WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 04. 2024
  • WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 202

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @user-pk2fp8hf7i
    @user-pk2fp8hf7i Před měsícem +21

    Arusha mnamajanga Sana,tumuombee makonda achape kazi

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem +18

    Inaonyesha Arusha imechakaa sana. Makonda kaja Mungu atamsimia InshaAllah

  • @sunaybrajabu238
    @sunaybrajabu238 Před měsícem +6

    Karibu sana Paul makonda we love you na tuko pamoja nawe

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 Před měsícem +8

    Makonda you will be a president of Tanzania one day🇹🇿

    • @jamesswai1683
      @jamesswai1683 Před měsícem

      Tuna omba Kwa Mwenyezi Mungu aifute hiyo siku..huyu mtu sio binadamu..hafai

    • @ernestgeorge8412
      @ernestgeorge8412 Před měsícem +1

      @@jamesswai1683 sio mbaya nimaoni yako

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před měsícem +16

    Mimi nimependa mh makonda kuja Arusha, makonda naomba uanze na karatu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem +11

    KUMBE SAS NAANZA KUELEWA KWANN SAMIA KAMTEUWA MAKONDA KWENDA ARUSHA ❤❤

  • @ProsistaTarimo-hr7ys
    @ProsistaTarimo-hr7ys Před měsícem +3

    Karibu sana Arusha Makonda. Tusaidie kwenye umeme na maji na bangi

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před měsícem +4

    Safi sana kijana.

  • @KangaMaluguru
    @KangaMaluguru Před měsícem +3

    Makonda piga kazi,safisha Arusha,safisha njia kuelekea urais,jipime kukubalika kwako kwa watanzania kupitia Arusha,huku Dar,kusini,ziwa unakubalika sana.Kila la kheri MAKONDA.

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před měsícem

    Nakubali kazi yake nzuri , kikubwa akazanie MAENDELEO na MAISHA bora ya watu mapambano na malumbano ya KISIASA hayasaidii ktk UONGOZI watu kwa sasa wana TATHIMINI ya hali ya juu sana kuhusu uongozi bora uliojaa HEKIMA na BUSARA .

  • @LoyceFundi-qf7iw
    @LoyceFundi-qf7iw Před měsícem +11

    Makonda umesikia Sasa unatakiwa kwanza kabisa umtangulize MUUMBA wako Kisha umpishe ukiwa umeishika SAUTI yake 2Nyakati 7:14--16. Ubarikiwe.

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před měsícem +10

    Mmeongea ukweli kabisa, kumbe mnaongea vizuri sana ,nilikuwa nikiwaona vijana wengine wanaongea kwa sauti ya kulegea .ila Leo nimewasikia kumbe wanaongea vizuri tena kwa point.nafikiri makonda amesikia kero,vijana wamefanya vizuri kuongea kabla makonda hajaja.06.04.24.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před měsícem +3

    Makonda.mkoa huu.Mungu akuongoze.kuna vijana wanajitambua.watakusaidia sanaa..achana na viongozi hawatakusaidia.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před měsícem +7

    Arusha oyeee vijana mmechangia vizuri sana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před měsícem +10

    Subirini Makonda atawanyosha moja baada mwingine❤❤

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony Před měsícem +1

      syo chuga

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před měsícem

      ​@@DavalsonMarlonychuga ndio nn? Au ndio huo ushoga 😂😂

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony Před měsícem

      @@shinipapaya846 ushoga labda mkoani kwenu

    • @domymerinyo8165
      @domymerinyo8165 Před měsícem

      Ushoga ni huko Dar hii ni Chuga hatuli chips .

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony Před měsícem

      @@domymerinyo8165 embu mchane uyo nyumbu anatletea mambo ya kiwaki

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před měsícem +3

    Mungu amsimamie sana nakonda maana Arusha mmmh Mungu nifunze kunyamaza so poa

  • @oswaldsambaya4422
    @oswaldsambaya4422 Před měsícem +6

    You're warmly welcome to Arusha comrade Makonda

  • @fridamossony2821
    @fridamossony2821 Před měsícem +2

    Jamani Mimi Nina amani sana, ujio wako Makonda ni faraja sana kwetu, nakupenda sanaa kaka Mungu akutunze

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před měsícem +2

    Mama samia uko safi sana.

