MAMA ALIA MTOTO WAKE KUUAWA NA MWALIMU WA 'FIELD' MOSHI KWA FIMBO "WAMEFUMUA KICHWA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 03. 2024

Komentáře • 513

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 Před 4 měsíci +42

    Walimu wa field, wasiruhusiwe kuazibu wanafunzi. Pole ni wazazi. Inauma sana .

  • @SangioNgoo
    @SangioNgoo Před 4 měsíci +68

    Huyu mama anaonekana alikuwa hayuko karibu na mtoto wake ndiyo maana alikuwa anaogopa kumwambia ukweli. Hili ni tatizo kubwa la watanzania wengi. Wazazi wanakuwa wakali kwa watoto kiasi cha watoto kuogopa kusema wanapopata matatizo. Pili ni mama mzembe sana. Muda wote mtoto anatoa damu puani na mdomoni lakini hachukui hatua za dhararu. Serikali inabidi ikataze matumizi ya viboko shuleni. Hivi mtoto wa miaka 7 anapigwa kwa sababu gani? Kweli ujinga ni mama wa maovu yote. Mtoto amefariki kwa uzembe wa hali ya juu. Uzembe wa kuanzia kwa mama mtu, mwalimu, madaktari na serikali.

    • @annamussa185
      @annamussa185 Před 4 měsíci +4

      Kabisa,me pia ni muhanga yani mama ni mkali hata kama unashida unabaki kimya tu yani wazazi punguzeni ukali imefika sehemu hata hamu na mama sina Yani Daaah!

    • @WinnieIkwisa-ts6bz
      @WinnieIkwisa-ts6bz Před 4 měsíci

      @@annamussa185 pole saaana

    • @florenciajacob5463
      @florenciajacob5463 Před 4 měsíci +3

      Kabisa mzembee kabisa 😢😢😢

    • @user-br4tl7jv9j
      @user-br4tl7jv9j Před 4 měsíci +3

      Msilaumu upumbavu kisenge

    • @user-dn8rm7er1z
      @user-dn8rm7er1z Před 4 měsíci +5

      @@user-br4tl7jv9j wanadam wanakosa huruma jaman... mwenzao kafiwa na mtoto mnamhukumu kwa kiwango hivyo kweli??

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g Před 4 měsíci +18

    Bora tuwahukumu wenyewe fasta! Huko mbele hakuna msaada!! Pole sana mzazi!

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw Před 4 měsíci +54

    Viatu vya huyu mama havinitoshiiii😢😢😢

    • @umiy1971
      @umiy1971 Před 4 měsíci

      Mwalimu amefanya uhasidi wake ila hana uwezo wa kuumba wala kuondoa uhai wa Mtu , sio kila lengo la mwanaadamu Mungu analiitikia , tungekuwa sote tumeshakufa .

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Před 4 měsíci

      Pole Sana mama na apumzike kwa aman mwanangu 😭🙏

    • @kimarobeatus
      @kimarobeatus Před 4 měsíci

      Kwakweli

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 Před 4 měsíci +20

    Poleni sana mtoto alicheleweshwa sana kufika hospitali! Ila walezi na walimu ni vizuri kuwa makini na watoto kwani wengine Wana changamoto kubwa za kiafya hivyo ukimgusa vibaya tu unasababisha matatizo.Inaumiza sana Mungu awe faraja kwa familia hii. Lakini funzo ni kwamba tuwe tunachukua hatua mapema kwa viashiria kama hivyo ambavyo ni hatari.

