MAHAKAMA KUU yaukataa WOSIA uliodaiwa kuandikwa na MENGI, FAMILIA yashinda KESI ya mirathi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2021
  • Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeukataa wosia uliokuwa ukidaiwa kuandikwa na aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu Reginald Mengi pamoja na mambo mengine ikieleza kuwa haukidhi matakwa ya kisheria ili kuwa wosia halali

Komentáře • 238

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 Před 3 lety +25

    Uyu Dada simuamini iviiiiiii😥.. Anajua kilichomuua Baba Etu😭😭😭

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 3 lety +3

    Nakupendaje Mahakama kwa kutenda haki? Jizi hilooo,eti mke, una gold ulizaa Yesu.Jiziiiiiii

  • @ndalusanzandizeye9079
    @ndalusanzandizeye9079 Před 3 lety +12

    Afadhari jamani yaan ilikua inanimuma utadhani mimi ndo mtoto wa mengi. Daah afadhari haki imetendeka

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem +1

    Safi sana uyo Dada ana tamaa, alichopewa aliona akimtoshi,

  • @maggynowak3555
    @maggynowak3555 Před 2 lety +4

    Slay queen ni biashara kweli. Hongera mahakama kwa kumtambua mke wakwanza na uzao wake.

  • @gladykidai5188
    @gladykidai5188 Před 2 lety +2

    Mahakama zetu zinafanya kazi kwa haki

  • @josej9888
    @josej9888 Před 3 lety +22

    Hatari! Mzee alizama kwenye penzi hadi akatekwa akili🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 3 lety +8

    Hongera mahakama..yule malaya anataka hela yetu.

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 Před 3 lety +7

    Watenda haki kabisa I love that and everyone is appreciating this., seriouse speaking jack hakupaswa kuchua vyote alitakiwa Kuwa mpole apewe kias weee .. hajui utajili ulikujaje anyway Mungu awaongozee watoto wa marehemu

    • @aoman5214
      @aoman5214 Před 3 lety +1

      Kweli kabisa huyo dada ni muuaji jaman hmmm hiv akisema Naombeni nyumba moja au mbili na kampuni yoyote Ile Mali zingin wachukue ndg atapangukiwa na nn tamaa inamsumbua Sana huyu mkigoma mwenzg khaaa

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 Před 2 lety

      MENGI KASOTA MWENYEWE BWANA NA NDO MAANA AKUGAWANA MALI NA MKEWE ILA ALIAMBIWA AMLIPE PESA KWA AJILI Y A WANAE MENGI KA STRAGO YEYE MWENYEWE HATA KTK KTABU CHAKE CJAONA AKIANDIKA ETI MKWE WA KWANZA WALI FANIKIWA WOTE

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před 3 lety +7

    Mmmh kwann asirizike na atakacho pewa sababu marehemu anawatt wengine wakubwa tu jamani

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 3 lety +23

    Hata kifo cha baba wa watu kilikua cha utata 😢uyu dada ajiangalie Sana!

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 Před 3 lety +5

      Yaan hapo ndio pakujifunza wanaume weng maana wakisha Pata Mali waona wake waliona wanawabana wanawataka watt, mwanamke kama jack hawez kuishi na yule babu mwenye Mapesa, yake kwa miugomvi sababu anajua anachokitaka

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 3 lety +4

      Wanaume hawajufunzi,wapo wanaendelea na hayohayo kwa tamaa za kupenda dogodogo
      Wazee wenzangu ingieni CZcams msikilize wimbo wa Tuncut almas " mapenzi ya sasa"

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 3 lety +1

      Tuncut almas enzi hizo waliimba " mapenzi ya sasa"

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 Před 3 lety +1

      Don't interfere

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 Před 3 lety +3

      @@mamachris6811 kabisaaa huwa, awajifunzi kabisaa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 3 lety +4

    Mahakama imetenda haki hapo kwa kweli.

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 Před 3 lety +6

    Mmh acha niendelea kunywA michemsho yangu na matembele haya ndio majaliwa yangu kwa allah

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 Před 3 lety +12

    Duh 😥 urithi ni balaaaa

  • @muddymkamba352
    @muddymkamba352 Před 3 lety +1

    Good,huwezi taka Mali za watu hujui watu wame husstle kufika hapo,angetulua zake angetunzwa na familia wala asingekutana na yote ...Tamaa ni mbaya

  • @uwezowamunguutendaokazi3043

    MUNGU MKUU aturehemu sote. AMEN.

