Kila mtu amekwazika leivani umetuchefua Sana kajala wewe sio wa kumfanyia hivyo mtoto wa mwanamke mwezio hivyo kajala mmemuonea Sana faima jamani Ila leivan umezingua
Sio kweli, huwezi lazimisha mapenzi kama hayaendi vizuri sio lazima ujilazimishe utaumia bure, Paula sai ni mtu mzima kafikisha miaka 19, sijui mbona mnamuonea wivu, wanawake ni wengi walioachwa na wanaendelea na.maisha,
@@dan_platnumz8790 unafikilia kweli wew au unaropoka tu. Ndy maana tunawachoma moto natutawachoma sana pumbavu zako huyo kajala nishetwani makuu. Hata Shetani Anamzidi ebu vaa viatu vya faima
Ninachokipendea kwa Alistote penye ukweli anaongea ukweli si mnafiki haijalishi wewe ni nani,na hiyo ndio tofauti ya yeye na jumalokole,baba Levo na wengine wao wanamatabaka, compliment Alistote👍🏽👌🏿
afadhali Caroline Kangogo angefika huko Tz awakomeshe😘😘, halafu si tusafirishe wakikuyu kadhaa huko wawatapeli nyi mastar na wakamba wawaroge muache kuchezea wasichana wadogo.. proud Kenyan ,
Kaka umenenaaa pewa juice kwa bill yangu😂 lkn paula kwa vle ameongelewa haendi mbali naona ataachwa tu paula alisema watanzania wame mchosha kwa vle wanaongea pia kwetu kenya hatuku support hata kidogo mwanamke hajafunzwa tambia
😀😀😀😀 kwakweli japo kuua zambi lakini ukifikilia Mambo wanayotufanyia wanaume basi Mungu huwa anatupa ujasiri mkubwa tunasahau Mimi nilishakaa na mwanaume miaka minne badae kaenda kuoa kungine niliumia Sana lakini Mungu ni mwema saivi na Mimi nimeolewa Nina Amani Sana 🙏
Umeongea kweli kabisa nimekupenda buree Rayvan kakosea sanaaaaaaa hata kama hutaki hakutakiwa afanye vile mtu kawakataa wazazi wake kabadili mpaka dini Leo unamgeukaa 😪 kwakweli inauma Sana watajua Sanaa Leo ataona uongo lakini haya kila lakher kwao hatuna choyo nanyie Rayvan umepunguza mashabiki 🇴🇲😪
Mtoto yuko wapi hapa watu wazaa na 15 ‚16,17na 18years..19 years anastahili kuolewa na azae Ndiyo mwanawe aje awe kama brother wake or dadake..Huwa yapendeza sana
Huju jamaa anapenda sana kunywa juice ni nzuri sana kwa afya kuliko kunywa sana pombe kupita kiasi utashindwa kula vizuri na tumbo litakusumbua yote hayo yamenitokea nilivyotapika na kuumwa tumbo siku nzima nilijuta sana maana nilitapika kila kitu kilichokuwa tumboni ndiyo tumbo likaanza kuuma
apewe salamu mama na mtto wake kua dunia duara leo kwa fahima kesho kwao mwisho wakicheko kilio。hatuoni wivu ilatunamuonea imani mwanamke mwenzetu wanavyofanyiwa tashtiti ukitazama anamtto tayar lkn tunamuombea mungu ampe subra na ujasiri alivuke hili salama mapenzi yanauma。
Umeongea point kaka mwanamke amehaso nae ila wakati wa mafanikio anatafuta mwingine wa kula nae,malipo Ni hapa hapa duniani mbinguni Ni hukumu tu. Bro rayvany amefeli kwa hilo
Wapo wamalaya walioshindikana Kama kajala na mtoto wake ambao walikosa malezi kwa wazazi wao .utaona wanamponda Aristote na wakati ameongea maneno ya maana Sana.
