EXCLUSIVE SHAMSA FORD: Nimepewa Talaka kwenye Watsapp/ Mume wangu alinidai DOLA MIA aliyowahi kunipa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 12. 2019
  • Shamsa Ford ameweza kufunguka Mengi kuhusiana na sababu nyingi zilizosababisha ndoa yake kuvunjika, madhaifu yaliyokuwa kwenye ndoa, sababu zinazomfanya aseme hataki mime wa shida na raha, mahusiano ya mtoto wake na aliyekuwa mums wake, na mengi mengine kuhusu ndoa yake ambayo hakuwahi kuyaongea popote
  • Zábava

Komentáře • 1,3K

  • @khadijaamani9807
    @khadijaamani9807 Před 4 lety +79

    Yamwenzako Sikia Huku Yasikupate.Ya Allah Nijalie Mme Mwema Kwangu.

    • @saifysaid7556
      @saifysaid7556 Před 4 lety

      Nipo Njoo tu

    • @muubruno5701
      @muubruno5701 Před 4 lety

      Inshallah

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 Před 4 lety +1

      Wapo wachache sana mpenzi, we omba tu mwenye hela awe na tabia nzuri au mbaya, maana wakiwa hawana hela wanatulia, ila wakianza kupata utajuta, so bora umpate mwenye nazo kabisaa

  • @innallahmaaswabirin293
    @innallahmaaswabirin293 Před 4 lety +23

    I m not yet married but when I watch this I realize my mom was a very strong woman. Wanawake wanapitia mengi kweli!

  • @Didah-hf4pw
    @Didah-hf4pw Před 4 lety +66

    Pole sana shamsa Allah atakupa mume mwenye khery na wewe utasahau machungu yote nakupenda sana

    • @joycejohnson3394
      @joycejohnson3394 Před 4 lety +1

      Pole sana dada naumia sana. Hata mm nina mume wa aina hiyo ss wanawake tunapitia magumu sana.

    • @Didah-hf4pw
      @Didah-hf4pw Před 4 lety

      @joyce Johnson Sana mungu yupo Kila mtu atasahau mitihani anayo pitia

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 Před 4 lety

      Ameen yarrab 🙏

    • @halimajuma7765
      @halimajuma7765 Před 4 lety

      @@joycejohnson3394 pole sana Dada umeongea kwa hisia, .mngu akupe subra atakupa many kher na ww

  • @hustlerlady3652
    @hustlerlady3652 Před 4 lety +39

    Pole sana shamsa Ford umenikumbusha maisha nliopitia Kwenye ndoa yangu, mwenyezi mungu atupe subra wanawake wote na atufungulie yenye kheri na ss insha Allah

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Před 4 lety +108

    Huyu dada ana imani yadini ila hajapata mume wa kumtunza angekuwa mbali ishallah utapata mume mwengine mwenye hari na wewe

  • @neemajoel2392
    @neemajoel2392 Před 4 lety +41

    Mmmmh ndoa sio kitu cha mchezo u have to pray before kuingia huko

  • @swamyamani8247
    @swamyamani8247 Před 4 lety +132

    Uummhh da zama tunapata shida the voice iko chini mnooooooooooooo hatuenjoy tunafanya kuek cm kwa masikio

  • @esterdanford5563
    @esterdanford5563 Před 4 lety +4

    Nimejifunza kuwa mke ni zaidi ya cheo...Mungu akupe kila lililo jema Shamsa.

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 4 lety +74

    Kama unasikiliza uku unaona coment ka mimi gonga like twende sawa

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 Před 4 lety +56

    Pole...! Nilichogundua hawa watu maarufu wanaishi maisha ya shida mno kuliko tunavyowaona mtandaoni...! Na wengi wanajikaza ili tu kulinda lile Jina lkn wanapitia mengi mno....! Kwanzia kwenye maisha Yao mpka mashabiki wenyewe....! UMAARUFU NI ZIGO LA MIBA

  • @belindagiliard8977
    @belindagiliard8977 Před 4 lety +90

    Ni vzr mumuangalie Zamaradi maana yeye akiulizwa mahusiano yake na Ruge au mumewe mtishia bastola huwa hafunguki.
    Msimpe nafac hivyo ilhali yake kayafungia kwenye chumba cha ndani cha moyo wake

