Aristote Amchana Rayvann Paula Bado Mtoto Kajala Kakosea paula hasomi tena, Rayvann ana mke

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 07. 2021
  • #bingoexclusive #aristote
  • Zábava

Komentáře • 271

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 Před 3 lety +23

    Kila mtu amekwazika leivani umetuchefua Sana kajala wewe sio wa kumfanyia hivyo mtoto wa mwanamke mwezio hivyo kajala mmemuonea Sana faima jamani Ila leivan umezingua

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 Před 3 lety +5

      Kweli kabisa kajala anamtumia vibaya mtoto wake

    • @dan_platnumz8790
      @dan_platnumz8790 Před 3 lety +4

      Sio kweli, huwezi lazimisha mapenzi kama hayaendi vizuri sio lazima ujilazimishe utaumia bure, Paula sai ni mtu mzima kafikisha miaka 19, sijui mbona mnamuonea wivu, wanawake ni wengi walioachwa na wanaendelea na.maisha,

    • @mwanawasitta1379
      @mwanawasitta1379 Před 3 lety +4

      @@dan_platnumz8790 unafikilia kweli wew au unaropoka tu. Ndy maana tunawachoma moto natutawachoma sana pumbavu zako huyo kajala nishetwani makuu. Hata Shetani Anamzidi ebu vaa viatu vya faima

    • @tausmadili6825
      @tausmadili6825 Před 3 lety +2

      Wivu utawauwa hamna lolote mnatamani wangekua watoto wenu kwenye hiyo nafasi

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Před 3 lety +1

      Haya ni mapenzi sio kuoneana huruma!

  • @judythasiko8648
    @judythasiko8648 Před 3 lety +8

    ila leo Aristote umeongea kiheshima bro more love from 🇰🇪🌹

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 3 lety +36

    Ninachokipendea kwa Alistote penye ukweli anaongea ukweli si mnafiki haijalishi wewe ni nani,na hiyo ndio tofauti ya yeye na jumalokole,baba Levo na wengine wao wanamatabaka, compliment Alistote👍🏽👌🏿

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu9672 Před 3 lety +7

    Aristotee mzee wa vikao,you are always right.lots of lov from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @badgalcashy2762
    @badgalcashy2762 Před 3 lety +25

    Kumbe Aristotle kuna muda anaakili sana nilikuwa shabiki wa rayvan ila siku hzi hata namuona kama fara mbwa yule

    • @funkejames7482
      @funkejames7482 Před 3 lety

      Kwanza hapo kwa kujibrand kama star sio kama mwanafunzi

    • @fainesshendrick1006
      @fainesshendrick1006 Před 3 lety

      Sababu Paula hapo anaumri wa miaka 20 na rayvany Kama 25 haya shida iko wapi Kama unamtaka wewe kamtongoze

    • @fainesshendrick1006
      @fainesshendrick1006 Před 3 lety

      Sababu Paula hapo anaumri wa miaka 20 na rayvany Kama 25 haya shida iko wapi Kama unamtaka wewe kamtongoze

  • @irenekatumwa5963
    @irenekatumwa5963 Před 3 lety +24

    Kuhusu paula umeongea ukwel, hongera

  • @salasala9260
    @salasala9260 Před 3 lety +12

    Aristote mungu akupe umri mlefu sana na heshima milele unasema bila uongo

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 Před 3 lety +20

    The guy never take sides much love from Nairobi brother 👍

  • @mariagodwin7669
    @mariagodwin7669 Před 3 lety +11

    Aristone heshima yko ikufikie popote ulipo vanny kaaribu kamuacha bby mama wake mzr mdg mwenzie anaangaika na Malaya mtt

  • @atinderpalsinghtuli7234
    @atinderpalsinghtuli7234 Před 3 lety +1

    Aristote kaka yangu yani kwakweli wewe ni mzazi jamani umeni furahisha...mungu ailinde family yako 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕

  • @ashuraussein7582
    @ashuraussein7582 Před 3 lety +21

    Kaka maitala uyu🤣..... Ila kuswala la rayvany umeongea points kbs👍

  • @zou7470
    @zou7470 Před 3 lety +24

    Yani uyu jama huwa nampenda mana penye ukwel anaongea bila kupepesa maco🤗🤗

  • @esthermramba9395
    @esthermramba9395 Před 3 lety +22

    Haki mahusiano ya fayma inatia huruma lkn naamini chozi la fayma Mungu analiona

    • @fatumajumaa7050
      @fatumajumaa7050 Před 3 lety +4

      Kaichezea bahat huyo fayma wako, alijtapa na kujsahau na kutaka maisha ya juu bwana ameshndwa kuyamudu, atulie tu yy sio wakwanza kuachwa

