UKWELI KUHUSU ROLLS ROYCE, FEKI ZIPO, YA DIAMOND TOFAUTI YAKE "ITAMTESA SERVICES"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Leo AyoTV inakukutanisha na Muagizaji magari kutoka UK, Dubai, na Japan BenCars ambapo anatuelezea juu ya gari aina Rolls Royce Cullinan 2021, bei yake kutoka UK na faida pamoja na changamoto zake.

Komentáře • 409

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 Před 3 lety +163

    Kama unaamin ndo kinara wa kuongelewa mtandaoni tujuane hapa!

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 Před 3 lety +8

    Wabongo wachen roho mbovu huyu dogo Nasseb hamumuwezi itachukuwa miaka mengi sana kuja msaani kufika level ya Diamond dogo amefika mbali sana tena sana 🔥

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před 3 lety +9

    Mondi anawatesa wengi sana TZ .. kweli mziki vita!!

    • @neemayusuphu1591
      @neemayusuphu1591 Před 2 lety

      Kasemaa yeye mwenyewe mziki ni vita ile nyumban ni yamama ivo usiwaze madale

  • @paulshija7632
    @paulshija7632 Před 3 lety +33

    Mie sio shabiki wa Diamond lakini jamaa ana hela, tuache masihala bana! Kingine wivu utawaua! Dogo kawanyoosha!

  • @barakambangulila5360
    @barakambangulila5360 Před 3 lety +34

    Diamond kaleta gumzo big up Sana

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před 3 lety +10

    Rolls Royce Haina underlincence na ingekuwepo SOUTH AFRICA WALIKUWA washaitengeneza kitambo .Kumbe Bongo ipo Moja tu Ya MONDI 🤣🤣🤣🤣 fantastic super star#diamondplatinun
    #swahilinatiin
    #wcbWASAF🇹🇿🇹🇿💎💎💎💎💎🤣🤣🔥🔥

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Před 3 lety +34

    Hahahaha gari ya monde ni gumzo tz nzima sababu ni moja tu

    • @mpajikasunzu117
      @mpajikasunzu117 Před 3 lety +1

      Yaani nakwambia nipo nasoma coment nacheka mwenyewe

  • @pcmofficialtz
    @pcmofficialtz Před 3 lety +111

    Sisi maskini ndo tunabishana wengine hatuna hata baiskel hata angeita helicopter sisi ni nani tumbishie SIMBA 😂😂😂

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 Před 3 lety +3

      Kweli kabisa 🤣🤣🤣

    • @lizzybahati9833
      @lizzybahati9833 Před 3 lety +1

      Dah 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Před 3 lety +1

      Jiung freemasonry km mond. utamilk gali hilo 🤪🤪🤪

    • @pcmofficialtz
      @pcmofficialtz Před 3 lety

      @@allanothuman2941 fikra ikitumika ndivyo sivyo inaua ✍️

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Před 3 lety

      @@pcmofficialtz nitaftie tajir ambae atumiaa uchwi.... saw ....ww si unataka magali mkali nn jiunge freemasonry...... km ginimbii.... Utamiliki zaid ya hayooo.... mzeee bb

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice7032 Před 3 lety +26

    Rolls-Royce haitegenezi engine kwa hizo gari. Anaposema kwamba wanaweza wakatumia engine which is not from Rolls-Royce. Hapo kakosea. Rolls-Royce wanatumia engine za BMW V12. Hapa Zaventem Belgium wateja wangu wanazo, ingawa siyo nyingi kwani ni gari ya garama kido. Kwayiyo amekosea kidogo hapo.

    • @activestudios.
      @activestudios. Před 3 lety +6

      SAFI KABISA BRO MIMI NIPO UK NAFANYA KAZI BMW lakini naona hawa watanzania wanaongea mambo ambayo wao wenyewe hawajui wanaongea nini

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 Před 3 lety +4

      Naomba nikuulze swali, Je, kama RR awatngenez engine na vipi kuhusu ndege mbona wanawauzia Boeing nk engine inamaana ni wananunua pia kwa BMW hahaaaaa?? Kama wanauza engine za ndge kweli washindw kutngneza ichi cha gariii ???

