MFAHAMU RAIS 'BISHOO' ANAYEISHANGAZA DUNIA/ AZIGUSA TAASISI NYETI KIMKAKATI/ MATAIFA YAMJADILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 162

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i Před 3 měsíci +3

    Asante dada wanao kuponda kua hujui Kiswahili pia wameelewa mimi nimekuelewa

  • @Jonathanmakhubela-kb6lz
    @Jonathanmakhubela-kb6lz Před 3 měsíci +2

    Hariri nzuri sana nasikiliza kutoka sowetto~♥~ SOUTH AFRICA~♥~ napapenda sana tanzania na napenda sana ulivyo tangaza nimefurahishwa na ulivyoelezea simulizi ama hariri hii ya raisi bishoo ni nzuri sana keep it up we like u so much 💗💗💗

  • @karisamlako3072
    @karisamlako3072 Před rokem +7

    Maashallah keep it up my lovely sister...kongole kwa usanifu wako wa lugha licha ya kutokuwa fasili yako.

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 Před rokem +9

    Ndo kwanza Leo nimjue uyo raisi bishoo!😊👍🏻

  • @jesuslove2205
    @jesuslove2205 Před rokem +5

    great

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 3 měsíci +1

    I salute 🫡 Mr president of El Salvador 🇸🇻

  • @Jonathanmakhubela-kb6lz
    @Jonathanmakhubela-kb6lz Před 3 měsíci +1

    Ngiyathanda sisi in zulu i mean that i love you sister ,, keep it up we both like what u do, dont give a shitt to anyone who breaks your heart in this hard work you always deliver
    kiswahili ni kizuri na kitamu na unatamka vizuri sana tu achana na ngiri pori wanaojaribi kusema maneno mabaya nimeipenda sana simulizi hii ama uhariri huu safi sana
    💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @International_Admin
    @International_Admin Před rokem +4

    Mbona me naona anaweza tu

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 Před rokem +1

    Big up

  • @shabanmruma5537
    @shabanmruma5537 Před 3 měsíci +3

    Ye mwenyewe mpalestina hawamtishi umafia😂

  • @sebatech3951
    @sebatech3951 Před rokem +1

    🙏🙏🙏

  • @justinflmoni7262
    @justinflmoni7262 Před rokem

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Bishoo kwali bishoo wa nguvu msimamo wa hayati MAKUFULI ✊

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Před rokem +6

    😂safi sana maisha Ndio yalivyo heshima kwa kila rika

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 Před 3 měsíci +1

    Palestine 🇵🇸 is one of Allah’s (SWT)beloved ethnici nation, as our prophet issa bin maryam (A.s) or known as jesus in the Bible is Palestinian .. all races and ethnicities are equal in the eyes of god except for those who are righteous and follow Allah’s (SWT) commands, those have a higher regard in the eyes of the almighty.. and Palestine has an impressive number of prophets as history shows !! #freepalestine

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 Před 3 měsíci

    Nakubaliana naye

  • @chiefchacha2992
    @chiefchacha2992 Před rokem +6

    Mtangazaji unazingua katika Lugha yetu Bhana,
    Hardhi - Ardhi
    Sihasa - Siasa

    • @Banyikwa-po2mo
      @Banyikwa-po2mo Před 3 měsíci

      Anazingua

    • @Zai-vh7jd
      @Zai-vh7jd Před 3 měsíci

      Bora mlisemee hili la lugha. Vijanana waandishi habari wengi siku hizi eti hawajui herufi za kuswahili. Wanaharibu matamshi kabisaa. Ni aibu sana ukizingatia kua kiswahili ni lugha ya taifa- Tz. Jirekebisheni.!

  • @thechosene.b7747
    @thechosene.b7747 Před rokem

    🙏🙏🙏🙏❤️🌹

  • @sidocee-uo7nu
    @sidocee-uo7nu Před rokem

    😮😮😮

  • @nth3512
    @nth3512 Před rokem +4

    Matatizo ya wengi wa vijana wa kileo

  • @ireneshao7950
    @ireneshao7950 Před rokem +1

    Kafanana na MO

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 Před rokem +1

    Unasauti nzuri ila kiswahili chako sio kizuriii

  • @MARIAMJUMAA-hk9fq
    @MARIAMJUMAA-hk9fq Před rokem

    Hardhi Ardh

  • @nassirissa2137
    @nassirissa2137 Před rokem

    Nakuambia kweli kazii anayoo I fanyaa

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Před rokem +1

    hivi ni mm ndo sijui vyema lugha ya kiswahili au...