  • @user-eb4nq5du2q
    @user-eb4nq5du2q Před 4 měsíci +20

    Yan hiii kitu ilishamtokea mdogo wangu ila tulimbana sana aise mpaka kusema ukwel ilichukua muda sana naisi na walimu uwa wanawatishiagaa pia sheria imchukuliee hatua uyo mwalimu😢😢

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e Před 4 měsíci +19

    Pole sana lakini mbona hukujiuliza baada yakuona mtoto anatoka damu mdomoni puani kwanini hujachukua hatua mapema dah walimu wengine

  • @carolynendossi1594
    @carolynendossi1594 Před 4 měsíci +3

    Kwanza waalimu wapimwe afya ya akili kabla ya kuajiriwa. Unamkuta mtu yupo na uchungu umekaa huko ndani yake miaka na miaka ana stress mia kidogo. Mtoto anafanya kosa dogo tu anapigwa kwa kiwango ambacho siyo sahihi. Bwana Yesu awe mfariji mkuu kwa huyu mama🙌🏻🙌🏻

  • @user-cd8ge8mx7p
    @user-cd8ge8mx7p Před 4 měsíci +5

    Duuu pole sanaaaaa....pamoja uzembe wa Mama, nimelia sanaaa huyo mwalimu duuuu bac Mungu ndio atakujibu tuuuu

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před 4 měsíci +16

    Mama Huna woga.damu zinatoka bila ya kumpeleka hospital. Wazazi wezangu tuwe na hofu.

    • @user-zm2zm7wy1t
      @user-zm2zm7wy1t Před 4 měsíci +1

      Kama wew ni mzaz huwez kusema hivy cyo kwamba kila kitu utafany kama inavyostahil cyo kama hana woga kutoka damu kwenye viz ni hali ya kawaid ambayo mtu huwez kufkir kwa harakaharak kuw ni tatizo kubwa.

    • @shosemanjira9015
      @shosemanjira9015 Před 3 měsíci

      Inauma machoz yamenitoka, hizo damui kwann wamuongezee nyingi ivyoo

  • @user-dn8rm7er1z
    @user-dn8rm7er1z Před 4 měsíci +7

    Pole sana Janet jaman... Mungu akutie nguvu kipenzi, kumbe nilipokuona kcmc ndio ulikua na jambo kubwa hivyo

  • @jenipheraron3566
    @jenipheraron3566 Před 4 měsíci +20

    Mama pia mzembe dah ila hawa waalimu sheria zichukuliwe

    • @user-df9vn1tc5o
      @user-df9vn1tc5o Před 4 měsíci

      Mama ana uzembe gani

    • @user-dx2zl1vo5s
      @user-dx2zl1vo5s Před 4 měsíci

      Kwel hakua karbu na mtoto

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 Před 4 měsíci +1

      Siku tatu mtoto hayupo sawa anamwangalia tuu bila kumpeleka hospital

    • @rodjeje5479
      @rodjeje5479 Před 4 měsíci

      ​@@bennamush4616hapana alimpeleka hospital usiku saaana

  • @StevenMremy
    @StevenMremy Před 4 měsíci +25

    Mama mwenyewe nimzembe kwa maelezo yako ulikua umjali uyo mtoto siku tatu mtoto anatokwa damu usimpeleke hospitali kama vile ukumzaa 😢😢😢😢dah😢😢 RIP

    • @sueddelft9069
      @sueddelft9069 Před 4 měsíci

      Ni Kwli mama ni mpuuzi siku 3 unamuangalia tyuu

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 Před 4 měsíci

      Eti mtoto siku 3 damu zinamtoka yeye ana mwangalia tu. Mama nae kachangia kifo Cha mtoto wake Angempeleka mtoto hospital halafu mambo mengine yafuate

    • @fatumamakoye5711
      @fatumamakoye5711 Před 4 měsíci

      ​@@rehemaomary3493msiongee tu kiurahis nyie hv vitu vinaumiza amjui watu wanaishije mtu utakuta hana ata mia hospital zenyew ckuiz km huna ela unaonekan km mbwa tu

    • @user-cb3vw5fp8y
      @user-cb3vw5fp8y Před 4 měsíci +1

      Na siku ya tatu ndo anaona mtoto majeraha siku zote hizo alikua hamuogeshi mtoto??

