NIMEDANGA MPAKA NIMEVUNJIKA KIUNO NISAIDIE NIPATE MUME WA KUNISTILI NIMEKOMA HAYA MAISHA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 06. 2024
  • NIMEDANGA MPAKA NIMEVUNJIKA KIUNO NISAIDIE NIPATE MUME WA KUNISTILI NIMEKOMA HAYA MAISHA.

Komentáře • 84

  • @NahirSaid-wj6ux
    @NahirSaid-wj6ux Před měsícem +6

    Dada mzur akili hana maskini

  • @user-pd7bw6bd7c
    @user-pd7bw6bd7c Před měsícem +4

    Nimeamini wabongo hawaishiwi njia zautapeli uyu dada amekuja kwastaili nyingine mume haupati utawapata wakuwatapeli tu sindo wewe ulichukua pesa yawatu iliufute tatoo

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před měsícem +2

    Hizo laana za Mungu kujiuza Malaya mkubwa haswa unajisifu yaan ulikunya haya

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před měsícem +2

    Hivi hii Chanel Nimavi au

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před měsícem +1

    Acha upuuzi ww mwanamke usimtie kakaako aibu ikiwa unahitaji mume muelekee mungu wako chochote unachohitaji utapata mungu hajawahi kukuacha mkono ww mwenyewetu unajitia kwenye matatizo

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem +2

    Malaya yoyote hanaaibu ilezambi kubwa sana. Allah atunusuru na zinaa na mengineyo ya siyompendeza Allah

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Před měsícem

    Nimecheka kama maxuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před měsícem +1

    Mama gwajima anawatafuta wapumbavu kama nyinyi

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Ww ni mjinga san kila siku kutuelezea upuuzi mwingi ujinga mtup bora ufe kuliko kutuletea ujinga huu

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm Před měsícem +2

    Upuuzi mtupu maraya mbwa

  • @JazilaKhatibu
    @JazilaKhatibu Před měsícem

    Subhanallah. Mungu tunusur. Nusuru na vizazi vyetu. Jmn huon aibu kujidhalilisha jmn

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc Před 18 dny

    Mmmmh huko hupati mume bali unajidhalilisha

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před měsícem +1

    Nani akutake Huyo mwanaume atakae kutaka huna hata huna haya labda Malaya kama ww hata ukizungumza hufai hamna aibu huna haya hamna atakae kukutaka. Sijui mtihani katubu Sana na usijitie mitandaoni kidogo Tubu stiri aibu wako

  • @Dafetty
    @Dafetty Před měsícem +1

    Mtihani sana wallahi 😢😢😢

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂 elfu5 mungu wangu tunusur ujiambie mwenyew unatwambia sis hatudanyi uj8nga huo tupo uarabun tunatafuta ridhiki ya khaki ujinga huo

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Atakusitir nan na mardhi yote hayo ujinga mtup

  • @user-ug4dg3zh1w
    @user-ug4dg3zh1w Před měsícem +1

    Mungu atunusuru na kizazi chetu uu nimtihani

  • @AminaKassim-ni9wd
    @AminaKassim-ni9wd Před měsícem

    Fanya biashara utoke kwenye mambo ayo uza ata maandazi mm alhamdulillah ata niwe na shida kiasi gani siwezi kujiuxa mm nilikua nnashida sikua na pesa jamani niliuza maandazi mwaka kasoro kidogo baada ya apo nimepata kazi ebu ngoja nikutumie namba yangu nikupe maelekezo ya ishu za kazi nje ya nchi

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před měsícem

    Bora km ungekuwa huna hayo magonjwa. Nani azoe gunia la taka 😂😂😂😂😂😂😂 😂

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem

    Umedanga mpaka umevunjika kiuno sasa hizo pesa ulizopata si kanunue misumari ugongomee uwendelee na kazi😢

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 Před měsícem

    Ishallah utapata mume usjalii

  • @user-ds5tf9xx1d
    @user-ds5tf9xx1d Před měsícem

    Kuna watu wanajiuza ila kwa siri sn kutokana na maisha mtu ukiona mpk anajitangaza hiyo ana aibu katolewa nyongo jamani......mdada mzuri .....kumbe doctor ameshasema ungeweza kuwa taila masikini pole ......haya waowaji mkamuowe

  • @AminaKassim-ni9wd
    @AminaKassim-ni9wd Před měsícem

    Jamani wanaume mstirini uyu dada tena ata kama ni anamke na kama anatolia unamuacha aende akaendelee na uuni wake wanaume jitokezeni ila na ww uache sifa kwani dhinaa ni dhambi kubwa sana kwann unafanya ivyo mwili wako kila mwanaume usifanye ivyo na pale mwanzo ulikosea kutoka kwenye msimamo ila apa unasababisha watu wakuogope ata kama utatulia uwe pole

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před měsícem

    Mungu tunusuru na hiki kizazi

  • @levinamwanakulya9379
    @levinamwanakulya9379 Před měsícem

    Sasa hayo meno yalifanyeje😂😂😂

  • @shariffsagaf2305
    @shariffsagaf2305 Před měsícem

    Niko tayari nipe namba

  • @FaudhiaSwalehe-tp9ox
    @FaudhiaSwalehe-tp9ox Před měsícem

    Hahahhaha mm nisamehe zuu sijacheka Kwa kupenda mm

  • @JanethSamweli-yq5ne
    @JanethSamweli-yq5ne Před měsícem

    Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem

    Kwani uchakaram ni SIFA???? Ni mwandaAZIM kama hujuwi. (Chakram) ni neno la kihindi nafkiri 😂😂😂😂😂 eti Chakalam Mhhhhh mambo