  • @harymo173
    @harymo173 Před 3 měsíci

    Hahaha hii nchii ndoo nzuri fanya Mambo yako kimafia zaidi
    Nilikuwa nafatilia hii nchii toka mwaka juzi naona yuko vizuri hasa kwenye maendeleo ya technology 🎉

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 Před rokem +4

    Jifunze kusoma vizuri..

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf Před rokem

      Wewe umesoma ungechkua hyo nafasi yake

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene Před 3 měsíci

      Wewe Ndio ujui kusoma dada Ana sauti mzuri

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před 2 měsíci

      Ukisema kweli unatukanwa km hajui ndio ajifunze asichafue kiswahil bn

  • @matombotv1507
    @matombotv1507 Před rokem +2

    mimi nasoma comenti

  • @pascalnolas8728
    @pascalnolas8728 Před rokem +4

    Uyu si, yule adui wa Boyka 2

  • @Afroinvestigate
    @Afroinvestigate Před rokem

    Amm afaan kunin afaan maani

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 Před rokem

    Sio sihasa ni siasa

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před rokem

    Eee kweli bishoo aiseee

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Před rokem +5

    Hayana,Sihasa mara Alizi ndio kiswahili Gani?

    • @jumahatibu9240
      @jumahatibu9240 Před rokem +1

      Ndo ungetengeneza ya kwako yenye kiswahili kizur...achan ujinga jifunze kwanza

  • @SalumMrisho-gx3os
    @SalumMrisho-gx3os Před 3 měsíci

    hiyo ni kali

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Před rokem +7

    Huyu dada wa wapi kuongea kiswahili hajui njoo zanzibar usome kiswahili

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 Před rokem

      HatA wewe Kuna vitu hujui yeye anajua

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Před rokem

      Ulivyo jua weye kimekusaidia nini mie mwenyewe ni Mpemba mwenzako lkn huo wako ni ushamba kila sehem unacomment yaani umekazania hajui kiswahili sjui nini lkn yeye yake yanasonga weye endelea na majungu wapemba wengi tunakwama kwa kujiona sisi ni bora wakat huo tumesahua kuwa Allah pekee ndiye hana kasoro kila siku ni kuwasema wabara mara malaya mara sjui hivi mara vile watu wametoka kwao kuja kutafuta riski sisi tumekalisha makalio yetu kuwatukana tu na kulaumu serikali wakati hata mtume S.A. W kasha sema safirini kutafuta riski ya halali duniani kote lkn sisi jamaaa zetu wa nchi moja hatutak waje apa na kipindi hicho ndugu zetu kaka zetu wako ulaya nchi mbalimbal hata huko bara wanatafuta maisha pasipo buguza yeyote ile na watu wa bara ukienda kwao ni wakarim mno mpaka raha lkn wao wakija Zanzibar wanabaguliwa kinoma mpaka huruma mambo mabaya yote wanasakiziwa wao mara wezi mara malaya mara vile kwa mfano ukiambiwa utembez njugu kama wanavyo fanya wamakonde utaweza jibu ni no lkn njugu unapenda je wasinge kuja hapo ungepata wapi hizo njugu kiufupi sisi wazanzibar tumekaliaroho roho mbaya ubinafsi kujipa umungu mtu kujipa darja kubwa na kudharau wengine ndiyo maana tunakuwa na life ngumu sana tunaona kila siku serikali inatuonea japo kweli kiupande mwengine kweli inatuonea lkn na sie tuna kibri na kibri ni sifa za firauni na shetwan na Allah hawez kuwa karibu na mtu