JACQUELINE MENGI: NAMPENDA SANA MUME WANGU KWA NAMNA MAISHA YAKE YALIVYO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #JacklineMengi

Komentáře • 246

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 6 lety +35

    Nampenda uyu dada maisha yke Na jinsi alivyo yan anamafanikio sana ila yupo zke kimya yan uyu ni really bosslady yuko very smart kuvaa adi kichwani 😍😘

  • @asumiissa306
    @asumiissa306 Před 6 lety +81

    Huyu ndie Boss ledy Kwangu hana maringo hana dharau Nakupenda Sana Dada Jacklin

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty Před 6 lety +2

      Asumi Issa kabisa

    • @wacundirangu1661
      @wacundirangu1661 Před 6 lety +2

      Kusema ukweli kabisa
      *#SoHumble*

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 6 lety

      Asumi Issa boss kwako siyo boss zari kwenu.kwikwikwikwi

    • @asumiissa306
      @asumiissa306 Před 6 lety

      Cathereen Exzavery unaumwa ww zari anaingiaje hapa

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 6 lety

      Asumi Issa soma vizuri ujumbe ufafanue utajua nimemaanisha nn usikurupuke.mchezo hauitaji hasira.inawezeka wendounaumwa ndomana ukaropoka

  • @miriamcasmir2484
    @miriamcasmir2484 Před 5 lety +6

    nimependa anaongea kiswahili vizuri bila michanganya na kingereza👏👏😍 keep it up Jack

  • @restymlale6003
    @restymlale6003 Před 5 lety +5

    Nicee! Brave Lady.
    Now be strong.
    People are after you! Because of jelousy. So be strong young lady.

  • @mwaijaramadhani6662
    @mwaijaramadhani6662 Před 6 lety +41

    Yani uyu dada kwanza ana ela na haringi ni wazi hiyo hyu haringi kabisa anaonyesha kabisa 😀 good jack mng'ang'anie mumeo

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 5 lety +5

    Nakupenda sana Jacquline una hekima sana pia hauna maringo wala majivuno Mungu akuongoze kwa kila kitu ukifanyacho.

  • @shamimhatim7668
    @shamimhatim7668 Před 6 lety +14

    Hongera sana kwa busara zako nadhan wadada Waangalie mwenendo wako watajifunza kitu .si kila anayeolewa na mtu mwenye pesa eti anafata pesa zake laa hasha. Na mtu mzima mwenye busara ni faida kwa jamii kila la kheri da jack ktk maisha yako. ❤

  • @preciousprecious8791
    @preciousprecious8791 Před 5 lety +5

    Women full of wisdom that you Jacqueline 😍😍😍😍

  • @dididivine4875
    @dididivine4875 Před 4 lety +2

    beautiful,she look like jada Smith.

  • @joharijuma8667
    @joharijuma8667 Před 6 lety +47

    mwanamke mwenye akili utamjua tu hata akiwa anaongea na kujibu maswali huyu mwanamke ana akili nyingi sana

  • @lizzyshayo209
    @lizzyshayo209 Před 5 lety +14

    Ameolewa na Tajiri...hela aliyonayo mumewe hahitaji wala kufanya kazi maisha yake yotee ila bado ajituma kazini...for sure ni wife material.....wanawake wenzangu tujifunzee!!

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +2

    Pole sana Jackline, Nakupenda sana, wewe ndio Boss lady wangu ninaekutizama,

  • @mpanduzimalugu4717
    @mpanduzimalugu4717 Před 6 lety +19

    No code mixing wala code switching lakini ni among millionaires wa. Kibongo mabosslady wa insta mtapata tabu sanaa

  • @sayrachuna6705
    @sayrachuna6705 Před 6 lety +41

    Napenda anavyoitikia ndio mwingine hapo ya yah yah zingekuwa nyingi nakupenda sana jack nami nimeolewa na mwanaume mtu mzima na ananipa Kila kitu na nimpole mstarabu anasaidia watu... Love ❤️ love you

