RIYAMA ALLY: AMWAGA MACHOZI MBELE YA MUME WAKE KUTOPATA MTOTO!
Vložit
- čas přidán 16. 09. 2019
- RIYAMA ALLY: AMWAGA MACHOZI MBELE YA MUME WAKE KUTOPATA MTOTO!
Katika kipindi cha Bongo 255 cha Global Radio, Mwanamuziki wa Hip Hop, Leo Mystereo na mkewe ambaye ni muigizaji, Riyama Ally, wamefunguka kuhusiana na maisha yao ya kazi wakiwa wanandoa, kuanzia walipoanzia mpaka sasa...
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: - Zábava
Ambae nayeye acting ya riyama imempa hisia kama mim gonga like tujuane..
wako vizuri 😂😂
anajiamu riyama
Niliona mtu ka post kile kipande nika liya nika hisi ni kweli 😭😭😭
@@halimaissa7577 sana tu.. yani ni mfano wakuigwa
@@lareineminah1353 yani mim nimejua kama ni acting lakin imenitoa machozi
Usilie mwanangu Mungu ukimuomba utapata watoto.Karibu ukutane na Mungu kupitia Mtumish wake Mwamposa kawe.Amen.
Nakupenda sana riyama mpz nafikiri kweli machozi yamenitoka oh.wewe kiboko
Riyama is super talented woman in Tz .Hii couple nimeipenda that's beautiful
Salama yako Lio🤔🤔nnakuja mbio nliona ni ukweli🏃🏽♀️🏃🏽♀️I love Rihama Allah awajaalie kila la kheri🙏🏽
Mwenzangu si machozi yakanitoka kwa kumuonea huruma Riyama nikijua nikweli kumbe alikua anaigiza log! I love you so verymuch Riyama😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Ahaaaaa!!!! Kumbe tuko wengi
Riama uko vzr jmn umefata sunna miaka 40 masha allah mungu awajalie mdumu kwenye ndoa ynu
Nakupenda sana Riyama. Umri namba tu, kikubwa maelewano na mapenzi ya dhati
She made me cry guys dha nakupenda dah Riyama I don't know if I should call you Aunty or?
Mungu atawajaalia mtoto, na mkizaa mtazaa mtoto mzuri sana riyama ww ni mrembo na mumeo ni handsome sana.
Kiukweli mnapendana jaman Allah awajaalie furah masikilizano n aman ktk ndoa yenu In Shaa Allah
Ameen hawa watu wanapendana sana
Wee umeolewa
@@simuyangu1356 hapana bado
@@najmasalimsalim2741 hakika my
@@zainabmkomwa3313 una hofu ya mungu...ukija kuolewa utakuwa kama huyu huyu dada...kwa jinsi ulivyomsemea bila wivu
Woooooow that was a little sad then Nika smile woooow that's rilly love😂🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️🌹♥️
Waw much love Riyama Ally. Mimi mkenya napenda kukutazama kwenye huba channel 160.
yaani nawapenda mumeniwacha hoi kwa hii movie..Hahahahaa Allah awape maskizano..Dada riyama Nakupendaaa.😍❤❤❤
Kibokoooooo nimeipenda sanaaa nimejikuta nalia nakupenda liama ali
miss you rihama wapi ma latest! lovely couple 🙏💓 always
Riama nakupongeza mtt wa kizsnj wangazija hatuna mbaya mtt.wa kisk huyo😘😘
Yaani Riyama umenitoa machozi yote coz iko emotional sana,nakupendaga sana mamiii💘
Auntie Riyamaally nimekupenda kwa ukweli wako kwa kutaka umri wako. Kuna wssanii wengine wengi wanaficha umri wao. Lkn pili kuwa na huyo Mumeo hakuna cha ajabu midhali mna nyote mna mapenzi ya dhati. Mtume Muhammad (SAW) akiwa na umri wa miaka 25, alimwoa bi Khadija yy akiwa na miaka 40 na maisha yakasonga kama kawaida. Hatimaye Rabbi aliwajaalia Uzazi. Usikate tamaa endeleeni kushikamana ktk kamba ya Upendo na Dua, inshaallah mtavuka vigingi vyote.
Big up Riyama.
Riyama jamami nime skia kulia wallah uko sawa sana..pendaneni jamani mapenzi haya changui umri..umri number tu...Allah awajalie maelewano na muzidi kupendana daima dawamu inshaallah.