mwenye kibri wakat kila mtu anajiona Muarabu wakat wengine wanatukana wanyamwez lkn ukimuangalia yeye unajisemea tu moyon huyu nae ni mnywamwez babu yake aliletwe utumwan akabaki pemba ndiyo bac lkn atajitia uarabu Vijana wengi zenji ni mashoga madem wengi malaya wanajificha tu kwa baibui lkn nenda madisco usiku utaona dada zetu wakoje mfano mdogo sikukuu za eid watoto wanafanya hatar lkn husikii kusema kazi yetu ni kuwasema wabongo tu lkn sie wenyewe tuna machafu mengi na yanadhid kuengezeka kwa kuyaficha kujiona tuko sahihi mtu kakosea mwambie hapo dada umekosea ungeweka R baada ya L hapo mtu ni rahis kukuelewa sasa mtu unakuja juu wabongo hamjui kiswahili weye kiswahili kimekusaidia nini pembe halitafutwi kwa kujua kiswahili ndiyo maana wabongo wengi wanaishi maisha mazur kwakuwa hawana chuki hawana kinyongo hawana dharau wao wanaenjoy tu japo kiupande mwengine hawakosahihi lkn Allah ndiye mjuzi tuache ujuaje wazanzibar mbongo anaweza maliza chuo na akaja Zanzibar kuuza njugu kuuza chips kuuza vitu vidogo vidogo mtaani na hawazi wala humkuti anatukani serikali sasa usiombe mzanzibar amalize chuo tena ile certificate tu serikal itakoma mzanzibar kafika darasa laa 6 au form 2 au form 4 anatukana serikali anataka ajira serikalin ndipo utakapo jiuliza huyu mtu ni timamu au chizi wabongo nawakubal kinoma mie tena sana respect kwenu nyie wamba mnajituma sana kutafuta maisha wengine tulishwa dekezwa toka utotoni na kuaminishwa kazi zote ngumu ni za wanyamwez wakat elimu hatuna tunaishia kukaa kwetu mpaka tunaoa tukiwa kwetu mimi ni mtanzania siyo mpemba wala mbara

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem +2

      Kiswahili cha kiunguja ni Kiswahili cha kisenge hakuna mbongo ambaye anapenda kuongea kiswahili chakiunguja au Mombasa na Lamu na pwani ya Tanga na basi ukikuta vijana wakibongo wanaongea kiswahili chakiunguja basi wazi utakuta hao vijana ni machoko

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Před rokem +2

      @@Mpakauseme no siyo cha kisenge kile ndicho kiswahili sahihi ila siyo vizur kuwatukana wabongo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      @@Saidkhel Hapana nasi waunguja wote uzungumza kiswahili kifasaha mimi nimeishi unguja ndani ya miaka kumi basi shida iliyo hapa mitandaoni nikukandiana tu na mitindo ya kibaguzi sasa na ndio nime watusi kwamakusudi , R na H ukizitamka kiufasaha ni kama unazunguza kiarabu nandio wao utaka hivyo na watu waonge kimadoido kama watakavyo wao sasa wabongo wanaona ni usenge tu huu ndio ukweli ubaguzi unawatafuna sana na roho mbaya

  • @gideon_machira
    @gideon_machira Před rokem

    Ujaribu utafute subtitles

  • @jizzomonster
    @jizzomonster Před rokem +2

    Rais tozi kinomaaa hyu dah! Wahuni wauza madawa ya kulevya ngada anawajua wote

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs Před rokem

    As a kenyan listening to tanzanian commentary, it sounds odd, good job though

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 Před rokem +8

    Nimefurahi kuwa unaweza kuongea kisw baada ya kujifunza. Naamini utakijua vizur kisw siku zijazo Dada yangu

  • @jamessakaya1890
    @jamessakaya1890 Před rokem +1

    Mwamba uyu hapa..

