JAIVAH amchana vibaya CHINO KIDD ‘Hana Shukrani, MARIOO ameumia mno, amejiondoa, amemuacha aendelee'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 02. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.com/store/apps/de...
  • Zábava

Komentáře • 587

  • @user-tf2bz8ou1c
    @user-tf2bz8ou1c Před 5 měsíci +64

    Bonge moja la interview jamaa yuko smart sana kwa kujieleza

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Před 5 měsíci +36

    Duh bonge moja la interview Verry smart jaiva kaongea point sizan kama Ni uongo au unafki kaingiza chino come back for big family mabrother

  • @ladenmonic7395
    @ladenmonic7395 Před 5 měsíci +56

    Jaiva has a quality of being intelligent,i would call him a wise man.Sincerely speaking 😎

    • @davidwhite7834
      @davidwhite7834 Před 5 měsíci

      Mindgame hiii kaka

    • @user-cz9zu7ur1h
      @user-cz9zu7ur1h Před 5 měsíci +1

      Ukisikiliza hii stori unajuwa kama anajiwekea ustarabu yeye ila ukweli utabaki kwachino😅

    • @RaymondMuga
      @RaymondMuga Před 5 měsíci

      The dude is very intelligent, well speaking

    • @aby.beka1630
      @aby.beka1630 Před 5 měsíci +1

      mal wameondok mala kawaon ss km hawajaonan ile video walikuw na mond ilipatikan vp alaf yeye kawakut wat akajal kuingiakweny gal alitak afatwe~

    • @12322879
      @12322879 Před 5 měsíci +1

      U also mentally sick

  • @tanzaniatest4529
    @tanzaniatest4529 Před 5 měsíci +27

    Hapo kwenye performance right uko sawa mzee jaivah.....uneongea kwa busara sana sana mzee

  • @macgenius4254
    @macgenius4254 Před 5 měsíci +62

    This person is intelligent in speaking.i appreciate that

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 5 měsíci

      He sounds good but you can clearly feel the hate and lies towards Chino.

    • @georgemtangi8752
      @georgemtangi8752 Před 5 měsíci +2

      very intelligent, big up to Jaivah… nadhani Jaivah ana exposure ya kutosha ndo mana anaongea vitu vyenye maana

  • @RaymondMuga
    @RaymondMuga Před 5 měsíci +39

    I have never came across a bongo flava artist who can articulate himself this well

  • @Mikael-xh4cp
    @Mikael-xh4cp Před 5 měsíci +34

    He sounds very smart and humble atafika mbali sana 🙏

  • @MONEY_CHANNEL.
    @MONEY_CHANNEL. Před 5 měsíci +14

    School is very Essential when it comes to Professionalism.

  • @Chriss_lo.
    @Chriss_lo. Před 5 měsíci +5

    Speaking the truth .... JAIVAH unazunguka mbuyu kiukweli CHINO ndo amekosewa na hii imesukwa. I say the TRUTH alichoongea CHINO ni kweli

  • @deogratiusbruno
    @deogratiusbruno Před 5 měsíci +1

    Daaaaa kweri ubinadamu nikaz lakini mbona fresh to tim baad bila chino mnaweza ma brothers pambaneni mungu yupo na nyinyi

  • @frankchangala3772
    @frankchangala3772 Před 5 měsíci +7

    Your interviews are very interesting and informative, however consider offering refreshments or water during interviews to keep interviewees comfortable and hydrated
    Thank you!

  • @queendollie8792
    @queendollie8792 Před 5 měsíci +2

    Mm naona they are both right on their own side, kikubwa peaneni nafasi, let everyone win the bread n enjoy it….. jamani hamna mahusiano ya milele, chino, jaiva na Mario msiongeleane tena🙌🏻🙌🏻🙌🏻imetosha, fanyeni kazi y’all are doing great.