  • @hawasharif3392
    @hawasharif3392 Před 6 lety +10

    Beauty with brain ,like Kama wamkubali boss lady

  • @clarajulius4046
    @clarajulius4046 Před 6 lety +31

    Yaani Jacq yuko humble sana...Zari inabidi ajifunze,kelele nyingiii,angalia wenye pesa zao wanavyojishusha

    • @doramsuya5135
      @doramsuya5135 Před 6 lety +2

      clara julius hivi hamuwezi kumsifu mtu mpaka mumtaje ZARI.. Kwani zari anahusika nini tena huku... Mfyuuuuuuuu. Ebu jiongezeni mbwa wewe... Kama unataka kumsifia jackline. Msifie kwa wakati Wake.. Na siyo kumtajataja zari. Coz ndiyo mnazidi kumpa umaarufi.... Muacheni dada wa watu. Pambaneni na hali zenu.... ZARI anawapasua kichwa kweli......

    • @fortunathachaki9018
      @fortunathachaki9018 Před 6 lety

      Hongera Jackie mungu akutunze.

    • @victoriachesco35
      @victoriachesco35 Před 5 lety

      @@doramsuya5135 hapo umenena hy jack mali amezikuta amechuma na mke wa kwanza alf c mke hy jacky ni hawara ty cz kanisa halitambui ndoa mbili ni moja ty angekuwa muislamu sawa

    • @neemajosephatneemajosephat32
      @neemajosephatneemajosephat32 Před 5 lety

      @@doramsuya5135 funga kopo lako chafu

    • @neemajosephatneemajosephat32
      @neemajosephatneemajosephat32 Před 5 lety

      @@victoriachesco35 acha wivu

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 6 lety +13

    Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza ndio maana wahenga wanasema debe tupu haliachi kutika watu na maisha yao kimya kimya. Mungu awazidishie.

  • @hadijafridah7723
    @hadijafridah7723 Před 5 lety +1

    A very humble lady.. hana maringo.. sisi wakenya wote tunakupenda sana.

  • @restymlale6003
    @restymlale6003 Před 5 lety +3

    No wonder Mzee Mengi alikupenda. Ure very intelligent.

  • @grathagosbert7779
    @grathagosbert7779 Před 6 lety +6

    Guys stop comparing life of pple kila mtu ana maisha yake msifoc watu wafanane mara ohho zari its non of anybods life kwa hyo its cull kuishi utakavyo

  • @mwizaluchiba6264
    @mwizaluchiba6264 Před 6 lety +9

    Mungu akusimamie ww nafamily yako

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 Před 5 lety +2

    You are perfect in speech!! Big up

  • @mariej6962
    @mariej6962 Před 5 lety +2

    Napenda patient ya Jackie, anajua kusikiliza. Jambo zuri sana Jackie.

  • @jamalogistics412
    @jamalogistics412 Před 6 lety +7

    Siku zote mtu akijishusha huwa anapandishwa.Huyu mke wa Mheshimiwa Mengi ana utayari sana.na ndiyo maana anasonga mbele.nakukubali sana una bidii kama alizonazo mke wangu Amina.nami nitakutembelea hapo kujifunza kwako.

  • @neemadavid3280
    @neemadavid3280 Před 6 lety +12

    She z awesome perfect lady..lakin zari ameingiaje Apa...kila mtu ana life lake bhana.

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica803 Před 5 lety +1

    Mashaallah dada upo vizur sana Wachina na Wahindi waige hii Tabia wanatumikisha watu bila hata likizo unqfanyakazi mpaka jasho la meno linakutoka hakuna hata motisha ndio kwanza unafokeo😑

  • @kareemabdallah6693
    @kareemabdallah6693 Před 6 lety +17

    Story za watu wenye hela na Sisi Masikini tofauti, Una Njaa, Chuma Chenyewe Umepanga Mama Mwenye Nyumba kila siku ahsubui NgoNgo "Baba Hela ya umeme" , Mara Demu wako kakuacha Hiko kitabu unakishika saa ngapi, Kila siku unafunua ukurasa huo huo Anasoma nusu unalala

  • @kairetugekenerikahakiemma4937

    Pole sana dada.R.I.P MENGI.