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 Před 4 lety +4

      Ana akili zamaradi hatakagi kuweka mambo yake wazi

    • @beatricechristian9257
      @beatricechristian9257 Před 4 lety +2

      Belinda Giliard kweli kabisa 😂😂😂

    • @tunsumegideonmwamboneke9639
      @tunsumegideonmwamboneke9639 Před 4 lety +6

      kweli kabilsa, kabla hajamuinterview mwanamke mwengine yeyote inabidi aeleze story yrke na ruge, ili wasichana wajifunze, coz rumour had it, she had a real bad experience for younger gals to learn kwa kuwa eye ni kioo cha jamii, na pia anainfluence wasichana venga hapa tanzania.

    • @reyham1722
      @reyham1722 Před 4 lety +2

      @@janekikoti2179 kwahyo hao anaowahoji wanafunguka ni matairaaaaa

    • @jacquelinedesdery5990
      @jacquelinedesdery5990 Před 4 lety

      Nalo neno dear

  • @dadaiareyamy8982
    @dadaiareyamy8982 Před 4 lety +8

    Shamsa dada angu ww ni mtu wa kuigwa kwa jinsi ya maisha yako ulivoishi na unavoishi kwa sasa,hakika ya ndoa kweli ni jambo la kustahamili nimehakiki kutoka kwako pia,kweli ww ni mwanmke unaejua kuishi kwa ndoa,Allah akuzidishie subra na uvumilivu akupe mwanaume anaestahiki kuwa na mke ww....Ameen

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv3207 Před 4 lety +22

    Shamsa ni beautiful talented and hard working you don't need a man to be complete tafuta hela enjoy na mwanao

    • @susans4490
      @susans4490 Před 4 lety

      😳😳

    • @marianginaijuma4171
      @marianginaijuma4171 Před 4 lety

      Truly said,,,mm pia nimepitia nkaja ona c lazima mwanaume awepo ndio life isonge Mungu kama kakujalia mwana huyo mwana ndio atakupea furaha na ujasiri wa kuendelea na maisha

  • @bahajajuma5947
    @bahajajuma5947 Před 4 lety +10

    Tujipongeze wanawake kwa uvumilivu tuliojaaliwa👏👏hy ni mmoja kati ya wanawake wengi wanaoteseka kwenye ndoa ama mahusiano!!....tuamke jamani asiekupenda usimpenda.

  • @hassanearly2694
    @hassanearly2694 Před 4 lety +6

    Pole dada Shamsa,kila linalokuepuka linakheri nawe...inshallah Allah atakujaalia mume wa kheri nawe,Rashid atabaki na shari zake na afahamu malipo ni hapa hapa duniani...Love from +254🇰🇪....

  • @justinjoshua1059
    @justinjoshua1059 Před 4 lety +15

    Da zamaradi sauti imepunguwa saaana,pole Sana Dada kwakuvumilia mengi

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 Před 4 lety +26

    Ndoa ndoa ndoano ndoa ni doa ndoa ntaendelea kuziona kwa watu nimepitia magumu zaid ya shamsa pole dada

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Před 4 lety +13

    Zamaradi yaweke yako wazi ndio uwahoji na wengine sio fair kuhoji wanawake wengine wakati ya kwako ni no comment,

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 4 lety +37

    Da!shamsa pole sana umenifanya nitoe machozi pole sana,mungu atakupa mume mwema inshallah,lakini pia namshukuru zamaradi kwa kipindi kizuri kinafundisha na hata mimi nimejifunza kitu kutoka kwa shamsa.🙏❤

  • @samiraahmed8966
    @samiraahmed8966 Před 4 lety +6

    Nimelia sana nakuelewa sana maana uliyoyapitia ndio niliyoyapitia mimi wallah yaani mungu huyu umenikumbusha vingi Shamsa Allah atakupa mume mwema Inshaallah

  • @nuzlahkhalid2703
    @nuzlahkhalid2703 Před 4 lety +41

    Yani da shamsa umeongelea maisha yangu kabisa kumbe tuko wengi.mola Atatuwezesha inshallah.