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Před 5 měsíci +1

    Fanya unqchofanya elimu ya msingi sana...he sounds smart kwasababu ni msomi CBE graduate huwezi mlinganisha hata na diamond japo ana hela na exposure...mtizame anavyojieleza utaona power ya education

  • @paschalm9849
    @paschalm9849 Před 5 měsíci +16

    UKWELI NA UONGO NI KAMA MAJI NA MAFUTA. HATA UCHANGANYE VIPI YAKITULIA YATAJIGAWA. CHINO ATAFIKA MBALI SANA. ❤

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před 5 měsíci +3

    Am supporting Chino forever ,chino we waache wanadamu ndivyo walivyo endelea kukazaa Mungu ndio mwenye kutoa RIZIKI

  • @Teesonc
    @Teesonc Před 5 měsíci +15

    Jaivah vipi Sasa uambiwe Kuna show wakati jina la show ww mwenyewe ndo ulitafuta 🤔hapa Kuna something fishie

  • @briankalasho5521
    @briankalasho5521 Před 5 měsíci +4

    Jaivah ur very wise,,,,,,,i love the interview

  • @kareempreetboy5516
    @kareempreetboy5516 Před 5 měsíci +14

    Nmeckiliza interview kwa makini !Tatzo Jaiva una amin ww utakuwa mkubwa kuliko chino au Chino ata feil which is not hakuna anayejua kesho.Unyonge haumpendezi mtu !

    • @sensational6983
      @sensational6983 Před 5 měsíci

      Mshamba uyu

    • @user-gg4kw6le3b
      @user-gg4kw6le3b Před 5 měsíci

      Huyu anamtabilia chino yy nan? banah chino atasonga mbele Mungu yuko nae chino anaongea ukweli kutoka moyoni yy anaongea kwa kumbeba marioo

  • @djoxygenthemasterkeyboard3595
    @djoxygenthemasterkeyboard3595 Před 5 měsíci +28

    Brother Sky Hongera sana Kwa Good Interview, Lakini Ushaur wangu....Uwe una wawekea Hata Maji... or Something else... Kushushia Kooo...

    • @rachidissa-pf7fn
      @rachidissa-pf7fn Před 5 měsíci

      hiyo kweli jitahidi bwana sky tena ongera kwakazi nzuri

    • @rachidissa-pf7fn
      @rachidissa-pf7fn Před 5 měsíci

      nakama unahofia kuwa utaweza kutangaza hayo maji basi jitahidini muweke kwenye glas pleans

    • @minaeli5989
      @minaeli5989 Před 5 měsíci

      Sky una follow wengi
      Basi omba maji ama maziwa ama mgahawa wowote wa chakula kama salama jabiri untangle watu wale na wanywe

  • @dancemachinecrew6480
    @dancemachinecrew6480 Před 5 měsíci +8

    Akili nyingi snaaa jaiva

  • @WOLFGANGWALTER00
    @WOLFGANGWALTER00 Před 5 měsíci +17

    Daaah hii interview imemuaribia sana jaiva na kashindw kumtetea mariooo
    Facts
    1 : kama ww ndo umetunga jina la show kwann umesem ulikua hujui kuhusu show ulitaka mkataba au

    • @LovelyFlamingos-xk8fv
      @LovelyFlamingos-xk8fv Před 5 měsíci

      Nikweli awa wanaonekana wana chuki na chino

    • @d_humble2455
      @d_humble2455 Před 5 měsíci

      Show alikua anaijua ila hakuambiwa na Chino mwenyewe

    • @sefoo8084
      @sefoo8084 Před 5 měsíci +1

      ​@@d_humble2455 na kwa nn alitoa jina wakati hakuambiwa na chino mwenyewe

    • @d_humble2455
      @d_humble2455 Před 5 měsíci

      @@sefoo8084 aliambiwa na marioo kwamb madogo Wana show watafute jina but kwa heshima yeye Chino ilitakiwa amtaarifu yeye Kama kaka ake

    • @realmdachi_13
      @realmdachi_13 Před 5 měsíci

      Hauelewi mpumbavu ww ......jaiva hakua na taarifa ya show hadi alivokuja kuambiw na marioo km madogo wana show ndipo marioo akamuomba jaiva atoe jina....
      But chino hakuwah kumpa taarifa jaiva.....MBWA WW

  • @Bayayaa1234
    @Bayayaa1234 Před 5 měsíci +59

    Jaivah anaongea ukweli mbona mwaongea vibaya? Si chino alijieleza mkaskiza pia Jaivah mskizeni ile tujuwe ukweli..