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Před 3 lety

      Haya ni mapenzi km yalivunjika kwa fayma basi yataendelea kwa mwengine

    • @sarahalfred6279
      @sarahalfred6279 Před 3 lety

      Dawa alizokuwa amempa rayvan zimeisha jmn hayakuwa mapenz

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Před 3 lety +1

    Aristotee Umeongea ponti sana saluti nimekupenda bule 👏👏

  • @kervens3390
    @kervens3390 Před 3 lety +8

    God is coming back soon🙏

  • @brendahmwende6473
    @brendahmwende6473 Před 3 lety +2

    afadhali Caroline Kangogo angefika huko Tz awakomeshe😘😘, halafu si tusafirishe wakikuyu kadhaa huko wawatapeli nyi mastar na wakamba wawaroge muache kuchezea wasichana wadogo.. proud Kenyan ,

    • @sumecute2513
      @sumecute2513 Před 3 lety

      Jmn mi nimecheka😅😅😅😅😅

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 3 lety

      Proud kenyan amber ray je are you proud

  • @zarabella2675
    @zarabella2675 Před 3 lety +3

    Ariston aongea kwelii namupnda aki nampenda 💯

  • @neomiw9694
    @neomiw9694 Před 3 lety +5

    Kaka umenenaaa pewa juice kwa bill yangu😂 lkn paula kwa vle ameongelewa haendi mbali naona ataachwa tu paula alisema watanzania wame mchosha kwa vle wanaongea pia kwetu kenya hatuku support hata kidogo mwanamke hajafunzwa tambia

  • @mommymomm2237
    @mommymomm2237 Před 3 lety +5

    Ndio maana tunawachomaa motoo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥umekaa na mm zaidi ya miaka unenizalisha afu unanifanyia hvyo unaniacha kwa zarau. Doooo. Lzm nikuchome moto

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 Před 3 lety

      😀😀😀😀 kwakweli japo kuua zambi lakini ukifikilia Mambo wanayotufanyia wanaume basi Mungu huwa anatupa ujasiri mkubwa tunasahau Mimi nilishakaa na mwanaume miaka minne badae kaenda kuoa kungine niliumia Sana lakini Mungu ni mwema saivi na Mimi nimeolewa Nina Amani Sana 🙏

    • @mommymomm2237
      @mommymomm2237 Před 3 lety

      Duuuu alhamdulillah my mungu ni mwema

  • @verahmuyuka4862
    @verahmuyuka4862 Před 3 lety +1

    Aristoteee fayvanny issue👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽🇰🇪🇲🇫

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 3 lety +1

    Nakupenda aristote maneno yako yakweli❤️❤️

  • @byamnorayckalenga7163
    @byamnorayckalenga7163 Před 3 lety +3

    Leo umeongea point 🥰🥰🥰

  • @thelmak.3274
    @thelmak.3274 Před 3 lety +4

    Very well spoken

  • @markh8142
    @markh8142 Před 3 lety +5

    Leo umeamka vizuri alisote umeongea fact

  • @thisiszai2045
    @thisiszai2045 Před 3 lety

    Aristote nime kupenda hapo kuhusu Rayvanny, fahima na Paula, salute to you 👍

  • @elogeruhimbasa8667
    @elogeruhimbasa8667 Před 3 lety +8

    Bongo wa dada hawaja tulia bado skedo nyigi
    Mpaka wana kera sana kuolewa kwao no dream

  • @wardaibrahim8208
    @wardaibrahim8208 Před 3 lety +1

    U 4 get Tanzania sweet heart wema sapetu but InshaAllah she will get one day baby 🍼

  • @agnesmwene3818
    @agnesmwene3818 Před 3 lety

    Umeongea point sana Aristote🤝

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 Před 3 lety

    Mi nampenda Sana alstote

  • @stephaniem408
    @stephaniem408 Před 3 lety +9

    Rayvanny aliimba mamayake nimzazi uruma ungemoneya, je! yeye alimuoneya uruma Kajala kweli, inaonekana walikuwa wamepanga kwapamoja mipango yakumuaribiya sifa Harmoniz.