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa4245 Před 5 lety +1

    God bless u Madam Boss

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 Před 5 lety +1

    Amina! nisaidie mm Jackie.

  • @estermgaya6701
    @estermgaya6701 Před 6 lety +12

    yani uyu dada mpk raha nakupenda buree

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 Před 6 lety +7

    Nakupenda bure Jack

  • @safiasaleh813
    @safiasaleh813 Před 5 lety +1

    Dah , nimejifungua kitu , ahsante saana Jack.

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Před 5 lety +1

    hakika wewe ni mfano kwa weningi hongera sana na Mungu akulinde daima

  • @rachaeldavid6261
    @rachaeldavid6261 Před 6 lety +9

    Nimejifunza kitu kutoka kwako thnx cct

  • @allykassim9826
    @allykassim9826 Před 6 lety +12

    Hawa ndo watu nawakubali siku zite. Najiuliza vip nafasi hii angeipata wema? Jack, faraja nancy na nargis nawakubali sana. Wapo kimya na ni watu maarufu. Luv u guyz.

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 5 lety +1

    Huko kumpata huyo tajiri ..mpaka Mungu apende..so jack kafata pesa na mzee kafata urembo na udogo wa dada Jack.pia mimi nimeolewa na mzee amenizidi 30 years....so kama nimefuata hela ..mzee naye kafuata nini kwangu?Hamjui muongealo so pigeni domo tuu yetu yatunyokea na hatuwaombi kula mtatuona tu ivi ivi ..ikiwauma oleweni na wazee nanyi mpate hizo hela ...

  • @sylviemutwale9527
    @sylviemutwale9527 Před 5 lety +3

    Yupo juuu sana

  • @tmollel7648
    @tmollel7648 Před 6 lety +13

    Dada Jaquelyn ❤❤

    • @godrichjohn5462
      @godrichjohn5462 Před 6 lety

      Safi sana dada karibu shule ya Msingi Kubiterere utusaidie kuibua vipaji

    • @godrichjohn5462
      @godrichjohn5462 Před 6 lety

      Shule ipo Mkoma wa Mara wilaya ya Tarime Kata ya Mwema. Shule ni yaserekali, karibu Sana.

    • @mosesmacha1080
      @mosesmacha1080 Před 5 lety

      Kafuata hela hana lolote

  • @hadijasaidi8236
    @hadijasaidi8236 Před 5 lety +5

    Bora wew unakàa nje ya nchi na unaongea kiswahil kitupu sio wakina fulan u know, u knw nying mfyuuuuu

  • @eliasnsimba5976
    @eliasnsimba5976 Před 6 lety +7

    Kawa na roho ya kitajiri kama alivyo mmewe

  • @sakeenanadaly559
    @sakeenanadaly559 Před 5 lety +1

    Mnasifiaa kwa hekima Gan we unafikiri huyu ameanza kutembea na huyu baba Leo au Jana. Muombee Mungu anamuons akumbuke yule mama ndio aliyeanza kuchuma Mali na mumewe

    • @banshbansh2329
      @banshbansh2329 Před 5 lety

      kwani umeambiwa kama huyo mama kanyimwa haki yake kapewa jaki? acha kulopoka

  • @loynaerick4118
    @loynaerick4118 Před 5 lety +1

    wangekuwa wengine tungeskia yes, no, oh well, it's normal, of coz, uknow what duh kweli hatarii

  • @ashaomary8969
    @ashaomary8969 Před 5 lety +1

    I like u the way ulivyo busy na maisha yako

  • @jacquelinemabula2519
    @jacquelinemabula2519 Před 6 lety +2

    Love you wajina your my inspiration

  • @luisemrema3301
    @luisemrema3301 Před 5 lety +1

    Ukitaka kufika mbali ussikilize ya watu songs mbele dada yangu big mwanangu maana na mm ni mama jacquelline

  • @dorynkileo2708
    @dorynkileo2708 Před 6 lety +8

    Nikiwa mkuwa nataka kuwa Kama da jack

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 5 lety

    True my dear....

