Wewe kama Ni miongoni Mwa watu? Wanao tizama huu? MZIKI MWAKA 2024 Basi gonga LIKE HAPA. 😅😅😅 I REMEMBER THIS SONG “” NCHI YA AHADI”” from. KALA JEREMIAH AND ROMA ❤❤❤❤
Hawa ndio Wasanii wa Tz waonaotoa uhalisia Wa maisha yetu, Roma, Kala, ney, stamina, hiki nakiita kizazi cha profesa Jay mtu unajua yes jamaa alikaaa kupanga mashair nipe like kama umenielewa
Hawa jamaa ni noma sana... This is how HipHop it is! Yaani inaongelea uhalisia wa jambo lililopita, lililopo na la wakati ujao... Since 2015 and now it's 2024 😢
Tatizo la nchi yangu wanaoimba nyimbo zenye maadili na kuelezea ukweli hawapewi kipaumbele na hawadhaminiwi. Bali wanaoimba casual sex kidinyanyana uwasherati wanaonekana wamaana.. This song is dope
5 years ago toka hingoma ilipoachiwa tunashukuru mungu tuka mpata rais mchapakaz kaya simamia yote yalio ongelewa kwenye hii nyimbo....2020 kapita ata Kama bado atujapiga kura
The real definition of a true African artist. The solemn duty is not only to entertain but also interrogate the state of society while starting meaningful conversations. Kongole.
Kala Jeremiah na Roma mkatoliki big up xna watu wngu am your biggest fan from Kenya🇰🇪🇰🇪may God bless you two with more years ahead and I'll be very happy if I see you two collaborating and do more amazing song again
Huwezi Amini siku haimaliziki bila kuimba huu wimbo asee #Roma #Kala nawakaubali sana ndio mana hata watu hawaelewi rap yangu ni Kama Roma au Kala kila mtu ananidefine kipekee
Kwel wimbo huu unakuja mulemule mfumko wa bei na ahadi nazo hakuna matunda Ajira ndo kwanza walimu na mishahara hakuna kitu maji umeme ndo hivo aseh karajeremah anajua
This is the kind of talent we need in kenya currently. Viongozi wamewangeuka wapiga kura. Ahadi mingi za uhongo. Tanzania is lucky to have this talent.
THIS TRACK IS MORE OF REALITY ESP IN EAST AFRICA POLITICAL SCENE KWANZA APO KWA 'JEZI ZA MPIRA' .....MAD RESPECT FROM KENYA.... DO A TRACK WITH JOH MAKINI
I dont mean to be so off topic but does anybody know of a method to log back into an Instagram account..? I somehow lost my login password. I would love any tips you can offer me!
kila siku sisi kama mashabiki huwa tunasubiri nini mnatufundisha wasanii ikiwa nyinyi ndio kioo cha jamii kweli hii nyimbo ina uhalisia kabisa na maisha yetu watanzania hongera sana sana kwa kufikisha ujumbe katika jamii yetu ipaswavyo
Wewe kama Ni miongoni Mwa watu? Wanao tizama huu? MZIKI MWAKA 2024 Basi gonga LIKE HAPA. 😅😅😅
