Video není dostupné.
Omlouváme se.

DICKSON JOB AMJENGEA MAMA YAKE JUMBA LA KIFAHARI/NA YEYE KAMA ACHRAF HAKIMI ?/UFUPI WAKE TATIZO ?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 08. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #yangasc #dickson #serengeti

Komentáře • 22

  • @gracegofrey4677
    @gracegofrey4677 Před rokem +8

    Nimempenda huyu mama sana jinsi anavomshauri mwanae heshima ni kila kitu katika jamii hata sehemu ya KAZI heshima inakupa mafanikio na watu wengi watakusaport pia na kukuombea mafanikio safi sana MUNGU ampe mwanao hitaji lake aende mbele Zaidi🙏🙏🙏

  • @jackmabirangacharles9398

    Mungu ni Mwema

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před rokem +3

    Amin asant Mwanamke mwenzangu

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před rokem +10

    Mahojiano yenye mvuto, mafunzo na mazingatio. Mama Dick anaongea kwa utulivu, hekima na busara. Mama wa aina hii lazima hekima yake iakisi tabia na makuzi ya mwanae na hii ndilo tunaliona kwa Dickson Job. Hongera sana mama Dick!

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Před rokem +3

    Very very good information

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 Před rokem +3

    Mwananchi

  • @jecomaige2748
    @jecomaige2748 Před rokem +3

    Haya tegemea mwakabeta itope moja Hiyo hongera sanaaaa

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Před rokem +3

    Kumbe Joj job sio kakaake mzazii !

  • @dullahdullah2344
    @dullahdullah2344 Před rokem +7

    Pitia na kwa kina kibwana shomari pia nae tujue stories zake

    • @dar24media
      @dar24media  Před rokem +4

      Tayari Dar24media tumeshafanya mahojiano na baba mzazi wa Kibwana Shomari na mahojiano yapo humu kwenye channel yetu

    • @fatma4628
      @fatma4628 Před rokem +4

      Kwakina kibwana kuzuri tu baba tuliona

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před rokem +4

    Ongera mama.

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před rokem +3

    Mama

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 Před rokem +3

    Mama job

  • @ibrahimngokoe2102
    @ibrahimngokoe2102 Před rokem +2

    🙏🙏

    • @rajabuhamadi
      @rajabuhamadi Před rokem

      Kujenga kajenga Fei ispokuwa yeye aliitaji maslai sasa tusimchukie akidai maslai yake kwa akili ya ushabiki maana Hawa wachezaji ni wapi kazini kama wafanyakazi wengine tuuu

    • @salvatorymtunga5906
      @salvatorymtunga5906 Před rokem

      Ugali na sukari inamfaa fesal na mamaye.

    • @salvatorymtunga5906
      @salvatorymtunga5906 Před rokem

      Mama na Baba Job waelewa, siyo wale familia zisizo na shukrani kama akina wale wala ugali na sukari.

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před rokem +7

    Nendeni kwa akina bakar mwamnyeto tujue history yake tuige mwenendo za watt zetu