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 Před 6 lety +4

    Nampenda sana Jack Mengi coz ni wife material anajua kujituma

  • @podoabuuado9507
    @podoabuuado9507 Před 6 lety +5

    That’s good

  • @emanuelyjohn8320
    @emanuelyjohn8320 Před 6 lety +3

    Is for money not else

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 Před 6 lety

    wanawake wa hv wachache mnoo..bright brain jaq

  • @scolasticasiyara4497
    @scolasticasiyara4497 Před 6 lety +4

    Waoooo Mrs Mengi nice mamaaa

  • @carenasharif7115
    @carenasharif7115 Před 6 lety +7

    Nakupenda bure dada sio hawo wakin zari kuringa tu wenye hela ndiy hawo mtanbalie

    • @doramsuya5135
      @doramsuya5135 Před 6 lety +1

      Carena Sharif hivi zari katoka wapi huku. Ebu jiongezeni nyiee... Ndiyo mnazidi kumpa umaarufi kwa kumtajataja.... Poleeee

  • @saumukaisi3996
    @saumukaisi3996 Před 5 lety

    Daaaaah nakupenda sn ww Boss Lady pia pole sn

  • @shannelika718
    @shannelika718 Před 6 lety +2

    Nice interview 👌🏾👌🏾👌🏾 Jacque is an inspiration 👏🏾👏🏾

  • @ejtjr2647
    @ejtjr2647 Před 5 lety +1

    Tafautisha kumpenda Mengi na kupenda pesa chini ya Mengi na IPP.

  • @diomedesmtayoba3955
    @diomedesmtayoba3955 Před 6 lety +17

    Nimependa sana maswali yako mtangazaji hivo hivo usiwe unahoji wasanii tu

  • @tatunyasulu6634
    @tatunyasulu6634 Před 6 lety +1

    Life is full of fake People, trust no one! Kwan wakiwa wanagombana ndani unafkr atasema? Au km alipenda hela atasema?...

  • @dorinedson8171
    @dorinedson8171 Před 6 lety +15

    Zari Ndo nani cheki watu wame kaa kimya

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 Před 6 lety +1

      Dorin Edson na washangaa wa Tanzania who is Zari??

    • @samirakhamis3704
      @samirakhamis3704 Před 6 lety

      Inahusu nn hapa zari msiwe wapenda bifu

    • @aishaabdul1360
      @aishaabdul1360 Před 5 lety

      Kumbe umeonaeeee zari kitu gani angalia binti huyu yuko makini sana wala hajiita boss lady

  • @mumcorp5526
    @mumcorp5526 Před 6 lety +1

    Ukiwa masikini ndio unaonekana umeolewa na Mzee, ila ukiwa na pesa unaonekana umeolewa na Joana mbichi hataree..

  • @glorytarimo9730
    @glorytarimo9730 Před 5 lety +1

    Jmn huyu dad anaakili

  • @veronicamshota1546
    @veronicamshota1546 Před 6 lety +1

    Very nice...im so interested

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 Před 5 lety +2

    Pumzika baba Mengi

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 Před 5 lety +2

    Nakupenda bure Jacqueline kiukweli ni mwanamke usiye na maringo,wala majivuno Mungu azidi kukupigania ktk mambo yako yote.

  • @latifamtanda6312
    @latifamtanda6312 Před 6 lety +4

    Mh uko mliko fika tena siko mm nilikua mpenz sana wa nyimbo zake

  • @deborahnin8341
    @deborahnin8341 Před 6 lety +2

    I'm inspired.

