Video není dostupné.
Omlouváme se.
EXCLUSIVE INTERVIEW YA SALAMA JABIR, MADAM RITA Na MASTER JAY Ndani ya The Playlist Times FM. Part1
Vložit
- čas přidán 6. 08. 2024
- Msimu wa 9 wa BSS umekuja, Madam Rita, Salama Jabir na Master Jay waongea mengi kuhusu Bongo Star Search, Tazama hapa.
#SalamaJabir #MadamRita #MasterJay #BSS #BongoStarSearch
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com
Show ya kibabe sana LilOmmy , always u the best .interview iko poa sana ,,,kama umeipenda show Kali plz like here..
Lil ommy nakukubari kwasababu unafanya interviews kwakufuata taaluma yako.....big up to you😘
Madam Rita is Beutiful n real one in a million , she is a Gift to Tanzania 💜
wamekosea kupunguza mikoa kuna mapresenter wako mikoan kama ulivotoka lil ommy huenda wangetoka kwa njia hyo nakupenda salama jabir uko real na kaz yako
1) Lil Ommy
2) Millard Ayo
3) Sky- black chair
Nawakubali Sana 🇹🇿🇹🇿
Salama Jabir huwa nakukubali sana
Interview ya leo yakizazi sana, nimecheka Mwanzo Mwisho, love you Bro #LilOmmy kizazi sana. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Aiseee ni kizazi sana.
Safi sana presenter coz hao watu hapo kama haupo vizuri na maswali yako wanaweza kukutoa nishai ila umewaweza sana bro big up sana
bss bila Salama hainogi napenda sn maneno yake
LilOmmy Wwe Ni Best Presenter Cz Kufanya Interview Na Watu 3 Inahitaji Utimamu Kabisa..👏👏👏
He's the best in your country
Yeap nampenda Sana na Millard na Sky!
Emil Kisambu umeonaeee
Nakubali sanaa blood
Hii interview ya hawa watu leo ya kizazi sana😂😂😂
Kama unawakubali hao gonga like twende tukawashe moto bss
Ni ommy Tena!! uko vizuri sana unafanya research sana kabla ya kumfanyia enteview mtu big up nilijua hutatoka salama kwa hao watu ila duh umeshinda sana
salama salama salama I can't wait see you
Kibabe sana mzeiyaa lili ommy baddest man in da house🔥🔥🔥
We jamaa nilichogundua unaweza kuhoji alafu unajihamini Sana kwasababu kuhoji watu watatu nayenyewe ni mtihani Sana.. Big up Sana Lillommy blessing sana
Ila ommy eh bro mm naangaliaga video zako sana. Sema mm nakwambia unafanya v2 vikubwa sana kwenye kujenga maswali wewe unaipenda kaz yako na unajiandaa sana yan ufanyi kimazoea kabsa wewe una character ya vijana wachache wa Tz ya sasa katika sekta yoyote. Endelea hvyohvyo bro. Wewe ni no.1 nw
Love sana judges 😙 safi sana ommy
Yaaani salaama nampenda hatariii yaaani huwa hakoseagiii love mingi Sana kwakee
Lil Ommy, you are one of the best I know
HII SHOW NI MOTOOOO
Madam, Salama nawapenda mpaka naumwa akiiii😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍😍 I can't wait vibano vya Salama akiwa kazini nicheke niongeze siku za kuishi!😀😀😀
I love Jesus nampenda pia
Ahhahaah saaanaaa weee anachekesha sanaaaa
Nawakubali sn crew nzima,kizazi sn😍😍
Show LA kizaziii sanaaaaa hawa jamaaaa nawakubali sanaaa
Salama Nakupendaga sana
Lily ommy naomb kazi ninakipji na mimi cha utangazaji naomb nifikirie +255 bro
Nampenda Salama sana ilikua naangalia sana kile kipindi chake akiwa saloon ...ilikua nakifollow sana
Salama Nakupenda Bure My.
Lil Ommy we mkali sana kazi yako ni kipaji for really uko tofauti na watangazaji wengine huwa nakufatilia sana all the way from Doha/Qatar
Kaka u a so talented big up
Sijawahi kuchukia interview za jamaa unajua uwaulize nn watu kulingana na shughuli zao......safi sana
Kizazi SANA
Nawapenda woteeee
nakubari sana broo
BSS, take this challenge as an opportunity, make them star and make record lable, sign them, invest on them, make that money yoselves kama wengine hawataki
Labda mipaka ya kazi yako haijafika huko lkn ni ushauri mzuri.
