EXCLUSIVE INTERVIEW: Wanamuziki wa bongofleva VANNESAMDEE na JUX wameeleza Tangu walipokutana na mpaka sasa Wapo kwenye mahusiano,Muziki wao,Maisha tofauti na Muziki.
Leo na comments hii nimeipenda wasafitv this is big interview napenda mnavyowapa muda wakutosha celebrate kwenye dunia ya burudani na hapa kwetu 🇹🇿 inapendeza ningependa mumlete ALLKIBA japokua najua kuna ugumu lakin jitahidini hii nzuri
Hii ndio *EXCLUSIVE* ya kusikiliza sasa, Nawapemda sana, Bro Jux mpole sana, ila baby unaongea sana japo ulimsema *MIMI MARS* nawe pia unaongea, ila tunakupenda hivyohivyo *V money*
Jameni napenda hii couple hadi naumwa. Jux and Vanessa. Nawapenda sana Na Mungu awajalie kwenye kazi yenu na mapenzi inshaallah. Ngonga like +254kama unawakubali
Jux is probably real star in Tanzania, nlimwona Lukman Zanzibar alikiwa na Vanesa nlikuwa nkijukuta namkodelea macho Jux badala ya kumshangaa Vanesa licha ya hits zake nyingi.Alivyavaa na alivyo kwa ujumla
That's it..relationship problems zinapashw kuwa secret.. I luv u guys .you inspire me...and wooooow "Beyonce and jayz are other inspirers..big up guys.
Ist Good that you have RAW Model like JZ und BE als beutifull Couple.work out Guys you will come tru.kama una wakubali WEKA like hapo👍👍 Love from Germany 🇩🇪+49 l like your Story 💏
Hii ni yao am happy it works and has stood test of time! Love mob!Warembo ukiona mwanaume ananunua pombe first date anataka ulewe apige vitu ndani!!!!!!!
I can't believe they're no longer together. This couple was lit.
shabiki Wa kwanza wa #JUX Mimi hapa
wangap #TEAMJUXVannesa
datiuce d gud mbabaaa
Mm
Vzr bro nakukubar sana nam ni msanii mdogo sana japo sjaskika naitaj kuwa dogo lako jux
0714142228 nicheki bro
Yaan hii couple mimi binafsi naikubali sana kama nawewe unaikubali kama ambavyo naikubali mm acha kuvunga gonga like yako hapa
Shida nawapenda mnoo v+j❤️
Leo na comments hii nimeipenda wasafitv this is big interview napenda mnavyowapa muda wakutosha celebrate kwenye dunia ya burudani na hapa kwetu 🇹🇿 inapendeza ningependa mumlete ALLKIBA japokua najua kuna ugumu lakin jitahidini hii nzuri
Ally Sendege hongeren ssmmependezs
I love this couple so much gonga like kama unawakubali😉😆😆😍😍😍😘
My favorite couple from bongo, yaani hamnaga madrama kama kina flani😘,
Unaongea kama radio
Naona comment nyingi mnasifia couple hii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂naulizen tu vip zenu?? ya mungu mengi🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
😂😂😂😂😂😂
hahahaha umenichrkesha eti vipi zenu
😆😆swali zuri
HIGH TechTz 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
HIGH TechTz 😂😂😂😂😂zinadoda
Couple ambayo ikivunjika watu wanaumia kweli
100%
Mpk leo naumw
Leo haiko tena
Km unaikubali hii couple gonga like hapa
Winnie Mack nice
Winnie Mack nawakubal sana hawa watu
Mnapendeza
Gud
This is the best couple in Tanzania.....
Saidi Mohamedi na yakwako sio best..hahaha
Kama nimpenda kusoma comments za watu like hapaa 😀😀😀😀😀
😅😅😅😅😅
Sarah Samwel kas
m
.ygfxc
onk
favourite couple.. nawapenda bure from 254
Mambo
My favorite Couple in Tz 👀
kweli kabisa
Nawakubariiii Sana
Mine too
Benson Frank kweli asee
Yaan we ety favorite couple je ya wazaz wako je sio favorite au
You guys nawaelewa sana much respect to you!!
Like hapa km unawapenda v mone na jux
Natamani kuona mtoto wenu mungu awasaidie
Fadhili Gasper sana tena
Jr
kaka jux hujawahi kosea hongera kwa kuwa na mtani wangu vanessa ni mtu sahii sana.
