Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 109

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 Před 17 dny +6

    Mzee Mohammed Said Aksante sana kwa historia hii ya tanganyika.
    MwenyeziMungu akuzidishie kila la heri inshaallah.

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 Před 14 dny +5

    Huu Umaskini wa Tanzania hakika Umejengwa na Wakoloni😢😢 Asante sn Mzee kufunua Ukweli❤❤❤

    • @sendisteve7981
      @sendisteve7981 Před 7 dny

      Mimi kwa ufahamu wangu watanganyika wengi hawakuwa na elimu hiyo ya darasa la 10.

  • @KHALIDKIRAMA-iq6en
    @KHALIDKIRAMA-iq6en Před 16 dny +7

    Waislamu ndio walihusika pakubwa kuipigania uhuru wa nchi hii, lakini baadae Nyerere akawageuka

    • @danielmarwa5122
      @danielmarwa5122 Před 5 dny

      Aliwageuka vipi waliotakiwa kulalamika walipaswa kuwa wakristo ambao walitaofishiwa shule na taasisi nyingine ili waislamu wapare elimu
      Shida ya waislamu no kuwa na udini uliopitiliza ndiyo maana nchi karibu zote za kiislamu zima migogoro

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 Před dnem

      Kweli kabisa maneno yako mzee, na walikuwa hawataki wa Islam wasome walikuwa wana wabaguwa. Hasbiya Allah wani'mal wakiil kwa kila dhalim mpaka siku ya qiyama

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Před 8 dny +2

    Ndugu zangu Watanzania mzee wetu tumsikize lkn tusijeingia kwenye vita vya Udini NChini mwetu

  • @duliz2002
    @duliz2002 Před 15 dny +1

    Subhanallah maneno ya sheikh Takadiri yamesadif kweli, Allah akuhifadhi baba kwa kututoa taka ama kweli historia ilifichwa subhannah

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 17 dny +6

    Wallah nina kiu ya kumsikiliza huyu bwana neno kwa neno.ananikumbusha shekhe wetu ilunga allah amrehemu huko alipo.

    • @sheikhanasser4714
      @sheikhanasser4714 Před 15 dny

      Allahuma Aameen 🤲
      Allah andika kwa herufi kubwa Allah Shukran

  • @platotaurus2301
    @platotaurus2301 Před 18 dny +9

    Hii simulizi imenisisimua sana wallah. Dah!! Kumbe history tuliyopewa ni uwongo mtupu.😢😢😢😢😢
    Dah!! Nahitaji mawasiliano ya huyu na vitabu vyake niketi kusoma kabisa

    • @yohanajoseph-w2u
      @yohanajoseph-w2u Před 17 dny +1

      Una uhakika upi kama hii ni ya kweli?

    • @platotaurus2301
      @platotaurus2301 Před 17 dny

      @@yohanajoseph-w2u we mkundu nn, nn kinakwambia history uliyofundishwa ni ya ukweli?

    • @suleymandachi782
      @suleymandachi782 Před 17 dny +3

      Anavyohadithia huyu ndiyo wazee wengi wa Tabora walikuwa wanaihadithia tena mwaka 1972 hadi 77 TANU ilivyo badili na kuungana na ASP tulihadithiwa sana history ya Zanzibar na Tanganyika ambazo kuna mengi yalifunikwa na historia mpya

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 17 dny +1

      ​@@platotaurus2301Ni kweli huyu ni mkundu,namfahamu.

    • @majaliwamussa9268
      @majaliwamussa9268 Před 16 dny +2

      Historia nyingi huko nyuma imefumbwa

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Před 16 dny +4

    Mzee Mohamad Said Allah akuhifadhi

  • @KHALIDKIRAMA-iq6en
    @KHALIDKIRAMA-iq6en Před 16 dny +4

    Nyerere huko Kwa MUNGU ni kama namuona, eti baba wa taifa

    • @user-td8yy6hc8n
      @user-td8yy6hc8n Před 12 dny

      Jamani kwenye vikao yanayozingatiwa ni mahitimisho au makubaliano ya mwisho ya kikao husika. Sasa ndugu unataka historia iandikwe eti waligombana, wakapigana, wengine wakalia hii sio sawa. Na huyu mzee katika maelezo yake ametaja kuwa mwalimu aliwauliza kama maoni ya yule mzee wa bakora yalikuwa maoni ya wanakamati wote wakajibu "hapana" tatizo liko wapi? Wengi wape, yeye alikuwa mmoja na wenzake wachache