  • @fatnahsaleh860
    @fatnahsaleh860 Před 4 lety +29

    Wallah iyi interview imeniliza😭😭😭😭😭. Ila pole Shamza Ford. Namungu kunasiku utapata mume sahihi kwako. You deserve to be happy again 😍😍😍😘. InshaaAllah

  • @fatumaabbakari5951
    @fatumaabbakari5951 Před 4 lety +18

    Shamsa Leo umenifunza kitu nakupenda Dada angu

  • @alimashaban6318
    @alimashaban6318 Před 4 lety +31

    Ma sha Allah shamsa umestiri vizuri MUNGU akuzidishie stara Leo na kesho Qiyama,Ameen

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 Před 4 lety +28

    Shamsa wew ni mvumilivu sana,sijawahi kukomenti kweny interview yeyte tang nimeanza kuftilia kipnd chako zamaradi ila hii ya shamsa kwakwel ni funzo kwangu

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 Před 4 lety +25

    Kuolewa ni maisha magumu sana ukipata mume mpumbavu.Yaani ni janga kubwa .pole sana Shamsa

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 Před 4 lety +1

      Nimependa sana maneno yako.kweli ukipata mume mpumbavu ni shida

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr Před 4 lety +29

    98% ya ndoa wanaume ndio wanachangia ndoa kuvunjika.. Na wake zao kwenda nje sababu ni wao. Wanawake kuwa wajeuri wanachoka sababu ni wao. Wanawake wameumbwa na subra sana alhamdulilah... Lakini dah ni wanaume wachache sana wanaojua utamu wa ndoa.

    • @georgesteven447
      @georgesteven447 Před 4 lety +1

      Nikweli kabisa, mwanaumu unaitaji kuwa na pesa au kipato ili uweze kumtuza mkeo. Lakini wanaume wengi asilimia 70 hawna kipato kizuri na ndio wenye mapenzi yakweli .Mwenye pesa tena umemkuta nazo huwezi mkakaa mpange au kushauriana lazima utakua kama mtumwa wa kila kitu.Nini chakufanya ili yasiwakute manyanyaso .tamaa tupa mbali
      Usiwe mwanamke wakuchagua sura
      Au mfupi au mnene .
      Kila jambo hapa chini ya jua tukimwomba Mwenyeezi Mungu atakukutanisha na mtu sahihi katika maisha yako

    • @conjetapierre8755
      @conjetapierre8755 Před 4 lety +1

      @@georgesteven447 hamna kitu tajiri wala maskini ni tabia ya mtu. Hapo shamsa alimkuta chidi na madeni kama yote na akayabeba yeye na anatunza familia yeye mpaka anauza vitu barabarani kama machinga. Wapo wenye utu atadhamini mlipotoka na wapo mashetani akipata ndo mtiririko wa michepuka unaanzia hapo..
      Kila mtu apambane tu na hali yake ya uchumi tukutane kwa mapenzi, binadamu hawaeleweki

    • @luckyvenance4576
      @luckyvenance4576 Před 4 lety

      Kabisa Samiah El Busaidy

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 Před 4 lety +9

    Shamsa you look good
    napenda nguo yako imekupendeza saaaaaaana
    USIVAE VIGAUNI VYAKO VIFUPI
    YOUR VERY SPECIAL DEAR

  • @lydiaakimana7988
    @lydiaakimana7988 Před 4 lety +118

    Nimejikunda nachukia kuolewa unaweza ukaolewa ukisema umechoka maisha ya kuishi single na kuonekana malaya bila hata kuufanya huo umalaya kumbe uko unakoenda ndo unaweza ukafanya hata zaidi ya ukahaba Allah awarahisie wanandoa wote kwa kweli mumelalia mengi pole saana daa shemsa Allah atakushindia kwa yote

    • @maimunaathman4664
      @maimunaathman4664 Před 4 lety

      Amiin

    • @mariamfranc8568
      @mariamfranc8568 Před 4 lety

      Lydia Akimana "

