ROMA ft. Story - 2030 (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 31. 10. 2013
- A BRAND NEW MUSIC VIDEO FROM NISHER ENTERTAINMENT, ROMA - 2030 - ( Official Music Video ) SHOT IN DAR ES SALAAM TANZANIA....MUSIC produced By, Ryder - Tongwe Records - VIDEO Directed by NISHER. PLEA
- Hudba
Kama unaisikiliza hii Ngoma 2024 gonga like
Me niko hapa 2024 kama na wewe upo gonga like tujuane
Kama unaisikiliza hii ngoma 2121 ngonga like
woyooo
czcams.com/video/LHKT3zOXpFQ/video.html
😂😂
2021😅
Ohoooo😂😂😂😂
2024 tujuane kwa like hap
2023 Baada ya kusikiliza nipeni Maya yangu nmerudi kusikiliza Tena hii Ngoma..
Nani tupo pamoja 2020 kama unaangalia gonga like yako tafathali please like yako ni muhimi kwng
Meeeeeeeeeeeeee 👊🏾👊🏾👊🏾
Pamoja
2021
Kama unaangalia ngoma hii 2023 gonga like🙏🙏🙏
Nani karudia nyimbo za roma zote 2023 baada ya kusikia nipeni mauwa yangu
Tukipata nyimbo kama hizi za kufunza na kuonyesha tulipo na tunapoenda ndo vema zaidi, kuliko kuimba nyimbo za kushikana shikana na mademu kwenye nyimbo, na kukubali sana Roma ajia mademu zile zingine ngoja sisi wanaume tusikilize hiziiiiii
Kama unaangalia hii ngoma mwaka 2023 nipe like zangu
Huu ni mtazamo wa mbali big up ROMA, Nani bado anaikubali hii ngoma mpaka sasa 2019 anaiangalia
Balaa
Huu ni waraka wenye maisha ya kudumu kama zilivyo nyaraka za mtume Paulo kwa vitabu vyake kwenye bible
Balaa
Emanuel Charles bdo iko sawa aisee
Tupoooooo
Anaeangalia 2020 gonga like kubwa
Xxxxxxxx
Xxxxxx
Xxxxxxx
Binge
2020 kuna mwingine humu
Jamani kama bado unakubali hii ngoma mwaka huu 2019 like hapa
💕❤️👊🏾
X
kama ubishani wa 2030 ya Roma na 2060 ya madee ndo ilokuleta basi gonga like
Kama mimi
Hahaha fact
Kama mm
Ya madee inaseweka hii ya roma maudhui yake yapo yapo tu kwengine dini kwengine siasa mapenzi
@@abuumaryam1628 tatizo humuelewi ukimuelewa utajua anamanisha nini
Kama unaangalia hili ngoma mwaka 2023 gonga like
bonge moja la future kutoka kwa mkatoliki roma kubali sana huyu jamaa na ngoma zake adimu na zenye kuelimisha jamii na kusaidia kuelimisha wananchi.
Big up bro
nazikubali kazi zako kwani hujawahi kunianguxha hata siku moja.
Live long Roma. it's 2022 and it's still the hit
Noma sana lets nyengine 😅😅😅❤
Tujuane wa 2024
2023!am on it!this record was and is fire
Daaaaaa huyuuuu ndyee alikuwa Roma cyo was sasa
15/11/2019 imebamba
Kama umekuja kuangalia huu wimbo baada ya kusoma ujumbe wa roma like hapa.
Kama umekuja kuangalia tena huu wimbo baada ya Roma kusema kua tuje tuangalie baada ya wimbo mpya wa Madee gonga like hapa 👇👇👇
Huyu jamaa ni kwere hatari sana mziki anaujua
"Watanzania mna uwoga sio amani mnadanganywa"
Kama unaangalia ngoma hii 2030 gonga like
Marehemu hufa na chake pigana upate Chako🤗
Mungu msaidie Roma ili huko aliko awe hai arudi aione familia yake
Kazi hii itadumu sana tena safi sana bro
nakuheshimu sana ROMA mziki wako ni mageuzi ya kifikra taratibu tutafika kwenye mabadiliko
We listened it those day's lakini leo after kuskiza "Mke wangu" new banger ..nikaamua nipitie na 2030 cause wanangu mlichafua hii ngoma💯🔥🙏
Hiii ni bora kuliko ya madee 2060
Nani kaangalia hii ngoma juu ya tarehe 14 November 2019. Gonga like hapa
Mungu aendelee kukupigania roma unaona mbali sana ila kuna wa2 wanataka kukufumba mdomo kuwa makn
2023 nani anaangalia haya madini
Hii ngoma ime hit❤❤👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nan yuko pamoja 2019 kukumbushia utabir wa #roma
Daaah kitambo Sanaaa hii ngoma 👊👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii song itaishii kizazi nakizaziii 2024 now nauliza toka 2014 naiskiliza
I listen to this song everyday, lemmie comment.. am from Kenya, but this is ile ubunifu nakubali 100%.. this is real, from Kenya🇰🇪🇰🇪 much lov, Salimia stamina na ney wa mitego! Will visit Tanzania nikija next vacation... moch love East Africa.. from Seattle, Washington.. tutembelee by the way🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
This talent is a gift from God.
Like zenu bado tuko tuna iyona 2019
Machozi Endani 8
October 2019 gonga like
Roma kuja hapa unipe mistari nipite na hii bit niite 2026
mob love nakuskia Kenya.Umeeetiiiishaaaaaa.
