SOGA: Lil Ommy afunguka kuhusu tetesi zilizowahi kuzushwa kuwa ni baba wa Dylan wa Hamisa 'Sikujali

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2019
  • Sehemu ya Pili ya #Soga na Lil Ommy. Mtangazaji huyu wa Times FM anazungumzia matabaka yalikuwepo baina ya vyombo vya habari nchini, tetesi za miaka takriban miwili iliyopita zilizosambazwa na watu Instagram kuwa yeye ni baba wa mtoto wa Hamisa na Diamond, Dylan na jinsi ilivyotaka kuitikisa ndoa yake pamoja na mambo mengine
  • Zábava

Komentáře • 91

  • @lailatyabdallah1723
    @lailatyabdallah1723 Před 5 lety +18

    Tatzo la kumuhoji mtangazaji mwenzio maana mnasikilizana sio unahoji😂😂😂 maana anaulizwa kitu kidogo anaenda mpka swali linalofata😂 interview ya kizazi Sana sky na lilommy🔥🔥

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 Před 5 lety +4

    Nmemkubali sana huyu kak anajielewa sana MashaAllah

  • @annitabobo5438
    @annitabobo5438 Před 5 lety +5

    I just like you Lil Ommy your so smart your answers speak volume. Big up bruh!!

  • @hustlerlady3652
    @hustlerlady3652 Před 5 lety +2

    Kizazi sana interview iko sawa mumepatana wanyamwezi wawili big up to you guys👍👌

  • @fizzojay7441
    @fizzojay7441 Před 5 lety +7

    Lilomy umeongea point kubw na muhim San ikifanyiw kaz sure Tz itafik mbal

  • @poolboypoolboymanstrong8570

    #TAMBWE njoo upige like mkubwa #sio Utani

  • @zakiakhalid212
    @zakiakhalid212 Před 5 lety +3

    Kichwa viwili vimekutanaaa asey atar sana naikubaly sns 🙌🙌

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 Před 5 lety +1

    HE IS GOOD....ALL THE BEST Omar

  • @kelvinkilale
    @kelvinkilale Před 5 lety +5

    Kaka Sky, unatulia Sana kwenye interview... Pia usikivu ni mzuri Sana, quality pictures.. Keep it up bro

  • @M7-Band
    @M7-Band Před 5 lety +1

    Nimeipenda msisitizo wa Chidibenz

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 5 lety +2

    My handsome man Ommy with brains 😍😍

  • @beatricekamengekamenge5543

    Bonge la interview hongera bro ommy and sky👏👏👏🙏

  • @johariissa4395
    @johariissa4395 Před 5 lety

    lil ommy umejieleza vizuri sana nimekupenda bure unajua sana kwanza ile ya kukaa kimya tu ni jibu LA mjinga

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 5 lety +2

    Mupo vizur sana 🤗🤗🤗

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 Před 5 lety +2

    lily omi yupo vizuri

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 Před 5 lety

    Half man half amazing MVP

  • @simbavevo7318
    @simbavevo7318 Před 5 lety +5

    Ukisikiliza hii interview lazima utoke na kitu

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 5 lety +2

    Yani hii conversation #soga iko juuuuuuu

  • @mwemedibolembo4309
    @mwemedibolembo4309 Před 5 lety +1

    Kizazi sana

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 5 lety +1

    Very smart, am inspired.🤗🤗🤗

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Před 5 lety

    Lil Ommy Na Sky👏 wow, what a wonderful interview! Nimependa sana LilOmmy anavo Create awareness kuzungumza umuhimu wakuwapa support wasanii ili wazidi kufanikiwa Ndipo nchi itakapofanikiwa.