    • @tumujailani4578
      @tumujailani4578 Před 4 lety

      Lydia Akimana aipendez dear

    • @swaumukareemu9247
      @swaumukareemu9247 Před 4 lety +6

      Kwakeli wengi walio kwenye ndoa wanalia wanataka kutoka nje tulip nje tunataka kuingia... chamsingi m2 angalie furaha ya moyo wake maana moyo ndio unabeba maumivu na ma tam

    • @queenandchill91
      @queenandchill91 Před 4 lety +5

      Walioolewa wengi wanalia ndani kwa ndani....hakuna furaha....mi napenda furaha kwa kweli....naenjoy nikiwa single

  • @jamilaathumani7950
    @jamilaathumani7950 Před 4 lety +15

    Pole shemsa wewe uliolewa na mwanaume wa dar,,mim mwenzio sitakuja kumuamin mwanaume yeyote yule ata kama ni mume wng sitampa moyo wng wote hata iweje

  • @daisybethpaschal7125
    @daisybethpaschal7125 Před 4 lety +95

    zama please weka tissues.. ziwe zinakaa tu hapo chini incase someone gets emotional.. please.. watu wamekuomba sana please reconsider this.

    • @agunwanyi6797
      @agunwanyi6797 Před 4 lety +5

      Daisybeth Paschal kila cku tunasema cjui hasomi coment

    • @beatricelema3244
      @beatricelema3244 Před 4 lety +11

      Alichojibu instagram ni kwamba hizi interviews alisharecord muda kidogo ndio maana hamuoni akifanyia kazi comment zenu. Alisema atafanya kwa interview mpya

    • @khairunmohamed3051
      @khairunmohamed3051 Před 4 lety

      Daisybeth Paschal sauti iko chini sana jaman

    • @daisybethpaschal7125
      @daisybethpaschal7125 Před 4 lety

      beatrice lema hapo sawa

    • @faithgeorge7058
      @faithgeorge7058 Před 4 lety +1

      Daisybeth Paschal hivi kwann haelewi na halifanyii kazi 🙄

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod9185 Před 4 lety +70

    Jamani hamna ndoa ngumu Kama mme wako ana majibu ya mkato au makali hata akupe nini huwezi kuwa na furaha. Wengi wao huonekana wapole sana nje. I understand you Shamsa very well. Be strong 💪🏽 be happy.

  • @catherinerothbletz6496
    @catherinerothbletz6496 Před 4 lety +25

    Jamani nywele za dada zama sijazifurahia sjui hazijabana vizuri

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 Před 4 lety +11

    MashaAllah tabarakaAllah shamsa umependeza Sana, zama tuko pamoja sauti Leo ndogo Sana

  • @Mindsetting4success680
    @Mindsetting4success680 Před 4 lety +16

    Zamaradi, please put some tissues and water to drink, some people are so emotional,

  • @sashawambura
    @sashawambura Před 4 lety +5

    Honestly your simply a good wife..you sacrificed alot for your husband and family..God bless you Shamsa..

  • @shaurimfungoni1772
    @shaurimfungoni1772 Před 4 lety +13

    Pole daa shamsa Mola atakupa mwenye kheir na ww

  • @marinnadaniel5916
    @marinnadaniel5916 Před 4 lety +83

    Siku zote olewa na mwanaume anayekupenda zaidi kuliko wewe unavyompenda.ndoa itadumu milele . Mark my words!!

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Před 4 lety +7

    Yani umesikitisha Shemsa,Ishallah upate mume wa kheri,maana huna skendo chafu mashallah

  • @rosekingalu4403
    @rosekingalu4403 Před 4 lety +35

    Sie tunAetaka ndoa mungu atusaidie sanaa 🙏🏻🙏🏻

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 Před 4 lety +6

    You are more than a human Shamsa Mashaallah. You did the right thing Shamsa Mashaallah. Much love❤❤❤

  • @stellaiyamu5212
    @stellaiyamu5212 Před 4 lety +17

    Mpaka machozi yamenitoka mungu atakulipa

  • @mdmubrak8152
    @mdmubrak8152 Před 4 lety +18

    Duh ndoainamambo mengi ilamikilasiku namuomba mungu anipatie mume bora mwenyehofu yamungu inshallah

  • @sarasalum4554
    @sarasalum4554 Před 4 lety +17

    Pole jamani asilimia kubwa ya ndoa nyingi khari ni mbaya wengine tunapambana kwa sababu ya watoto ila khari ni mbaya jamani

    • @luluothman2307
      @luluothman2307 Před 4 lety

      Ndoa za bongo muvi...
      Kuigana..na asili ya yote huyo chini mapenzi ..alifulia na kuwekwa ndani!
      Ila biashara iliyokuwa ikimpa pesa sasa imekat!