  • @adredandorero2911
    @adredandorero2911 Před 3 lety +2

    Eh Mungu, tukumbushe kuwa mwisho wa ubaya ni aibu. Sitaki fedheha hii inikute

  • @glorykibona3761
    @glorykibona3761 Před 3 lety

    Whawhooo very god

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile9606 Před 3 lety +2

    Aisee! Mbutah Nangah

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Před 3 lety

    Pole sana Jacky

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 Před 3 lety

      Kwa kweli pole kubwa maana mh alitaka kucheza na mali ya watu bila kufikiri

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 Před 3 lety +4

    Mmmh 🤔Mtihani kwa kweli

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před 3 lety +6

    Ila jmn Mungu wetu yupo hapa Dunia tunapita tu laiti watu Tungefunguliwa MACHO HAYA NA KUJUA KWAMBA HAKUNA KITU KIBAYA KAMA DHULUMA,hakuna atakayeishi milele na Dhuluma haijamuacha MTU SALAMA NA MUNGU YUPO,JASHO LA MTU HALILIWI BURE

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 Před 3 lety

      Tama sio nzur watu watafute rizki zao sio kutafuta mirathi zawatu haki ya mwenye kuitafuta haipotei ,

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 Před 3 lety +24

    Muha amuibie mchaga pesa never😀😀😀

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 Před 3 lety +4

      Alijua anacheza na waha wenzie mama hao ni wachaga eeee

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před 3 lety +1

      Hahahahahah

    • @hadijasaidi7709
      @hadijasaidi7709 Před 3 lety +1

      @@tumainsawe6960 Kwani ni.muha huyu mdada .?

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 Před 3 lety

      @@hadijasaidi7709 kumbe, muha ndio

    • @hadijasaidi7709
      @hadijasaidi7709 Před 3 lety +1

      @@tumainsawe6960 katuangusha waha kugombea mali waha hua hatuna hizo huyo mdada du

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti3657 Před 3 lety +11

    Ila jack nae alitia fora eti atakaepingq wosia huo apewe buku kweli dada ukasahau kama watoto wakubwa wapo ukawanyima mpaka nguo za baba yao

  • @gmosha1
    @gmosha1 Před 3 lety +18

    Unacheza na wachagga wewe mbele ya pesa..😂 huyo Jacqueline alifikiri atachukua pesa hivi hivi🤣🤣

  • @hearlychunga545
    @hearlychunga545 Před 3 lety +20

    😁😁😁😁 jack imekula kwake na umalaya wake

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 Před 3 lety +13

    Mmm mimi sisemi kama alovitafuta kaondoka na sanda tu yadunia yahachieni dunia

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Před 3 lety

      Sijakuelewa ulivosema "yahachieni"
      Umemaanisha nini?

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Před 3 lety

      Na jeneza bana na kaburi la kifahari

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před 3 lety

      @@gosbertmuta5421, hata angeondoka na gari au jumba la kifakhari havitomsaidia kitu.

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy Před 3 lety +3

    Hopefully tutaanza kuona single na EPs za dada yetu. Ni muda toka ametoa single.

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem

    Mmmh jmn hiyo vit ingene

  • @tumainsawe6960
    @tumainsawe6960 Před 3 lety +6

    Hivi nauliza mmesahau kulikua na mama mengi unajua nimagumu mangapi alipitia?safi sanaaaa

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před 3 lety

      Alisha chukua za kwake kabla mpm na wanamiliki wtt wk.

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu Před 3 lety +3

    This is big trouble now for jack and kids ...

  • @khadijaamiri6629
    @khadijaamiri6629 Před rokem

    Arusha sio pa kuchezea andaaa sandaaa mapema

  • @ericron6115
    @ericron6115 Před 3 lety +1

    Hawa mahakimu walioamua hivi mama wape vitengo Tafadhali, kuanzia sasa sitalalamikii tena mahakama za TAnzania, na nchi jirani zije kujifunza haki.

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Před 3 lety +2

    Duuu....Hii mambo hii

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Před 3 lety +12

    Kufa tugombanie Mali.......Kama zetu vike.😭😭😭😭

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 Před 3 lety +9

    Wasichana muolewe na mwanaume ambaye hana mali muanze wote kutafuta na kujenga maisha yenu .Kuolewa na mwanaume mwenye mali na amekuzidi umri haitakusaidia lolote utanyanyaswa na watoto wake na ndugu utaisha maisha ya siyo na amani .Maana hizo mali wapo walikuwa mbele yako.Halafu yakukute afariki utanyanyaswa sana.Wanawake jifunzeni kutafuta mali zenu .

