JAIVAH amchana vibaya CHINO KIDD ‘Hana Shukrani, MARIOO ameumia mno, amejiondoa, amemuacha aendelee'
Vložit
- čas přidán 7. 02. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de... - Zábava
Bonge moja la interview jamaa yuko smart sana kwa kujieleza
Duh bonge moja la interview Verry smart jaiva kaongea point sizan kama Ni uongo au unafki kaingiza chino come back for big family mabrother
Kweli kabisa
Noma
Jaiva has a quality of being intelligent,i would call him a wise man.Sincerely speaking 😎
Mindgame hiii kaka
Ukisikiliza hii stori unajuwa kama anajiwekea ustarabu yeye ila ukweli utabaki kwachino😅
The dude is very intelligent, well speaking
mal wameondok mala kawaon ss km hawajaonan ile video walikuw na mond ilipatikan vp alaf yeye kawakut wat akajal kuingiakweny gal alitak afatwe~
U also mentally sick
Hapo kwenye performance right uko sawa mzee jaivah.....uneongea kwa busara sana sana mzee
This person is intelligent in speaking.i appreciate that
He sounds good but you can clearly feel the hate and lies towards Chino.
very intelligent, big up to Jaivah… nadhani Jaivah ana exposure ya kutosha ndo mana anaongea vitu vyenye maana
I have never came across a bongo flava artist who can articulate himself this well
Absolutely 👍🏾
He sounds very smart and humble atafika mbali sana 🙏
Sound mmbaaaaaya😂😂
Naongo hakooo
School is very Essential when it comes to Professionalism.
Speaking the truth .... JAIVAH unazunguka mbuyu kiukweli CHINO ndo amekosewa na hii imesukwa. I say the TRUTH alichoongea CHINO ni kweli
Daaaaa kweri ubinadamu nikaz lakini mbona fresh to tim baad bila chino mnaweza ma brothers pambaneni mungu yupo na nyinyi
Your interviews are very interesting and informative, however consider offering refreshments or water during interviews to keep interviewees comfortable and hydrated
Thank you!
Mm naona they are both right on their own side, kikubwa peaneni nafasi, let everyone win the bread n enjoy it….. jamani hamna mahusiano ya milele, chino, jaiva na Mario msiongeleane tena🙌🏻🙌🏻🙌🏻imetosha, fanyeni kazi y’all are doing great.
Fanya unqchofanya elimu ya msingi sana...he sounds smart kwasababu ni msomi CBE graduate huwezi mlinganisha hata na diamond japo ana hela na exposure...mtizame anavyojieleza utaona power ya education
UKWELI NA UONGO NI KAMA MAJI NA MAFUTA. HATA UCHANGANYE VIPI YAKITULIA YATAJIGAWA. CHINO ATAFIKA MBALI SANA. ❤
Kweli kabisa Hawa wanamuonea wivu dogo
Am supporting Chino forever ,chino we waache wanadamu ndivyo walivyo endelea kukazaa Mungu ndio mwenye kutoa RIZIKI
Jaivah vipi Sasa uambiwe Kuna show wakati jina la show ww mwenyewe ndo ulitafuta 🤔hapa Kuna something fishie
Nimuogo huyu jama
Exactly uyu hana lolote muongo tu
Wana Man katoa sio jina la shoo wakuu
Jaivah ur very wise,,,,,,,i love the interview
Nmeckiliza interview kwa makini !Tatzo Jaiva una amin ww utakuwa mkubwa kuliko chino au Chino ata feil which is not hakuna anayejua kesho.Unyonge haumpendezi mtu !
Mshamba uyu
Huyu anamtabilia chino yy nan? banah chino atasonga mbele Mungu yuko nae chino anaongea ukweli kutoka moyoni yy anaongea kwa kumbeba marioo
Brother Sky Hongera sana Kwa Good Interview, Lakini Ushaur wangu....Uwe una wawekea Hata Maji... or Something else... Kushushia Kooo...
hiyo kweli jitahidi bwana sky tena ongera kwakazi nzuri
nakama unahofia kuwa utaweza kutangaza hayo maji basi jitahidini muweke kwenye glas pleans
Sky una follow wengi
Basi omba maji ama maziwa ama mgahawa wowote wa chakula kama salama jabiri untangle watu wale na wanywe
Akili nyingi snaaa jaiva
Daaah hii interview imemuaribia sana jaiva na kashindw kumtetea mariooo
Facts
1 : kama ww ndo umetunga jina la show kwann umesem ulikua hujui kuhusu show ulitaka mkataba au
Nikweli awa wanaonekana wana chuki na chino
Show alikua anaijua ila hakuambiwa na Chino mwenyewe
@@d_humble2455 na kwa nn alitoa jina wakati hakuambiwa na chino mwenyewe
@@sefoo8084 aliambiwa na marioo kwamb madogo Wana show watafute jina but kwa heshima yeye Chino ilitakiwa amtaarifu yeye Kama kaka ake
Hauelewi mpumbavu ww ......jaiva hakua na taarifa ya show hadi alivokuja kuambiw na marioo km madogo wana show ndipo marioo akamuomba jaiva atoe jina....
