EXCLUSIVE: MJUE MWIGULU NCHEMBA"WAZIRI wa FEDHA" MAISHA YAKE na UNYONYAJI SEREKARINI" SIIPENDI TZ
Vložit
- čas přidán 26. 02. 2024
- Tumekuandalia Makala YA MWIGULU LAMECK NCHEMBA WAZIRI wa FEDHA Nchini Tanzania
Mambo Yote kuhusu Maisha Yake binafsi KUANZIA utoto mpaka Kuitwa Mheshimiwa vimetajwa Hapo ,Na Kuna Exclusive Kuna video Tumeiweka DKT ; MWIGULU aliwahi kutamka kuwa Hakuwai kuipenda Tanzania
kutokana na video hiyo imeleta taharuki Sana Kwa watu hivyo na ww Itazame Ujue na nini mawazo yako kupitia hicho alichokisema Mheshimiwa MWIGULU NCHEMBA
#alhamdulillah #cloudsmedia #dullysantz #efm #exclusive #history #millardayo #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia - Zábava
HUYU MWIGULU ANA ROHO NZURISANA BASITU SASA KUMFIKIA NIKAZI KUBWA ANA MAJUKUMU MENGI SANA!
Huyo ndie mrithi wa Samia wakubali wakatae ndio hivyo wajipange wahima na wapambe wao wanjisumbuwa bure
Ooohh🥺 kumbe!!
Limekaa Kaa kama layman , Kaa halijasoma hatq likitoa hoja Linashindwa na mh. Msukuma , sijui lilisoma PhD ya uchawa?
Hakuna anaemtaka Mwigulu Mchemba mwizi sanaaaa
Margarethpolepole Mwigulu amekukosea wapi tena😂
Hafai mjivuni ana dharau mwizi
Limekaa Kaa kama layman , Kaa halijasoma hatq likitoa hoja Linashindwa na mh. Msukuma , sijui lilisoma PhD ya uchawa?
Jinga jinga hata ukiliangalia sura imekaa kama member jizi la Kijiji Fulani kule kwetu lbungila....
Kumbe hili ni jambazi muda mrefu ona lilivo na mironjo mirefu😂
😅😅😅😅
Chawaa
😂😂
Tapeli huyo
😂😂
Sjawai kumuelewa uyo mwamba
Sababu?
jizi kubwa hilo linafilisi nchi mla punda huyo ameiangamiza Taifa
😂😂😂😂
Fisadi mkubwa huyu
😂😂
Nimjue mwogulu inisaidie nini mjue wewe
Anafaa ,kila mtu atakula urefu wa kamba yake
😂😂😂
Kwahiyo kamba yake ndio kutuibia Sisi watz?
Kapambana, mpaka katoboa😂
Maisha n kupambana
Tukujue wa nini mshamba wewe
Usiwe na hasira Huyu ndio kiongozi wako
Unajuaje atafika 2025
Tungoje tamko Rasmi😊
@@Santzmedia by the way He is such a brave!
Hadi mwaka 2025??? Khaaaaaa
😥
Anamiliki mabasi ya Esthter mulizeni kapata wapi?
😂😂😂
One of the feliyer finince minister in Tanzania never happened since only stick on position because of hideni agenda behind curtains
😂
Andika kwa kiswahili, English yako mbovu mno
Uyu mla punda katoka maisha magumu sn ndio maana mwizi, nashaur viongoz wawe wanaangaliwa family background hawa waliotoka maisha magum waachwe, ndio maana marekan wanaangalia sn uchumi wamgombea
😂😂😂
Kivipi