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 Před 8 měsíci

      Ata kuoa ni kujitakia shida ya milele kwa maana sikuiz hakuna wanawake japo sio wote

  • @carolinamuchi5980
    @carolinamuchi5980 Před 3 lety +12

    Yaani Huyo Jacqueline ameingilia ndoa amedumu miaka minne tu na Mengi anadai urith sio haki apewe, mke wandoa ameanza maisha na Mengi tangu ujanani ndio anastahili, jaqui apewe tu banda alelee watoto basi

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 Před 3 lety +10

    Wadada tujitume.. Pambana fanya kazi na mikono yako utaweza tu

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 3 lety

      Wezi Sana kirahisi TU ule maisha huko jioni UNAKUJA na kujifanya mrithi pumbavu

    • @dinahnyagosaima1259
      @dinahnyagosaima1259 Před 3 lety

      Mtegemea cha ndugu hufa maskini

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 Před 3 lety

      Wasichana wapenda mteremko ndo somo kwenu chumeni mapema kabla ili muwe mmeachiwa vyenu

  • @isamony58
    @isamony58 Před 3 lety +14

    safi sana mali wazitafute bb ao na mm ao waje wazisi watt wamke mdogo inahuuuuuuuuuu😏😏😏😏😏😏😏😏😏

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Před 3 lety

      We nae duh hufanan

    • @hadijajumanne5493
      @hadijajumanne5493 Před 3 lety

      Na jack alifata pesa tyu pale mtu tayari alikuwa mgonjwa akajifanya anampenda sana yani wanawake sisi mungu anatuona

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 Před 3 lety +11

    Atafute pesa zake aache ujinga

  • @tgeofrey
    @tgeofrey Před 3 lety +4

    Matajiri ndio Masikini wakubwa

  • @benadethafrancis5223
    @benadethafrancis5223 Před 3 lety +1

    Wewe Jack acha tamaa, umeacha vijana wa kuanza nao maisha imemfata mzee Mengi kwa ajili ya Mali. Utakufa kwa tamaa.

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Před 3 lety +3

    Wanawake cc ni madelila alimbeleza akamshika shika baba wa watu akamwimbia nyimbo tamu mpaka mzee katiririka wosia wa ajabu huku akibembelezwa kama samsoni duh madelila tunaishi nayo humu

  • @OmarMohamed-bp9ix
    @OmarMohamed-bp9ix Před 3 lety +2

    Uyo dada hana akili hajui kula na kipofu,,Yeye kakuta mali anataka achukue yeye zote,,iyo haiwezekani

    • @marianachristophory4916
      @marianachristophory4916 Před 3 lety

      On point, c angejifanya kahaba halafu Ucku naondoka na chake, Sasa yeye kajimilikisha kabisa Sasa ona yaliyomtokea, ila bado mdogo na mrembo akitaka anaolewa tena, Ila angefuta hilo jina lapili maana c stshili yake tena.. Ila pole jack

  • @sophiahezron3797
    @sophiahezron3797 Před 3 lety +2

    Lkn Jack ulifanya uzembe sana ungeng'ang'ania Mali ambazo mmetafuta wote sio za mke mkubwa

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 3 lety +14

    Madem Acheni Kudanga na wazee mkitegemea Hawana miaka mingi duniani😂😂😂Angalia sasa ,,,,,

  • @ndalusanzandizeye9079
    @ndalusanzandizeye9079 Před 3 lety +8

    Ila Jack jamani iv hata hakuona aibu jamani😢😢😢😢😢

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před 3 lety

      Acha tu

    • @ipajam9
      @ipajam9 Před 3 lety +1

      Mwizi ana aibu?

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 Před 3 lety

      Huyo ni shetani akizidi anataka kukudhalilisha ndicho kilichomkuta, mwisho wa ubaya aibu, anataka kufanya hata watoto wake wakose haki zao kwa upuuzi wake

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před 11 měsíci

      Malaya hanaga aibu wala utu...hata familia yao iko hivo ni hela mbele

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 3 lety +8

    Hata Jacki Angeshinda ,,,Mchaga Hakuachii Mali Kingese Ngese ,,,,,wangempeleka Kaburini miss wetu..