    • @activestudios.
      @activestudios. Před 3 lety

      @@happyjohn5882 kwa uelewa wangu mdogo engine ya RR inatengezwa na BMW ambayo ni V12 na IKUMBUKWE RR ni SUB branch ya BMW so its all BIMA

    • @safariautoservice7032
      @safariautoservice7032 Před 3 lety +1

      @@happyjohn5882 siyo kwamba hawawezi kutengeneza engine. Ila tukumbuke kwamba ni wafanya biashara kama muuzaji wa nyanya au vitunguu. Wanangalia faida kwanza. Kwa sababu kutengeneza engine zagari hasa kwa kipindi hichi siyo jambo rahisi, kwa sabubu ya hizi CO2 AND NH AAND NOx regulations. mambo ya (euro 5 euro 6) . Kama unavyo juwa London, Bussels ect kama gari yako siyo ya petrol hairuhusiwi kutembea. Na kama ni Diesel hapo basi kiboka. Kama siyo euro 4 and euro 5 next year. Huruhusiwe kuingiya Brussels. Na ukibisha ni unapigwa fine ya 350 euro. Kwa hio Wawo hawoni faidha ya kutengeza engine wakati BMW tayari wamekwisha fanya kila kitu. Inakuwa ni rahisi kwawo kununuwa kwa BMW. Kama wengine wanavyo fanya. Ukiangali pangani zonda katumia engine Mercedes AMG V12 ya zamani kido, ukija kwa Aston Martin naye pia katumia AMG Engine. Kwahiyo kila kitu ni mahesabu. RR wawe wameamuwa kutengene egines za ndege. Na siyo lazima wateja wajuwe kwamba ni v12 kutoka kwa BMW muteja yeye kazi yake ni kuwekabmafuta kuendesha. Nasisi mafundi tufanye kazi zetu. Ila RR ni gari kama nyingine kwa sababu ina 4 tyres kama magari mengine. Sema yu mtu ukipata vi cents inabidi ujifurahisha baada ya kazi yako. Hivyo ndivyo binadamu tulivyo wengi wetu.

    • @safariautoservice7032
      @safariautoservice7032 Před 3 lety

      Upo sahihi, ila kama jama alivyo sema yeye ni anaagizia magali. Siyo fundi, yani yeye atacho angalia ni nini mteja anahitaji. Akilipa basi anamuagizia. Hata hapa wapo ukienda kwenye ma dealers kama Mercedes, BMW ect. Utakuta kuna mafundi, na watu wengine wakiwa réception. Wale wa réception maranyingi huwa wao wana kazi zawo maalumu. Siyo lazima wajuwe kila kitu. Na kama mtu kakosea siyo vibaya. Anaweza akarekebisha kama akipenda. Kwa sababu tunajifunza kila siku. Na tatizo tulilo nalo sisi huwa ni wabishi sana huwa hatupendi kukosolewa nahilo ni tatizo linalo sababisha tusijifunze. Ila tuwe wakarimu kwenye mitandao. Ili tujifunze siyo lazima matusi, kejeli na mambo mengine.

  • @thomasmaila3834
    @thomasmaila3834 Před 3 lety +12

    Ww yakwako og,iko wp?acha kudic mambo ya w2,mwenzako kaonyesha uthubut,amna kazi za kufanya?

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice7032 Před 3 lety +16

    Service yake ni kama gari nyigine. Ukifwata utaratibu kutoka Rolls-Royce no worries .

  • @aidanmaganga7051
    @aidanmaganga7051 Před 3 lety +2

    Asante sana kwa ukweli bro

  • @saidyoriyori9697
    @saidyoriyori9697 Před 3 lety +10

    kwaiyo kainunua shiling ngap zabongo namie jipange nichukue ndinga iyo

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 Před 3 lety +20

    Kweli kumtaja diamond ni ajila Tz 😅😅😅🤭

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety

      Kabisaa wanajtahid vyovyote ili wa title jina la Mond

    • @ashamahmoud3895
      @ashamahmoud3895 Před 3 lety

      Hivi nyie mnatoka vijijini Nini? Kwahiyo msanii mkubwa Kama mondi anunue gari Kama hiyo mnataka isiongelewe? Huo ndo uchawi Sasa

  • @johnmunyoro4428
    @johnmunyoro4428 Před 3 lety +4

    Kwa nini mzituletee aina za machine za kukamua mafuta ya alzeti. Au machine za kutengeneza mafuta ya maparachichi ya nywere. Au machine ya kutengeneza viatu za ngozi.kuongelea gari za watu kunafainda gani?hizo handithi ndizo watoto watu watarithi?

