Video není dostupné.
Omlouváme se.

SKY na MILLARD AYO waibeba UZA mabegani, Haya ndio maajabu yake makubwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 11. 2022
  • #sky #millardayo

Komentáře • 83

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před rokem +9

    Tukitapeliwa tunajua pa kuwapata🙋🏾‍♂️

  • @zuberykapingu510
    @zuberykapingu510 Před rokem +3

    Golden Voices #Ayo_&_Sky

  • @gracemachege3817
    @gracemachege3817 Před rokem +4

    Two legend together for the first time

  • @maikojohny345
    @maikojohny345 Před rokem +11

    Ata kaynda walitumia ITv, baadae majanga yakitokea, hakuna msaada

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 Před rokem +11

    sky na ayo sauti zenu za fanna

    • @hafidhali4336
      @hafidhali4336 Před rokem +1

      ila sio sana utofauti upo. Wanafanana kwenye style ya kutangaza tu.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před rokem +5

    Kalynda imekuja tena kivingine🤣🤣

  • @youngmaster4127
    @youngmaster4127 Před rokem +10

    Safari hii tunataka raisi ndy aje kututhibitishia asee tumechoka kupigwaa

  • @taucdulle7460
    @taucdulle7460 Před rokem +6

    Halafu huwa wanabadilosha kila kitu wanakuja na mbinu tofaut😂😂😂washageuka hao

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před rokem +7

    easy money, easy money, easy money,
    easy come, easy go... no easy money

  • @josephk90
    @josephk90 Před rokem +5

    If the mission is too easy go back and think again!

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před rokem +7

    Skuizi Nikiskia neno "" hii kitu ni LeGIT"" ,naskia harufu ya kupigwa pigwa tu ..😂😂😂#powered by Kalynda..

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Před rokem +2

    Messi na Ronaldo kwenye picture hamebaki 50 cent na jalule

  • @davidkopwe9311
    @davidkopwe9311 Před rokem

    Kwa kweli nakuwa na wasiwas wakupigwa siamini haya Mambo tena na tena

  • @barakakigora6502
    @barakakigora6502 Před rokem +4

    Unalipwa kulingana na kuuza nn?
    Wanaonilipa wao wanalipwa nn?
    Critical thinking is very important, remember there is no free lunch in world of technology,

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před rokem

      KWA FAIDA YA WENGI
      Uza ni product ya Inalipa - inalipa.co.tz -(tembelea tovuti hii kuona inavyofanya kazi au pakua app yake). So far Inalipa ni platform namba moja Tanzania kwa manunuzi ya bidhaa za kila aina mtandaoni. Imekuwepo kwa miaka takriban minne sasa na imesaidia sana delivery ya products kwa wateja wa mwisho na sasa kwa wauzaji/maduka reja reja.
      Kwenye Uza, mtu atajipatia kipato kwa kuunganisha maduka mengi ya rejareja ambayo yatakuwa yanaagiza bidhaa za jumla kupitia Inalipa. Mtu haweki hela yoyote, bali atapewa commission akifanikisha wafanyabiashara wengi wa rejareja kununua bidhaa kupitia mfumo wa Inalipa kupitia app ya Uza. Inalipa ni kama ilivyo Jumia, Ebay au Amazon japo imejikita kwenye bidhaa za nyumbani zaidi

    • @barakakigora6502
      @barakakigora6502 Před rokem

      @@SimuliziNaSauti nimeelewa Sasa, Kwa maana hiyo program hiyo inafanya kazi dar TU, na kama sio dar TU, swali langu Huku mikoani ipoje Kwa mteja kuletewa huduma aliyoiorder, na Mimi naweza kuongea na wamiliki wa maduka kuwaonganisha au nimeelewa vibaya, msaada tafadhari

    • @simonballu1124
      @simonballu1124 Před rokem +1

      huu upumbavu kiwango chake ni cha lami, nothing coming easy work hard watanzania acheni upumbavu ndo maana wazungu wanatudharau hebu ipelekeni ulaya basi kama inalipa.

    • @simonballu1124
      @simonballu1124 Před rokem

      @@barakakigora6502 unakoelekea utaelewa na utapigwa kenge wewe jichanganye waulize mmiliki wa hii app zaidi mkipigwa muanze kulia kama KALYANDA walienda ITV sembuse hawa tu, nyie mtapigwa vibaya sana.

