WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2024
- WANANCHI ARUSHA WAMCHANA RC MAKONDA - ''HATUTAKI MAIGIZO NA VIONGOZI KUGOMBANA - AWAACHE WAPINZANI''
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Arusha mnamajanga Sana,tumuombee makonda achape kazi
Inaonyesha Arusha imechakaa sana. Makonda kaja Mungu atamsimia InshaAllah
Arusha haija chakaa
Karibu sana Paul makonda we love you na tuko pamoja nawe
Makonda you will be a president of Tanzania one day🇹🇿
Tuna omba Kwa Mwenyezi Mungu aifute hiyo siku..huyu mtu sio binadamu..hafai
@@jamesswai1683 sio mbaya nimaoni yako
Mimi nimependa mh makonda kuja Arusha, makonda naomba uanze na karatu
KUMBE SAS NAANZA KUELEWA KWANN SAMIA KAMTEUWA MAKONDA KWENDA ARUSHA ❤❤
Karibu sana Arusha Makonda. Tusaidie kwenye umeme na maji na bangi
Safi sana kijana.
Makonda piga kazi,safisha Arusha,safisha njia kuelekea urais,jipime kukubalika kwako kwa watanzania kupitia Arusha,huku Dar,kusini,ziwa unakubalika sana.Kila la kheri MAKONDA.
Makonda usiogope kazi iendelee
Nakubali kazi yake nzuri , kikubwa akazanie MAENDELEO na MAISHA bora ya watu mapambano na malumbano ya KISIASA hayasaidii ktk UONGOZI watu kwa sasa wana TATHIMINI ya hali ya juu sana kuhusu uongozi bora uliojaa HEKIMA na BUSARA .
Makonda umesikia Sasa unatakiwa kwanza kabisa umtangulize MUUMBA wako Kisha umpishe ukiwa umeishika SAUTI yake 2Nyakati 7:14--16. Ubarikiwe.
Mmeongea ukweli kabisa, kumbe mnaongea vizuri sana ,nilikuwa nikiwaona vijana wengine wanaongea kwa sauti ya kulegea .ila Leo nimewasikia kumbe wanaongea vizuri tena kwa point.nafikiri makonda amesikia kero,vijana wamefanya vizuri kuongea kabla makonda hajaja.06.04.24.
Makonda.mkoa huu.Mungu akuongoze.kuna vijana wanajitambua.watakusaidia sanaa..achana na viongozi hawatakusaidia.
Arusha oyeee vijana mmechangia vizuri sana
Subirini Makonda atawanyosha moja baada mwingine❤❤
syo chuga
@@DavalsonMarlonychuga ndio nn? Au ndio huo ushoga 😂😂
@@shinipapaya846 ushoga labda mkoani kwenu
Ushoga ni huko Dar hii ni Chuga hatuli chips .
@@domymerinyo8165 embu mchane uyo nyumbu anatletea mambo ya kiwaki
Mungu amsimamie sana nakonda maana Arusha mmmh Mungu nifunze kunyamaza so poa
You're warmly welcome to Arusha comrade Makonda
Jamani Mimi Nina amani sana, ujio wako Makonda ni faraja sana kwetu, nakupenda sanaa kaka Mungu akutunze
Mama samia uko safi sana.
Huyu makonda akigombea uraisi mimi anawezakuwaraisi yukovizuri
Ubarikiwe
MAKONDA NDIE RAHISI WA TANZANIA WA AWAM YA 7 KWELI WANA ARUSHA TUNAKUOTAJI SANA SANA UTUSAIDIE TUKO NA WEWE MKONDA TUSAIDIE ARUSHA WEWE NDIE MAGUFULI AJAE
Unajua tatizo hawa watu bado hawajaelewa vizuri Sasa ccm ni ile ile na makonda hawezi kufanya kitu pasipo maamuzi kutoka juu, makonda sio upinzani yule ni ccm2
Unapomzungumzia makonda unaizungumzia Tanzania na watanzania WA Hali ya chini, MUNGU MLINDE MAKONDA.
Makonda ni mtu wa Mungu kwaukweli
Ni kumanisha makonda ni next prezo of tz
Mungu akuwezeshe kuongoza vema. Utayaweza yote katika yeye akutiaye nguvu.