    • @ambroceharouna1612
      @ambroceharouna1612 Před 4 měsíci

      Fala San ilo Mama

  • @omarymtegwa2299
    @omarymtegwa2299 Před 4 měsíci +5

    Eeeehe angekuwa mwanangu....huyo mwalimu serikali ingepata majibu ningemuuwa kwa mikono yangu

  • @happinesslema7264
    @happinesslema7264 Před 4 měsíci +5

    La msingi ni kumtanguliza Mungu ktka kila jambo shetani ana mbinu nyingi sana !!!!! Shetani huwa anatafuta chanzo tu aweze kutimiza lengo lake !!!!Mungu ndiye ajuaye yaliyosirini!!!!!

    • @hellenjulius7790
      @hellenjulius7790 Před 4 měsíci

      Hakika ni kumtanguliza mungu maana shetani yupo kazini

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 4 měsíci +12

    Daa mtoto Kapotea bila hatia 😭😭💔💔

  • @user-ej9sn1qq1p
    @user-ej9sn1qq1p Před 4 měsíci +2

    Pole sana mama .wazazi tuendelee kujifunza tatizo linapotokea kufatilia kw karibu .

  • @bonita329
    @bonita329 Před 4 měsíci +2

    Inauma sana 💔ila huyu dada ni mzembe sana kwakweli 😢huyu angepeleka hospital siku hiyohiyo ... Mtoto katoka damu mdomoni na puani na sio kawaida yake bado tu ushutuki jamani😫😩na hii sheria ya kupiga watoto ipigwe marufuku Tanzania kote... Ni kheli kumpa mtoto adhabu lakini sio kumchapa mtoto wa watu ujui anamatatizo gani🤦🏽‍♀️

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Před 4 měsíci +7

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeeee hii kitu skia kwa mtu km hiviii Pole sn mama😢😢

  • @paulpastory1193
    @paulpastory1193 Před 4 měsíci +4

    Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake Libarikiwe Ameen

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 4 měsíci +2

    Yani we Mwalimu unakuja shule na stress zako za vikoba na mikopo,unakuja kunipigia mtoto wangu kama hivi mpk unamjua,Wallahi hata polisi hufiki tutamalizana!

  • @user-op8tz6vj3g
    @user-op8tz6vj3g Před 4 měsíci +2

    Pole sana mm jaman uyo mwalim achukuliwe atuwa za kisheria.

  • @ailenyanthony1550
    @ailenyanthony1550 Před 4 měsíci +12

    Alikuwa na tatizo la kiafya, fimbo tumepigwa sana tena zaidi ya 50, poleni ndg jamaa na marafiki roho ya marehemu ipumzike kwa amani

    • @sophyodago5062
      @sophyodago5062 Před 4 měsíci +3

      Acha ujinga wewe,, fimbo uuua watoto kichapo kikizidi au akipigwa pabaya

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 4 měsíci +2

      Kuma ya mama yako mbwa wewe wakapige fimbo mama zao ingekuwa Mimi ningemuua huyo mwalimu ningelipa watu wamchinje shetani huyo

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 Před 4 měsíci +3

      Acha ujinga kuna sehemu hazitakiwi kupigwa.walimu wetu kuna maeneo walioyokuwa hawagusi kabisaa.

    • @victorhabonimana9055
      @victorhabonimana9055 Před 4 měsíci

      ​@@Kabwela776mbona na ww unafaa kupigwa unatukanaje ivo

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 4 měsíci

      @@victorhabonimana9055 unaongea hivyo sababu sio mtoto wako ndio kuuwawa siku akiuwawa mtoto wako au ndugu yako ndio utaelewa uchungu wake, huyo mwalimu Ningekuwa Karibu ningeshawishi watu kumvamia na kumpiga Hadi kumuuwa au ndugu ni kumvizia na kumkupiga risasi ya kichwa mbwa huyo

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg Před 4 měsíci +10

    Sasa muda wote kwanini asimpeleke hospital jamani huyu mama….!!😢😢Yaan mimi nikimuona wangu anamafua tu mbiooo hospital mtoto ana bleed toka katoka shule kweli jaman….sijaribu kulaumu Ila nasikitishwa tu
    Poleni sana familia kwa kumpoteza mtoto…Mungu akutie nguvu mpenzi wangu 😢

