Navy Kenzo walitosa mamilioni ya Universal Music, walikata tamaa Vanessa akawarudisha - Part 2
Vložit
- čas přidán 1. 11. 2020
- Sehemu ya pili ya #ChillnaSky na Navy Kenzo (Aika na Nahreel) ambapo wanazungumzia mafanikio ya album yao ya pili Story of the African Mob, kwanini waliutosa mkataba mnono wa Universal Music Group, walivyokata tamaa ya muziki na kujipanga kurudi shule lakini Vanessa Mdee akawashawishi waendelee kufanya muziki na mengine
NAVYKENZO U GUYS HAMFANANI N WASANI W KIBONGO YANIII NYIEE N INTERNATIONAL THE WAY MNAVYOIMBA 👌💯
True...sio waswahili sana
Dah hawa jamaa wamekuheshimu sana,hawafanyagi interview hovyo
𝐊𝐮𝐦𝐛𝐞
Smart Sana Hawa Watu..Nmepata Madin mengi About Ujasiriamal, uthubutu na kuwa na Maono ya Mbali ambayo Kama Watu Hawata Kuunga mkono Pengne Hawaoni Unapotaka ufke (They're limited to see beyond norms) Basi Achana Nao na ww uendelee ku pursue vision yako Watu Watakuelewa Mbelen period!
Katika bongo nzima hawa jamaa nawapenda sana...Mashaa Allah...
These people are the finest of our country no blabla. I love them
Leo hatimaye nimeangalia hii interview. Nimesikiliza kwa makini sana. Nimefurahi #navykenzo wameniangalia nawe na kuafiki kwamba soko halijakaa sawa. Kwa WaTanzania mnaoangalia, mnatusikia kweli? Mashabiki mna mchango mkubwa sana wa kuboresha mazingira ya wasanii wetu. Maana wadau wakuu Radio&Tv hawataki mabadiliko!! Wananufaika sana dhidi ya vijana masikini!!! Ahsante Dr kwa kuamua kuibua wasanii wapya. Interview zako ni bora na zenye kufunza zaidi kuliko jitihada za wadau kibao kwenye media. Sijui kwanini hatupendi kuona fahari ya wasanii wetu, wanariadha, wachoraji nk. Vijana tuinuane!!!
Nawapenda Sana Kenzo na Haika. Mungu azidi kuwabariki
Can't get enough of them,all the best
Raha ya kuwa wasomi lakin wangekuwa wasanii wetu wa vijiweni kusikia title ya UNIVERSAL wangekuwa wameshakulupuka na kusaini
I love the interview 100%
My Playlist i swear it's only their album....they are dope af💯🙌🙌...
Yaani nawapenda ninyi na maisha yenu,mungu awasimamie zaid kwenye kz zenu ♥️♥️♥️♥️💪
Mashallah, nice couple 😘
Nice couple I like them and sky you are so good for Interview
Interview nzur sana Navykenzo wako poa sana mziki wa bongo fitina nyingi
Jamaa wanafanana hadi lugha 💥
Wawoo ata Mimi nimeenjoy
Mnaonekana niwatu wenye furah sana mashallah
I look up to them always 💯
Hao jamaa wanyamwezi sanaaaaaa
Interview nzuri sanaa,nawakubali sana navykenzo #SnS
Nawapenda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hawa watu wanahakili ya maisha
It's good interview ever
I'm your number one fan 💯
Gud interview
Nawakubali sana awa jamaa
good time daaah naiskia kila sikuu
Asee nawakubali sana hawa jamaa asee kwenye Bajaji yangu hukosi ngoma zao
Nawapenda sana
Couple
𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚
Best couple
You are so right, no variety, but we will get there.
Same sound except Navy Kenzo and Beautiful Aika are unique. I downloaded their music. Kweli sound zinafanana. Congratulations Aika and Navy Kenzo
Wako vizuri Hawa nawakubali nyimbo zao wanavyo imba na video wanavyo chukuwa nawakubali maana atamajinayao tu yalivyo
Kama sio wabongo
Wazungu hawa harusi haiwatishi😀😀
Hakuna valayatiis😂😂au vipi mwana
Kila siku nikisema mtu akizaliwa Kaskazini anakuwa tofauti sana... Salute guys!
💥💥💥💥💥💥💥💥💥🇹🇿🇴🇲
🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Hii ndio ndoa,, hawanaga maneno
Sio ndoa, ni uchumba
@@kingbashar4293 waifunge bas
Nawapenda nyie duh sijui niseme nn
Hii t-shirt ya Bape ni beyi kali hua ninaipenda ila sina uwezo wa kuinunua tuh basi ila sina uwezo
iko siku, usikate tamaa✊✊
Naika mbona ameloose weight
Killers
Huyu mdada kafanan na mwafulani🙈
Sky sky #simulizinasaut nyie ni tv na nusu hongeren