂😂😂😂😂
Giggy my friend u speak really really team single mother
gigy nakupnda msa ukweli uwa aufichi kitu we Lea weh mtot wako atakuj kkulea n ww badae
Nafisa Mohamad ma single mama kazi tunayo!!
Mtoto asipolelewa na baba mzazi atalelewa na baba mwingine tu kwa hiyo hakuna single mother dunian kuna vidume vinavyowasaidia kulea
Mi mwenyewe mwenzangu nilimkuta na watoto nikaoa tu wala hamna niko na wanangu wa kufikia
GO gigy 🤗😍unawezaaaaa
Yangu hioze yake inawili wallah gigy ww konki girl😘❤️
3
😂 😂 we gigy cyo WA mchezo
Shoga umenoga kauso kapo Mmwaah 👌 make up imetulia
Huyu gigy Ni Moto chezea mbali.......nampenda though
I can simamia my kid😂😂😂I like that
Hi giggy this baby is precious kazuri mnooooo! Take care of your baby God will help you but slow down hayo mauno. This is opinion of grandpa cheupe
mdada anajiamini💪💪💪💪
Huwezi kutulizwa kama huwezi kujituliza mwenyewe, Na hakuna anaweza kukutuliza bila wewe mwenyewe kuamua kutulia!
Ni kweli Silva lkn kuna watu wanaishi km Havana mioyo ni kuvua nguo kwa wanawake kila cku n.a. wanawake kuvua nguo kwa kila anayemgusa mpaka aibu hawatulii n.a. wengine wana familia aisee lakini yupo tayari kumuhudumia hawara mkewe anateseka n.a. familia nyumbani
Kweli kabisa'wanaume wapole in wabaya sana!coz wao huwa wanaoneka wako innocent but so kweli!hawafai kabisa'"bora wakorofi tu!!!!love u gigy!!
Dah nakupenda gigy ujawah danganya wanaume wapole wabaya.........hongera mumy umekuza
Gigi kweli watu wapole doh heri mume wakukuropokea kuliko mume mukimya
Angesoma cjui angekuwa nani huyu jaman love u gigy
Gigy una akili ni maisha tu
Lightness Anthony hata mm nasemaga jaman Giggy ana akili mnoo
I love this lady
Kweli gigy watu wapole nyoka sana
Gig ur realy
sarah omari uyu mdada namjua
mwanamkasi mohd true
Neemalove u pratolakin Steven gigy money 💰
sarah omari wallah
Wangapi wanalea watoto wao wenyewe na mababa wapo na mtu wala hafatiliwi
Tuko sisi ni konki
Fatuma Hengo cja wahi kukupenda Gigg ila leo nime kupenda sn umeongea maneno sio ya kishamba
Fatuma Hengo tupoo
Nice
Kabisaaa nampa sapot wanaume wengine hawajui thaman ya mtoto
I want to have this Confidential😇😇😇 i love this beautiful woman gigy
Kweli gigy wapole wasenge tuu
nakukubali ww Jaman ndio maana Nakupenda
Nakupenda sana wewe mwanamke jomoni,,tunapiga kule kama hawatk kuudumia tunawalea wenyewe 👌👌👌
Gigy ni gigy.nakupendaaa
Gigy keep moving baby
Nampenda huyu dada anaonge hana mapoz
Love gigy
fumua mwenzetu maisha ni kutafuta si kutafutana naye afumuwe huko aripo hhhh nakupenda bure
Anazo akili gig nimsanii akae amlee mwanae uyo dada ajui atakuja kuachwa vizur kwan awajui wanaume ngoja nae yamkute
Nakupenda sanaa Gigy 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Jomoni so pretty....mashaallah
Gigh unanikoshaga miee jamniii
Gigy kapambanaaaa.all the best darling
Masha Allah katoto jojo love you Mayra 😗😗😗
Giggy we nakuelewa saaaana yani huvungagi unampa mtu kitu konkiiiii love uuu g
Nakupenda sana giggy
I love you gigy