Eti alikuwa make ?!?!au mzai mwenzie?!! Eti Paula awezi Soma Tena ,kweli Paula alikuwa na passion ya kusoma?!?wasomi tunawajua hajamwalibia chochote .waache watoto wa watu.inawezekana wakasonga acha povu lisilo na msingi
Mdogo kwa mama yake na baba yake...kama mdogo asingemfanyia tashishiti fahima...ni mtoto anaejitambua na kujua zuri na baya....kwanini mnahangaika na kujitwsa wakati hamna msaada wowote...Zari na dai nani mdogo ...na ndio kwanza ziko sifa za kila aina...
Kiupande wangu naona alichokifanya rayvanny ni kibaya japo kuwa ni maamuzi yake na hatuezi kupinga na tukija kwa kajala yy pia ni mzazi kama wazazi wengine,na kila mtu ana haki ya kupenda ila kwa kitendo alichokifanya paula hakijapendeza watu kwa sababu yy alijua wazi huyu ni mume wa mtu na akaamua kutoka nae kimapenzi🤦ila akae akijua malipo ni hapa duniani na yy kama mwanamke ipo siku litamfika tu
Fahima mpenzi kuwa na subra hakuna lenye mwanzo likakosa na mwisho,ww jifanye kama huyaoni yanoyotokea na usijaribu kumwaga machozi kwa ajili ya mwanamume japo inauma😭😭hivyo vyao ni vishindo tu na vitaisha mama yke alianza na moto mpaka tattoo tukachora ila hayakudumu🚮kaa ukijua ikilia sana hupasuka😌💯
Kila mtu amekwazika leivani umetuchefua Sana kajala wewe sio wa kumfanyia hivyo mtoto wa mwanamke mwezio hivyo kajala mmemuonea Sana faima jamani Ila leivan umezingua
Kweli kabisa kajala anamtumia vibaya mtoto wake
Sio kweli, huwezi lazimisha mapenzi kama hayaendi vizuri sio lazima ujilazimishe utaumia bure, Paula sai ni mtu mzima kafikisha miaka 19, sijui mbona mnamuonea wivu, wanawake ni wengi walioachwa na wanaendelea na.maisha,
@@dan_platnumz8790 unafikilia kweli wew au unaropoka tu. Ndy maana tunawachoma moto natutawachoma sana pumbavu zako huyo kajala nishetwani makuu. Hata Shetani Anamzidi ebu vaa viatu vya faima
Wivu utawauwa hamna lolote mnatamani wangekua watoto wenu kwenye hiyo nafasi
Haya ni mapenzi sio kuoneana huruma!
ila leo Aristote umeongea kiheshima bro more love from 🇰🇪🌹
Ninachokipendea kwa Alistote penye ukweli anaongea ukweli si mnafiki haijalishi wewe ni nani,na hiyo ndio tofauti ya yeye na jumalokole,baba Levo na wengine wao wanamatabaka, compliment Alistote👍🏽👌🏿
Kwel kabisa
Anafeli sehemu moja tu komponda harmonise.