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 Před 9 dny

    Eti anajua kilicho muuwa yani watu wengine wapuzi kweli ,,watu wanapenda mali za watu sn wapunzi kabisa ,,kipindi yupo haii akuna mtuyoyote anasogelea,,

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP Před 3 lety +4

    Pumbavu mwizi uyo mwanamke

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 Před 3 lety

    Duh

  • @mariajerome726
    @mariajerome726 Před rokem

    Jackline 1000 kweli 😅😅😅😅😄😄😄😎🫵🏼🏃‍♀️🏃🏿🏃🏿🏃🏿🐎 mmmmmhh!

  • @PanduAli
    @PanduAli Před 9 měsíci

    Sawa

  • @mtumishi6175
    @mtumishi6175 Před 3 lety +5

    So happy about this

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Před 3 lety +1

      Mi nlijua utamtetea mwanamke mwenzio. 😯

    • @mtumishi6175
      @mtumishi6175 Před 3 lety +1

      @@RuzoOwzy mimi ni mke mkubwa Hawa wanaokuja kukuta ndoa zetu zimeimarika halafu mfano Mme wangu afe wanangu wakose urithi wa baba yao uchukuliwe na mke wa Pili na wanae unajua bibilia haitambui mitala inaita wanawake Hawa wageni yeye akubali na watoto wa mke mkubwa wapate haki ya baba yao after all Wakati anaolewa kaukuta utajiri huu means mke mkubwa na wanae wana haki zaidi mimi nasimama upande wa wAke wakubwa si vinginevyo najua maumivu ya Hawa wanawake wanaokuta ndoa then wanataka kuolewa

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Před 3 lety

      @@mtumishi6175 Nmekupata. Lakini ana haki fulani ye na watoto wake wawili? Au hana haki ya mali hata kidogo?

  • @happymsaki9162
    @happymsaki9162 Před 3 lety +6

    Jacqueline pambana na hali yako ulishakula bata la kutosha ulitakiwa umwombe Mungu Mengi aendelee kuwa hai ili uejoy mshahara wa dhambi ni mauti. Wachagga sio wa kuchezeachezea. Rithi hao watoto wako.

  • @mtumishi6175
    @mtumishi6175 Před 3 lety

    Mahakama imetenda haki after all watoto wa mke mkubwa ndiyo wanastahili zaidi Jaq kakuta utajiri wote

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa1935 Před 3 lety

    Duuu hataree sana hahaha

  • @winnieedson6937
    @winnieedson6937 Před 3 lety +3

    Tafta mali zako za halali mali za urithi zinaua jamni mm sitaki mambo ya kitu inaitwa urithi ukitegemea san urithi basi jua kifo kipo mbele yako

  • @janethndial5759
    @janethndial5759 Před 3 lety +4

    Safiiii sana dada mjinga Sana huyo ashukuru hawaja mtoa roho

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Před 3 lety

      Ukijiangalia kwenye kioo utaona kabisa sura yako haifanani na jinsi ulivyo!! Watch out usihukumu usichokijua.

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 Před 3 lety +1

      @@mtzhalisi2232 kajambe mbele huko kwan sura Yangu unaijua mjinga nini

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 Před 3 lety

      @@mtzhalisi2232 kwa hiyo ulitaka nilie Lofa wee umeona vyema alivyo fanya huyo dada yako wa kumdandia akusanye Mali zote awe nazo yeye, 😏😏😏nyie ndio wanaume wa pumbavu nyie mnatafuta Mali kwa ajili ya wanawake na sio familia zenu au watt wenu, mnakufa hamna mnachowaachia watt wenu kisa tamaa

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 Před 3 lety

      @@mtzhalisi2232 Lofa kweli we Ata masikin Ana mgawaia mtt wake milas je kwa huyo bilionea kwa nini watt wake wasipate peleka ujinga wako mbele huko😏😏😏😏😏👌

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Před 3 lety

      Acha uchawi wewe..Utajikuta unazaa na mikule wewe.Watch out.Basi poa siku njema

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 Před 3 lety +13

    Hajui kula na vipofu 😃😃
    Ungewaacha watoto wakubwa hata kwa asilimia 30% tungejua labda kuna kaukweli kidogo. Ila 0% maamae uongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @goncerhaule1874
    @goncerhaule1874 Před 3 lety +1

    Pole da jack aliyetafuta kaondoka hamjui yupo wapi jitahidi kuomba sana utakufa uache watoto wadogo

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 Před 3 lety

      Umesahau mke wake alikufa we vipi bwa piteni hivi alaaaaa

  • @africa7479
    @africa7479 Před 3 lety +1

    Sijaelewa yan watot warithi nguo mpka wakue ni leo ??????