Lilommy shaw zako za kizazi sana
salama nakupenda sana kuliko mastaa wote wa bongo
Yan hii show naangalia Leo lakn Salama kanchekesha Sana mno
Namkubali sana salama jabir, hongera dda
Salama amenenepa mashaallah 😍😍
Kiumbe umeona. ...duh una macho
Anangojea kutuvunja mbavu tu
Kali interview
Unashindwa kugawa ayo maswali Q nyingi zimeenda kwa MASTER & MADAM
Kizazi sana
nyinyi nawapenda mpaka naumwa I was missing you all
think SALAMA aliwamiss sana WENZAKE kuliko wao YEA
Show ya kizazi sana kaka, ila ningekushauri uanzishe ur own show like chipukezeey wa kenya, show iwe more classic..,#somalia
Madam Rita ❤❤❤
sawasawa mlipo ongelea juu ya record deal.. kama hapa UK kuna Simon Cowell. yeye ni kama nyinyi ila anayo record label yake inaitwa syco.. msanii anapo shida.. Ana waendeleza yeye mwenyewe. jipangeni.. mna fanya vizuri kuinua vipaji vya bongo
Kweli kabisa madam panic lazima itokee,so nawapa bigup sana mnaweza na mnafaa kuwa majaji
Madam salama 💖💖
presenter mkali wa kwanza kutokea bongo #tambweeeee
yani nyie nawapenda sana mna nifurahisha sana ntangu nilianza kupitia kipindi chenu cha bss nili cheka sana nawapnda 😙😙😙💋💋💋 from burundi
Master J hazeeki
Salama umenenepa mashallah
Happy to see Salama again😍😍
Hi mambo
Nicheki0621129460
Kizazii sanaaa lilOmmy
I feel good the way u guys love each other love u all😍😍😍😘😘
Napenda saana wanavyotaniana
Salama hapo hukosi nganda 😂😂😂😂😂💯🇰🇪🇰🇪👏🙈
Salama huyu bila shaka ganja tu hzo
Dkens Mo Pain munawongea kwel kbs
Shoo kali sana
Nakubal Sana broo kizaz sana
kizazi sana jana nlikuwa nawaskiliza nikiwa kwa daladala nikawa nacheka sana kwa ufupi naenjoy hata kuirudia tena dah sema kizazi sana ommy
Kizazi sana...one minute Gosh dkk chache
Lil ommy kizazi sanaaaaaAa
Kweli hiii kizazi saana
Kizazi sana😅😅😅😅
Okay
Moko sana Lilyommy
Penda sana salama
Kk hawakuwezi lily ommy mkubwa sana ww basi tu ndo majungu tu Bongo
Ninafurah sanaaaa
Salam nakuelew kinom nom one love mwaaaaaa
Nichekee mm
Love you sana
Nice show
Nakubali
Tambweeeeeee we professional Ujue
Hatari sana
Kizazi Sana lilommy
Broh sio kuzunguruka ni kuzunguka.. samahani sana lakini.
Ommy Bonge la presenter in Tanzania. Big up sana. Halafu salama umenenepa sana kulikoni?
I like it
hahaha uwiiiiiii Salama
Nampenda sana salama
Yani iyo beat ipo kizazi zaid .. mana iyo ipo juu sana sounds mix
😂😂😂😂😂 salama yan umenipa raha sana tunakusubir kwa hamu
Literally..Lil ommy amewavujishia pepa washiriki wa BSS msimu huu!!
rodgers gregory definitely
llommy yani ww nifundi
Wish to meet salama jabir
madam Rita,salama jabir, master J. Hakika nimewamisi sana, mwanzoni hakika slama sikuwa namuelewa kwa majibu yake katika interview zake, ila hakika ,salama akikushauri, na ukafuata utapasua, B-up slama
KizaZi xana ommy
Kizaziiiiiii sanaaa
Kizazi sanaaa 🙋
Penda sana lily ommy una maswali mazur
Ipo poa sana
Jaman ommy nakupenda bure yaani.
pwaaaaaaaa
SALAMA MTUNDU SANAA
Atari
Kizaziiii
Mwaka huu 2020 muwepo wote
#kizazi xn bro
Broo lilommy, why Bongo star search Huw haifik mkoani Rukwa-sumbawanga, wakati kuna vibaji vingi why? Wakati fiesta wanefik Kam vp wauliz?
Salama 😀😀😁 daah mi sinaneno ila nakubali yaani makavu bila chenga kuamka hasubui kula muogo duuh 🙌🙋🙅🙅
Lini '' Tznian got Talents''?
LilOmmy heshima yako baba