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Před měsícem +3

    Huyu makonda akigombea uraisi mimi anawezakuwaraisi yukovizuri

  • @LoyceFundi-qf7iw
    @LoyceFundi-qf7iw Před měsícem +4

    Ubarikiwe

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před měsícem +1

    MAKONDA NDIE RAHISI WA TANZANIA WA AWAM YA 7 KWELI WANA ARUSHA TUNAKUOTAJI SANA SANA UTUSAIDIE TUKO NA WEWE MKONDA TUSAIDIE ARUSHA WEWE NDIE MAGUFULI AJAE

  • @williamlaiza6633
    @williamlaiza6633 Před měsícem +3

    Unajua tatizo hawa watu bado hawajaelewa vizuri Sasa ccm ni ile ile na makonda hawezi kufanya kitu pasipo maamuzi kutoka juu, makonda sio upinzani yule ni ccm2

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 Před měsícem +1

    Unapomzungumzia makonda unaizungumzia Tanzania na watanzania WA Hali ya chini, MUNGU MLINDE MAKONDA.

  • @user-pk2fp8hf7i
    @user-pk2fp8hf7i Před měsícem +13

    Makonda ni mtu wa Mungu kwaukweli

  • @user-cl9tl5zn2y
    @user-cl9tl5zn2y Před měsícem +4

    Ni kumanisha makonda ni next prezo of tz

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 Před měsícem

    Mungu akuwezeshe kuongoza vema. Utayaweza yote katika yeye akutiaye nguvu.

  • @protasdmassawe
    @protasdmassawe Před měsícem +3

    Kwani nyie hapo hapakua na kiongozi? Pia usitegemee mpaka mtu aje awapangie cha kufanya. Badilikeni kwanza! Mungu akulinde Makonda!

  • @Goldenbutterfly-hk1hp
    @Goldenbutterfly-hk1hp Před měsícem

    Makonda bwana nimefurahi sana karibu Arushaa big brooh

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před měsícem +2

    Leo siku ya 2 tunamkabidhi mikononi mwa mungu kesho tunamaliza tuungane jamani tumuombee madawa ushoga ni wakubwa hawatampenda

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +2

    Makonda is strong leader,

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem +3

    Mwiz Yuko hapo hapo pemben anakusikiliza😁

  • @babahilimollel5254
    @babahilimollel5254 Před měsícem +4

    Makonda anza Longido kwa Naibu Waziri wa Madini

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 Před měsícem +2

    Kwani Global mna ugomvi gani na Makonda?

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před měsícem +2

    Sijuwi Lema uko aliko yupo katika hali gani.

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Před měsícem +1

    Nimefurahi kuona wananchi wana imani na MAKONDA

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před měsícem +2

    MAKONDA MTOTO WANGU NAOMBA MUNGU AKUPE URAIS MWAKA 2024 MAKONDA HOYEEEEEEEEKARIBU SANA ARUSHA

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před měsícem +7

    Makonda maana ake n kirainishi cha mboga na kuwa tamu kwa lugha za kibantu ,kwo makonda Ana mvuto sana kwa sasa hata awali huyu aandaliwe kushika usukan tuuu

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Před měsícem +6

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @user-fj6rr8yv2v
    @user-fj6rr8yv2v Před měsícem +1

    Kama kuna kitu mama samia kanifurahisha nikumleta makonda arusha maana makonda ni mchapakazi aliwaanyoosha wauza madawa dar,tunataka kuona mabadiliko arusha ni jiji la kitalii

  • @FilbertFissoo-pe2xm
    @FilbertFissoo-pe2xm Před měsícem +1

    Kweli arusha kama hamna uongozi vile barabara za mitaa maji yanapasua barabara mpaka yakatize yenyewe uongozi upo lakini hatua haichukuliwi ya haraka

  • @africa7479
    @africa7479 Před měsícem +5

    wafungieni ndani muwatie kibiriti tu

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 Před měsícem +1

    Huyu jamaa anaongea sana kwa hisia, anahitaj pongez

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem +1

    Mbunge mzuri lakini Halmashauri hiyo wezi wengi wa Arusha humo

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před měsícem +4

    Atawatunza Makonda ila nanyi nawaombeni mkubali kutunzika

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před měsícem +1

    Mama samia naona utawle maisha.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před měsícem +1

    Rais ajae Makonda ❤tunakupenda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💗

    • @mnasaeules6857
      @mnasaeules6857 Před měsícem

      Shindwaaa pepoooooo

    • @JK-uq1tv
      @JK-uq1tv Před měsícem

      Hawezi kuwa Rais wetu watanzania labda rais wako ila hatuwezi kumpa Nchi yetu Rais Huwa atajwi MUNGU anamuinua usiye mjua na ambae hakudhaniwa kama hayati JPM.