But chino hakuwah kumpa taarifa jaiva.....MBWA WW
Jaivah anaongea ukweli mbona mwaongea vibaya? Si chino alijieleza mkaskiza pia Jaivah mskizeni ile tujuwe ukweli..
kabisa kabisa, Jaivah anatakiwa asikilizwe ana kitu huyu, ukitaka kujua kuwa Jaivah ni smart upstairs rudi nyuma uangalie ile interview ya Chidi na alichokuja kujibu Jaivah
Huyu matako msingi wa maneno yake ya mwanzo MARA SHOW SIIJUI MARA MIMI NDO NILITOA JINA LA SHOW LENGO KUUA MAPIANO YA DG ACHUKUE YEYE
@@youngtone4333show anaijua ila hakupewa ripot kuhus kuperform na kumbuka kila mtu nibiashara ya watu wana menejment hawez kufanya kitu bila kukaa mezan
Kama hamtofata njia anazopita Diamond platnium, mtapata shida sana, haiwezekani mfanye kazi bila mkataba, hakuna neno familly mbele ya pesa....
Kijana chino alishajuwa pena ni nini lazma azisake, wekini mipaka ya kimkataba fujo zote hizo hazitokuwepo....
Ndio maana king's music ukiondoka tunakudunga laana ukaimbe pambio uko😂
😂😂😂 it's so funny
Mnamchukia chino kwa sababu anafanikiwa na hatutakubali
Hutokubali wewe sio sisi
Wp ww
Chino piga kazi mzee baba
Ila usisahau kumuomba mungu kila siku, Na usikose kuwa naenda kuwaona wazee milimani ili wazidi kukusafishiya nyota yako, kwa sababu hawa ma jamaa inaonekana hawapendi kuona unavyoishi ghorofani 😂, ndivyo maisha yalivyo, watu wankupenda na watu wankukubali,
huyu jamaa muongo akuambiwa show lakini yeye alitoa jina la show
M nakukubalii sanah maneno ya busaraaa
Chuki rohoo mbayaa dogoo katoka sasa mabraza wamechikia chino piga kazi dogoo maisha ndivo yalivoo apo juu unapotaka kwenda nipazuri mnoo naukitaka kukaa unapigwaa vitaa mnooo
Minimeona ni wivuu tu inawauma chino kaanza kupenya
Jaivah Brot you're wise man 👨
Ustar ni mzg wa miba📌📌
Ukiubeba utaumia
Jaivah he’s speaking the better truth this man he’s so intelligent while talking on this interview bless you man👊🏿❤️
This guy must have gone through very good schools 👍
Ebu toka
Kama ni kweli kwanini mario alipo kuwa na kupa tarifa ujawa kumuita chino ww kama kaka kumushauria niyinyi ni wanafiki sanaa wa sani wa tanzania ukimsaidia mtu basi unataka abaki kuwa mtumwa wako nikitu ambacho nimekiona kwenu nyote
Kabisa
Babu ndo tabia za wasanii uwa wanaoneana wivu sana na isitoshe chino nae ameona ni mda sahihi kwake kua kivyake simple kikubwa wasigombane waachane gud tu
Sindiooo
Yaan kuanzia mwanzo mpaka mwisho Hamna alichoongea
We ni java na sio jaiva
Unaupumbavu tu
Minaona niwivuu tu yani ukimsaidia mtu unataka anze kukuabudi wameona chino kasogea inawauma
Hakuna binadamu ayependa kuona mtu akifanikiwa tena kumzidi mafanikio mwenzake especially kwa walio tutangulia kimafanikio. Ipo hivi boss wako akikuona leo hii unaanza kuanzisha biashara nyingine kwa mshahara alokua anakulipa wengi wao awezi kufurahi atakuwekea sigisu tyu ili uludi kwake kumsujudia na kuendelea kufanya kazi pamoja na yeye. Tena ogopa sana akipata mtu akimshika sikio.marioo + CHINO + JAIVA.Ni familia yangu ki mziki lakin nimeskia na kuona interview ya Chino na Jaiva naona kuna tatizo ambalo linafichwa upande wa mariooo in short. Kuna kibaraka apa kati anatengeneza kitu ili marioo na chino wawe mbali. Marioo sleep and think twice.kuwa makini sana na anaye jiweka karibu kwenye hili tatizo kwa sasa. Mlimalize crue liludi kama awali marioo na chino ndo wakumaliza bila kushawishiwa na mtu { ila uyu jaiva uyu nawasi wasi nae }
