Salama Jabir: Hawezi kutoka bila kupaka make up / Mwana FA / AY / Tunagombana kila siku

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 01. 2020
  • Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy

Komentáře • 248

  • @LeebraMusicDDTLA
    @LeebraMusicDDTLA Před 4 lety +87

    Salama Jabir, one the best media personality from Tz.

  • @yohanamapunda2654
    @yohanamapunda2654 Před 4 lety +28

    Huyu salama anajua sana lugha.. yaani isimu(sayansi) ya lugha imelala hapo.. hongera sana

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 Před 4 lety +11

    Lil Ommy jiandae kupiga mkwanja mkubwa kutoka You Tube kwa hi interview na Salama. Nimeicheki full na adverts zilikuja za hapa Dubai na nkaziachia full sio chini ya 12. Alaf jumlisha watu wasioweza kukosa interview zako na wapenzi wa Salama mama la mama mkali wa semi. Big up to the 2 of you. Nitairudia tena na tena interview 🔥🔥🔥✔✅✔

  • @yohanamapunda2654
    @yohanamapunda2654 Před 4 lety +34

    Nilichogundua ni kuwa salama ni mtu anaejifunza sana vitu tena kwa umakini mkubwa... all the best sister

  • @yusufumalatula9474
    @yusufumalatula9474 Před 4 lety +5

    Salama jabir, vipind vyake navikubalj, her interviw iz the best one, keep it liliomy

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 4 lety +6

    My best woman presenter ever,Salama jabir 👍❤

  • @yusuf02said6
    @yusuf02said6 Před 4 lety +51

    Lil Omy ni mara ya pili nakusikia unatumia neno "yakhe" kwa Salama. Ukwl ni kwmba hilo neno halitumiwi kwa mwanamke. Kwa sabab asili ya neno ni la Kiarabu..yaani "ya-akhiy" kwa maana ya "ewe Kaka". Hivyo huwez kumwita mwanamke Kaka. Ndio maana Wazenji wenyewe wanaitana yakhe wanaume kwa wanaume tu. All in all asante kwa bonge la interview.

  • @selemanishaibu8802
    @selemanishaibu8802 Před 4 lety +120

    Tunaomkubali Liliommy Likes Hapa

  • @mariamsalum5794
    @mariamsalum5794 Před 4 lety +21

    Tunaenjoy sana mnpowaoji watu wanaojib maswali vzr 🥰🥰akuna ile noo comment......GOOD INTERVIEW I LIKE IT🔥❤️✌️

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 Před 4 lety +49

    Salama natamani urudi kwenye Mkasi.

  • @chullakoi1508
    @chullakoi1508 Před 4 lety +7

    I like salama jabir the way she express her points big up sana kwake♥️

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 Před 4 lety +7

    Salama nimekupenda Bure,, yo 're the best

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 4 lety +5

    I smile napomuona Salama jmn, I missed you at Bongo star search!!

  • @josephmasamaki3895
    @josephmasamaki3895 Před 4 lety +1

    Nimependa jibu lako Salama, the way you are it is g

  • @salmagungurugwa6854
    @salmagungurugwa6854 Před 4 lety +7

    Salama Leo kakutana Na MVP lliomy ndani ya kumi Na nane

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 Před 4 lety +1

    Salama kanenepa MashaaAllah. Nampenda sana Salama na siku akija kunipa njenje ntafurahi na kubingiria kama yule jamaa wa HAMIDA ❤💖🧡💛💗💚💙💝💞💟

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 4 lety +14

    Huyu mama mwaka huu nimemiss mimajibu yake Bss..

  • @shikugitati3544
    @shikugitati3544 Před 4 lety +3

    King of interviews 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @famorsn9834
    @famorsn9834 Před 4 lety +13

    dakika ya 40, usipende kushoboka na watu unaowajua majina yao shoboka pia na kwa wale usio wajua sababu kenye kila mtu dunia hii wew ndani yake kuna kitu cha kujifunza"

  • @rizikiwaadee8790
    @rizikiwaadee8790 Před 4 lety +5

    Nikimuangalia kwenye Koo naona Kama ameanza kuzeeka , but yupo smart Kama ndo anaanza kukua, big up salama