  • @husseinamassanza50
    @husseinamassanza50 Před měsícem +1

    Yangu macho tu

  • @blessingntuli3796
    @blessingntuli3796 Před měsícem

    Jamaa wa DK15 amenikosha sana
    Naamini one day utakuwa kiongozi wa wanyonge 🫡🫡🫡

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 Před měsícem +1

    What an intro.....💥💥

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před měsícem +1

    So arusha machoko wengi sana 😏😏

  • @user-gy3dv3tq8d
    @user-gy3dv3tq8d Před měsícem +8

    Mama kaona makonda asafishe huo mkoa

    • @user-wh9zj7kf7h
      @user-wh9zj7kf7h Před měsícem

      Ni mkoa uliojisahau kabisa

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před měsícem +1

      ​@@user-wh9zj7kf7hhuo mkoa haujajisahau? Tena moja ya mikoa wakazi wasio na hofu. Tatizo la arusha walikuwa hawapati viongozi sahihi

    • @user-wh9zj7kf7h
      @user-wh9zj7kf7h Před měsícem

      @@jasonwatz7457 mungu awakumbuke maana kila siku ni vituko mpaka tunawaogopa.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem

    Lekanaga nabho makonda ugunoga duhu nkoi abatale badahaile utumame baguchalile Arusha ukwame kalaganaga eeee

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 Před měsícem +4

    Karibu sana makonda, Cha kwanza harusha ni tatu mzuka wanakata watu na kuwaibia, Hawa wanakuwa kwenye toyo ni hatari

  • @gidiboy9081
    @gidiboy9081 Před měsícem

    Wewe hujui Kiswahili, wananchi hawajamchana Makonda, Walichokifanya ni kumuonyesha Makonda kile kilichoko Arusha,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem +2

    Media yenu mlichoandika na kinachosemwa tofauti

  • @gadyetheboss8738
    @gadyetheboss8738 Před měsícem +1

    Nipe namba ya Makonda acha uoga,
    Nataka nimpongeze kwenye swara la ushoga.
    😂😂😂😂😂 Kweli arusha ni hip-hop na Makonda ni Means hip-hop.

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 Před měsícem +1

    Makonda karibu Arusha shida ya wanarusha na manyanyazo ya wanyonge kwisha wewe ni Damu ya mpendwa watu magufuli

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +1

    Makonda tunakupenda mi ningependa uwe mkuu wa mkoa wa momba chkua maua🎉 yako

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před měsícem +2

    Magukufuli wasingemuuwa hayoyt yangeisha

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před měsícem +1

    Kwa arusha makonda swala la wizi vibaka tatu mzuka panya Road limekuwa kero ushauri wangu asafishe jeshi la police alete police wapya kuanzia occd waje wapya kabisa hapo aanze nao kazi waliopo wamekaa sana mdaa mrefu kutekeleza kusafisha wizi ni ngumu sana

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um Před měsícem

    Ni kweli wizi umezidi Arusha apambane nso

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem +1

    MIMI NILIZANI ARUSHA PAZURI SANAA.

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před měsícem +1

    Dk 15 ana hoja nzito zilizoshiba!! Huyu mtu anafaa kuwa mbunge wa Arusha .

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před měsícem

    Makonda ni kama maji auwezi kumkwepa na ni lazima ata shine Arusha

  • @sendisteve7981
    @sendisteve7981 Před měsícem

    Kichwa cha habari mbona hakiendani na maudhui..Kumchana mtu ni kumwongelea kwa mtazamo hasi.

  • @hailehim1
    @hailehim1 Před měsícem +1

    DK 15 safi

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před měsícem +1

    Wavuta Unga wengi,makonda atawanyoosha,angekuwepo hai3makufulina amina chifupa watu wangenyooka

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před měsícem +1

    Chawa!