  • @aseelalkhaldy4058
    @aseelalkhaldy4058 Před 3 lety

    Unasema kweli kaka mungu akupe chenye unataka kwa familia yako respect kweli kaka mumushahuli rayv amurudie mkeo

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g Před 3 lety +2

    Alisitoti nakupenda bure oyeeeee kiss mi 🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝🤝🤝🤝

  • @connykadenyi2185
    @connykadenyi2185 Před 3 lety

    Thanks Aristote,I am in fyma's shoes

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Před 3 lety +6

    😅😆😆😆😆😅😅😅😅😅mucni vunje mbavu jaman...paula ataogopewa mpaka na walimu darasani

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 Před 3 lety +1

    Yajayo Yanafurahisha points arstote

  • @sophiabaya5753
    @sophiabaya5753 Před 3 lety +1

    True

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 Před 3 lety

    Aristote 💃💃lazma wajuwe kutofautisha

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 Před 3 lety

    Umeongea kweli kabisa nimekupenda buree Rayvan kakosea sanaaaaaaa hata kama hutaki hakutakiwa afanye vile mtu kawakataa wazazi wake kabadili mpaka dini Leo unamgeukaa 😪 kwakweli inauma Sana watajua Sanaa Leo ataona uongo lakini haya kila lakher kwao hatuna choyo nanyie Rayvan umepunguza mashabiki 🇴🇲😪

  • @valinakinyi7376
    @valinakinyi7376 Před 3 lety

    Kwanzia Leo nmekupenda sana ,Kwa machawa wote wewe ndio umesoma ,kama Baba you are right coz you have your own family.

  • @winnieangelo1936
    @winnieangelo1936 Před 3 lety

    Rayvany amezingua Sana yan

  • @anitahlove9274
    @anitahlove9274 Před 3 lety

    ilove this guy

  • @godlovekibona5522
    @godlovekibona5522 Před 3 lety +1

    Jamaa anaakili Sana alisi tote

  • @ikrammahonda4566
    @ikrammahonda4566 Před 3 lety +2

    Napenda Sana Unaongea bila kuweka utimu mungu akusimamie domo lako ilo

  • @patrickmazyai7706
    @patrickmazyai7706 Před 3 lety

    Jamaa kaongea vzr💥💥💥💥

  • @mwangiakila8020
    @mwangiakila8020 Před 3 lety

    Hongera Mzee kumbe WCB kuna watu huongea ukweli

  • @peterkatumaini9508
    @peterkatumaini9508 Před 3 lety +1

    Bro umeongea ukweli mke aliye kuzali ndo kalama tunayo pewa na mola rayvan ludi kwa mkeo ujana unapita unacho kifanya sasa uzeeni huta weza tena tumia kipaji chako kulea mtoto wako ndo atakusaidia hata ukishuka kimaisha japo sikuombei kushuka mwanamke wa kitaa. Atakupenda ukiwa nacho lakini familia uwe nacho usiwe nacho watakupenda tuu

  • @jeanmariehhavyarimana8130

    Hongera aristote umeongea ukweri kwa ushauri

  • @ashamohamed5031
    @ashamohamed5031 Před 3 lety

    Nani ataowa Paula mama mjinga kazaa mjinga ,Leo hii umealibu maisha yako xx paula

  • @agathadawson5949
    @agathadawson5949 Před 3 lety +1

    Aristootte safiiiii kajala ameefeeli mi hata nkikutana na kajala aiseeee nitampa. Ukweli. Sio. Ulleezi

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 Před 3 lety +4

    Kumbe hili jamaa liki acha uchawa huwa Lina ongea Pont van boy amechemka kwanza faima mtam kuliko Paula daah

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 Před 3 lety +1

      Kweli kabisa fayma mzuri hata bila mecap lakini Paula mpka apake mecap ndio aonekane

    • @scarletscott192
      @scarletscott192 Před 3 lety

      Lakini jamani tusiangalie uzuri wa nje uwezi jua ndani anamfanyia nn labda

  • @salmameshack4502
    @salmameshack4502 Před 3 lety +1

    Leo umeongea points

  • @lindakiambati6572
    @lindakiambati6572 Před 3 lety

    👏👏👏👏👏👏 point blank

  • @KigabiAzizi
    @KigabiAzizi Před 3 lety +1

    Leo aristoti amemaliza🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 Před 3 lety