  • @omarkasim1745
    @omarkasim1745 Před 3 lety

    Mmm

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 lety +4

    Uliona wapi mchaga anaibiwa pesa kizembe hivyo.Yaani Muha ampige mchaga nani kasema.

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 3 lety

    🚶🚶🚶🚶

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před 3 lety

    Sagi sana jackly wacha tamaa dunia ni mapito

  • @nasrafadhili8941
    @nasrafadhili8941 Před 3 lety +3

    Wanawake wenye tamaa jmn tujifunze kitu HP uwezi ukakuta vitu vipo tyr ukajiingiza ukajuwa unachako HP usahau nausipoteze mda wako tafuta chako

  • @ceejones428
    @ceejones428 Před 3 lety +2

    Its never well with a second wife once the husband is gone

  • @aishamtela9674
    @aishamtela9674 Před 3 lety

    Nyie ambao Mungu kawajalia Mali Na mkapewa nafasi ya kuonja uzee Bora gaweni urithi Kwa Kila umtakae kabisa msiache Vita Mali zetu zikawaadhibu mbele ya Mola wenu

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 Před 3 lety

    Fedha fedheha
    Unadhalilika Sasa
    Ulijitia kumpenda Babu ili upate mali. Acha tamaa Mali za watu unataka watoto wako wapate ikiwa mwanamke mwenzio aliteseka kuzichima
    Looh Mungu wasaidie watoto wakubwa was Mengi

  • @mathewdyzymaleyafrica9128

    MIMI NASHANGA WACHAGA KUMSEMA JACKLINE WAKATI HISA KAPEWA NYUMBA KAPEWA NA AS LONG MAKAMPUNI YAENDELEA AKIWA NA AKILI BASI MAISHA YANAENDA WEWE JE WAMFIKIA MBAAVUU

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 Před 3 lety +1

    Yani jaki alikosa hata hayakabisa kweli ularidhi mali zote labda ingekuwa kabila lingine siyo wachaga haya sasa umeumbuka sasa na utanyooka tu subiri dawa iko jikoni inachemka ikipowa itainywa

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 Před 3 lety +1

    KUZAA NA MZEE
    KUWATESA WATOTO WADOGO.
    TAMAA YA PESA LOOH

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 Před 3 lety +10

    Kamuuwa ili apate mali🤣

  • @janeangoche4464
    @janeangoche4464 Před 3 lety +3

    This is really wonderful news.

  • @sshaby52
    @sshaby52 Před 3 lety +1

    Iyo nilazima ingetokeya maana shuja wawa nyonge Dr. John Pombe Magufuli tayari kashatanguliya bitu bingi bitavurugika ivi mara tatizo la umeme mara tatizo ya vocha MB mara nini bitu bingi bya zulma bya zama izo kurudiya tena akuna budi tuta mkumbuka maana inchi ilikuwa kwenye adabu na kwenye mstari kabsa na kila mtu kufaidika hasa hasa wa hali za nchi pole Dada Jackline

  • @petywoiso8909
    @petywoiso8909 Před 3 lety

    Hivi huyu mwanamke hajitambui coz Mali hujui zilikotokea from no we're eti nimeandikiwa mimi. Wew Jacklin tunakujua wew ni danga kaendelee kudanga.Halafu hakuna mchaga mjinga aachie Mali zake kirahisi hapa umechemka

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @ajikanyenje1017
    @ajikanyenje1017 Před 3 lety +1

    Jaki aache tamaa yeye kaja juzi mengi alishakua tajili na mwanzo alikua na mke na watoto inakuaje alithi yeye kila kitu. Iyo ni tamaa apo awetu mpole apewechake asepe. Asitake mkubwa Nani mpumbavu akakubali kwamba mke wa pili alithi malizote wakati vitu vyote kavikuta na kulikua na mke na watoto kabla yake.