    • @Yusudav
      @Yusudav Před 4 měsíci +1

      Nilitaka kusema ivoivo..Asante kwa kuniwakilisha..Yaan huyu mama hakujiongeza kabisa

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 Před 4 měsíci

      Do maana Ni Mambo ya rohoni huyu mama alifungwa kote asijue la kufanya mzigo wa mwenzio Ni Kanda la Sufi pole dear wangu lisikie kwa mwenzio

    • @AishaHaji-jn7sg
      @AishaHaji-jn7sg Před 4 měsíci

      @@beatricehenry6776 alifungwa na nani…?unataka kusema ni nguvu za giza….?

    • @stellashame7545
      @stellashame7545 Před 4 měsíci

      Yani 😥

  • @anithiajohn9209
    @anithiajohn9209 Před 4 měsíci +5

    Jmni mtot mdog wamekatil ndoto zake jamni wazazi na walezi tujitaid sana kutokupuuzia jambo tafadhar

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 Před 4 měsíci

    I feel bad about the story but praying to god almighty and protect you and give you strength 🙏

  • @AishaMohamed-wh9bs
    @AishaMohamed-wh9bs Před 4 měsíci +1

    Jamani walimuuuu me mwanangu amepigwa Kofi na mwalimu jichoni kidogo jicho litoke

  • @AnnaSangamungunimwematunabarik
    @AnnaSangamungunimwematunabarik Před 4 měsíci +3

    Hiv walimu mna shida gan

  • @FlorenceMuthon
    @FlorenceMuthon Před 4 měsíci

    Pole mama,wazazi tusiwe wakali sana qw watoto dio watuabie ukwel na walimu wasilete tress qw watoto wetu

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 Před 4 měsíci +2

    leukemia damu inaisha haikai wanapewa hiyo damu iliyochuja ili isaidie kwenye huo upungufu wa damu na kuongeza plateletes kansa ya damu ina hivyo vyote anavyoelezewa na wataalam,kama alichapwa ni adhabu wengine walipitia ila bahati mbaya alikuwa na hiyo changamoto ya kansa ya damu kwa vyovyote huyo mtoto alikuwa anapata homa za hapa na pale ni vile mama mzembe

  • @carolynemokono8782
    @carolynemokono8782 Před 4 měsíci

    Pole sana mum.Mungu akushikilie na neema yake

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 Před 4 měsíci +2

    Poleni,,,pumzika salama mtoto mzuri,.Nashindwa kuelewa ni fimbo tu jmn?? Au kuna jambo jingine nyuma ya pazia? Na kwann huyo mtoto alimwaga babu jmn, kuna nn na huyo babu au ndo mtoto alikua kamzoea sana

    • @user-df9vn1tc5o
      @user-df9vn1tc5o Před 4 měsíci

      Nguvu za Giza naiyoo!! Mwalimu ni kama daraja tuu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci

    Inalillahi wainailahi rajuun. ..pole mama Allah.akupe subra

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 4 měsíci +2

    Dah pamoja na uzembe wa mama ila hawa walimu hawa haki ya Mungu aniepushe tu ila nitakufa na mtu nitaenda jela kwa niaba ya uyo mwalimu 😢😢😢

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před 4 měsíci +2

    Daaah! Hivi hawa walim walio ajiriwa hawaon ukatil unaofanywa jamn

  • @MellanieKay
    @MellanieKay Před 4 měsíci +1

    Poleni sana

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Před 4 měsíci

    Huyo mwalimu Mungu anamuona kakatisha maisha na ndoto za mtoto mdogo jamani inauma Sana sijui alimkosea Nini kikubwa hvyo kiasi Cha kumpiga mpaka kumpelekea umauti 😢😢😢😢😢

  • @sabamdekago
    @sabamdekago Před 4 měsíci +2

    Mwalimu mkuu na mwalimu komo pamoja na DR wote walio simamia vipomo vya huyo mtoto wachunguzwe wawekwe chini ya ulinzi.
    Pls Waziri Wa Afya naomba ulifuatilie hili jambo hapo kuna janja janja zimetumika huyo mwalimu wa field ajulikane