  • @user-rj1gn9hh8x
    @user-rj1gn9hh8x Před měsícem +1

    Makonda .tunajua Arusha wamekupa mtuani mkubwa kuwa makini tunakutengemea mno Tanzania kikubwa watanzania wote tumuombee MUNGU amulinde tuko nyuma yako

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem +1

    Kama Arusha inawatu wa aina basi kama ndio picha hii basi inabidi waolewe kabisa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před měsícem

    Wamemchana wapi global mbwa ninyi

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před měsícem +1

    Bangi shida

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Před měsícem +2

    Makondo in god we trust❤

  • @user-or2od2rz1c
    @user-or2od2rz1c Před měsícem +1

    watangazaji ivi kweli mmesomea waandishi unapeleka mic kwawanywa gongo hovyo kabisa

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 Před měsícem

    Sisi Wana Arusha makonda Arusha haimtoshi apewe mpaka manyara

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před měsícem +1

    Hapo umechomoa wanavaa uchi mhh UMESAHAU wanavaa RUBEGA ACHA ZAKO

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před měsícem +1

    Ameshaonja cha Arusha huyo😅😂

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 Před měsícem

    Watu wa kutumwa utawafahamu tuu da, haitaji ufahamu, waliokuja wengine hawakuwa wakuu wa mkoa mbona hatukuwasikia.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem +1

    MAMA AMESIKIA KILIO CHENU.

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Před měsícem

    Alikuwa anaamua hata utekaji na kupoteza watu. Mjiandae kupotea na kufungwa magerezani. Watoa maoni yote makings, hawamjui Makonda. Ni nini lililotolrwa kwenye chips
    MTAIPATA ARUSHA!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem +1

    SIYO KUPIKA MAJUNGU KAMA VILE KINA LEMA.

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z Před měsícem +1

    Kama namuona MAKONDA

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Před měsícem

    Kwanini hamkumwambia mkuu wa mkoa aliyepita ama wabunge ninyi wananch ni tatizo jaman wambien makosa wakiwa na vyeo

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před měsícem +3

    MAKONDA NI MCHAPA YEYE NI KIJIKO CHA JIKONI HAKIOGOPI MOTO

  • @Wakwetujitu
    @Wakwetujitu Před měsícem

    Oya Danieli nitafute as nicheki fb natumia jina wakwetu jitu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem +1

    Yaani kama manzese.

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 Před měsícem

    Huyu boya ukiwa na hela unanfumua marinda

  • @MswahilAdventures
    @MswahilAdventures Před měsícem

    Machoko n wengi arusha

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb Před měsícem +4

    Duuh mbona hatarii mashoga

  • @frashconnect.1
    @frashconnect.1 Před měsícem +2

    Atawaonesha

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před měsícem

    👏👏👏👏

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem +1

    SAFIIIIÏ. ❤❤❤😂

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 Před měsícem

    Upande wa police makao makuu mkoani hawanashida shida ipo hapo wilayani upande wa upelelezi kuanzia kwa oc cd ndo kuna matatizo wezi vibaka panya Road kuna rushwa sana sana ukiwa umepata shida na shida ni ya kweli unategemea msaada wa police kweli hupati msaada mpaka utoe hela wako kifedha ukifuatilia haki yako unajibiwa vibaya sana ukichunguza ni hela rushwa inatakiwa ndo usaidiwe nilipata shida ya kuibiwa gari ya utalii ya 80ml kama sio mkoani RTO kunisaidia nikapata gari yangu gari yangu ingepotea nawashukuru sana police mkoani wanafanya kazi kwa ueledi mkubwa sana ila pale wilayani upelelezi waondolewe wote waje wapya

  • @Jal210
    @Jal210 Před měsícem

    Ondoa shoga Arusha safisha yoteee

  • @toptopress4909
    @toptopress4909 Před měsícem +1

    Makonda akigombea urqisi lazima apate

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Před měsícem

    Ivi hiyo barabara ni mbovu kuzidi Ya Mkuzo Songea😂😂

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před měsícem +1

    Dk 15 ameongea kwa husia

  • @emmanuelcharles5613
    @emmanuelcharles5613 Před měsícem +1

    Kwahiyo huwo mkowa ulikuwa hauna mkuu wa mkowa