  • @husnapongwa1841
    @husnapongwa1841 Před 3 lety +10

    Millard kua makini sana na hizi interview unajishusha snaa

  • @faizislam2378
    @faizislam2378 Před 3 lety +13

    Watangazaji tuelewaneni banaaa sio rose royce ni rolls royce muna feli wapi kutamka

  • @jordanjeremy-l1k
    @jordanjeremy-l1k Před 3 lety +13

    Sasa itamtesaje service akati yupo na mbongo yakushato?

  • @mamarachel9286
    @mamarachel9286 Před 3 lety +23

    Mbona mmeiandama sana gar ya mtoto wa tandale? Amafanya kosa kuileta bongo eeeh...Mwachen na gar yake, ongeleeni hata IST

    • @kinasatz7266
      @kinasatz7266 Před 3 lety +1

      😂😂😂wasenge sana hahahaha bado wanaongea tu.

    • @omaryally198
      @omaryally198 Před 3 lety

      Nyange kwao kigoma sio tandale

    • @malakiyazidu0080
      @malakiyazidu0080 Před 3 lety

      @@omaryally198 kwao kwao sio kigom kigom nikwakina mama ake🤣🤣🤣kwao ni nimorogoro

    • @omaryally198
      @omaryally198 Před 3 lety

      @@malakiyazidu0080 bas itakuwa matombo, Kwan mzee nyange Moro ndio kwao.

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Před 3 lety +47

    JAMANI NYIE HAMNA KAZI ZAKUFANYA EH,DIAMOND PLUTNUMZ ANUNUE ORG ANUNUE FEKI INAWAHUSU????.
    NUNUENI NANYIE IYO FEKI TUONE SIO KIMNANGA MTU UTADHANI UMEMSAIDIA KUNUNUA FYUUU!!!!.
    MILLADY AYO NYIE NI MEDIA KIBWA ACHENI SASA AYA MAMBO YAKUONGELEA GARI YADIAMOND MANAKE HAIWAHUSUUUUU.

    • @emmanuelmhosole5421
      @emmanuelmhosole5421 Před 3 lety

      Hongera dada Wew inakuhusu😅

    • @ashamahmoud3895
      @ashamahmoud3895 Před 3 lety

      Hivi umesikiliza interview kweli maana comment zenu Kama Kuna ugomvi wakati interview Ni ya kawaida kabisa Wala haina baya

  • @saidalzakwani8402
    @saidalzakwani8402 Před 3 lety +17

    Duuuu sio mchezo mwezi sasa watu wazungumzia kuhusu gari 😂😂😂
    Kazi ipo

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 3 lety +2

    Rolls Royce ni ya Daimond. Ikiwa feki or original unahusikaje? Ni ya kwake mwenyewe kwa nini tunapoteza muda kuzungumzia?
    Ni aina ya wivu na kejeli. Daimond ni tajiri.Anao uwezo.

  • @rajablutambi4063
    @rajablutambi4063 Před 3 lety +1

    Hajui architecture ya magari specifically hio imemshinda hatoi mechanical specifications anaongelea bei tuu

  • @alihussein1027
    @alihussein1027 Před 3 lety +6

    Diamond is rich anaweza Afrord

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 3 lety +6

    Hata baskelu sina nasema mabrukin hongera nasiib

  • @muhammad_alhinai
    @muhammad_alhinai Před 3 lety +1

    Yeye ndio wa kwanza kushusha RR hapa Tz? Bakhressa na baadhi ya wengine ameimiliki RR kitambo sana tu kabla ya diamond.. model tu zinatofautiana.

  • @CLB717
    @CLB717 Před 3 lety +31

    sio feki ndugu zangu Rolls royce ina badge nyeusi !!!!

    • @amoskizigha6856
      @amoskizigha6856 Před 3 lety +4

      Kuna black badge, silver badge na gold badge ila watu weng wamekariri ile silver badge 😁😁😁😁

  • @vybzfaruqh2712
    @vybzfaruqh2712 Před 3 lety +17

    Rolls Royce gari nzito 🔥🚘🚗

  • @davidfrancis7347
    @davidfrancis7347 Před 3 lety +15

    Aise! Hii interview inawashusha sana.

