MAUAJI YA KUTISHA NDANI YA OFISI YA SERIKALI/MTENDAJI AUAWA KINYAMA ASHAMBULIWA KWA PANDA
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 10. 10. 2021
- WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Subhana ALLAH tunaishi kwa Rehma zake Allah atuhifadh wanaadam wamekua kam Wanyama kuna muda afadhal ata ya Wanyama Allah atupe mwisho mwema Amiin
Amini
Amyn
Sikuhizi jamani Tz imechafuka Dam.. Mauwaji mengi mpaka unaogopa kiyama kinakuja kwa ukali
@@hanifatanzania7258 Tunaishi kwa Rehma zake Allah mamy hatujui mbele yet tunaenda nao maadui na kucheka nao
Amiiin
Tunaombaa Toba narehema kwa ajili ya damu ya Kevin iliyomwagika isiyo na hatia Mungu mwenyezi akupokee kamanda wetu. Pumzika kwa amani Kevin Mo
Watendaji hao ndo waliiba kura kuipa CCM hii ni laana ya kuiba haki ya watanzania,, kwahiyo acha wafe tuuuu
@@malingazeboss9351 ww ni mpuuzi sana
@@kaundasutikaunda7769 Achana naye wla usipoteze nguvu zako ndugu mwache ajivalishe viatu vya Mungu na kutoa hukumu. Mungu mwenyeWe atasimama katika hili
Serikali iongeze nguvu zaid katika utendaji WA kazi zao mkilala basi mtasumbuliwa Sana ushauri Tu WA bure .
Wanaadamu sikuhizi wamekuwa naroho za kinyama hata wanyama wenyewe wana afadhali. Mwenyezi Mungu atunusuru Wallah
Innalillahi wainnaililaihi Raajiuuun dah watu wana Roho za kiunyama sana Mwenyezimungu ajaalie wakamatwe na Wapewe Adhabu kali saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
Kwenye maisha kila kitu inabidi ufanye kwa kiasi usije kutengeneza Uadui na watu mungu akupokee ishaalah
Izirail hana kazi ngumu siku iz,
Huu ni mwisho wa duniani
Rudi kwa mola wako.
kabisa ndug yaa mtihan
Kwa kwelii
Kbsaa
Aya matukio yapo toka mwanzo wa dunia ila kumkumbuka mungu ni muhimu kwa muda wowote sio mpaka mwisho wa dunia tu ukumbuke kumludia
@@movietz3394 ilimradi useme tu au sio?? Hajanielewa tu kama ungenielewa ungekaa kimya.. mimi nakusudia *watu kwa sababu ya kumsahau mumgu ndio wanafanya ayo*
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi.Aminnn
Hatimae aliyeshuhudia mauaji hayaasimulia
czcams.com/video/mnLFbarJ6nQ/video.html
đAisee inauma sana.. allah akupe kauli thabiti damu ya mtu n mtihan
Ifike mahal cctv ziwe mandatory kwenye ofisi zote na maeneo ya biashara, inge rahisisha kupata footage za wauwaji đđ
Serikali haiwezi kuziweka. Unajua kwa Nini?
Cctv bila close monitoring ni bure, watu wataficha sura. Nchi za wenzetu ndo hata ukificha uso wanatumia teknolojia na kupata sura halisi
@@ibrahimmagere5545 weee kweli
Kwanza kabla ya hizo CCTV kuwekwa kila mtu hasa mamlaka zitende haki sababu CCTV pekee hazifui dafu
@@jessykadaraja2691 sijui tujuze
Mama rais wetu kemea basi hata mauaji yanayotokea kama unavyosisitiza COVID-19
Inalillah wainailahi rajuun. Allah anamlipa zurma ya kilaaina napia watakufatu kivyovyote na Azabu watapewa lnshallah
Bora kukaa kimya tu coz hujui kuna nn nyuma yake ad amefanyiwa ivo
@@topranking013 kumtoa tu roho hatakama kakufanya kitu mfanye kama alivyokufanya usizidishe kisasi
Kila cku mauaji Ee Mungu baba tuhurumie sasahiv watu hawaogop kuua đđNahix laana ya Magufur inatutafuna toka huyu mama aingie madarakani mauaji yamekuwa Mengi mno na hatuskii hata cku moja mama akikemea hayo mauaji yanayotokea yy na corona bac hayo matukio cjui hayaoni
Kama kweli issues inahusiana na migogoro basi ni wakati sasa kwa hawa viongozi wa serikali za mitaaa nchi nzima.. 1 wajiepushe saana na kutoa majibu rahisi, 2 wasifanye migogoro inchukuwe muda mrefu mikononi mwao.. wasiwe ving'ang'anizi.. wakiona issues ni ngumu haraka waidikishe wizarani or mahakamani.. Ila na cc wananchi c busara kutoa uhai wa mtu.. Sehemu sahihi ya kupata haki ni mahakamani kama ukiona uongozi wa mtaa unasuasua.. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala salama.