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 17 dny +3

    Asalaam aleykum.mbona kama haya mazungumzo umeyaka pakubwa?wallah huyu bwana ameleta habar kubwa sana kabisa.😂😂

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Před 2 dny +1

    waengereza ndiyo walotumaliza duuuu

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 18 dny +17

    Nyerere alikua Adui na wenziwe waengereza😢laana inamtafuna

  • @abdallahkaggy1452
    @abdallahkaggy1452 Před 18 dny +3

    Tanzania ni Tangaa
    Tanga ni Tanzaniaa

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před 17 dny +2

    Mara ya mwisho Mzee Pacha na Mzee Ndugulile toka Nzega 1984 walikuwa Wajumbe Jumiiya ya Wazazi Mkoa nilikwepo na sàsa Nipo

  • @195941233
    @195941233 Před 17 dny +2

    Mbona hiyo ni dhahiri. Nyerere aliikuta TAA. Kilikuja badilishwa nakuitwa TANU ili kukabiliana changamoto za kudai uhuru wa Tanganyika.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 18 dny +4

    Daaaaaa kweli historia ya kusisimuwa.

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před 18 dny +8

    Mm na aamini mwalimu Nyerere hakuanzisha chama cha TANU kwasababu haiwezekani chama cha TAA kilizaliwa mwaka 1929 na Nyerere amezaliwa 1922 haiwezikani mtoto wa miaka sita aanzishe chama . Nyerere aliikuta TAA na mwaka 1954 Tanu ilianzishwa akibadili jina kuto taa . Nyerere alikaribishwa tuu.

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 17 dny +2

    Shekh mwenye hii chanel tafandali tuwekee kwa ukamiliifu mwahojiano yako na huyu bwana,tafadhali sana.

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 Před 17 dny +2

    Mzee wetu kuna historia ya mkapa tungeomba tupewe

  • @islamsultan8563
    @islamsultan8563 Před 17 dny +3

    Tafadhali tafadhali naomba msaada nimekitafuta sana icho kitabu cha Abduly saksi kwa ghalama yoyote nimekitafuta maktaba zote sijakipata

    • @alijuma7882
      @alijuma7882 Před 17 dny +4

      Kinapatikana msikiti wa manyema dares salaam kuna maduka ya vitabu
      Copy ya kiingereza nafikiri na ya kiswahili

    • @islamsultan8563
      @islamsultan8563 Před 16 dny +1

      Asante sana nashukuru nitaenda kukitafuta

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 Před 5 dny

    Nguli wa Historia ya Nchi yetu.Asante Mzee.

  • @johnbunga6283
    @johnbunga6283 Před 18 dny +3

    Hivi vitabu navipataje Sheikh wangu?

  • @albogast
    @albogast Před 16 dny +1

    Divide and rule Mwalimu alifanikiwa😂

  • @akimzeli5030
    @akimzeli5030 Před 17 dny +1

    Daaah, asee! Yamesadifu.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 14 dny

    Hongera sana Mohamed nakufuatilia sana

  • @zabronpaul7599
    @zabronpaul7599 Před 16 dny

    story tamu sana aseee....mzee apewe muda zaidi

  • @user-rz2ek3qw3h
    @user-rz2ek3qw3h Před 14 dny +2

    Sasa huyu mzee mbona yupo sana kidini? Watu kama hawa hawafai kusikilizwa.

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 15 dny +1

    Mbona sasa ndiye Nyerere aliyeleta Uhuru na ilikuwaje mpaka

    • @lusajoabel2600
      @lusajoabel2600 Před 9 dny

      Kuna watu wanalishwa ujinga hapa...na wao wanafurahiii😅

  • @wechemakambo2182
    @wechemakambo2182 Před 16 dny +2

    Mzee huyu haandiki au kuongea kitu bila kuonyesha chuki zake juu ya Ukristo...anajua Wazi Nyerere alimshinda Urais wa TANU ABDULWAHID SYKES ...anakuwaje kuwa Muasisi wa TANU?

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 Před 16 dny

      Uchaguzi TAA 53,TANU 54; hivyo TANU ni zao la TAA

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 Před 2 dny

    Sasa hivi hatuongelei utanzania wala uafrika wetu tunaongelea dini zetu. Dini za kigeni. Hii ni aibu.

