Video není dostupné.
Omlouváme se.
SKY na MILLARD AYO waibeba UZA mabegani, Haya ndio maajabu yake makubwa
Sdílet
Vložit
Velikost videa:
- čas přidán 20. 11. 2022
- #sky #millardayo
Komentáře • 83
Další v pořadí
Automatické přehrávání
Ukweli huu hapa kuhusu taarifa za kukamatwa VIJANA waliobaka pamoja na uvumi wa KIFO cha Binti huyoSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 32K
MAKONDA AKIPEWA POLE NA WANANCHI | BAADA YA UKIMYA MWAMBA HUYU HAPA..MADORA TV
zhlédnutí 37K
DIAMOND NOMA! AMUINUA RAIS SAMIA JUKWAANI, KOMASAVA YALIPUA UWANJA MZIMA KWA SHANGWEWasafi Media
zhlédnutí 60K
iShowSpeeda Takhke OkradliTaky Bige
zhlédnutí 387K
Handstand train challenge!!The Rybka Twins
zhlédnutí 8M
Jak Vypadají Noví Nejbohatší Youtubeři v Česku?Bige
zhlédnutí 529K
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shortsFabiosa Stories
zhlédnutí 39M
SALEH JEMBE AMCHAMBUA DEBORA FERNANDEZ/SIMBA WAMESAJILI KIUNGO BORA/AICHAMBUA TIMU YA SIMBAJEMBESPORTS
zhlédnutí 50K
SALIM KIKEKE Agawa Viwanja BURE Kupitia VIJANA REAL ESTATE Akiwa Kama Balozi wao Mpya.Mikemedia Online
zhlédnutí 104
RAFIKI WA DADA ALIYEBAKWA & KULAWITIWA AFUNGUKA MAZITO CHANZO CHA TATIZOS500 TV
zhlédnutí 3,2K
"MAPYA" LEMA ALILIPUA SAKATA LA MAKONDA UKWELI WAFICHUKA SASA AMNA SIRIYuhai media
zhlédnutí 188K
KWAYA KUU wamuimbia MAKONDA tulijua tu kua yatakupata haya NENDA TUModesta Peter
zhlédnutí 10K
SALEH JEMBE NILIWAHI KUANDIKA UBORA WA DEBORA/HAKUNA KIUNGO ANAYEMZIDI DEBORA/MCHEZAJI BORAJEMBESPORTS
zhlédnutí 4,8K
MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPOBongo Touch
zhlédnutí 233K
Poshy Queen atupa dongo kwa Harmonize? "nilikua sionekani mrembo kule"Simulizi Na Sauti
zhlédnutí 11K
I CAN'T BELIEVE THIS HAPPEND!Zhong
zhlédnutí 28M
#JasonDeruloTV // Lottery #GotPermissionToPost From @prestige_et_collection #FromTheIslandsJason Derulo
zhlédnutí 123M
NEJHEZČÍ OBRÁZEK = BRAWL PASS +Štěps
zhlédnutí 278K
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000MrBeast
zhlédnutí 114M
Best exercises to lose weight ! 😱Tibo InShape
zhlédnutí 17M
Isso é o que eu ganho por confiar em amigos!Polar em português
zhlédnutí 6M
Tukitapeliwa tunajua pa kuwapata🙋🏾♂️
Golden Voices #Ayo_&_Sky
Two legend together for the first time
Ata kaynda walitumia ITv, baadae majanga yakitokea, hakuna msaada
sky na ayo sauti zenu za fanna
ila sio sana utofauti upo. Wanafanana kwenye style ya kutangaza tu.
Kalynda imekuja tena kivingine🤣🤣
Safari hii tunataka raisi ndy aje kututhibitishia asee tumechoka kupigwaa
Kylinda😂😂
Halafu huwa wanabadilosha kila kitu wanakuja na mbinu tofaut😂😂😂washageuka hao
easy money, easy money, easy money,
easy come, easy go... no easy money
If the mission is too easy go back and think again!
Skuizi Nikiskia neno "" hii kitu ni LeGIT"" ,naskia harufu ya kupigwa pigwa tu ..😂😂😂#powered by Kalynda..
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 hawatupati round hii
😂😂😂
Messi na Ronaldo kwenye picture hamebaki 50 cent na jalule
Kwa kweli nakuwa na wasiwas wakupigwa siamini haya Mambo tena na tena
Unalipwa kulingana na kuuza nn?
Wanaonilipa wao wanalipwa nn?