  • @user-nb6cd7rx6v
    @user-nb6cd7rx6v Před 4 měsíci +1

    Pole Sana mama😊

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 4 měsíci +1

    Mungu ailaze Roho yake mahali pema

  • @andrewjuma2485
    @andrewjuma2485 Před 4 měsíci +3

    Inauma sana

  • @veronicamasawe7893
    @veronicamasawe7893 Před 4 měsíci

    pole sana dada

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 Před 4 měsíci +3

    Kcmc wanasema mtoto alipimwa alikuwa na leukemia na hizo damu hadi fizi puani hizo uvimbe ni dalili za leukemia mume wangu alizipata zote hizo, huyu mama ni mzembe alikuwa hafuatilii mtoto wake

    • @berthajacob3433
      @berthajacob3433 Před 3 měsíci

      si uzembe bwana yaan n kutojua na isitoshe mtu akiugua at kichw imezoeleka anapew Pcm maisha yanasonga that's why akamwambia aweke maji kinywan na kutema..... kwenda hospital mpaka awee amezdiwa wabongo bwanaa weee ni atar!! but inategemea na uchumi piaa elimu.🤒🤒

  • @user-vn6so3on7z
    @user-vn6so3on7z Před 4 měsíci +4

    😮😊😊jamani mtoto mdogo kwakweli dunia imekwisha

  • @levinaedrmf
    @levinaedrmf Před 3 měsíci

    Pole sana mam ,ila jaman inatkiwa tukae karibu na watoto wetu

  • @christinefuraha1513
    @christinefuraha1513 Před 4 měsíci +1

    Sio rahisi kupokea kama mzazi
    Hakika mtoto huyu alikuwa anachangamoto ambayo mama hakutambua mapema... saratani ya damu huweza mchukua mtu ghafla... Mwalimu alisimama katika nafasi ya kutoa adhabu ya fimbo kwa nia ya kujenga. Imekuwa tuu bahati mbaya kuambatana nyakati za hali ya ugonjwa... fimbo hizo angeweza kuwa amemchapa mzazi... Tuheshimu na kuwa na imani na wataaluma tulio nao... yapo mengi kujifunza tusitie chachu pasipo kuwa na uhalisia. Wanahabari mpate nafasi pia kuzungumza na wataaluma husika kwa ajili ya kuelimisha jamii na sio kujenga uchochezi usio na tija.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 4 měsíci +1

    Baadhi ya walimu wa field wanakuaga na viherehere sana,tumewaona wengi.
    ni sheria ichukue mkondo wake ili kufundisha wengine

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 Před 4 měsíci

      Nikwel sikuna yule mwingine mwaka juzi nazani alimuuwa mwanafunzi mwanza alikuwa ni mwalimu wa field wamezidi sasa jmn

  • @mohdnasser3620
    @mohdnasser3620 Před 4 měsíci

    الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب العالمين

  • @honestandakidemi2332
    @honestandakidemi2332 Před 4 měsíci

    Mungu akupe NGUVU mama,da nmelia sana

  • @onyaluoma848
    @onyaluoma848 Před 4 měsíci

    Pole Sana mama Jon ila usikubali kuzika mtoto hadi ukweli ujulikane, Yule mwalimu asshikwe mwanzo

  • @GodJakobTash-mu9zf
    @GodJakobTash-mu9zf Před 4 měsíci +1

    Dah kwa syle hii lazima nijeniue mtu akiamungu, pole mama.

