MAUAJI YA KUTISHA NDANI YA OFISI YA SERIKALI/MTENDAJI AUAWA KINYAMA ASHAMBULIWA KWA PANDA

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 10. 10. 2021
  • WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 459

  • @Awatee
    @Awatee Pƙed 2 lety +11

    Subhana ALLAH tunaishi kwa Rehma zake Allah atuhifadh wanaadam wamekua kam Wanyama kuna muda afadhal ata ya Wanyama Allah atupe mwisho mwema Amiin

  • @mariamaunga3735
    @mariamaunga3735 Pƙed 2 lety +10

    Tunaombaa Toba narehema kwa ajili ya damu ya Kevin iliyomwagika isiyo na hatia Mungu mwenyezi akupokee kamanda wetu. Pumzika kwa amani Kevin Mo

    • @malingazeboss9351
      @malingazeboss9351 Pƙed 2 lety +1

      Watendaji hao ndo waliiba kura kuipa CCM hii ni laana ya kuiba haki ya watanzania,, kwahiyo acha wafe tuuuu

    • @kaundasutikaunda7769
      @kaundasutikaunda7769 Pƙed 2 lety

      @@malingazeboss9351 ww ni mpuuzi sana

    • @mariamaunga3735
      @mariamaunga3735 Pƙed 2 lety

      @@kaundasutikaunda7769 Achana naye wla usipoteze nguvu zako ndugu mwache ajivalishe viatu vya Mungu na kutoa hukumu. Mungu mwenyeWe atasimama katika hili

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 Pƙed 2 lety +6

    Serikali iongeze nguvu zaid katika utendaji WA kazi zao mkilala basi mtasumbuliwa Sana ushauri Tu WA bure .

  • @daawaonlinetv4486
    @daawaonlinetv4486 Pƙed 2 lety +2

    Wanaadamu sikuhizi wamekuwa naroho za kinyama hata wanyama wenyewe wana afadhali. Mwenyezi Mungu atunusuru Wallah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Pƙed 2 lety +4

    Innalillahi wainnaililaihi Raajiuuun dah watu wana Roho za kiunyama sana Mwenyezimungu ajaalie wakamatwe na Wapewe Adhabu kali saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana

  • @majejerashidi7035
    @majejerashidi7035 Pƙed 2 lety +1

    Kwenye maisha kila kitu inabidi ufanye kwa kiasi usije kutengeneza Uadui na watu mungu akupokee ishaalah

  • @marrowog8975
    @marrowog8975 Pƙed 2 lety +47

    Izirail hana kazi ngumu siku iz,
    Huu ni mwisho wa duniani
    Rudi kwa mola wako.

    • @tousihhhh6765
      @tousihhhh6765 Pƙed 2 lety +1

      kabisa ndug yaa mtihan

    • @shadyakimaro3245
      @shadyakimaro3245 Pƙed 2 lety +1

      Kwa kwelii

    • @neemaruben5427
      @neemaruben5427 Pƙed 2 lety +1

      Kbsaa

    • @movietz3394
      @movietz3394 Pƙed 2 lety +3

      Aya matukio yapo toka mwanzo wa dunia ila kumkumbuka mungu ni muhimu kwa muda wowote sio mpaka mwisho wa dunia tu ukumbuke kumludia

    • @marrowog8975
      @marrowog8975 Pƙed 2 lety

      @@movietz3394 ilimradi useme tu au sio?? Hajanielewa tu kama ungenielewa ungekaa kimya.. mimi nakusudia *watu kwa sababu ya kumsahau mumgu ndio wanafanya ayo*

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Pƙed 2 lety +6

    Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi.Aminnn

    • @IBRAHIMELSUBHY
      @IBRAHIMELSUBHY Pƙed 2 lety

      Hatimae aliyeshuhudia mauaji hayaasimulia
      czcams.com/video/mnLFbarJ6nQ/video.html

  • @hajratramadhani3584
    @hajratramadhani3584 Pƙed 2 lety +2

    😭Aisee inauma sana.. allah akupe kauli thabiti damu ya mtu n mtihan

  • @deliriousgentleman7369
    @deliriousgentleman7369 Pƙed 2 lety +54

    Ifike mahal cctv ziwe mandatory kwenye ofisi zote na maeneo ya biashara, inge rahisisha kupata footage za wauwaji 🙏🙏

    • @jessykadaraja2691
      @jessykadaraja2691 Pƙed 2 lety +2

      Serikali haiwezi kuziweka. Unajua kwa Nini?

