Kufahamu historia ya huyu MAJALIWA ni safi kabisa , Mtendaji MAKINI , asiye na matambo , mkweli , anayejali haki za watu ,mwalimu mtaalaam wa UALIMU , Mwenye HURUMA na sifa nzuri LUKUKI . Ni tofauti na wengine wanaolazimisha wapate sifa nzuri ambazo hawafanani nazo .
Nampenda sana majaliwa,utendaji wake wa kazi ulivyokuwa hapo nwanzo, na wrote tulimheshimu sana kwa kauli zake thabiti, mambo hayaendi siku zote unavyotaka.Mungu ambariki
Upuuzi sana! Historia huwa haipo hivyo! mambo mengi huyajui! umepitisha juu juu tu! eti ana watoto wala hata idadi hujasema! eti alikuwa Katibu wa chama cha walimu wa mkoa hujataja ni mkoa gani! kwa ufupi hujui kitu chochote!🤷
Kufahamu historia ya huyu MAJALIWA ni safi kabisa , Mtendaji MAKINI , asiye na matambo , mkweli , anayejali haki za watu ,mwalimu mtaalaam wa UALIMU , Mwenye HURUMA na sifa nzuri LUKUKI . Ni tofauti na wengine wanaolazimisha wapate sifa nzuri ambazo hawafanani nazo .
Nampenda sana majaliwa,utendaji wake wa kazi ulivyokuwa hapo nwanzo, na wrote tulimheshimu sana kwa kauli zake thabiti, mambo hayaendi siku zote unavyotaka.Mungu ambariki
Ubarkiwe na mwenyez Mungu nakuombea kwa utendaji wako makini nipo Kahama shinyanga
Hapo shemeji yangu pa kuwa timu simba nimekupenda hiyo aina jina.Simba hoyoooo❤❤❤👍👍
Safi sana
Transparency and realistic responsible person.
Safi saaaaana.❤ ✔️🇹🇿
Waziri mkuu hongera Kwa wasifu wako mzuri usiokinzana na utendaji KAZI wako.... Endelea kuwaongoza vyema mawaziri wako
EATV Stay blessed!
Siwezi lazimisha nyekundu kua nyeusi majaliwa kiongozi
mwana kaigo mwenzangu 🥰🥰🥰🥰
Ni kweli, tukipiga kitabu Kigonsera pamoja miaka hiyo.
Unafaa mxee kuwa rais wetu baba nakuombea
safi sana
Namkubari majaliwa agombee urais 2025
Upuuzi sana! Historia huwa haipo hivyo! mambo mengi huyajui! umepitisha juu juu tu! eti ana watoto wala hata idadi hujasema! eti alikuwa Katibu wa chama cha walimu wa mkoa hujataja ni mkoa gani! kwa ufupi hujui kitu chochote!🤷
We acha kudanganya
Tulifanya utafit kabla ya kuipost
Ulicho sema toa ushaidi wako wa kile ulicho sema
Nandagala moja a.k.a mnacho
Sasa apewe nafasi ya kuwa RAIS wa NCHI yetu ya Tanzania maana anafaa kwa UONGOZI.
Safi sana
Unajitambua kweli wewe.historia inasomwa hivyo kweli jana .hebu waachieni waandiahi habari Kazi yao
Kipi kilicho kosewa hapo
Fafanua