  • @jeniphernyambu2360
    @jeniphernyambu2360 Před 4 lety

    Safi sana

  • @allyshabani8680
    @allyshabani8680 Před 5 lety +1

    Yani uyu jama ata siwezi muongelea nimtu wa tofauti sana ommy atafika mbali mno

  • @mariammussa2540
    @mariammussa2540 Před 5 lety

    Kizazi sana #broSKY #LILOMMY #SNS

  • @benjamincharles3013
    @benjamincharles3013 Před 5 lety +2

    Haifai kukosa hii. You are the best#SnS

  • @naomicharles7426
    @naomicharles7426 Před 5 lety

    SOGA Iko juu sana

  • @halimaally3255
    @halimaally3255 Před 5 lety

    Asante om

  • @asiaasia-pl4fl
    @asiaasia-pl4fl Před 5 lety +1

    Ommy👍👏👏👏👏💕

  • @saudamanyongo5766
    @saudamanyongo5766 Před 5 lety

    Ongera sana kaka

  • @subiraomar4771
    @subiraomar4771 Před 5 lety +1

    Big up sana kwenu

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu9959 Před 5 lety +3

    Lil ommy bro Dah

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 5 lety +1

    Good nimejifunza kitu leo

  • @mimah1547
    @mimah1547 Před 5 lety

    Lil Ommy umeongea point brother. Endelea kuwa na moyo huo huo🔥🔥🔥💥💥💥

  • @faridahangedo5554
    @faridahangedo5554 Před 5 lety

    Two intelligent gentlemen ilove u.

  • @happyrichards319
    @happyrichards319 Před 5 lety

    Lil Ommy,,very smart guy.....

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 Před 5 lety

    Ubarikiwe baby sky unasauti nzuri sana

  • @kwelashabani8214
    @kwelashabani8214 Před 5 lety

    Tisha sana!!!

  • @goodboi9821
    @goodboi9821 Před 5 lety +8

    Natamani na Kenya tungeona media personalities wakiwa na mijadala kama hii.
    Industry ya Kenya uungana tu wakati wanasapoti watu wa nje

  • @issahgood3776
    @issahgood3776 Před 5 lety

    Nice interview

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 Před 5 lety +7

    alafu eti mmlinganishe huyu jamaa na Bdozen na Adam Lilyommy ni mtu nanusu Feelings nakila kitu He is the men

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca Před 5 lety

      Rocky vlogs
      Nani kalinganisha kama sio akilizako mwenyewe... Rocky kwayote aliyosema hapo #LilOmmy hujajifunza kitu.. zero 🧠

  • @ashuraussein7582
    @ashuraussein7582 Před 5 lety

    Love sns🌹

  • @vanillamziray2303
    @vanillamziray2303 Před 5 lety

    Nice

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e Před 5 lety

    Omary mashaallah

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 Před 5 lety

    liommy kaka nice kaka sky

  • @celinekanda1850
    @celinekanda1850 Před 5 lety

    True I just I like you

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 5 lety +1

    Hahaha issue ya mtoto wa mobetto mzee ommy ujajiwahi...ukarudisha mpira kwa kipa haraka....

  • @daudmilan1479
    @daudmilan1479 Před 5 lety +2

    ww jamaa aisi uko vizur

  • @witinessnombo4717
    @witinessnombo4717 Před 5 lety +1

    Yaan lily omy uko vizur

  • @aligee1751
    @aligee1751 Před 5 lety +2

    Ndomana najikupendeaga Hunaga utimu😂😂😂

  • @hasnaabduly4945
    @hasnaabduly4945 Před 5 lety +2

    Yani nawapenda nyie wote mnaohojiana apo

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 5 lety +3

    Keeli tuwe wazakendo jamani majungu hayana maana tupendane kweli unaongea vizuri sana sana mbarikiwe wote wambiaeni ukweli sio kiki au fitina tena tuko kwenye projet viwanda sasa vijana wajitaidi kutafuta riski love you guy

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 Před 5 lety

    💪💪💪

  • @saumuathuman206
    @saumuathuman206 Před 5 lety

    ommy kizazi sana

  • @ramadhankiwango3856
    @ramadhankiwango3856 Před 5 lety

    Kizazi

  • @huserehema8618
    @huserehema8618 Před 5 lety +1

    kizazi san.

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 Před 5 lety +1

    Omy umeongea point brother coz kz kz tu

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 Před 5 lety +2

    Lilyommy your gentleman.