Kama unaangalia Ngoma hii mwaka 2024 gonga like
hip hop zote hua ni harakati hakika Roma kipaji alicho nacho ni zaidi ya kipaji nyimbo zako zinanikosha vilivyo
Nakubali
Nani anaangalia 12/10/2019 gonga like apa twende sawa
Tupo
uhakika
Nan ataichek tena 2019 ngonga like twende sawa
Nimeisoma
czcams.com/video/LHKT3zOXpFQ/video.html
I can't get enough of this song,
Mistari ya pesa inatisha,
"Marehem ufanachake, pambana upatechako.."
Ngoma daima itaishi gonga like kama unaiskiliz December 2019
kaka unajua san nyimbo zako zinaishi milele onelove❤ bro. .TANZANIAA EEEH!! 2021
Kichupa kimetulia ile kinoma
chini ya producer NISHER ni Nomaaaaaaaaa
Still watching it in 2023❤
2020 Yuko wapi jamani
2021 nko pekeang ase kam mpo gonga like
mungu u pam1 ila kweli tz matajili ila mkapa ndo kaichafua nchi mpaka nyerere kamuua lazima tuseme ukweli
Hadi leo ngoma naikubali 2020/05/29/////saa13:53 kama tuko pamoja gonga like
Kama waiangalia hii nyumba 2023 gonga likes
Kama unaangaliya ngoma hii 2023
Nani kaangalia 11/06/2019 ROMA WA SASA KALEGEA SANA, ROMA WA ZAMAN NI NOMAAA
Kaka ROMA 2030 tumuombee mungu tutaona mengi nakukubali sana✌
Hii ngoma Naiona Mpya Daily... Big up mwana...
254
rais wetu magufuli nakuomba usikilize huu wimbo utajua jins nchi hii ilivyokuwa .nchi hairuhusu ukwel MUNGU tusaidie.ila magufuli nakuamin kilio hiki cha mwanangu kuwa uyaone kisikie
Hii Ngoma roma ulikaa chini na kutoa kitu bora kwangu
Nani tupo pamoja Hadi leo hii 2021 tarehe 1 January ebu twende pamoja apo Roma Kama Roma utabaki Kama Roma.....
2020, yuko hapa.. wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ndani ya Amerikq, sauti iko sawa after Corona.. ati...
Akili kubwa !!! Kipawa baadae
Pure hip hop artist 👂👂👂 you may live longer legend 🙏🙏🙏 all the way from Namibia 🇳🇦
Like it's good song
A die hard fan of the great roma mkatoliki from kenya
Big up sana Roma,Nisher nakubali sana kazi zako mzazi,Thanx for taking our music to the next level.Ongezeni bidii tu,we're very close to get there!
Nakuelewa sana Roma
2012 + 18yr=2030 watoto wetu wanaweza wakaibadili Tanzania, ngoma imebeba maono makubwa
Wao Reallife will be wao Future
Mi naicheck 2019
Pos
Vp
Ndio naisikia 1st time kama mkenya, manzeh I BOW... ngoma iko juu saana... much love from USA
Niko hapa mwaka 3115...
Lots of love from Kenya team 254 thanks for passing this strong message of social ills by the government through this song
Aliekuja kuufananisha na Madee gonga like
2020
BIG UP ✌🏾LEGENDARY ROMA!
MUCH RESPECT ✊
2023. Bado nacheki hii ngoma
Huu ndo muziki Sasa👌👌
Bwashe mrudie Mungu Masanja kawa mchungaji ..kati aliyechanganya mchanga ushamfukia Vivaromaviva Mashairi umeyampangilia Leo lizi one hafanani na Makongolo daaa!!!
Huyu jamaa Ni Mpango wa Mungu ili kufikisha ujumbe kwa Maharamia
Roma nakuhakikishia ata 2031 na kuendelea bado hii nyimbo itakuwa bora vile vile mfano nchini tunamistu Ila tuna uhaba wa madawat hata 2030 na kuendelea hili tatizo litakuwepo tu!! I Love I Love Hip hop
Wimbo wenye mafunzo kwa watanzania asante saaana
kutoka kenya
Bado natembea na mtazamo wa Mwamba Roma, gonga like kama unaikubal hii ngoma mpaka sasa
It's August 2023...we still here👏
Tunaoicheki 20201 like
czcams.com/video/LHKT3zOXpFQ/video.html
Kama unaangalia hii ngoma 2024 like🙌🙌
mkali wetu watu hip-hop nzmkubali sanaaaaaaaaaa shiiiiiiiiiiiiiiiii
Namkubali sana uyu mwamba
Mashairi hayaendani na kilichomo kwa video.....ts so hard kufanyia video nyimbo za ROMA always there is something missing
Ukiongea kuhusu Mungano tu, una tekwa au kipingwa punduki, hawa Watu wanao fanya haya yote mambo mabaya wanazani wataishi hapa duniani maisha, tangu 2015 mikoa yote ya pwani inatabu sasa mpaka zanzibar sijui sababu ni wengi waislam
Ukisikiliza nyimbo hii kero
zote awamu hii zimepungua
Anayeangalia hii mpaka sasa 2021 gonga like
Wazanzibar hawaoni faida ya huu muungano tz
2019 Ujumbe bado unaishi Asante Mkatoliki
Alisema juu ya mwamba atalijenga kanisa
Hatari nipo 2024
hakika nguvu ya ziada inahtajka kwa maendeleo ya taifa japo hawa......................... wanatukwamixha, roma big up 2u Mungu akulinde zaidi
Kazibya roma ni mpya kila siku