  • @vanessarobyn4584
    @vanessarobyn4584 Před rokem

    Huyu anakithembe jamani msameheni tu

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Před rokem +3

    mwamba kweli kweliii

  • @KhojaNasri
    @KhojaNasri Před 2 měsíci

    Haaa Moo Simba bingwaa

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 Před rokem

    Stori nzuri ila mtangazaji sie amezingua kiswahili hajakipa haki yake anasoma pia kwa kudodosa

  • @tahiyasaeed
    @tahiyasaeed Před rokem +1

    Shoga angu mtangazaji kiswahili kinakupa tabu sana, endelea kujitahidi utajuwa tu

    • @Jonathanmakhubela-kb6lz
      @Jonathanmakhubela-kb6lz Před 3 měsíci

      vizuri sana comment ya kistaarabu ba kiungwana sana anajitahidi sana na ana sauti nzuri sana tutafika nae

  • @hamisaabdalah6232
    @hamisaabdalah6232 Před 3 měsíci

    Kiswahili hajui kabisaaaa eti hardhi baadala ya ardhi

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 Před rokem +2

    Ana Uarabu mwingi sana😂

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan Před rokem +1

    Nchi yenye volcano na matetemeko ya Harzi😅😅

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 Před rokem +6

    Lugha ni muhimu sana duniyani. .

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 Před 3 měsíci +1

      😂😂😂😂unashughulikia kibanzi jichoni kwa mwenzio wakati kwako kuna boriti!!!? Duniyani!!!?

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Před rokem +10

    Wabongo kuzungumza kiswahili hamjui mnatuchafulia Lugha unaongea kiswahili kibovu kabisa ndio maana wazungu wakija Tanzania wanapenda kufika Zanzibar kujifunza kiswahili

    • @radiininoma
      @radiininoma Před rokem

      Afrika mashariki-- Aflika Mashaliki😂😂
      Gari-- Gali 😂😂😂😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem +4

      Zanzibar Unguja walio wengi wanazunguza kiswahili kwakurembesha matamshi kama vile watu walio wasenge na hii ndio sababu ya wabongo hawakupenda kuongea kiswahili fasaha na herufi R na H sahihi ukizitamka kiufasaha katika mazungumzo ya moja kwa moja wazi hizo herufi utajikuta unaongea kama mtu msenge fulani na ndio watu dar es salaam walio wengi zaidi ni vijana hawapendi kuzitamka hizo herufi na hiyo ndiyo sababu kuu

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Před 4 měsíci +1

      ​@@Mpakausemesio sababu hio kuongea kiswahihi cha zanzibar. Kiswahili chenu. Cha bara ndio mliozaliwa nacho hamuwezi kukibadilisha hususan watu wa mipakani mnaongea kiswahili kibovu

    • @user-zr5rg5ul3q
      @user-zr5rg5ul3q Před 3 měsíci +6

      Sasa wewe unayejua kuongea kiswahili fasaha kimekufukisha wapi😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Saidnssor
      @Saidnssor Před 3 měsíci +1

      Ujahili utatumaliza Sisi, mtu Haoni ule ujumbe mzuri ulokua kwenye video anaona makosa ya kilafudhi aliyo yafanya mtengenezaji wa video hii. Mfano mzuri kingereza kila nchi inalafudhi yake wakiongea kingereza lakini sijawahi kusikia mtu akisema upuuzi kama uliosema wewe hapa kwamba wanachafua lugha, narudia tena ujahili na ubaguzi utatumaza Sisi. Natokea Zanzibar by the way!

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 Před rokem +3

    Kiswahili kinawapita watu Tanzania mpaka ma shuleni seuze El Salvador. Waandishi wa habari wengi hatuwezi. Mwaka huu 70% ya wanafunzi hawakufanya vizuri mitihani inasemekana.

    • @maximusalnono6425
      @maximusalnono6425 Před rokem

      Ni kweli Maryam Adam mbutu dada kazingua

    • @maximusalnono6425
      @maximusalnono6425 Před rokem

      Kiswahili kibovu Eti sihasa badala ya siasa ndo nini sasa stori tamu ila kazingua inaboa sana kwa mtangazaji kutokujua matamshi ya kiswahili ovyoooo

    • @GodwinMwenda-qb6up
      @GodwinMwenda-qb6up Před rokem

      Halafu wengi wanataka mosomo yote yawe yanafundishwa Kwa Kiswahili,..