  • @tatuomar4164
    @tatuomar4164 Před 6 lety +12

    uyu ndo boss apana kina Zari wa boss wamitandaoni

    • @doramsuya5135
      @doramsuya5135 Před 6 lety

      Tatu Omar sasa zari katoka wapi huku. Mbona mnakuwa kama mikundu. Kumfatilia mtu. Ebu tulizeni mshono..... Kama unataka kumfia jackline. Msifie tu... Sio mpaka mumtaje zari khaa... Kweli zari anawaumiza akili

    • @jacklinelyimo7407
      @jacklinelyimo7407 Před 6 lety +3

      Tatu Omar umeonaee sio mavi mavi Zari anabbishana na mitandao ona Jack alivyojuu na ndo bossylady huyu

    • @tatuomar4164
      @tatuomar4164 Před 6 lety

      +jackline lyimo yani njo boss lay uyo apana shoga akiuza ata kijiko ana post ivi ssa kazi yake nikujibu watu mitandaoni

    • @ingabireflavia9329
      @ingabireflavia9329 Před 6 lety

      Tatu Omar hey I want to remind you that zari worked for that money en her late husband so it's Zari's money benafusi but jackline got married to a Man who's older than her and she found when the man is a billionaire so Mengi is her sponsor it's not her own money she worked for, cuz jackline got married to Mengi when she had nothing so stop comparing zari and jackline

    • @neemajosephatneemajosephat32
      @neemajosephatneemajosephat32 Před 5 lety

      @@doramsuya5135 Nimekwambia funga kuma yako

  • @wankyosogorya4728
    @wankyosogorya4728 Před 6 lety +2

    Kwa wanawake wote zari ndo mwenye hela tu jamani zari zari

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 Před 5 lety

    Safi sana.

  • @mtaanitv3991
    @mtaanitv3991 Před 6 lety +3

    Nampenda sana jack huna maringo

  • @kevinagration8292
    @kevinagration8292 Před 6 lety +3

    Safi sana Jack

  • @annamarunda6314
    @annamarunda6314 Před 6 lety +3

    Nice

  • @chiomanonso274
    @chiomanonso274 Před 5 lety +1

    Ana akili nyingi ndio maana akapenda kuolewa na baba Yake mume wa Mesy Anna Mengi hakutaka kuolewa na machalii kwani aliona hata utoaji wao wa pesa ni cheche

    • @sakeenanadaly559
      @sakeenanadaly559 Před 5 lety

      Kabisaaaaa na watakuwa walianza mda saana kuzini. Mimi na sikia uchungu Sana maisha ya presha aliyopitia yule mama kwa huyu bint

  • @wardasalmin4162
    @wardasalmin4162 Před 5 lety

    👍

  • @muawiyajamali2557
    @muawiyajamali2557 Před 5 lety

    Mbona hakumtafuta muuza mahindi akaaaanza nae maisha ya tabu ameenda moja kwa moja kwa tajiri

    • @frankathanas4425
      @frankathanas4425 Před 5 lety

      Kwa sababu huyu Dada kwao kuna miela na yeye pia ana miela

    • @agneskadzo6105
      @agneskadzo6105 Před 5 lety

      Mungu ndiye kampa Mume sawa na matendo yake...uzuri mahadui mko kidogo sana wengi ni wenye kumpenda Jack

  • @mossysaleh7239
    @mossysaleh7239 Před 6 lety +2

    😍👍👍

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 5 lety

    Mwanasesere maanake ni nini?

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 Před 6 lety

    Beautiful interview!

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427

    Nlikua nakupendaga sana but CTO choka kkupenda miss usie kua na ma skendo

    • @seraphianombo4181
      @seraphianombo4181 Před 6 lety

      Salmadashlaquimane Laquimane mtangazaji nimependa sauti yko

    • @seraphianombo4181
      @seraphianombo4181 Před 6 lety

      Nimependa bure sauti yako bure

    • @madamelucy8429
      @madamelucy8429 Před 6 lety

      Una maakili bint ndio maana Mengi kakuoa , aliona zina chaji sio mie mzigo !

  • @muawiyajamali2557
    @muawiyajamali2557 Před 5 lety

    Hivi swali langu jac na zar nani ana hela

  • @christinewomanoffaith5479

    Ila watu wanafki humu!
    Aiaee, halafu mbona mnaingiza majina ya watu wasiohusika na interview ?