    • @georgemtangi8752
      @georgemtangi8752 Před 5 měsíci +3

      kabisa kabisa, Jaivah anatakiwa asikilizwe ana kitu huyu, ukitaka kujua kuwa Jaivah ni smart upstairs rudi nyuma uangalie ile interview ya Chidi na alichokuja kujibu Jaivah

    • @youngtone4333
      @youngtone4333 Před 5 měsíci

      Huyu matako msingi wa maneno yake ya mwanzo MARA SHOW SIIJUI MARA MIMI NDO NILITOA JINA LA SHOW LENGO KUUA MAPIANO YA DG ACHUKUE YEYE

    • @steverwillecha8559
      @steverwillecha8559 Před 5 měsíci

      ​@@youngtone4333show anaijua ila hakupewa ripot kuhus kuperform na kumbuka kila mtu nibiashara ya watu wana menejment hawez kufanya kitu bila kukaa mezan

  • @user-xn2fd4tb6w
    @user-xn2fd4tb6w Před 5 měsíci +41

    Kama hamtofata njia anazopita Diamond platnium, mtapata shida sana, haiwezekani mfanye kazi bila mkataba, hakuna neno familly mbele ya pesa....
    Kijana chino alishajuwa pena ni nini lazma azisake, wekini mipaka ya kimkataba fujo zote hizo hazitokuwepo....

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 Před 5 měsíci +4

      Ndio maana king's music ukiondoka tunakudunga laana ukaimbe pambio uko😂

    • @Mo-Melody
      @Mo-Melody Před 5 měsíci

      😂😂😂 it's so funny

  • @MulkuMassos-um1ix
    @MulkuMassos-um1ix Před 5 měsíci +20

    Mnamchukia chino kwa sababu anafanikiwa na hatutakubali

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 Před 5 měsíci +11

    Chino piga kazi mzee baba
    Ila usisahau kumuomba mungu kila siku, Na usikose kuwa naenda kuwaona wazee milimani ili wazidi kukusafishiya nyota yako, kwa sababu hawa ma jamaa inaonekana hawapendi kuona unavyoishi ghorofani 😂, ndivyo maisha yalivyo, watu wankupenda na watu wankukubali,

    • @glengeoffrey9626
      @glengeoffrey9626 Před 5 měsíci

      huyu jamaa muongo akuambiwa show lakini yeye alitoa jina la show

  • @user-qr3xj7ty7z
    @user-qr3xj7ty7z Před 5 měsíci +7

    M nakukubalii sanah maneno ya busaraaa

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 Před 5 měsíci +21

    Chuki rohoo mbayaa dogoo katoka sasa mabraza wamechikia chino piga kazi dogoo maisha ndivo yalivoo apo juu unapotaka kwenda nipazuri mnoo naukitaka kukaa unapigwaa vitaa mnooo

    • @Jibambeshow254k
      @Jibambeshow254k Před 5 měsíci +1

      Minimeona ni wivuu tu inawauma chino kaanza kupenya

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 Před 5 měsíci +2

    Jaivah Brot you're wise man 👨

  • @Ciyara248
    @Ciyara248 Před 5 měsíci +7

    Ustar ni mzg wa miba📌📌

  • @kiakae1819
    @kiakae1819 Před 5 měsíci

    Jaivah he’s speaking the better truth this man he’s so intelligent while talking on this interview bless you man👊🏿❤️

  • @djhamidujr798
    @djhamidujr798 Před 5 měsíci +3

    This guy must have gone through very good schools 👍

  • @amisilukongo4518
    @amisilukongo4518 Před 5 měsíci +31

    Kama ni kweli kwanini mario alipo kuwa na kupa tarifa ujawa kumuita chino ww kama kaka kumushauria niyinyi ni wanafiki sanaa wa sani wa tanzania ukimsaidia mtu basi unataka abaki kuwa mtumwa wako nikitu ambacho nimekiona kwenu nyote