    Huyu kaka nampenda sana

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 3 lety +1

    Kweli arisitote waonqea kweli mjinqa hapo ni kajala

  • @mayahassan1330
    @mayahassan1330 Před 3 lety +2

    😂 😂 Ila n kama. Nimemuelwa kwa hii ishu ya paula

  • @agneskadzo9087
    @agneskadzo9087 Před 3 lety

    Mtoto yuko wapi hapa watu wazaa na 15 ‚16,17na 18years..19 years anastahili kuolewa na azae Ndiyo mwanawe aje awe kama brother wake or dadake..Huwa yapendeza sana

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 3 lety +1

    Kwa mara ya kwanza ameongea point.

  • @syphroseshazala6854
    @syphroseshazala6854 Před 3 lety +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 3 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣Ety tumeingiliwa shule!!! Sahihi kabisa stote daaaaa

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 Před 3 lety

    Umeongea point Sana leivan umezingua sana

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 3 lety

    Aristote 🔥🔥🔥🔥

  • @mayahassan1330
    @mayahassan1330 Před 3 lety +16

    Kunywa juice ya offer mzee baba usiulze maswali meng 😂😂

  • @worldwide9207
    @worldwide9207 Před 3 lety

    Aristoteee kua inani pain 😘

  • @funkejames7482
    @funkejames7482 Před 3 lety

    Aristote🥰🥰🥰

  • @princehalawa_official7980

    Kajala mpumbavu sana tena zaidi ya mpumbavu nimemshusha thamani

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 Před 3 lety

    Kajala kajala kajala the power of the tongue

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Před 3 lety +1

    Yaani WA kulaumiwa ni Kajala dar,mi siamini yaani anauza mtoto Ka nyanya sokoni

  • @nicholauspeter9454
    @nicholauspeter9454 Před 3 lety

    Good

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 2 lety

    Huju jamaa anapenda sana kunywa juice ni nzuri sana kwa afya kuliko kunywa sana pombe kupita kiasi utashindwa kula vizuri na tumbo litakusumbua yote hayo yamenitokea nilivyotapika na kuumwa tumbo siku nzima nilijuta sana maana nilitapika kila kitu kilichokuwa tumboni ndiyo tumbo likaanza kuuma

  • @princehalawa_official7980

    Kajala na Rayvanny wana laana sanaaaa

  • @sadamwaka6460
    @sadamwaka6460 Před 3 lety

    Aristote wewe ni mwanaume unaejielewa Sana.umenifuraisha sana.wewe hauna unafiki kabisa

  • @lynnkyra4101
    @lynnkyra4101 Před 3 lety

    Aristote umeongea point sana

  • @ummimohammed9359
    @ummimohammed9359 Před 3 lety

    apewe salamu mama na mtto wake kua dunia duara leo kwa fahima kesho kwao mwisho wakicheko kilio。hatuoni wivu ilatunamuonea imani mwanamke mwenzetu wanavyofanyiwa tashtiti ukitazama anamtto tayar lkn tunamuombea mungu ampe subra na ujasiri alivuke hili salama mapenzi yanauma。

  • @florarwegasila9484
    @florarwegasila9484 Před 3 lety +1

    Hozu au whozu😂😂😂😂😂

  • @salimatweveh9862
    @salimatweveh9862 Před 3 lety

    Umeongea point kaka mwanamke amehaso nae ila wakati wa mafanikio anatafuta mwingine wa kula nae,malipo Ni hapa hapa duniani mbinguni Ni hukumu tu. Bro rayvany amefeli kwa hilo

  • @sisterdivvana8770
    @sisterdivvana8770 Před 3 lety +5

    Wazazi wachache wanaelewa haya

  • @leanahbusanga8272
    @leanahbusanga8272 Před 3 lety +4

    Kwani fahyma ndo wakwanza ku achwa ?? Mbona munasumbua sana wa bongo 🤔 siyo Paula ndiyo chanjo Cha ku achwa kwa fahyma 😏😏😏

  • @audlineangwenyi9574
    @audlineangwenyi9574 Před 3 lety

    Aristote kaongea vizuri sana

  • @priscillaamossen8249
    @priscillaamossen8249 Před 3 lety +3

    Huyu Kaka yupo Sawa

  • @sadamwaka6460
    @sadamwaka6460 Před 3 lety

    Wapo wamalaya walioshindikana Kama kajala na mtoto wake ambao walikosa malezi kwa wazazi wao .utaona wanamponda Aristote na wakati ameongea maneno ya maana Sana.