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Před 3 lety +5

    Huyu jamaa hana ujuzi wa kutosha cz hiyo gari campany yake ni kubwa sn dunian na huwez kuruhusiwa kuichakachua,hii ni interview ya kisenge

    • @karimmunis8302
      @karimmunis8302 Před 3 lety

      Do kumbe na wew umeona hee ,huwezk kubadili injeni ya hiyo gari ukabak salama lazima iwe kituko tu

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 Před 3 lety +1

      @@karimmunis8302 jamaa hana jipya ni mtu tu anayetaka kujulikana tu

  • @mjungufackson3932
    @mjungufackson3932 Před 3 lety +10

    Cyo gari la kwanza tz,,,imetumiwa na mwl nyerere ndo Mara ya kwanza

    • @edsonbandiko3592
      @edsonbandiko3592 Před 3 lety +2

      Inawashusha wakati nawe umeongez vrwz umesha angalia tayali unafeli Sana

    • @imanijohn6069
      @imanijohn6069 Před 3 lety

      Kweli aisee, ukienda makumbusho ya taifa ipo aliyo tumia Nyerere kitambo hichooo

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety

      Cullinan Black badge alitumia lini wee naee

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Před 3 lety +1

    Itamtesa wapi ..aweze nunua gari mpya akose kuweza kununua spea? Wabongo bwanaa... Hongera tena brother.

  • @josephgitau169
    @josephgitau169 Před 3 lety +33

    Waah one car as given TZ bloggers job over a week now... There is nothing like Rolls Royce fake in the world 🌍 hiyo ni air force shoes.

    • @activestudios.
      @activestudios. Před 3 lety +1

      BRO WAAMBIE COZ NAONA HAWAELEWI WANACHO POST KWENYE MEDIA ZAO

    • @limajblessed7132
      @limajblessed7132 Před 3 lety

      There is a fake rolls royce
      Am here in dubai and nimeona crestler imegeuzwa kuwa rollsroyce

    • @josephgitau169
      @josephgitau169 Před 3 lety +2

      @@limajblessed7132 wewe uliona body ya tractor

    • @senny6290
      @senny6290 Před 3 lety +2

      @@josephgitau169 😁😁😁na kweli

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 Před 3 lety +1

      @@josephgitau169 😂😂😂😂😂

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 Před 3 lety +4

    Asante simba

  • @davidmongo3203
    @davidmongo3203 Před 3 lety +18

    Yan imefikia wakt hag millard ana wivu na Simba🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo5950 Před 3 lety +16

    Hhahaha Bila Mondi Hamuna CONTENT!!!Nyau nyie😀😀😀😀Mtoto wa Tandale anawatesaa sana…Yaani munatamani adondoke leo ili mupate furaha ila MUNGU Atamlindaa

  • @joniejr750
    @joniejr750 Před 3 lety +1

    Ndo maan umeona kwa TANZANIA ndo kwa Mara yakwanza kainunua diamond ,,mond mtu mbad 🔥 🔥

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 Před 3 lety +2

    Unajia diamond katufanya saivi bilion tunaona ni ela ya kawaida sana tofauti na zamani

  • @younglegit7194
    @younglegit7194 Před 3 lety +2

    Mnachambua gari ya rois rois 😃😄

  • @nyash2542
    @nyash2542 Před 3 lety +3

    Vgard can't wait ☺☺

  • @amosaruta22
    @amosaruta22 Před 2 lety

    Namshauli daimondi sasa awekeze kila mkoa wa tz sio dar tuuu na mimi naona wa tz wengi wanao mchukia daimondi ni kwasababu ajawekeza kwenye sehem ya upigaji maana wa tz wanapenda sana madili

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 Před 3 lety +3

    Ostazi juma upo mzee wa majungu . Mavi yanagonga chupi mzee

  • @markethan1899
    @markethan1899 Před 3 lety +5

    Nimetulia zangu nawacheki tu. Njooni muone magari yangu, buggati Chiron, Lamborghini, ford mustang, Nissan Gt v12 twin turbo charged. Napatikana arusha