Tatzo kubwa hapo ni wivu tu wamaendeleo anayoanza kupata chino kwahyo lazma karoho kaume kimtindo
Swadakta
This guy is smart enough 🎉
EXACTLY!!!!💯
Sasa wanafunguka wenyewe! Big up Chino
Umeona eeeh Yani jaiva angekuwa smart asingeleta mambo mengi kwenye maneno yake jamejaa wivu wa wazi wazi
Huyu jamaa nimemuelewa yani hata kama wamemsaidia chino wa nataka awe chini Yao jamaa ni negativity huyu ndio mchonganishi hawezi tuu kua na story zote it’s bull sheet kama umemsaidiaa mtu mlisaidiaa tuuu roho mbaya kwendaa
Dogo kastuka
Mmbea huyu jaiva
Uyu jamaa ni muogo sana haukukuwa najuwa show kama iko sasa ulitosha jina na haujuwe kama show iko ?
Jaivah acha uongo bhana for the case ov dancers chinno kaspecify ambapo shows zikigongana dancers wakubwa huwa wanabaki na mario na chino huwa anaenda na young dancers akina dogo noma ,jvirgo,na hao waliopata ajarii
Kwanini kila kitu lazima useme wewe na marioo jitaje peke yako bro
Point mzee 🙌🙌
Jaivah acha uswahili kwan chino kasema haoni umuhimu wa Marioo? Acha kuzidi kumchonganisha
Superb sana Jaivah❤❤❤❤
Hii tabia ya kua mtu ameanza kua vzur kimaisha...watu kumsimanga waafrica tuache uchawi na ROOOH mbya.
Kajala alienda kwa harmonize konde gang likasambaratika leo mtoto wake kaenda kwa mrioo kundi limesambaratika🤣🤣
Yani kwl kabisa mtu na mama ake so watu wazurui
We jamaa 😂😂💔
Uko kweli akili yangu 😂😂
😂😂
Mtt nuksi kwel,point umeona mbali bn
Jaivah umesema ulikuwa na show sehemu.nyingine sasa ungeenda wapi. Haikai akilini bango la picha yako iwe kidimbwi lakini unashow pahali pengine. Watu weusi wakipata hela hawawezi ishi kwa kushirikiana. Jifunzeni kwa wahindi
God is with you chinoooo
Hivi mkiongea rugha moja Kuna tatz gani wa Tanzania wenzangu hp😊
Hakuna tatizo as long as you speak proper English. Jaivah speaks very good English, he spells very well and he knows how to use English grammar. He is good labda tatizo ni wewe hakipandi lol
Umetumwaaaa weww.... ufafanue..
Hata mimi nimeona hivyo hivyo katumwa na Marioo asafishe hali ya hewa
Kama umeona vidole vya jaivah kama mimi gonga like
Anajichubua 🤣
Kumbe mnapenda kunyenyekewa et awakuja kwa garii
Walitaka waendelee kumfyonza
To me I think dogo aachwe aendelee na maisha yake kama alivyotaka cause ameshahis anajiweza kwa Kila kitu bt the bad thing it's chino kueneza ubaya kuhusu Jaivah and Marioo it's really bad to him,,,Mimi namshaur afocus kwenye music wake aache huo ushamba anaouongea kwenye media bhasi.. sema Jaivaaah Bonge la Moja la interview aisee Yuko really kinoma much respect to Jaivaaah🔥
Mambo ni mengi sanaa kwenye magroup
😢😢😢 mimi ndio mana umaharufu siutaki mana una mambo mengi,tumsubiri na Omari aongee tujue sasa wapi tuliteleza,mana we are team ❤tuweke sawa haya mambo tupige kazi wote.
Ss umaarufu upate wap na ww😅😅😂😂😂
😂😂anadhani ni rahisi
Vua nguo mchana kkoo uonee kama hujawa maarufu 🤣🤣🤣 au nenda kituo cha police msimbazi kajisaidie pale njee wee kata gogo tu uone kama hujawa super star.