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Před 3 lety

    Dada Jack,umechekemka.kwanza ulitakiwa uwaheshimu saana watoto wa Mumeo,kwa sababu ni wakubwa.hao hao ndo watalea watoto wako,pia wangekupenda saana.lakini wewe umeenda kwenye familia tayar yenye uwezo,ukaleta ubaguzi.kuna leo na kesho watoto wako watalelewa nanani?KAWAOMBE SAMAHANI.

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 Před 3 lety +3

    Aache Tama wagawe urisi kama inavyo stahili

  • @florameza9529
    @florameza9529 Před 3 lety +3

    Ila jack Mungu anakuona eti mtu asiguse mali yoyote shame on you umeaibika vibaya

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Před 3 lety +1

    Aaaaaaahhahahahaha

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 Před 3 lety +1

    Tamaa za jamaa zake Marehemu MENGI, NA UAMUZI

    • @harounbuzohera4797
      @harounbuzohera4797 Před 3 lety

      Uamuzi huo kwa kweli hawahusiki ndugu, na wosia huo wake. Marehemu MENGI. Watoto na mjane wapewe haki. Hii yote inafanyika kwa sababu za kimakini na hila mbaya sana na mbovu lakini Mwenyezi Mungu yupo nao mjane na wanae wapewe haki. MAHAKAMA kweli imeonyesha udhaifu. Hii yote labda kuna RUSHWA NDANI YAKE. HAKI ITENDEKE .

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před 3 lety

      @@harounbuzohera4797 Hujaelewa uamzi wa Mahakama ndio maana comment yako haiendani na kilichosemwa kwenye video

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 3 lety +7

    🤣🤣atafute zake sasa

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před 3 lety

      Kama anaona pesa kuitafuta ni rahisi atafute zake si anasema alikuwa mentor wake aanze kutafuta sasa

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před 3 lety

      @@sarahgaula2220 🤣🤣👌 km atafika alipo fika mwezake

  • @dshazarajabu9950
    @dshazarajabu9950 Před 3 lety +1

    Anataka mali alitafuta naye changu mkuu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 3 lety

    Kwa kweli hiyo ni roho ya ukatili roho mbaya kabisa kila kitu urithi wewe! Wewe ulimuona huyo Mzee ana kila kitu amechuma na mke mkubwa yaani wewe uchukue tu!

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga5033 Před 3 lety

    Whn someone is alive watu hawapigani akifa kelele tu ths bad aki

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Před 3 lety +2

    Shida kweli inamaan uyo mke mdogo akitaka watoto wa marehem wakubwa wakose urithi?

    • @michdevis
      @michdevis Před 3 lety

      Hapo ss yaan yy na watoto wake ndo wachukue hisa zote za mengi

  • @agathaaroni7783
    @agathaaroni7783 Před 3 lety

    Hiki ndo kitatokea kwenye familia yet mana yule mwanamke simuelew kabisa

  • @zalkiabendera7238
    @zalkiabendera7238 Před 3 lety

    Alkuwa anamuga zari jmn uwii

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před 3 lety

    Yeye akubaliane na mgao tu,kwani visivyo haki haviliki

  • @agnestemba8079
    @agnestemba8079 Před 3 lety

    Mpaka umuibie mchaga ujipange maana sisi ndo wezi wenyewe🙄sasa kama unaweza kumuibia mwizi basi utatuibia 😅😅pole dada kusugua kote gaga kule na hujaambulia kitu😂😂😂😂 inatia huruma jomonii😂😂😂😂

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 3 lety

    Yapo majizi mengi sn kama lijack,mwishowe aibu.

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 Před 3 lety

    MUNGU anatenda haki

  • @kisalaTV
    @kisalaTV Před 3 lety

    Mwenye mali zake kalala wario baki wanafarakana.

  • @TheJacob2030
    @TheJacob2030 Před 3 lety

    Arudi kuimba

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 lety

    Huyo jambazi haoini aibu kuzulumu mali asizochuma

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 3 lety +5

    Kaka yangu ( miaka 65) kafiwa na mkewe
    Kaoa binti miaka 32
    Familia nzima tunajua binti kafuata mali 😞
    Sasa huyu anafikiri ndugu hawakujua hili ?????

