MFAHAMU RAIS 'BISHOO' ANAYEISHANGAZA DUNIA/ AZIGUSA TAASISI NYETI KIMKAKATI/ MATAIFA YAMJADILI
Vložit
- čas přidán 20. 04. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Asante dada wanao kuponda kua hujui Kiswahili pia wameelewa mimi nimekuelewa
Hariri nzuri sana nasikiliza kutoka sowetto~♥~ SOUTH AFRICA~♥~ napapenda sana tanzania na napenda sana ulivyo tangaza nimefurahishwa na ulivyoelezea simulizi ama hariri hii ya raisi bishoo ni nzuri sana keep it up we like u so much 💗💗💗
🎉
😮❤😊
Maashallah keep it up my lovely sister...kongole kwa usanifu wako wa lugha licha ya kutokuwa fasili yako.
Ndo kwanza Leo nimjue uyo raisi bishoo!😊👍🏻
Mimi pia
great
I salute 🫡 Mr president of El Salvador 🇸🇻
Ngiyathanda sisi in zulu i mean that i love you sister ,, keep it up we both like what u do, dont give a shitt to anyone who breaks your heart in this hard work you always deliver
kiswahili ni kizuri na kitamu na unatamka vizuri sana tu achana na ngiri pori wanaojaribi kusema maneno mabaya nimeipenda sana simulizi hii ama uhariri huu safi sana
💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Mbona me naona anaweza tu
Big up
Ye mwenyewe mpalestina hawamtishi umafia😂
🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bishoo kwali bishoo wa nguvu msimamo wa hayati MAKUFULI ✊
😂safi sana maisha Ndio yalivyo heshima kwa kila rika
Palestine 🇵🇸 is one of Allah’s (SWT)beloved ethnici nation, as our prophet issa bin maryam (A.s) or known as jesus in the Bible is Palestinian .. all races and ethnicities are equal in the eyes of god except for those who are righteous and follow Allah’s (SWT) commands, those have a higher regard in the eyes of the almighty.. and Palestine has an impressive number of prophets as history shows !! #freepalestine
Nakubaliana naye
Mtangazaji unazingua katika Lugha yetu Bhana,
Hardhi - Ardhi
Sihasa - Siasa
Anazingua
Bora mlisemee hili la lugha. Vijanana waandishi habari wengi siku hizi eti hawajui herufi za kuswahili. Wanaharibu matamshi kabisaa. Ni aibu sana ukizingatia kua kiswahili ni lugha ya taifa- Tz. Jirekebisheni.!
🙏🙏🙏🙏❤️🌹
😮😮😮
Matatizo ya wengi wa vijana wa kileo
Kafanana na MO
Unasauti nzuri ila kiswahili chako sio kizuriii
Hardhi Ardh
Nakuambia kweli kazii anayoo I fanyaa
hivi ni mm ndo sijui vyema lugha ya kiswahili au...
Hahaha hii nchii ndoo nzuri fanya Mambo yako kimafia zaidi
Nilikuwa nafatilia hii nchii toka mwaka juzi naona yuko vizuri hasa kwenye maendeleo ya technology 🎉
Jifunze kusoma vizuri..
Wewe umesoma ungechkua hyo nafasi yake
Wewe Ndio ujui kusoma dada Ana sauti mzuri
Ukisema kweli unatukanwa km hajui ndio ajifunze asichafue kiswahil bn
mimi nasoma comenti
Uyu si, yule adui wa Boyka 2
😅😅😅
😂😂😂😂
Amm afaan kunin afaan maani
Sio sihasa ni siasa
Eee kweli bishoo aiseee
Hayana,Sihasa mara Alizi ndio kiswahili Gani?