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před 11 dny +1

    Kwahiyo maelezo yako mzee unataka tuelewe nini namasimuliziyako hayo? Mbona husemi TANU imetawalatangu uhuru mpakasasa hivi ? Kulitokea nini 1977 mpakaleo unasema CCM imetawalamiakazaidi ya 60 ? hiyomaada yako yahistoria haina mashiko kwenyetaifa ilivyopatikana TANU ndivyo ilivyopatikana CCM. TAA hakikuwa chama chasiasa wala.

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 17 dny +1

    Sasa ninasubcribe inshaallah.

  • @aroncosmas9683
    @aroncosmas9683 Před 15 dny +1

    Huyu n mbaguz wa iman kwann kila baada ya sentens 1 unazungumzia uislaam kwan wakat huo wa kristo walkua na sifa hzo za kupga kula

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu Před 14 dny

      Ukabisha nini nawakati ukweli unafichwa wewe Kwanza bado dogo

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Před 16 dny

    Mpaka leo mtu Akivaa kofia tu tunamuamini.Nyoyo zetu ni safi mno.ndio udhaifu wetu Duniani kote

  • @saalimlubeya4236
    @saalimlubeya4236 Před 17 dny +1

    Haya hayasemwi kabisa, naomba viandikwe vitabu vya kutosha tena kwenye lugha yetu ya Kiswahili.

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 16 dny

      Vyann hatuna haja ya kujua story za kishamba kama hzi eti oooh huyu akipata nchi atawakumbuka wakristo tu mbn baraza lake lilikua na waislam wengi tu na nchi alimwachia mwislam tena mzanzibar
      Mwalim hakuwai kupenda udini

    • @mpalawamnongani2053
      @mpalawamnongani2053 Před 12 dny

      ​@@fasterwalker1464Njoo na hoja kama mzee alivyofanya na sio kutuonyesha mapenzi yako...

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 18 dny +3

    historia huwezi kuificha inakuwa sawa na moto itafukuta tu!!

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Před 8 dny

    Wewe paka waqrabu Wana nn tulizaaa mshonooo wewe tafta historiaa usomeeeeeee

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 12 dny

    Mwambieni huyu Mzee anitafute kuna MTU anamfaa sana

  • @autoimmunesecurity2140

    Waislamu ndo wa kwanza kujua kusoma na kuandika na hesabu, sasa ilikuwaje tena hawakusoma??

  • @jetstreams2986
    @jetstreams2986 Před 18 dny +9

    Nyerere Nyereeee alikua Dhalim Alikua Aduiiii tuu ... ..
    Chuki tupu Maneno yake na Hapendi Waisilamu Jitu Mmoja la Porojo sa Kisiyasa ....!!
    Sasa Hivyi Ananyoshewa Fimbo ya Molla Dhalim Mmoja Yuleee
    Kwani Nani Yeye Asinoyoshwe Bakora ...!! Wacheni Ujinga Wenu .

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 16 dny

      Huna akili kaabisa hv mm nweusi na waambia wenzangu huyu atakumbuka ndugu zake? Kvp na wote lengo letu 1 huyo mzee alileta Udini ndomaana nyerere alilia lengo ni umoja kama mwl angeangalia udini Tz isingekua km unayoiona leo naamini hata ww kama unaweza ukawa kabila tofaut na mkeo ila kwasabab ya mwl waislam tunazika wakristo na jumuika nao kwa shughul zote za kijamii nawao hvo wanaoa waislam na kuja misiban ya waislam na kujumuika ktk shughuli zote za Kijamii bila mwl pengine hao mnaoona waasisi wasingeleta uhuru mwl ndan ya miaka 6 tu kua tanu uhuru ukapatikana vp hao waasisi tangu 1929 walileta nn nchini ogopa sana udini na Ukabila
      Wengine hata saut ya risas hatujawi kuisikia ni kwasabab ya mwl aman tunayo kubwa hilo jambo ni alama kubwa sana kwa taifa
      Chamwisho mwl haadhibiwi na yyt yule ajaadhibiwa dunian wala hatoadhibiwa akhera

    • @lacroquetalacroqueta6813
      @lacroquetalacroqueta6813 Před 13 dny

      Dhwalim mkubwa sana

    • @mussai.sillas3796
      @mussai.sillas3796 Před 7 dny

      Ukumbukwe. Enzi hizo waislaam hawakuwa na shule walizojenga wao. Wakristo waliku na Shule za makanisa.
      Ikumbukwe ,waislaam nao hawakupenda kwenda kusoma kwenye shule za misheni.
      Ikumbukwe kuwa ni Nyerere huyohuyo ndiye aliyelazimisha shule zote ziwe za umma,kusomesha wanafunzi wa dini yeyote. Hapo ndipo waislam wakaanza kuingia kwenye hizo shule kabla ya kuzigeuza hizo shule kuwa za umma. Hili nalo tuliseme hata kama halitakiwi kusemwa

  • @MuftyMageni
    @MuftyMageni Před 17 dny

    Allah ndo hakimu, atalipwa kwa dhuluma yake iii nzito.

