SUMAYE ALIVYOSHIRIKI MFANYABIASHARA KUDHULUMIWA FEDHA ZAKE...PART 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 12. 2019
  • DON'T MISS "VITUKO VYA MORRISON NJE YA UWANJA NA NDANI YA UWANJA"
    • Video -~-
    #jamvionlinetv
    SUMAYE ALIVYOSHIRIKI MFANYABIASHARA KUDHULUMIWA FEDHA ZAKE ..PART 1

Komentáře • 41

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or Před 5 dny

    Peter tall.
    Big man .
    Basketball player.
    Salute too you brother

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 Před 4 lety +1

    Ngoshaa umetisha...

  • @issayahyaally2572
    @issayahyaally2572 Před 4 lety +1

    Ooh cjaelewa kitu jamani mb zangu mimi..

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 Před 4 lety +3

    Ukisubiri viatu vya marehem utatembea pekiwa muda mrefu sana

    • @africa7479
      @africa7479 Před 4 lety

      Imma Mlowe hahaha

    • @antonmarwa2626
      @antonmarwa2626 Před 4 lety

      Usiulize maswali ya kumrudisha nyuma mtu anayejieleza. Tumie nano mmmh! Ili atiririke na maelezo.

  • @bishopmosesmagadula7572

    MBONA HAPO SUMAYE NDIO ALIWASAIDIA SHIDA NINI TENA HAPO..

  • @andrewlimbe-vo8tg
    @andrewlimbe-vo8tg Před rokem

    Mtangazaji upeo wko mdg mbona unauliza maswali ya kitoto hivyo sio fani yko nn,,,

  • @nyambwirobakari9436
    @nyambwirobakari9436 Před 4 lety +4

    Muache aeleze sio unamuuliza maswali katikati ya maelezo yake.

    • @simonringo4701
      @simonringo4701 Před 4 lety

      Yaan mtangazaji anazuia mtiririko wa story kwa maswali yasiyo na sababu!

    • @simonringo4701
      @simonringo4701 Před 4 lety

      Yaan mtangazaji anazuia mtiririko wa story kwa maswali yasiyo na sababu!

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety +1

    mzee ningekwambia nikopeshe ungekataa unakopesha umesahau wahenga walisema usione wazee ukadhani wote wana busara wengine hawana busara

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Před 4 lety +5

    Nenda mahakamani toa pumba ulikuwa wap siku zote

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Před 4 lety

    Umepewa kampuni bure bado mmeshindwa.

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Před 4 lety

    We toka muda wooote ulikua kimyaa. Sasa ushahidi unao nenda kwenye SHERIA.

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 4 lety

    Kwa nini hukwenda mahakamani pindi ulipofanyiwa hivo ,,,Mwenzio Sasa hivi anatapatapa Mara chadema Mara kaacha siasa

  • @silvestermakata400
    @silvestermakata400 Před 4 lety +2

    Haki aipotei itachelea pole ana

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 Před 4 lety +3

    Umetumwa na chadema au

    • @kaminyogemwachelwa9884
      @kaminyogemwachelwa9884 Před 4 lety

      Imma Mlowe duu unawachukia chadema hadi watu wanadhulumiwa unafurahi....WEWE KWA AKILI.YAKO JAMVI INAWEZA TUMIKA NA CHADEMA WAKATI YA MUSIBA

  • @sss3s867
    @sss3s867 Před 4 lety

    27mil upate faida ya 75%faida. Wwe. Hio ilikuwa no ribs sio faida. Nenda mahalamani ukadai haki zako za hapa duniani.

  • @sagudanicasnicas2660
    @sagudanicasnicas2660 Před 4 lety +1

    Sijalielewa hili jamaa

  • @kwezifundikira2072
    @kwezifundikira2072 Před 4 lety

    Mtangazaji mwenyewe hana sifa

  • @jogoishamba2746
    @jogoishamba2746 Před 4 lety

    Mtangazaji kwanini usianze kumruhusu mgeni wako ajitambulishe yeye ni nani na anafanya kazi gani. Tunahitaji kumfaham yeye na shughuli zake ndipo tutaweza kuappreciate story yake. Sasa wewe moja kwa moja unauliza kilichomleta. Pili, don’t try to tell the story by yourself acha mgeni ajielezee story yake mwenyewe. Najua unaweza ukawa umeongea nae kabla lakini pretend hujui chochote

  • @sagudanicasnicas2660
    @sagudanicasnicas2660 Před 4 lety

    Pamoja na kichwa cha habari hakieleweki

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Před 4 lety

    Chozi la Mzee liko mbaliii analizuia macho yanaonesha.

  • @piushappyness226
    @piushappyness226 Před 4 lety +4

    Alivyokuwa chadema ulikuwa kimya Leo domo linakutanuka kama shimo la.choo nenda mahakamani

  • @maulidimtondoo4555
    @maulidimtondoo4555 Před 4 lety

    Mhhhhhhhhhhhhh nikuwaachia wenyewee mtakua na majibuu

  • @vijanafurniture1810
    @vijanafurniture1810 Před rokem

    Hivi wewe mzee na umri wako wote unawezaje kukopesha mtu kwa kutarajia faida ya 75% uliwahi kuona wapi ongezeko kama hilo. Haiwezekani hata siku moja

  • @kiatu
    @kiatu Před 4 lety +1

    Magufuli, kikomo cha matajiri fake.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 4 lety

    Ww jamaa hata husomek

  • @farumosix9383
    @farumosix9383 Před 4 lety

    Mwandishi kiiyo

  • @lucasilabowa1193
    @lucasilabowa1193 Před 4 lety

    Ikiwemo haki ya MTU apewe Lakini kama kiongozi mstaafu huwezi kukosa lawama nfio maana Mwl nyerere aliomba msamaha alipokuwa anaacjia madaraka 1985 akisema huenda alikosa AMA KWA KUTOKUJUA,KUSHAURIWA VIBAYA .........MAN MAY DO MISTAKE BY CHANCE
    SUMAYE SI MUNGU NA SI MALAIKA MTAKATIFU

  • @paullwangili2235
    @paullwangili2235 Před 4 lety

    sumaye alivyoshiriki kudhulumu mwekezaji

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 4 lety +1

    Huyu jamaa kapata wapi hela kama hajaiba?

    • @saidmbanga2867
      @saidmbanga2867 Před 4 lety +1

      Moses Macha hlo sio suala lako

    • @godwinmpazi1560
      @godwinmpazi1560 Před 4 lety

      We jamaa acha mambo ya kinyalu mbona mshamba mshamba hivi wewe!!Au ndo nyie mkikutana na mtu huwa mnauliza hivi we NKILISTO au NSLAMU

  • @reenaroy1968
    @reenaroy1968 Před 4 lety

    Pius happyness hapo SS tutasikia mengi mbona alivyokua chadema ujasema? zee Zima......