ROMA Ajibu Kuhusu Kushindanishwa na na NAY | ROSTAM Haijafa ,Stamina Katemwa kwenye Album

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • Roma Mkatoliki Amejibu Kuhusu Kushindanishwa na NAY kwenye Kuusemema Mtaa ,kumbe Kiroho safi tu

Komentáře • 129

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před rokem +4

    Roma yupo juu sana. Ney ananiboa pale anapozidisha mbwembwe hadi kumkufuru mungu

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před rokem +12

    Wote wana sina tatzo nao respect Ney respect Roma ❤ aman kwao watu hawa

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 Před rokem +3

    nampenda uyu kaka jmn...❤❤❤ i wixh km vile arudi ila naogopa mafiraun we2 wa bongo...😔😔💔💔💔

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 Před rokem +6

    wote nawakubali sana.watetezi wa jami na vizazi vijavyo

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 Před rokem +19

    Roma ni rapper mkali kuliko ney wa mitengo

  • @jacilygabriely6840
    @jacilygabriely6840 Před rokem +2

    Acheni masihara ROMA anatisha NEY haoni ndani. Roma 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Před rokem

    Ney mnamkubali Sana siyo muoga ira kwautunzi na isia baba ivani au Roma mwamba kuliko Ney

  • @Worldunite
    @Worldunite Před rokem +5

    Roma na Ney wote wako poa, ni sauti ya wananchi

  • @stanleykariuki3691
    @stanleykariuki3691 Před rokem +1

    Roma mzee wa kazi man

  • @moramtanga-dar7372
    @moramtanga-dar7372 Před rokem

    Ahhhaa roma your ze one hkuna kma roma bongo ap

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před rokem

    Mwenyezi Mungu Akulinde sana na wale wana wa ibilisi shetani wanaotaka kukuangamiza Roma Mkatoliki.

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Před rokem +1

    Roma big up yupo very nicely tatizo la nay nyimbo nyingi matusi

  • @favouroriginal4120
    @favouroriginal4120 Před rokem +3

    Roma rapper mkubwa sana, ney, stamina pia nawakuubali sana

  • @millermlowe8156
    @millermlowe8156 Před rokem +2

    Wote wasemaji Nyinyi mnao sema ney msemaji kwakua yupo Tz na Roma yupo nje shida ni Nani mwenye maneno makali Yan kwenye usemaji yupi ana fafanua na yupi ana semea mafumbo ndo shida ilipo kufafa nua sio mchezo ndomana hayupo tz sio lahisi kama mnavo zani { lakin only the best hao wote NI wamba na ni watetezi wa wanyonge big up mazee

  • @johanesgeorge1958
    @johanesgeorge1958 Před rokem +3

    Noma sanaa

  • @floriannkwita4672
    @floriannkwita4672 Před rokem +1

    Kitu msicho jua Mdogo wangu Roma mkatoliki ni mbunge wa wanainchi wote watanzania ndie msemaji wetu kuliko wabunge wasifiaji tu ,ndani ya bunge na mawaziri wanaotetea nakutuambia tuhame inchini Burundi,wakati wait wanajiandaa na kampeni kuliko kuwatetea wanainchi huku wakimsingizia mama yetu mpendwa ,Roma ujumbe umefika