  • @jidaramadhani3478
    @jidaramadhani3478 Před 11 dny

    Endeleen kutuhabarish ukwel

  • @BeckamGaliyogela
    @BeckamGaliyogela Před 10 dny

    Ni ungese tu

  • @AliyJumaIbrahim
    @AliyJumaIbrahim Před 18 dny +3

    WAZEE WETU SIJUWI NI KITU GANI KILICHO WASAHAULISHA HATA KUMFANYA NI RAFIKI WAO HATA KUMU AMINI KWA KIASI KIKUBWA SAANA HATA KUMUWEKA PAHALA ALIPOKUWA HAAYATI YULE,,!!!

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu Před 18 dny

      Ilibidi iwe hivyo maana Muingereza angelichukua mda mrefu kuitupa uhuru kama kiongozi wa Chama angeli kuwa Muislam

    • @SimbaHaji-jm7md
      @SimbaHaji-jm7md Před 17 dny

      ​@@MrKhatibuhata hivyo uhuru uko wapi

    • @albogast
      @albogast Před 16 dny

      ​​@@SimbaHaji-jm7md uhuru upo kiongozi japo ni wakuforce sahizi kama tanganyika na zanzibar zikitaka kutengana ni mswaada unapelekwa bungeni mnajadili kwa hoja mnafikia makubaliano nahisi kwa sasa tukianza kujadili udini tutaludi nyuma sanaa

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 17 dny +6

    Hujasema kwa nini Waislamu hawakuwa na elimu? Kwa sababu wakati wa ukoloni elimu ya juu, zaidi ya darasa la nne, ilibidi kwanza ubatizwe na kubadili dini.
    Pia ingawaje Waislamu walikuwa wa kwanza kuwa na elimu ya kusoma na kuandika Tanzania, ila kwa herufi za Kiarabu, Mjerumani alipiga marufuku na kutohesabu elimu yoyote isiyo ya herufi za Kilatini si elimu. Ghafla Maelfu ya Waislamu wakafanywa 'illiterate!'
    Unaona uonezi dhidi ya Waislamu tangu wakati huo hadi leo Tanzania, na duniani!
    Ona Samia ana watendaji wengi Wakristo zaidi ya 80%, lakini yule Warioba adai kuna Udini! Kauli hii huisikii ikiwa rais ni Mkristo hata ikiwa baraza la Mawaziri 90% ni Wakristo, kama wakati wote wa enzi za Nyerere, Magufuli, nk
    Nyerere alikuwa adai Waislamu hawana elim ya kidunia.Nini excuse ya Magufuli na wengine hivi sasa? Ndiyo maana kwa sababu ya woga, hata marais Waislamu wanawapendelea Wakristo katika madaraka ya juu. Rais pekee aliyekuwa haangalii mambo ya dini ni Mkapa, pekee!

    • @AmanMediaTz
      @AmanMediaTz Před 7 dny

      Acha kushoshea chuki...Udini mbaya sanaa, Unaongea uongo bila relevant information

  • @swalehejuma6611
    @swalehejuma6611 Před 17 dny

    Vitabu vinapatikanaje?

  • @rumonajarufu1346
    @rumonajarufu1346 Před 16 dny

    Tunapataje kitabu ??

  • @Ninjamchomeleaji.1994
    @Ninjamchomeleaji.1994 Před 13 dny +1

    Uyo mzee Takadiri udini ulikuwa unamsumbua

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 Před 8 dny

    Azma yako ni nini kuleta history za hivi

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 17 dny +4

    Udini tu m, kwamba mlitaka mjikute nani? Acha kuwajaza wenzio. Ujuaji ni mwingi ila huyu bwana udini na upwani unamsumbua sana. Laana

    • @saalimlubeya4236
      @saalimlubeya4236 Před 17 dny

      Wewe pia ni mgonjwa wa kuto utaka ukweli.