Aristotee mzee wa vikao,you are always right.lots of lov from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kumbe Aristotle kuna muda anaakili sana nilikuwa shabiki wa rayvan ila siku hzi hata namuona kama fara mbwa yule
Kwanza hapo kwa kujibrand kama star sio kama mwanafunzi
Sababu Paula hapo anaumri wa miaka 20 na rayvany Kama 25 haya shida iko wapi Kama unamtaka wewe kamtongoze
Sababu Paula hapo anaumri wa miaka 20 na rayvany Kama 25 haya shida iko wapi Kama unamtaka wewe kamtongoze
Kuhusu paula umeongea ukwel, hongera
Aristote mungu akupe umri mlefu sana na heshima milele unasema bila uongo
The guy never take sides much love from Nairobi brother 👍
Wise man
Aristone heshima yko ikufikie popote ulipo vanny kaaribu kamuacha bby mama wake mzr mdg mwenzie anaangaika na Malaya mtt
Aristote kaka yangu yani kwakweli wewe ni mzazi jamani umeni furahisha...mungu ailinde family yako 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Kaka maitala uyu🤣..... Ila kuswala la rayvany umeongea points kbs👍
Yani uyu jama huwa nampenda mana penye ukwel anaongea bila kupepesa maco🤗🤗
Kabisa
Very true
Haki mahusiano ya fayma inatia huruma lkn naamini chozi la fayma Mungu analiona
Kaichezea bahat huyo fayma wako, alijtapa na kujsahau na kutaka maisha ya juu bwana ameshndwa kuyamudu, atulie tu yy sio wakwanza kuachwa
Haya ni mapenzi km yalivunjika kwa fayma basi yataendelea kwa mwengine
Dawa alizokuwa amempa rayvan zimeisha jmn hayakuwa mapenz
Aristotee Umeongea ponti sana saluti nimekupenda bule 👏👏
God is coming back soon🙏
afadhali Caroline Kangogo angefika huko Tz awakomeshe😘😘, halafu si tusafirishe wakikuyu kadhaa huko wawatapeli nyi mastar na wakamba wawaroge muache kuchezea wasichana wadogo.. proud Kenyan ,
Jmn mi nimecheka😅😅😅😅😅
Proud kenyan amber ray je are you proud
Ariston aongea kwelii namupnda aki nampenda 💯
Kaka umenenaaa pewa juice kwa bill yangu😂 lkn paula kwa vle ameongelewa haendi mbali naona ataachwa tu paula alisema watanzania wame mchosha kwa vle wanaongea pia kwetu kenya hatuku support hata kidogo mwanamke hajafunzwa tambia
Ndio maana tunawachomaa motoo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥umekaa na mm zaidi ya miaka unenizalisha afu unanifanyia hvyo unaniacha kwa zarau. Doooo. Lzm nikuchome moto
😀😀😀😀 kwakweli japo kuua zambi lakini ukifikilia Mambo wanayotufanyia wanaume basi Mungu huwa anatupa ujasiri mkubwa tunasahau Mimi nilishakaa na mwanaume miaka minne badae kaenda kuoa kungine niliumia Sana lakini Mungu ni mwema saivi na Mimi nimeolewa Nina Amani Sana 🙏
Duuuu alhamdulillah my mungu ni mwema
Aristoteee fayvanny issue👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽🇰🇪🇲🇫
Nakupenda aristote maneno yako yakweli❤️❤️
Leo umeongea point 🥰🥰🥰
Very well spoken
Leo umeamka vizuri alisote umeongea fact
Aristote nime kupenda hapo kuhusu Rayvanny, fahima na Paula, salute to you 👍
Bongo wa dada hawaja tulia bado skedo nyigi
Mpaka wana kera sana kuolewa kwao no dream
U 4 get Tanzania sweet heart wema sapetu but InshaAllah she will get one day baby 🍼
Umeongea point sana Aristote🤝
Mi nampenda Sana alstote
Rayvanny aliimba mamayake nimzazi uruma ungemoneya, je! yeye alimuoneya uruma Kajala kweli, inaonekana walikuwa wamepanga kwapamoja mipango yakumuaribiya sifa Harmoniz.
Kweli kabisa
Ukweri dada
Kweli kabisa
Unasema kweli kaka mungu akupe chenye unataka kwa familia yako respect kweli kaka mumushahuli rayv amurudie mkeo
Alisitoti nakupenda bure oyeeeee kiss mi 🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Thanks Aristote,I am in fyma's shoes
😅😆😆😆😆😅😅😅😅😅mucni vunje mbavu jaman...paula ataogopewa mpaka na walimu darasani
Yajayo Yanafurahisha points arstote
True
Aristote 💃💃lazma wajuwe kutofautisha
Umeongea kweli kabisa nimekupenda buree Rayvan kakosea sanaaaaaaa hata kama hutaki hakutakiwa afanye vile mtu kawakataa wazazi wake kabadili mpaka dini Leo unamgeukaa 😪 kwakweli inauma Sana watajua Sanaa Leo ataona uongo lakini haya kila lakher kwao hatuna choyo nanyie Rayvan umepunguza mashabiki 🇴🇲😪
Kwanzia Leo nmekupenda sana ,Kwa machawa wote wewe ndio umesoma ,kama Baba you are right coz you have your own family.