Hii ndio *EXCLUSIVE* ya kusikiliza sasa, Nawapemda sana, Bro Jux mpole sana, ila baby unaongea sana japo ulimsema *MIMI MARS* nawe pia unaongea, ila tunakupenda hivyohivyo *V money*
Saumu Hassan 😄😄😄😄😂
Hahaha saumu
Saumu umenena kweli big up
ad wivu yan
Saumu Hassan we mwanamke kiboko kila kona upo duuuuh😂😂😂
u guys mnatisha sana.. nawakubali for really
Jameni napenda hii couple hadi naumwa. Jux and Vanessa. Nawapenda sana
Na Mungu awajalie kwenye kazi yenu na mapenzi inshaallah. Ngonga like +254kama unawakubali
Haha
nyc km unapenda haya mahucano gonga lyk ya nguvu hapa guyx xharup kwenu🙌🙌🙌 mpo biyeeee😘😘😘
Soooo nice lovers
Nili kua sikuju chochote kuhusu wapenzi hawa kupitia wasafi tv nime yajua mengi hongereni
Wanapenda sna hamna makiki yakiboya mpo juu sna
Amina Yahya vi
nc sana
Mmmmhhh
Nawapenda sana,Mungu awafikishe mbali zaid ,nitafurah zaid cku nkickia ndoa yenu na "baby"
Watching this in 2024 knowing clearly they ain't together😢
Jux mwenyew mpole jmn
Lilian Jeremiah haswa
Nawapenda jaman
Lilian Jeremiah mpole sana
Lilian Jeremiah mmh
Katika wasanii wa tz namukubali jux
Wabongo ninyi acheni hizo.. Favourite couple yako!!!!?
Na yakwako unamuachia nani.. 😅😂😂😂😂😂😂
Refray simeon walah umefanya nichek... Hahaah
nisha abias 😂😂😂😂hata mm
Refray simeon 😂😂😂😂😂😂😂zetu zina siri kubwa
Refray simeon hahahahahah
Hhahahahah
This is a relationship sasa sio hao mastaa.wengine na upuuzi upuuzi.wao
#teamjuxvanessa
MUNGU awape MAISHA MAREFU 🙏🙏🙏 love this couple Sana 😊😊
Kama umekuja uku baada ya couple ya vanessa na rotimi🥳🥳🥳🥳
Hapa ni radio na betri zake!! Vanessa anaongea sana asee ila Jux si muongeaji sana!!
My favorite couple hope things get better with them their chemistry is too strong to break up love you Vee your African mama from USA
Aiseeee kama umeona jux kapotea hiyo kitu ya chini ni ya kidwazi gonga like twende sawa
Mnaendana jaman muowane bas achen zinaaaa
Nawafagilia!
I can never imagine these 2 without each other.
Love em!❤
#LAWithLove #FromKE
You can tell they're friends not just baby baby, money, love, music. Hatwariii sana 💕💕💕
V money 💰 🔥🔥🔥
Bariki Karoli balaaaaa🔥🔥🔥🔥
Tunahitaji kuona siku moja mna familia na mungu awaongoze JUX pamoja VANNESA MDEE
My favourite Tanzanian couples. Best couples forever.
Yani adi raha fungeni basi ndoa na mkipata ata mtt mmoja itapendeza sana ongereni sana kwa kapu yenu
ShutterDe DON 😂😂😂😂 ya viazi
Ady Aa
inapendeza
Ady Aa kapu jaman
@ShutterDe DONkapu lakutia maembe
Asante vanessa kwa kumpata rotimi❤️❤️❤️❤️
hii couple naipenda sana maan hawanaga kiki hawa gonga like kama unawakubali #vannesamdee na #jux
Nawakubali kikubwa zaidi
Jux is probably real star in Tanzania, nlimwona Lukman Zanzibar alikiwa na Vanesa nlikuwa nkijukuta namkodelea macho Jux badala ya kumshangaa Vanesa licha ya hits zake nyingi.Alivyavaa na alivyo kwa ujumla
Wooow what a nice couple..,, 😘😘😘😘😘 MUNGU awalindie mahusiano yenu 😍😍😍
This couple prospers because they're humble!!! God bless them
Yani hii couple naipenda mbaka basi yani mfike mbali zaidi ya hapo. Ikibidi mpate katoto jomon 😘😘😘
That's it..relationship problems zinapashw kuwa secret.. I luv u guys .you inspire me...and wooooow "Beyonce and jayz are other inspirers..big up guys.
Ila Kiukwelii Nayapenda Mahusiano Ya Jux Na Vanessa Kuliko Mahusiano Yanguuu. Wako Real❤👌
Duh
Miss Infos255 eeeeeeeh
Miss Infos255 heeeeee makubwa jomoniiii!
😅😅😅
iyo kali kabisa
aki nawapenda sana realy seen u together again vanesaa my lifetime crush
Lovely couple .mungu awape nguvu
Vanessa unaongea sana jamani hiyo mikono sasa. Ila nawapenda sana mana mngekutana wote mnaongea mngepata tabu sana
Emma Mwaila kbs
etiii heeee
Haiba zao zinaendana,muongeaji anavutiwa na mpole,na mpole anavutiwa na muongeaji.