    • @skateweaver
      @skateweaver Před 5 měsíci

      Kabisa

    • @yulemorgan-hm5fj
      @yulemorgan-hm5fj Před 5 měsíci

      Babu ndo tabia za wasanii uwa wanaoneana wivu sana na isitoshe chino nae ameona ni mda sahihi kwake kua kivyake simple kikubwa wasigombane waachane gud tu

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone Před 5 měsíci

      Sindiooo

  • @amaniashery7762
    @amaniashery7762 Před 5 měsíci +17

    Yaan kuanzia mwanzo mpaka mwisho Hamna alichoongea

  • @ALVINESOKA
    @ALVINESOKA Před 5 měsíci +1

    Hakuna binadamu ayependa kuona mtu akifanikiwa tena kumzidi mafanikio mwenzake especially kwa walio tutangulia kimafanikio. Ipo hivi boss wako akikuona leo hii unaanza kuanzisha biashara nyingine kwa mshahara alokua anakulipa wengi wao awezi kufurahi atakuwekea sigisu tyu ili uludi kwake kumsujudia na kuendelea kufanya kazi pamoja na yeye. Tena ogopa sana akipata mtu akimshika sikio.marioo + CHINO + JAIVA.Ni familia yangu ki mziki lakin nimeskia na kuona interview ya Chino na Jaiva naona kuna tatizo ambalo linafichwa upande wa mariooo in short. Kuna kibaraka apa kati anatengeneza kitu ili marioo na chino wawe mbali. Marioo sleep and think twice.kuwa makini sana na anaye jiweka karibu kwenye hili tatizo kwa sasa. Mlimalize crue liludi kama awali marioo na chino ndo wakumaliza bila kushawishiwa na mtu { ila uyu jaiva uyu nawasi wasi nae }

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario8895 Před 5 měsíci +14

    Tatzo kubwa hapo ni wivu tu wamaendeleo anayoanza kupata chino kwahyo lazma karoho kaume kimtindo

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 Před 5 měsíci +2

    This guy is smart enough 🎉

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 Před 5 měsíci +21

    Sasa wanafunguka wenyewe! Big up Chino

    • @mabelmafaa2999
      @mabelmafaa2999 Před 5 měsíci

      Umeona eeeh Yani jaiva angekuwa smart asingeleta mambo mengi kwenye maneno yake jamejaa wivu wa wazi wazi

  • @shamsaali982
    @shamsaali982 Před 5 měsíci +5

    Huyu jamaa nimemuelewa yani hata kama wamemsaidia chino wa nataka awe chini Yao jamaa ni negativity huyu ndio mchonganishi hawezi tuu kua na story zote it’s bull sheet kama umemsaidiaa mtu mlisaidiaa tuuu roho mbaya kwendaa

  • @leaderchrisofficiel1876
    @leaderchrisofficiel1876 Před 5 měsíci +8

    Uyu jamaa ni muogo sana haukukuwa najuwa show kama iko sasa ulitosha jina na haujuwe kama show iko ?

  • @timokegir3499
    @timokegir3499 Před 5 měsíci +9

    Jaivah acha uongo bhana for the case ov dancers chinno kaspecify ambapo shows zikigongana dancers wakubwa huwa wanabaki na mario na chino huwa anaenda na young dancers akina dogo noma ,jvirgo,na hao waliopata ajarii

    • @user-ht7iw8bf4c
      @user-ht7iw8bf4c Před 5 měsíci

      Kwanini kila kitu lazima useme wewe na marioo jitaje peke yako bro

    • @Mjapanwizzy
      @Mjapanwizzy Před 5 měsíci

      Point mzee 🙌🙌

  • @nanaleetz
    @nanaleetz Před 5 měsíci +11

    Jaivah acha uswahili kwan chino kasema haoni umuhimu wa Marioo? Acha kuzidi kumchonganisha

  • @gorator132
    @gorator132 Před 5 měsíci

    Superb sana Jaivah❤❤❤❤

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Před 5 měsíci +5

    Hii tabia ya kua mtu ameanza kua vzur kimaisha...watu kumsimanga waafrica tuache uchawi na ROOOH mbya.