  • @strangerskenya254
    @strangerskenya254 Před rokem +8

    Salute Roma

  • @user-wn6ow3cs9w
    @user-wn6ow3cs9w Před rokem +1

    Mungu akusimamie roma

  • @Aboodjan4-
    @Aboodjan4- Před rokem +12

    Mnachanganya bhana.
    Hapo kuna msemaji wa rai na msemaji wa masela 😂😂😂

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +13

    Ngoma nimeipenda. ila roma njoo uone watoto . Kitambo sana

    • @akramibrahimu3500
      @akramibrahimu3500 Před rokem +1

      Uwa wanaendaa kuniona nakurudii tz ipo siku atawahamisha wotee ashapta uraia

  • @kelvinnzuki8948
    @kelvinnzuki8948 Před rokem +9

    Roma akirudi bongo atagombea urais😅😅

  • @stivenjiduki6606
    @stivenjiduki6606 Před rokem +5

    Hahaaa ney,roma ukichanganya na stamina unapata wasemaji wazuri san 😁😁

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Před rokem

    Viva roma namku bari

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Před rokem +2

    Roma ndio msemaji mkuu wa wananchi ila nay yeye anamkufuru mpka Mungu

  • @veronicasammueliryoba5178
    @veronicasammueliryoba5178 Před 3 měsíci

    Roma bigup

  • @sautiyanoti5242
    @sautiyanoti5242 Před rokem +3

    Nakubali

  • @saliathnassoro9864
    @saliathnassoro9864 Před rokem

    Wote wanaweza bhana

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 Před rokem +1

    Roma noma wallai

  • @msunguebasto4370
    @msunguebasto4370 Před rokem

    me nampa ney roma sio mwanamuzk

  • @xadygenious414
    @xadygenious414 Před rokem +5

    Best recognize others 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏. @roma

  • @ibnimasoud8228
    @ibnimasoud8228 Před rokem

    Mmmmmmm nimependa saana

  • @SefuOmar
    @SefuOmar Před 4 měsíci

    Mambo vpRoma

  • @amosicharles4499
    @amosicharles4499 Před rokem

    Wote mungu awalnde🙏

  • @pepynomfugale9311
    @pepynomfugale9311 Před rokem

    Kiukweli toka mr president, zimbabwe, mathematics, , nk
    Roma mkali sana

  • @simontamba2189
    @simontamba2189 Před rokem

    Sauti ya Mungu Sio lazima ije kwà viongozii wa Dini tuu

  • @dannyfundi9982
    @dannyfundi9982 Před rokem +1

    Nataman Sana nchi hii watu wanchi hii tubadirike Sana mashanging wa ccm waishe wataishaje ukweli hatusem jmn jmn nimependa Sana huu wimbo

  • @swazi-bmzwabusarawysd8083

    Big up bro Roma tupo apa 15 years natamani kurudi ila familia mzee baba na mambo ya miko....umenielewa

  • @jumamusa4252
    @jumamusa4252 Před rokem

    sana kamanda

  • @JemsiSakala-ws8eg
    @JemsiSakala-ws8eg Před rokem +1

    Good 💪🙏

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 Před rokem +3

    Ney ndomsemaji

  • @lucymtuka3199
    @lucymtuka3199 Před rokem +1

    Roma wewe ni mzalendo wa kweli

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před rokem

    Ney yuko vizuri kwa sababu sio muoga na ajakimbia

  • @user-es9ye1tj7u
    @user-es9ye1tj7u Před 28 dny

    Woteee miee na wakubarii bwanaaa wotee Mia miaa

  • @mgishaavith639
    @mgishaavith639 Před rokem +2

    🤝🏿

  • @BashirYusufu-yr1or
    @BashirYusufu-yr1or Před rokem

    Roma umeuaa achieve ngoma nyingine
    Polisi Wana taka madereva wakasome wakati wao wanaendesha magari namaste hawajasoma achieve vyombo tunakuhitaji sana