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Před 3 lety +1

      AA kaka aunishindi Mimi Nina laum ya milioni kuminambili nanusu 😃😃😃👍👍👍

    • @markethan1899
      @markethan1899 Před 3 lety

      @@mosesmwailenge5192 kwel bana uko juu nimekubali

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Před 3 lety +1

      @@markethan1899 haya lafiki yangu nimekupenda Buree 🤗🤗🤗

  • @angelshirima2289
    @angelshirima2289 Před 3 lety +1

    Wanawake wenzangu acheni upuuzi huu wa kuchoma nyumba nusunusu, seti mipango hakikisha ukiwasha moto hakibaki kitu zimamoto wenyewe hawana maji ni uwakika huo..🙂😗 acheni kuchoma kiboyaboya ivo

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe2970 Před 3 lety +12

    Yan Bongo bwana hivi maendeleo ya jamaa bado yanatesa nafsi za watu Daa

  • @aymansabuni2299
    @aymansabuni2299 Před 3 lety +8

    I was expecting you to show us that Diamond's car instead unatuonesha Video za gari nyingine.
    Na ulitakiwa wewe umtafute Diamond umuombe ulinganishe hiyo gari yake na hizo Genuine.

  • @feristagaspa2692
    @feristagaspa2692 Před 3 lety +3

    Swali kwanini matajiri wote was tz hawajanunua hiyo gari?

  • @OfficialmurraTv
    @OfficialmurraTv Před 3 lety +8

    Wew mtangazaji itokee uagize una pesa😂😂

  • @rogersfredrick9715
    @rogersfredrick9715 Před 3 lety +7

    Gonga like Kama zote

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 Před 3 lety +5

    HIYO HELA ANGEAMUA KUUNUNUA MTAA BASI BUZA YOTE INGEKUA YAKE🙈

  • @hassanmwaguzo7621
    @hassanmwaguzo7621 Před 3 lety +5

    So Tanzania nzima RR ni moja tu😂🤣😂

    • @stevenfrancis5191
      @stevenfrancis5191 Před 3 lety +1

      Kwa sure Ni ivyo mo mwenyewe alikuwa nampango wa kununua akahairisha akaenda kuwekeza simba

  • @PeterSegire
    @PeterSegire Před 2 měsíci

    Kuwa na pesa siyo shida unatakiwa kuwa mungu kila mahar siku ya kama upate uzima milele

  • @samsonsikazwe1762
    @samsonsikazwe1762 Před 3 lety +22

    Simba wakilisha tz na watu wote wanao kupiga unawapa wakiti mgumu wakufatilia vitu unavyo nunu mamm🙆🙆🙆 kila kitu anacho kinunua lazma wafatilie

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety +2

      Acha wateseke Mond anajua kunyooshaa

    • @kezziathadeo1414
      @kezziathadeo1414 Před 3 lety +1

      Huyu nae bize anajieleza masikn tunashida nyie achani mwez unaisha bdo watu wanamzungumzia mtoto wa watu mwenyew

    • @malakiyazidu0080
      @malakiyazidu0080 Před 3 lety

      tunasubri nandeg baad yamwezi itaingia waje waseme nifeki🥱🥱🥱

  • @lloydmanongi5095
    @lloydmanongi5095 Před 3 lety +1

    Huyu jamaa anajitahidi lakini hii gari haijui maelezo yake kuhusu hii gari ni mepesi sana ...hakufanya research ya kutosha amekurupuka

  • @arlecoboazsote5056
    @arlecoboazsote5056 Před 3 lety

    Vp naweza gari ya Bei ndogo Tena used kupitia nyie na nisikutane na matapeli?

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 Před 3 lety +20

    Dubai ni Dirhams, Singapore ni Singaporean Dollar..

    • @itsvipi
      @itsvipi Před 3 lety +7

      No problem, but do Kenyans import/buy their cars from Dubai in Kenya Shillings, Dirhams or in USD? Thats what he meant Omera bwanaa!!

    • @mussabalola8406
      @mussabalola8406 Před 3 lety

      Huyo BEN anazenia anaongea na walugaluga. Utakuta hata Dubai hajawai fika.