Ndo ungetengeneza ya kwako yenye kiswahili kizur...achan ujinga jifunze kwanza
hiyo ni kali
Huyu dada wa wapi kuongea kiswahili hajui njoo zanzibar usome kiswahili
HatA wewe Kuna vitu hujui yeye anajua
Ulivyo jua weye kimekusaidia nini mie mwenyewe ni Mpemba mwenzako lkn huo wako ni ushamba kila sehem unacomment yaani umekazania hajui kiswahili sjui nini lkn yeye yake yanasonga weye endelea na majungu wapemba wengi tunakwama kwa kujiona sisi ni bora wakat huo tumesahua kuwa Allah pekee ndiye hana kasoro kila siku ni kuwasema wabara mara malaya mara sjui hivi mara vile watu wametoka kwao kuja kutafuta riski sisi tumekalisha makalio yetu kuwatukana tu na kulaumu serikali wakati hata mtume S.A. W kasha sema safirini kutafuta riski ya halali duniani kote lkn sisi jamaaa zetu wa nchi moja hatutak waje apa na kipindi hicho ndugu zetu kaka zetu wako ulaya nchi mbalimbal hata huko bara wanatafuta maisha pasipo buguza yeyote ile na watu wa bara ukienda kwao ni wakarim mno mpaka raha lkn wao wakija Zanzibar wanabaguliwa kinoma mpaka huruma mambo mabaya yote wanasakiziwa wao mara wezi mara malaya mara vile kwa mfano ukiambiwa utembez njugu kama wanavyo fanya wamakonde utaweza jibu ni no lkn njugu unapenda je wasinge kuja hapo ungepata wapi hizo njugu kiufupi sisi wazanzibar tumekaliaroho roho mbaya ubinafsi kujipa umungu mtu kujipa darja kubwa na kudharau wengine ndiyo maana tunakuwa na life ngumu sana tunaona kila siku serikali inatuonea japo kweli kiupande mwengine kweli inatuonea lkn na sie tuna kibri na kibri ni sifa za firauni na shetwan na Allah hawez kuwa karibu na mtu mwenye kibri wakat kila mtu anajiona Muarabu wakat wengine wanatukana wanyamwez lkn ukimuangalia yeye unajisemea tu moyon huyu nae ni mnywamwez babu yake aliletwe utumwan akabaki pemba ndiyo bac lkn atajitia uarabu Vijana wengi zenji ni mashoga madem wengi malaya wanajificha tu kwa baibui lkn nenda madisco usiku utaona dada zetu wakoje mfano mdogo sikukuu za eid watoto wanafanya hatar lkn husikii kusema kazi yetu ni kuwasema wabongo tu lkn sie wenyewe tuna machafu mengi na yanadhid kuengezeka kwa kuyaficha kujiona tuko sahihi mtu kakosea mwambie hapo dada umekosea ungeweka R baada ya L hapo mtu ni rahis kukuelewa sasa mtu unakuja juu wabongo hamjui kiswahili weye kiswahili kimekusaidia nini pembe halitafutwi kwa kujua kiswahili ndiyo maana wabongo wengi wanaishi maisha mazur kwakuwa hawana chuki hawana kinyongo hawana dharau wao wanaenjoy tu japo kiupande mwengine hawakosahihi lkn Allah ndiye mjuzi tuache ujuaje wazanzibar mbongo anaweza maliza chuo na akaja Zanzibar kuuza njugu kuuza chips kuuza vitu vidogo vidogo mtaani na hawazi wala humkuti anatukani serikali sasa usiombe mzanzibar amalize chuo tena ile certificate tu serikal itakoma mzanzibar kafika darasa laa 6 au form 2 au form 4 anatukana serikali anataka ajira serikalin ndipo utakapo jiuliza huyu mtu ni timamu au chizi wabongo nawakubal kinoma mie tena sana respect kwenu nyie wamba mnajituma sana kutafuta maisha wengine tulishwa dekezwa toka utotoni na kuaminishwa kazi zote ngumu ni za wanyamwez wakat elimu hatuna tunaishia kukaa kwetu mpaka tunaoa tukiwa kwetu mimi ni mtanzania siyo mpemba wala mbara
Kiswahili cha kiunguja ni Kiswahili cha kisenge hakuna mbongo ambaye anapenda kuongea kiswahili chakiunguja au Mombasa na Lamu na pwani ya Tanga na basi ukikuta vijana wakibongo wanaongea kiswahili chakiunguja basi wazi utakuta hao vijana ni machoko
@@Mpakauseme no siyo cha kisenge kile ndicho kiswahili sahihi ila siyo vizur kuwatukana wabongo
@@Saidkhel Hapana nasi waunguja wote uzungumza kiswahili kifasaha mimi nimeishi unguja ndani ya miaka kumi basi shida iliyo hapa mitandaoni nikukandiana tu na mitindo ya kibaguzi sasa na ndio nime watusi kwamakusudi , R na H ukizitamka kiufasaha ni kama unazunguza kiarabu nandio wao utaka hivyo na watu waonge kimadoido kama watakavyo wao sasa wabongo wanaona ni usenge tu huu ndio ukweli ubaguzi unawatafuna sana na roho mbaya
Ujaribu utafute subtitles
Rais tozi kinomaaa hyu dah! Wahuni wauza madawa ya kulevya ngada anawajua wote
As a kenyan listening to tanzanian commentary, it sounds odd, good job though
Why she talks good
Nimefurahi kuwa unaweza kuongea kisw baada ya kujifunza. Naamini utakijua vizur kisw siku zijazo Dada yangu
Great comment 🎉to wish someone bless🎉I can say God bless you too bro
Mdada wa wapi huyu kweni?
Mwamba uyu hapa..
