SOGA: Lil Ommy afunguka kuhusu tetesi zilizowahi kuzushwa kuwa ni baba wa Dylan wa Hamisa 'Sikujali
Vložit
- čas přidán 15. 05. 2019
- Sehemu ya Pili ya #Soga na Lil Ommy. Mtangazaji huyu wa Times FM anazungumzia matabaka yalikuwepo baina ya vyombo vya habari nchini, tetesi za miaka takriban miwili iliyopita zilizosambazwa na watu Instagram kuwa yeye ni baba wa mtoto wa Hamisa na Diamond, Dylan na jinsi ilivyotaka kuitikisa ndoa yake pamoja na mambo mengine
- Zábava
Tatzo la kumuhoji mtangazaji mwenzio maana mnasikilizana sio unahoji😂😂😂 maana anaulizwa kitu kidogo anaenda mpka swali linalofata😂 interview ya kizazi Sana sky na lilommy🔥🔥
Hahaha
umeona ee!, noma sana
🤣🤣🤣 Eti Mpaka Swali Linalofata!!
Uko feia
Nmemkubali sana huyu kak anajielewa sana MashaAllah
I just like you Lil Ommy your so smart your answers speak volume. Big up bruh!!
Kizazi sana interview iko sawa mumepatana wanyamwezi wawili big up to you guys👍👌
Lilomy umeongea point kubw na muhim San ikifanyiw kaz sure Tz itafik mbal
#TAMBWE njoo upige like mkubwa #sio Utani
Kichwa viwili vimekutanaaa asey atar sana naikubaly sns 🙌🙌
HE IS GOOD....ALL THE BEST Omar
Kaka Sky, unatulia Sana kwenye interview... Pia usikivu ni mzuri Sana, quality pictures.. Keep it up bro
Nimeipenda msisitizo wa Chidibenz
My handsome man Ommy with brains 😍😍
Bonge la interview hongera bro ommy and sky👏👏👏🙏
lil ommy umejieleza vizuri sana nimekupenda bure unajua sana kwanza ile ya kukaa kimya tu ni jibu LA mjinga
Mupo vizur sana 🤗🤗🤗
lily omi yupo vizuri
Half man half amazing MVP
Ukisikiliza hii interview lazima utoke na kitu
Yani hii conversation #soga iko juuuuuuu
Kizazi sana
Very smart, am inspired.🤗🤗🤗
Lil Ommy Na Sky👏 wow, what a wonderful interview! Nimependa sana LilOmmy anavo Create awareness kuzungumza umuhimu wakuwapa support wasanii ili wazidi kufanikiwa Ndipo nchi itakapofanikiwa.
Safi sana
Yani uyu jama ata siwezi muongelea nimtu wa tofauti sana ommy atafika mbali mno
Kizazi sana #broSKY #LILOMMY #SNS
Haifai kukosa hii. You are the best#SnS
SOGA Iko juu sana
Asante om
Ommy👍👏👏👏👏💕
Ongera sana kaka
Big up sana kwenu
Lil ommy bro Dah
Good nimejifunza kitu leo
Lil Ommy umeongea point brother. Endelea kuwa na moyo huo huo🔥🔥🔥💥💥💥
Two intelligent gentlemen ilove u.
Lil Ommy,,very smart guy.....
Ubarikiwe baby sky unasauti nzuri sana
Tisha sana!!!
Natamani na Kenya tungeona media personalities wakiwa na mijadala kama hii.
Industry ya Kenya uungana tu wakati wanasapoti watu wa nje
Nice interview
alafu eti mmlinganishe huyu jamaa na Bdozen na Adam Lilyommy ni mtu nanusu Feelings nakila kitu He is the men
Rocky vlogs
Nani kalinganisha kama sio akilizako mwenyewe... Rocky kwayote aliyosema hapo #LilOmmy hujajifunza kitu.. zero 🧠
Love sns🌹
Nice
Omary mashaallah
liommy kaka nice kaka sky
True I just I like you
Hahaha issue ya mtoto wa mobetto mzee ommy ujajiwahi...ukarudisha mpira kwa kipa haraka....
ww jamaa aisi uko vizur
Yaan lily omy uko vizur
Ndomana najikupendeaga Hunaga utimu😂😂😂
Yani nawapenda nyie wote mnaohojiana apo
Keeli tuwe wazakendo jamani majungu hayana maana tupendane kweli unaongea vizuri sana sana mbarikiwe wote wambiaeni ukweli sio kiki au fitina tena tuko kwenye projet viwanda sasa vijana wajitaidi kutafuta riski love you guy
💪💪💪
ommy kizazi sana
Kizazi
kizazi san.
Omy umeongea point brother coz kz kz tu
Lilyommy your gentleman.
Hii show sio ya kuchukulia poa kabisa kwa waelewa maana vyote vilivyoongelewa vya msingi
Kizazī
Na kukubali kizazi sana
kwan n sky usiwalete wahandishi kama lili wakasuluhisha migogoro yao maana cluad imeisha kabisa mzee bila wasf cloud ni shidah
Kiukweli you guys sjawahi kuboreka na nyinyi kiukweli since day one umekua kwenye industry hii ningependa zaidi wahuska watambue haya mawazo mazuri makubwa ktk kujenga mziki wetu binafsi hii ni interview kubwa sana kuwahi kutokea ktk ukubwa huu nadhan watu wengi hawata ibeba kwaukubwa huu maana aslimia kubwa watu wengi wanapenda kufatilia vitu visivyo na msingi ila kiukweli nimefurahishwa sana namchango wa Liliomy naamini itasaidia sana na natamani sana nikutane na huyu jamaa binafsi ninamachache ya kuzuteta nahuyu mwamba
Kiza
Lilyommy street.......
Sikosagi sns
Sam ,lilomi heshima kwenu
Nakukubli sana ommy uko vzur sana yaan unajua interview kujielezea yaan
Ommy anaongea jaman kaah yan hapo sky unabaki kuitika tu
Ommy umeongea kama mbunge Hussein Bashe leo...
Vunja mbavu na tin white, lingo na maufundi czcams.com/video/_4UzqQUkjO0/video.html
msanii umpigie kura ashinde tunzo akirudi Tanzania akikuta njiani akutemee mate
Ngoja niendelee nilipoishia #Soga
Leo majembe tupu big up to you gay
Ommy is not a gay
Sijui ni interview ao maongezi ?
Lil Ommy amesahau kama yeye ni guest....
soga ni maongezi tuu km muko maskani/kijiweni na sio interview ndo mana Lil Ommiy kajiachia vyakutosha imenogaa
Sio interview ni soga stori tu hapo zinazoendelea mjini
Kumbe Lil Ommy anajua kuigiza sauti ya Chid Benz. Amempatia
Sasa jamani wewe ni kaka yangu kwa sababu mimi Mzee tambwe ni mjomba wa mama yangu na kaka yangu wa kwanza ni omary na mtoto wa Omari wa kwanza ni rajab wewe ni mtu wa tanga? Itabidi niulize family imesambaratika sana niko huku ughaibuni nimezamia muda mrefu sana
Jamani, nchi gani tujuane
Uyu ni WA Tabora
Emma Kalou thanks kama ni wa tabora si yeye sisi ni wa Tanga labda majina tu yametokea kufanana
salma omen nipo marekani najbangaizia huku.
Poa poa ndugu
Yani uyu jama ata siwezi muongelea nimtu wa tofauti sana ommy atafika mbali mno