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 Před 3 lety +5

    H baba alisema atavua nguo ikija hiyo gari. Sasa imekuja mbona hajavua mmbwa huyu

    • @kagarukifred7372
      @kagarukifred7372 Před 3 lety

      H baba maskini Sana na maskini wa kibongo Wana roho mbaya sana

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 Před 3 lety +4

    Huyu jamaa mzito Sana kuelewa MASWALI. Hajibu ipasavyo

  • @genalphalyrics8729
    @genalphalyrics8729 Před 3 lety +19

    Iyo ngoma haitaji service ndo maana ni expensive!... It was built to last!...sio Chinese models

  • @DavidNdara
    @DavidNdara Před 3 lety +7

    Bwana unazingua Rolls Royce ni brand huwa haibadilishwi engine ama chochote...hizo ni maprado zenu bana wee

  • @MrTariQ345
    @MrTariQ345 Před 7 měsíci

    Ah kazi basi sasa kama anaagiza magari sasa afanyweje,wacheni utoto kama amenunua uwezo anao wa kuimiliki

  • @neemayusuphu1591
    @neemayusuphu1591 Před 2 lety

    Simbaaaa nawakubaki ayo TV Na platnumz

  • @umbaliche
    @umbaliche Před 3 lety +3

    @Millard Ayo unafeli kwenye hii content. Umeanza kuwa kama weleeee....kichwa cha habari na content haviendani. Ukuposema ukweli kuhusu gari ya Diamond nkajua unaongea na mtu ambaye ameingiza hiyo gari hapa TZ kumbe unatangaza biashara ya huyo jamaa tena wala hana maelezo yaliyoshiba

  • @jeremiahgeorge3552
    @jeremiahgeorge3552 Před 3 lety +8

    🤗🤗🤗

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Před 3 lety +22

    Bado mna discuss hiyo gari, kazi ipo

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 Před 3 lety +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety +1

      MOND round hii kawawezaa

    • @efronaaron6772
      @efronaaron6772 Před 3 lety

      😃😃😃😃😃😃😃😃😃

    • @mwajeymajid4988
      @mwajeymajid4988 Před 3 lety

      Nyieeee mwabwabwaja buree Ilo gar atangia nalo kweny jeneza au ktk sanda em wazeni vityu vya msing ata angekuj na mkokoten Ni wake waja mna mno hamuish maneno

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety +1

      @@mwajeymajid4988 Tatzo kwnunua wanaemchukia sasa wanateseka kila namna lkn hawapati pa kujificha😂😂

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 Před 3 lety +3

    Diamond platinumz anawatesa Sana bado mnaichambua gali yake wakati hata mwenyew ameshasahau anawaza mengine

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 Před 3 lety

    Ninavyo jua mie kua kila gari ikiwa latest ushuru si unapungua...cz Haina uchakavu...

  • @barghashally7791
    @barghashally7791 Před 3 lety +2

    Duh nimetulia zangu hapa hata kibanda similiki, kiukweli wenzangu tupambane, muda ukifika wakati utaongea. 🤐

  • @ammanjnj8716
    @ammanjnj8716 Před 3 lety +1

    Hakuna engine inayo ingiliana na rolls Royce dunian kutokana na wenyew walivyo weka security katik brand yao na wala uwez modify muongo uyooo

    • @ammanjnj8716
      @ammanjnj8716 Před 3 lety

      Eti mtu ununue rolls royce kwa bei kubw uka change engine alaf uuze kwa bei poa iyo ni akili kwel

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 Před 3 lety +1

    Kazi mnayo waandishi

  • @leahally4618
    @leahally4618 Před 3 lety +2

    Kweli kumtaja mond ni hajira woooooote tumekuja kwajil ya kuona mond tu😂😂😂😂

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi1424 Před 3 lety +4

    Rolls Royce ziko nimeziona tatu hapa mjini moja ya phantom ya family ya bakhresa na ghost nyeusi ya mchaga

    • @nottyally9187
      @nottyally9187 Před 3 lety

      Acheni hiyo huku vijiji hawajua huyo Rolly Rose sijui.nn,wanasema zoto ndio gumzo.huku tunakufa