Kwani nyie hapo hapakua na kiongozi? Pia usitegemee mpaka mtu aje awapangie cha kufanya. Badilikeni kwanza! Mungu akulinde Makonda!
3:37 3:38
Makonda bwana nimefurahi sana karibu Arushaa big brooh
Leo siku ya 2 tunamkabidhi mikononi mwa mungu kesho tunamaliza tuungane jamani tumuombee madawa ushoga ni wakubwa hawatampenda
Makonda is strong leader,
Mwiz Yuko hapo hapo pemben anakusikiliza😁
Makonda anza Longido kwa Naibu Waziri wa Madini
Kwani Global mna ugomvi gani na Makonda?
Sijuwi Lema uko aliko yupo katika hali gani.
Nimefurahi kuona wananchi wana imani na MAKONDA
MAKONDA MTOTO WANGU NAOMBA MUNGU AKUPE URAIS MWAKA 2024 MAKONDA HOYEEEEEEEEKARIBU SANA ARUSHA
Urais tena 2024 hii kali
@@romanilyimohumpendi wewe sio 30
Makonda maana ake n kirainishi cha mboga na kuwa tamu kwa lugha za kibantu ,kwo makonda Ana mvuto sana kwa sasa hata awali huyu aandaliwe kushika usukan tuuu
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kama kuna kitu mama samia kanifurahisha nikumleta makonda arusha maana makonda ni mchapakazi aliwaanyoosha wauza madawa dar,tunataka kuona mabadiliko arusha ni jiji la kitalii
Kweli arusha kama hamna uongozi vile barabara za mitaa maji yanapasua barabara mpaka yakatize yenyewe uongozi upo lakini hatua haichukuliwi ya haraka
wafungieni ndani muwatie kibiriti tu
Huyu jamaa anaongea sana kwa hisia, anahitaj pongez
Mbunge mzuri lakini Halmashauri hiyo wezi wengi wa Arusha humo
Atawatunza Makonda ila nanyi nawaombeni mkubali kutunzika
Mama samia naona utawle maisha.
Rais ajae Makonda ❤tunakupenda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💗
Shindwaaa pepoooooo
Hawezi kuwa Rais wetu watanzania labda rais wako ila hatuwezi kumpa Nchi yetu Rais Huwa atajwi MUNGU anamuinua usiye mjua na ambae hakudhaniwa kama hayati JPM.
Yangu macho tu
Jamaa wa DK15 amenikosha sana
Naamini one day utakuwa kiongozi wa wanyonge 🫡🫡🫡
What an intro.....💥💥
So arusha machoko wengi sana 😏😏
Mama kaona makonda asafishe huo mkoa
Ni mkoa uliojisahau kabisa
@@user-wh9zj7kf7hhuo mkoa haujajisahau? Tena moja ya mikoa wakazi wasio na hofu. Tatizo la arusha walikuwa hawapati viongozi sahihi
@@jasonwatz7457 mungu awakumbuke maana kila siku ni vituko mpaka tunawaogopa.
Lekanaga nabho makonda ugunoga duhu nkoi abatale badahaile utumame baguchalile Arusha ukwame kalaganaga eeee
Karibu sana makonda, Cha kwanza harusha ni tatu mzuka wanakata watu na kuwaibia, Hawa wanakuwa kwenye toyo ni hatari
Wewe hujui Kiswahili, wananchi hawajamchana Makonda, Walichokifanya ni kumuonyesha Makonda kile kilichoko Arusha,
Media yenu mlichoandika na kinachosemwa tofauti
Nipe namba ya Makonda acha uoga,
Nataka nimpongeze kwenye swara la ushoga.
😂😂😂😂😂 Kweli arusha ni hip-hop na Makonda ni Means hip-hop.