Huyu anakithembe jamani msameheni tu
mwamba kweli kweliii
Haaa Moo Simba bingwaa
Stori nzuri ila mtangazaji sie amezingua kiswahili hajakipa haki yake anasoma pia kwa kudodosa
Shoga angu mtangazaji kiswahili kinakupa tabu sana, endelea kujitahidi utajuwa tu
vizuri sana comment ya kistaarabu ba kiungwana sana anajitahidi sana na ana sauti nzuri sana tutafika nae
Kiswahili hajui kabisaaaa eti hardhi baadala ya ardhi
Ana Uarabu mwingi sana😂
Palestine
Nchi yenye volcano na matetemeko ya Harzi😅😅
😂
Lugha ni muhimu sana duniyani. .
😂😂😂😂unashughulikia kibanzi jichoni kwa mwenzio wakati kwako kuna boriti!!!? Duniyani!!!?
Wabongo kuzungumza kiswahili hamjui mnatuchafulia Lugha unaongea kiswahili kibovu kabisa ndio maana wazungu wakija Tanzania wanapenda kufika Zanzibar kujifunza kiswahili
Afrika mashariki-- Aflika Mashaliki😂😂
Gari-- Gali 😂😂😂😂
Zanzibar Unguja walio wengi wanazunguza kiswahili kwakurembesha matamshi kama vile watu walio wasenge na hii ndio sababu ya wabongo hawakupenda kuongea kiswahili fasaha na herufi R na H sahihi ukizitamka kiufasaha katika mazungumzo ya moja kwa moja wazi hizo herufi utajikuta unaongea kama mtu msenge fulani na ndio watu dar es salaam walio wengi zaidi ni vijana hawapendi kuzitamka hizo herufi na hiyo ndiyo sababu kuu
@@Mpakausemesio sababu hio kuongea kiswahihi cha zanzibar. Kiswahili chenu. Cha bara ndio mliozaliwa nacho hamuwezi kukibadilisha hususan watu wa mipakani mnaongea kiswahili kibovu
Sasa wewe unayejua kuongea kiswahili fasaha kimekufukisha wapi😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ujahili utatumaliza Sisi, mtu Haoni ule ujumbe mzuri ulokua kwenye video anaona makosa ya kilafudhi aliyo yafanya mtengenezaji wa video hii. Mfano mzuri kingereza kila nchi inalafudhi yake wakiongea kingereza lakini sijawahi kusikia mtu akisema upuuzi kama uliosema wewe hapa kwamba wanachafua lugha, narudia tena ujahili na ubaguzi utatumaza Sisi. Natokea Zanzibar by the way!
Kiswahili kinawapita watu Tanzania mpaka ma shuleni seuze El Salvador. Waandishi wa habari wengi hatuwezi. Mwaka huu 70% ya wanafunzi hawakufanya vizuri mitihani inasemekana.
Ni kweli Maryam Adam mbutu dada kazingua
Kiswahili kibovu Eti sihasa badala ya siasa ndo nini sasa stori tamu ila kazingua inaboa sana kwa mtangazaji kutokujua matamshi ya kiswahili ovyoooo
Halafu wengi wanataka mosomo yote yawe yanafundishwa Kwa Kiswahili,..
Tamka ARDHI siyo HARIDHI
Wewe mtangazaji ni siasa SIYO SIHASA
Hii ni movi ama
bishoo manisha nini sielewi kabisa
Yaani nimeskza simulizi inaelekea kuisha sijaskia jina la rais..kwani nani kaandika hii script?
Si amemtaja jamani au masikio yako yana matege?amesema anaitwa Naib Almandro ebu hacheni nongwa basi kujifanya wajuaji
@@adaboychibu1659 jina limetajwa mwishoni na scripts haziandikwi hivyo..nyamaza pia wewe. umeona wapi historia ya mtu jina linatajwa mwisho wa simulizi?
Anaitwa bishoo
Katika kiswahili unakitu, utafika mbali 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Kama unasoma coment aisee unasoma habari kama bbc
🤣🤣🤣🤣
PEDESHEEE.
Irudiwe hii stori na mtangazaji anaejua kiswahili vizuri uyu dada kazingua anadodosa pia
Bora mlisemee hili la lugha. Vijana na baadhi ya waandishi habari wengi siku hizi eti hawajui herufi za kuswahili. Wanaharibu matamshi kabisaa. Ni aibu sana ukizingatia kua kiswahili ni lugha ya taifa- Tz. Jirekebisheni.!
Ukisema ukweli unatukanwa matusi
hayana au hiyana?unachafua lugha ya kiswahili.adhabu yako ufungwe maisha.
uhaya mwingi. sasa matetemeko tena yanakuwa na hadhi.