    • @jamesshao538
      @jamesshao538 Před 3 lety +1

      Siyo Kama ya Diamond broo yake ni 2021

    • @ndegejr4218
      @ndegejr4218 Před 3 lety +2

      Omar Bahkresa anazo Rolls Royce mbili ( Wraith na Ghost),Na Davis Mosha anayo 1 Rolls Royce Phantom ile aliyotumia Professor Jay kwenye wimbo wake Wa UTANIAMBIA NINI

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety

      Hizo umeziona ww ila cc tunazungmzia tunachokiona public

    • @isaackalbert6234
      @isaackalbert6234 Před rokem

      ​@@ndegejr4218 ya mosha 🙌

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před 3 lety +1

    Wivu mbaya sana jamaa

  • @hashimkinara1377
    @hashimkinara1377 Před 3 lety

    Ayo njoo Kenya utaikuta Tesla ya kwanza Africa. Upate kumuhoji mmiliki.

  • @shedrackatanasio9734
    @shedrackatanasio9734 Před 3 lety +5

    Milard ayo umekuaje tena pga kaz mzee achan na habar hzo za magar ya watu nakuamn

    • @Werema3760
      @Werema3760 Před 3 lety

      Siuache kuangalia! Ana post kitu kinacho vutia kuangalika

  • @Hanskapella
    @Hanskapella Před 3 lety +3

    Huyu ni mtu wa kuagiza gari tu hajui lolote kuhusu gari

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 Před 3 lety +4

    Dubai haya ni gari ya kawaida Second hand kibao sana.. Diamond alinunua Second hand car at cheap price he can't afford Brand new

    • @twahirujuma2412
      @twahirujuma2412 Před 3 lety +2

      Kama huna hela ni wewe

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 Před 3 lety +1

      Ila jaman Mungu atupe yanayo tutosha maana gubu nimzigo

    • @daudsnopdissa5662
      @daudsnopdissa5662 Před 3 lety +1

      why he can't and why when you comment u look like you know him more more than himself. is the same for me to say u can't get money forlife while i don't know u deeply not good u have a problem some where you need change your attidude

    • @maxwellsanga3662
      @maxwellsanga3662 Před 3 lety

      huyu hata mlango wa Dubai haujui itakua bei hata ya Probox 😂

    • @chicharitoronaldo5950
      @chicharitoronaldo5950 Před 3 lety

      Wewe na MAMAKO NA UKOO WAKO WOTE HATA PROBOX HAMUNAA!!!

  • @Wilsonmapinduzi
    @Wilsonmapinduzi Před 3 lety +1

    Ayo kaanza ku upload usenge

  • @innocentmwakabanji827
    @innocentmwakabanji827 Před 3 lety

    Ikizingua tutatulia nayo na uchebe😎

  • @safariautoservice7032
    @safariautoservice7032 Před 3 lety +3

    Ila uzuri kanunua gari ambayo Steering wheel iko upandi mzuri. Siyo wrong side of the road kama nyingine. Kwahilo na mpongeza. Ila ni gari kama nyingi.

  • @timothypillay5525
    @timothypillay5525 Před 2 lety

    Safety next level that

  • @AmanMediaTz
    @AmanMediaTz Před 3 lety +2

    Nunua Yako acha kelele

  • @jaymozanz
    @jaymozanz Před 3 lety +3

    Hey! I’m very disappointed with this guy who called him urgent. My friend there’s no fake engine for this type of car . Just do small research please. U guys wake up. Diamond is next level. This type of cars are very few in world so to track them is simple everything is recorded out there.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před rokem

      Jifunze kiswahili hujui hata wanasema nini hapo, we endelea kumtukuza Malkia Elizabeth na English yako

  • @bossadam2252
    @bossadam2252 Před 3 lety +2

    Sasa rolls Royce inabid wampe diamond ubalozi toka agize basi gumzo kila cku

  • @shabymaizer456
    @shabymaizer456 Před 3 lety +6

    Hii interview ya kisenge Kam wasenge wengin leten maada za maan achen ushangaz

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 Před 3 lety +1

      Hahahahha wanachosha yaani bila Diamond maisha hayaende kabisa

    • @shabymaizer456
      @shabymaizer456 Před 3 lety

      @@kassimrajabu7805 wanazngua San cjui wamemtoa wap huyo chok mak hat anachokiongea halet maan yoyot