I REMEMBER THIS SONG “” NCHI YA AHADI”” from. KALA JEREMIAH AND ROMA ❤❤❤❤
Kama upo hapa 2024 shusha like
2024 June 13🎉Nche ya ahidi?
NAKUBALI
Shusha balaka jeshi
Nakubali we shujaaaa ubalikiwa ulipo
😂😂
Hawa ndio Wasanii wa Tz waonaotoa uhalisia Wa maisha yetu, Roma, Kala, ney, stamina, hiki nakiita kizazi cha profesa Jay mtu unajua yes jamaa alikaaa kupanga mashair nipe like kama umenielewa
Alafu hawafichi chochote
Kabisa yani ukweli kwao ni uhakika
Its true mpendwa
❤❤❤❤tunawapenda sana kwa sababu wanatetea nchi yetu🎉🎉
Sult music industry hiphop top kenya 🇰🇪 tunakubali
Huu wimbo unachora picha kamili ya kenya ya leo
Nani anaangalia hii 2023 kam mm naomba like tujuane hapa❤💗
Nipo hapaa
Npo
Tup
One love
Ata Mimi awo washkaji wanajuwa
Wangapi bado wana hangalia huu? Mziki mwaka 2023. Kama wewe bado unaangaliya basi gonga like hapa twende mbele ❤❤❤
2024 gonga like yako
Kama unakubali nyimbo za kala hazichuji gonga like hapa(December 1 2019).
Y666666666666666y6y5
Febuari 2021
@@clemenskayombo6787 live
Nimezikubali
👍
Kala
Wemkali
Mungu
Aendelee
Kukuongoza
Muheshimiwa
Anajua
Kujitetea
Huyo
Naipenda I mean I love that
Nani bado anaikubali ngoma hii kama mimi ndani ya 2019 !!! Kala J
kali sana
Damian Makala 💪
Ngoma kali sanaaaaaa
Kali sana 2020
%100000000000000
Wanao rudi kuiangalia hii ndani ya 2023 gonga like
ebaneee sjawahi kuangalia vitu vya Kalla lakini livyoona ilee na Natabili basi nikaamua kuangalia nyimbo zake zoteee
KWELI WATANZANIA NI VIPOFU.HAWA JAMAA NI ZAIDI YA KINA DIAMOND NA YAMOTO BAND
Allan Mlagulwa hawo daimondi kelele hizindonyimbo
Allan Mlagulwa. kaka ujui watanzania wanapenda nyimbo za mapenzi
Mc pilipili
Allan Mlagulwa wtz.hawataki nyimbo za ukombozi
Allan Mlagulwa kweli kabxa
mad madd ;love from Kenya tuko nyuma yenyu wazito wa bongo
Unaju
Hawa jamaa ni noma sana... This is how HipHop it is! Yaani inaongelea uhalisia wa jambo lililopita, lililopo na la wakati ujao... Since 2015 and now it's 2024 😢
Tatizo la nchi yangu wanaoimba nyimbo zenye maadili na kuelezea ukweli hawapewi kipaumbele na hawadhaminiwi. Bali wanaoimba casual sex kidinyanyana uwasherati wanaonekana wamaana..
This song is dope
ROMA na JEREMIAH twawahitaji Bungeni mwakilishe sauti za Wanyonge. 254 Maaaad Respect👍👍
Mpishi Rocko
Yes wagombee ubunge 2020
Fact
Kama unaitazama nyimbo hii 2019 , bhass like hapa twende sawa
5 years ago toka hingoma ilipoachiwa tunashukuru mungu tuka mpata rais mchapakaz kaya simamia yote yalio ongelewa kwenye hii nyimbo....2020 kapita ata Kama bado atujapiga kura
Kama unaangalia 2019 gonga like
Tume miss ngoma hizi zaki harakati gonga like kama zoteee💣💣💣
The real definition of a true African artist. The solemn duty is not only to entertain but also interrogate the state of society while starting meaningful conversations. Kongole.
Kama unasikiliza hii ngoma 2023 tujuane hapa😊😊
Duh umenikumbusha marahemu binamu yangu Jose aliyepigwa risasi mwaka 2011 ,RIP binamu
Kama unaempenda kala gonga like hapa
Kala Jeremiah na Roma mkatoliki big up xna watu wngu am your biggest fan from Kenya🇰🇪🇰🇪may God bless you two with more years ahead and I'll be very happy if I see you two collaborating and do more amazing song again
I wish waje huku kenya waimbie ruto
Nchi na viongozi wanapaswa kujitafakari sana na kuzingatia haki na usawa!,hali sio nzuri,mabadiliko ni muhimu sana,tuamke kifikra!..2022..