Rayvany amezingua Sana yan
ilove this guy
Jamaa anaakili Sana alisi tote
Napenda Sana Unaongea bila kuweka utimu mungu akusimamie domo lako ilo
Iludiwe🤣🤣
Stote Kama stote
Jamaa kaongea vzr💥💥💥💥
Hongera Mzee kumbe WCB kuna watu huongea ukweli
Bro umeongea ukweli mke aliye kuzali ndo kalama tunayo pewa na mola rayvan ludi kwa mkeo ujana unapita unacho kifanya sasa uzeeni huta weza tena tumia kipaji chako kulea mtoto wako ndo atakusaidia hata ukishuka kimaisha japo sikuombei kushuka mwanamke wa kitaa. Atakupenda ukiwa nacho lakini familia uwe nacho usiwe nacho watakupenda tuu
Hongera aristote umeongea ukweri kwa ushauri
Nani ataowa Paula mama mjinga kazaa mjinga ,Leo hii umealibu maisha yako xx paula
Aristootte safiiiii kajala ameefeeli mi hata nkikutana na kajala aiseeee nitampa. Ukweli. Sio. Ulleezi
Kumbe hili jamaa liki acha uchawa huwa Lina ongea Pont van boy amechemka kwanza faima mtam kuliko Paula daah
Kweli kabisa fayma mzuri hata bila mecap lakini Paula mpka apake mecap ndio aonekane
Lakini jamani tusiangalie uzuri wa nje uwezi jua ndani anamfanyia nn labda
Leo umeongea points
👏👏👏👏👏👏 point blank
Leo aristoti amemaliza🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu kaka nampenda sana
Kweli arisitote waonqea kweli mjinqa hapo ni kajala
😂 😂 Ila n kama. Nimemuelwa kwa hii ishu ya paula
Mtoto yuko wapi hapa watu wazaa na 15 ‚16,17na 18years..19 years anastahili kuolewa na azae Ndiyo mwanawe aje awe kama brother wake or dadake..Huwa yapendeza sana
Kwa mara ya kwanza ameongea point.
🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣Ety tumeingiliwa shule!!! Sahihi kabisa stote daaaaa
Umeongea point Sana leivan umezingua sana
Aristote 🔥🔥🔥🔥
Kunywa juice ya offer mzee baba usiulze maswali meng 😂😂
Arisote sikupendi unaongea sn
@@garoedod6272 but anaongea ukweli...
Aristoteee kua inani pain 😘
Aristote🥰🥰🥰
Kajala mpumbavu sana tena zaidi ya mpumbavu nimemshusha thamani
Kajala kajala kajala the power of the tongue
Yaani WA kulaumiwa ni Kajala dar,mi siamini yaani anauza mtoto Ka nyanya sokoni
Good
Huju jamaa anapenda sana kunywa juice ni nzuri sana kwa afya kuliko kunywa sana pombe kupita kiasi utashindwa kula vizuri na tumbo litakusumbua yote hayo yamenitokea nilivyotapika na kuumwa tumbo siku nzima nilijuta sana maana nilitapika kila kitu kilichokuwa tumboni ndiyo tumbo likaanza kuuma
Kajala na Rayvanny wana laana sanaaaa
Aristote wewe ni mwanaume unaejielewa Sana.umenifuraisha sana.wewe hauna unafiki kabisa
Aristote umeongea point sana
apewe salamu mama na mtto wake kua dunia duara leo kwa fahima kesho kwao mwisho wakicheko kilio。hatuoni wivu ilatunamuonea imani mwanamke mwenzetu wanavyofanyiwa tashtiti ukitazama anamtto tayar lkn tunamuombea mungu ampe subra na ujasiri alivuke hili salama mapenzi yanauma。
Hozu au whozu😂😂😂😂😂
Umeongea point kaka mwanamke amehaso nae ila wakati wa mafanikio anatafuta mwingine wa kula nae,malipo Ni hapa hapa duniani mbinguni Ni hukumu tu. Bro rayvany amefeli kwa hilo
Wazazi wachache wanaelewa haya
Kwani fahyma ndo wakwanza ku achwa ?? Mbona munasumbua sana wa bongo 🤔 siyo Paula ndiyo chanjo Cha ku achwa kwa fahyma 😏😏😏
Chanzo ni
@@missmoresa8854 walichana muda tu jamani 🤔
Aristote kaongea vizuri sana
Huyu Kaka yupo Sawa
Wapo wamalaya walioshindikana Kama kajala na mtoto wake ambao walikosa malezi kwa wazazi wao .utaona wanamponda Aristote na wakati ameongea maneno ya maana Sana.