    • @barakakigora6502
      @barakakigora6502 Před rokem

      @@simonballu1124 uwe na amani sijawahi na sitarajii kufanya biashara ya mfumo huo

  • @radiammchecheto5050
    @radiammchecheto5050 Před rokem +2

    Nanyie nikama messi na Ronaldo..by ongeleni sana

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před rokem +2

    Mara hii Tukipigwa tena tunqwafuata Sky na Ayo mtuambie.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    Sauti moja

  • @johndevi2153
    @johndevi2153 Před rokem +4

    kalunder ya pili hiyo,watanzania kwenye network trade ni utapel mtupu eti tengeneza hela kirahisi uongo labda wazungu ndio wapo smart kulko sisi jania janja

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 Před rokem +1

      Kwa ufupi hili swala la utapeli la mitandaoni mbona lipo duniani kote?

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Před rokem +1

    Kylinda commerce au

  • @streetconatv100k
    @streetconatv100k Před rokem +1

    Kalynda iliyochangamka

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 Před rokem

    💞💞❣

  • @philipocharles9239
    @philipocharles9239 Před rokem +1

    Sasa hapa naanza kuelewa,hawa jamaaa hawaa jamaaa nimeshaelewa 🧐🧐🙄🙄🤭🤭

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +1

    Asa hii inautofaut gan na yale makampuny ya ukimuunganisha huyu unapata hela au unanunua bidhaa na kuuzia watu?Tz 🙌 Haya Wtz kauzeni na Uza

  • @mbembelatv
    @mbembelatv Před rokem +1

    😳😳

  • @signalboy4260
    @signalboy4260 Před rokem

    Powered by Inalipa inc

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 Před rokem +10

    Kuna msiba ulitokea kule saudia wajirani yetu wa nchi ya uganda ya kijana Kapeesa tuataka stori yake kwa undani tunakutegemea wewe ndugu yetu Sky maana taarifa zenu sio zaubabaifu ❤

    • @akimanaarlene851
      @akimanaarlene851 Před rokem +4

      Hayahusu yare hapa wenye wanakufa wakiwa saudia arabia ni wengi yure alikua anakula raha baharini na malaya zake wakati Ana mke Uganda Toa ujinga hapa peleka kwa waganda wenzake

    • @messaabbas739
      @messaabbas739 Před rokem +1

      @@akimanaarlene851 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 Před rokem +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ngoja nichek kwanz

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem +1

      @@akimanaarlene851 hiyo story iko wapi sijaisikia?

    • @janetahmed6948
      @janetahmed6948 Před rokem +1

      huu na wasaudia inahusu ebu acha zako

  • @africanmandetraveler2847

    Hope's sio scammers

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Před rokem +2

    Kwa hapo ninakua na uhakika sns sky anaga longolongo

    • @mgawesaid5137
      @mgawesaid5137 Před rokem

      Hata ITV hawana longo longo ila na wao walishangaa mtambo umezima ziiiii balaa mpaka leo ukitaka uwena amani waambie waweke dhamana Mali zao hao Millard na sky ili jamaa wakiondoka kichizi mnakuwa mnaelewa hela zenu zipo kwa Millard na sky

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Před rokem +1

    Kwishaaa😂😂😂😂 walewale tuu wamebadili chupi tu

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 Před rokem

    Ebana hii imekuj kwa wale influential people ngoja tuone

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 Před rokem +1

    No free lunch

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏

  • @karimniyo1909
    @karimniyo1909 Před rokem

    Ni kwaajili ya wa Tz tu au ni kwa mataifa mbali mbali?

  • @mwanadigital1
    @mwanadigital1 Před rokem +2

    Uza play store zipo nyingi Kama sita ipi ni sahihi?? logo yao inakaaje

  • @Tanzania..cashauro
    @Tanzania..cashauro Před rokem

    Wewe tena miladiayo tukilizwa je

  • @Prince-rh2em
    @Prince-rh2em Před rokem +5

    huu ni ujinga pumbav zenu scatec walifungua ofisi zao wakiwa na nan kalynda wali verify ads mpaka itv, aisee hakuna pesa za kijinga kiasi hiki siku watu mnalizwa hamtapata msaada wowote mimi nimekaa hapa. kama una mtaji wako wekeza pesa yako kwenye biashara yako sio huu ujinga wa mwisho, shenzi kabisa sijui kwa nini serikali ina ruhusu mambo kama haya.