  • @arafampoma3399
    @arafampoma3399 Před 4 lety +12

    Ayo majina ya kina Rashid ni mtihani sio wanaume ni majanga... Shamsa mungu akuongoze sasa kwailo na nyingine

  • @heriethkusigwa8469
    @heriethkusigwa8469 Před 4 lety +47

    Chozi la Mwanamke lenye maumivu linalaana kubwa san......Mungu ndo jibu..Ndo maana huwa sihukumu mtu mpk nipate ukweli🙋Shamsa move on gal😍

  • @ummybashir6144
    @ummybashir6144 Před 4 lety +4

    Shamsa hawana shukrani hao wanaume hata uwafanyie nn na kamwe hawasemi ukweli ila nafsi zao ndani kwa ndani zinawasuta , story yk inafanana na yng nilipata mume kama wako tabia zake yani ni kichefu chefu , pole Dada pambana na Allah atakucmamia madhali nia yako anaijua.

  • @charityusia5897
    @charityusia5897 Před 4 lety +28

    Nimelia sana maisha yk kama mm tu ndoa hizi acha tu

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 4 lety +8

    Usilia jamani unaniumiza nikija nitakuja kupa pole mungu hakupe nguvu wewe mama shujaa ubarikiwe wewe na mtoto wako

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +4

    Abay tamuu Mashaa ALLAH umependeza,,ndoa bn km kitabu ukion hakisomeki funika tulia utapata kitachosomeka maisha yataendelea eeee

  • @aishamtela4413
    @aishamtela4413 Před 4 lety +7

    Interview hii ilikua Bomba Sana haikuboa imefundisha Sana kwa mwenye kutaka

  • @christinaebiy3336
    @christinaebiy3336 Před 4 lety +4

    Nakupenda Zamarad Ina maswali ma'am sana na dada Shamsa umenifundisha kitu Wallah, wew ni Mke bora Dada Ila haikuwa Riski tu

  • @samiraahmed8966
    @samiraahmed8966 Před 4 lety +10

    Yaani sisi wanawake tunapitia mengi sana wallah ni kweli kabisa wengi wanaishi maisha ya uongo sana kwenye mitandao ila ndani kunawaka moto asikudanye mtu ndoa ni ngumu sana na ugumu hasa wanausababisha ni wanaume yaani mahusiano sasa hivi ni kusema mungu saidia tu.

  • @fashiontrendstv3207
    @fashiontrendstv3207 Před 4 lety +95

    90% ya wanawake bongo wapo kwenye ndoa kama hiyo mateso wenye ujasiri ndo watatoka wanyonge watabaki

    • @lykamlaki7120
      @lykamlaki7120 Před 4 lety +3

      Ongeza sauti kidogo upande wa pili wasikie

    • @matridalule9918
      @matridalule9918 Před 4 lety +7

      Acha wabak mama mm nimetoka saiz full raha nikiamua kunywa nakunywa nalala kwa raha zangu

    • @ishaahmed9568
      @ishaahmed9568 Před 4 lety +2

      na ukitoka ama kuanza kudai wewe talaka.....unakuwa termed vibaya

    • @najma3268
      @najma3268 Před 4 lety +1

      Maria James mi tangu nilitumiwa nikiwa Dubai 🤣sms ilitumwa kwa jia ya whasp

    • @KigabiAzizi
      @KigabiAzizi Před 4 lety +2

      Siyo bongo tu dada duniani kote

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 Před 4 lety +2

    Pole mwaya maisha hayo nishapitia mm tena na zaidi wallah inauma umenikumbusha mbali sana..Allah atakujalia mume wa kheri Inshaallah..usihuzunike sana kila likuepukalo mja lina kheri nawe

