DON'T MISS "VITUKO VYA MORRISON NJE YA UWANJA NA NDANI YA UWANJA" • Video -~- #jamvionlinetv SUMAYE ALIVYOSHIRIKI MFANYABIASHARA KUDHULUMIWA FEDHA ZAKE ..PART 1
Mtangazaji kwanini usianze kumruhusu mgeni wako ajitambulishe yeye ni nani na anafanya kazi gani. Tunahitaji kumfaham yeye na shughuli zake ndipo tutaweza kuappreciate story yake. Sasa wewe moja kwa moja unauliza kilichomleta. Pili, don’t try to tell the story by yourself acha mgeni ajielezee story yake mwenyewe. Najua unaweza ukawa umeongea nae kabla lakini pretend hujui chochote
Ikiwemo haki ya MTU apewe Lakini kama kiongozi mstaafu huwezi kukosa lawama nfio maana Mwl nyerere aliomba msamaha alipokuwa anaacjia madaraka 1985 akisema huenda alikosa AMA KWA KUTOKUJUA,KUSHAURIWA VIBAYA .........MAN MAY DO MISTAKE BY CHANCE SUMAYE SI MUNGU NA SI MALAIKA MTAKATIFU
Peter tall.
Big man .
Basketball player.
Salute too you brother
Ngoshaa umetisha...
Ooh cjaelewa kitu jamani mb zangu mimi..
Ukisubiri viatu vya marehem utatembea pekiwa muda mrefu sana
Imma Mlowe hahaha
Usiulize maswali ya kumrudisha nyuma mtu anayejieleza. Tumie nano mmmh! Ili atiririke na maelezo.
MBONA HAPO SUMAYE NDIO ALIWASAIDIA SHIDA NINI TENA HAPO..
Mtangazaji upeo wko mdg mbona unauliza maswali ya kitoto hivyo sio fani yko nn,,,
Muache aeleze sio unamuuliza maswali katikati ya maelezo yake.
Yaan mtangazaji anazuia mtiririko wa story kwa maswali yasiyo na sababu!
Yaan mtangazaji anazuia mtiririko wa story kwa maswali yasiyo na sababu!
mzee ningekwambia nikopeshe ungekataa unakopesha umesahau wahenga walisema usione wazee ukadhani wote wana busara wengine hawana busara
Nenda mahakamani toa pumba ulikuwa wap siku zote
Umepewa kampuni bure bado mmeshindwa.
We toka muda wooote ulikua kimyaa. Sasa ushahidi unao nenda kwenye SHERIA.
Kwa nini hukwenda mahakamani pindi ulipofanyiwa hivo ,,,Mwenzio Sasa hivi anatapatapa Mara chadema Mara kaacha siasa
Haki aipotei itachelea pole ana
Umetumwa na chadema au
Imma Mlowe duu unawachukia chadema hadi watu wanadhulumiwa unafurahi....WEWE KWA AKILI.YAKO JAMVI INAWEZA TUMIKA NA CHADEMA WAKATI YA MUSIBA
27mil upate faida ya 75%faida. Wwe. Hio ilikuwa no ribs sio faida. Nenda mahalamani ukadai haki zako za hapa duniani.
Sijalielewa hili jamaa
Mtangazaji mwenyewe hana sifa
Mtangazaji kwanini usianze kumruhusu mgeni wako ajitambulishe yeye ni nani na anafanya kazi gani. Tunahitaji kumfaham yeye na shughuli zake ndipo tutaweza kuappreciate story yake. Sasa wewe moja kwa moja unauliza kilichomleta. Pili, don’t try to tell the story by yourself acha mgeni ajielezee story yake mwenyewe. Najua unaweza ukawa umeongea nae kabla lakini pretend hujui chochote
Pamoja na kichwa cha habari hakieleweki
Chozi la Mzee liko mbaliii analizuia macho yanaonesha.
Alivyokuwa chadema ulikuwa kimya Leo domo linakutanuka kama shimo la.choo nenda mahakamani
Alikuwa chadema kabla hajawa CCM ?
Mhhhhhhhhhhhhh nikuwaachia wenyewee mtakua na majibuu
Hivi wewe mzee na umri wako wote unawezaje kukopesha mtu kwa kutarajia faida ya 75% uliwahi kuona wapi ongezeko kama hilo. Haiwezekani hata siku moja
Magufuli, kikomo cha matajiri fake.
Ww jamaa hata husomek
Mwandishi kiiyo
Ikiwemo haki ya MTU apewe Lakini kama kiongozi mstaafu huwezi kukosa lawama nfio maana Mwl nyerere aliomba msamaha alipokuwa anaacjia madaraka 1985 akisema huenda alikosa AMA KWA KUTOKUJUA,KUSHAURIWA VIBAYA .........MAN MAY DO MISTAKE BY CHANCE
SUMAYE SI MUNGU NA SI MALAIKA MTAKATIFU
sumaye alivyoshiriki kudhulumu mwekezaji
Huyu jamaa kapata wapi hela kama hajaiba?
Moses Macha hlo sio suala lako
We jamaa acha mambo ya kinyalu mbona mshamba mshamba hivi wewe!!Au ndo nyie mkikutana na mtu huwa mnauliza hivi we NKILISTO au NSLAMU
Pius happyness hapo SS tutasikia mengi mbona alivyokua chadema ujasema? zee Zima......
hii ni pumba aende mahakamani si kufanya siasa za kijinga
Mwandishi kimeo kwa maswali yake
Ana lesen ya biashara ya kukopesha au hana?