Gigy upo sawa Mo j amekusumbua sanaa fanya unachofanya mtoto apate chakula na ww mwenyewe ujieke na maisha yako achana na hao mapaka shume
nakupendaga sana G
Mi nakukubaligi Sana'a mamaa akeee unaongeaga vituu konkiiiii
Ilove you gigy mimi nakukubali saaana
Yip sahihi gigi nakupenda bureee we dada
love u gigy
GIGI I LOVE YOUR BABY VERY BEUTIFUL
Huyu sio mzima mara sio baba ake mara baba ake acha kumdhalilsha mwenzio kila siku mitandaoni
Kweli jinga la kutupwa mtoto bado mdogo anatangaza eti anafumuliwa kila siku❎
Haha gigy nakupenda sijuzi ulitwambia unajutia kumchamba baby daddy
Gigy you are very right
Mashaaallah katoto kazur
Hahahaaa Gigy nakupendaga bureeee
Gigy nakupenda xna cjui why
kabixaaaa wasema kweli my dad👌👌👌
Bby una akili ya maisha, never give up cwry 😍😍😍
nakupenda Sana giggy 😍😍😍😍
Mtoto hana baba afu ni mwanae mo j😁😁
waoooo mtoto masha allah
Gigi nakupenda your so simart sema tupone wanaume wasenge sana
Msenge mwenyew
nakupenda gg cn
Asante giggy...team no stress#we can be single moms and make it
Ukiwa umemsikia gigy akisema i can simamia my kid gonga like😅 hii inaitwa changanya englswahili🤣🤣🤣
Gigy mzuri aiseee
😂😂, anaitwa Gygie
Gonga like kama na wewe umelisikia neno. I Can simamia my kid😂😂😂😂
nimekupenda guy
Gigy mungu akupe maisha marefu umlee mwanao kwaamani yahani we hata simnafki kweli nakuhelewanga
Nakupendaaa xana gigy mama mayra
Katoto kazuri atari❤❤
Mtangazaji kwa nini asiseme Duh!😂😂😂😂😂
Wanawake wanaitaji heshima✊🏿✊🏿✊🏿
Huyu dada anaongea sana,mwisho wake ataishi kwa kujificha
Gygy we nakukubali 😂😂😂😂wajicosha bure uyo jamaaa eti ana pirika njoo analifanya kwana?😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
Nakweli mtu mpole ni mafia
Nakupenda sana gigy
I can simamia my kid,,nmependa Sn Gigy unajiamin sana dadanguu bigup
gigy sijui umeniroga maan nakupenda bure
Mashallah, *Myra* cute.
Dah kweli watu wapole sio watu
Kweli mtoto mzur shavu dodo
Go go gigy Mmungu akufungulie zaidi
well say jiamin utaweza ur strng mama watu hawajui
Katoto kazuri Maasha Allah
Gigy kanivunja mbavu eti nisiruhusu mi babake ao mamake
Mtoto mzurii sanaaa
Gigi mylove
yuko block😂😂😂😂😂b* yo english is even broke 😂😂😂😂i lv u tho
nampendaga gg muwazi avungi
Gigy saingine aki2liaga naenjoyg sana enterviews zake 👍🏼👍🏼Anaongeaga points ila saingine😂😂😂
Acha ujinga wewe gigy sasa kama unaweza kulea mwenyewe ya nini kwenda kumfanyia fujo mwenzio
i lov u gigy. pambana
Gigi mia mia
I like her
Kweli kabisa mtu mpole mbaya sana
Safi gg mwanamke kujiamini
Alijifanya anauchungu na mtoto af hatoi hata mia kwahiyo gigy asemacho nikwelivkabisa
Wewe gigi ni king'ang'anizi .. na ulishaambiwa.. hao vichecki bob hawawezi kukusaidia na alisha kupiga chini.. ukasema utamzalia watoto hata kumi eti zilikuwa ni hasira..! Sasa leo walia..? Si unyamaze tu uendelee kumnyonya mzizi kwa siri licha ya kuwajua wenzio..? Gigi nilifikiri una akili timamu..!
nampendagaaaaa saaaaaaaaanaaa huyuuu mdada
Gig nilikumiss
Mashaa allah katoto kazur
Nakukubali bure gig
Hahaha nakupenda sana
yetu macho, kazi kwenu
nakuelewa sanaaa
I love Giggy msema real
Mtoto wa Gigy mashalah!
Napenda hyu dada