  • @muawiyajamali2557
    @muawiyajamali2557 Před 5 lety

    Then jac hakuwa na hela kiivo hela ni za mama mecy yeye kakuta kila kitu aptudet na hana wazimu wa kumuacha kijana akampenda kizee amefata hela nasema

  • @latb2747
    @latb2747 Před 5 lety +1

    nakupenda bure mke,wa,watu uko vizur mtulize bwna anogew

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 Před 6 lety +2

    Mwamke adimu sana in Tz

  • @marymwacha995
    @marymwacha995 Před 5 lety

    🙏

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 Před 5 lety

    Nimekupenda sana jackline yaani umepoaa upo smart huna maringo pesa unayo umesaidia wengi mungu akutangulie namtamania wema akufate tabia zako atashinda walimwengu nakuwazima chuki zao

  • @doreenkissia6566
    @doreenkissia6566 Před 6 lety +1

    anaongea kama baba yetu mengi.nakupenda jack.kazuri

  • @teamchujio6590
    @teamchujio6590 Před 5 lety

    She is the best madam jack

  • @mwajumahamisi6738
    @mwajumahamisi6738 Před 6 lety +1

    Umeona eeeh! Sure anakuza her company ktk namna yake kabisaa

  • @gggjjahhhh9419
    @gggjjahhhh9419 Před 6 lety +2

    Nimependa cheko lako jaman

  • @safiasaleh813
    @safiasaleh813 Před 5 lety

    Nimejifunza kitu

  • @edwardmchacha1286
    @edwardmchacha1286 Před 4 lety

    Mambo

  • @maggie658
    @maggie658 Před 6 lety +2

    Huyo pia hana tofautu na baba yako mzazi

  • @rosemaryjohn1920
    @rosemaryjohn1920 Před 6 lety +2

    umenifundisha kitu kwenye ndoto tangu

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 Před 5 lety

    Nakupenda sana ww dada

  • @agnesshaule5471
    @agnesshaule5471 Před 5 lety

    kuanzia Leo vibabu vitakavyoniita mchumba ntavitukana

  • @rostamkamazima1012
    @rostamkamazima1012 Před 6 lety +6

    Unampenda mmeo au unapenda pesa zake?

    • @victoriachesco35
      @victoriachesco35 Před 5 lety

      😂😂😁😁asante kwa kulitambua hilo alaf c mume wake hy dada kwa mengi ni hawara cz kanisa halimtambui

    • @user-bu7fy6ew5w
      @user-bu7fy6ew5w Před 5 lety +1

      Chezea babu wee

    • @nemaodhiambo7274
      @nemaodhiambo7274 Před 5 lety

      Ukitaka kumjua mkeo yukoje filisika....hapendwi mtu hapo mfuko tu kwasababu unatema madini

  • @shabanjuma6730
    @shabanjuma6730 Před 6 lety +2

    Kuna boy apo anasimamia show yule mzee kachoka wanawake wana siri xna kibabu kile na mtot mbich kma uyu c kimoko tyu chali

  • @christinewomanoffaith5479

    Mmh,mume wa mtu huyo sio wako!
    Biblia iko wazi!

    • @happylyimo6035
      @happylyimo6035 Před 6 lety +4

      Wivu ni ugonjwa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 6 lety +1

      Happy Lyimo
      Nitakua mjinga wa mwisho kuona wivu kwa vitu vya kijinga!
      Kuna vitu vya kuona wivu ww,hujaona?
      Narudia tena,biblia ipo wazi! Full stop!

    • @mwajumahamisi6738
      @mwajumahamisi6738 Před 6 lety +1

      Wivu tu.... Tuonyeshe mkewe

    • @happylyimo6035
      @happylyimo6035 Před 6 lety +5

      Kwa hiyo ww unafanya kila ambacho biblia inasema? Na unajua kilichomtenga Mengi na mkewe?

    • @auspyhilz
      @auspyhilz Před 6 lety +1

      christine Ibrahim wako yuko wapi? alichoongea hujasikio umekuja na lako