Riyama Unaweza Kwakweli kipaji Allah kakujaalia, Allah akufungulie upate mtoto na lio,,, Amin,,,, kweli hicho kipande kimegusa hasa uhalisia
Amiin
Kwel kabisaaa
jaman unaweza
Yaaan kama wapenzi wote wangelikua hivi duniani kusingekua na usaliti
Pole,sana,riama,
mashaallah biga pu 👌👌nime kupenda san mamy mwenyezi mungu akufanyie wepes upate mtoto in sha Allah
Sijui Hawa wasanii wengine wanakoseaga wapi yaani
Allah awalinde na mahasidi na fitna za watu mpendane mpaka mzikane
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Amen
Amani ya ndoa yenu👏👏👏
Omg I have goosebumps she’s really actresses 🤣🤣🤣
Huyu mume wa riya, alilelewa vizuri na mama yake.
mume wake hakika niwakipekee sana... niwachache saana hawa
Saved Jackson sanaaaaaa nimeipenda
Saved Jackson f
She is adorable 💓
The best of all time riyama ally
Riyama mm ni mtu mzima na napenda sana acting yako. Yani scene ya muda mfupi na fupi hivyo lkn umeiweza. Tuirefushe tuitengenezee full Movie "big up"
Waooh riyama nakupend
Uko vizuri my dada Rihanna wanguuuuuuuu👌👌💪💪💪💪💪💪
Hadi nimelia
Kwa kweli hii couple ndio naikubali wanaheshimiana sn
Kama ulikua kwa akili yangu vile nilitaka kuandika kama hivi aisee minawakubali sana
Yusra Gundia
Hahaaaaa Riama we kiboko
The best actress I've ever 'met'!! 🙌🙌
Kumbe it was acting..I thought it was real crying🤣🤣🤣🤣Mungu abarikiwe familia yenu❤❤❤
Nakupenda bureeee we dada
@@dianamwitula9970 nakupenda pia
Riyama nakupenda sana we dada Allah akulindie mumeo na mwanao na we pia
Riyama nakukubali sana toka kitambo, uko vizuriii!...penda sana wewe. Mungu akujaalie hitaji la moyo wako inshaallah!
Hii Yao ni mapenzi ya kikweli kweli wallahy... 💞💕🤩❣️💖
Duuh jamni mpkan nimecheka😀😀😀nikajua kwel kwel riam anajua kuigiza uwiiii😘😘😘
Wow so amazing jah blessing all
nakupenda sana riyama uko ju ju ju sana mungu akubaliki na mumeo muishi kwa upendo miaka 1000000
Jamani umeniurumisha sana Allah atakujalia upate mtoto Ameen
Mmetisha sana rihama na mumewe, nimewapenda ajabu
Mama mdogo wangu mgazija mwenzangu hongera sanaaa mama mdogo wangu nakupenda sanaaa jinsi unavyo fanya movies zako ❤️❤️❤️❤️
Mama kipaji n kipaj2 nakupenda sana❤❤❤ nakubaliiii rayamaaaaaa wanguuu
AMIN 🤲 KWA DUWA ZENU ISHALAH ZIKAWE BARAKA NA ZENYE KUPOKELEWA NA ALLAH 🤲🤲🤲
Riyama Ally Damwani Nilianza kukukubali since ulipotoka kama "Mama Majuto" kama kumbukumbu zangu ziko vizuri.
Mungu atakujalia dada angu utafka mbali na meji ndoa yenu iwe ya kheri inshaallah my dada love uu😘😘
ujali dia utapata bado mapema
Nakupenda liyama
Mtot siunaye bibie ucjali utapata in shaa ALLAH
Daima Sibadili Msimamo Juu ya Kauli Yangu,Hakuna Msanii Wakike Tanzania Hii kama Riyama. Watajaribu sana lakini Utabaki kuwa Namba Moja Dada
it's good to loved ...love is so good...love you
Cut cut cut 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Dah so Awesome 😁😁l love her 💕
Wallah me nakupenda ww dada allah akujaalie umli mlefu
Diana nilisemwa sana mimi mpaka fulani na ndugu mpaka marafiki niliitwa tasa lakini baada nikapata mtoto walibaki midomo wazi .pendaneni umri sio lazima Ex Kanzeler wa ujerumani anamiaka karibu 79 sholder Kanonade mkorea wa 30years🤷♀️🤷♀️
Riyama umenitoa machozi penda sana mungu awaongoze kwa maisha yenu muombeni mungu kwa Kila jambo Kila hatua my loves mwaaaaaa
Riyama mama hongera hakuna anaekufikia hongera saaaana Barikiwaaaa😘
Allah awazidishie mapenzi,na awadumishie mapenzi yenu.....same story did happen for me ,till now I'm still in .....from Buja right now in South A
Riyamaaaaaaaaaaaaa mashallah mambo nimotooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 NimewPendeni saaaaaaaanaaaa
i love this couple....more blessings. Riyama my favourite
Love you dada riyama pamoja nashemeji mmwaah
Jamani ! naipenda ndoa Hiii kweli Mungu awajalie mudumu, msiachane tafadhali shetani akija kuwatenganisha ashindwe kabisa. mnapendezea saana no matter what. bebeaneni katika shida na raha. Nimejiskia kulia kama vile kweli kumbe umeigiza tu
Allah awsjalie amani
InshAALLAH
Mbak nimechapia
Mimi huyu kwanngu huwa ni best actor of all time aiseh!
