Navy Kenzo walitosa mamilioni ya Universal Music, walikata tamaa Vanessa akawarudisha - Part 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 11. 2020
  • Sehemu ya pili ya #ChillnaSky na Navy Kenzo (Aika na Nahreel) ambapo wanazungumzia mafanikio ya album yao ya pili Story of the African Mob, kwanini waliutosa mkataba mnono wa Universal Music Group, walivyokata tamaa ya muziki na kujipanga kurudi shule lakini Vanessa Mdee akawashawishi waendelee kufanya muziki na mengine

Komentáře • 54

  • @mohamedmaalish2926
    @mohamedmaalish2926 Před 3 lety +21

    NAVYKENZO U GUYS HAMFANANI N WASANI W KIBONGO YANIII NYIEE N INTERNATIONAL THE WAY MNAVYOIMBA 👌💯

  • @Mzayanine
    @Mzayanine Před 3 lety +22

    Dah hawa jamaa wamekuheshimu sana,hawafanyagi interview hovyo

  • @Swahili_Finance
    @Swahili_Finance Před 3 lety +4

    Smart Sana Hawa Watu..Nmepata Madin mengi About Ujasiriamal, uthubutu na kuwa na Maono ya Mbali ambayo Kama Watu Hawata Kuunga mkono Pengne Hawaoni Unapotaka ufke (They're limited to see beyond norms) Basi Achana Nao na ww uendelee ku pursue vision yako Watu Watakuelewa Mbelen period!

  • @fatmaomar8497
    @fatmaomar8497 Před 3 lety +3

    Katika bongo nzima hawa jamaa nawapenda sana...Mashaa Allah...

  • @eliasakhamisi9619
    @eliasakhamisi9619 Před 3 lety +6

    These people are the finest of our country no blabla. I love them

  • @TheMastertz
    @TheMastertz Před 3 lety +3

    Leo hatimaye nimeangalia hii interview. Nimesikiliza kwa makini sana. Nimefurahi #navykenzo wameniangalia nawe na kuafiki kwamba soko halijakaa sawa. Kwa WaTanzania mnaoangalia, mnatusikia kweli? Mashabiki mna mchango mkubwa sana wa kuboresha mazingira ya wasanii wetu. Maana wadau wakuu Radio&Tv hawataki mabadiliko!! Wananufaika sana dhidi ya vijana masikini!!! Ahsante Dr kwa kuamua kuibua wasanii wapya. Interview zako ni bora na zenye kufunza zaidi kuliko jitihada za wadau kibao kwenye media. Sijui kwanini hatupendi kuona fahari ya wasanii wetu, wanariadha, wachoraji nk. Vijana tuinuane!!!

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 Před 3 lety +3

    Nawapenda Sana Kenzo na Haika. Mungu azidi kuwabariki

  • @ivynzuki6708
    @ivynzuki6708 Před 3 lety +4

    Can't get enough of them,all the best

  • @marcopius3710
    @marcopius3710 Před 3 lety +6

    Raha ya kuwa wasomi lakin wangekuwa wasanii wetu wa vijiweni kusikia title ya UNIVERSAL wangekuwa wameshakulupuka na kusaini

  • @pauleverest438
    @pauleverest438 Před 3 lety +2

    I love the interview 100%

  • @williamkhaemba2782
    @williamkhaemba2782 Před rokem

    My Playlist i swear it's only their album....they are dope af💯🙌🙌...

  • @aminihaminih7846
    @aminihaminih7846 Před 3 lety +2

    Yaani nawapenda ninyi na maisha yenu,mungu awasimamie zaid kwenye kz zenu ♥️♥️♥️♥️💪