  • @thebosslady4597
    @thebosslady4597 Před 3 lety +2

    Aristote anasifaaa

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 Před 3 lety

    Kwakweli leo unahongeya ukweli kabisa ataweza kweli shule ibyobyote ni mapito bitahisha nishida sana wambiye wachane kwakweli uyo kajala mujiga sana

  • @zainabuabdallah7193
    @zainabuabdallah7193 Před 3 lety

    Nikweli kaka uyu mzazi afanyi vzr

  • @husnathuweza4591
    @husnathuweza4591 Před 3 lety +8

    Asa apa watanzania tuachen ushabiki kwa mantiki hii apa anasubiria ada au anasubiria mimba

  • @marympemba2137
    @marympemba2137 Před 3 lety

    Umesema ukweli aristote.wafundishe ndugu zetu

  • @lucyjafari9410
    @lucyjafari9410 Před 3 lety

    Kweli Kaka jaman duhuhu 🙏🙏

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 Před 3 lety +5

    Yaani aristote Leo nimependa ulivyoongea bro

  • @maimunamunisigloyyixigjsgs6638

    Kajala huna malezi Kwa moto ujielewi unge mwacha mtoto asome atayakuta tuu hayo maisha mengine

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 Před 3 lety

    Mzee wa vikako😄😄Aristote aristote

  • @stevenmichaelmaganga4828

    Point

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 Před 3 lety

    Vany kama unampenda sana Paula mshauri aendelee na masomo

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Před 3 lety +1

    Mshenzi huyu Rayvany alioa lini?huyu anawaambia watu mbumbumbu ndo watamuona kaongea ila chuki ndani yake hiko nyingi.

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Před 3 lety

    Eti alikuwa make ?!?!au mzai mwenzie?!! Eti Paula awezi Soma Tena ,kweli Paula alikuwa na passion ya kusoma?!?wasomi tunawajua hajamwalibia chochote .waache watoto wa watu.inawezekana wakasonga acha povu lisilo na msingi

  • @fatmaomar8497
    @fatmaomar8497 Před 3 lety

    Mdogo kwa mama yake na baba yake...kama mdogo asingemfanyia tashishiti fahima...ni mtoto anaejitambua na kujua zuri na baya....kwanini mnahangaika na kujitwsa wakati hamna msaada wowote...Zari na dai nani mdogo ...na ndio kwanza ziko sifa za kila aina...

  • @ashleyroberts1386
    @ashleyroberts1386 Před 3 lety

    Kiupande wangu naona alichokifanya rayvanny ni kibaya japo kuwa ni maamuzi yake na hatuezi kupinga na tukija kwa kajala yy pia ni mzazi kama wazazi wengine,na kila mtu ana haki ya kupenda ila kwa kitendo alichokifanya paula hakijapendeza watu kwa sababu yy alijua wazi huyu ni mume wa mtu na akaamua kutoka nae kimapenzi🤦ila akae akijua malipo ni hapa duniani na yy kama mwanamke ipo siku litamfika tu

  • @teresiamutua4487
    @teresiamutua4487 Před 3 lety +1

    Mzee wa vikao ako na ukweli kabisa

  • @aminamkopi4016
    @aminamkopi4016 Před 3 lety +4

    Mnataka achukue madanga Rayvanny nae bado mdogo wamependezana

  • @fadhilmohamedi3410
    @fadhilmohamedi3410 Před 3 lety +1

    Anasahau na bosi wake diamond

  • @ashleyroberts1386
    @ashleyroberts1386 Před 3 lety

    Fahima mpenzi kuwa na subra hakuna lenye mwanzo likakosa na mwisho,ww jifanye kama huyaoni yanoyotokea na usijaribu kumwaga machozi kwa ajili ya mwanamume japo inauma😭😭hivyo vyao ni vishindo tu na vitaisha mama yke alianza na moto mpaka tattoo tukachora ila hayakudumu🚮kaa ukijua ikilia sana hupasuka😌💯