Critical thinking is very important, remember there is no free lunch in world of technology,
KWA FAIDA YA WENGI
Uza ni product ya Inalipa - inalipa.co.tz -(tembelea tovuti hii kuona inavyofanya kazi au pakua app yake). So far Inalipa ni platform namba moja Tanzania kwa manunuzi ya bidhaa za kila aina mtandaoni. Imekuwepo kwa miaka takriban minne sasa na imesaidia sana delivery ya products kwa wateja wa mwisho na sasa kwa wauzaji/maduka reja reja.
Kwenye Uza, mtu atajipatia kipato kwa kuunganisha maduka mengi ya rejareja ambayo yatakuwa yanaagiza bidhaa za jumla kupitia Inalipa. Mtu haweki hela yoyote, bali atapewa commission akifanikisha wafanyabiashara wengi wa rejareja kununua bidhaa kupitia mfumo wa Inalipa kupitia app ya Uza. Inalipa ni kama ilivyo Jumia, Ebay au Amazon japo imejikita kwenye bidhaa za nyumbani zaidi
@@SimuliziNaSauti nimeelewa Sasa, Kwa maana hiyo program hiyo inafanya kazi dar TU, na kama sio dar TU, swali langu Huku mikoani ipoje Kwa mteja kuletewa huduma aliyoiorder, na Mimi naweza kuongea na wamiliki wa maduka kuwaonganisha au nimeelewa vibaya, msaada tafadhari
huu upumbavu kiwango chake ni cha lami, nothing coming easy work hard watanzania acheni upumbavu ndo maana wazungu wanatudharau hebu ipelekeni ulaya basi kama inalipa.
@@barakakigora6502 unakoelekea utaelewa na utapigwa kenge wewe jichanganye waulize mmiliki wa hii app zaidi mkipigwa muanze kulia kama KALYANDA walienda ITV sembuse hawa tu, nyie mtapigwa vibaya sana.
@@simonballu1124 uwe na amani sijawahi na sitarajii kufanya biashara ya mfumo huo
Nanyie nikama messi na Ronaldo..by ongeleni sana
Mara hii Tukipigwa tena tunqwafuata Sky na Ayo mtuambie.
Sauti moja
kalunder ya pili hiyo,watanzania kwenye network trade ni utapel mtupu eti tengeneza hela kirahisi uongo labda wazungu ndio wapo smart kulko sisi jania janja
Kwa ufupi hili swala la utapeli la mitandaoni mbona lipo duniani kote?
Kylinda commerce au
Kalynda iliyochangamka
💞💞❣
Sasa hapa naanza kuelewa,hawa jamaaa hawaa jamaaa nimeshaelewa 🧐🧐🙄🙄🤭🤭
Asa hii inautofaut gan na yale makampuny ya ukimuunganisha huyu unapata hela au unanunua bidhaa na kuuzia watu?Tz 🙌 Haya Wtz kauzeni na Uza
😳😳
Powered by Inalipa inc
Kuna msiba ulitokea kule saudia wajirani yetu wa nchi ya uganda ya kijana Kapeesa tuataka stori yake kwa undani tunakutegemea wewe ndugu yetu Sky maana taarifa zenu sio zaubabaifu ❤
Hayahusu yare hapa wenye wanakufa wakiwa saudia arabia ni wengi yure alikua anakula raha baharini na malaya zake wakati Ana mke Uganda Toa ujinga hapa peleka kwa waganda wenzake
@@akimanaarlene851 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ngoja nichek kwanz
@@akimanaarlene851 hiyo story iko wapi sijaisikia?
huu na wasaudia inahusu ebu acha zako
Hope's sio scammers
Kwa hapo ninakua na uhakika sns sky anaga longolongo
Hata ITV hawana longo longo ila na wao walishangaa mtambo umezima ziiiii balaa mpaka leo ukitaka uwena amani waambie waweke dhamana Mali zao hao Millard na sky ili jamaa wakiondoka kichizi mnakuwa mnaelewa hela zenu zipo kwa Millard na sky
Kwishaaa😂😂😂😂 walewale tuu wamebadili chupi tu
Ebana hii imekuj kwa wale influential people ngoja tuone
No free lunch
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏
Ni kwaajili ya wa Tz tu au ni kwa mataifa mbali mbali?