  • @mwanajumaomahundumla6504

    Hii show sio ya kuchukulia poa kabisa kwa waelewa maana vyote vilivyoongelewa vya msingi

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 Před 5 lety

    Kizazī

  • @fatumadjumbe2551
    @fatumadjumbe2551 Před 5 lety

    Na kukubali kizazi sana

  • @daudmilan1479
    @daudmilan1479 Před 5 lety +1

    kwan n sky usiwalete wahandishi kama lili wakasuluhisha migogoro yao maana cluad imeisha kabisa mzee bila wasf cloud ni shidah

  • @robinyclement7893
    @robinyclement7893 Před 5 lety

    Kiukweli you guys sjawahi kuboreka na nyinyi kiukweli since day one umekua kwenye industry hii ningependa zaidi wahuska watambue haya mawazo mazuri makubwa ktk kujenga mziki wetu binafsi hii ni interview kubwa sana kuwahi kutokea ktk ukubwa huu nadhan watu wengi hawata ibeba kwaukubwa huu maana aslimia kubwa watu wengi wanapenda kufatilia vitu visivyo na msingi ila kiukweli nimefurahishwa sana namchango wa Liliomy naamini itasaidia sana na natamani sana nikutane na huyu jamaa binafsi ninamachache ya kuzuteta nahuyu mwamba

  • @gracedelence9163
    @gracedelence9163 Před 5 lety

    Kiza

  • @lindatemu8040
    @lindatemu8040 Před 5 lety

    Lilyommy street.......

  • @salmaaman2813
    @salmaaman2813 Před 5 lety

    Sikosagi sns

  • @binkhalidame2754
    @binkhalidame2754 Před 5 lety

    Sam ,lilomi heshima kwenu

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 5 lety +1

    Nakukubli sana ommy uko vzur sana yaan unajua interview kujielezea yaan

  • @shakiramchomvu417
    @shakiramchomvu417 Před 5 lety

    Ommy anaongea jaman kaah yan hapo sky unabaki kuitika tu

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 5 lety

    Ommy umeongea kama mbunge Hussein Bashe leo...

  • @Kilango-media
    @Kilango-media Před 5 lety

    Vunja mbavu na tin white, lingo na maufundi czcams.com/video/_4UzqQUkjO0/video.html

  • @slimshadjr
    @slimshadjr Před 5 lety

    msanii umpigie kura ashinde tunzo akirudi Tanzania akikuta njiani akutemee mate

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 Před 5 lety +1

    Ngoja niendelee nilipoishia #Soga

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 5 lety +1

    Leo majembe tupu big up to you gay

  • @alantonio855
    @alantonio855 Před 5 lety

    Sijui ni interview ao maongezi ?
    Lil Ommy amesahau kama yeye ni guest....

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 Před 5 lety +1

      soga ni maongezi tuu km muko maskani/kijiweni na sio interview ndo mana Lil Ommiy kajiachia vyakutosha imenogaa

    • @jumannemfaume
      @jumannemfaume Před 5 lety

      Sio interview ni soga stori tu hapo zinazoendelea mjini

  • @Cyper255
    @Cyper255 Před 5 lety

    Kumbe Lil Ommy anajua kuigiza sauti ya Chid Benz. Amempatia

  • @kipolaina
    @kipolaina Před 5 lety +1

    Sasa jamani wewe ni kaka yangu kwa sababu mimi Mzee tambwe ni mjomba wa mama yangu na kaka yangu wa kwanza ni omary na mtoto wa Omari wa kwanza ni rajab wewe ni mtu wa tanga? Itabidi niulize family imesambaratika sana niko huku ughaibuni nimezamia muda mrefu sana

    • @salmaomen4943
      @salmaomen4943 Před 5 lety

      Jamani, nchi gani tujuane

    • @emmakalou5920
      @emmakalou5920 Před 5 lety

      Uyu ni WA Tabora

    • @kipolaina
      @kipolaina Před 5 lety +1

      Emma Kalou thanks kama ni wa tabora si yeye sisi ni wa Tanga labda majina tu yametokea kufanana

    • @kipolaina
      @kipolaina Před 5 lety

      salma omen nipo marekani najbangaizia huku.

    • @emmakalou5920
      @emmakalou5920 Před 5 lety

      Poa poa ndugu

  • @allyshabani8680
    @allyshabani8680 Před 5 lety +1

    Yani uyu jama ata siwezi muongelea nimtu wa tofauti sana ommy atafika mbali mno