@@bightmind.tv1 😂😂
Hujui kusoma au hujui kiswahili binti
Kama unajia fanya wewe
We kenge nini,kukosolewa ndio kujifunza kwenda huko na limedia lako lisiloeleweka.
Halafu kumbe hata wewe hujui kuandika ndio maana unamtetea mwenzio😂😂😂
Dada unavyoongea unatupotezea hata ladha ya kuangalia na kisikiliza habari zako, ongea yako inakera
Hayana..?
Sihasa..?
Shule hua mnasoma nini
Kama makonda alivyofanyiwa unyambisi
Sihasa ndio nn dada mbona unafeli
Hayana😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 kiswahili kiswahili kiswahili
Jifunzeni kutamka kwa ufasaha maneno ya kiswahili kwanza kabla ya kufanya hizi kazi....sio sihasa bali ni Siasa, sio Jamhuli bali ni Jamuhuri.
Namuona yupo kama magufuli
Hahaha
😂😂😂😂jifunze kusoma kwnz unatia aibu
Ndugu mtangazaji unazungumza vizuri sana, lakini hadithi hiyo haina impact na maisha ya hapa kwetu tafuta kitu chenye kutanua mishipa ya fikra utapata tu..na utupatie
😅😂😅😂🙆🙆🙆🙆🙆
Unataka taarifa za wasafi au?
Mbona watu wanafunzwa history basi kama haiwafaidi?
Rais pekee alieweza pambana na majambazi dunia na kutimiza ahadi alizoahidi wananchi wake
but kiswahili kinakupa shida dada, njoo Zanzibar nikutrain kiswahili fasaha, nina wanafunzi kutoka German na Marekani nawafundisha kiswahili but hata journalism nimesomea
Sasa wew ni Mwalimu au journalist!?
nifundishe mm kama kweli
Mwalimu wa kiswahili unaandika but hata journalism? Kazi ipo
@@annehk8185sasa aandikeje?
Sasa vinanda vimebeba sauti yako yoote
Sijui kwanini neno Bishoo limetumika hapa kwa huyu Rais mwenye akili ya kimageuzi na aliefanikiwa sana kuiletea nchi yake mapinduzi ya amani na kushusha kiwango cha mauaji ya raia hovyo hovyo kutokana na kuwepo magenge makubwa mengi ya uhalifu. Sidhani mtu kujipenda kimavazi na usafi inampa kua bishoo, huu uandishi wa kidaku sana kero ka media za Tz ni kama uwezo na ufanisi wa kiuandishi hakuna tena. Ni umbayuwayu tu unataradadi media zetu.
Ww mdada sio Hayana ni Hiyana na sio Sihasa ni Siasa, uwongeaji wako unabowa bhn
Bishoo ndo nini
Wengi coment zenu ni za kuponda tu jinsi ya kuzungumza kwake ,, mara nyengine mtieni moyo muhusika ili apate nguvu ya kuendelea na kazi yake.
Dada umetangaza vzr suala la kiswahil ktk matamshi ni suala lenye kurekebishika ikifanya maamuz
Wasenge hao
Sihasa ni nini?
Katika nchi ya America ya kilatini,halizi,hiyana sio hayana,Siasa sio Sihasa
Kiufupi mtangazaji ni sifuri,Unaiabisha hii media
Nakuona hon sigara
@@ms123ru kaka hizi online TV,zina mambo ya hovyo sana,sijui hawa watangazaji wanasomeaga wapi
@@ibrahimurichard377 Huenda ni Robot inayosoma kutokana n'a tarjim ya Google.
Ka nchi hatari Sana Kwa uhalifu, home of m23
Kikundi kinaitwa m13 ....m23 ni wa Congo
Sorry ni ms13
DUNIA IMEVAMIWA, HIVI RAIS KAMA HUYU ANAWEZA KUKEMEA MMONYOKO WA MAADILI KWA VIJANA KWELI!? 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Kila raisi ana sera zake, huyu sera zake ni ujambazi na ufisadi. Tanzania tumekuwa na maraisi watu wazima ila huoni maadili yanazidi kuporomoka siku hadi siku? Umri si hoja ndugu yangu!
Mchane uyoiiii
@@hassankisaka5557 safi yaani huyu anaangalia mavazi, haangalii mtu anaongea nini , bora hata umemchana makavu.
Dada kukusahisha naibu bukele akikamatwa madaraka iliwa Na ubri wa 39
Matetemeko ya harzi 😂😂😂😂😂sihasa😂 jamuhuli 😂
Wabongo NYOTE wajinga tuu makahaba wakubwa nyie kajifunzeni kuongea kiswahili
Mtu akiwa mtana shati ni bishoo