Uza play store zipo nyingi Kama sita ipi ni sahihi?? logo yao inakaaje
Uza by Inalipa
utapigwa vibaya wewe kenge🤣🤣🤣
😄😄😄😄
Wewe tena miladiayo tukilizwa je
huu ni ujinga pumbav zenu scatec walifungua ofisi zao wakiwa na nan kalynda wali verify ads mpaka itv, aisee hakuna pesa za kijinga kiasi hiki siku watu mnalizwa hamtapata msaada wowote mimi nimekaa hapa. kama una mtaji wako wekeza pesa yako kwenye biashara yako sio huu ujinga wa mwisho, shenzi kabisa sijui kwa nini serikali ina ruhusu mambo kama haya.
KWA FAIDA YA WENGI
Uza ni product ya Inalipa - inalipa.co.tz -(tembelea tovuti hii kuona inavyofanya kazi au pakua app yake). So far Inalipa ni platform namba moja Tanzania kwa manunuzi ya bidhaa za kila aina mtandaoni. Imekuwepo kwa miaka takriban minne sasa na imesaidia sana delivery ya products kwa wateja wa mwisho na sasa kwa wauzaji/maduka reja reja.
Kwenye Uza, mtu atajipatia kipato kwa kuunganisha maduka mengi ya rejareja ambayo yatakuwa yanaagiza bidhaa za jumla kupitia Inalipa. Mtu haweki hela yoyote, bali atapewa commission akifanikisha wafanyabiashara wengi wa rejareja kununua bidhaa kupitia mfumo wa Inalipa kupitia app ya Uza. Inalipa ni kama ilivyo Jumia, Ebay au Amazon japo imejikita kwenye bidhaa za nyumbani zaidi
@@SimuliziNaSauti hakuna lolote hapo kwa KALYANDA iliseamje si ni hayohayo tu wewe umeshalipwa chako kula na watoto wako waache wapumbavu watapeliwe, niambie wewe umepata sh ngapi.
Sky kwakweli nashindwa kukuamini mmmm😁😁😁
Ndio ile ya kutapeliwa???😄😄😄
Na waga wana maneno hao🤭 umaskini wetu ndo unafanya tutumbukie kwny wapigaji kama Hawa but SHTUKENI WANANGU hakuna kitu Cha Bure Dunia hii solution ya matatizo yote n kufanya kazi ya Halali na kupata pesa yako!
Kabisa mjomba
Hehehehe haya chungulieni na huku pia..ukiumia unaumia mwenyewe
HAKUNA HELA YA BURE AU HELA YA KIURAHISI UJUE HELA YAKO NDIO WANAITAFUTA INGEKUWA HIVYO KILA MTU ANAGEKUWA ANATAJIRIKA #UKIONA HUDUMA UNAAMBIWA NI BURE BASI JUA WEWE NDIO BIDHAAA YENYEWE KILÀ MTU ANAHITAJI HELA HAKUNA ANAEWEZA KUGAWA HELA
KWA FAIDA YA WENGI
Uza ni product ya Inalipa - inalipa.co.tz -(tembelea tovuti hii kuona inavyofanya kazi au pakua app yake). So far Inalipa ni platform namba moja Tanzania kwa manunuzi ya bidhaa za kila aina mtandaoni. Imekuwepo kwa miaka takriban minne sasa na imesaidia sana delivery ya products kwa wateja wa mwisho na sasa kwa wauzaji/maduka reja reja.
Kwenye Uza, mtu atajipatia kipato kwa kuunganisha maduka mengi ya rejareja ambayo yatakuwa yanaagiza bidhaa za jumla kupitia Inalipa. Mtu haweki hela yoyote, bali atapewa commission akifanikisha wafanyabiashara wengi wa rejareja kununua bidhaa kupitia mfumo wa Inalipa kupitia app ya Uza. Inalipa ni kama ilivyo Jumia, Ebay au Amazon japo imejikita kwenye bidhaa za nyumbani zaidi
@@SimuliziNaSauti acha utapeli bro tunakuheshimu hakuna hela za bure.
@@simonballu1124 Wakitapeliwa watu, tuko hapa
We mirad kama kweli na una akili timamu kwann hujweka hii video kwenye chanel yako?
Mmh😂
Milad na wewe umeingia utapelini
Wote yy na sky pia
acheni utapeli tukipigwa muanze kusema nyie mlialikwa tu kutambulisha pumbavu kabisa mnaanzaga hivyohivyo baadae unaanza kuuziwa vitu kwa picha au weka akiba.
Haya ngoja tuaminisheni tuone ipoje