  • @luciacosmas-nq8lv
    @luciacosmas-nq8lv Před 4 měsíci +1

    Wazazi musiwe na ukali na watoto wekeni urafiki na watoto ili vitu vibaya vinavyo wapata waseme aisee nimeumia Rest in paradise Jonathan😢

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 Před 4 měsíci +1

    Pole sanaaa

  • @fatumamakoye5711
    @fatumamakoye5711 Před 4 měsíci

    mim mungu anijalie busara nikianza kusomesha maaan naenda na panga uko shule yani kumlea mtoto mpk afike umri huo afu mtu anakuja kumuua

  • @brunobalama6046
    @brunobalama6046 Před 4 měsíci

    jaman wazaz mjifunze kutokana na uzembe wa mzaz mwenzenu huyu ...hata kaama huna hela omba msaada kwa watu mungu atakusaidia kupitia ukarimu wa watu ..... nimejisikia vibaya sana mama umefanya uzembe mkubwa sana ....but all in all mungu amlaze mahala pema peponi huyu mtoto 🙏

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 4 měsíci +2

    Hicho ni kifo cha mashaka madaktari walete udhibitisho. Kwa nini mtoto achapwe shule na atishwe kiasi cha kushindwa kumwambia mzazi?

  • @hawaabdi6209
    @hawaabdi6209 Před 4 měsíci +1

    Mama ana uzembe ila madaktar ndio wazembe zaid hyo ilikua n emergency kwa maelezo ya huyo mtoto tumbo kujaa mojakwamoja tumbon kulikua na shida kwahyo mtoto alitakiwa angizwe kwenye upasuaji yan hao madaktar nao wamechangia kifo cha mtoto pumbavu sana mxuuuu

  • @MaryNikodem
    @MaryNikodem Před 3 měsíci

    Pole sana dad's angu mungu hakutangurie

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 Před 4 měsíci

    Pole sana

  • @EdwardsaibuluMollel
    @EdwardsaibuluMollel Před 4 měsíci

    Pole sana mm

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 4 měsíci +1

    Mngemsaka huyo mwalimu na kumshushia kichapo Hadi kumuuwa au mama tafuta mtu mwenye bastola amvizie na ampigie risasi ya kichwa Na kumuuwa!

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Před 4 měsíci +2

    Mtasumbuka sana huyo mtto kuna nguvu za jiza ila mwalimu ikikuwa chazo tu huyo katolewa kafara km sio baba yke mzazi alioko iringa au babu mana sasa ni hatari maisha ya sasa watu hawana uruma 😊

    • @clintonmsafi26
      @clintonmsafi26 Před 4 měsíci

      Na wewe kama huna cha kuandika ukae kimya saw sas baba ake amuue ili iweje labla mwezetu ndo umemuua mtoto wetu umemtoa kafala et baba ake au babu yake hzo ndo akili zako ulizonazo

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 Před 4 měsíci +1

      ​@@clintonmsafi26kwakwel uyu aliesema katolewa kafara ameongea utopolo ambao Ata hauusiani na hichi inamaan Yuko Dunia ipi uyu ajui walimu wa field wanavouwa wanafunzi kila sku

  • @user-fh3of4yc6s
    @user-fh3of4yc6s Před 4 měsíci

    Pole Sana dada

  • @hildakimaro-we6mb
    @hildakimaro-we6mb Před 4 měsíci +1

    Pamoja na hali ngumu ya maisha mama mzembe unaiyona damu unatulia kweliii😢😢😢poleni jamani

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 4 měsíci

    Mama pole. Mungu atalipa hili tunamuomba

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 4 měsíci +1

    Pole Sana wamemuuwa jmn

  • @ElishaElia-jh1bx
    @ElishaElia-jh1bx Před 4 měsíci +1

    Pole mama

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Shinda nini jamani?. Kwanini tuue watoto wetu?. Uyo mwalimu anataka nini?. Pole sana mama.

