Lil Ommy jiandae kupiga mkwanja mkubwa kutoka You Tube kwa hi interview na Salama. Nimeicheki full na adverts zilikuja za hapa Dubai na nkaziachia full sio chini ya 12. Alaf jumlisha watu wasioweza kukosa interview zako na wapenzi wa Salama mama la mama mkali wa semi. Big up to the 2 of you. Nitairudia tena na tena interview 🔥🔥🔥✔✅✔
Lil Omy ni mara ya pili nakusikia unatumia neno "yakhe" kwa Salama. Ukwl ni kwmba hilo neno halitumiwi kwa mwanamke. Kwa sabab asili ya neno ni la Kiarabu..yaani "ya-akhiy" kwa maana ya "ewe Kaka". Hivyo huwez kumwita mwanamke Kaka. Ndio maana Wazenji wenyewe wanaitana yakhe wanaume kwa wanaume tu. All in all asante kwa bonge la interview.
dakika ya 40, usipende kushoboka na watu unaowajua majina yao shoboka pia na kwa wale usio wajua sababu kenye kila mtu dunia hii wew ndani yake kuna kitu cha kujifunza"
Salama Jabir, one the best media personality from Tz.
Huyu salama anajua sana lugha.. yaani isimu(sayansi) ya lugha imelala hapo.. hongera sana
Lil Ommy jiandae kupiga mkwanja mkubwa kutoka You Tube kwa hi interview na Salama. Nimeicheki full na adverts zilikuja za hapa Dubai na nkaziachia full sio chini ya 12. Alaf jumlisha watu wasioweza kukosa interview zako na wapenzi wa Salama mama la mama mkali wa semi. Big up to the 2 of you. Nitairudia tena na tena interview 🔥🔥🔥✔✅✔
Nilichogundua ni kuwa salama ni mtu anaejifunza sana vitu tena kwa umakini mkubwa... all the best sister
Salama jabir, vipind vyake navikubalj, her interviw iz the best one, keep it liliomy
My best woman presenter ever,Salama jabir 👍❤
Lil Omy ni mara ya pili nakusikia unatumia neno "yakhe" kwa Salama. Ukwl ni kwmba hilo neno halitumiwi kwa mwanamke. Kwa sabab asili ya neno ni la Kiarabu..yaani "ya-akhiy" kwa maana ya "ewe Kaka". Hivyo huwez kumwita mwanamke Kaka. Ndio maana Wazenji wenyewe wanaitana yakhe wanaume kwa wanaume tu. All in all asante kwa bonge la interview.
Tunaomkubali Liliommy Likes Hapa
Tunaenjoy sana mnpowaoji watu wanaojib maswali vzr 🥰🥰akuna ile noo comment......GOOD INTERVIEW I LIKE IT🔥❤️✌️
Salama natamani urudi kwenye Mkasi.
I like salama jabir the way she express her points big up sana kwake♥️
Salama nimekupenda Bure,, yo 're the best
I smile napomuona Salama jmn, I missed you at Bongo star search!!
Nimependa jibu lako Salama, the way you are it is g
Salama Leo kakutana Na MVP lliomy ndani ya kumi Na nane
Salama kanenepa MashaaAllah. Nampenda sana Salama na siku akija kunipa njenje ntafurahi na kubingiria kama yule jamaa wa HAMIDA ❤💖🧡💛💗💚💙💝💞💟
Huyu mama mwaka huu nimemiss mimajibu yake Bss..
King of interviews 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
dakika ya 40, usipende kushoboka na watu unaowajua majina yao shoboka pia na kwa wale usio wajua sababu kenye kila mtu dunia hii wew ndani yake kuna kitu cha kujifunza"
Nikimuangalia kwenye Koo naona Kama ameanza kuzeeka , but yupo smart Kama ndo anaanza kukua, big up salama