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Před 3 lety +5

      Samahani kidogo;
      Kwa hiyo nyie mlitakaje sasa?
      (1) je, mlitaka baada ya kufiwa na mkewe asioe mke mwingine..?
      (2) je, mlitaka aoe mama wa miaka 55 ili mseme tena "Huyu Bibi kaja ili apate mali za kutunzia wanae, maana hana uwezo wa kuzaa na kaka yetu ama.....!?"
      (4) je, mlitaka awe anachukua "majimama" anakaa nayo baada ya mwezi anachukua mwingine..?
      (4) Au je, mlikuwa mmeshamuandalia mke mwingine ambaye atakuwa hajafuata MALI..?
      Ama ninyi mlitakaje kwa mfano..?

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 Před 3 lety +3

      @@chiefmahucha6847 hili swali limekaa vema sana

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 3 lety +2

      @@chiefmahucha6847 jiulize,umewahi kuona binti wa hivyo ameolewa na Mzee kapuku 😄

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Před 3 lety +1

      @@mamachris6811 tusidanganyane ndugu yangu, hakuna apendae maisha DUNI hapa Duniani, awe maisha Duni ili amfurahishe nani..?
      (1) Kwa nini aolewe na kapuku wakati yupo mtu mwenye Hadhi amempenda..?
      (2) je, wew Mama Chris, ungekuwa tayari kuolewa na "kapuku" na kumkutaa mwenye Mali eti tu kwa kuogopa macho ya watu, kuwa watasema ulifuata MALI wakti kakupenda...!?
      (3) Na vipi kama nduguyo ndo alimshawishi sana..?
      (4), ulitaka huyo Dada (30+ years) apoteze bahati yake ya kuolewa abaki single na kuzaa na mwanaume, hasa ukizingatia Umri wa kuolewa ulikuwa unamkimbia..? Au umejisahaulisha kuwa Mwanamke akifikisha 30yrs NURU inaanza kupotea..? Huwezi jua huyo Dada hadi anafikia hapo kashaumizwa mara ngapi..? Na hivo kujiwekea Nadhiri kuwa "Yeyote atakaetokea mbele yake atamkubalia, mara paap..katokea Kaka yako....je akatae ili azeekee nyumbani, maana vijana wa siku hizi hatueleweki tunataka nini eti..."
      (5) Na je, vipi iwapo kaka yako asingekuwa "well off" ndugu mngekuwa na yapi ya Kusema?
      Au ndo mgesema Kaolewa na kaka yenu ili atoe mkosi wa kutoolewa..? (maana pia nina hiyo mifano hai ya wadada kuolewa na wazee tena wengine sio kwa kufiwa na mkewe bali anaolewa mke wa pili au wa tatu.)
      Lakini hata hivo hujajibu Swali langu, badala yake umeniuliza Swali..narudia tena,
      "Ninyi wanandugu mlitakaje..?

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Před 3 lety

      @@seifjuma3471 sure mwanangu, Mama Chris atuelezee hapa Umma kuhusu matakwa yao juu ya Brother ake....asikae kumuhukumu yule wifi ake bure, huwenda hata alikataa ila Mzee kamshawishi sana

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před 3 lety +1

    Kwanini jamani wake kuolewa wa bwana zao wakifa mnakuwa mna wanyanyAsa?? Daaa pole sana kwa jaki

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 Před 3 lety +1

      Unasemaje wewe unachekasha sana

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel Před 3 lety

      @@tumainsawe6960 mmm sasa weye una jifanya kujuwa ina maaana Jaki hastahili kupewa chochote??? Na hayo yako sana kwenye family za ki Africa wanakupa samani wakati mme wako yupo akisha toweka ww hawuna samani tena

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před 3 lety

      @@RandB_Channel Ungeilewa hii video ungejua kuwa hawajakataa apewe. Tatzo yeye Jack anataka mali zote za marehemu apewe yeye pekee yake kwa mjibu wa huo wosia batili ambao mahakama imeukataa

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před 3 lety +1

      Hivi ingekuwa ni wewe kaolewa mwanamke wa pili na mumea halafu arithi ulivyotafuta ungekubali?

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 Před 3 lety +1

      @@RandB_Channel unasema najifanya kujua kwani wosia hujasikiliza anataka kila kitu best hao ni wachaga eee watu waliosoma kabla hata ya uhuru mtetee sana vua na nguo ukimtete halambi upooooo yani we ukute watu na maisha yao useme alikupa kila kitu ina naana hawa watoto wa mama mengi wamekufa wote au we vipi nishakuambia alambi tena ingekua mimi weeee angejua hajiju upooooo