Makonda karibu Arusha shida ya wanarusha na manyanyazo ya wanyonge kwisha wewe ni Damu ya mpendwa watu magufuli
Makonda tunakupenda mi ningependa uwe mkuu wa mkoa wa momba chkua maua🎉 yako
Magukufuli wasingemuuwa hayoyt yangeisha
Kwa arusha makonda swala la wizi vibaka tatu mzuka panya Road limekuwa kero ushauri wangu asafishe jeshi la police alete police wapya kuanzia occd waje wapya kabisa hapo aanze nao kazi waliopo wamekaa sana mdaa mrefu kutekeleza kusafisha wizi ni ngumu sana
Ni kweli wizi umezidi Arusha apambane nso
MIMI NILIZANI ARUSHA PAZURI SANAA.
N pazur ndy
Dk 15 ana hoja nzito zilizoshiba!! Huyu mtu anafaa kuwa mbunge wa Arusha .
Makonda ni kama maji auwezi kumkwepa na ni lazima ata shine Arusha
Kichwa cha habari mbona hakiendani na maudhui..Kumchana mtu ni kumwongelea kwa mtazamo hasi.
DK 15 safi
Wavuta Unga wengi,makonda atawanyoosha,angekuwepo hai3makufulina amina chifupa watu wangenyooka
Chawa!
Makonda .tunajua Arusha wamekupa mtuani mkubwa kuwa makini tunakutengemea mno Tanzania kikubwa watanzania wote tumuombee MUNGU amulinde tuko nyuma yako
Kama Arusha inawatu wa aina basi kama ndio picha hii basi inabidi waolewe kabisa
Wamemchana wapi global mbwa ninyi
Bangi shida
Makondo in god we trust❤
watangazaji ivi kweli mmesomea waandishi unapeleka mic kwawanywa gongo hovyo kabisa
Sisi Wana Arusha makonda Arusha haimtoshi apewe mpaka manyara
Hapo umechomoa wanavaa uchi mhh UMESAHAU wanavaa RUBEGA ACHA ZAKO
Ameshaonja cha Arusha huyo😅😂
Watu wa kutumwa utawafahamu tuu da, haitaji ufahamu, waliokuja wengine hawakuwa wakuu wa mkoa mbona hatukuwasikia.
MAMA AMESIKIA KILIO CHENU.
Alikuwa anaamua hata utekaji na kupoteza watu. Mjiandae kupotea na kufungwa magerezani. Watoa maoni yote makings, hawamjui Makonda. Ni nini lililotolrwa kwenye chips
MTAIPATA ARUSHA!
SIYO KUPIKA MAJUNGU KAMA VILE KINA LEMA.
Kama namuona MAKONDA
Kwanini hamkumwambia mkuu wa mkoa aliyepita ama wabunge ninyi wananch ni tatizo jaman wambien makosa wakiwa na vyeo
MAKONDA NI MCHAPA YEYE NI KIJIKO CHA JIKONI HAKIOGOPI MOTO
Oya Danieli nitafute as nicheki fb natumia jina wakwetu jitu
Yaani kama manzese.
Huyu boya ukiwa na hela unanfumua marinda
Machoko n wengi arusha
Duuh mbona hatarii mashoga
Mashoga si wako kila mahali
Atawaonesha
👏👏👏👏
SAFIIIIÏ. ❤❤❤😂
Upande wa police makao makuu mkoani hawanashida shida ipo hapo wilayani upande wa upelelezi kuanzia kwa oc cd ndo kuna matatizo wezi vibaka panya Road kuna rushwa sana sana ukiwa umepata shida na shida ni ya kweli unategemea msaada wa police kweli hupati msaada mpaka utoe hela wako kifedha ukifuatilia haki yako unajibiwa vibaya sana ukichunguza ni hela rushwa inatakiwa ndo usaidiwe nilipata shida ya kuibiwa gari ya utalii ya 80ml kama sio mkoani RTO kunisaidia nikapata gari yangu gari yangu ingepotea nawashukuru sana police mkoani wanafanya kazi kwa ueledi mkubwa sana ila pale wilayani upelelezi waondolewe wote waje wapya
Ondoa shoga Arusha safisha yoteee
Makonda akigombea urqisi lazima apate
Ivi hiyo barabara ni mbovu kuzidi Ya Mkuzo Songea😂😂
Duu songea pia mambo sio mazuri
Dk 15 ameongea kwa husia
Kwahiyo huwo mkowa ulikuwa hauna mkuu wa mkowa