Video není dostupné.
Omlouváme se.
DICKSON JOB AMJENGEA MAMA YAKE JUMBA LA KIFAHARI/NA YEYE KAMA ACHRAF HAKIMI ?/UFUPI WAKE TATIZO ?
Vložit
- čas přidán 6. 08. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#yangasc #dickson #serengeti
Nimempenda huyu mama sana jinsi anavomshauri mwanae heshima ni kila kitu katika jamii hata sehemu ya KAZI heshima inakupa mafanikio na watu wengi watakusaport pia na kukuombea mafanikio safi sana MUNGU ampe mwanao hitaji lake aende mbele Zaidi🙏🙏🙏
Mungu ni Mwema
Amin asant Mwanamke mwenzangu
Mahojiano yenye mvuto, mafunzo na mazingatio. Mama Dick anaongea kwa utulivu, hekima na busara. Mama wa aina hii lazima hekima yake iakisi tabia na makuzi ya mwanae na hii ndilo tunaliona kwa Dickson Job. Hongera sana mama Dick!
Very very good information
Mwananchi
Haya tegemea mwakabeta itope moja Hiyo hongera sanaaaa
Kumbe Joj job sio kakaake mzazii !
Pitia na kwa kina kibwana shomari pia nae tujue stories zake
Tayari Dar24media tumeshafanya mahojiano na baba mzazi wa Kibwana Shomari na mahojiano yapo humu kwenye channel yetu
Kwakina kibwana kuzuri tu baba tuliona
Ongera mama.
Mama
Mama job
🙏🙏
Kujenga kajenga Fei ispokuwa yeye aliitaji maslai sasa tusimchukie akidai maslai yake kwa akili ya ushabiki maana Hawa wachezaji ni wapi kazini kama wafanyakazi wengine tuuu
Ugali na sukari inamfaa fesal na mamaye.
Mama na Baba Job waelewa, siyo wale familia zisizo na shukrani kama akina wale wala ugali na sukari.
Nendeni kwa akina bakar mwamnyeto tujue history yake tuige mwenendo za watt zetu
Ananini
@@khamisbk8569 si shabiki wake anataka kujua history yake
@@khamisbk8569 we unataka awe na nini