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před rokem +3

      KWA FAIDA YA WENGI
      Uza ni product ya Inalipa - inalipa.co.tz -(tembelea tovuti hii kuona inavyofanya kazi au pakua app yake). So far Inalipa ni platform namba moja Tanzania kwa manunuzi ya bidhaa za kila aina mtandaoni. Imekuwepo kwa miaka takriban minne sasa na imesaidia sana delivery ya products kwa wateja wa mwisho na sasa kwa wauzaji/maduka reja reja.
      Kwenye Uza, mtu atajipatia kipato kwa kuunganisha maduka mengi ya rejareja ambayo yatakuwa yanaagiza bidhaa za jumla kupitia Inalipa. Mtu haweki hela yoyote, bali atapewa commission akifanikisha wafanyabiashara wengi wa rejareja kununua bidhaa kupitia mfumo wa Inalipa kupitia app ya Uza. Inalipa ni kama ilivyo Jumia, Ebay au Amazon japo imejikita kwenye bidhaa za nyumbani zaidi

    • @simonballu1124
      @simonballu1124 Před rokem

      @@SimuliziNaSauti hakuna lolote hapo kwa KALYANDA iliseamje si ni hayohayo tu wewe umeshalipwa chako kula na watoto wako waache wapumbavu watapeliwe, niambie wewe umepata sh ngapi.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před rokem +1

    Sky kwakweli nashindwa kukuamini mmmm😁😁😁

  • @leonsdismas9739
    @leonsdismas9739 Před rokem +1

    Na waga wana maneno hao🤭 umaskini wetu ndo unafanya tutumbukie kwny wapigaji kama Hawa but SHTUKENI WANANGU hakuna kitu Cha Bure Dunia hii solution ya matatizo yote n kufanya kazi ya Halali na kupata pesa yako!

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem

    Hehehehe haya chungulieni na huku pia..ukiumia unaumia mwenyewe

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas Před rokem +1

    HAKUNA HELA YA BURE AU HELA YA KIURAHISI UJUE HELA YAKO NDIO WANAITAFUTA INGEKUWA HIVYO KILA MTU ANAGEKUWA ANATAJIRIKA #UKIONA HUDUMA UNAAMBIWA NI BURE BASI JUA WEWE NDIO BIDHAAA YENYEWE KILÀ MTU ANAHITAJI HELA HAKUNA ANAEWEZA KUGAWA HELA

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před rokem

      KWA FAIDA YA WENGI
      Uza ni product ya Inalipa - inalipa.co.tz -(tembelea tovuti hii kuona inavyofanya kazi au pakua app yake). So far Inalipa ni platform namba moja Tanzania kwa manunuzi ya bidhaa za kila aina mtandaoni. Imekuwepo kwa miaka takriban minne sasa na imesaidia sana delivery ya products kwa wateja wa mwisho na sasa kwa wauzaji/maduka reja reja.
      Kwenye Uza, mtu atajipatia kipato kwa kuunganisha maduka mengi ya rejareja ambayo yatakuwa yanaagiza bidhaa za jumla kupitia Inalipa. Mtu haweki hela yoyote, bali atapewa commission akifanikisha wafanyabiashara wengi wa rejareja kununua bidhaa kupitia mfumo wa Inalipa kupitia app ya Uza. Inalipa ni kama ilivyo Jumia, Ebay au Amazon japo imejikita kwenye bidhaa za nyumbani zaidi

    • @simonballu1124
      @simonballu1124 Před rokem

      @@SimuliziNaSauti acha utapeli bro tunakuheshimu hakuna hela za bure.

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před rokem +1

      @@simonballu1124 Wakitapeliwa watu, tuko hapa

  • @youngmaster4127
    @youngmaster4127 Před rokem +2

    We mirad kama kweli na una akili timamu kwann hujweka hii video kwenye chanel yako?

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +2

    Milad na wewe umeingia utapelini

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 Před rokem

    acheni utapeli tukipigwa muanze kusema nyie mlialikwa tu kutambulisha pumbavu kabisa mnaanzaga hivyohivyo baadae unaanza kuuziwa vitu kwa picha au weka akiba.

  • @waktiahmad2503
    @waktiahmad2503 Před rokem +1

    Haya ngoja tuaminisheni tuone ipoje