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Před 5 měsíci +16

    Kajala alienda kwa harmonize konde gang likasambaratika leo mtoto wake kaenda kwa mrioo kundi limesambaratika🤣🤣

  • @caesar7745
    @caesar7745 Před 5 měsíci +5

    Jaivah umesema ulikuwa na show sehemu.nyingine sasa ungeenda wapi. Haikai akilini bango la picha yako iwe kidimbwi lakini unashow pahali pengine. Watu weusi wakipata hela hawawezi ishi kwa kushirikiana. Jifunzeni kwa wahindi

  • @wizdonjr5150
    @wizdonjr5150 Před 5 měsíci +4

    God is with you chinoooo

  • @jindamjukuu8440
    @jindamjukuu8440 Před 5 měsíci +4

    Hivi mkiongea rugha moja Kuna tatz gani wa Tanzania wenzangu hp😊

    • @Mikael-xh4cp
      @Mikael-xh4cp Před 5 měsíci +1

      Hakuna tatizo as long as you speak proper English. Jaivah speaks very good English, he spells very well and he knows how to use English grammar. He is good labda tatizo ni wewe hakipandi lol

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn Před 5 měsíci +5

    Umetumwaaaa weww.... ufafanue..

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 Před 5 měsíci

      Hata mimi nimeona hivyo hivyo katumwa na Marioo asafishe hali ya hewa

  • @user-zi1lr8wk3w
    @user-zi1lr8wk3w Před 5 měsíci +10

    Kama umeona vidole vya jaivah kama mimi gonga like

  • @hemedyawadhi2935
    @hemedyawadhi2935 Před 5 měsíci +9

    Kumbe mnapenda kunyenyekewa et awakuja kwa garii

  • @user-mz6ns7bi9h
    @user-mz6ns7bi9h Před 5 měsíci

    To me I think dogo aachwe aendelee na maisha yake kama alivyotaka cause ameshahis anajiweza kwa Kila kitu bt the bad thing it's chino kueneza ubaya kuhusu Jaivah and Marioo it's really bad to him,,,Mimi namshaur afocus kwenye music wake aache huo ushamba anaouongea kwenye media bhasi.. sema Jaivaaah Bonge la Moja la interview aisee Yuko really kinoma much respect to Jaivaaah🔥

  • @moudy4realibrahim601
    @moudy4realibrahim601 Před 5 měsíci +5

    Mambo ni mengi sanaa kwenye magroup

  • @believeboy2150
    @believeboy2150 Před 5 měsíci +1

    😢😢😢 mimi ndio mana umaharufu siutaki mana una mambo mengi,tumsubiri na Omari aongee tujue sasa wapi tuliteleza,mana we are team ❤tuweke sawa haya mambo tupige kazi wote.

    • @allaboutlife2023
      @allaboutlife2023 Před 5 měsíci +1

      Ss umaarufu upate wap na ww😅😅😂😂😂

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 Před 5 měsíci +1

      😂😂anadhani ni rahisi

    • @believeboy2150
      @believeboy2150 Před 5 měsíci

      Vua nguo mchana kkoo uonee kama hujawa maarufu 🤣🤣🤣 au nenda kituo cha police msimbazi kajisaidie pale njee wee kata gogo tu uone kama hujawa super star.

  • @moazzamelectrician4066
    @moazzamelectrician4066 Před 5 měsíci

    He's An Artist A face of or an example of them who called Artists #Jaiva

  • @muna1165
    @muna1165 Před 5 měsíci

    HONGERA SANA JAIVA UNA KHEKIMA SANA BRO ❤❤❤❤

  • @shajemalyfestyle
    @shajemalyfestyle Před 5 měsíci +3

    Jaivah!!!!! hes my favourite upcoming. This guy will be biiig!!