  • @wilfredshoghosho0017
    @wilfredshoghosho0017 Před měsícem

    Aaah😂😂😂🙌

  • @Laizer3
    @Laizer3 Před měsícem

    Ulivokuwa na miaka 20....27 ulikuwa wapiiii

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před měsícem

    Umekujakutafuta pesa tu

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅huyu kavurugwa bora angekua kabila jengine anatuzalilisha wamakonde😅😅😅

  • @jefwabaya2637
    @jefwabaya2637 Před měsícem

    😂😂😂😂fupa lilimshinda fisi paka alitafune uongo

  • @LailaMakame
    @LailaMakame Před měsícem

    Apo ulipo tahira tayari

  • @daviddouglas9565
    @daviddouglas9565 Před měsícem

    huyu comedian?. Aweke namba yake hapo

  • @user-pd7bw6bd7c
    @user-pd7bw6bd7c Před měsícem

    Ila umekonda adi raha😂😂😂

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před měsícem

    Kivuruge wewe... Ulikula pesa ya ustaz tapeli mkubwa weye ! Laana zimekujaa mwili mzima

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před měsícem

    Mmmm unajizalilisha bora ukose pesa update akili

  • @sharifradhiqia1771
    @sharifradhiqia1771 Před měsícem

    Kweli unatakq kuolewa

  • @alisaadmohammed
    @alisaadmohammed Před měsícem

    Aachie number za simu natafta mke wa kuishi nae

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂Eti icrem za jero jero duuu nimecheka kama mazuri 😂😂

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      Jamani twambieni hizo ice cream 🍨 jero jero ndo Zipi???😂😂😂

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před měsícem

    uko wapi? Na kama umechoka huyo mume atafaidi vip Sasa?

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před měsícem

      Ndo hapo sasa na mimi nikitaka kumuuliza huyo ajae atapata nini kwake na maumivu hayo

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před měsícem

    no za simuuuuuuu

  • @imranahmed-lf9ny
    @imranahmed-lf9ny Před měsícem

    Njoo oman my dear upambane

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 Před měsícem

      Wendawazimu wote waje Oman? 😮Nampa pole huyo madam atakaeletewa huyu. mwezi hamalizi

  • @shabanshabani8453
    @shabanshabani8453 Před měsícem

    Reply namba yake hapa nimstili niko serious 💪

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s Před měsícem

    Mimi.tayari.uko.wapi.nikustri

  • @user-xg1zg2co3c
    @user-xg1zg2co3c Před měsícem

    2:40 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-xg1zg2co3c
    @user-xg1zg2co3c Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 Před měsícem

    Njoo omani

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před měsícem

    Gunia la taka.

  • @hamadomarmwalau1841
    @hamadomarmwalau1841 Před měsícem

    Nipo mm hapa elfu ishiri mahari yako utakubali

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory5274 Před měsícem

    #JICHANGANYE😂

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d Před měsícem

    😂😂😂🤣🤣😅😅nabado 🤣🤣

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 Před měsícem

    uchakaram ndo nini mie sierewi

    • @Dafetty
      @Dafetty Před měsícem

      Ukahaba au kujiuza

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      Chakram ni neno la kihindi. Ni mwandaazimu , kujifanya mwehu. Lakini kina mtu anatafsiri anavyo taka hapo.

  • @jumahassan4202
    @jumahassan4202 Před měsícem

    Atume namba nimuone niko znz

  • @salma-nh4of
    @salma-nh4of Před měsícem

    😂😂😂

  • @hamadomarmwalau1841
    @hamadomarmwalau1841 Před měsícem

    Helo number basi

  • @Mbaroukbakar-wu1tq
    @Mbaroukbakar-wu1tq Před měsícem

    Hupati mume ngooo wewe ni tahira

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      Maana ya tahira, siku hizi Kiswahili kimekuwa kina maneno mepya sana.

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Před měsícem

    Uchakalamu n nn ?? Mkenya mm sielewi

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      Chakram ni neno la kihindi. Lakini wao wanalisema chakalamu 😂😂😂😂 Mhhh siyo neno la kujisifiya. Labda Wahindi wanamwita Chakram. Na yeye kalipenda hilo jina. 😅😅😅

    • @bajagihaji8923
      @bajagihaji8923 Před měsícem

      Kujitoa ufahamu

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      @@bajagihaji8923 Ndio wazimu wenyewe huu. 😂😂😂🤝

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 Před měsícem

    anitafuteeeee

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem

    Watu kama nyiye ndio mnayo iyangamiza hiyo Tanzania yenu. hakuna chochote chengine. Laana ni mbaya. Mungu atustiri.

  • @mohammedathman297
    @mohammedathman297 Před měsícem

    Njoo nkustiri dada

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před měsícem

    Endelaa kudanga tu mjinga akuowe nani unajichafua kilasiku atakama mtu anaitaji kukuowa wataona ujataludi