I can never get enough of these two... Love you...
Nakubali watu wazima jux & v money just movin'on 💪
JUX N VANESAA , are nice couple, j and Beyonce wa bongo, like kama unakubali
nawapenda sana nyinyi watu mungu awape maisha marefu
Mnaonekana mna tru Love nyote ina furahisha sana
Nawkubali sana coz ata mnavyo fanya nifundisho kwa wenzetu ambao wanawaona coz kweli nimfano mzuri wakuigwa now Amen.
Safi kwakutishaa bonge rashoooo Wasafi nomaaaa
Eeeeee mungu nisaidie nipate mpenzi tutakaependana kama Vanessa na jux amen
Nawapenda sanaaaaaaaaaa😘😘😘
Jux ur my role model i like the way mnaishi i wish niwaone tena live on the stage
Km na ww umekuja uku kujkumbusha enzi ya jux kbla ya rotimi gonga like
Kama unawakubal gonga like hapa
Ibra Kiongozi atar
Ibra Kiongozi o
😍 too cute I love the first kiss stories 😍
Ohh Jux True definition of a Man! Yaani all credit anampa vanessa wachache sana km weye! 💜
Can they just get back together already 🚶🏽♀️
Nawakubali sana
Awwwe, sweet
You real talk too much vanessa..😂😂😂 ety first kiss... Wow 😍😍😍
Hongereni sana lakini mukiowana mta pendeza sana V anapenda kuongea sana hahahaha ila niomaana mpaka sasa muko pamoja Juma yy mpole Hahahahaha.
J
Perferct couple nawapenda sanaa
Nawapenda sana
Elizabeth Ezekiel na yakwako je.. Sio best
Elizabet
honestly I love u guyz a lot that's what we call true love💖💖keep it up lovebirds😘
Nawaqbal kinomanoma inshaallah mungu awafanyie wepes mdumu milele😍😍😍jux & v.money fan....best couple ever
Maswali mengine yakuandika bana, ukiwanaendesha gari akuna kuelewa interview. Inaboa..
Big up tho, ya doing well so far 🤗🤗🤗
I just love be them😍😍😍❤ rship goals💪💪😇
Safi Wasafi, Nimeona Yusuph Mlele (Actor), Hata cjajua imekuwaje!!!
Napenda sana stail ya hawa watu hawanaga maskendo kama wengine
Uyu mdada angefaa kujua Trey songz sio ligi yake ,trey nimtu wa wenyewe haelewi ata lunga ya kitanga
Guyz u r ze best to me seriously na cjawai cjaacha kuwafatlia mnaniinspire Sana nawakubal
Me ni big fan wa music wa Jux nina nyimbo zake zooooote.....couple nzuri 💋💋💋💋
Watching ths n feeling in love..bt boom u rem u single 😭😭😭
Ist Good that you have RAW Model like JZ und BE als beutifull Couple.work out Guys you will come tru.kama una wakubali WEKA like hapo👍👍 Love from Germany 🇩🇪+49 l like your Story 💏
nimeipenda sana hii #Tumewasha
What a INTERVIEW!! 🙌🙌
This is new Tanzania
I really loove this couple..mungu azidii kuwalinda..fanyenii mfunge ndoa..v umzalie jux..bwanaa loove u guyz
best couple
Yako????🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@neyiranda7004 nichek DM ntakuhadithia😎
Hi ni couple moja naipenda sana Tanzania....from 254.... 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ni yao am happy it works and has stood test of time! Love mob!Warembo ukiona mwanaume ananunua pombe first date anataka ulewe apige vitu ndani!!!!!!!
Vanessa maneno mengi wewe mhhhh aisee brother jux umepata mpenzi mzuri hana sikendo mbaya good sana
I love your couple may God continue to bless your union
Ase naqubalii xana couple en...na nafatlia mziki wakoo.. gonga like ka unawakubalii
Oaneni mtapendeza zaidi
Nice
you guyz so amazing keep it up actualy i've gone through such situation which disturbs ma mindset but there you guys chaooooooo!!!!!!!!
nawakubal xan nyiee!!!
African boy ur very lucky...couple ya nguvu
Daaaaaa mpaka nawatamaniiii😍😍😍😍msijeachana tena nyie mnapendana bwana
Nawapenda nyie nawapenda mpaka naumwa 😔.. goals couple ❤️❤️❤️🔥🔥🔥
When I grow up....🙏❤
janet wangari Yeaah bby when we grow up..
couple nomaa
kiukweli mungu awasimamie ktk maisha yenu... inshaallah 🙏😘
i love you guys, nawapenda saana J&V