    • @ibrahimmagere5545
      @ibrahimmagere5545 Pƙed 2 lety +1

      Cctv bila close monitoring ni bure, watu wataficha sura. Nchi za wenzetu ndo hata ukificha uso wanatumia teknolojia na kupata sura halisi

    • @mishikikoti2948
      @mishikikoti2948 Pƙed 2 lety

      @@ibrahimmagere5545 weee kweli

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Pƙed 2 lety

      Kwanza kabla ya hizo CCTV kuwekwa kila mtu hasa mamlaka zitende haki sababu CCTV pekee hazifui dafu

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Pƙed 2 lety

      @@jessykadaraja2691 sijui tujuze

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda7601 Pƙed 2 lety +8

    Mama rais wetu kemea basi hata mauaji yanayotokea kama unavyosisitiza COVID-19

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Pƙed 2 lety +9

    Inalillah wainailahi rajuun. Allah anamlipa zurma ya kilaaina napia watakufatu kivyovyote na Azabu watapewa lnshallah

    • @topranking013
      @topranking013 Pƙed 2 lety

      Bora kukaa kimya tu coz hujui kuna nn nyuma yake ad amefanyiwa ivo

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Pƙed 2 lety

      @@topranking013 kumtoa tu roho hatakama kakufanya kitu mfanye kama alivyokufanya usizidishe kisasi

  • @hawahabibu661
    @hawahabibu661 Pƙed 2 lety +2

    Kila cku mauaji Ee Mungu baba tuhurumie sasahiv watu hawaogop kuua 😭😭Nahix laana ya Magufur inatutafuna toka huyu mama aingie madarakani mauaji yamekuwa Mengi mno na hatuskii hata cku moja mama akikemea hayo mauaji yanayotokea yy na corona bac hayo matukio cjui hayaoni

  • @akidamakida6092
    @akidamakida6092 Pƙed 2 lety +25

    Kama kweli issues inahusiana na migogoro basi ni wakati sasa kwa hawa viongozi wa serikali za mitaaa nchi nzima.. 1 wajiepushe saana na kutoa majibu rahisi, 2 wasifanye migogoro inchukuwe muda mrefu mikononi mwao.. wasiwe ving'ang'anizi.. wakiona issues ni ngumu haraka waidikishe wizarani or mahakamani.. Ila na cc wananchi c busara kutoa uhai wa mtu.. Sehemu sahihi ya kupata haki ni mahakamani kama ukiona uongozi wa mtaa unasuasua.. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala salama.

  • @jacklinefocus812
    @jacklinefocus812 Pƙed 2 lety +18

    Kuna watu hawana huruma kabisa yaan mpaka naogopa kulala 😭😭😭😭😭

  • @rachelthuo494
    @rachelthuo494 Pƙed 2 lety +2

    Ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga ....Mungu kutana Na watu hao waliofanya tukio hili

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 Pƙed 2 lety +4

    mungu amlaze mahala pema peponi 🙏

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Pƙed 2 lety +21

    Viongozi mjitahidi kua waadilifu hakuna marehemu mwenye sifa mbaya

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Pƙed 2 lety +8

    Hakuna marehemu mwenye sifa mbaya, swala tumieni akili kuishi na watu ukiwa Kama kiongozi, ifanyejamii ako kuwa Kama familia ako mungu atakuepusha na haya muda wote,

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 Pƙed 2 lety +2

    Inauma Sana, pia Viongozi wetu tutende haki sahihi kwa watu bila kujali hana kitu au anakitu Pia tushauri Jeshi la police kuwa makini kufundusha jamii na kutenda haki ili twende swahi katika Taifa letu watu wamekuwa na visasi katika miyoni mwao

  • @amosbirusha9851
    @amosbirusha9851 Pƙed 2 lety

    Watendaji mnawindwa,msiwe mnakaribisha wateja bila mgambo,inauma , poleni sana.

  • @jofreymuhema985
    @jofreymuhema985 Pƙed 2 lety

    Nikweri viongozi inatakiwa wawe making maana muaji yamezidi kipimo Kira kunavyokucha nimatukiotu mungu atusaidie tupo wakati mgumu sana mungu airase roho ya marehem mahari pema peponi amen

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 Pƙed 2 lety +5

    Sema huyu Mtangazaji ana sura nzuri 😘

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Pƙed 2 lety +1

    Poleni saan wafiwa
    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Pƙed 2 lety +12

    Mungu saidia hawa waliofanya ili tukio wote wakamatwe.