  • @noalphabetlorehatersonlyal5718

    This guy wanawaita Narcisist in English. Shamsa alikuwa anaishi kwa ndoa ina domestic abuse.....emotional abuse, psychological abuse, financial abuse......I wish my swahili was good. Lakini uki google Narcisist utawatambuwa wanaume au wanawake design hii. Si lazima akupige lakini vtuko vyao!.... na hii tabia si ya kabila fulani, wa Afrika or what. Wako wazungu, wahindi....iko very common na nafurahi watu siku hizi wanakuwa wa wazi...watu walikuwa wakivumila mengi kwasababu kwa nje watu wanamuona kama mtu wa maana.... wanajua kuficha mabaya yao....inasilitisha .Thank you Shamsa for opening up...lesson tu many people. Men and women.

  • @nyamsikoroi8907
    @nyamsikoroi8907 Před 4 lety +17

    Naweza vumilia yote toka kwa mwanaume lakini ujeuri laaaàa

  • @fatumakinga7134
    @fatumakinga7134 Před 4 lety +4

    Pole sana dada, nimejipata nalia yani. Mungu atakupa mume unaestahili🥰🥰🥰🥰❤️

  • @aishashaban7442
    @aishashaban7442 Před 4 lety +4

    Daaah shamsa ford uwa nampenda sana,jaman huyu dada n mzur aiseee hiv wanaume mnanin unamuacha mwanamke kama huyu aisee m ningekuw mwanaume ningekuoa

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 4 lety +17

    ........better being single than thing tolerating such torture 😢😢😢😢

    • @rozy_mnk7550
      @rozy_mnk7550 Před 4 lety

      true

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 Před 4 lety +1

      Exactly wanaume wengine ni magunduuuu kweli ukiwacha unapata mwema zaidi na life nzuri sana Shamsa utapata mume mwema na wewe

  • @mariamkiharo6345
    @mariamkiharo6345 Před 4 lety +48

    Mnaolalamika sauti ndogo mnatumia simu gani? Tunaotumia tecno tujuane mana sauti kama yote

  • @yusrangombe1309
    @yusrangombe1309 Před 4 lety +32

    Shamsa Maisha uliopitia ndo Maisha niliyonayo ndugu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 Před 4 lety +28

    Mwanaume mwenye ujana mwingi hafai kuwa mume na hata kuwa baba katika familia.. Aagh

  • @fatumaabbakari5951
    @fatumaabbakari5951 Před 4 lety +13

    Umependeza mumy wangu chausiku

  • @myrarobert3003
    @myrarobert3003 Před 4 lety +27

    Duh shamsa maisha unayoyapitianiliyapitia .miaka 10.duh wanaume wacha tu.mimi nilikuwa nalala njaa nikaanza kupika chips.loh ndoa hizi mungu atupe subra.nashukuru lungi nilitoka na niliendelea na maisha yangu sasa nipo vizuri nalea watoto wangu 2

  • @leylahmsosa8793
    @leylahmsosa8793 Před 4 lety +4

    All In All shamsa ni mtu mwenye upendo
    Mashaa’Allah 💓

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 Před 4 lety +1

    Nawe Zama uweke history yako unaulizaga za wenzio tu sio vizuri

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 Před 4 lety +3

    Songa mbele shamsa. Wanawake tunaweza💪💪💪💪

  • @halimahassan176
    @halimahassan176 Před 4 lety +5

    Mashaallah Shamsi umependeza sana mavazi haya yanakupendeza sana. you are my choice Shamsa 😘😍

  • @mohamedhella7899
    @mohamedhella7899 Před 4 lety +3

    ndoa ni ibada na ibada haina uwepesi ndo maana wengi wanaishindwa ila kupambana kwa ajili ya ndoa yako licha ya changamoto yoyote ile ndo ushindi,hawa wote walioko kwenye ndoa sio kwamba mambo ni mazuri hivyo ila vitu vingi watu wanapuuza na maisha yanaendelea lakini ukiona huna bahati na kila mtu hafai ,yaani hii dunia kila nikuwa imara na kusimama upande wa mungu.