Aristote anasifaaa
Kwakweli leo unahongeya ukweli kabisa ataweza kweli shule ibyobyote ni mapito bitahisha nishida sana wambiye wachane kwakweli uyo kajala mujiga sana
Nikweli kaka uyu mzazi afanyi vzr
Asa apa watanzania tuachen ushabiki kwa mantiki hii apa anasubiria ada au anasubiria mimba
😀😀😀😀😀😀😀
Mimba
Mimba subir uone atashiba
Chui mbona mkeo mzur tu Eee mwanao Handsome Paula ana Nini Sasa Eti?
Umesema ukweli aristote.wafundishe ndugu zetu
Kweli Kaka jaman duhuhu 🙏🙏
Yaani aristote Leo nimependa ulivyoongea bro
Kajala huna malezi Kwa moto ujielewi unge mwacha mtoto asome atayakuta tuu hayo maisha mengine
Mzee wa vikako😄😄Aristote aristote
Point
Vany kama unampenda sana Paula mshauri aendelee na masomo
Mshenzi huyu Rayvany alioa lini?huyu anawaambia watu mbumbumbu ndo watamuona kaongea ila chuki ndani yake hiko nyingi.
Eti alikuwa make ?!?!au mzai mwenzie?!! Eti Paula awezi Soma Tena ,kweli Paula alikuwa na passion ya kusoma?!?wasomi tunawajua hajamwalibia chochote .waache watoto wa watu.inawezekana wakasonga acha povu lisilo na msingi
Mdogo kwa mama yake na baba yake...kama mdogo asingemfanyia tashishiti fahima...ni mtoto anaejitambua na kujua zuri na baya....kwanini mnahangaika na kujitwsa wakati hamna msaada wowote...Zari na dai nani mdogo ...na ndio kwanza ziko sifa za kila aina...
Kiupande wangu naona alichokifanya rayvanny ni kibaya japo kuwa ni maamuzi yake na hatuezi kupinga na tukija kwa kajala yy pia ni mzazi kama wazazi wengine,na kila mtu ana haki ya kupenda ila kwa kitendo alichokifanya paula hakijapendeza watu kwa sababu yy alijua wazi huyu ni mume wa mtu na akaamua kutoka nae kimapenzi🤦ila akae akijua malipo ni hapa duniani na yy kama mwanamke ipo siku litamfika tu
Mzee wa vikao ako na ukweli kabisa
Mnataka achukue madanga Rayvanny nae bado mdogo wamependezana
waambie sijui nn mbaya na wao wakiwa pamoja mm
Yan ww
Point
Anasahau na bosi wake diamond
Fahima mpenzi kuwa na subra hakuna lenye mwanzo likakosa na mwisho,ww jifanye kama huyaoni yanoyotokea na usijaribu kumwaga machozi kwa ajili ya mwanamume japo inauma😭😭hivyo vyao ni vishindo tu na vitaisha mama yke alianza na moto mpaka tattoo tukachora ila hayakudumu🚮kaa ukijua ikilia sana hupasuka😌💯