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 3 lety +5

    Mashallah, nice couple 😘

  • @mwangosi5003
    @mwangosi5003 Před 3 lety +3

    Nice couple I like them and sky you are so good for Interview

  • @BarakaKitale
    @BarakaKitale Před 3 lety +2

    Interview nzur sana Navykenzo wako poa sana mziki wa bongo fitina nyingi

  • @emmanueldavid8977
    @emmanueldavid8977 Před 3 lety +3

    Jamaa wanafanana hadi lugha 💥

  • @priscaiman2081
    @priscaiman2081 Před 3 lety +3

    Wawoo ata Mimi nimeenjoy

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 Před 3 lety +2

    Mnaonekana niwatu wenye furah sana mashallah

  • @williamkhaemba2782
    @williamkhaemba2782 Před rokem

    I look up to them always 💯

  • @iporasta1429
    @iporasta1429 Před 3 lety +3

    Hao jamaa wanyamwezi sanaaaaaa

  • @nikodemomola3478
    @nikodemomola3478 Před 3 lety +1

    Interview nzuri sanaa,nawakubali sana navykenzo #SnS

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely6871 Před 3 lety +2

    Nawapenda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @apolinemalungano9155
    @apolinemalungano9155 Před 3 lety +3

    Hawa watu wanahakili ya maisha

  • @edwardjerome7323
    @edwardjerome7323 Před 3 lety +3

    It's good interview ever

  • @nzoisabazephania854
    @nzoisabazephania854 Před 3 lety

    I'm your number one fan 💯

  • @kevoostreams900
    @kevoostreams900 Před 3 lety +2

    Gud interview

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 3 lety +4

    Nawakubali sana awa jamaa

  • @habimanaiddy
    @habimanaiddy Před 3 lety +1

    good time daaah naiskia kila sikuu

  • @djherotz6771
    @djherotz6771 Před 3 lety

    Asee nawakubali sana hawa jamaa asee kwenye Bajaji yangu hukosi ngoma zao

  • @namsintimbwa3040
    @namsintimbwa3040 Před 3 lety +1

    Nawapenda sana

  • @abdallamwagele7505
    @abdallamwagele7505 Před 3 lety +3

    Couple

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz Před 3 lety +2

    𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚

  • @glorianikiza6033
    @glorianikiza6033 Před 3 lety +1

    Best couple

  • @bettyenoch2685
    @bettyenoch2685 Před 3 lety +2

    You are so right, no variety, but we will get there.

    • @bettyenoch2685
      @bettyenoch2685 Před 3 lety +1

      Same sound except Navy Kenzo and Beautiful Aika are unique. I downloaded their music. Kweli sound zinafanana. Congratulations Aika and Navy Kenzo

  • @hashiyatmohammedy156
    @hashiyatmohammedy156 Před 3 lety +2

    Wako vizuri Hawa nawakubali nyimbo zao wanavyo imba na video wanavyo chukuwa nawakubali maana atamajinayao tu yalivyo

  • @shikikitabunda1177
    @shikikitabunda1177 Před 3 lety +2

    Wazungu hawa harusi haiwatishi😀😀

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 Před 3 lety +1

    Hakuna valayatiis😂😂au vipi mwana

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 Před 3 lety

    Kila siku nikisema mtu akizaliwa Kaskazini anakuwa tofauti sana... Salute guys!

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 Před 3 lety

    💥💥💥💥💥💥💥💥💥🇹🇿🇴🇲

  • @dicksondanickomfilinge2927

    🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @brigitamakoha9941
    @brigitamakoha9941 Před 3 lety +3

    Hii ndio ndoa,, hawanaga maneno

  • @Emmy20233
    @Emmy20233 Před 3 lety +1

    Nawapenda nyie duh sijui niseme nn

  • @elsenortolga1936
    @elsenortolga1936 Před 3 lety +1

    Hii t-shirt ya Bape ni beyi kali hua ninaipenda ila sina uwezo wa kuinunua tuh basi ila sina uwezo

  • @abdallamwagele7505
    @abdallamwagele7505 Před 3 lety +2

    Naika mbona ameloose weight

  • @apangejulius9159
    @apangejulius9159 Před 3 lety +1

    Killers

  • @sherin3171
    @sherin3171 Před 3 lety +1

    Huyu mdada kafanan na mwafulani🙈

  • @singasinga2663
    @singasinga2663 Před 3 lety +3

    Sky sky #simulizinasaut nyie ni tv na nusu hongeren