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +5

    Umevaa vizuri shamsa ndio uislam

  • @swaumumustaphamapondanga4707

    Pole sn shamsa nimejifunza kitu kutoka kwako.....love you shamsa ford

  • @mgenisuleiman56
    @mgenisuleiman56 Před 4 lety +4

    Yarabb niepushie mateso kwenye ndoa yangu, mmh inauma kweli sana dada ila usikate tamaa mungu atakufungulia njia 🤲🤲😭

  • @jackmalipo4774
    @jackmalipo4774 Před 4 lety +5

    Pole Sana Usjali utapata mwegine

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Před 4 lety +7

    Chidy sio family man.ni msela sana.pole shamsa

  • @sarahprecious4145
    @sarahprecious4145 Před 4 lety +10

    How can you get married without your kid ?That’s being stupid.Mimi kama mtu hatapenda mwanangu wacha tu nikae bilakuolewa

  • @awazbange7473
    @awazbange7473 Před 4 lety +52

    Baada ya shamsa umlete na chidy ili tu balance story

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale Před 4 lety +15

    She look so beautiful MashaAllah and sounds so holy..I love Shamsa's level of honesty and boldness. Just a kind advice Zama,if somebody gets emotional you take a break immediately and provide him/her with a tissue coz personally I see every woman as a Mother. I lost mine some years ago so if I see any woman cry my heart always filled with grief. Much thanks for such programs and I wish all the best for Shamsa Insha'Allah.
    Love from Doha +974

    • @fatmahussein9642
      @fatmahussein9642 Před 4 lety +2

      Umejitahidi kadiri ya uwezo wa binaadam kuinusuru ndoa yako ALLAH ATAKUJAALIA MWENGINE MWENYE KHERI NA WEWE

  • @pascalinasally7116
    @pascalinasally7116 Před 4 lety +12

    wanaume wengi wanajali hawara kuliko mke.pole shamsa

  • @nasramasimba3532
    @nasramasimba3532 Před 4 lety +6

    Leo sound iko low kidogo... Plz hili tatizo naomba ulizngatie mamaa c unajua one mistake one Goal....

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 4 lety +7

    He has lost a diamond, pole sana mdada 🇬🇧🇬🇧❤️

  • @susanruo8087
    @susanruo8087 Před 4 lety +27

    Inamaana zamaradi hasomangi comments ama ni ujeuri tu, mara ngapi tumekuwa tunasema awake kameza kadogo na tissue hapo? Make it professional Zama

    • @mamiibatenga617
      @mamiibatenga617 Před 4 lety

      🤣🤣🤣jeuri sana huyu Zama

    • @rahimaally6471
      @rahimaally6471 Před 4 lety +1

      Atakua jeuri halafu nguo sio za kuvaa hizo na yeye na sauti yake iko chini Sana

    • @susanruo8087
      @susanruo8087 Před 4 lety +3

      @Rukaiya Rukaiya ata akibadilisha hoteli, lazima afanye kazi yake bora. Ata hoteli haina tissue jameni? Hii si interview ya kwanza wanawake wanalia ,ilianza na akina Irene uwoya, lakini bado ni kama amekaushia tu. Lazima azingatie mambo ya muhimu kwanza

    • @reymammakasa1537
      @reymammakasa1537 Před 4 lety

      Jeuri nae huyu...

    • @rmmulei8531
      @rmmulei8531 Před 4 lety +1

      @@reymammakasa1537 jeuri kweli ingnore watu..watu wote wenye nyama ndogo roh zao zimejaa kibri na ubaya ukumbuki mareemu ruge akimlilia amsamee akawa amekaza ataki kujua nyoooo

  • @joycetitus7615
    @joycetitus7615 Před 4 lety +1

    Pole sana dadangu
    Am happy that you are so strong to tell 😍😍

  • @alimashaban6318
    @alimashaban6318 Před 4 lety +2

    Hilo jirashidi ni gume gume kamwe!MWENYEZI MUNGU atakupa alie wa kheri kwako habibty wewe bado mrembo mbona,afadhali mtu kama hakupendi akuache tu roho safi kuliko majibu hayo ya mkato!na mwanamume akisha anza mpango wa kando ndio huanza majibu kama hayo,pole sana dadaa ila asante sana shamsa tumejifunza mengi kupitia kwako

