MZUNGU ALIYEUWA MAMBA MKUBWA DUNIANI,MBUNGE MPINA AFICHUA TUHUMA NZITO....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2024
  • #OFFTRACKTV #offtracktv #wazirimkuu #kassimmajaliwa #bungelive #bungeni
    Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDF...
    KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
    PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
    / offtracktv
    Email | info@offtrack.co.tz
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
    🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
    🔴 Email: info@offtrack.co.tz
    Www.offtrack.co.tz
    𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
    ...............................................................................................
    Subscribe: / offtracktv

Komentáře • 70

  • @samsonnyihita3985
    @samsonnyihita3985 Před 24 dny +14

    Ila hili taifa wakat mwingine uzalendo ni mdogo asante Sana mheshimiwa mpina kaka

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 13 dny +12

    Mnateteana ujinga mamba angeingiza Pesa nyingi sana Kuliko pesa alio itoa Huyo jamaa hii NCH Ina viongozi wa hovyo kabisa

  • @barakambuzeyonja6935
    @barakambuzeyonja6935 Před 8 dny +2

    Yaani Africa aliyesoma na asiyesoma kuna wakati unakosa tofauti nchi hii imezidi kabisa yaani MTU anafanya upuuzi huu kweli Acha wazungu waendelee kutuzalau

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru915 Před 9 dny +2

    Kwa afrika mashariki watanzania tupo nyuma sana kujielewa na kufuatilia rasilimali zetu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 16 dny +10

    Speaker huna uchungu na nchi .....shame on you

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Před 14 dny +4

    hapo tumepigwa hila haya angekuwepo chuma msingeona mawindo hayo

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi Před 8 dny +2

    Hicho chama kimetekwa na mafisadi hawana uchungu na taifa hili.toka huko hata kwa usalama wako

  • @noelimori4621
    @noelimori4621 Před 8 dny +1

    Wabunge wa ccm hawana uruma hata kwenye mambo ya hii nchi

  • @Husenimuddi
    @Husenimuddi Před 8 dny +2

    Huyu spika sio mzalendo kabisa hatuna mtu hapa

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia Před 9 dny +1

    Ivi jamani sisi Watu weusi nani ameturoga ivi hii nchi Kuna Watu kweli Wana ubongo na wakikaa wanafikilia kabisa ivi kweli sisi kweli tana akili pore Mungu anajuta kweli kutuhumba poreni Watu wenye ngozi nyeusi

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Před 10 dny +2

    Tulia mbona unakuwa kama mtetezi wa serekali badala ya kutetea mwanainchi wa kawaida.. kutoka kwenye meno ya wachumia tumbo

  • @cartersport_1362
    @cartersport_1362 Před 7 dny +2

    Huyu spika ,, ngoja ninyamaze mwenye mwanasheria aendelee kuniongelea

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 Před 6 dny +1

    Spika kunamda anakua sawa kunamda anapinda pinda

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 Před 21 dnem +4

    Angekuwa mtanzania wakawaida Angewinda hata mjusi angesimulia huko jela

  • @kalengashoppingcenter1108

    Washakula rushwa 😂😂😂😂 nan wakutiwa kitanzi

  • @madaiincubationcenter4947

    Huyu speaker hatufai kabisa kuwa kiongoz zaidi ya dictator tu

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Před 7 dny +1

    Mh.Mpina anatoa hoja ya haibu kwa mtu anaesifiwa kua mtalamu

  • @kalumunakalumuna7403
    @kalumunakalumuna7403 Před 10 dny +1

    Hii nchi bhana

  • @ChachaChacha-ne6yf
    @ChachaChacha-ne6yf Před 4 dny

    Uyo waziri sijawai kumwerewa

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Před 5 dny

    Duuu!!!!!!, kazi kweli kweli

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před 8 dny +1

    Siku zote mjadala wa mpina uwa unapigwa vita bungeni

  • @benjaminkundy128
    @benjaminkundy128 Před 6 dny +1

    Mimi sijawahu kujua maana ya bunge

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u Před 15 hodinami

    angekuwa mubongo angekuwa jera

  • @claudesimukoko1436
    @claudesimukoko1436 Před 5 dny

    Mpina anaongea kitu cha maana sana alafu wengine wanaishia kucheka tu, na athabu yake ya kufukuzwa bungeni point kama izi zinachangia jama Hakiri nyingi saana

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 Před 3 dny

    Kwani huyu SPOKU ANASHIDA GANI😂😂😂

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Před 10 hodinami

    Hamna kitu yaani nashindwa kuelewa hakili hiz

  • @amanikwayu2808
    @amanikwayu2808 Před 8 dny +1

    wanyama hubadilika kimaumbile kuenanda na mda haswa kutokana na changamoto za mazingira, hivyo ukisema kushakuwa na mamba wenye urefu zaidi ya 16 .2 feet wameshawindwa hiyo hoja haina uzito, kwenye ikolojia na wildlife management and conservations science, na mara nyingi jinsi mda unavyoenda ndivyo maumbile yanapungua na kuwa madogo zaidi.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 4 dny