  • @user-xp6xw8fy8o
    @user-xp6xw8fy8o Před 4 měsíci +1

    Yaaani Hawa walim wana bahati ninge zaa na yeye Adharani uni pigie mtoto wangu af uko hai mpka saivi wewe mwalimu oooh kama ungeishaji chimbia kaburi kwetu mbya nzuri aniii

  • @ashaomani5865
    @ashaomani5865 Před 4 měsíci

    Dah innalillah wainnaillah rajiun pole sana momy 🤲🏼🤲🏼😥😥😥

  • @emmanuelmashauri
    @emmanuelmashauri Před 4 měsíci +2

    Kuanzia hao madoctor mpaka mwalimu mpumbavu huyo wakamatweee.. Inauma sana aisee 😢😢 huo ni uzembe kwa madactari hawako vzr wanatuua tu jmn daah😭😭😭

    • @hamidkololeki5009
      @hamidkololeki5009 Před 4 měsíci +1

      Usikurupuke madaktari wanafanya kaz kwa matakwa ya kitabibu na c kwa jnc unavyotaka ww

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Před 4 měsíci

    Pole sana mama

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 4 měsíci +3

    Walimu Walimu Walimu jmn munashida gani walimu wasikuizi si mlisomea wenyewe hiyo fani lakini

  • @emmymgana5371
    @emmymgana5371 Před 4 měsíci

    Mungu wangu jamaaaani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 najaribu kuvaa viatu vyako dada havinitoshi cjui ni maumivu yaaina gani unayo pitia. Had nmelia wallah pole mama jonathani pole sana dada 😭😭😭

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 Před 4 měsíci +2

    Yaniii wewe dada kwe kweli sijui

  • @Ahmad-nr9xq
    @Ahmad-nr9xq Před 4 měsíci

    Pole sn

  • @user-gs6dy8uc2r
    @user-gs6dy8uc2r Před 4 měsíci +1

    Jamani Walimu wakumbuke wao ni walezi.kumchapa mwanafunzi kiasi kwa kumrekebish na cyoo kupiga km wanauwa heee.

  • @elizaminja4249
    @elizaminja4249 Před 4 měsíci +3

    aliumia sana mtoto jmn

  • @FggFff-sg2gm
    @FggFff-sg2gm Před 17 dny

    Pole sana 😭😭😭😭😭😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @halimamusaamiri4187
    @halimamusaamiri4187 Před 4 měsíci +1

    We mzazi mkali sanaa ndiyo maana ata mtoto ameshindwa kukueleza mzazi inabidi mtoto umkague mtoto kila anapurudi nyumba laki pole

  • @esterdavid2686
    @esterdavid2686 Před 4 měsíci +3

    Inaumiza jaman 😢😢😢

  • @achenikigava
    @achenikigava Před 4 měsíci

    Ila duniani kina mapito jamani. Jambo likiwa kwa mtu mwingine ni rahisi sana kusema ningekuwa mimi ningefanya hivi, kumbe lingekukuta huenda usingejua cha kufanya kwa haraka japo inaonekana mama alikuwa mzito kuchukua hatua za kwenda hospital saa nyingine kipato na madaktari nao siku hizi hawatibu mgonjwa bila hujalipa kiasi kilichotajwa yaani ni Mungu tu amebqki wa kutusaidia.

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 Před 4 měsíci

    Siku ikifika wallah uzito unakuwepooo mama unakaa n mtoto unalala nae na dam zinatokaa au alikuwa ana kawaida ya kutoka dam
    Walim msichapee watotooo wengi waanaumwaaa ukute alishaaanza kuumwa zaman jaman uwiii😢😢

  • @RachelMethod-rt1qx
    @RachelMethod-rt1qx Před 4 měsíci

    Pamoja na huyu mwalimu kupiga huyu mtoto, lakini pia kulikuwa na roho ya mauti unamuwinda huyu mtoto hyo imekuwa nisababu ya kifo chake, Mungu
    Awalinde watoto wetu

  • @athumanmbelako4317
    @athumanmbelako4317 Před 4 měsíci

    Pole

  • @FelisterAyubu-pk2fl
    @FelisterAyubu-pk2fl Před 4 měsíci

    Pole sana mama mtoto Mungu akutie nguvu

  • @user-is4xo4pp8v
    @user-is4xo4pp8v Před 4 měsíci +1

    Pole sana Mama jamani, hawa waalimu jamani. Nataman hadi mtu asome ualimu wachunguzwe. Na huyo mwalimu akamatwe