Kabisa huaga wanarahisisha Sana mambo
Mungu ampe kaur thabiti
Ni kweli kabisa
Kuna watu hawana huruma kabisa yaan mpaka naogopa kulala đđđđđ
Ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga ....Mungu kutana Na watu hao waliofanya tukio hili
mungu amlaze mahala pema peponi đ
Viongozi mjitahidi kua waadilifu hakuna marehemu mwenye sifa mbaya
Hakuna marehemu mwenye sifa mbaya, swala tumieni akili kuishi na watu ukiwa Kama kiongozi, ifanyejamii ako kuwa Kama familia ako mungu atakuepusha na haya muda wote,
Umeongea point, inahitaji utulize akili sana kukuelewa
Inauma Sana, pia Viongozi wetu tutende haki sahihi kwa watu bila kujali hana kitu au anakitu Pia tushauri Jeshi la police kuwa makini kufundusha jamii na kutenda haki ili twende swahi katika Taifa letu watu wamekuwa na visasi katika miyoni mwao
Watendaji mnawindwa,msiwe mnakaribisha wateja bila mgambo,inauma , poleni sana.
Nikweri viongozi inatakiwa wawe making maana muaji yamezidi kipimo Kira kunavyokucha nimatukiotu mungu atusaidie tupo wakati mgumu sana mungu airase roho ya marehem mahari pema peponi amen
Sema huyu Mtangazaji ana sura nzuri đ
Oyaaaaaa nakubal kamanda tupo wawili tuloona hii pisi
@@modenhosouza5925 nakubalii mwamba đ
@@jumaselemani2720 mimi sijaiona hata
Saut yake nzur pia
@@fainajaffary4070 sanaaa
Poleni saan wafiwa
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
Mungu saidia hawa waliofanya ili tukio wote wakamatwe.
Na wanyongwe
Amiin nawakipatikana nawao watiwe mapanga mpaka wauwawe ukiuA kwaupanga utakufa kwa upanga
Subhan'Allah đđđ
Hao watu watajulikana tu damu ya mtu akwendagi bure . Dah inauma đđ
Nakubaliana na wewe mia kwa mia.
Sawa
Subhanallah
It's more than painđąđąkweli mauaji ya saa tano asubuhi?duh!mungu yupo wala hajaenda likizo na damu ya mtu haipotei bure
đđđđđđ
Inasikitisha saana bora ukutane na mnyama wa mwituni kuliko binadamu ni zaidi ya wanyama poleni saana watanzania wenzangu
Migogoro mingi sana ya ardhi inasababishwa na hawa viongozi wa mitaa. Wao ndio wanaotoa hizi deal kwa hawa wadhurumishi ili wapate cha juu. Labda sasa mtajifunza. Kapumnzike kwa Amani.
Kama unajua , vibaka kwenye serekali
Mimi nafikiri kutakua na sababu tu. Kwasababu watendaji wanatabia za ajabu sana na wapenda rushwa hatari.
Poleni kwa msiba watanzania woteđđđđ
Innalillah wainnalillah Raji'uwn.
Subhannallah đđ
đ„đ„đ„đ°đ°đ°đąđąđąhivi unamchinjajee mtu jmn wat tunakosa hisan kabisa hatumuogopĂŹ mola wetu inaumaa sana jmn inalilah wainalilah rojiun Allah atusaidie
M/mungu ilazeroho yamarehem mahalipema waliofanya hivo munguatawahukumu atakama alikosea mambo flani haikustahili kufanyiwa hivo
Mungu ayipunzishe logo ya malehem mahari pema
Innalilah wainaillah ragiun
Daah.!! Polen sana wafiw
Kuna kila sababu ya jeshi la polisi kutumia nguvu ya ziada kukomesha haya mauaji ya kinyama yaliyo kisili hapa nchini!
SubhanAllah
Mungu tusaidie haya majanga tusamehe tuliposababisha adui apate nafasi hivi pole kwa wafiwa
yaaan ukiingia kwenye mtandao tu unapokea vifo vyaukatili had bcđąđąđąđąđąđąđąđąđą
Yaaaniiđđđ
Innalillahi wainnailayhi rajiuun Tanzania yetu imeingiliwa na ibris gani wa mauaji kila dakika đđyaa Allah tuondolee roho hii ya mauti inayomwaga dam kila kukicha
Amynđ€Č
Magu anajibu maombi
Mungu saidia aya mauaji yanayotokea mara kwa mara yasiyo na hatia ...
inna lilah wainna ilahi rajiun pumzika kwaamani kaka etu mungu atawadhalilisha 2
viongoz wetu tatzo hawatoi haki kistahiki kwa kila mtu wanapenda Sana rushwa
Mm nmewah kuwa k/Afisa mtendaj kijij huko nyumban Tabora.