  • @tibakabanda6583
    @tibakabanda6583 Před 3 měsíci

    Tamka ARDHI siyo HARIDHI

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před rokem

    Wewe mtangazaji ni siasa SIYO SIHASA

  • @aspenmabati6282
    @aspenmabati6282 Před rokem

    Hii ni movi ama

  • @corbinX
    @corbinX Před měsícem

    bishoo manisha nini sielewi kabisa

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 Před rokem +2

    Yaani nimeskza simulizi inaelekea kuisha sijaskia jina la rais..kwani nani kaandika hii script?

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Před rokem +1

      Si amemtaja jamani au masikio yako yana matege?amesema anaitwa Naib Almandro ebu hacheni nongwa basi kujifanya wajuaji

    • @ramadhankakai7303
      @ramadhankakai7303 Před rokem +1

      @@adaboychibu1659 jina limetajwa mwishoni na scripts haziandikwi hivyo..nyamaza pia wewe. umeona wapi historia ya mtu jina linatajwa mwisho wa simulizi?

    • @fredrickguda-cl4pb
      @fredrickguda-cl4pb Před rokem

      Anaitwa bishoo

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 Před rokem +1

    Katika kiswahili unakitu, utafika mbali 🤣🤣

  • @bonjouronlinetv2206
    @bonjouronlinetv2206 Před rokem +1

    Kama unasoma coment aisee unasoma habari kama bbc

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Před 3 měsíci

    PEDESHEEE.

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 Před rokem +1

    Irudiwe hii stori na mtangazaji anaejua kiswahili vizuri uyu dada kazingua anadodosa pia

  • @Zai-vh7jd
    @Zai-vh7jd Před 3 měsíci

    Bora mlisemee hili la lugha. Vijana na baadhi ya waandishi habari wengi siku hizi eti hawajui herufi za kuswahili. Wanaharibu matamshi kabisaa. Ni aibu sana ukizingatia kua kiswahili ni lugha ya taifa- Tz. Jirekebisheni.!

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před 2 měsíci

      Ukisema ukweli unatukanwa matusi

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před rokem +1

    hayana au hiyana?unachafua lugha ya kiswahili.adhabu yako ufungwe maisha.

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Před rokem

    Hujui kusoma au hujui kiswahili binti

    • @bonjouronlinetv2206
      @bonjouronlinetv2206 Před rokem

      Kama unajia fanya wewe

    • @GracieTyno
      @GracieTyno Před rokem

      We kenge nini,kukosolewa ndio kujifunza kwenda huko na limedia lako lisiloeleweka.

    • @GracieTyno
      @GracieTyno Před rokem

      Halafu kumbe hata wewe hujui kuandika ndio maana unamtetea mwenzio😂😂😂

  • @monikaswai4188
    @monikaswai4188 Před 3 měsíci

    Dada unavyoongea unatupotezea hata ladha ya kuangalia na kisikiliza habari zako, ongea yako inakera

  • @Zayeed_tv
    @Zayeed_tv Před rokem

    Hayana..?
    Sihasa..?
    Shule hua mnasoma nini

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 4 měsíci

    Kama makonda alivyofanyiwa unyambisi

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 Před rokem +1

    Sihasa ndio nn dada mbona unafeli

  • @husseinihassani3541
    @husseinihassani3541 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 kiswahili kiswahili kiswahili

  • @munjy11tutorials
    @munjy11tutorials Před 3 měsíci

    Jifunzeni kutamka kwa ufasaha maneno ya kiswahili kwanza kabla ya kufanya hizi kazi....sio sihasa bali ni Siasa, sio Jamhuli bali ni Jamuhuri.