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl Před 4 měsíci

    jamni mi naona kwa sas maji yameshamwagika tusimlaumu uyu mama sababu maumivu aliyo nayo kwa sasa sidhan kama kuna mtu anaweza akavaa kiatu chake ,Mungu tu amtie nguvu na cha msingi tusiache kwaombea watoto wetu Mungu awalinde popote wanapokua shetan halalagi tukumbuke ilo anaweza kumtumia kiumbe chcht kile kufnya tukio na kikubwa zaid naona fimbo in zikatazwe kwa sas mashuleni aiseh maana aiseh swala la mtt kufa ni jambo jingne duh 😢😢😢😢😢😢

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 4 měsíci +10

    Ila mama wewe mzembe damu zilimtoka hivo hata hospital usimpleke

    • @florenciajacob5463
      @florenciajacob5463 Před 4 měsíci

      Kabisa my dear😢😢

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n Před 4 měsíci

      Uon maisha yake magumu

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt Před 4 měsíci

      Hospitalini ni hela tena utakuta hata bima ya Afya huna na ndani pesa hamna

    • @toptopress4909
      @toptopress4909 Před 4 měsíci

      Hatakama hospitalini ni hela, mpeleke tu.

    • @frankchuwa4962
      @frankchuwa4962 Před 4 měsíci +2

      Wewe hujui mazingira ya huyo mama,yeye hali yake ni duni sana elewa hata pesa ya kumpeleka hospital hakuwa nao.
      Tatizo ni huyo mwalimu kwa nn hajachukuliwa hatua na wanajaribu kumlinda huyo mtuhumiwa.Pia kwa nn Madoctor walimfanyia postmortem wakati ndugu wa huyo mtoto hawakuwepo?
      Kwa nn mnalichukulia kwa wepesi sana hili jambo au kwa vile ni mtoto wa maskini?

  • @user-ps8nl3fv3f
    @user-ps8nl3fv3f Před 4 měsíci

    Pole sana mama yangu Mungu akupe nguvu rest in peace mdogo wangu duh inauma sana

  • @esterabonga7947
    @esterabonga7947 Před 4 měsíci

    Wazazi waki Afrika tuwe na bidii zakuwafatia watoto sana nakuwaoji kwa undani pale tatizo linapo tokea na unapo muona mwanaona ayupo kwenye hali yake ya kawaida. Ila pole sana kwa familia

  • @mwendenaomi33
    @mwendenaomi33 Před 4 měsíci

    I feel the pain

  • @colethanyaku1077
    @colethanyaku1077 Před 4 měsíci

    Kwa kweli mama pole sana!

  • @NeemaSaimon-sj3qd
    @NeemaSaimon-sj3qd Před 4 měsíci

    Aaaaaaaaah mimi sjui uyo mwalimu ningemfanyaje aiseeee uwiiiiii ndomngejua kunawatu nivichaa siku iyo kwa watoto waoooo

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 4 měsíci +5

    Innalilliah wainnaillaih rajiuun😭😭😭😭😭

  • @neemarosedawson3154
    @neemarosedawson3154 Před 4 měsíci

    Jaman huyu mama Mungu amtie nguvu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 4 měsíci

    Daah roho imeniuma sana yaani nchi haina serikali naona watu waanze kuchukua sheria mkononi yaani huyo shetani amedhulumu maisha ya mtoto , Na viongozi wako kimya 💔💔💔💔💔💔💔💔

  • @princejames7438
    @princejames7438 Před 4 měsíci

    Jaman jaman yaan hadi hapo uchunguzi ufanyike ni uchunguzi gani huo oneni hata huruma basi serikali iko wap haki ya Mama na mtoto iko wap Muogopeni hata Mungu basi😭😭😭😭😭😭

  • @toptopress4909
    @toptopress4909 Před 4 měsíci +2

    Mlimchelewesha sana kumpeleka hospitali, dah??

  • @bernabetadeugabriel5808
    @bernabetadeugabriel5808 Před 4 měsíci

    Mungu amlaze peponi