  • @mubarakaally3741
    @mubarakaally3741 Před 5 měsíci

    🔥🔥🔥Jaiva km jaiv una baya mkubwa mkubwa una busala san 💞

  • @basheer4278
    @basheer4278 Před 5 měsíci +7

    Show ulikua huijui ila jina la show umetoa ww😂😂

  • @logicsportsandentertainmen105
    @logicsportsandentertainmen105 Před 5 měsíci +5

    Basi inatosha sana kwa mtu Makini anaesikiliza hii dakika ya 1:11 tunaweza kuona anasema hajawai gombana na Chinno basi hawa ndo wanamchokoza chinno

  • @user-ed1xq2hv6d
    @user-ed1xq2hv6d Před 5 měsíci +3

    Jeiva ndio mchonganishi roho mbaya mtu akipata riziki kidg binadamu mbamuwaza chino anaongea ukweli mnamkataa kama ulitoa jina la shoo inakuaje usiwe na taarifa

  • @MSHUTIMEDIA
    @MSHUTIMEDIA Před 5 měsíci +2

    Sky bless brother

  • @DENDEGOABDUL
    @DENDEGOABDUL Před 5 měsíci

    Jaivah! Kanena ...lakn the best way is to reconcile... and clear there diffences ...feuds na grief! sio poa sana ...as binadamu, as vijana watafutaji, as artist ambao mlikua closer ...yawekeni sawa muyamalize! ...kugombana kwetu ss binadamu ni kawaida sana ..kwaio tusiyashikilie sana haya mambo ....pia akina Chino waache mauswahili mentality cz bado wana

  • @AMORAGNES
    @AMORAGNES Před 5 měsíci +13

    Dah yaan unacho ongea jaiva Ni cripti kbs juakal😂 bt ukwel tume ujua kptia uwongo wko

  • @AMORAGNES
    @AMORAGNES Před 5 měsíci +7

    We jaiva ngoma zako ngp unazo sema zaidi ya supu

  • @user-il5jn5jm3r
    @user-il5jn5jm3r Před 5 měsíci +30

    Kwann hamkugomban kipind bado hajawa maarufu hiyo roho mbya2 muachen dogo apige kazi

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před 5 měsíci +19

    Kusaidiwa sio utumwa wala kufungwa minyorolo

  • @iamjanemapozi2079
    @iamjanemapozi2079 Před 5 měsíci +2

    Tutamsapoti chinno forevaaa😂❤

  • @realrzzocmg485
    @realrzzocmg485 Před 5 měsíci +21

    Walio wakataa huyu kisaut na mario gonga like apaa

  • @ChallaTZ
    @ChallaTZ Před 5 měsíci +1

    Achino achinowanama namba1 kwenye AMAPIANO DANCE
    IYO IKO WAZI

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před 5 měsíci +35

    "Human being is egoistic in nature" Chino is outshining them😊

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 5 měsíci +2

      Chino is outshinning the masters

    • @jacksportman5181
      @jacksportman5181 Před 5 měsíci +1

      @@NgengeMkeni-uo5hq he is definitely threatening their position 🎯

    • @ombeniruvubika5392
      @ombeniruvubika5392 Před 5 měsíci +2

      Fact 😂😂😂😂

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Před 5 měsíci +4

      Mmmmm you must be a kid to say that

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před 5 měsíci +3

      He'nvr outshine marioo. " Marioo kwa kutunga nyimbo is gifted, ndio maana hata hizo nyimbo za chino its marioo who composed them, , chino himself accepted it,

  • @kazunguanold3421
    @kazunguanold3421 Před 5 měsíci +4

    Muongo xna uyu jamaa yani kitu cha ukweli kuongea mpaka afikirie ivi muongo xna uyu😱😱😱

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Před 5 měsíci +4

    Huyu jamaa mzinguaji sana hapo hapo anasema hakupiga simu ili bango lishushwe alafu anasema alimuambia ashushe kwakuwa alikuwa na show hapohapo anasema hakuambiwa na chino kuhusu show mbona hueleweki

    • @m___ck799
      @m___ck799 Před 5 měsíci +1

      Halafu yeye ndiye alitafuta jina la Wanaman Experience 😂sass siakujuwa kuna show 😅mwongo mwongo