  • @godfreystabie8409
    @godfreystabie8409 Před 2 lety

    watu 255 shida ni nini ata gari mnafanyisha kila mtu interview .....kwaza hii ayo tv..this too much

  • @samwelnyankena9873
    @samwelnyankena9873 Před 3 lety +1

    Hajui magari kumbe huyu anauza ist tu😂😂😂😂

  • @rashidnasoro1065
    @rashidnasoro1065 Před 3 lety

    Duuh Mond katisha sana yaani Bongo nzima ana gari ya Pekee yake

  • @abuibra
    @abuibra Před 3 lety

    Umasikini tabu sana oh kanunua viatu oh kanunua koti, oh kanunua gari, oh hana nyumba oh oh oh.sijui hizo tabia za hasada na tamaa za vitu vya watu mtaacha lini tafuteni vyenu pumbavu babako anapekua kamnunulie viatu.

  • @kennedyombewa7974
    @kennedyombewa7974 Před 3 lety

    Jamaa cjui mhaya cjui nn, kiingereza Cha nn mzee mbona kama kinakuchenga. Piga chini kizngu ongea cha kwetu

  • @xhingboy8195
    @xhingboy8195 Před 3 lety +3

    Huyu jamaa ana akili za kugoogle......ety "ukigoogle utaona ni gari inayopita xehem yyte"

  • @NehemiahRotich
    @NehemiahRotich Před 3 lety +5

    This car has really trended in Tanzania .I had to check if there is one in Kenya ..Only to find that there are 8 such cars

    • @umbaliche
      @umbaliche Před 3 lety

      Still in a single digit

    • @jamesoduororawo8379
      @jamesoduororawo8379 Před 3 lety +1

      More than.Visit executive car Dealers Nairobi they have been importing and selling Rolls since way back. 🇰🇪

    • @collinsstanley6126
      @collinsstanley6126 Před 3 lety

      @@jamesoduororawo8379 buh not rr Cullian2021

    • @jamesoduororawo8379
      @jamesoduororawo8379 Před 3 lety +1

      No need to argue visit Nairobi along the Streets of Mthaiga Estate you will get a shock of a life time..

    • @ibrahlion9888
      @ibrahlion9888 Před 2 lety

      Today it's owned by several Kenyan 🇰🇪 tycoons who are not even a public figure but they are stinking rich.

  • @Officialdjmack
    @Officialdjmack Před 3 měsíci

    🎉

  • @castroonesmo2311
    @castroonesmo2311 Před 3 lety

    Jamaaa anaonekana haijui kabisa hiyo gari

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Před 3 lety +2

    Tuzo ya bet vp..!?

  • @giantokoe
    @giantokoe Před 3 lety

    Ukweli ni kwamba hizo gari zipo nyingi hapa bongo ila hatutaki kijionyesha tu

  • @avizpaul3086
    @avizpaul3086 Před 3 lety

    Mbona ya kawaida sana ,jifunze kuona kila kitu ni cha kawaida wala usihamaki sana ,katafta hela kanunua ,ht mimi nkitafuta hela ntanunua hata Starlet na kuna watu mimi nitawashika pia so duniani kila mtu aishi uwezo wake 😂

  • @mbombopatrick4084
    @mbombopatrick4084 Před 3 lety

    Huyu Anafanya Biashara ya kuuza magari afu anadanganya bei..Hiyo gari ni bei sana ndio ila sio Dola laki tano.. Jamaa anauza magari lakini A small knowledge ya kuhusu price ya izi Gari za Kifahari anatupanga... In dollars iyo gari ikiwa mpya market Price ni $382,000 in USA. in Uk ni £276k... sasa yeye iyo laki tano kaitolea wapi...na Hizo ndio Price zilizopo sokoni kwa Izo Gari zikiwa 00......

  • @captaindunga.5849
    @captaindunga.5849 Před 2 lety

    Mafundi kibao tuu wapo wanaweza kuisevis labda utuambie upande wa spea zake ndo maduka yatakua hayana lakini spea ikiwepo hata kufungwa inafungwa.. kwani hata hizo tunaziona si zimeletwa au ziliundwa TANZANIA? hiyo ni gari kama gari zingine tofauti umaarufu wake na bei yake.

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 Před 3 lety +2

    Dah watu hawataki kuaamini kama inawezekana