    • @flova7022
      @flova7022 Pƙed 2 lety

      Na wanyongwe

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 Pƙed 2 lety

      Amiin nawakipatikana nawao watiwe mapanga mpaka wauwawe ukiuA kwaupanga utakufa kwa upanga

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Pƙed 2 lety +3

    Subhan'Allah 😭😭😭

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Pƙed 2 lety +12

    Hao watu watajulikana tu damu ya mtu akwendagi bure . Dah inauma 😭😭

  • @rayaalmamari355
    @rayaalmamari355 Pƙed 2 lety +2

    Subhanallah

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 Pƙed 2 lety +4

    It's more than pain😱😱kweli mauaji ya saa tano asubuhi?duh!mungu yupo wala hajaenda likizo na damu ya mtu haipotei bure

  • @frorencenandy2878
    @frorencenandy2878 Pƙed 2 lety +3

    Inasikitisha saana bora ukutane na mnyama wa mwituni kuliko binadamu ni zaidi ya wanyama poleni saana watanzania wenzangu

  • @helpers10
    @helpers10 Pƙed 2 lety +9

    Migogoro mingi sana ya ardhi inasababishwa na hawa viongozi wa mitaa. Wao ndio wanaotoa hizi deal kwa hawa wadhurumishi ili wapate cha juu. Labda sasa mtajifunza. Kapumnzike kwa Amani.

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Pƙed 2 lety +1

      Kama unajua , vibaka kwenye serekali

    • @magrethmeela2519
      @magrethmeela2519 Pƙed 2 lety

      Mimi nafikiri kutakua na sababu tu. Kwasababu watendaji wanatabia za ajabu sana na wapenda rushwa hatari.

  • @jaliaotien.o6995
    @jaliaotien.o6995 Pƙed 2 lety +4

    Poleni kwa msiba watanzania wote😭😭😭😭

  • @bahatihashimu5780
    @bahatihashimu5780 Pƙed 2 lety +3

    Innalillah wainnalillah Raji'uwn.

  • @Official83640
    @Official83640 Pƙed 2 lety +2

    Subhannallah 😭😭

  • @fadhilajamal217
    @fadhilajamal217 Pƙed 2 lety

    đŸ˜„đŸ˜„đŸ˜„đŸ˜°đŸ˜°đŸ˜°đŸ˜ąđŸ˜ąđŸ˜ąhivi unamchinjajee mtu jmn wat tunakosa hisan kabisa hatumuogopĂŹ mola wetu inaumaa sana jmn inalilah wainalilah rojiun Allah atusaidie

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 Pƙed 2 lety +3

    M/mungu ilazeroho yamarehem mahalipema waliofanya hivo munguatawahukumu atakama alikosea mambo flani haikustahili kufanyiwa hivo

  • @senzotatwaha4132
    @senzotatwaha4132 Pƙed 2 lety

    Mungu ayipunzishe logo ya malehem mahari pema

  • @habibamaguru5883
    @habibamaguru5883 Pƙed 2 lety +5

    Innalilah wainaillah ragiun

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Pƙed 2 lety

    Daah.!! Polen sana wafiw

  • @lyanghongekimwaga8666
    @lyanghongekimwaga8666 Pƙed 2 lety +2

    Kuna kila sababu ya jeshi la polisi kutumia nguvu ya ziada kukomesha haya mauaji ya kinyama yaliyo kisili hapa nchini!

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 Pƙed 2 lety

    SubhanAllah

  • @pendochibwae4982
    @pendochibwae4982 Pƙed 2 lety

    Mungu tusaidie haya majanga tusamehe tuliposababisha adui apate nafasi hivi pole kwa wafiwa

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Pƙed 2 lety +4

    yaaan ukiingia kwenye mtandao tu unapokea vifo vyaukatili had bc😱😱😱😱😱😱😱😱😱

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 Pƙed 2 lety +1

    Innalillahi wainnailayhi rajiuun Tanzania yetu imeingiliwa na ibris gani wa mauaji kila dakika 😭😭yaa Allah tuondolee roho hii ya mauti inayomwaga dam kila kukicha

  • @fransiskammassy6173
    @fransiskammassy6173 Pƙed 2 lety

    Mungu saidia aya mauaji yanayotokea mara kwa mara yasiyo na hatia ...