Waoo kumbe Riyama dada angu nilifikiri nakuzidi umri kumbe umenizidi wewe Mashalah una mwili mzuri sura kabby fece
Nawapenda sana my favorite couple ❤
ALLAH awaongoze kwenye ndoa yenu, dada riyama nawapenda sanaa
Yaan da riyama..Allah akuweke na mumeo.
Nawapenda coz mnapendana na ni wakweli.
Mashaallah mngu awape maskizano na Kuzidishie kipaji da riama na mmeo
Adi Raha da yng mungu awajaalie hvyo hvyo awaondoshee khusda mashaa Allah
Nimewapenda bure wallahi 👌♥️
💕💕💕
Hata mm
Aaaa hakiamungu kua na mwanamke muigizaji ni shida aisee sasa hapo utajuaje kama anakupenda kweli au yupo kazini!!!
Hahahahaaaa hilo nalo neno kaka
😂😂😂😂
Hahahaaa
Zahoro Sangaga 😱😱😲
Philipo Frances kweli umenvunja mbavu maaana
My super women😍😍😍all time best actress Ryama Ally😘😘😘
Rihama ww ni mwanamke na nusu , yaan kipaji chako ni zaid jaman 👏👏👏
Mashallah riyama👍👍👍👍❤
Love you dada Riyama!
uy mwanamke nampenda bureeee mweee anajiheshimu sio kama wale wakina faidha na wakuna irene uwoya.Mama Mungu akulindie familia yako mama love u so much
I am Naomi from Kenya, nakupenda sana riyama
hongeraaa kwa kwel
Yani Huyu Dada ni mkweli hadi anaogopesha....wenzake akina flani wanamiaka ishirini sijui na nini....
Huko Frank unaemsema ni yupi?
🤣🤣🤣🤣
Awakuwag kila mwAka awapo palepale
Hahahaaha
Jamani riama unajua kuekti wewe😘😘
kumbe apo walkuwa wana act
Usijali Dada yangu,mungu atakulinda were pamoja na usagara yetu uishi maisha marefu..
Mashallah mungu awape wepesi wa maitaji yenu inshaal
Love this lady
She is so fun,love u Riyama
Wow the guy is good to go 🥰🥰🥰
Mwanamke n nusuuu had raha Lioo hongeraaa sna unamwanamke
Mungu akupe mtoto Riyama amin Mungu ashindwi na chochote amekupatia mme bora kwa nn akunyime mtoto inshaallah Allah awanilindie nawapenda saana💞
Love is beautiful 💝
Hongereni....nimeona ubunifu hapa
Kwenye kubembeleza hapo rio kafeli, kabembeleza tu juu juu, ubembelezaje unahitaji utulivu, ila silaumu maana mpo studio, ila riyama hapo hakuekti bali kalia kwa kitu kilichokuwepo kwake, hongera sana riyama siachi kukupenda wa ukae miyangu
Jaman jaman jaman mpaka raha
Hongera mama mungu awajarie upendo zaidi
Waooooh! So amazing
Lucy Shilla mi sikuimalizia nilimind mchizi
mashallah, nakupenda sana mama
Hongereni sana riyama.
Nakupenda mashalah 💋♥️
Chezea riyamma ww 😘😘
Wooooow. Ryama Ally pendant sana wewe 💞💞🔥❤
Riama vraiment tu bon acteur dieux à ton bénis à vec ton famille inchaalah
heeeeh tu es une bonne actrice qu Dieu te benis avec ta famille
True Love .....
Mama la mama umetishaaaaaa
Love youuuuuuuuu
Mungu awabariki Sana mzidi kupendana kumbe umli sio tatizo
Rihana wacha kulia lio anakupenda sana awezi kukucheat trust lio he love you so much kiss lio
Watu na kazi zao
hapana nimeshindwa endlea kutizama daah yaliza you are the best actor in my head
mashaallah rihama nakupenda we dada 💋
Asantee nakupenda bureee
Duuh dariyama umetisha sn nawapenda sn mungu awape furaha maishan mwenu