  • @patrickkasule6438
    @patrickkasule6438 Před rokem

    Namuona yupo kama magufuli

  • @the.sanJaco
    @the.sanJaco Před rokem

    Hahaha

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před rokem +2

    😂😂😂😂jifunze kusoma kwnz unatia aibu

  • @peterraymwasha2362
    @peterraymwasha2362 Před rokem +3

    Ndugu mtangazaji unazungumza vizuri sana, lakini hadithi hiyo haina impact na maisha ya hapa kwetu tafuta kitu chenye kutanua mishipa ya fikra utapata tu..na utupatie

  • @sporastica7174
    @sporastica7174 Před rokem

    Rais pekee alieweza pambana na majambazi dunia na kutimiza ahadi alizoahidi wananchi wake

  • @user-br9ju6xz5i
    @user-br9ju6xz5i Před rokem +4

    but kiswahili kinakupa shida dada, njoo Zanzibar nikutrain kiswahili fasaha, nina wanafunzi kutoka German na Marekani nawafundisha kiswahili but hata journalism nimesomea

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 4 měsíci

    Sasa vinanda vimebeba sauti yako yoote

  • @henrynkya5446
    @henrynkya5446 Před 3 měsíci

    Sijui kwanini neno Bishoo limetumika hapa kwa huyu Rais mwenye akili ya kimageuzi na aliefanikiwa sana kuiletea nchi yake mapinduzi ya amani na kushusha kiwango cha mauaji ya raia hovyo hovyo kutokana na kuwepo magenge makubwa mengi ya uhalifu. Sidhani mtu kujipenda kimavazi na usafi inampa kua bishoo, huu uandishi wa kidaku sana kero ka media za Tz ni kama uwezo na ufanisi wa kiuandishi hakuna tena. Ni umbayuwayu tu unataradadi media zetu.

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 Před 3 měsíci

    Ww mdada sio Hayana ni Hiyana na sio Sihasa ni Siasa, uwongeaji wako unabowa bhn

  • @perfectpixelsstudio3603

    Bishoo ndo nini

  • @amourrajab6061
    @amourrajab6061 Před rokem +3

    Wengi coment zenu ni za kuponda tu jinsi ya kuzungumza kwake ,, mara nyengine mtieni moyo muhusika ili apate nguvu ya kuendelea na kazi yake.
    Dada umetangaza vzr suala la kiswahil ktk matamshi ni suala lenye kurekebishika ikifanya maamuz

  • @angelmassawe6655
    @angelmassawe6655 Před rokem

    Sihasa ni nini?

  • @ibrahimurichard377
    @ibrahimurichard377 Před rokem +3

    Katika nchi ya America ya kilatini,halizi,hiyana sio hayana,Siasa sio Sihasa
    Kiufupi mtangazaji ni sifuri,Unaiabisha hii media

    • @ms123ru
      @ms123ru Před rokem +1

      Nakuona hon sigara

    • @ibrahimurichard377
      @ibrahimurichard377 Před rokem

      @@ms123ru kaka hizi online TV,zina mambo ya hovyo sana,sijui hawa watangazaji wanasomeaga wapi

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 Před rokem

      ​@@ibrahimurichard377 Huenda ni Robot inayosoma kutokana n'a tarjim ya Google.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem

    Ka nchi hatari Sana Kwa uhalifu, home of m23

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Před rokem +2

    DUNIA IMEVAMIWA, HIVI RAIS KAMA HUYU ANAWEZA KUKEMEA MMONYOKO WA MAADILI KWA VIJANA KWELI!? 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

    • @hassankisaka5557
      @hassankisaka5557 Před rokem +1

      Kila raisi ana sera zake, huyu sera zake ni ujambazi na ufisadi. Tanzania tumekuwa na maraisi watu wazima ila huoni maadili yanazidi kuporomoka siku hadi siku? Umri si hoja ndugu yangu!

    • @meshack3266
      @meshack3266 Před rokem +1

      Mchane uyoiiii

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 Před rokem +2

      @@hassankisaka5557 safi yaani huyu anaangalia mavazi, haangalii mtu anaongea nini , bora hata umemchana makavu.

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před rokem

    Dada kukusahisha naibu bukele akikamatwa madaraka iliwa Na ubri wa 39

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 Před rokem

    Matetemeko ya harzi 😂😂😂😂😂sihasa😂 jamuhuli 😂

  • @siafuonlinetv
    @siafuonlinetv Před 3 měsíci

    Wabongo NYOTE wajinga tuu makahaba wakubwa nyie kajifunzeni kuongea kiswahili

  • @bigboys016
    @bigboys016 Před 3 měsíci

    Mtu akiwa mtana shati ni bishoo