  • @sadahamis174
    @sadahamis174 Pƙed 2 lety

    inna lilah wainna ilahi rajiun pumzika kwaamani kaka etu mungu atawadhalilisha 2

  • @jackson5866
    @jackson5866 Pƙed 2 lety

    viongoz wetu tatzo hawatoi haki kistahiki kwa kila mtu wanapenda Sana rushwa

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 Pƙed 2 lety

    Mm nmewah kuwa k/Afisa mtendaj kijij huko nyumban Tabora.
    Hii kazi ina majarbu mengi sana. Kama huna hekima&busara ukatumia elimu tyu ya darasan mmnh hii kazi ngumu.anyways polen wafiwa

  • @yusuphkisoma7669
    @yusuphkisoma7669 Pƙed 2 lety +1

    Sisi sote ni wa mungu na kwake tunarejea

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Pƙed 2 lety +2

    Subhanaallah

    • @modestersalmon7764
      @modestersalmon7764 Pƙed 2 lety

      SEMA watendaji mbona anakuwepo mgambo jaman mpaka wanamkuta peke take! Da

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Pƙed 2 lety +1

    Tafuteni chanzo tatizo zulma nyingi hao Wana jifanya ma mungu watu ndo shida

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 Pƙed 2 lety +2

    Tatzoo izii office za kata kuna mdaa wanashirk v2 ambavyoo vinawaleteaa shdaa badae

  • @gradnessshitindishitindi4881

    Duuuuh nmelia kwa kwel, juzi yenyew nlkuwa hom kumuona babaangu jaman kapigwa vbaya mno, maana yeye baba n mwenyekit wa kitongoji nyie nilie kwanza nmalzie stor,,, ila uongozi huuu duuuh Mungu ndo anaejua kdg babaangu apoteze uhai wahuska wamekimbia

  • @johnchale1073
    @johnchale1073 Pƙed 2 lety +1

    Heli maisha yakutokuwa na pesa ya magu kuliko uwe na pesa lundo alafu hali inakuwa hivi,dah!!!

  • @bintmohamedmalevi3771
    @bintmohamedmalevi3771 Pƙed 2 lety +1

    Inna lillah wainna ilayh rajiun.

  • @happyjohn5882
    @happyjohn5882 Pƙed 2 lety +3

    Duuh Mungu wangu wa mbingunii eeh turehem waja wako,,,

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf Pƙed 6 měsĂ­ci

    Kwakweli inasikitisha na inauma sana yaani mpaka inaogopesha naona kama amani haipo tena nchi hii MUNGU tunusuru kwa haya

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 Pƙed 2 lety

    Dah ndo TZ yasasa,, poleni Sana

  • @thomaskeya5488
    @thomaskeya5488 Pƙed 2 lety

    Jmn.mungu inusuru inchi yetu

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Pƙed 2 lety +15

    Damu ya mtu ni nzito kuliko maji.

  • @nurahyusuph9771
    @nurahyusuph9771 Pƙed 2 lety +3

    Innalillah wain illah rajiun

  • @omarimbarakamikidadi1314
    @omarimbarakamikidadi1314 Pƙed 2 lety +1

    Naombeni Bendera nusu mlingoti Mungu ailaze roho ya marehu Salama Amin

  • @mochepa9191
    @mochepa9191 Pƙed 2 lety +4

    Siyo panda SEMA PANGA

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Pƙed 2 lety +1

    Innalillah wainna ilaih rajiun

  • @nehemiamagaho9124
    @nehemiamagaho9124 Pƙed 2 lety

    Kazi iendelee

  • @abachishirima9166
    @abachishirima9166 Pƙed 2 lety

    Innalillah wainnalillah ruji,uwn.