Nyimbo zurii mpka Raha sauti ipo juuuuuuu kwangu
Hata huku kwetu wako ivo tu 😀😀😀😀😀😀(Kenya)!
clive museveni hata kwenu wapo 😂😂😂 Africa aliyeturoga kafaa 😩
Good content. Message iko juu. Uongozi mbaya umechangia maovu mengi
hawa wasanii wanamaneno ety ikumbukwe maria alimzaa yesu bila ya yusufu what a best way to get out away with questions
Kama hawa 100...we had our Susumila wakamfunga akawacha..hawa hata uwateke utachoka
Yan unawateka huku unalia mwenyewe
Imepenya hiyo
Huwezi Amini siku haimaliziki bila kuimba huu wimbo asee #Roma #Kala nawakaubali sana ndio mana hata watu hawaelewi rap yangu ni Kama Roma au Kala kila mtu ananidefine kipekee
Weeee, hili ngoma kali sana. Ujumbeee uko top. Long Live. Peace.
Kwel wimbo huu unakuja mulemule mfumko wa bei na ahadi nazo hakuna matunda Ajira ndo kwanza walimu na mishahara hakuna kitu maji umeme ndo hivo aseh karajeremah anajua
This is the kind of talent we need in kenya currently. Viongozi wamewangeuka wapiga kura. Ahadi mingi za uhongo. Tanzania is lucky to have this talent.
From +254 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 bado nipo hapa 2020
hhahhah hhahhah nimekumbuka mbali aisee tulio irudia 2020 tujuane hapa
Kama bado hunacheki ngoma hii adi 2020 ngoga like apa
This is pure talent........Tanzania you have talent. I wish we had such in Kenya
Kama bado unaaangalia hiii ngoma 2023 kama mimi pita nikuone hapa🚶🚶🚶
Dha huu jamaa anafaa kuwa kiongozi mkuu wa dini au wa nchi maan sio poa🙏
Allah awabariki kila nasposkiliz nakumbuka mbali na mateso yaliyopo now
Ngomaa safii kabisa!! hip hop halisi, imeniguza ikaniliwaza. Shukran' namrudishia msanii kwa hii kazi ya umashuhuri. SWADAKTA
Kama bado unaisikiliza na kuikubali hii ngoma nipe like za kutosha
Push this is the voice mozicien in Tanzania have to voice we sick and tied big up revolution again from black colonial rool
Kikao Cha Dharura-Proff Jay
Jay must be proud of this
bro we ni kiboko kama sio kiboko bas ni mamba 😃😃😃 we ni nomaaa
Harid
Umeona ee
Noma sana haw watu wawil
Bonge ya Ngoma 26/11/2019 Bado naisikiliza...kama tuko pA moja like yako...
Nakubali mzito, show unaigonga Hadi naikubali
naielewa sana hii nymbo dah!!!
Ngoma imekaa bomba sana jomba gud job bigup
Tumainiely Moshi gods sana
Daaa umetish hv
who still watching this 2017 to 2018
Nikweri kbsa wasaniote wangetunga wimbo kamahizi hii ndio no1
Dah 2020 ndo naitazama ii ngoma na bdo inaita kma umeikubali na wew weka like basi..
Wakati wana hip hop wakiwa wanajielewa na waktumia vyema nafas zao ktk jamiii japo sasa atuwez walaumu sanaaa maana it need courage.
Unawaza kaam mm?
Ujue hakushindwa kufanya ivi.....sema wananyimwa Uhuru wa kuongea
@@joshuakiimay4194 uhuru finyu
Maana halisi ya hip hop 🙏🙏🙏 blessing be up on you kala ad Roma
2020 jamn tujuane kwa kudondosha like zenu APA🤙
Kenyans we need to ask our leaders of their promise during the last elections,ViVa Roma
Duuh waliona mbaliii
My love for kala j and Roma is extreme. Kudos from 🇰🇪
roma he never disappoint wish Kenya we got one like ROMA tuache kuwasikia waheshimiwa lakini hatuwaelewi🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma kali kaka braza nmeikubali sana
All the way from Kenya and for sure I love hizi songs!