  • @OctavebtzOctaveoctave-zd2ez

    Woote respect kwao

  • @christophaelia7174
    @christophaelia7174 Před rokem

    Roma yuko juu zaid

  • @wasilajonas8395
    @wasilajonas8395 Před rokem

    Wewe roma hatari

  • @wingstarmsanii9862
    @wingstarmsanii9862 Před 2 měsíci

    Wote wakali for sure😢😢😢😢😢

  • @omarynguli5910
    @omarynguli5910 Před rokem +2

    Movie ndiyo kila kitu

  • @everlynenyanganyi5598

    Roma mkatoliki ni king

  • @jumamusa4252
    @jumamusa4252 Před rokem

    Sana kamanda

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 Před rokem +1

    Nice

  • @mansooral-sagafy4702
    @mansooral-sagafy4702 Před rokem +4

    sasa nay anamsemea nani??/ Muache roma aitwe roma uyo ndo msemaji wetu

  • @hashimmauzo4776
    @hashimmauzo4776 Před rokem

    Wote hawafai mmoja ana kisese

  • @georgebidance1399
    @georgebidance1399 Před rokem +2

    Wote na wakubali. Lakini NEY yuko nyumbani

  • @LekumoLukumay-sb2ys
    @LekumoLukumay-sb2ys Před rokem +1

    Roma na nay wapo sawa hawaogopi

  • @RamadhaniAthuman-kk4gl
    @RamadhaniAthuman-kk4gl Před rokem +1

    Roma ndio mtu ya tozo aliyasema leo unayaona ni mtu mwenye maono kama babu magu tumpende loma anatufumbua ujinga wetu sisi watanzania hata spika wa bunge ndugai kaona mbali wasiowapenda hao sisi wananchi tuwapende ndio bola hao wanaochukiwa 'na wenzao

  • @MELKIADIMWANGOMO-ed5bg
    @MELKIADIMWANGOMO-ed5bg Před rokem +5

    So poa ngoma kal

  • @user-hh8pm3ky9j
    @user-hh8pm3ky9j Před rokem

    Jamani nchi yetu Ni Uhuru acheni watu waikosoe serikali ili wakumbuke wajibu wao ko serikali ikubaliane na Hilo isichukie maana vijana ndo taifa wanazungumza ili kuliweka taifa sawa

  • @kubwalaodancers
    @kubwalaodancers Před rokem +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @favouroriginal4120
    @favouroriginal4120 Před rokem

    Haswa akipewa nchi roma anaweza kuiongoza

  • @Secondborn_
    @Secondborn_ Před rokem +3

    Huyu boya atakuwa anasoma huko

  • @amoh1629
    @amoh1629 Před rokem +3

    Wote wako hot 🔥🔥🔥 sana

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 Před rokem

    Both Roma na neywamitego

  • @simontamba2189
    @simontamba2189 Před rokem +1

    Wote

  • @halima2286
    @halima2286 Před rokem +1

    ❤❤❤❤

  • @Baddlah2011
    @Baddlah2011 Před rokem

    Roma

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Před rokem +2

    Roma ni zaidi rapper bongo,hata angekuwa anafanya mziki marekeni bado angeonekana uwezo wake

  • @salehekisome4776
    @salehekisome4776 Před rokem

    ROMA

  • @mgayamgaya1673
    @mgayamgaya1673 Před rokem +1

    Mwenye NYUMBA kasharudi

  • @RamadhaniAthuman-kk4gl

    Maisha wanayoishi hawakumbuki wanyonge mwigulu kuna kauli aliisema juu ya tozo hivi kama ni binadamu unaweza kusema hivyo je ukipewa ulaisi si utatunyonga kuweni na fikra sisi nchi ni yetu wewe mwigulu uchunguze

  • @pascojm6816
    @pascojm6816 Před rokem

    Roma mnyama

  • @patrickrobert1614
    @patrickrobert1614 Před rokem

    Wote hao ni maginius

  • @ObadiaMdemu-uh7yg
    @ObadiaMdemu-uh7yg Před rokem

    Lama mwamba

  • @user-ne2dr1lv1j
    @user-ne2dr1lv1j Před rokem

    Saruti kwa roma mkatoriki

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 Před rokem +4

    🤣🤣😅😁 Be blessed #VIVAROMA

  • @user-ou1zv5qr4p
    @user-ou1zv5qr4p Před 7 měsíci

    Vp

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph2234 Před rokem

    Ney ni msemaji jasiri haogopi chochote but wote ni wasemaji tosha

  • @wazirighambade8119
    @wazirighambade8119 Před rokem +4

    Namkubali lkn ney shujaa kabaki nyumban anawasemea

  • @marshymohdy392
    @marshymohdy392 Před rokem

    Hiyo Tamthilia zaidi ya Isidingo mpaka apatikane mpampambanaji na tufike kwenye ukweli na Nchi yetu home boy Kaliua so poa dude lile 😅😂simwengine Don_nikiwa Kaburu Pande za Cape Town nikiwa km mpambnaji na sio mzamiaji ila kuishi km mwenyeji ni lazima akili mingi mbongo hajawai shindwa popote Duniani ukikuta ka give up muangalieni upande wa pili

