Historia. Ya Kassim Majaliwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #waziri #mkuu #watanzania #usikutv #kassim_Majaliwq

Komentáře • 24

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před 2 měsíci +3

    Kufahamu historia ya huyu MAJALIWA ni safi kabisa , Mtendaji MAKINI , asiye na matambo , mkweli , anayejali haki za watu ,mwalimu mtaalaam wa UALIMU , Mwenye HURUMA na sifa nzuri LUKUKI . Ni tofauti na wengine wanaolazimisha wapate sifa nzuri ambazo hawafanani nazo .

  • @paulhando6286
    @paulhando6286 Před rokem +3

    Nampenda sana majaliwa,utendaji wake wa kazi ulivyokuwa hapo nwanzo, na wrote tulimheshimu sana kwa kauli zake thabiti, mambo hayaendi siku zote unavyotaka.Mungu ambariki

  • @user-cv1ye7sx2d
    @user-cv1ye7sx2d Před 11 měsíci +1

    Ubarkiwe na mwenyez Mungu nakuombea kwa utendaji wako makini nipo Kahama shinyanga

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 11 měsíci +1

    Hapo shemeji yangu pa kuwa timu simba nimekupenda hiyo aina jina.Simba hoyoooo❤❤❤👍👍

  • @Kainga47
    @Kainga47 Před 3 měsíci +3

    Safi sana

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před měsícem +1

    Transparency and realistic responsible person.

  • @AbigailBateyunga
    @AbigailBateyunga Před rokem +2

    Safi saaaaana.❤ ✔️🇹🇿

  • @MashaSayi-ui7dz
    @MashaSayi-ui7dz Před 11 měsíci +1

    Waziri mkuu hongera Kwa wasifu wako mzuri usiokinzana na utendaji KAZI wako.... Endelea kuwaongoza vyema mawaziri wako

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 20 dny +1

    Siwezi lazimisha nyekundu kua nyeusi majaliwa kiongozi

  • @mann9460
    @mann9460 Před rokem +2

    mwana kaigo mwenzangu 🥰🥰🥰🥰

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před rokem +1

    Unafaa mxee kuwa rais wetu baba nakuombea

  • @isamony58
    @isamony58 Před rokem +1

    safi sana

  • @CharlesMembo
    @CharlesMembo Před 11 měsíci +1

    Namkubari majaliwa agombee urais 2025

  • @nickjuma6020
    @nickjuma6020 Před rokem

    Upuuzi sana! Historia huwa haipo hivyo! mambo mengi huyajui! umepitisha juu juu tu! eti ana watoto wala hata idadi hujasema! eti alikuwa Katibu wa chama cha walimu wa mkoa hujataja ni mkoa gani! kwa ufupi hujui kitu chochote!🤷

    • @USIKUTV
      @USIKUTV  Před rokem

      We acha kudanganya

    • @USIKUTV
      @USIKUTV  Před rokem +1

      Tulifanya utafit kabla ya kuipost
      Ulicho sema toa ushaidi wako wa kile ulicho sema

  • @anraneamisse9243
    @anraneamisse9243 Před měsícem +1

    Nandagala moja a.k.a mnacho

  • @ghuhenjasper8666
    @ghuhenjasper8666 Před 10 měsíci +1

    Sasa apewe nafasi ya kuwa RAIS wa NCHI yetu ya Tanzania maana anafaa kwa UONGOZI.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před rokem +1

    Safi sana

  • @RaymondMahundi
    @RaymondMahundi Před 2 měsíci

    Unajitambua kweli wewe.historia inasomwa hivyo kweli jana .hebu waachieni waandiahi habari Kazi yao