    • @kanzaboy1722
      @kanzaboy1722 Před 5 měsíci

      Huyu jamaa mwongo sanaa

    • @realmdachi_13
      @realmdachi_13 Před 5 měsíci

      Hamjaelewa nyie mbwa 😂.........jaiva hajapiga cm kwa chino .....ni maduka ndo alimuulza jaiva km atawahi au hatowah kwa show ya chino maan na yy alikua na show yake ck hyo hyo moja

  • @gorator132
    @gorator132 Před 5 měsíci

    Nimemsikiliza Jaivah vzr nafkr Chino kakengeuka ukosefu wa shule ndo tatizo aende aombe msamaha mambo yaishe aache ufala

  • @arsenalic23
    @arsenalic23 Před 5 měsíci +15

    Inasikitisha mtu kuwa na JIsauti zitooo halafu muongo muongo..
    1.yaani ulikuwa hujui chino anashow japo ni wewe uliyetunga jina la show hiyo hiyo usiyoifahamu kama ipo.
    2. Unadai Hamkumpigia simu chino ashushe picha lakini tena unasema mlimwambia ashushe kwasababu marioo alimwambia maduka kwamba hiyo tarehe atakuwa na kitu na wewe pia unashoo sehemu fulani. Sasa ulimwambia kwa njia za kipepo ama? Maana simu umesema hamkumpigia.
    Hivi nyie wajomba mnatuona wabongo mazumbukuku nini? NJIA YA MUONGO NI FUPI kama yako blaza mwenye JISAUTI

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn Před 5 měsíci +12

    Uwongooo...

  • @Teno_Official
    @Teno_Official Před 5 měsíci +17

    kwenye riziki bhana kunamengi

  • @glorymasam1691
    @glorymasam1691 Před 5 měsíci +2

    Very wise guy🎉😊

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 5 měsíci +5

    😅😅😅😅😅 nyie wote hakuna ubinadamu acha kujitetea sio kizuli

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 Před 5 měsíci +2

    This is smarter person but if this is real chino sit down and think twice

  • @marleshjimmy1972
    @marleshjimmy1972 Před 5 měsíci +3

    Maskini wivu ukishaingia kwenye nafsi inabidi uwemakini nausikilize nafsi yako kwakufahamu wivu unao hisi kwasababu ata ingekua mimi wivu lazma kuona namtengenez mtuu akawa mkubwa tukafany hit pamaoj ila anapata rizki kupitia hizo hizo nyimbo alafu akafanikiw
    Tuzidi kumuomb mung yeye tu ndio anawez kulainish nafsi zetu kwa emotion zetu zote love,hate,jealous, fear, etc mana yote ni kawaida kuyahisi

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o Před 5 měsíci +6

    Kwani we jaiva unajiona ni msaniii auu boya flani tuuu unapiga kelele..ila bongo bhanaa

  • @josephmwavangila1633
    @josephmwavangila1633 Před 5 měsíci

    Namuelewa Jaivah..
    200% wise man

  • @heriethsixbert475
    @heriethsixbert475 Před 5 měsíci +1

    This man🎉

  • @user-pb8kc1lv9t
    @user-pb8kc1lv9t Před 5 měsíci +4

    Ila jaiva utaumbuka vibaya eti hataki kwan we msemaj wake what if wakaludiana 😂😂

  • @abdulkhamis6683
    @abdulkhamis6683 Před 5 měsíci +5

    bro uyu atumjui tunamjuwa chinoo wana mann uyu ana vaibu atuache

  • @user-ec5qb8dw6d
    @user-ec5qb8dw6d Před 5 měsíci +27

    Yani hukuwa na taalifa ya shoo ila ulitoa jina la shoo, na siku hiyo hiyo ulikuwa na shoo sehemu nyingine , , 😅😅😅siku ya shoo umetoa sababu tatu, , mbona kama umetupanga bwana j vaa

    • @barakaekuro
      @barakaekuro Před 5 měsíci

      😂😂

    • @talibthetruth8709
      @talibthetruth8709 Před 5 měsíci

      Hakika amejiroga hpo

    • @edsonmnego4030
      @edsonmnego4030 Před 5 měsíci +1

      Rudia kusikiliza muelewe

    • @alvinebrand_
      @alvinebrand_ Před 5 měsíci +2

      Yani hukuwa na taalifa ya shoo ila ulitoa jina la shoo!!😅 na siku hiohio ulikuwa na show, sehem nyingine 😅😅😅 siku ya show umetoa sababu tatu umetupanga mzee wangu