  • @mariammwidany8445
    @mariammwidany8445 Před 4 lety +4

    Love you zama hua napenda interview zako hazinichoshi

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 Před 4 lety +3

    Majibuu ake kama ya ex wngu nikasemaa isiwee shidaa asante mungu 🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢😢pole dada yngu

  • @user-oh8bn3vg2w
    @user-oh8bn3vg2w Před 4 lety +2

    Pole sana dada shamsa mungu yupo nww endelea kuomba usiku namchana Inshaallaah

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Před 4 lety +3

    Wanaume Wa hivyo wapo wengi kweli lkn sie Wanawake ni watu Wa uvumilivu sana Mungu asante

  • @rachelmligwa5922
    @rachelmligwa5922 Před 4 lety +16

    Wanawake tunateseka Sana na Hawa viumbe Ambao MUNGU ametupa tuishi nao lakini Ni wanyama

  • @nasraiddy3561
    @nasraiddy3561 Před 4 lety +21

    Yaani huyo mume kuna uwezekano alikuoa akiwa anatarajia kuwa tajiri labda kaona kaoa shamsaa jina kubwaa akajua hapa ndipo penyewe shenzi

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před 4 lety +5

    Shamsa Ford pole sana kwa changamoto ulizopitia...naamini umejifunza kitu..usikurupuke tena,shukuru Mungu hujapata mtoto nae maana ungepata mzigo zaidi wa malezi,bado U have a chance ya kupata ndoa soon...ukituliza akili coz una sababu zote ya kuwa mke...Mwenyez Mungu akufanyie wepesi Inshaalah...Nakupenda sana#Shikamoo Mzee#RipKingMajuto.

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 Před 4 lety +1

    Nakupenda sana mwanake jasili kwa hongera umependeza umefaa kislama 👌👌👌👌

  • @shamsakambi4893
    @shamsakambi4893 Před 4 lety +1

    Daaaah wajina wang!! I can't stop my tears walah 😢pole sana *shamsa* ndo tulivogo majina haya ila allah atakupa wakukujali.nakupenda

  • @everinemichael7457
    @everinemichael7457 Před 4 lety +7

    Shamsa kaongea kw hisia sana yan uyo chidi apa kapoteza thamani kuliko zote alizowahi kumiliki, nakuelew shamsa wanaume machoni pa wengine watakatifu sana lkn ndgu usiombe ukutane n mwanaume w namna iyo utajiuliza marambilimbili nilimtongoza au alinitongoza.

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 Před 4 lety +3

    Allah atakulipa kwa hisani zako kwake na anakupeleka kwenye heri

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 4 lety +2

    Maa shaa allah shamsa leo umependeza ulivyojistiri

  • @maryammdoe4784
    @maryammdoe4784 Před 4 lety

    Wewe mdada zamaradi uvaege nguo za adabu baas wewe ni mtt wa kiislam na shamsa my dear allah akupatie mume sahihi ijapokua mie sijaona sahihikuanika mambo hapa kwa umati wawatu lkn ndo ishaakua tena but sio poa lkn allah akuongoze na akuhifadhi pia na kule kuvaaga vitaiti vichupi chupu mipaja nnje plz muogopen allah, mbona hapo umependeza maashaaAllah na abaya lako allah akuongoze ktk njia ilionyooka na akupe hitaj la moyo wako (mume) kila la kheri inshaaAllah

  • @marjoriehebron2624
    @marjoriehebron2624 Před 4 lety +3

    Pole shamsa umevumilia mengi pamoja na lile pua lake kama skert ya solo

  • @hawamsuya7536
    @hawamsuya7536 Před 4 lety +6

    Pole mamy umeniliza but nimejifunza kitu pia shamsa

  • @mashaali2409
    @mashaali2409 Před 4 lety +1

    Nhc bado anampenda aliyekuwa mumewe but hawezi kurudi kutokana tuu amemuumiza sana.
    Pole Shamsa