Hii kazi ina majarbu mengi sana. Kama huna hekima&busara ukatumia elimu tyu ya darasan mmnh hii kazi ngumu.anyways polen wafiwa
Sisi sote ni wa mungu na kwake tunarejea
Subhanaallah
SEMA watendaji mbona anakuwepo mgambo jaman mpaka wanamkuta peke take! Da
Tafuteni chanzo tatizo zulma nyingi hao Wana jifanya ma mungu watu ndo shida
Tatzoo izii office za kata kuna mdaa wanashirk v2 ambavyoo vinawaleteaa shdaa badae
Duuuuh nmelia kwa kwel, juzi yenyew nlkuwa hom kumuona babaangu jaman kapigwa vbaya mno, maana yeye baba n mwenyekit wa kitongoji nyie nilie kwanza nmalzie stor,,, ila uongozi huuu duuuh Mungu ndo anaejua kdg babaangu apoteze uhai wahuska wamekimbia
Dah jmn Poole duhđȘđȘđȘđȘđȘ
Pole
Poleni sana
Heli maisha yakutokuwa na pesa ya magu kuliko uwe na pesa lundo alafu hali inakuwa hivi,dah!!!
Me naogopa Jamani
Inna lillah wainna ilayh rajiun.
Duuh Mungu wangu wa mbingunii eeh turehem waja wako,,,
Kwakweli inasikitisha na inauma sana yaani mpaka inaogopesha naona kama amani haipo tena nchi hii MUNGU tunusuru kwa haya
Dah ndo TZ yasasa,, poleni Sana
Jmn.mungu inusuru inchi yetu
Damu ya mtu ni nzito kuliko maji.
Innalillah wain illah rajiun
Hakuwepo hats mgambo jaman?
Naombeni Bendera nusu mlingoti Mungu ailaze roho ya marehu Salama Amin
Siyo panda SEMA PANGA
Afazal maaan nlikua sielew
Innalillah wainna ilaih rajiun
Kazi iendelee
Innalillah wainnalillah ruji,uwn.
đđđdah aisee nouma Sana watu tunaenda wap sie
Congratulation to the channel
Kazi iyendeleee
Kazi yoyote inayo husu haki ya mwanadamu ni ngumu sana ikiwemo police nanyingine kamaizo huwezi kuwa sawa kwa mwanadamu wote kila mtu anajiona sawa hata akiwa na kosa
Ukiuwaa kwaupanga utauliwa kwaupanga au zaidi ya upanga dam yamtu haipotei kirahisi sio maji hayo nilazima alama ibakie sasa muuwaji jiandae
Hatr sna
Jamani tumuogope Mungu!
Poleni sana wafiwa wote
So so sad
Innalilalh wainalilaah rajun đđđđđđ
Naangalia mpka dakika ya 3 sijajua tukio limefanyika mkoa gani. Waandishi wa wasafi Mjitafakari.
Pole Sana familia ya mtendaji inauma Sana
Sawa kimtu ataishi mwisho atakufa 2
Tumuogope mungu jamani sisi wote niwapitaji
Imeniumiza sana nashindwa kulala watu gani hawa jamani wakikamatwa wapigwe tu hata risasi
Mnamuua mwenzenu kweli daaah pumzika mtendaji kiukweli daah nashindwa kulala
Pole sana ,,,mtangazaji Punguza jaziba kwenye Mic
Umegundua ana kitete
Poleni sana wafiwa
Mhđđđ Mungu atalipa
Duh iyo noma
Innalillah wainnalillah rajiuun
Kuna mtu kasika akisema asiongee kuhusu siri zake za kazi
Jamaniđđđđđ
Daah inaumiza
Subhanallah Allah atuhidi dunia imeisha watu wanauwa bila uwaga
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun
Jamani watanzania tumekosa Imani jamani
Innalilah waina ilajiun
Watendaji tuwe makini
Eti usiongee Siri zangu za KAZINI Kunasiri Gani Kwani hiyo inayofichwa..
Hata mimi mwenyewe nimesikia lakini sijaelewa hapo aulizwe vizuri
Hapo ndiyo pamenishangaza pia mimiđ
Mungu atusaidie serikali itafute hao watu wapatikane hii siyo sawa
Sili,mtungi
Inalilah wainailaihi rajighun
Polesana waliopta msiba huo poleni sana
Eee mungu wangu
Kumbe jamaa wamepiga show mchana Duuh đđ
Safi kbs