THIS TRACK IS MORE OF REALITY ESP IN EAST AFRICA POLITICAL SCENE KWANZA APO KWA 'JEZI ZA MPIRA' .....MAD RESPECT FROM KENYA.... DO A TRACK WITH JOH MAKINI
Roma Niko Kenya unanifurahishaga sanaaa
I love Kala Jeremiah... Nakumbuka in 2012 my friend who introduced to your song alinifanya to believe u r a Kenyan,,,chaneni ku chana
Hawa wanaume no noma xanah, nawatambua Kala Jeremiah na Roma.
Extreme creativity and clear cut penetrating message.This is the state of Nairobi a thousand times
I dont mean to be so off topic but does anybody know of a method to log back into an Instagram account..?
I somehow lost my login password. I would love any tips you can offer me!
kila siku sisi kama mashabiki huwa tunasubiri nini mnatufundisha wasanii ikiwa nyinyi ndio kioo cha jamii kweli hii nyimbo ina uhalisia kabisa na maisha yetu watanzania hongera sana sana kwa kufikisha ujumbe katika jamii yetu ipaswavyo
Huyo c mweshimiwa....no..no..no huyu..ni mwizi wa miwa....lv it 😁😀 kutoka Busia Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
2020 bado iko vizuri gonga like kama tuko pamoja
This song will stay high forever ✍️
Six years now kama bado unaicheki hii nyimbo na inakukosha gongs like
Haya nimekuja 2020,, twende sawa tutaheshimiana tu wamerudi majimboni sasa
Roma ...you are rocking the airwaves bro...big up....
Jamani Kama unaona ngoma hiii bado inaishi kwa kizazi hichi na kijacho tafadhali gonga like hapo chini
Vipiii vituu kupanda beiii mheshimiwa tuwekee wazii 2021
Safi sana 🇹🇿💯🇨🇩
wananchi muwe wbunifu, ikumbukwe maria alimzaa yesu bila yusufu...ajab bro
Nitajiajiri VP wakati sina mtaji big up kala
Musa Musa hahahahaha
Mad love from Kenya... #nohomo
Daaa! It's very perfect
ikumbukwe maria alimzaa yesu bila yusuph😂😂😂😂
jamn n kipaji syoo baht!!
viva Roma viva you do good in hip-hop bro take this from me 100% god bless you with your family think you 😊💃👂🕊🕊🕊🕊🕊🕊🕊🕊🕊
Roma njoo Kenya bana .. Goma moto hili daaa
Nani ameludia hii nyimbo tujue kwa lake apa mwaka2020
unaedislike hii nyimbo hauna akili nzuri pia ndio adui wa kwanza wa Tanzania zaidi ya rushwa,umasikini na maradhi
tunu allen. Wasafi hao!!!
Wengine hawajui matumiz ya hiyo alama wanahis labda ni "like"
So tuwasamehe tu
tunu allen. Nimo
tunu allen. umu wengi wanadislike c kma wanachukia apna lengo lao alike
Quali
this music should be on top top top top. i love this and hope i will see more of this.. chiiiiaaaaazzzz.!!
nimrod kihoro
Kama mpaka sasa unaishabiki 2025 shasha LIKE🔥☺️😂
nakukubali kaka kwa kuchana hakika waka mbali na watoto
Who still listen this masterpiece ? 2022 ♥️♥️
🙋🙋
Waalai kuna talantaa Tanzania
Uchunge kaka siwatu watanga bado twakupenda wasije wakakuteka tena wakwetu
Napenda sana hii!!!! Great spoken word piece collaboration daaaaaaa!!!!! Washikaji
Kama unakubali hii ni hit song Kwa mwaka 2019/2020 like hapa
Nan anaangalia ngoma hii 2022agonge like
Real ajira kipengele sana duuh'.
Good 👍
Nyimbo nzur sana