  • @AllyRashidi-ps9ng
    @AllyRashidi-ps9ng Před rokem

    Wote wasemaji ,ila roma yuko juu

  • @promptnews9095
    @promptnews9095 Před rokem

    Wote wako sawia, na wanaheshiamanea, sidhani kuna haja ya kubainisha yupi bora

  • @HamisiLilo-ov8sr
    @HamisiLilo-ov8sr Před rokem

    Ote pw

  • @emmanueldaud8371
    @emmanueldaud8371 Před rokem +2

    Me naamini wote ni wakali wanatusemeaa

  • @roncarlaulenti5900
    @roncarlaulenti5900 Před rokem

    Wote wasemaji

  • @lilchampion1960
    @lilchampion1960 Před rokem

    Nay n mkali Kwan Roma ako na ngoma gap za kutetea wanainchi

    • @iddykidito6441
      @iddykidito6441 Před rokem

      Roma ana ngoma nyingi za utetezi kuliko ney mfatilie

    • @lilchampion1960
      @lilchampion1960 Před rokem

      @@iddykidito6441 haaahaaaha umesahau nay time aliachia walisema

  • @saimonmizingo7485
    @saimonmizingo7485 Před rokem

    Jitoe mwamba tuone ukatili wa uongozi wetu namanisha rudi nyumbani tuone wanakufanya nini tena

  • @hamzajafari4133
    @hamzajafari4133 Před rokem

    Roma unajifanya ujui, ila mastor ya ukwel nimeinjoi show

  • @dannyfundi9982
    @dannyfundi9982 Před rokem

    Roma siyo muoga Kama ney miwawili tu ndyo ninachofikiri

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 Před rokem

    Et Roma umeua thana

  • @tanzmaica
    @tanzmaica Před rokem

    Roma ni mkalii ila ney ni strong

  • @rabiahamadi5866
    @rabiahamadi5866 Před rokem +3

    Mkimbizi huyo

  • @fredyfrank2756
    @fredyfrank2756 Před rokem

    Wote ni wasemaje lkn Roma ni Zaid

  • @dizzonofficial2600
    @dizzonofficial2600 Před rokem +3

    Ngoma naogopa kupiga redion tcra wasinifate vp clouds mshapiga na mm nilizeee 😂😂

  • @mpinaskid9316
    @mpinaskid9316 Před rokem +1

    Naomben kujua nauli ya kwend marekan😀😀

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz Před rokem +3

    czcams.com/video/_3GnLUSGZWA/video.html
    Duh roma ashapata kademu kakizungu

  • @AmanRamadhan-kg9ts
    @AmanRamadhan-kg9ts Před rokem

    Mwamba hafanani nayoyote

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 Před rokem

    Roma ni mkali Ney akajambe Kwanza

    • @emmanueldaud8371
      @emmanueldaud8371 Před rokem

      Xemaa wote ni wakali usipendelee bro

    • @africanpioner4090
      @africanpioner4090 Před rokem

      @@emmanueldaud8371 hawezi kukaa meza moja ubora wa flow na mistari ya ROMA huyo NAY hagusi namkubaki ila ROMA MZIKI MWINGINE KAKA

    • @brightonshoo6312
      @brightonshoo6312 Před rokem

      Hujitambui wewee ,, utakua unalinganisha mbaka macho yako wewee

  • @frenkamosi-sz1gr
    @frenkamosi-sz1gr Před rokem +1

    lbra umeuwa 😂😂😂