    • @desdeliamsoka8886
      @desdeliamsoka8886 Před 5 měsíci

      Alichomaanisha chino akumwambia yeye aliambiwa na marioo

  • @nicholasmwangome9034
    @nicholasmwangome9034 Před 5 měsíci +1

    Marioo anaroho mbaya tena anapenda miyeyusho mpaka mbosso alishasema acheni kujaribu kujisafisha bro 😂😂😂😂

  • @PhilipApalo
    @PhilipApalo Před 5 měsíci +1

    Jaivavah amebonga hapo sawa

  • @hakizimanavaleriecamilla3895
    @hakizimanavaleriecamilla3895 Před 5 měsíci +2

    Nimemskiliza uyu kaka nimemwelewa ila tumupe mda tu kunasiku na yy atakuja kuongeya yake ila nivizuri anavyotowa yak ya moyoni

  • @yussufkhasim9021
    @yussufkhasim9021 Před 5 měsíci +2

    Outshining someone is not a problem but disrespect 😤 🤧 ni ushamba besides usinye unapo lala.

  • @dshadow174
    @dshadow174 Před 5 měsíci +1

    The guy ameongea lkni mi Marioo sihafiki nae sionagi akiwa freshi kwa wasanii wanaokuja

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp Před 5 měsíci +6

    Wew na Marioo washamba tu alafu wew nilikuwa bakubali lakini unaongea unafki

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 Před 5 měsíci +5

    Jaivah bora asingefanya hii interview maana ndiyo kama kaharibu kabisa

  • @richardjoseph2921
    @richardjoseph2921 Před 5 měsíci

    Ongeeni kiswahili ndugu zetu, kama mnataka kuongea kiingereza basi ongeeni kiingereza moja kwa moja. Msanii mzuri anasimama kwenye misingi ya sanaa.
    BADILIKENI NDUGU ZANGU DAH

    • @richardjoseph2921
      @richardjoseph2921 Před 5 měsíci

      Ona jamaa anaekuhoji, jinsi anavyokuhoji kwa kiswahili safi kabisa. Na kama shule ndugu yangu, BUNDARA amekuacha mbali mnoooo Yan mbali ki umaarufu na mpaka kuyajua mambo. Na huoni amesimama kwenye kiswahili na tena kiswahili safi kabisa.

  • @johnmbungo1971
    @johnmbungo1971 Před 4 měsíci

    I can see Chino not lasting long in the game because the little success he has ganerned has intoxicated him and no sooner than later is gonna get into abyss

  • @lesingerke-lt9si
    @lesingerke-lt9si Před 5 měsíci +1

    😂😂😂 awa mabamdogo wanafaa kutiwa mikofi wanakosea wazee adabu kwa nn anyway big up man jaivah

  • @gaudencemihungo4348
    @gaudencemihungo4348 Před 5 měsíci +4

    Wewe na Abbah hakikisheni mnawapatanisha hao vijana wadogo wenye munkali.
    Heri wapatanishi.

  • @user-hm3qm2nf1v
    @user-hm3qm2nf1v Před 5 měsíci +1

    Kwani huyo chino si atoke tu badnation akajitafute kwa mbele ya nini kung'ang'ana pahala ambapo anaonewa wivu na kufanyiwa roho mbaya na kwa vile amekuwa star no 1 Tanzania mbona harmonize alitoka WCB

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Před 5 měsíci +5

    Kwahiyo Chino kadanganya wapi?😂

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf Před 5 měsíci +2

    Kwan chino na jaiva nani tulieanzaa kumjua kupitia marioo,,kwa me binafsi nmeanza kumjua chino jaiva nae nilianza kumjua kwenye ngoma ya supu,,,Jaiva anaonesha ana kiroho cha why haiwezekan marioo alikua poa tu na chino ila alipo kuja jaiva mambo yanakua taflani 😂😂me nahis jaiva ni anachonganisha