He's An Artist A face of or an example of them who called Artists #Jaiva
HONGERA SANA JAIVA UNA KHEKIMA SANA BRO ❤❤❤❤
Jaivah!!!!! hes my favourite upcoming. This guy will be biiig!!
🤢🤮
🔥🔥🔥Jaiva km jaiv una baya mkubwa mkubwa una busala san 💞
Show ulikua huijui ila jina la show umetoa ww😂😂
Huyu ni muongo
Basi inatosha sana kwa mtu Makini anaesikiliza hii dakika ya 1:11 tunaweza kuona anasema hajawai gombana na Chinno basi hawa ndo wanamchokoza chinno
Jeiva ndio mchonganishi roho mbaya mtu akipata riziki kidg binadamu mbamuwaza chino anaongea ukweli mnamkataa kama ulitoa jina la shoo inakuaje usiwe na taarifa
Sky bless brother
Jaivah! Kanena ...lakn the best way is to reconcile... and clear there diffences ...feuds na grief! sio poa sana ...as binadamu, as vijana watafutaji, as artist ambao mlikua closer ...yawekeni sawa muyamalize! ...kugombana kwetu ss binadamu ni kawaida sana ..kwaio tusiyashikilie sana haya mambo ....pia akina Chino waache mauswahili mentality cz bado wana
Dah yaan unacho ongea jaiva Ni cripti kbs juakal😂 bt ukwel tume ujua kptia uwongo wko
😀😂
WanAjitetea tu
We jaiva ngoma zako ngp unazo sema zaidi ya supu
Hana Ngoma yoyote zaid ya supu ya mbwa
Namshangaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Burudaaaa
😂😂😂😂😂
Kwann hamkugomban kipind bado hajawa maarufu hiyo roho mbya2 muachen dogo apige kazi
Kusaidiwa sio utumwa wala kufungwa minyorolo
Tutamsapoti chinno forevaaa😂❤
Walio wakataa huyu kisaut na mario gonga like apaa
Achino achinowanama namba1 kwenye AMAPIANO DANCE
IYO IKO WAZI
"Human being is egoistic in nature" Chino is outshining them😊
Chino is outshinning the masters
@@NgengeMkeni-uo5hq he is definitely threatening their position 🎯
Fact 😂😂😂😂
Mmmmm you must be a kid to say that
He'nvr outshine marioo. " Marioo kwa kutunga nyimbo is gifted, ndio maana hata hizo nyimbo za chino its marioo who composed them, , chino himself accepted it,
Muongo xna uyu jamaa yani kitu cha ukweli kuongea mpaka afikirie ivi muongo xna uyu😱😱😱
Huyu jamaa mzinguaji sana hapo hapo anasema hakupiga simu ili bango lishushwe alafu anasema alimuambia ashushe kwakuwa alikuwa na show hapohapo anasema hakuambiwa na chino kuhusu show mbona hueleweki
Halafu yeye ndiye alitafuta jina la Wanaman Experience 😂sass siakujuwa kuna show 😅mwongo mwongo
Huyu jamaa mwongo sanaa
Hamjaelewa nyie mbwa 😂.........jaiva hajapiga cm kwa chino .....ni maduka ndo alimuulza jaiva km atawahi au hatowah kwa show ya chino maan na yy alikua na show yake ck hyo hyo moja
Nimemsikiliza Jaivah vzr nafkr Chino kakengeuka ukosefu wa shule ndo tatizo aende aombe msamaha mambo yaishe aache ufala
Inasikitisha mtu kuwa na JIsauti zitooo halafu muongo muongo..
1.yaani ulikuwa hujui chino anashow japo ni wewe uliyetunga jina la show hiyo hiyo usiyoifahamu kama ipo.
2. Unadai Hamkumpigia simu chino ashushe picha lakini tena unasema mlimwambia ashushe kwasababu marioo alimwambia maduka kwamba hiyo tarehe atakuwa na kitu na wewe pia unashoo sehemu fulani. Sasa ulimwambia kwa njia za kipepo ama? Maana simu umesema hamkumpigia.
Hivi nyie wajomba mnatuona wabongo mazumbukuku nini? NJIA YA MUONGO NI FUPI kama yako blaza mwenye JISAUTI
Ety mazumbukuku😂😂😂😂
😂😂😂😂
Huyu mrongo😂
Embu sikiliza interview vzr kuku ww
Uwongooo...