    Hampendagi ukweli sjui mpoje

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 16 dny +1

    Watanzania wakikutwa tu na nyama pori....jela inawahusu....leo mamba porini

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 Před 13 dny +1

    Sie ni mwabwege sana

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 Před 7 dny +1

    Hao wawindaji hawana waongozaji🚮🚮🚮

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před 3 dny

    Hili bunge inafaa watanzania tulichome moto,hili ni bunge la hovyo mno

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 5 dny

    All Tanzania population stand help mpina by full force change Tanzania from dictotaship to civilian tools reject such move chadema odinary Tanzania people stand behind mpina protest so that give ccm who are inside palament cames with capacity of understand they right into Tanzania Palament wekerup chadema use your capacity wekerup tanzania population difend mpina even if the ccm mp because has been difend tanzania people

  • @user-ce5mi6zc9t
    @user-ce5mi6zc9t Před 11 dny +3

    Hapo spika hatuna, hana uchungu na raslimali za Tanganyika, afu mibunge mingine imekaa kimyaaaa, looh !!!

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 Před 10 dny

    Ila tulia khaa😮

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před 15 dny +2

    Huyo jamaa kwanini awinde huyo mwamba wa kipekee sasa mmebaki na kenge watumie sasa Kwa utalii

  • @marcomayalla5138
    @marcomayalla5138 Před 10 dny

    Hiii sio Tanzania hawajari kabisa achainyesheeeee

  • @jiddahmaulidi3572
    @jiddahmaulidi3572 Před 6 dny

    Haya huyo mamba wamemzika

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 Před 8 dny

    Humo bungeni wangetoka wote tu coz mi naona kunamatahila tu humo ndani

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g Před 5 dny

    aliyemwoa huyu spika analo, anajua kupindisha mada

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi Před 8 dny

    Hata waziri anaona aibu,hawa watu hawana uchungu na taifa hili.wanajali masrahi binafsi

  • @robertmoshi2113
    @robertmoshi2113 Před 8 dny

    mh spika 😢

  • @cosein
    @cosein Před 6 dny

    Ningekuwa na mamlaka ningemtumbua spika

  • @BARAKAJOSEPH-j4u
    @BARAKAJOSEPH-j4u Před 4 dny

    Duh b😂😢

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi Před 8 dny

    Wabunge wanatia aibu

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e Před 9 dny

    Sasa kwan tuna bunge 😅😅😅😅😅

  • @hekimamtazamo4151
    @hekimamtazamo4151 Před 10 dny

    Hatuna spika in hatuna wazalendo kabisa kwa taifa hili

  • @EmanuelMinja-fv9dn
    @EmanuelMinja-fv9dn Před 11 dny

    Walimuua wa Nini mamba angetumika kma sehemu ya utalii

  • @blockchain1203
    @blockchain1203 Před 8 dny

    Mpina Anahangaika sana anachokitafuta atakipata tu..Mzee wa Negativity tu anaweza akawa na hoja ila Timing yake Mbovu..! Anyway the end will justify 🚶🚶

  • @JackiePaul-sd1jt
    @JackiePaul-sd1jt Před 9 dny

    Hilo ni bunge Haram na sio bunge tukufu

  • @saeedally268
    @saeedally268 Před 4 dny

    Tatizo nchi hii lipo kwa rais hana lolote ndo mambo kama haya yanatokeya tuna viongozi wa hovyo sana hawatufai naamini 2025 chadema watachukuwa wabunge wengi pumbavu zao hawa viongozi wa hovyo

  • @hosseasimon3887
    @hosseasimon3887 Před 9 dny +1

    Na wanachaka wanaona hana maana!!😢😢😢

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv Před 10 dny

    mpina tunakutegea

  • @wilsonmoses2761
    @wilsonmoses2761 Před 8 dny

    Mambo ya ajabu kabisa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před 3 dny

    Jamaa ana akili sana huyu,ila hicho kispika kijinga mno

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Před 7 dny

    Kenya, the worst Africana country in politics, human-rights , discipline, disrespect for God ect...

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c Před 12 dny

    Hii ni spika ya kiredio labda

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Před 5 dny

    NILITAMANI HATA MIMI KUFANYA UTALII WA NDANI ILI NIKAMUONE MAMBA MKUBWA DUNIANI,
    R. I. P CROCODILE🐊🐊

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d Před 17 hodinami

    Watanzania ni maboya hakuna mfano majinga, si bdo mliwapeleka hawa bungeni wawakilishe, majinga milioni 65

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje Před 9 dny

    Nchi hii ishakua ya kifara na Inaboa kinoma yani .Wanaangalia Matumbo yao tyu .