  • @mmassadieudonnengomoya8607
    @mmassadieudonnengomoya8607 Pƙed 2 lety +1

    😭😭😭dah aisee nouma Sana watu tunaenda wap sie

  • @ramadhanikingi3553
    @ramadhanikingi3553 Pƙed 2 lety

    Congratulation to the channel

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 Pƙed 2 lety

    Kazi iyendeleee

  • @edinawilliam2943
    @edinawilliam2943 Pƙed 2 lety +1

    Kazi yoyote inayo husu haki ya mwanadamu ni ngumu sana ikiwemo police nanyingine kamaizo huwezi kuwa sawa kwa mwanadamu wote kila mtu anajiona sawa hata akiwa na kosa

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 Pƙed 2 lety +1

    Ukiuwaa kwaupanga utauliwa kwaupanga au zaidi ya upanga dam yamtu haipotei kirahisi sio maji hayo nilazima alama ibakie sasa muuwaji jiandae

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 Pƙed 2 lety +1

    Hatr sna

  • @mathewkuya9340
    @mathewkuya9340 Pƙed 2 lety

    Jamani tumuogope Mungu!

  • @pascalinapetro3732
    @pascalinapetro3732 Pƙed 2 lety

    Poleni sana wafiwa wote

  • @marianhaha9012
    @marianhaha9012 Pƙed 2 lety +6

    So so sad

  • @sadikikimaro4571
    @sadikikimaro4571 Pƙed 2 lety +4

    Innalilalh wainalilaah rajun 😭😭😭😭😭😭

  • @michaelmwalupale3354
    @michaelmwalupale3354 Pƙed 2 lety

    Naangalia mpka dakika ya 3 sijajua tukio limefanyika mkoa gani. Waandishi wa wasafi Mjitafakari.

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 Pƙed 2 lety +4

    Pole Sana familia ya mtendaji inauma Sana

  • @neemajoseph1821
    @neemajoseph1821 Pƙed rokem

    Tumuogope mungu jamani sisi wote niwapitaji

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 Pƙed 2 lety

    Imeniumiza sana nashindwa kulala watu gani hawa jamani wakikamatwa wapigwe tu hata risasi
    Mnamuua mwenzenu kweli daaah pumzika mtendaji kiukweli daah nashindwa kulala

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Pƙed 2 lety +6

    Pole sana ,,,mtangazaji Punguza jaziba kwenye Mic

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Pƙed 2 lety +2

    Poleni sana wafiwa

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 Pƙed 2 lety

    Mh😭😭😭 Mungu atalipa

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS Pƙed 2 lety

    Duh iyo noma

  • @ziadakisanga1011
    @ziadakisanga1011 Pƙed 2 lety

    Innalillah wainnalillah rajiuun

  • @b-creative4662
    @b-creative4662 Pƙed 2 lety +6

    Kuna mtu kasika akisema asiongee kuhusu siri zake za kazi

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Pƙed 2 lety +3

    Jamani😭😭😭😭😭

  • @nahyanasib3950
    @nahyanasib3950 Pƙed 2 lety

    Daah inaumiza

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 Pƙed 2 lety

    Subhanallah Allah atuhidi dunia imeisha watu wanauwa bila uwaga

  • @mwanaally3236
    @mwanaally3236 Pƙed 2 lety

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun

  • @abuubakari4092
    @abuubakari4092 Pƙed 2 lety +1

    Jamani watanzania tumekosa Imani jamani

  • @hamisijuma8349
    @hamisijuma8349 Pƙed 2 lety

    Innalilah waina ilajiun

  • @loysamwel6308
    @loysamwel6308 Pƙed 2 lety +4

    Watendaji tuwe makini

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 Pƙed 2 lety +2

    Eti usiongee Siri zangu za KAZINI Kunasiri Gani Kwani hiyo inayofichwa..

    • @mussahussein183
      @mussahussein183 Pƙed 2 lety +1

      Hata mimi mwenyewe nimesikia lakini sijaelewa hapo aulizwe vizuri

    • @rukiakhamsin9220
      @rukiakhamsin9220 Pƙed 2 lety

      Hapo ndiyo pamenishangaza pia mimi🙄

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 Pƙed 2 lety

    Mungu atusaidie serikali itafute hao watu wapatikane hii siyo sawa

  • @abdallahbedui5886
    @abdallahbedui5886 Pƙed 2 lety +2

    Inalilah wainailaihi rajighun

  • @kidekidevula8930
    @kidekidevula8930 Pƙed 2 lety

    Polesana waliopta msiba huo poleni sana

  • @hgcbj635
    @hgcbj635 Pƙed 2 lety

    Eee mungu wangu

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 Pƙed 2 lety +1

    Kumbe jamaa wamepiga show mchana Duuh 😭😭

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Pƙed 2 lety

    Safi kbs