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Před 16 dny +1

      Aliyoyazungumza mwanahistoria huyu mahiri ni HAKIKA ZA KIHISTORIA (HISTORICAL FACTS), fanya utafiti ukiwa na akili huru utagundua kwamba yote hayo yamethibiti katika historia.ya nchi hii...Usihemkwe na UDINI WAKO. SOMA KITABU "KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA BARA 1953 - 1985 CHA DR. SIVALON" na ndani yake utajua kwamba NYERERE HAKUWA MZALENDO WA NCHI BALI ALIKUWA (MMISIONARI) MZALENDO WA UKRISTO (ESP. UKATOLIKI) NA HATA UJAMAA WAKE ULITUMIKIA UKATOLIKI.....

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 16 dny

      @@angelsblackboard8008 Akili huna,umedumazwa na roho mtakavitu pimbi wewe

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 15 dny +2

      Ukweli upi? Je ni Nyerere aliyewazuia waislamu kwenda shule? Mbona ni Nyerere huyo huyo alietaifisha shule za sekondari za wakristo ili watoto wa kiislamu wapate elimu? Je, mbona hata baada ya utawala wa Nyerere miaka 40 iliyopita wengi wa wahitimu wa elimu ya juu ni wakristo? Kuna tofaûti ya kimtazamo kuhusu umuhimu wa shule kati ya uislamu na Ukristo. Waislamu walikataza watoto wao kwenda shule kwa hofu ya kubadilishwa dini.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 15 dny

      @@sylvestercameo6263 waislam wana akili nyingi,walifahamu hatari ya kuwasomesha watoto wao kwa makafiri ambao hatimaye wangewaritadisha,can you imagine that today a prominent people who received the so called circular education yet they believe non sense
      Kwangu mimi ninayejitambua ni bora mtoto wangu aishie std 7 kuliko kuwa kafiri

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 13 dny +2

    Bila nyerere Zanzibar yote ingekuwa chini ya Waarabu na nyie weusi wenzangu mgekuwa wafanya kazi wa ndani katika nyumba za Waarabu

    • @muhsinrajabu
      @muhsinrajabu Před 13 dny +1

      hoja za kiwendawazim hizo

    • @samiraali1632
      @samiraali1632 Před 12 dny +1

      Kwani sasa mmepata uhuru mnafanya kazi kwenye nyumba za nani? Si za haohao waarabu wandani ya nchi mpaka wa nje ya nchi, kwa roho zenu mbaya hata hamkijui mnachokisema na ukweli unaonekana

    • @mohammedsaid3045
      @mohammedsaid3045 Před 10 dny +1

      Nyiye hamuwezi kubadilika kwa chukki zenu kwa waarabu nikulize hakuna waswahili wanaofanya kazi kwa waswahili wenzao kazi za ndani bwge ww?

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 Před dnem

      ​@@samiraali1632kweli kabisa maneno yako

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 Před dnem

      Wanao wa saidia kwa kila kitu ni waarabu lakini uta kufa kwa ubaya wako. Hasbiya Allah wani'mal wakiil

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 17 dny +2

    Kwahiyo waislamu mlitakaje Yani?

    • @ramadhanimandoa716
      @ramadhanimandoa716 Před 17 dny +1

      Inaonesh una upungufu Ktk uelew wako

    • @angelsblackboard8008
      @angelsblackboard8008 Před 17 dny +2

      @@ramadhanimandoa716 kuelewa nini acheni kujipa umuhimu kila mahali. Dunia sio yenu

    • @KHALIDKIRAMA-iq6en
      @KHALIDKIRAMA-iq6en Před 16 dny +1

      Tatizo mnapotosha ukweli, na tulinyimwa haki ya elimu, na fursa nyingi ikawa zinapewa wakristo

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 15 dny

      ​@@KHALIDKIRAMA-iq6enElimu mlinyimwa na mababu zenu waliojiaminisha kwamba wakiwapeleka watoto wao shule watabatizwa na kuwa wakristo. Je, miaka 40 tangu utawala wa Nyerere mbona idadi kubwa ya wahitimu wa elimu ya juu ni wakristo? Elimu kwa wakristo ni sehemu ya utamaduni wao.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 17 dny

    Udini sasa?

  • @jidaramadhani3478
    @jidaramadhani3478 Před 11 dny

    Endeleen kutuhabarish ukwel