Mkweli wewe inatosha
kwenye riziki bhana kunamengi
Penye riziki hapakosi fitina
Very wise guy🎉😊
😅😅😅😅😅 nyie wote hakuna ubinadamu acha kujitetea sio kizuli
This is smarter person but if this is real chino sit down and think twice
Maskini wivu ukishaingia kwenye nafsi inabidi uwemakini nausikilize nafsi yako kwakufahamu wivu unao hisi kwasababu ata ingekua mimi wivu lazma kuona namtengenez mtuu akawa mkubwa tukafany hit pamaoj ila anapata rizki kupitia hizo hizo nyimbo alafu akafanikiw
Tuzidi kumuomb mung yeye tu ndio anawez kulainish nafsi zetu kwa emotion zetu zote love,hate,jealous, fear, etc mana yote ni kawaida kuyahisi
Wow 💯
Kwani we jaiva unajiona ni msaniii auu boya flani tuuu unapiga kelele..ila bongo bhanaa
😂😂😂😂😂 bongo nyoso
Sindohapo sasa kwani jaiva nae msanii!????atulize makalio
Namuelewa Jaivah..
200% wise man
This man🎉
Ila jaiva utaumbuka vibaya eti hataki kwan we msemaj wake what if wakaludiana 😂😂
bro uyu atumjui tunamjuwa chinoo wana mann uyu ana vaibu atuache
Yani hukuwa na taalifa ya shoo ila ulitoa jina la shoo, na siku hiyo hiyo ulikuwa na shoo sehemu nyingine , , 😅😅😅siku ya shoo umetoa sababu tatu, , mbona kama umetupanga bwana j vaa
😂😂
Hakika amejiroga hpo
Rudia kusikiliza muelewe
Yani hukuwa na taalifa ya shoo ila ulitoa jina la shoo!!😅 na siku hiohio ulikuwa na show, sehem nyingine 😅😅😅 siku ya show umetoa sababu tatu umetupanga mzee wangu
Alichomaanisha chino akumwambia yeye aliambiwa na marioo
Marioo anaroho mbaya tena anapenda miyeyusho mpaka mbosso alishasema acheni kujaribu kujisafisha bro 😂😂😂😂
Jaivavah amebonga hapo sawa
Nimemskiliza uyu kaka nimemwelewa ila tumupe mda tu kunasiku na yy atakuja kuongeya yake ila nivizuri anavyotowa yak ya moyoni
Outshining someone is not a problem but disrespect 😤 🤧 ni ushamba besides usinye unapo lala.
The guy ameongea lkni mi Marioo sihafiki nae sionagi akiwa freshi kwa wasanii wanaokuja
Wew na Marioo washamba tu alafu wew nilikuwa bakubali lakini unaongea unafki
😂😂😂
Mshamba tu uyu jainya
Jaivah bora asingefanya hii interview maana ndiyo kama kaharibu kabisa
Ongeeni kiswahili ndugu zetu, kama mnataka kuongea kiingereza basi ongeeni kiingereza moja kwa moja. Msanii mzuri anasimama kwenye misingi ya sanaa.
BADILIKENI NDUGU ZANGU DAH
Ona jamaa anaekuhoji, jinsi anavyokuhoji kwa kiswahili safi kabisa. Na kama shule ndugu yangu, BUNDARA amekuacha mbali mnoooo Yan mbali ki umaarufu na mpaka kuyajua mambo. Na huoni amesimama kwenye kiswahili na tena kiswahili safi kabisa.
I can see Chino not lasting long in the game because the little success he has ganerned has intoxicated him and no sooner than later is gonna get into abyss
😂😂😂 awa mabamdogo wanafaa kutiwa mikofi wanakosea wazee adabu kwa nn anyway big up man jaivah
Wewe na Abbah hakikisheni mnawapatanisha hao vijana wadogo wenye munkali.
Heri wapatanishi.
Kwani huyo chino si atoke tu badnation akajitafute kwa mbele ya nini kung'ang'ana pahala ambapo anaonewa wivu na kufanyiwa roho mbaya na kwa vile amekuwa star no 1 Tanzania mbona harmonize alitoka WCB
Kwahiyo Chino kadanganya wapi?😂
Kwan chino na jaiva nani tulieanzaa kumjua kupitia marioo,,kwa me binafsi nmeanza kumjua chino jaiva nae nilianza kumjua kwenye ngoma ya supu,,,Jaiva anaonesha ana kiroho cha why haiwezekan marioo alikua poa tu na chino ila alipo kuja jaiva mambo yanakua taflani 😂😂me nahis jaiva ni anachonganisha
Good observation